Waziri Ashindwa Kujizuia "Nitaleta Marks Zenu Hapa"
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2018
- Waziri Ashindwa Kujizuia "Nitaleta Marks Zenu Hapa"
Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amesimama Bungeni leo katika mkutano wa 12 na kutoa ufafanuzi kuhusiana na matumizi ya bajeti yake inayopitishwa Bungeni hapo.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.ruclips.net/user/uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/,
Suazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Hii ndo maana ya professional Professor... Akili kubwa sana hyu mzee...Mungu azidi kumlinda. Hizi ni talents chache tulizonazo Tanzania hii... Waliomuelewa WAZIRI PROFESSOR KABUDI..., GONGA LIKE
Nimeelewa kwann magufuri anamkubari sana nakumpa vitengo muhimu sana
Kama tuko pamoja gonga like
Prof Jabudi oyeeee! Nakupenda sana. Umejaa hekima, maarifa na umesheheni taaluma
Atawatajia cozwrk zao af watu wakimbie umo ndani
Daah! nafurahi sana ninaposikia hoja zako waziri natumaini watajirekebisha hao ndugu zetu.
Uko vizuri prof.
Daahhh kumbe kuna watu bhanaa wameenda shuleee.... Bravoo prof Budi👏
Kuna akina Zito Kabwe na vidigrii vyao moko vya mlimani na taarifa za kupenyezewa wanajiona na kujifanya wamesoomaaaa
Yeye mwenyewe alifeli tunajua kila kitu. Angekuwa amefaulu asingekua hapa angekuwa UN. Atoe mijazba yake hadharani.
@@abdalahfarida2074 kwani Alivyokua Anahutubia UN Mwaka huu ulikua wapi? Na Aļivyowaambia Wazungu Waindolee Zimbabwe vikwazo huko UN wewe Ulikua wapi? Juzi Alivyohutubia Kenya kwenye BBI ulikua wapi? Mpaka kuwashikisha mikono wa kenya na ķuwaimbisha nyimbo za kuacha siasa za ukabila na Akashangiliwa na unati mkubwa haijawahi tokea Kenya acheni kejeli za hovyom
K
Hahahaaaa baba anapoongea watoto wanaenda kulala, nimekuelewa sana Prof. Kabudi, Kahalima Mdee sijuwi kako wapi?! Hahaha kameenda kulala najuwa hata Kalisu kangekuwepo kangeenda kulala, Gonga like hapo kama uwezo wa Prof. Kabudi ni mara mia ya uwezo wa Lissu
Aha hahahahaha tsha mzee baba.!
umenichekesha sanaaaaaaa....
Ubarikiwe sana kwahekima hyo
🤣🤣🤣🤣Na wangekojoa kitandan kabsaa
Nnakukubali sana Profesar. Kabud Nannaimani wewe nikati ya majembe muhim Mzee Baba anayoyategemea Ubarikiwe sana.
Fred kyara. Baba mungu wambinguni Mfinanga We Fred Umempenda Nini mbabaishaji Huyu? Kiboko Yake Ni Halima Mdee, Na Atamnyoosha tu.
sio jembe ila wewe ndo unahitaji elimu , anakusomea katiba ya ccm iliyotungwa na nyerere, , ujinga ndo adui wa taifa TZ , kuonyesha vidole na kutoa macho and you are fucking impressed?
Huyu jamaa ameshindwa kuweka bayana kuhusu makinikia.
+Samater Yussuf zero brain wew aisee
+Samater Yussuf kumbuka waitara na karanga wameshndaa
Ndio mana Rais Magufuli alimteua Professor Kabudi kuwa waziri wa katiba na sheria.... Yuko vizuri
hua nikimsikilizaga huyu MH, waziri najifunza mengi sana kuhusu Sheria BIG UP
Kama najiona enzi hizo first year bachelor degree of laws kwenye constitutional law and legal system... pongezi nyingi Sana kwako Professor na Waziri kabudi
ULITAGA YAI WW
Utakuwa rais 2025
@@abiollashayo5698 😂😂😂😂😂😂
Thanks for this lesson Professor!! The parliament can only challenge the executive and not the judiciary. Mungu aendelee kukupa Roho ya uvumilivu.
Sautiyako tunatamani iwafikie na wananchi wakawaida prof kabudi unaijenga nch kwa elimpana saana. Mungu akuogezee siku zakuishi,
Hongera Prof.unapoongea jamii inaenda shule.maneno yako ni shule tosha kwetu sie tulioikosa elimu hiyo.
Mwenyezi Mungu akulinde na kukuzidishia hekima na busara.
Propher Kabudi muungu akuweke na akupe maisha marefu uwape elimu wapotoshaji
Huyu jamaa anajua kuliko tunavyomuona.kasoma anachokizungumza na amezaliwa nacho.
