GWAJIMA AMUACHA HOI MAGUFULI KWA VICHEKO, BUNGE LALIPUKA KWA SHANGWE, "MBWA ACHA WABWEKE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 ноя 2020

Комментарии • 958

  • @dorcasdee1114
    @dorcasdee1114 3 года назад +14

    Bado sijaamini haupo tena Rais ni husuni sana😭😭😭😭😭🇰🇪poleni watanzania wote

  • @pambaquick8177
    @pambaquick8177 3 года назад +40

    Ishu ni kwamba...anaongea tuuu halafu hakosei, daah 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌hiki ni kipaji sio ujanja tu.

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 3 года назад +179

    JPM OYEEEE MIAKA 35 IKULU Nani kaona askofu gwajima kawashiwa maiki weka like hapa

    • @francischuwa259
      @francischuwa259 3 года назад +5

      Yaap Bishop Gwajima !!! Genuine appreciation to the Hon. President Jpm!! of the United Republic of Tanzania for his today's ia

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 3 года назад +3

      That's why I sang
      Tanzania yangu mp3
      ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html

    • @issakawaya8315
      @issakawaya8315 3 года назад +1

      Sijamuelewa

    • @koffilove2796
      @koffilove2796 3 года назад +1

      @@francischuwa259 ¹¹

    • @emanuelfissoo2015
      @emanuelfissoo2015 3 года назад +2

      Nimeona mzee

  • @sengeremaxleo9295
    @sengeremaxleo9295 3 года назад +62

    Very very prophetic words,,,,, gwaji boy is the best

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 3 года назад +89

    Nimempenda gwaji boy, kwenye ujinga anafanya ujinga sehemu serious anakuwa serious

  • @thomasdunde1698
    @thomasdunde1698 3 года назад +14

    It's great presentation done by Gwajima

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 3 года назад +38

    I never new Gwajima was such a clever and intelligent man . Kongole Askofu .

  • @christianolyehe6149
    @christianolyehe6149 3 года назад +31

    Kwahoja2 gwajima apo ndopenyewe

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 3 года назад +72

    Me nlisemaga hyu mwamba ni chuma watu wakaanzaa kumtolea maneno ya dharau,ila hyu jamaa hata nchi anaweza ongoza

    • @seleseleli7064
      @seleseleli7064 3 года назад

      Kwa kipi apo sasa mavio

    • @johnassilvester1600
      @johnassilvester1600 3 года назад +3

      Sure men

    • @dornita6660
      @dornita6660 3 года назад +1

      Si uongo

    • @hashimsleman1371
      @hashimsleman1371 3 года назад +3

      Haaaaaaa ndugu kwaku ita watu mmbwaa kwakweli 2025 agombee uraisi

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 года назад +2

      @@hashimsleman1371 Mara ngapi akina tundulisu wanatukana matusi mbona wamegombea uraisi alafu hajaita mtu mmbwa kasema ukitaka kufika mbali usimjibu kila mmbwa unayejutana nae barabarani watakuchelewesha pia huo ndiyo ukweli kwenye Maisha siyo lazima kila mtu umridhishe au akupende haiwezekani!!!!!.

  • @wilbrodwemaonlinetv8379
    @wilbrodwemaonlinetv8379 3 года назад +14

    Jembe limepata mkulima..... Safy sanaaaa Mheshimiwa Gwajima

  • @celinamgundoi8420
    @celinamgundoi8420 2 года назад +4

    Dah! Jaman utazania upo baba yetu magufuli hakika tutakukumbuka daima, ulitupenda kwa dhati na ukajitoa kwa moyo wako wote ulitua moyo juu ya corona na ukatukumbusha tuzidi kumlilia mungu na kwel mungu alitusikia lakn kwa sasa 😷😷😱😱😭😭😭😭😭, mungu akupumzishe kwa amani baba yetu magufuli Amen

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 года назад +35

    Waziri Gwajima oyee

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 года назад +54

    Ngwajima namuelewqga sana congratulations it’s yr relevances examples

  • @cydrahope5251
    @cydrahope5251 3 года назад +45

    Kweli kabisa tumechagua ccm kwasababu yako jpm

  • @apolnarytv1074
    @apolnarytv1074 3 года назад +41

    Kawe hamjakosea 🔥🔥🔥🔥

  • @marynghumbu8437
    @marynghumbu8437 3 года назад +31

    Hongera Askofu Gwajima.

