Zitto Kabwe afunguka Bungeni “Mnatunga sheria za kuwanyonga wenyewe?”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Zitto Kabwe amekosoa mapendekezo ya Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 uliowasilishwa Bungeni leo January 29, 2019 na Serikali na kwamba vipengele vingi vilivyomo ndani vitakuja kuwaumiza hata hao wanaoipendekeza sasa.

Комментарии • 141

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 5 лет назад +40

    Yaan kama unamkubali zitto kabwe acha majungu gonga like yako hapa

  • @thebaqiyyatullahionlinetv853
    @thebaqiyyatullahionlinetv853 5 лет назад +32

    Nakusikiliza MH: Zitto kabwe, nakumbuka kauli ya Kabudi kua sio kila alie bungeni ni mwanasiasa, ila wewe ni mbunge mwanasiasa mkomavu unaakili Sana, unalipenda taifa lako
    mie ni mwana ccm kindakindaki ila nakupongeza Sana katika hili

    • @brysonsabun4657
      @brysonsabun4657 5 лет назад

      Mungu amsaidie tuu!!

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 5 лет назад

      thebaqiyyatullahi Online TV Wewe ni mwendawazimu ndio maana unamwogopa mjinga

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 5 лет назад +18

    Zitto ni moja ya hazina ya nchi hii,Serikali itambue hilo,tena imuenzi,hii ni lulu ya nchi,watu kama hawa katika nchi zilizo endelea,wanaenziwa,nasema haya nikiwa mimi si mwanasiasa,na si mpenzi wa chama chochote,ni mzalendo tu wa taifa hili,Mungu ibariki Tanzania.

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 5 лет назад

      Saad Mohammed mbona husemi ruzuku inavyoliwa

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 5 лет назад

      Imma kama unataka mafanikio yako binafsi,basi tizama makosa yako,bila ya kujipendelea,kwani ikiwa utajipendelea bila kutizama uhalisia,siku zote ukijipendele utatengeneza matatizo ama mapya au ya zamani kwa kuyarudia,na yatakuathiri wewe mwenyewe kizazi chako cha sasa au kijacho,uungwana na hekima na kutendeana haki,ni baraka M Mungu,narudia tena kwa kusema sina upendeleo,binaadamu sote hatuko sawa,aliyoyazungumza zitto,ni maneno yenye uzalendo,yaliyokosa chuki,na yana kila dalili ya kulitakia mema taifa hili,Mungu ibariki Tanzania.

    • @johnisrael1968
      @johnisrael1968 5 лет назад

      Saad Mohammed wewe unajielewa huo ndo ukweli

  • @karimujuma7784
    @karimujuma7784 5 лет назад +15

    Mbatia ,nape,bashe,katani ,zito mdee ,bulaya mungu awape nguvu zaid

  • @ndaukanjello5274
    @ndaukanjello5274 5 лет назад +20

    Mimi ni mwana ccm Ila kwa mswada huu usiungi mkono kwasababu tunaonekana km atujiamini maana inaonekana vinalengwa vyama vya upinzani sasa siyo poa.

    • @elphickdesamuel4914
      @elphickdesamuel4914 5 лет назад

      Nimekuheshimu,,Nzi akituria kaka anatengeneza asali

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 5 лет назад +1

      Ndauka Njello unadanganya wewe hana mwana Ccm mjinga

    • @nurumvungi2210
      @nurumvungi2210 5 лет назад +1

      Kama ulichosema kimetoka moyoni basi wewe ni mzalendo...maana tusijitetee kwa vyama vyetu wakati tunaiangusha nchi...ni ujinga...na muswada huu ni hatari kwa vizazi vijavyo..

  • @daudikassimu4574
    @daudikassimu4574 5 лет назад +4

    AKILI KUBWA☝👏 ZZK hakika wew ni mbunge wa tanzania nzima..

  • @mohamedshabani2263
    @mohamedshabani2263 5 лет назад +1

    spika dungai anamkubali sana zito kabwa nandomaana keherehere mumoja anataka kutupotosha katikati ya mda nzuri akamugomeya big up sana spika.

