DAKIKA 20 ZA PROF KABUDI, WABUNGE WAKIKOSOA KAMPENI YA MAKONDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 80

  • @gideon546
    @gideon546 Год назад +3

    🇹🇿 👉 PROFESSOR KABUDI amesema ukweli na Ukweli Mtupu. So Help me "GOD".🙏🙏🙏
    👉PROFESSOR KABUDI HOYEEEEEEEE👈👍

  • @hiralyaugustino
    @hiralyaugustino 4 месяца назад +1

    nakupenda sana mwanasiasa nguli❤❤❤❤❤ unaakili sana

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 Год назад +1

    Good speech from bright minister,kenya leaders should emulate this kind of leadership

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 Год назад +1

    Bright mind, keep up,mr.waziri

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid7910 3 года назад +1

    Nabii Suleiman ati alikuwa Mwanaharamu .Sisi Waislamu
    Imani yetu Mitume ya Mungu wote wako safi.
    Mamake Suleiman akiitwa Saba na Babake Nabii Dauud

  • @MrKondela
    @MrKondela 5 лет назад +6

    Kabidi mzee wangu nakupa salute

  • @fredrickryoba2452
    @fredrickryoba2452 6 лет назад +5

    For the first time I second you prof

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 Год назад +3

    Mimi ni mkenya lakini napenda uongozi wa Tanzania, Mungu amewajalia na viongozi bora,asante rais Nyerere kwa kuweka msingi mwema

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 5 месяцев назад

    Wanaharamu ni haraamu.
    Pwani kula kwa pamoja ni fasheni.
    Selemani hakuwa mtoto wa haraamu.
    Mungu hapendi zinaa.

  • @melchiadgodwine9192
    @melchiadgodwine9192 4 года назад +8

    Duuu kamanda Kabudi ni kiboko miaka Mia huyu jamaa ni msomi mwenye faida

  • @oslominiconcerts3538
    @oslominiconcerts3538 4 года назад +4

    Prof Kabudi, the next President of Tanzania

  • @tibaijukaolevarez6257
    @tibaijukaolevarez6257 3 года назад

    Daaa hili ni jembe jingine. Heshima kwa usomi na uelewa wako mh. Kabudi

  • @emmanuelsimon545
    @emmanuelsimon545 4 года назад +3

    Kuna watoto wengi wametelekezwa jaman tuache ushabiki na kukwepa majukumu ya kulea

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад

    ASANTE SANAAA MUHESHIMIWA YOTE USEMAYOOO NI HAKI. UBALIKIWE BABA KWERI KABISA DAAAA

  • @mkomatembo
    @mkomatembo 6 лет назад +3

    Professor Kabudi Waziri Wa Katiba na Sheria Nimekuvulia kofia . Ni Kiboko yao.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 6 лет назад +12

    Makonda kawapiga lazima mchukie

  • @safiasuleiman8472
    @safiasuleiman8472 5 лет назад +4

    Nyie we nye we hamna baba Kumbe, mnanijua

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 3 года назад

      Hawana baba? Duh! Wakikujaje duniani😂😂

  • @josephkafumu3006
    @josephkafumu3006 2 года назад +1

    We ni kichwa hatarii sana

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 Год назад

    Next Tanzania president after mama suluhu

  • @clt9914
    @clt9914 6 лет назад +4

    Tuna tatizo ktk jamii! Ktk kiwango hiki cha uongozi, tulistahili kuzungumzia tatizo la jamii badala ya kupigania heshima ya bunge na heshima ya wabunge bila kujali udhaifu wao na tabia zao. Makonda yuko sahihi. Ni njia ya kupambana na wasiojitambua ktk jamii.

  • @labanhezekiel5627
    @labanhezekiel5627 3 года назад +1

    Wale tulio pwmoja kwenye mara nying watoto wa nje ya ndoa hupewa baracka tujuane mapema

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 4 месяца назад

    Watoto ni mali ya taifa lazima walindwe. Hili Watanzania lazima tuungane sote kulinda watoto wa taifa hili.