  • @alfredaloyce6835
    @alfredaloyce6835 3 года назад +14

    Hoo aliesikia gwajima akisema kwenye majimbo mengine hatukuitaji kupiga ila kulitaja jina la raisi

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 года назад +14

    GWAJIBOY you're somehow genius all the best for your new journey to serving people of KAWE without any bias👏👏👏😁😁😁

  • @esterdaudi9614
    @esterdaudi9614 3 года назад +10

    Gwajima auchoshi kukuangalia big up piga kazi babaa😂😂😂

  • @joharyjumakazala3813
    @joharyjumakazala3813 2 года назад +4

    Tujuane wa 2021 Aug nimependa sana gwajima alivotoa speech yake mbele ya ya hayati magufuli

  • @francismngumi5125
    @francismngumi5125 3 года назад +19

    Daah nimesikiliza zaid ya mara tatu

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 3 года назад +3

    Rais wetu wa badae karibu Tanzania mpya ya mafanikio👏👏👏👏

  • @paulondiek1345
    @paulondiek1345 3 года назад +7

    God bless Dr John Magufuli and my entire Africa as a whole much love from USA

  • @mangapineema7652
    @mangapineema7652 3 года назад +47

    GWAJIMA ni 🔥 🔥 🔥 🔥

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад +7

    Mambo yako motoooooooo iwe na maendeleo hivyo hivyo hongera Sana gwajima hatujakosea kukuchagua piga kazi babaaaaa

  • @hamislipangine9649
    @hamislipangine9649 3 года назад +25

    Hahahahahaha..... Safi Sana Gwaji boy.Nimekuelewa moto umeshawaka.

  • @jumamkokota8564
    @jumamkokota8564 3 года назад +51

    😃😃😃😃 wagogo wamepanua masikio aaaaah

    • @sofiasuleiman8474
      @sofiasuleiman8474 3 года назад +1

      🤣🤣🤣

    • @dimaika_
      @dimaika_ 3 года назад

      Acha matusi kijana haya maisha tu

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 3 года назад +5

      Mtani wetu huyo tunajuana wenyewe mgogo na msukuma ndio mtani wetu wa jadii😂😂😂nimefurahi tu

    • @selector728
      @selector728 3 года назад +2

      Wagogoooo😝😝😝😝

  • @happyjuma6718
    @happyjuma6718 3 года назад +74

    Bunge la 12 litakuwa la kihistoria wallahi

  • @martinchiteji5772
    @martinchiteji5772 3 года назад +32

    Gwajima bwana ,we achatu,kuwapeleka watu mbinguni 100%, kwenye policts you seem to be among the best politicians for the coming generation.good start.congrats bishop

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 года назад

      Ujinga mzigo alimshinda nani huyo mfilaji wa waumini wake na kura za wizi ccm chali

    • @farajakasikile8846
      @farajakasikile8846 3 года назад +4

      @@emmapaul1766 sikia kijana ulijuwa aje ni yeye ulimsaidia siku iyoo pili uyo alie sema kuusu haache kuwapeleka watu mbinguni wewe ndie Mungu una msimamisha kazi yake ya uduma unapata laana bila kujuwa kijana

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 года назад

      @@farajakasikile8846 katafte clip inayomuhusu utamuona vizuri kuhusu laana siwez kuwa na laana wenye laana ni wez wa kura ambao mungu atawaadhibu muda sio mrefu

    • @bonnyngowo7567
      @bonnyngowo7567 3 года назад

      What about phoney votes that enabled him ?