  • @erastomajaliwa7629
    @erastomajaliwa7629 5 лет назад +12

    Wasio kuelewa Zitto wenye erimu kama yangu ila wenye uwelewa wanakwelawa bilashaka

    • @nestoryabdallah8144
      @nestoryabdallah8144 5 лет назад

      Saf sana

    • @msyangirichard8309
      @msyangirichard8309 5 лет назад

      Erasto majaliwa unaambiwa msajili anapewa mamlaka ya kukifta chama chochote kwa mawazo yake wakati katika nchi ambazo mswaada huo umekopiwa wao wana tribunal ambapo itakuwepo kamati ya kuchungza ili kujiridhisha na maazimio ya msajili juu ya chama husika na itaunga mkono au kushauri vinginevyo sasa naamin umeelewa

  • @hajimakarabai4700
    @hajimakarabai4700 5 лет назад +5

    Dar yani we jamaaa unaakili nyingi sana upo vizur

  • @samwelstanley261
    @samwelstanley261 5 лет назад +5

    Kati ya vichwa makini ambavyo sijawahi kuvichoka hata siku moja ni hichi😎

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 5 лет назад +4

    Wamechanganikiwa CCM hawapo kabisa na hivi sasa wanaumbuka hawana cha msingi wamegonga, Bundi limewaganda hawajuwi wapi pa kuingilia na wapiu pakutokea.

  • @wastambuli8039
    @wastambuli8039 5 лет назад

    Ushauri mzuri sana usiojali itikadi

  • @origenlutego6222
    @origenlutego6222 5 лет назад +7

    Hakika ubarikiwe sn kwa mchango wenye akili

  • @samsonmwankosole375
    @samsonmwankosole375 5 лет назад +2

    Asante Zitto Kabwe

  • @jubilatesamweli2874
    @jubilatesamweli2874 5 лет назад +3

    Hawawezi elewa kaka haya ni mambo yenye impact mbaya sana kwa Watz baadae!!!

  • @ngalawekikohingalawekikohi4768
    @ngalawekikohingalawekikohi4768 5 лет назад +20

    Point zto unazungumz lakn mm ninajiuliza iv bila upinzani kweli hii nchi ingekua nahali gan mnao ukataa upinzan mkapimwe mkojo

    • @mrambajulius7819
      @mrambajulius7819 5 лет назад

      Mimi niseme tu tukikaa na CCM bila kuwa na wapinzani tutafanywa watumwa. Kila kitu kitakufa ikiwepo elimu, Afya, Viwanda, Kilimo nk. CCM wabunge wake ni Mazuzu kabisa. Wakishapata mishahara yao kila kitu ndiyooooooo.

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 5 лет назад

      ngalawekikohi ngalawekikohi Wewe hujui hata ulichochangia zaid ya kumsifia mhalifu zitto. Mbona na hamsemi namna wanavyokula ruzuku

    • @paschalnghomba4671
      @paschalnghomba4671 5 лет назад

      ngalawekikohi ngalawekikohi Upo sahihi sana

    • @enockbutane6388
      @enockbutane6388 5 лет назад

      Exactly

    • @bungainnosent9061
      @bungainnosent9061 4 года назад +1

      @@mrambajulius7819 hilokweri hata mimi naungana na wewe kwamfano wanachokifanya kwa zito sio kwer anachosema zitto ni chakwer mh supika wa bunge asiweke fitina kwa zitto??

  • @NajmahassanMunezero
    @NajmahassanMunezero 5 лет назад

    ALLAH Akubariki na Akulinde jembe langu nakukubali sana maana wewe ni mbuge mfano Tanzania nzima badae tutasikia Mazwazwa tanaitisha waandishi wa habari ili kukuchafua na kuhoji uraia wako

  • @ezapesambili2902
    @ezapesambili2902 5 лет назад +3

    Machine ya kigoma hiyoooo

  • @elinazasendoro9951
    @elinazasendoro9951 5 лет назад +5

    Napenda kuwa opposition leader cos unakuwa na uhuru wa mawazo. Akili kubwa

  • @philiposam6684
    @philiposam6684 5 лет назад +3

    Zito akili zako zinachaji sana na point zenye weredi wa hali ya juu sana asie kuerewa basi.

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад +5

    Msajili wa ccm,upinzani mkimkubali mmekwisha

  • @paschalnghomba4671
    @paschalnghomba4671 5 лет назад +2

    Mh. Zitto mbona unaonge vtu vng vya maana lkn Serikali ya CCM hata hawashituki???? Hakka Chumvi,,Khanga,,,Kofia,,na Tisheti wanazohongwa RAIA wenye uelewa mdogo vitatudidimiza

  • @smstore5535
    @smstore5535 5 лет назад +1

    bright person

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад +6

    Wabunge wa upinzani ni wazuri pia spika katulia vizuri sasa miongozo ya kijinga tupa kule

  • @alwysalehmohamedalammary3507
    @alwysalehmohamedalammary3507 5 лет назад +1

    GOOD POINT ZITTO....

