Zitto Kabwe VS Waziri Kabudi Bungeni leo 'Siingii mtegoni ng'o'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 ноя 2018
  • November 9, 2018 mkutano wa 13 wa Bunge la 11 umeendelea Dodoma ambapo katika kipindi cha maswali na majibu miongoni mwa yaliyosikika ni kutoka kwa mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe aliyeihoji kuhusu hatua ya Serikali kufungua kesi dhidi ya kampuni ya Barrick na Acacia ambapo Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi akakataa kujibu

Комментарии • 333

  • @paulmaziku240
    @paulmaziku240 3 года назад +54

    Waliobaini Kabudi ana akili nyingi..
    Tujuane

  • @robertndivo382
    @robertndivo382 4 года назад +20

    I must confess
    Tanzania you are blessed with very humble, respectful, understanding, joyful, eloquent nd articulative foreign minister.
    I swear this guy is the best,talented,clever Nd very loyal.
    I envy you Tanzanians.
    Kudos prof🙏

    • @linkreuben5804
      @linkreuben5804 4 года назад +4

      The minister is a blessing to Tanzania!
      Thank You God!

    • @papawaroma
      @papawaroma 4 года назад +1

      He is a presidential material for Tanzania, but I wish to know his views on corruption just like JPM.

    • @elfasijacksosafi9907
      @elfasijacksosafi9907 4 года назад +2

      Safi zinto

    • @mbwanakivava461
      @mbwanakivava461 4 года назад

      Rubbish huyo ni PoraPesa wa Majalalani

    • @jixxyjussy4721
      @jixxyjussy4721 3 года назад +1

      Unaakili sana ww....i read this long time, and here we are........

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 5 лет назад +16

    Namkubari snaa ,mwalimu wngu wa sheria ple mliman,pro Aidan kabudi

  • @dausonevarister7909
    @dausonevarister7909 3 года назад +11

    Kila nikiangalia hii speech waga nacheka Sana....zitto Ana akili Sana ,sema alikutana nondo yenyewee ....kabudi duuuh😎😎😎

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 5 лет назад +4

    Du! nilicho kiona hapo kuwa kuna Mmoja amelusha yai bichi juu sana alafu anategemea kulidaga hili lisivunjike kama litafika chini
    Hapo nami nilikuwa najiuliza Je, unaweza kweli kulilusha yai bich juu sana then ukategemea lisivunjike ? wakati unalisubilia kulidaka?
    hilo ndilo jambo lakujiuliza!!!!?
    Salute kwa walio nielewa,
    maana siku hizi Hatari ukiongea tu na mdomo wako unatoa halufu mbaya utaambiwa hujapiga mswaki kumbe inawezekana umetoka kula yai la kuchemsha mda si mrefu.

  • @angellarobert3892
    @angellarobert3892 4 года назад +1

    I love your explation

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 5 лет назад +2

    I like this guy! He’s supper knowledgeable justice minister. I think he deserved to be a prime minister

  • @hasionshekiondo6680
    @hasionshekiondo6680 4 года назад +9

    namkubar sana huyu mzeee kabudi

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 5 лет назад +20

    P.KABUDI MUNGU AWE NAWE MILELE;

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 года назад +3

    Palamaganda kabudi oyeeeee

  • @charlesmurimi592
    @charlesmurimi592 4 года назад +3

    Zitto uko vizur mzee, upinzani nyie ni juu sana siku zote.

  • @davidroche31
    @davidroche31 3 года назад +3

    Kabudi anajiamini sana ..... Na nimtakie kila lakheri👏👏👏

  • @shabanimoneyshabanimoney2145
    @shabanimoneyshabanimoney2145 5 лет назад +20

    Wenye akili tumeona zito akicheka hii inamamisha zito kakosa alicho kitegemea...prf yuko vzr

  • @mwljoseph9684
    @mwljoseph9684 5 лет назад +2

    Huo ni ukwepaji tu wa technical questions kutoka kwa skilled person. Hongera sana Mh. Zitto, Wakishindwa hukimbilia kwamba wapinzani wanatumwa. Tunataka Majibu ya concrete questions.