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 3 года назад +3

      @@emmapaul1766 Acha kutapa tapa mlishabamizwa chini mkubali tu acheni matusi na uongo Mungu atawapiga tena
      Gwajima hoyeee mpaka kieleweke

  • @emanueldaud2360
    @emanueldaud2360 3 года назад +27

    Mungu mkubwa tanzania itafikaa mbali xaana mungu msaidie rais wetu azidi kuwa njemaa

  • @abdullatiframadhani5059
    @abdullatiframadhani5059 3 года назад +32

    Hii ndio Tanzania yetu tunayojivunia ya raha, amani,upendo... Najivunia kuwa Mtanzania

  • @isejemedia6760
    @isejemedia6760 3 года назад +35

    Hiyo ndiyo gwajima,,namuelewa sana,,

    • @davidandrew9575
      @davidandrew9575 2 года назад +1

      Nitakupenda milele magufuli japo haupo

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 3 года назад +7

    Huyu jamaa anaweza kujipima ktk Miguu ya Uraisi huko Mbeleni ni Kichwa

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld 3 года назад +18

    Mzee Magu amejitahidi kiukweli, M/Mungu azidi kumpa nguvu 🙏🏽

  • @hoseamgema9107
    @hoseamgema9107 3 года назад +27

    gwajima ni mashine. . big up sana comred . .

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 3 года назад +22

    Huyo ndio Gwaji boy ! Mchungaji

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 года назад +37

    I love his examples

  • @bisekoc.k.jenjela7936
    @bisekoc.k.jenjela7936 3 года назад +6

    Hiyo ndiyo faida kuwalea vizuri watu wa jamii yako, watajitolea kwa moyo wote pia watijenga nchi yao na kuilinda.

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +4

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

    • @thierry3318
      @thierry3318 2 года назад +3

      I am Burundian but I was a big fan of J.P. Magufuri when he was alive👊👊👊

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 года назад +16

    Gwajima 🙌🙌🙌🙌🇹🇿

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 года назад +13

    Tutaomba mno Mungu mpaka kieleweke. Dunia lzm ielewe Tanzania ni nchi ya pili ya ahadi kutoka Israel chini ya Raisi John Pombe Magufuli. Nakupenda raisi wangu,naipenda Tanzania mno. Magufuli umenifanya niwe real CCM

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 3 года назад +39

    Ila gwajiboy anajua kuongea aisee..

  • @saidhassan1096
    @saidhassan1096 3 года назад +39

    nasubir mbunge wangu wa kawe awe waziri...

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 3 года назад +2

      Mbunge wetu

    • @nsiamassawe3075
      @nsiamassawe3075 3 года назад +1

      Akipata uwaziri nitakutafuta

    • @martinanappa9627
      @martinanappa9627 3 года назад +1

      Hiyo ipo njiani

    • @samsonimarwa8622
      @samsonimarwa8622 3 года назад +1

      Nilitegemea mchungaji ngwajima atanza hata kwa kuombea walio jichanganya kumbe anaita watu kuwa wabwek siasa imeisha inatakiwa maendeleo

    • @tumainichannele1998
      @tumainichannele1998 3 года назад

      @@samsonimarwa8622 kweli kabisa unaakili mwana!

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 3 года назад +4

    Kwa kweli kazi yako inaongea kila jimbo, ndo maana wabunge wengi wameshinda Wa Ccm, mungu azidi kukulinda Rais wetu Magufuli

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 3 года назад +11

    Gwajima atanifanya nilipende hili walahi😂😂😂😂😂😂😂

    • @madolaclassic869
      @madolaclassic869 3 года назад

      Mungu wa ajabu asa makonda chali kwa kumfanya mwenzie mbaya leo mwenzie juu

  • @derickmoshi6409
    @derickmoshi6409 3 года назад +7

    Miladi Ayo shukran Sana taarifa yenu hua ni shuri Sana, hamnaga maneno tunasikiliza na kijionea wenyewe. Kazi nzuri