  • @mussakizingiti3552
    @mussakizingiti3552 5 лет назад +3

    zitto ni kama mwalim kashasha abakie hivyohivyo kwenye uchambuzi siku wakimpa timu anaharibu kila kitu😂😂

  • @bakarijumabakarijuma946
    @bakarijumabakarijuma946 5 лет назад +1

    Zitto anatisha bwana

  • @BenCheck-jx9lo
    @BenCheck-jx9lo 5 лет назад

    Safi sana Speaker

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 лет назад +2

    Ccm inaturudisha kwenye zama za Giza tunarudi miaka 60 nyuma

  • @chiefmk835
    @chiefmk835 5 лет назад +1

    unajua kuchambua lakini tatizo lako unakua kama msaliti saa nyingine.

    • @wakatigaudens3884
      @wakatigaudens3884 4 года назад

      Tena usaliti wake ndo tunauona leo kwenye world Bank

  • @awaziernest8000
    @awaziernest8000 5 лет назад +3

    Zitto zitoo Zitoo

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 5 лет назад +10

    Huyu anafaa kuwa rais

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 5 лет назад +1

    Taarifa ya nini?? Kuna watu wanaboa kwelikweli, why don't you wait for your chance/session. Alichokua akiongea hakiendani na taarifa ilokuwa itolewe immediately.

  • @geraldemmanuel210
    @geraldemmanuel210 5 лет назад

    Nakukubali sana Mh. Zitto

    • @sospeterkamala5481
      @sospeterkamala5481 5 лет назад +1

      Gerald Emmanuel Mh zito,mbowe,lissu kubnea mnyika msigwa na wengine kweli mnaona mbali can ndo maana hawawaelewi,asante

  • @amanihamidu9213
    @amanihamidu9213 4 года назад

    Zitto kabeba vyama vyote ♥️♥️♥️

  • @juriasangelo2110
    @juriasangelo2110 5 лет назад +3

    Izi video kuna cku zitatazamwa tenaaa duuuh!!

  • @bonfasmtafyatumuombeemungu5959
    @bonfasmtafyatumuombeemungu5959 5 лет назад

    Mweshimiwa zito tumekuelewa sana

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 5 лет назад

    salute Mh. unatufundisha

  • @rosekweka9544
    @rosekweka9544 4 года назад

    Nnchi bila vyama vyangi akuna maendeleo yoyote hivyo Kama hawatakuwepo bac tumekwisha

  • @mataamiry6720
    @mataamiry6720 4 года назад

    Dawa ndo iyo ni kupita firishani

  • @eliceelly9067
    @eliceelly9067 5 лет назад +5

    Utoto wa kiutu Uzima unaimaliza Tanzania.Wabunge wa Ccm mjitafakari mnaipeleka nchi pabaya

  • @kamagetakama441
    @kamagetakama441 5 лет назад

    safi sana mh spika

  • @pascalprince4408
    @pascalprince4408 5 лет назад +1

    Million mbil

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 5 лет назад

    "..unapoweka sheria kuna jambo unataka kulitatua.." noted

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 5 лет назад

    Wanafikiri nchi ya kikundi cha watu special,

    • @ngurukatabory6861
      @ngurukatabory6861 5 лет назад

      Zitto God bless you. you are so strong ,kip it up man of the people

  • @khamisubwabwa5737
    @khamisubwabwa5737 4 года назад

    Mh zito zuberi kabwe wewe ndio rais wangu mimi unamaono mno sio kama ccm awapo wapo sana kama vile bashe ila kwa upande wa ccm ukiwa msema kweli unatulizwa

  • @anzurunimakala8416
    @anzurunimakala8416 5 лет назад

    Zitto siyo mbunge wa kigoma tu bali watanzania nzima

  • @abdallamsham1074
    @abdallamsham1074 2 года назад

    ccm wanajifanya kumtumiliya msajili wa vyama kuvifuta nyama kumbe chama chao ndiyo kinatakiwa kifutwe wananchi hawakitaki kifutwe hakifai hahahaha

  • @wastambuli8039
    @wastambuli8039 5 лет назад

    Akili nyingi

  • @hoseamgema9107
    @hoseamgema9107 5 лет назад

    Kwanini mpaka waende mwembeyanga badala ya kubaki Hai ...

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 5 лет назад

    Aiseee huyu jamaa nimuha mwenzangu nishida

  • @swedykarongo110
    @swedykarongo110 5 лет назад

    jembe kigoma tupambanenie mueshimiwa unaweza kaka.