  • @bazilkisibo5811
    @bazilkisibo5811 5 лет назад +4

    Prof amejibu vizur kisomi. Sasa mnaompuuza hamjijui. Mambo yaliyoko mahakamani huwa hayazungumziwi.

  • @alvangidion9366
    @alvangidion9366 5 лет назад +4

    Big up prof,

  • @godfreypaul2551
    @godfreypaul2551 5 лет назад +13

    adi zito kacheka kumbe alimtega yooooo ndo maana jpm alikupa nafasi hy sawa wazili

  • @josephpetermaganga2907
    @josephpetermaganga2907 3 года назад +2

    Bado Naangalia kabudi hatari sana zito ni bwana mdogo sana

  • @bibukaelias9900
    @bibukaelias9900 5 лет назад +2

    Ukiwa genius kwenye wasiojua just kaa kimya

  • @davidlucas5445
    @davidlucas5445 4 года назад +7

    Mh: Waziri Kabudi upovizurisana,huyu Zito katumwa iliwapige dili sasahivihakuna waziri wakupaniki iliavuruge mambo.

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 лет назад +4

    Mwanashiria wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @stevenilevensoni2227
    @stevenilevensoni2227 5 лет назад +10

    Zito mnafiki

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 5 лет назад +14

    PALAMAGAMBA KABUNI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

  • @rojakijana1162
    @rojakijana1162 5 лет назад +1

    Mh Zitto nakukubali sana

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 5 лет назад +9

    point sana mzee zito

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 5 лет назад +1

      Young sacha furniture wewe unasifia mwizi Zitto nawewe ni mwizi na japo medial magna atawamaliza

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 5 лет назад +1

      +Imma Mlowe ujitambui wewe tatizo usisiemu huo unawasumbui

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад +8

    Kumbe hawa kina zitto wana agenda zao za siri!!!! Sasa naanza kupata mashaka na mtu huyu!!!!

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 4 года назад

      Jiulize ameuliza swali amejibiwa alafu anacheka maana yake ni kweli alikuwa anamtega je kama waziri kilaza ndio basi ikngeingzwa kwenye hansadi ingekula kwetu watanzania, halafu eti anataka awe raisi labda wa wanyama pori.

    • @kudraomar7053
      @kudraomar7053 3 года назад

      We usiwe mpumbafu anatakakutuingiza wap we sema kamaunataka kuingizwa

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад

      @@kudraomar7053 bwege wewe!!!

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 5 лет назад +2

    Jibu la Professor na kicheko au tabasamu ya Zitto inathibitisha kwamba kuna kitu. Maneno ya Professor Kabudi yana uchungu "kama umetumwa" amerudia mara mbili. Siku moja tutayakumbuka. Pesa ilimuuza Yesu itakuwa mwanadamu!

  • @mohammedhusseinmorawej5667
    @mohammedhusseinmorawej5667 5 лет назад +1

    The minister has accused MP of serious crime. Any legislative way to see the way it should be handled by Mbunge?

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 5 лет назад +14

    Mheshimiwa Zitto Kabwe hupo vizuri sana watu hawataki kuku elewa

    • @saidseif9000
      @saidseif9000 5 лет назад

      Johnson Zuma kuwa na akili huyo zito ni bogazi anawatetea wazungu pumbavu tz itabaki kuwa tz

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 4 года назад

      Mtawasema wapinzani sana lakini kesho mtawashangilia kwa wanayoyaibua nchini na ndio maana hasira za Serekali ya CCM na Magufuli wake zinaishia kuwateka, kuwapiga, kuwafunga, kuwanyanganya majimbo kwa nguvu, kuwafilisi na kuwapiga risasi. Kama sio speed ya Magufuli kuwafanyia Watanzania wenzake vitimbwi na kuwaaminisha Watanzania walio na elimu duni kuwa anaijenga Tanzania upya wangemtia aibu sana. Anavyofanya ni vizuri kwani anatumia kodi za Watanzania waliopo CCM, ACT, CHADEMA, CUF, TLP, NCCR, CHAUMA na vyama vingine vya Siasa, lakini je Watanzania wanajua ni kodi ngapi zinaibiwa. Kama Hazina ameweka ndugu zake mtajua saa ngapi ni fedha kiasi gani zinapotea. Ameweka ndugu zake takribani kwenye maeneo yote zinakoingia fedha katika nchi hii. TRA, Bandarini, Mipakani, Air Tanzania, Tanapa, Ngorongoro, na kila mahali penye uzalishaji fedha. Siri za huyu Magufuli wanazo wapinzani lakini wamefungwa midomo wasiseme subirini kipindi cha Kampeni za mwaka 2020 ndio mtajua mengi. Huyu Kabudi ndiye anatayarishwa na Magufuli kuwa Rais mwaka 2025 lakini Watanzania kuyajua haya kwa akili zetu finyu itachukua muda. Hata wana CCM hawalijui hili na ni makubaliano yaliyofanyikia Ikulu ili amlinde na mali zake. Huyu ndie atakuwa Dikiteta kuliko huyu Dikiteta Uchwara tulie naye.

