Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
HTML-код
- Опубликовано: 25 апр 2017
- Bunge lilimepitisha mapendekezo ya mapato na matumizi ya wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2017/18 huku waziri mwenye dhamana Prof Palamagamba Kabudi akitumia muda mwingi kutoa somo la sharia bungeni.
Mbona sisikii "Taarifa Mheshimiwa Mwenyekiti" 😂😂😂😂 Watu wanaogopa kuumbuliwa na Professor🤣🤣🤣
Kama unamkubali Professor Kabudi, Gonga like twende sawa!
Kawaida ya sheria za bunge waziri anapoongea mbunge haruhusiwi kutoa taarifa wala muongozo
😄😄😄😄😄😄
Wanaofuatilia speech za Mh.Kabudi baada ya BBI Kenya tujuane.
Huyu waziri anafaa awe rais wa Africa mashariki he is a great Man I like him very much
Í
Isaac mboya naomba mungu anisaidiie kumuelewa professor kabudi
Watu kama kabudi walikuwa wapi
Kumbe shida ni uelewa wetu nikiwemo na mimi profferser unastahili heshima upewe aman ya moyo appreciate that we fight because we differ in our level of understanding proffer never give up tupo tayari kujifunza
Wanadhani kubaghazana ndio kushinda hoja au kuonekana kuwa umeongea. Ahsante sana Pro. Palamagamba. Longalonga za hovyo zinaweza kupungua na hawa watu kuheshimiana.
Huyu Prof. Namkubali sana, ni moja kati ya watu muhimu sana kwa taifa
profeosor wa majalalani
Wanasheria wengi watanzania hawaijui Sheria bali wengi ni madalali
kalingamazdap😊
P
Nimejiona niko darasani uko vizuri mimi nikati ya watu nisiopenda wanaoongea kwa sauti bali HOJA na WELEDI Mzee uko vizuri....
Newborn Haule asate
Yaani Prof Kabudi ni kichwa kweli kweli,ni mtu mwenye historia ya nchi hii ya ndani sana,na anayethubutu kuisema
Tanzania you have a great Man very smart and a teacher he is a true leader
Thank you sooo much Professor. You are at the point. What is lacking in the country is poor education and Spirit of humour among the people. Educate and Train them. We shall be transformed. Congratulations for your brain.
Asante baba unastahil heshima kumbe shida, ni uelewa wetu nikiwemo na mimi I appreciate that we fight because we differ in the Level of understanding
Safi sana Profesor Kabudi Waziri wa Sheria Wafungue macho wailewe Sheria na Unaifahamu Kinagaubaga. Upo Vizuri. Sana. Hata Wabunge Wa Upinzani Wanakuitika kwa Heshima na Adabu.
hapa ndipo unapojua kuna wazee wengine wapo mle bungeni wakubwa miili tuu, yani vitu muhimu vinaongelewa na kutolewa elimu bado WANABEZA yani kuna wamama wanapiga tu kelele hapa ndipo unapojua kuna waheshimiwa wengine their level of appreciation of issues is DIMINISHING...
augustino Mariano yuko vizuri sana
augustino Mariano mimama mingine inapiga kelele kama wako bar ya mbege
Ni kati ya Mawaziri bora wa Sheria waliowahi tokea Tanzania''' wengi wanasoma sharia ila kupambanua wengi hawewezi'''''
Good job MUHESHIMIWA we ❤u Dr. Yote ni mazuri na tunatoa shukrani nyingi tumekuelewa KIONGOZI. Thanks so much
Profesa Kabudi Palamagamba ni msomi na ana ustadi ya hali ya juu. Umakinifu wake haulinganishwi na yeyote. Mzee amekalia kigoda, mtii. Kongole kwako guru Kabudi. New York, Marekani tuko nawe mwalimu.
Huyu professor huwa anaongea kwa KUWAFUNDISHA HAKIKA NI PROFESSOR 🔥🔥🔥🔥
Hivi Ni vichwa vichache vilivobaki Mungu akulinde vema
Tanzania one kabudi bigup sanaa!!!.
Mungu Akubariki kwa somo ulilosaidia Wabunge siku hii, Mimi nimekuwa muumini wa kukufuatilia speech zako I guess utakujakuwa zaidi ya Msaada kwa nchi yetu, Heshima kwako Kiongozi.
Kwa huyu jamaa tu hat lisu akasome.
Damn he’s a true professor
I salute you A ''Cardinal Professor''
Asante Sana RAISI WANGU NDUGU MAGUFULI Kwa Kumuona Huyu Prof Kabudi Na Kumteua Kua Mmoja Wa Mawaziri Ktk Serikali Yako.
aiseee,,waziri kabudi uko makini, vizuri sana
MAY GOD PROTECT YOU OUR FUTURE MAGUFULI AMEN .
Uyu proffesor anafaa akue Rais wa tanzania
Heshima kwako Prof. Unastahili nafasi hiyo uliyonayo. Mungu akupiganie
The living encyclopedia 😘😘
Daaaa nakukubali sana mzeee wangu mungu akupe maisha malefu tuendelee kujifunza mambo mengi toka kwako
Kwakweli ktkt mawazili wote nnaowakubali plo kabudi nakukubali san wew nizaid ya geneaz asante san mungu akubaliki san ktk safali ya maisha yako. Mungu ibaliki tanzania mungu wabaliki viongozi wetu
Kabudi ni jembe sana, nachompenda huyu mzee ni kwamba huwa anatoa elimu kwanza ndo naenda kwenye hoja.
Mzee uko vzr sana Leo nimekuelewa.
Safi professor wape elimu waelewe
vizuri sana mhe.prof palamagamba kabudi kwa ufafanuzi mzuri .
