Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 апр 2017
  • Bunge lilimepitisha mapendekezo ya mapato na matumizi ya wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2017/18 huku waziri mwenye dhamana Prof Palamagamba Kabudi akitumia muda mwingi kutoa somo la sharia bungeni.

Комментарии • 243

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 4 года назад +90

    Mbona sisikii "Taarifa Mheshimiwa Mwenyekiti" 😂😂😂😂 Watu wanaogopa kuumbuliwa na Professor🤣🤣🤣
    Kama unamkubali Professor Kabudi, Gonga like twende sawa!

    • @hajiramadhani2699
      @hajiramadhani2699 3 года назад

      Kawaida ya sheria za bunge waziri anapoongea mbunge haruhusiwi kutoa taarifa wala muongozo

    • @jacksonwillson4369
      @jacksonwillson4369 3 года назад

      😄😄😄😄😄😄

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 4 года назад +117

    Wanaofuatilia speech za Mh.Kabudi baada ya BBI Kenya tujuane.

    • @nicholasmaina7775
      @nicholasmaina7775 4 года назад +2

      Huyu waziri anafaa awe rais wa Africa mashariki he is a great Man I like him very much

    • @eng.lameckkagaali4814
      @eng.lameckkagaali4814 3 года назад

      Í

    • @isaacmboya1719
      @isaacmboya1719 3 года назад +1

      Isaac mboya naomba mungu anisaidiie kumuelewa professor kabudi

    • @isaacmboya1719
      @isaacmboya1719 3 года назад +1

      Watu kama kabudi walikuwa wapi

    • @isaacmboya1719
      @isaacmboya1719 3 года назад +1

      Kumbe shida ni uelewa wetu nikiwemo na mimi profferser unastahili heshima upewe aman ya moyo appreciate that we fight because we differ in our level of understanding proffer never give up tupo tayari kujifunza

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 7 лет назад +25

    Wanadhani kubaghazana ndio kushinda hoja au kuonekana kuwa umeongea. Ahsante sana Pro. Palamagamba. Longalonga za hovyo zinaweza kupungua na hawa watu kuheshimiana.

  • @romanstephen4101
    @romanstephen4101 5 лет назад +49

    Huyu Prof. Namkubali sana, ni moja kati ya watu muhimu sana kwa taifa

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 6 лет назад +32

    Nimejiona niko darasani uko vizuri mimi nikati ya watu nisiopenda wanaoongea kwa sauti bali HOJA na WELEDI Mzee uko vizuri....

  • @andreajeremia436
    @andreajeremia436 5 лет назад +10

    Yaani Prof Kabudi ni kichwa kweli kweli,ni mtu mwenye historia ya nchi hii ya ndani sana,na anayethubutu kuisema

  • @nicholasmaina7775
    @nicholasmaina7775 4 года назад +9

    Tanzania you have a great Man very smart and a teacher he is a true leader

  • @levinekalikuela4916
    @levinekalikuela4916 4 года назад +10

    Thank you sooo much Professor. You are at the point. What is lacking in the country is poor education and Spirit of humour among the people. Educate and Train them. We shall be transformed. Congratulations for your brain.

  • @isaacmboya1719
    @isaacmboya1719 3 года назад +2

    Asante baba unastahil heshima kumbe shida, ni uelewa wetu nikiwemo na mimi I appreciate that we fight because we differ in the Level of understanding

  • @mkomatembo
    @mkomatembo 5 лет назад +5

    Safi sana Profesor Kabudi Waziri wa Sheria Wafungue macho wailewe Sheria na Unaifahamu Kinagaubaga. Upo Vizuri. Sana. Hata Wabunge Wa Upinzani Wanakuitika kwa Heshima na Adabu.

  • @augustinomariano1764
    @augustinomariano1764 7 лет назад +32

    hapa ndipo unapojua kuna wazee wengine wapo mle bungeni wakubwa miili tuu, yani vitu muhimu vinaongelewa na kutolewa elimu bado WANABEZA yani kuna wamama wanapiga tu kelele hapa ndipo unapojua kuna waheshimiwa wengine their level of appreciation of issues is DIMINISHING...