  • @justinejoseph1701
    @justinejoseph1701 5 лет назад +9

    Wote mnaosema Mh. Waziri kashindwa kujibu hoja ya Zitto aloiweka bayana mwishon, musiwe mnacoment tuh bila hata kupitia sheria na mashariti ya mahakama na kesi za kimataifa.
    Ni kweli huo ulikuwa mtego na Prof. Kaugundua kama mwalimu wa sheria Hongera sana, najua zitto alisubiri utoe japo neno kuhusu swala hilo apeleke ushahidi kwa mabeberu.

  • @yunushamis4839
    @yunushamis4839 4 года назад +1

    Ubabe wa kibwege huo mtu kauliza swali unakodoa mijicho na kuropoka mzee Zimaa hovyoo

  • @dosidamas4140
    @dosidamas4140 5 лет назад +3

    Professor nakuelewa sana achana na hao vibaraka

    • @frankhaji1387
      @frankhaji1387 5 лет назад

      Dosi Damas kweli we we zwazwa nimeamini.

    • @dosidamas4140
      @dosidamas4140 5 лет назад

      @@frankhaji1387 wewe ni zuzu. Don't reply my comment. Na wewe toa comment yako. Huna akili wewe. Stupid

  • @bellenicerwiza7645
    @bellenicerwiza7645 5 лет назад +1

    Jibu swali ww LA professor koko

  • @bujagajeremiah4308
    @bujagajeremiah4308 9 месяцев назад

    Zitto yuko makini sana, linajua

  • @nuhumabondo9101
    @nuhumabondo9101 4 года назад +1

    Zitto unajua... Mti wamatunda hupigwa mawe kaza zitto.. Sana Tanzanian nitajili hatuhutaji msaada

  • @nengajr7253
    @nengajr7253 4 года назад

    We uko vzr kwenye habar

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 4 года назад +1

    Mm namuunga mkono zitto coz haiwezekani hizo fedha za msaada zinatolewa tangu kipindi hicho halafu serikali yetu ya ccm bado wanachangisha watu madawati hizo hela tunataka bakeji ya matumizi yake raia tujue....na hiyo elimu bure imekuja juzi kumbe mlikua mnapiga hela za misaada sasa hv mnatumbuliwa ccm msiturudishe kwenye ukoloni mambo leo,uzalendo kwanza..

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 5 лет назад +11

    Zitto anataka ajue serikali imejipangaje ili akawambie wale wahujum washinde kesi

  • @swaleheamri2303
    @swaleheamri2303 4 года назад +1

    Ok

  • @franceyaraby4342
    @franceyaraby4342 3 года назад +1

    Subjudice respect much

  • @benbranco3688
    @benbranco3688 3 года назад +1

    chaliii nw sijui nw utaongelea wapi

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 5 лет назад +2

    na mtadanganywa sana hadi mtakufa kinachofuata tugawane buku buku tuame

  • @nsodyaphilimon9153
    @nsodyaphilimon9153 4 года назад +1

    Hapo mnafiki kaumbuka alichotumwa na waume zake kakosa majibu

  • @justinecleophas6299
    @justinecleophas6299 5 лет назад +6

    Nakuheshim sn mwanasheria....