Safi sana nimeelewa
Leta marks zao mwl Inaonyesha kweli walifeli wengí Wao Kama ni wa ziro tuwajue pia uko vizuri mh kabudi, wamezidi kujiita wanasheria? Kumbe 0
Muulize yeye juu ya bunge la katibu
Prf wewe ni jembe, wape darasa hao wa kuropoka.
Watu wenye Elimu zao bwana,professor uko vizuri mzee wetu Mungu akuongoze
Nimemkubali sana waziri, kwasheria hajaribiwi
Nimependa safi
Wapinzania kuleni "public lecture" hiyoo. Mbona mmepotelea vichakani😂😂😂😂😂😂
Huhuhuuu😂😂😂
Professor
We mzee uko vizuri saana waelimishe hao wakukimbia bunge hasa huyu mvuta bange wao mdee anajifanya wakati hajui kitu
Wafundishe mwalimu hawa wanasheria ni vilaza.......kila siku tunataka mihimili isiingiliwe halafu Bunge linataka kuiingilia mahakama
Saluti kwako 💪💪💪💪
Shikamoo Professor Kabudi
Kweli kabisa Mhe. Waziri wasaidie kuwakumbusha sheria kwa walio wengi ni shida tunakupendaga sana Professor P. Kabudi uwe na maisha marefuu katika nchi hii
Uko vizuri sana mh. Profesa pigs kazi wengine hao sana matatizo binafsi!
hayuko vizuri ila wewe ndo umekosa elimu , ujinga ni adui mkubwa wa TZ
@@samateryussuf5938 ww ndo mjinga na waliokuzaa kwa kukosa elimu moto wao
Aisee tz tuna vichwa..... Hiki ni kichwa bwana. Nimempenda bureeee anavyotoa hizo nondo za sheria
joseph kessy huyu mtu ni another level
Waziri anajua sheria sana
Kabudi is Tanzania next president .big up sir .you are my best choice to lead our country after JPM's second term. Prepare your Slogan .we will eventually follow your steps .
Uko vizuri mheshimiwa waziri
Anapoongea Kabudi watu kimyaaa,kama yuko kwenye chumba cha lecture🤣🤣🤣
😂 mwalimu huyo.
@@boeihongoa1436 😄
Nimeipenda hii ya miaka Mia kenda asante mh kabudi
Na motokaa za mahakama.
Frederick Tarimo n
Dhuu!! Kwa mwendo huu "wapinzania" watahemea mashime siku zote za maisha yao. CCM ina majembe hatari. Tukutane 2020😂😂
Hahahaaaaa uko sahihi kabisa
Ina maana wapinzani ndio wapo Wanasheria maana naona wengi mnawasema? Au upinzani ni upi naona ccm inapinga vyama vingine na vyama vingine vinapinga ccm wote si wapinzani?
We need fact and not story about mentioning the marks of the past students mr
I learned something from you
bunge nzima kimyaaaa Tcha anatoa elimu Kwa mambumbumbu Na vilaza ,kumbe yanapiga kelele elimu ziro
Fala kwel
akitoa assement wote watafeli...hawa..bora wakae kimyaa wanyolewee lecture apige pindii
😀😀😀😀😀wewe jamaa umenifanya nicheke kwa sauti
Jembe
Jamaa Jembe sana nimeanza kumuelewa hongera prof.
Uyu kweli ni profesa .hongera mzee
Daaaaah Safi sana Prof
Akiongea huyu Mh waziri! Naelimika sanaaa! Wee ni nondo kuliko siasa!
Tatizo wabunge wa upinzani makelele mengi bila umakini,
Special congrats to you sir.
God bless you.
Best East African, if not The Best African mind!
I'm Kenyan and proud of Prof. Kabudi
i love him soo much, good heart man ever
Umeeleweka mkuu.....hutakiwi kuquestion mahakama ni muhimili unaojitegemea
Mwenyezi mungu awalinde na kuwaongoza vyema viongoz wetu
kila ninapokusikiliza mh kabudi nazidi kuelimika na hakika wewe ni mwalimu mungu akubariki sana ...sande sana blai.
Kabudi yupo vzuri Sana. Mungu ambariki
Upo vizuri minister wangu.
Nimeipenda elimu yako mzee piga kazi
hii ndiyo maana ya professor, sure mwl wangu umenirudisha darasani,na sasa nikuite Mwl wa bunge.hongera sana asiyekuelewa ana matatizo yake.
Wanasheria wa upinzani kama nawaona huko waliko visura vimekuwa vidogo kama piritoni, Kuleni public lecture hapo kwa Professor na sio mlivyozoea kubwabwaja tu.
Ni kwasababu lissu hayupo..