    • @jocety4426
      @jocety4426 3 года назад

      True,
      Big up 💪💪@Millad.
      Nawapata vzr Sana frm👉🇴🇲

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction4360 3 года назад +9

    Gwajima una kipaji mkuu hongera wanaokusema vibaya Achana nao ni (mbwa wakibweka we achana nao la nongeza mwendo hahahahaaaha i like it)

    • @fatumahassan8212
      @fatumahassan8212 3 года назад

      Litakuwa bunge la kihistory hakuna mapepo mwaka huu bungeni

  • @evalynechacha9191
    @evalynechacha9191 3 года назад +3

    Alisifiwa pia katika uhai wake😍😘😘

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 3 года назад +40

    Nmemuona beberu anasikiliza kwa umakin wa hal ya juu

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 3 года назад +1

      ☝️☝️☝️😂😂😂❤

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 3 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @franklaurent4042
      @franklaurent4042 3 года назад +1

      katulia huyo

    • @deusdeodavid5360
      @deusdeodavid5360 3 года назад

      Beberu sio mzungu tu bro

    • @deusdeodavid5360
      @deusdeodavid5360 3 года назад +4

      Unapo sema "kula" badala ya "kura" kwa hao wageni wanao sikiliza kwa vifaa vya kutafsiri lugha sijui vinakua vinasemaje huko.

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 3 года назад +17

    MH Gwajima juu juu zaidi tunakupenda mbunge wetu hata Bungeni unaongea mambo ya maana yenye kubeba ujumbe mzito wenye mafundisho ndani yake InShaaAllah MMungu akulinde uwezekutusaidia

    • @jokivaleofficialmusic1045
      @jokivaleofficialmusic1045 3 года назад +2

      Kabisa kabisa hata mimi nakuunga mkono ndugu!!!

    • @alexandermapela237
      @alexandermapela237 3 года назад +1

      Hakika,,Umekuwa muwazi kueleza uhalisia unaouthibitisha juu ya Mp Gwajima,,hakika Nimependa sana appreciation zako juu yake,,its real!!!
      It's a good start,kawe mtanufaika hakika.

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 3 года назад +20

    Gwanjima safi anza kazi

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 3 года назад +2

      Tumeanza kuona vionjo jamani , mbwa akibweka usimtupie mawe we songa mbele jamani nimecheka mpaka

    • @mcheshcomedy5809
      @mcheshcomedy5809 3 года назад +1

      @@neemamasimba2981 umecheka mpk KARIAKOO 😜

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 года назад +30

    Njooni uku, Bungeni kumenoga.

  • @tumaininerei5948
    @tumaininerei5948 3 года назад +5

    Kwakuwa wakwamisha maendeleo hawapo tena bungeni na kwakuwa bunge ni la kijani tunasubiri kwa hamu tuone Tanzania iwe kama ULAYA.

  • @ramahamis5793
    @ramahamis5793 3 года назад +23

    Gwajima hongera sana umemfanya raisi wetu j p m kufurahi SANA

  • @christinamngara8277
    @christinamngara8277 3 года назад +20

    intelligent people kama Gwajima niwachache sana

    • @eliasmrema2512
      @eliasmrema2512 3 года назад +1

      Perfect.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 года назад +1

      Labda intelligent kwa ccm

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 года назад

      @@emmapaul1766 kweli siyo ccm tu wanasiasa wote Hapa nchini wachache ni intelligent hata uko chadema act cuf n.k

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa9489 3 года назад +8

    Hongera Sana pastor Josephat Gwajima

  • @fatumahassan8212
    @fatumahassan8212 3 года назад +6

    Hongera sana Mheshimiwa rais na watumishi wa wote....najivuniya kuwa mtanzania rais WANGU MAGUFULI ...BUNGE LA 12LITAKUWA LA KIHISTORY, CONGRATULATIONS GWAJIMA

  • @ernestshija8186
    @ernestshija8186 3 года назад +70

    Mambo yameanza kunoga.