  • @kallahassan4896
    @kallahassan4896 5 лет назад +2

    kweli mwasiasa yupo kimaslay binfsi nakama ujaelewa kinacho endelea ndani yabunge utaendelea kuwa mpumbavu ila kwass makonki tushajuwa

  • @sojaman7825
    @sojaman7825 5 лет назад +1

    naamini sana upinzani

  • @posolythabity110
    @posolythabity110 4 года назад +1

    Nakubal

  • @tonymnyamatv8483
    @tonymnyamatv8483 5 лет назад +3

    😂😂😂😂😂😀😁 💪💪💪Zitooooo Wanatetemeka waliyataka wenyewe leo Wanakuona mchawi kwa kuanza kuwachunguza Najivunia Zito kabwe Chama kubwa ViVa zito viva.

  • @mako331
    @mako331 5 лет назад +5

    Yani wanasiasa wa Tz serikali inapigana kutetea mali zetu wao wanapigana tushtakiwe ili tuendelee kuibiwa

    • @kyandohtulambona1166
      @kyandohtulambona1166 4 года назад +1

      Wezi Ni wengi Sana na MUNGU atawalaani mashambani na watoto wao a wataishi katika Laana milele na milele wanashirikiana na mabeberu kutunyonya E YESUshusha mkono wako utuponye

    • @makalikuwili6889
      @makalikuwili6889 4 года назад

      @@kyandohtulambona1166 Amina

  • @maxmilianjoseph8065
    @maxmilianjoseph8065 5 лет назад +16

    zitto umesikia Hilo jibu la subjudice?? na mtego uwe wa kuku au ndege haingii hata urushe mahindi ndani😁😁😁

  • @petersynto8634
    @petersynto8634 4 года назад +2

    Zitto nikibaraka wa makaburu

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 3 года назад +1

    Akili nyingi

  • @arolamarco6999
    @arolamarco6999 5 лет назад +3

    Wakati wa escrow, epa na Richmond kuna wabunge waliitwa kima nyani lakn majibu tumeyapa na pia kuna wabunge walipigania mikataba mibovu iliyokiwa inasainiwa waliishia kutukanwa na nwishowake tumeuona tusubiri na hili watatukanwa wataitwa vibaraka lakni ukweli utabaki pale pale

  • @evalynechacha9191
    @evalynechacha9191 3 года назад

    Huyu Kabudi nimempenda sana
    Awe rais siku moja

  • @jixxyjussy4721
    @jixxyjussy4721 3 года назад

    Aiseeeeeeee kabudi anaakili mazeeee

  • @rojakijana1162
    @rojakijana1162 5 лет назад +1

    Mh SUGU MUNGU akubarik na akulinde ! Ubunge ni haki yako !

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 5 лет назад +6

    Jambo liloulizwa ni la kisheria. Hujasoma sheria utaiingiliaje sheria. Sheria na siasa ni tofauti.siasa hata akina bwege na msukuma wanapeta tuu.

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад +12

    Hana majibu Mzee wa makimikia

  • @MusaMusa-dq3hd
    @MusaMusa-dq3hd 5 лет назад +1

    hayo macho hayaoni

  • @Butondo
    @Butondo 5 лет назад +9

    Zitto leo amekutana na pro. Kabundi unawezaukanifanya nianze kusoma sheria

  • @justinecleophas6299
    @justinecleophas6299 5 лет назад +1

    Unachek nimazur sn cyo....

  • @jerryrobert1049
    @jerryrobert1049 5 лет назад +2

    watanzania tusikubari kutumika na mataifa ya nje

  • @kinglance6365
    @kinglance6365 5 лет назад +5

    Majibu huna mtego gani swali very open jibu

    • @mohammedmnasi3228
      @mohammedmnasi3228 3 года назад +1

      Wew kama umeiva kwenye sheria uwezi kusema swari liko openi tatizo mihemuko inawasumbua inaonekana umeferi darara la saba ndo maana ujui unalo uliza.

  • @emmydzoo8729
    @emmydzoo8729 4 года назад +1

    Kama wanamajibu kwanini wanauliza maswali? Mana nilizoea toka shule mtu anae uliza maswali ni mtu asie jua, ila nikiangalia bunge siku zote wabunge wanapouliza wakijibiwa wanabisha utasikia sijajibiwa niwazima hao wanauliza majibu wanayo sio swali niubishi tu

  • @eng.sibanganyalbjse9600
    @eng.sibanganyalbjse9600 5 лет назад +4

    Hoja inapaswa kujibiwa kwa hoja ndugu zanguni. Na mawaziri wamshauri Vizuri Mh. Rais wasimwingize mkenge wakati Nchi ina matatizo mengi.