  • @manganamanganamanganamanga7313
    @manganamanganamanganamanga7313 5 лет назад

    Sasa ivi hakuna uhulu kweri ivi zitto hakili unazo ,umesema tusilaumiane unamanisha unataka kwenda porini,unalijua hilo jambo likitokea utalimudu

  • @dicksonlusinde2830
    @dicksonlusinde2830 5 лет назад

    Yan taarifa zingine

  • @melklee5695
    @melklee5695 5 лет назад

    Wabunge Wa CCM wanataka kuwa mfukoni mwa Msajiri na mwenyekiti wao. Hivi Mnatunga Sheria Msajiri amfukuze kiongozi wa chama, au amkatae Mgombea au Mbunge, Je Rais akimtuma Msajili amuondoe mgombea ama Mbunge yoyote wa CCM Mbunge gani wa CCM ata baki ? Mbunge gani wa CCM atapona?

  • @bakarimashi8711
    @bakarimashi8711 5 лет назад

    Zitto mmoja ni wabunge 20 wa fisiem, na ninachokiamini wanamuelewa sana mh zitto lkn matumbo yao na chama chao ndio tatizo

  • @benjaminbatano3293
    @benjaminbatano3293 5 лет назад

    TANZANIA NINAKULILIA DAIMA UWE AMANI UKIHARIBIKA NITAKWENDA WAPI NA UZAO WANGU.

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 5 лет назад

    Zitto ni mjinga, marekebisho yanasema vyama visituhusiwe kuwa na Ulinzi siyo chadema tuu. Ndio maana ya marekebisho

    • @husseinabdulaziz7314
      @husseinabdulaziz7314 5 лет назад

      Imma Mlowe unaonekana ww ni mjinga zaidi na hujui ata kinachoongelewa

  • @SUPREMEDIGITAL
    @SUPREMEDIGITAL 5 лет назад

    Nimelia,Machozi yamenitoka hakika.

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 5 лет назад

    Ndio muache kutukana na kuropoka....

  • @officialmence7896
    @officialmence7896 5 лет назад

    Kwann tucmpe huyu mh kabwe nchi eti watanzania wenzangu,,,, gonga like tukubaliane

  • @omarysaid5407
    @omarysaid5407 5 лет назад

    na kuku bali ila wabunge wa ccm kazi yao ndio

  • @ethanuk9437
    @ethanuk9437 5 лет назад

    Democracy ya kujipendekeza kwa wazungu

  • @elymollel
    @elymollel 5 лет назад

    Kweli India ni wataalamu.. 😃

  • @melklee5695
    @melklee5695 5 лет назад

    Hivi Rais akimtuma Msajili amuondoe Mbunge yoyote wa CCM Mbunge gani wa CCM ata baki ? Mbunge gani wa CCM atapona ?

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 5 лет назад

    Hili bunge linahitaji wazalendo.

    • @jamesluke2446
      @jamesluke2446 5 лет назад

      Mbunge wa kihome hatariii sana gonga like hapa

  • @gabrielgodwin2576
    @gabrielgodwin2576 5 лет назад

    Yaan hii channel ni ya wasaliti

  • @claverygavana5244
    @claverygavana5244 5 лет назад

    Hivi hii nchi inaenda wap kama hamna elimu ya urai

  • @philimonindinadyo4843
    @philimonindinadyo4843 5 лет назад +1

    wewe ulikula mgebuka ukakuingia kwelikweli una akili nyingi sana

    • @deusipatrick9268
      @deusipatrick9268 4 года назад

      Tunamuomba mungu atuongezee Zittomwingine ili tuwlewe mengi

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 лет назад

    Ukishakuwa ccm akili zinahama

  • @leonardmwazembe6810
    @leonardmwazembe6810 5 лет назад

    Tuvumiliane

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 5 лет назад

    Unaongea ujinga kusajili was haimanishi hutaki kufutwa

  • @chiefmk835
    @chiefmk835 5 лет назад

    hizo takwim uchwara

  • @gabrielgodwin2576
    @gabrielgodwin2576 5 лет назад

    Ayo kasha nunuliwa nae, kuhujumu nchi, interview za Lema na Zitto hakosagi, ila facts zenye evidence za msiba hatokei, you are mad!

  • @amourajafari2814
    @amourajafari2814 5 лет назад

    genius👊👊

  • @kapingageorge7635
    @kapingageorge7635 5 лет назад

    Zito mtu makini

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 5 лет назад

    Mbona huongei mazuri?