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 3 года назад +2

      Go back and listen to
      Tanzania yangu mp3
      ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html
      And you will understand

    • @wardajoseph6909
      @wardajoseph6909 3 года назад +5

      Sana tu hili ndio mbunge lkn lile lililopita la kina halima na zitto na mbowe huwa najiuliza walikuwa watoto wadogo fujo tu

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 3 года назад +15

    🤣🤣🤣Gwajimaaaa Raha Sanaaaa TANZANIA Oyeeee ❤❤👍

  • @celestinemahande5168
    @celestinemahande5168 3 года назад +7

    Tulikuwa tumechelewa sana kupata watu kama kinagwajima

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja444 3 года назад +7

    Gwajima maneno yako yana upako aisee. Mbavu zimeuma kwa sababu ya kicheko

  • @amosnaqbarxanaabddallah2730
    @amosnaqbarxanaabddallah2730 3 года назад +13

    Nakkbar mchungaji wangu fanya Kaz yako uliyotumwa na selikali,,hapa kazi tu!!!

    • @selector728
      @selector728 3 года назад +2

      Nakukubali siyo nakukubari

  • @adrianovalence4314
    @adrianovalence4314 3 года назад +13

    Nimetulia zangu napitia comments za waumini wa boy gwaji

  • @sengeremaxleo9295
    @sengeremaxleo9295 3 года назад +11

    Achukue yeyoteee but asiwe joseph msukuma

  • @iweningogoofficial3733
    @iweningogoofficial3733 3 года назад +17

    Mungu wangu nisamehe wewe unae mbali niliona gwajima tunampoteza kumbe unamaaana nisamehe my dady nimeelewa

  • @jokeableking7039
    @jokeableking7039 3 года назад +29

    Wale wa kawe sasa mpo kwa gegedu na misumari ya gwajiboy ?????

  • @lucyheigre1974
    @lucyheigre1974 3 года назад +34

    Kwa kweli Gwajima atanifanya nilipende bunge la 12,sasa kazi nimeielewa😅😅

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 3 года назад +2

      Shida siyo hiyo anaweza kuwa na kipaji cha kuongea ila asiwe na kipaji cha utendaji

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 года назад +1

      @@emanuelmwanga4 hicho anacho magu

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 3 года назад +1

      @@bernardoleonard7331 unaelewa nachomaanisha au uropokaji

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 года назад +1

      @@emanuelmwanga4 kipaji Cha utendaji Magufuli anacho kuliko hata kuongea n mtu wa vitendo zaidi kuhusu gwajima ndyo kwanza kapata nafasi kwa mara ya kwanza kwahyo tutapata nafasi hivi karibuni yakuona Kama anakipaji Cha utendaji kwasababu kipaji Cha kuongea tumeshakiona hata kwenye kampeni.

    • @eliarichard9218
      @eliarichard9218 3 года назад +1

      @@emanuelmwanga4 kama siyo mtendaji utajiri aliyo nao ameupataje na vitabu anavyo je vitabu unawezaje kuviandika kama siyo mtendaji wa kazi

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 3 года назад +5

    TUNAJIVUNIA Dr JOHN POMBE MAGUFURI.

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 3 года назад +18

    Walipanua Masikio.hahahaha.