    • @furahamwajeka3708
      @furahamwajeka3708 5 лет назад

      ENG. NDYAYUGUSUMA LBJSE ,sio Mara zote

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 5 лет назад

      ENG. NDYAYUGUSUMA LBJSE nchi haina matatizo labda nyinyi chadema mnamatatizo. Nchi imepata dereva Magufuli inaenda mwendo kaz kwel kwel

  • @muganyizikamafa3555
    @muganyizikamafa3555 5 лет назад +1

    Zitto mpuuzi tu..

  • @eng.sibanganyalbjse9600
    @eng.sibanganyalbjse9600 5 лет назад +15

    Mimi nina hoja tofauti wandugu, km mwaweza nisaidia kuipost mahali sahihi naombeni MSAADA.
    NB: Ni suala la nssf na sheria Mpya iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kupata baraka za Mh. Rais, ya kufuta FAO la kujitoa, inawezekana walilenga kuwasaidia watanzania lakini hawakutafakari sana undani wa suala lenyewe na linavyowanyanyasa na kuwadidimiza watanzania maskini walio wengi.
    Anglia;
    Kijana anayeafanya kazi ya malipo laki 2 hadi 4 akiwa na umri wa miaka 20-30 ameachishwa kazi baada ya miaka let say 2, hapo anakua na sh.480000....+ kwenye hifadhi, halafu hiyohiyo sheria inataka atimize miaka 50-60 ili aweze kuchukua pesa/malimbikizo yake toka nssf, kweli sheria hiyo inamtendea haki mtanzania huyo?
    Ikumbukwe familia nyingi ni maskini na hivyo kijana huyo hawezi kutunza pesa toka posho ya laki 2 hadi 4 kwa mwezi, anaitumia kuhudumia familia kwa mahitaji mbalimbali.
    Hiyo iliyotunzwa angeweza kuitumia kama mtaji wa biashara mara akosapo ajira kujikwamua na maisha haya yenye changamoto lukuki, lakini imetungwa sheria kandamizi ya ajabu, eti ya kuwasaidia watanzania maskini, huku nssf wakiitumia pesa hiyo kufanyia biashara.
    Wabunge wote elimu zao wameweka mfukoni na kujifanya hawaoni wala kuelewa madhara ya shera hizo kandamizi huku wao wakila pesa ndefu na kuwasahau waajiri wao.
    Hatuwezi kuwa wanasiasa wote jamani, ajira hazionekani ktk nchi hii, ukiritimba mwingi sana kila kona, hasa kwenye kada zinazohitaji interview ndiyo MTU aajiriwe yaoneshwa waziwazi mpaka kuwa na MTU juu Serikalini wa kukusemea vinginevyo hutoboi, nafasi 2-10 interview wanaitwa vijana watanzania 800--1500 what do you expect, sasa mnataka watoto wa masikini wasiokuwa na watu Serikalini wa kuwasemea ama kuwashika mkono wafanyeje? Waende wapi? Wajinyonge?
    Mbaya zaidi kijana huyo akiwa na miaka 25-30 akiwa na salio la 480,000/= nssf, mpaka afikishe umri wa miaka 50-60 atachukua pesa hiyohiyo 480,000/= ambayo ukilinganisha thamani baada ya miaka 25-30 ijayo haitakuwa ikilingana hata na Tshs. 1,000/=, hii ni nini kama siyo wizi wa hadharani kumuibia na kumdidimiza mtanzania mnyonge huyu asiye na ajira? Halafu watu wanaogopa kusema ukweli, kufa na kuishi kwa sahivi km hauna pesa yote ni sawa tu.
    Kama kweli wana nia njema ya kumkwamua Kijana mtanzania kwa maisha ya baadaye mbona hawakuweka riba ya Ongezeko ili pesa hiyo iwe inaongezeka kila mwezi hata kwa 1-2% ya pesa hiyo iliyotunzwa NSSF kwani wanaitumia kuifanyia biashara?! Ili walau iongezeke na baada ya hiyo miaka 25/30 kutimiza umri ulioamliwa kwa sheria husika MTU huyo awe hata na 10M au hata 40M?!! Wakaona Vizuri ibaki ileile miaka yote hiyo? Mnaiona dhamila yao wanayoisema kuwa njema juu ya suala hili?
    Chonde chonde suala hili litazamwe kwa umakini na mabadiliko yafanyike mapema iwezekanavyo kuwanusuru watanzania wanyonge km Sera ya serikali ya awamu ya 5 inavyosema, vinginevyo Bomu hili linalotengenezwa la kuichukia Serikali likilipuka mtawaelewa Vizuri watanzania wanyonge mnaowaimba kila siku ni watu gani?!
    Naomba kuwasilisha.