Duuh!! Nmekubali cna chama ila nna prof.
Natamani siku moja nikutane na pro kabudi
Ahsante Sana Mh; Prof Kabudi kwa elimu teule
Halima mdee kama namuona vile alivyonywea kisura kimekuwa kidogo kama piritoni huyo ndiye professor wa Sheria na mwalimu wako tulia ujifunze usiwe unapiga kelele tu.
Profesa Kabudi nijembe jingine la watanzania,tumtumie vizuri
Ukiona kimya vitu vinaingia
sina la kuongeza,heshima kwako mzee tunakuombea na uendelee kutuelimisha
Tunahitaji watu kama hawa bungeni, sio vinginevyo.
Deogratius Wilson broo inabid aserch wengine tena ktk profession zingne ili kila wizara kuwe na kichwa
Kama ibara ya 8 ya katiba ya URT inaheshimiwa watekelezewe matakwa ya katiba ya umma ( katiba watakayoshiriki wote kuitunga na kuipitisha kwa umoja wao). Maneno huumba. Tuombe Mungu Mh Prof uyaone ungali hai.
Much respect my lecture in RUclips
Taarifa mweshimiwa
Kutoka kenya mpaka bungeni nimetokea kumkubali sana huyu prof hatare
Huyu mwamba mungu ampe maisha maref anafaida kubwa kwa nnchi yetu
Great legal mind
Profesa uko vizuri
Daah nondo nzuur saan hasa kwa walimu wa uraia,civics na general study
N kiongozi mzuri Sana
Hongera pro kwa lecture
Safi sana prof
Kabudi unajua
prof kabud ni mtu mwenye hekma zake na mtu anaefanya kitu ambacho anakitambua ila kuna wengine humoo acha tukae kimya wanakaz ya kushangilia na kupiga makosi alafu ni 0 tu
Huyu jamaa anajua aisee...
Kabudi for president.
Hongeraxanaprof.kabundi
Jamaa somi sana, limeenda shule
Anafaa kuwa kiongzi Tanzania!
Tanzania inaelekea mahala pazuri
hongera mzee
Aaah muzee wewe material
You were there When the Law was Law and when the President was President!
Nakubali kazi professor wewe ni mtu mahimu cn katika taifa letu
huyu ni rais ajae
Ili kuweza kufukikua hatua yoyote ile ya mafanikio ni muhimu kufahamu kanuni au sheria za asili zinazotawala matokeo unayotarajia na kufahamu historian ya jambo lolote ni muhumili mkuu was kujenga hoja zenye mashiko tujenge tabia yakusoma ili kujenga hoja zenye mashiko Big up My Role Model Pro Kabudi
we spoke when the law was low and when the president was president
Professor
hiki nacho nikichwa
Chia sana
Tena kichwa kikubwa sanaaa
Prf nakuheshim saaaaaaaana hii hotuba nairudia nakurudia umetoa elimu kubwa mno
huyu kweli ni msomi
Mzeeee uko safiiiiiiii wape mawee wakarambaa hoo
Kwa huyu jamaa tu hata lisu akasome yaan ni zero brain.!!
uprofesor wako ni wa halali.
Hahahahaaaaaaaaaaa !!!!!!!
The next president that i wish to be
That is how ithink too
uko vozuri saana waziri
Hongera pro Kabudi
jamaaa Kichwa duu
Embu sema Palamagamba Kabudi
Nimerudi hapa baada ya kuona huyu ndo anafaa kuwa makamu wa raisi Tanzania baada ya jpm kulala.
kubaghazana.........kabudi oyeeeeeeee
Tigahwa Mugongo lissu na wanasheria uchwara vichwa chini
Wabunge vilaza wanatumia madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!
Yani mpaka spika anatabasamu hi ni lecture kweli
NOW NDO NIMEPATA JIBU KWANN MUUNDO WA BENDERA YETU YA TAIFA INAFANANA NA MUUNDO WA NCHI YA TRINIDAD AND TOBAGO 🇹🇹🇹🇹 !!
Samahan tutafutane 0744412614
Ndo raha ya kuwa na wasomi
We made it
Kabudi kweli umenifurahiaha
tuna wabunge wengi hawana uelewa kabisa wa katiba, safi Jpm kutuletea wasomi humu, sio porojo
paramagamba anatisha kuna wabunge wanasheria walikuwa wnapotosha uma
Sababu ya madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!
Umenifundisha kitu pro.Kabudi
Uko vizur professor
Naonaga unaongea points sana sijui ni nini adi naisi unazungumza ukwel mm sio mwana CCM
"Don't dare me we spoke when the law was law and the president was the president ( Mwl Julius Nyerere)."
Baba kiukweli unaimudu nafasi uliyopewa
"Ibara ya 8 ya katiba ya URT wananchi ndio mamlaka ya nchi sio sisi wah wabunge"
Huyu jamaa yuko makini sana, uprofessa wake ni wa uhakika
Kwahiyo wengine sio wa uhakika?
Sage.
Napenda mashauri yko
Prof Kabudi anafaa kuwa makamu wa Rais wa Tz .
Msidhani Raisi ni binadamu mmoja anayetembea la hasha ! Raisi ni Taasisi imekaa vyema mno
Jamaa anatosha kua naibu rais wa tz
Zawad ya taifa prof palamagamba
Wape shule hao jamaa zetu!
Naelewa professor
Kwa wasomi hawa TANZANIA tunaenda mbere piga kazi pr.
Kabudi
Sasa waziri wa mambo ya nje ni nan kama huyu ni wa katiba na sheria tena !!!??
Hv haowabunge waupinzani huingia bungeni wakiwa wamelewa? Au ilimladi wapate posho?