  • @lucasabunuas4662
    @lucasabunuas4662 5 лет назад

    Hivi bunge haina vitu vya kujadili, mbona kama mnaleta vitu vya ajabu wakati kuna mambo makubw y kujadili jaman

  • @gabrielgodwin2576
    @gabrielgodwin2576 5 лет назад

    Wala Ruzuku za vyama safari hii mta iharisha! JPM hajawahi kufeli! kusoma Sayansi Raha

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 лет назад

    Ccm bila police,na tume ya uchaguzi hamna kitu ni kama mkate bila chai kwa wapinzani

  • @mbegesdigita5182
    @mbegesdigita5182 5 лет назад

    Hawazi kuelewa wajinga hao

  • @hajimakarabai4700
    @hajimakarabai4700 5 лет назад

    Spika upo vizur

  • @michaelkinga821
    @michaelkinga821 5 лет назад

    UONGO! kaka juu ya JARIBIO/MAJARIBIO

    • @kijokombao5345
      @kijokombao5345 5 лет назад

      Kuna vitu vi 2 navihisi kwako Kama ni mtanzania basi hujakua bado au siyo mtanzania maana Kama ni mtanzania then hujui unakua ni mbururaaaa fuatilia history ya nchi wewe

    • @emmanuelmnyonzi7177
      @emmanuelmnyonzi7177 5 лет назад

      msenge wewe unajua hujui chochote

    • @kijokombao5345
      @kijokombao5345 5 лет назад

      @@emmanuelmnyonzi7177 mimi msenge lakini we ndo umezidi sasa,maana hata kujielewa naona hujielewi

    • @kijokombao5345
      @kijokombao5345 5 лет назад +1

      @@emmanuelmnyonzi7177 na urudishe simu ya watu haraka,naona hata kuandika tu ni mtihani

    • @emmanuelmnyonzi7177
      @emmanuelmnyonzi7177 5 лет назад

      nyie ni mashabiki uchwara kabisaa wa kisiasa hamjui hata uhalisia, pumbavu wewe

  • @abedinegoelias2660
    @abedinegoelias2660 5 лет назад

    oyoooo wewe jembe

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 5 лет назад

    Parapanda italiaa parapanda

  • @eliankya3272
    @eliankya3272 5 лет назад +1

    Tuondolee umbea mapinduzi nifikra zako potofu

    • @hamisinjinjo1807
      @hamisinjinjo1807 5 лет назад

      Elia Nkya ww huna akili acha kujipendekeza vyeo vimeisha Lumumba yani kila kitu kujipendekeza nyinyi ndo mulikuwa munapongeza sheria ya kikokotoa cha wastaafu baadae mh.amefuta sheria hiyo munapongeza tena tumieni akili

    • @amryzubery1051
      @amryzubery1051 5 лет назад

      Elia Nkya ww nichoko najuwa ww niccm fara ww sikia hoja zawatu makini

  • @nujakaambari5599
    @nujakaambari5599 5 лет назад +3

    Acha porojo
    Ainisha kitu kipi ktk huo mswaada ni kibovu ili na sisi tusioelewa huo mswaada tuchuje maneno yako

    • @josephmtui7571
      @josephmtui7571 5 лет назад +2

      Nujaka Ambari unasilikizaga na nn ww

    • @nujakaambari5599
      @nujakaambari5599 5 лет назад +1

      Joseph Mtui
      Hakuna alichokiongea.
      Yeye ni hadithi za zamani na kutabili.

    • @TheLugiko
      @TheLugiko 5 лет назад +2

      Kweli we kilaza... kwa maelezo yote hayo hujasikia sehemu alizotaja vyenye nia uovu. Endelea kufikiri kwa kutumia makalio😆😆

    • @emmanuelgeorge2654
      @emmanuelgeorge2654 5 лет назад

      @@TheLugiko 😁😁😁😁

    • @meshackkwigize9848
      @meshackkwigize9848 4 года назад +1

      Kaka zito,ubarikiwe sana kwa maneno ya akili

  • @pascalmwendakaz7178
    @pascalmwendakaz7178 5 лет назад

    Kwaheli democracy na Tanzania

  • @jumafandey707
    @jumafandey707 5 лет назад

    Mwache aendelee nimeisikia! Yaani Tutakutana Mwisho ili Mmpe Wakati mgumu 2020 kwa Sera Zake

    • @geraldjoshua1555
      @geraldjoshua1555 5 лет назад

      Tutaburuzwa Kama mamburura komaeni jamani tunusulike

  • @calvinmorgan66
    @calvinmorgan66 5 лет назад

    Shukran Zizu

  • @evaristfuko9920
    @evaristfuko9920 5 лет назад

    Akiliiii kubwaziiii!!!!! Maneno kuntuuu