    • @ugaboy4736
      @ugaboy4736 5 лет назад +1

      Jadili suala la kujitoa mmewaacha vibaya wanyonge

    • @mohamedyusuph1321
      @mohamedyusuph1321 5 лет назад

      uko sahihi Sana kiongozi

    • @nzunguhjeremiyah3550
      @nzunguhjeremiyah3550 5 лет назад +1

      Hili tayari ni janga la taifa.. binafsi hili swala nishaliwaza sanaa. Ila hyo ndo seliakari ya wanyonge.. wabunge wao mafao yao wanayapata soon baada yakutoka madarakani

    • @eng.sibanganyalbjse9600
      @eng.sibanganyalbjse9600 5 лет назад

      @@nzunguhjeremiyah3550 Ukisikia double standard ndiyo hizo mkuu! Wengine wanatumika km ngazi ya kupandia.

    • @shadrackfidel809
      @shadrackfidel809 5 лет назад

      Hakika hii ni changamoto kubwa wala sioni Kama ina lengo la kumsaidia mwananchi kiufupi hii ni sheria kandamizi inapaswa iangaliwe upya

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 лет назад +5

    fundi wa Shelia huyo huwezi kumpeleka kama hujasoma

  • @matovumatovu643
    @matovumatovu643 5 лет назад +1

    Kenya wana akina Prof Lumumba,sisi tuna prof marefu.Ndio maana Udsm grads wengi ni mediocre

    • @iskiji5584
      @iskiji5584 5 лет назад

      Matovu Matovu kama wewe umeona Jibu la profesa ni mediocre basi wewe una tatizo. Amejibu vizuri Sana na kama hujamwelewa basi kuna shida katika elimu yako au akili yako ni antigovernment by default .

  • @mkapatv777
    @mkapatv777 4 года назад +1

    Kaogopa moja hana majibu

  • @shadiyaedwin1320
    @shadiyaedwin1320 5 лет назад +10

    Asitudanganye mtegomtego,huna majibu tuu

    • @malickmakatta6089
      @malickmakatta6089 5 лет назад +1

      Shadiya Edwin mjinga mwingine huyu ,unahisi kila kitu cha kisheria kinazungumzwa popote tu,Waziri kajibu kuna mambo ya kisheria hayawezi kujibiwa katika mazingira anayotaka huyo Kibaraka Zitto

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 5 лет назад

      Shadiya Edwin msenge wewe. Hujui Zitto anapeleleza ili wazungu washinde kesi wana wana hela? Tuoju nawenye akili tunajua tunampongeza sana labuda kutojibu

    • @mustaphermdetele6120
      @mustaphermdetele6120 5 лет назад

      Huyu mzee si ndo alisema ACACIA wamekubali kulipa na mikataba yao hawa watu sio wakuwaamini ata kidogo.

    • @issayajuma9787
      @issayajuma9787 5 лет назад +1

      Jibu wewe

  • @allymsuya6655
    @allymsuya6655 5 лет назад +5

    Hahahahaha Kabudi agoma kuingia mtegoni

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад +1

      anaogopa kusema kweli inavyosrahiki huyo chezea Magufuli Wewe akiwatizama tuu kwenye bunge lkatiba kawapa vinono wamefyata midomo yao wanatetea dhulma tu

  • @abdillahmbinga7050
    @abdillahmbinga7050 5 лет назад +3

    Zito upo vema zaidi

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 5 лет назад +14

    YAANI PARAMAMBA NAKUPENDA MBAKA NAUMWA YAANI HATA UKIGOSEA HUWAGA MIMI SIONI KOSA LAKO BABA

    • @eng.sibanganyalbjse9600
      @eng.sibanganyalbjse9600 5 лет назад

      Unapenda upuuzi, km wabunge hawaruhusiwi kuhoji bungeni, ww mwananchi wa kawaida utahojia wapi ujibiwe? Wanatapatapa2!