  • @yudamwinami6011
    @yudamwinami6011 5 лет назад +2

    Kwa asilimia kubwa wanawake kutoa. Mimba kutupa na kutelekeza watoto chanzo wanaume kutokwenda sawa na wapenzi wao

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 3 года назад

    My next president haki...

  • @paulolaizet5175
    @paulolaizet5175 4 года назад +2

    Haaaaaaaaaaaaaaaa waziri ummy utavunja meza

  • @emilyanamnyakongo4378
    @emilyanamnyakongo4378 6 лет назад +2

    Kama mnaona aibu kwa nini ulienda kufanya nje wakati una mke. Mbona hata mtoto ana haki ya kujua bana yake. Wewe unataka mtoto akuwe halafu akutafute nani anakukuzia huyo mtoto. Na kwa nini hukutumia kondomu kama ulikuwa hutaki mtoto tena ndo nyinyi ukiambiwa utumie kondomu unasema siyo tamu hainogi unataka nyama kwa nyama au unasema mimi niko salama. Kwani hamjui kondomu zinazuia mimba zisizo ma mpango?

  • @emanuelshayayi54
    @emanuelshayayi54 5 лет назад +4

    Wizara ilikuwa wapi kushughulikia.Ujue kwamba wizara kunaulasimu.

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry7101 6 лет назад +3

    Nadhani we una matatizo ya kuchepuka tunataka mambo ya Bungeni mwako

  • @suphiapatson3541
    @suphiapatson3541 3 года назад

    Mmm wabunge aibu kubwa punguzeni zinaaa.

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 5 месяцев назад

    Wanaharamu wanawadhuru wazazi wao.

  • @adrianignas5119
    @adrianignas5119 4 года назад

    Unaongeaga pumba tu chalii wakati mahenge Sasa hivi watu tunashindwa kurudi kwetu kisa Barbara.
    Heri kuchagua upinzani tu maana leo Kigoma Hii ya Zitto imekuwa tofauti Sana.
    Wewe unaombea bunge badala ya Julia na Barbara za mahenge
    Dawa iko jikoni kaka mkuu

  • @abdulngondo8195
    @abdulngondo8195 3 года назад +1

    Kweli wamekuleta sehemu yako.tunaomba bunge liwe raiv.maana litakua tam

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 5 лет назад +3

    Kama ulitembea nje na unao watoto nje na umewasaliti,unalo

  • @naftalimhemi4163
    @naftalimhemi4163 Год назад

    Social fathers lazima watapinga tu

  • @tabusaidmayuhana7209
    @tabusaidmayuhana7209 3 года назад +2

    Clip hii isambazwe kote mtandaoni ili Dai aisome na aione vizuri!!!

  • @charlesnassary6689
    @charlesnassary6689 4 года назад +1

    bonge la waziri

  • @issakhamis5654
    @issakhamis5654 5 лет назад

    Ndiyo mlivyo mambo yakiwagusa mnatafuta pakutokea.makonda chapa kazi.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад

    Kwani kuwa kiongozi aliyetumikia serikali ndio kigezo Cha usafi ? Me can't take it .

  • @mangsonsamson7712
    @mangsonsamson7712 5 лет назад +1

    Huyu makonda IPO cku ataleta machafuko mbona anakurupuka

  • @georgelukuba7696
    @georgelukuba7696 5 лет назад +3

    NAMKUBALI SANA KABUDI ILA KATIKA HILI NASIMAMA NA MAKONDA

  • @omaryrashid1873
    @omaryrashid1873 4 года назад

    Watoto wa nje

  • @isackmwaluko113
    @isackmwaluko113 4 года назад +2

    Kila mtoto ana haki ya kuita baba..makonda yuko vizuri kabisa...nyie mna chuki na makonda kwa sababu anafanya mambo kuwazidi.gere tu..mtu akinyimwa tendo la ndoa anashitaki mahakamani mbona hamsemagi udharirishwaji!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?