    • @emanuelmlowe6854
      @emanuelmlowe6854 5 лет назад

      augustino Mariano yuko vizuri sana

    • @emanuelmlowe6854
      @emanuelmlowe6854 5 лет назад +2

      augustino Mariano mimama mingine inapiga kelele kama wako bar ya mbege

  • @nyabittanervar1315
    @nyabittanervar1315 5 лет назад +24

    Ni kati ya Mawaziri bora wa Sheria waliowahi tokea Tanzania''' wengi wanasoma sharia ila kupambanua wengi hawewezi'''''

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад

    Good job MUHESHIMIWA we ❤u Dr. Yote ni mazuri na tunatoa shukrani nyingi tumekuelewa KIONGOZI. Thanks so much

  • @bobwanjala1401
    @bobwanjala1401 3 года назад +2

    Profesa Kabudi Palamagamba ni msomi na ana ustadi ya hali ya juu. Umakinifu wake haulinganishwi na yeyote. Mzee amekalia kigoda, mtii. Kongole kwako guru Kabudi. New York, Marekani tuko nawe mwalimu.

  • @godifalsafa6956
    @godifalsafa6956 4 года назад +6

    Huyu professor huwa anaongea kwa KUWAFUNDISHA HAKIKA NI PROFESSOR 🔥🔥🔥🔥

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 3 года назад +4

    Hivi Ni vichwa vichache vilivobaki Mungu akulinde vema

  • @samwelmaburi3522
    @samwelmaburi3522 4 года назад +5

    Tanzania one kabudi bigup sanaa!!!.

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 5 лет назад +4

    Mungu Akubariki kwa somo ulilosaidia Wabunge siku hii, Mimi nimekuwa muumini wa kukufuatilia speech zako I guess utakujakuwa zaidi ya Msaada kwa nchi yetu, Heshima kwako Kiongozi.

  • @nkyabosi4827
    @nkyabosi4827 4 года назад +7

    Damn he’s a true professor

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 3 года назад +2

    I salute you A ''Cardinal Professor''

  • @barryryoba1489
    @barryryoba1489 4 года назад +1

    Asante Sana RAISI WANGU NDUGU MAGUFULI Kwa Kumuona Huyu Prof Kabudi Na Kumteua Kua Mmoja Wa Mawaziri Ktk Serikali Yako.

  • @kamejathegreat689
    @kamejathegreat689 6 лет назад +6

    aiseee,,waziri kabudi uko makini, vizuri sana

  • @jeremiahagrrey1147
    @jeremiahagrrey1147 3 года назад +3

    MAY GOD PROTECT YOU OUR FUTURE MAGUFULI AMEN .

  • @josephkaimenyi4613
    @josephkaimenyi4613 15 часов назад

    Uyu proffesor anafaa akue Rais wa tanzania

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 4 года назад +2

    Heshima kwako Prof. Unastahili nafasi hiyo uliyonayo. Mungu akupiganie

  • @isaacbhudoma8750
    @isaacbhudoma8750 3 года назад +5

    The living encyclopedia 😘😘

  • @josephkafumu3006
    @josephkafumu3006 Год назад

    Daaaa nakukubali sana mzeee wangu mungu akupe maisha malefu tuendelee kujifunza mambo mengi toka kwako

  • @mgosimungkwanzmsambaa2492
    @mgosimungkwanzmsambaa2492 2 года назад

    Kwakweli ktkt mawazili wote nnaowakubali plo kabudi nakukubali san wew nizaid ya geneaz asante san mungu akubaliki san ktk safali ya maisha yako. Mungu ibaliki tanzania mungu wabaliki viongozi wetu

  • @philipobenson1410
    @philipobenson1410 4 года назад +15

    Kabudi ni jembe sana, nachompenda huyu mzee ni kwamba huwa anatoa elimu kwanza ndo naenda kwenye hoja.

  • @nuhubalandya9164
    @nuhubalandya9164 5 лет назад +4

    Mzee uko vzr sana Leo nimekuelewa.

  • @hassanhasano6201
    @hassanhasano6201 6 лет назад +7

    Safi professor wape elimu waelewe

  • @frankmusa9254
    @frankmusa9254 5 лет назад +2

    vizuri sana mhe.prof palamagamba kabudi kwa ufafanuzi mzuri .

  • @allymllanzi4245
    @allymllanzi4245 6 лет назад +12

    Natamani siku moja nikutane na pro kabudi

  • @apostlelukumay1856
    @apostlelukumay1856 3 года назад

    Ahsante Sana Mh; Prof Kabudi kwa elimu teule

  • @mikelmasanja2522
    @mikelmasanja2522 5 лет назад +10

    Halima mdee kama namuona vile alivyonywea kisura kimekuwa kidogo kama piritoni huyo ndiye professor wa Sheria na mwalimu wako tulia ujifunze usiwe unapiga kelele tu.