    • @shabanmbande6434
      @shabanmbande6434 5 лет назад

      maandishi yako tu yanadhihilisha kupenda ujinga ujinga

    • @fariddigga8698
      @fariddigga8698 5 лет назад

      Uku ndiko watanzania tulio wengi tupo, kwann tujiaminishe kias icho kua viongoz wetu hawafanyi makosa?? Anapokosea tuseme amekosea na anopopatia tuseme pia. Kwngu naona hajajbu hoja ya msingi juu ya maswali aloulizwa

    • @makalikuwili6889
      @makalikuwili6889 4 года назад

      @@fariddigga8698 ndg Kabudi kajibu sana. Kajibu vizuri. Fikiri kidogo, kama washapeleka Mahakamani sasa ya nini kuuliza bongeni. Wasubiri sheria huko walikopeleka.

  • @andreajeremia436
    @andreajeremia436 5 лет назад +3

    Zitto we,huna elimu hiyo,huyu Waziri si mchezo,!

  • @saidrashid2701
    @saidrashid2701 4 года назад +1

    Kibalaka una mpango na sijuii wanakuchaguwa wa mimi?????

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 5 лет назад +2

    katumwa

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka830 2 года назад

    Acha uwoga jibu swali

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 лет назад +1

    Zitto ni Intelligent sana.

  • @mwemezinnosentrwamafa6088
    @mwemezinnosentrwamafa6088 4 года назад +1

    Umeulizwa jibu kwa kile ulicho uliza na so kugomba

    • @mohammedmnasi3228
      @mohammedmnasi3228 3 года назад

      Sio kila swali linajibiwa bwana mengine ni kutegwa alafu unaingia mkenge kabudi sio wa mchezomchezo bwana

  • @mrnobody-qg6ed
    @mrnobody-qg6ed 5 лет назад +5

    zitto genius

  • @allywabike6327
    @allywabike6327 5 лет назад +3

    Maprofesa wa bongo hao

  • @hiralyaugustino
    @hiralyaugustino Месяц назад

    kabud mwamba

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 5 лет назад +2

    profesa mpumbavu

  • @filbertchulla9873
    @filbertchulla9873 5 лет назад +7

    safi sana prof.Kabudi!Wewe ni jembe la ukweli!

  • @amirihamisi6913
    @amirihamisi6913 5 лет назад

    Waziri Kabudi mimi kama mwananchi sipendi unavyojibu maswali kwa paniki.

  • @ramadhanihassani256
    @ramadhanihassani256 5 лет назад +3

    zito mamboni💥💥💥💥💥💥

  • @kassimdinar3835
    @kassimdinar3835 5 лет назад +3

    mheshima zitto upo vizur San tena San mubunge wote wa kgm

  • @raymondmalimamkutta8059
    @raymondmalimamkutta8059 5 лет назад +4

    Unajua elimu inapaswa kukupa maarifa kuwa hekima na busara ktk kutambua nini cha kutenda na kusema.
    zitto anataka serikali ijibu kuwa imekubali ilikosea hapo ni kukubali mashtaka yaliyo mahakama za nje na tutakuwa tumeshindwa kesi moja kwa moja

    • @prosperdeogratius4888
      @prosperdeogratius4888 5 лет назад +2

      Hii n kweli sana,Zitto katumia akili nyingi na Kabudi katumia akili kujibu,hii ndo siasaa sio kupigana mabundukii

  • @josephmasenga7718
    @josephmasenga7718 5 лет назад +3

    Mwalimu anapozidiwa na mwanafunzi

  • @abdillahmbinga7050
    @abdillahmbinga7050 5 лет назад +2

    Kwa nini ussijibu wakati umeuingia

    • @emmanuelmkeba7901
      @emmanuelmkeba7901 5 лет назад

      Amesema ni swala la mahakama we ulitaka ajibu nn sasa hata ukijibiwa hujui umejibiwa daaaaaaahhhhh uelewa wako mdogo