  • @sofiachilunzo9268
    @sofiachilunzo9268 4 года назад

    Sio makonda anawataja niwanawake mliokua mnastalehe nao.

  • @makeresiapawa7947
    @makeresiapawa7947 5 лет назад +1

    Wachepukaji wakubwa hawa on

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 6 лет назад +13

    Hivi unaenda kujipanua mpaka unazaa unategemea nini? Mwanaume kakutaka kwa muda tuu wewe unataka kuweka kambi kabisa yani sisi wanawake hatufikiriagi!!!

  • @safiasuleiman8472
    @safiasuleiman8472 5 лет назад +1

    Professor zimwi

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 3 года назад

    Zuluma. Ina mwisho wake

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 6 лет назад +2

    Hivi kweli makonda alikosea kweli

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 4 года назад

    Tumekua kuku au

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Год назад

    Udhalilishajigani????

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 3 года назад

    Piya na wewe ndungai unamwidho wako.

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 лет назад +1

    Mkifanya mapenzi na wanawake na kuwapa mimba na kusepa
    Wote mnamuoinga hiyo hoja mumewambia

  • @gabrielmugabo9223
    @gabrielmugabo9223 6 лет назад +2

    Mambo yanayofanywa na MAKONDA nakushangiliwa ni kwasababu yako vizuri. Kama ulimlaghai mwanamke ili utimize haja zako ndio ujue kwamba sasa kaja mkombozi wa walaghaiwa

    • @jjkimaro3922
      @jjkimaro3922 6 лет назад

      Gabriel Mugabo Akili zko zinafanana na makonda kwanini waliweka ustawi wa jamii ?

    • @gabrielmugabo9223
      @gabrielmugabo9223 6 лет назад

      JJ Kimaro wala haujakosea,kwasababu huwa hatuogopi maneno ya wavimba macho kama wewe

  • @yusuphmkapa5302
    @yusuphmkapa5302 4 года назад

    😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

  • @gracethomas683
    @gracethomas683 6 лет назад +5

    Palamagamba nimeanza kumuelewa.....

  • @gabrielmugabo9223
    @gabrielmugabo9223 6 лет назад

    Kwani walilazimishwa au walijitokeza baada ya tangazo?

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 4 года назад

    Ili lizee Kuna saa a aropokwa 🙄

  • @safiasuleiman8472
    @safiasuleiman8472 5 лет назад +4

    Kafiri Mkubwa unakufuru suleiman gani aliyekuwa mwana wa nje ya ndoa Mshenzi mkubwa

    • @muhammadsalim7936
      @muhammadsalim7936 5 лет назад +2

      Kama hujazaa harami wewe basi umezalowa haramu
      Makonda kasaidia wajane kwenye zoezi hilo

    • @willemwacha1349
      @willemwacha1349 4 года назад +1

      Mh Makonda chapa kazi

    • @Nundu2000
      @Nundu2000 4 года назад +2

      Alizaliwa nje yuko sahihi

    • @benedicthaule3303
      @benedicthaule3303 3 года назад

      Hhhh

    • @crausmasala8572
      @crausmasala8572 3 года назад +1

      Mpuuzi tu huyu kuandika kafiri unamaanisha unaudini ambao ni upuuzi

  • @yakomoifakala5504
    @yakomoifakala5504 6 лет назад +1

    achen uboya km ulizaaa ukasepa usitajwe

  • @PhilipoDamini
    @PhilipoDamini Месяц назад +1

    Kabudii

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Год назад

    Udhalilishajigani????

  • @boniphaceodhiambo-s1i
    @boniphaceodhiambo-s1i 6 месяцев назад

    OK nikweli

  • @nsodyaphilimon9153
    @nsodyaphilimon9153 5 лет назад +4

    Kwan wabunge nyote mnachepukana??? Mbona mapovu jaman achen makonda afanye yake na prof Kabudi mie nmemuelewa sana.

  • @omaryrashid1873
    @omaryrashid1873 4 года назад +1

    Watoto wa nje