  • @jumamavind7713
    @jumamavind7713 3 года назад +1

    Profesa Kabudi nijembe jingine la watanzania,tumtumie vizuri

  • @sabihimngetuka6971
    @sabihimngetuka6971 6 лет назад +15

    Ukiona kimya vitu vinaingia

  • @mariethaawaki3008
    @mariethaawaki3008 7 лет назад +10

    sina la kuongeza,heshima kwako mzee tunakuombea na uendelee kutuelimisha

  • @deogratiuswilson8994
    @deogratiuswilson8994 7 лет назад +20

    Tunahitaji watu kama hawa bungeni, sio vinginevyo.

    • @majurakiboga3430
      @majurakiboga3430 7 лет назад +1

      Deogratius Wilson broo inabid aserch wengine tena ktk profession zingne ili kila wizara kuwe na kichwa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 26 дней назад

    Kama ibara ya 8 ya katiba ya URT inaheshimiwa watekelezewe matakwa ya katiba ya umma ( katiba watakayoshiriki wote kuitunga na kuipitisha kwa umoja wao). Maneno huumba. Tuombe Mungu Mh Prof uyaone ungali hai.

  • @franceyaraby4342
    @franceyaraby4342 3 года назад

    Much respect my lecture in RUclips

  • @frankmusa808
    @frankmusa808 6 месяцев назад +1

    Taarifa mweshimiwa

  • @phillipianboy9069
    @phillipianboy9069 4 года назад +5

    Kutoka kenya mpaka bungeni nimetokea kumkubali sana huyu prof hatare

  • @davidmrisho7588
    @davidmrisho7588 2 года назад

    Huyu mwamba mungu ampe maisha maref anafaida kubwa kwa nnchi yetu

  • @andrewndambuki2207
    @andrewndambuki2207 4 года назад +2

    Great legal mind

  • @ConrardSondas
    @ConrardSondas 4 года назад +2

    Profesa uko vizuri

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo5354 4 года назад +2

    Daah nondo nzuur saan hasa kwa walimu wa uraia,civics na general study

  • @paulotarimo206
    @paulotarimo206 3 года назад +2

    N kiongozi mzuri Sana

  • @khalidawadh9352
    @khalidawadh9352 2 года назад

    Hongera pro kwa lecture

  • @ConfusedDaisies-rb5
    @ConfusedDaisies-rb5 3 месяца назад

    Safi sana prof

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 5 лет назад +6

    Kabudi unajua

  • @hasionshekiondo6680
    @hasionshekiondo6680 4 года назад +4

    prof kabud ni mtu mwenye hekma zake na mtu anaefanya kitu ambacho anakitambua ila kuna wengine humoo acha tukae kimya wanakaz ya kushangilia na kupiga makosi alafu ni 0 tu

  • @shedeck8974
    @shedeck8974 3 года назад +2

    Huyu jamaa anajua aisee...

  • @vstvst3135
    @vstvst3135 3 года назад +1

    Kabudi for president.

  • @robertmwaipaja4794
    @robertmwaipaja4794 Год назад

    Hongeraxanaprof.kabundi

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 4 года назад +2

    Jamaa somi sana, limeenda shule
    Anafaa kuwa kiongzi Tanzania!

  • @meetmyteacher6617
    @meetmyteacher6617 6 лет назад +15

    Tanzania inaelekea mahala pazuri

  • @emanueljoshua9393
    @emanueljoshua9393 4 года назад +6

    Aaah muzee wewe material

  • @benochengele2296
    @benochengele2296 4 года назад +4

    You were there When the Law was Law and when the President was President!

  • @abdillahkhamis2059
    @abdillahkhamis2059 2 года назад

    Nakubali kazi professor wewe ni mtu mahimu cn katika taifa letu

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 4 года назад +8

    huyu ni rais ajae

  • @richardkamenya3228
    @richardkamenya3228 6 лет назад +3

    Ili kuweza kufukikua hatua yoyote ile ya mafanikio ni muhimu kufahamu kanuni au sheria za asili zinazotawala matokeo unayotarajia na kufahamu historian ya jambo lolote ni muhumili mkuu was kujenga hoja zenye mashiko tujenge tabia yakusoma ili kujenga hoja zenye mashiko Big up My Role Model Pro Kabudi

  • @thefeedstv9762
    @thefeedstv9762 3 года назад +2

    we spoke when the law was low and when the president was president

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 5 лет назад +3

    Professor

  • @chia9963
    @chia9963 7 лет назад +21

    hiki nacho nikichwa

  • @ahmedjamal5084
    @ahmedjamal5084 6 лет назад +11

    Prf nakuheshim saaaaaaaana hii hotuba nairudia nakurudia umetoa elimu kubwa mno

  • @mariethaawaki3008
    @mariethaawaki3008 7 лет назад +12

    uprofesor wako ni wa halali.