  • @masoudymichael1434
    @masoudymichael1434 5 лет назад +2

    Mbona profesa unapanic jibu tu kiprofesional

  • @olelekenijeremia4271
    @olelekenijeremia4271 5 лет назад +6

    Zitoooooo

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 5 лет назад +1

    Zitto alivo msenge anafrahia kutetea wale wazungu waliokuwawanaiibia nchi yetu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад +1

    HUYU Zitto hanaga maswali yanayohusu KIGOMA kweli ? Anazungumzia kesi TU za serikali yeye NI wakili wa wakoloni .... ? Je kigoma na Madini toka lini ? Kesi kesi TU Kila akisimama..... Maslahi CIO kitu kizuri

  • @ejtjr2647
    @ejtjr2647 5 лет назад +3

    Hivi ukishindwa kujibu jibu sahihi ni alieuliza KATUMWA?

  • @awadhthabit8832
    @awadhthabit8832 5 лет назад +4

    Jamaa yupo vzr zitoo kibaraka wa kimataifa

  • @evaristmandilindi6147
    @evaristmandilindi6147 3 года назад

    NIMEAMIN HAYA MAMTU YANATUMWA KWELI LIMECHEKA LIZITO KHAAA NA HYO KESI TULISHINDA TUKALIPWA HIZO PESA NA ACCASIA HUYO NDO PROFFESSOR KWEL

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi3655 5 лет назад +6

    Kusema Zitto ametumwa ni kuishiwa mbinu a.k.a kuishiwa hoja ya ushawishi,nenda kajipange tena mzee.

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 4 года назад

      Mtawasema wapinzani sana lakini kesho mtawashangilia kwa wanayoyaibua nchini na ndio maana hasira za Serekali ya CCM na Magufuli wake zinaishia kuwateka, kuwapiga, kuwafunga, kuwanyanganya majimbo kwa nguvu, kuwafilisi na kuwapiga risasi. Kama sio speed ya Magufuli kuwafanyia Watanzania wenzake vitimbwi na kuwaaminisha Watanzania walio na elimu duni kuwa anaijenga Tanzania upya wangemtia aibu sana. Anavyofanya ni vizuri kwani anatumia kodi za Watanzania waliopo CCM, ACT, CHADEMA, CUF, TLP, NCCR, CHAUMA na vyama vingine vya Siasa, lakini je Watanzania wanajua ni kodi ngapi zinaibiwa. Kama Hazina ameweka ndugu zake mtajua saa ngapi ni fedha kiasi gani zinapotea. Ameweka ndugu zake takribani kwenye maeneo yote zinakoingia fedha katika nchi hii. TRA, Bandarini, Mipakani, Air Tanzania, Tanapa, Ngorongoro, na kila mahali penye uzalishaji fedha. Siri za huyu Magufuli wanazo wapinzani lakini wamefungwa midomo wasiseme subirini kipindi cha Kampeni za mwaka 2020 ndio mtajua mengi. Huyu Kabudi ndiye anatayarishwa na Magufuli kuwa Rais mwaka 2025 lakini Watanzania kuyajua haya kwa akili zetu finyu itachukua muda. Hata wana CCM hawalijui hili na ni makubaliano yaliyofanyikia Ikulu ili amlinde na mali zake. Huyu ndie atakuwa Dikiteta kuliko huyu Dikiteta Uchwara tulie naye.

    • @cphaelymsemwa2843
      @cphaelymsemwa2843 4 года назад

      Wewe mwenyewe unasuport ujinga nadhan hujaelewa kabud yupo sahihi.....

    • @mikemichael2544
      @mikemichael2544 4 года назад

      Abdalah uko sahh kabisa

    • @minormine4417
      @minormine4417 4 года назад

      @@cphaelymsemwa2843 Yupo sahihi kivipi, anabwabwaja tu kama katiwa moto mdomoni

  • @bellaraphael9783
    @bellaraphael9783 5 лет назад +1

    Zito na utumwa wako wa mataifa makubwa leo umekutana na chuma, majibu umeyapata badilika kijana tunapata taabu sasa hivi kukuamini.