Hata Lissu anaujua moto wa Prof. kabudi na anamuheshimu sana, Huyo ndo alikuwa Dean of school of Law UDSM.
Yaani kama ulikjwa kwenye kichwa changu mapinzani yapo tu wanayumbishaga wasiojua sasa waseme nini tena?
Asante kwa shule mzee
Mueshimiwa raisi ange pata mawanzi Kama Hawa hichii ingefikambari kwautendaji wake Safi sana
Kwa uhakika mheshmiwa umetoa darasa hata huko lisu aliko amebaki mdomo waaaaaziiiiiii na anashukuru kutokuwepo kwaninangeaibika
Shule kubwa baba
Mungu Akupe uhai mrefu sana Nakupenda sana
hahah safi sana ...wamezoea kukurupuka bila kusoma na kelewa. Wakina Mdee wamesepa walijua watakuja kuumbuliwa
😂🤣😂🤣😂😋
Professor n level ingine aise duu
Umeona eeeh @Sia Makundi
katiak wizara ambazo zimepata vichwa ni hii ya katiba na sharia,well done to jpm.
Mungu akupe nguvu Mh kabudi akika wewe nimtu muhimu ndani ya Taifa hili sheria unaijua okoa taifa
i love him a millions
da ! kweli kabudi hakukosea kuwa professor good explanation bigger up
Mwalimu wa communication skills nawe achilia madini
Duh najihisi nipo lecture jamani
Huyo ni msomi mnamtaja Lisu na kabudi ndio alikuwa mwalimu wake hata Kama angekuwepo Lisu angepinga makofi tuu
Bahati mbaya kabudi hajawai kumfundisha Lisu, mwakyembe ndiye kamfundisha Lisu ,tafuta taharifa sawia
Ha ha h Lisu yeye Ni mpingaji Wa kila kitu huwa anataka jambo lake tu ndo lifanikiwe
Hakuwai kuwa mwalim wake
@@ibrahimgwasma235 sawa kabisa
Amina kuu,nakupenda buree
Hongera Mh. Kabudi.
Nice waziri kabudi
Bwana vizuri kweli...
Ina maana hao wanaojiita wanasheria walikuwa wala maandazi tu, walifeli. " IAM A LAWYER BY PROFESSION " wanajigamba.
Huwa wanajigamba na hamna kitu
Nmecheka kwasaut yachin chin
"I'm indeed flabbergasted, I'm indeed perturbed with this kind of behaviour"
Professor Palamagamba Kabudi
If we condemn with this behaviour we aren't to being called a parliament
Hapo kwenye flabbergasted 😂 english ni shidaa
Yes profesor
Wafundishe HAO nyumbu wanapayuka tu
ooh ! Ahsante sana professor kumbe Rais anauwezo wa kutunga sheria peke yake.0
ulikua wapi jaman siku zote we baba ,Tz inawatu makini
Kimsingi mheshimiwa umeenda shure nimekukubali
kajifunze kwanza kuandika shule
Aksante kwa kuniongezea neno lingine la kimombo"flabbergast" Indeed i'm very flabbergasted
Safi professor
mzee uko vzr nakweli rais alikuona vyema hy ndio fan yako
Nimejifunza kitu leo kutoka kwa prof nice speech
Nimekukubaliiiiiii,
Hy prof tumtumie vzr anakichwa kizuri sn cha elimu na nimuelewa mzr god bless you
God love be with you brother
Baba chambua wafundishe baba nakupenda sana
Hongera sana
We can interfere if speaker’s decision violates Parliament rules, says SC
The Supreme Court told the government on Monday that it can interfere with the Lok Sabha speaker’s decision if it violated the rules or procedures of Parliament.
Updated: Feb 13, 2017 19:59:33
By HT Correspondent
Speaker,Mukul Rohatgi,Parliament Rules
Attorney general Mukul Rohatgi had told the Supreme Court that a speaker’s decision cannot be challenged in court. (PTI File)
The Supreme Court told the government on Monday that it can interfere with the Lok Sabha speaker’s decision if it violated the rules or procedures of Parliament.
Nimelipenda darasa lako muheshimiwa.
Ufafanuzi mzuri sana
Prf kabadi hongera
💯💯💯💯
Excellent
He has a. Great minds
Nimependa
shikamoo professor
Sawa sawa
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
%%% kwake waziri
Zaburi ya 15😃😃😃😃😀😀
Kabudi ni nomaa I appreciate his words and wisdom.
Uerevu wako mzee uwasaidie wanyonge waliokuamini. Kulinda hakizao,malizao, na kutetea unyonge wao pia
Darasa
It was in December 12 . on Virgin Marie of Guadeloupe !
Kila mtu ni expert kwenye eneo Lake,