  • @masanjemuyenjwa2434
    @masanjemuyenjwa2434 5 лет назад +6

    The next president that i wish to be

  • @kiwisesenior4273
    @kiwisesenior4273 6 лет назад +8

    uko vozuri saana waziri

  • @killianwambura9584
    @killianwambura9584 4 года назад

    Hongera pro Kabudi

  • @ufunuoeliya7868
    @ufunuoeliya7868 5 лет назад +8

    jamaaa Kichwa duu

  • @busegamediatanzania
    @busegamediatanzania 4 года назад +3

    Embu sema Palamagamba Kabudi

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 года назад +3

    Nimerudi hapa baada ya kuona huyu ndo anafaa kuwa makamu wa raisi Tanzania baada ya jpm kulala.

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole9489 7 лет назад +14

    kubaghazana.........kabudi oyeeeeeeee

    • @majurakiboga3430
      @majurakiboga3430 7 лет назад

      Tigahwa Mugongo lissu na wanasheria uchwara vichwa chini

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 5 лет назад +6

    Wabunge vilaza wanatumia madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!

  • @nkyabosi4827
    @nkyabosi4827 4 года назад +4

    Yani mpaka spika anatabasamu hi ni lecture kweli

  • @tonynuru435
    @tonynuru435 4 года назад +5

    NOW NDO NIMEPATA JIBU KWANN MUUNDO WA BENDERA YETU YA TAIFA INAFANANA NA MUUNDO WA NCHI YA TRINIDAD AND TOBAGO 🇹🇹🇹🇹 !!

  • @florafilbert9817
    @florafilbert9817 4 года назад +6

    Ndo raha ya kuwa na wasomi

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 4 года назад +1

    We made it

  • @eastafricabrokerkiller8028
    @eastafricabrokerkiller8028 3 года назад +1

    Kabudi kweli umenifurahiaha

  • @mako331
    @mako331 7 лет назад +9

    tuna wabunge wengi hawana uelewa kabisa wa katiba, safi Jpm kutuletea wasomi humu, sio porojo

  • @barakangogo7391
    @barakangogo7391 7 лет назад +11

    paramagamba anatisha kuna wabunge wanasheria walikuwa wnapotosha uma

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 лет назад

      Sababu ya madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!

  • @michaelmathew8309
    @michaelmathew8309 5 лет назад +2

    Umenifundisha kitu pro.Kabudi

  • @aboubakarykipingu3362
    @aboubakarykipingu3362 4 года назад

    Uko vizur professor

  • @romeraphael6472
    @romeraphael6472 5 лет назад +3

    Naonaga unaongea points sana sijui ni nini adi naisi unazungumza ukwel mm sio mwana CCM

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 26 дней назад

    "Don't dare me we spoke when the law was law and the president was the president ( Mwl Julius Nyerere)."

  • @lupakisyomsese8210
    @lupakisyomsese8210 6 лет назад +7

    Baba kiukweli unaimudu nafasi uliyopewa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 26 дней назад

    "Ibara ya 8 ya katiba ya URT wananchi ndio mamlaka ya nchi sio sisi wah wabunge"

  • @abdulkarimurassa3548
    @abdulkarimurassa3548 4 года назад +6

    Huyu jamaa yuko makini sana, uprofessa wake ni wa uhakika

  • @enterpreneur9738
    @enterpreneur9738 3 года назад

    Sage.

  • @simonkimani8498
    @simonkimani8498 3 года назад

    Napenda mashauri yko

  • @bellutbellut3049
    @bellutbellut3049 3 года назад +1

    Prof Kabudi anafaa kuwa makamu wa Rais wa Tz .

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 3 года назад +2

    Msidhani Raisi ni binadamu mmoja anayetembea la hasha ! Raisi ni Taasisi imekaa vyema mno

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 3 года назад +3

    Jamaa anatosha kua naibu rais wa tz

  • @schoolboy1614
    @schoolboy1614 4 года назад +2

    Zawad ya taifa prof palamagamba

  • @jumadema7646
    @jumadema7646 4 года назад +5

    Wape shule hao jamaa zetu!

  • @henrickchambilo4806
    @henrickchambilo4806 5 лет назад +4

    Naelewa professor

  • @gabrielmeshack7876
    @gabrielmeshack7876 5 лет назад +1

    Kwa wasomi hawa TANZANIA tunaenda mbere piga kazi pr.

  • @harunilibangite7205
    @harunilibangite7205 3 года назад +1

    Sasa waziri wa mambo ya nje ni nan kama huyu ni wa katiba na sheria tena !!!??

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu4457 3 года назад +1

    Hv haowabunge waupinzani huingia bungeni wakiwa wamelewa? Au ilimladi wapate posho?