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 3 года назад +4

    Change has come for magufuli naiona tz mpyaa inakujaa

  • @tipherndacute3082
    @tipherndacute3082 3 года назад +4

    Gwajim umetoa hotuba nzr Leo hongera kwako bba

  • @lakuchumpa9724
    @lakuchumpa9724 3 года назад +26

    🤣🤣🤣alivyotaja mabeberu kuna libeberu limekasirika hapo 😆😆

    • @rajabumbogo959
      @rajabumbogo959 3 года назад

      😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😅😅😅😅🤣🤣😂😂😂😂😂

    • @rajabumbogo959
      @rajabumbogo959 3 года назад +3

      Kaka nimeliona😀

    • @maidasaid9449
      @maidasaid9449 3 года назад

      😄😄😄😄😄

    • @jayelias1654
      @jayelias1654 3 года назад

      😂😂😂😂

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 года назад

      Mbweha wamekusanyana bila ushindi

  • @fancytulula9537
    @fancytulula9537 3 года назад +3

    God Will take him far.... One day, he will be Tanzania President, he will make it, he works hard, he deserves it🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌

  • @PAMBAZUKATVONLINE
    @PAMBAZUKATVONLINE 3 года назад +2

    Namupenda sanaNgwajima na Magufuri

  • @michaelkn2639
    @michaelkn2639 3 года назад +1

    Mungu akupe neema baba uwe raïsi wa tanzania

  • @augustinomakoye2396
    @augustinomakoye2396 3 года назад +6

    Hongera Sana mhe, gwajima

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 3 года назад +1

      Huyu haaminiki. 2015 alitimua baadhi ya waumini wake wallioonekana kuunga mkono chama tawala. Ndiye aliwauzia UKAWA Lowasa aliyekuwa ametapikwa na chama tawala. Dkt Slaa alipotofautiana nao na kujivua zake uanachama huyuhuyu gwaji alitumika kumdhalilisha kuwa alitupiwa virago na mkewe alipofika nyumbani.Askofu mzima asiyekuwa na maadili kutangaza maisha binafsi ya kifamilia ya mtu hadharani tena madhabahuni! Kwa sababu tu za siasa. Mimi simtambui kama askofu huyu wanaomuita kwa jina hilo hawaelewi uzito wa wadhifa huo.

  • @fabianchitojo7406
    @fabianchitojo7406 3 года назад +5

    Et wagogo tunanini vile ahahahahaa unazingua mtani Gwajima

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 3 года назад +29

    Kazi Imekutana na mwenyeweee Mcchungaji umepe kijiti cha kuwa mwanasiasa siunataka shidaaa wewee..Ngoja tusubiri Hiyo Feb

  • @stevenmasato5787
    @stevenmasato5787 3 года назад +2

    Gwaji boy yuko fit duh. alafu anajua kupangilia speech mpka raha. hongera sana

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 3 года назад +1

      Wala haujakosea aisee...Mimi mwenyewe nilitamani aendelee tu kuongea

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 года назад +11

    Hongera Sana Kiongozi wetu Rais wetu wa Tanzania yetu John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 Mingine wewe ndiye utatuvusha Sana.....

    • @godfreyswai9828
      @godfreyswai9828 3 года назад

      Mtumishi wa mungu anapoondoka ktk uwepo wa mungu, ujue mwisho wa dunia umekaribia, asikofu mzima unaeaita waumini mmbwa? Ama kweli siasa ni shetanani,( mwache mskufuli afanye kazi ,tunampenda,dini ns siasa haviendani ,chagua moja moto au baridi,

  • @abasijuma5055
    @abasijuma5055 3 года назад +25

    Kawe mmepata mbunge ......

  • @tatukachingwe7451
    @tatukachingwe7451 3 года назад +6

    Gwaji boyyyyyyyyyy, ubarikiwe muheshimiwa

  • @hbdina
    @hbdina 2 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿Dr.John Pombe Magufuli ❤️❤️❤️❤️

  • @christinamngara8277
    @christinamngara8277 3 года назад +15

    Gwajima oyeee

    • @mirajimbegu8351
      @mirajimbegu8351 3 года назад

      Mbona anaongea kibeberu si aongee kiswahili

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 3 года назад +4

    Asante sana. Gwajima. Ukweri mtupu usemao

  • @augustinomwamasinga2200
    @augustinomwamasinga2200 3 года назад +2

    Naamin kwamba hakuna mbunge atakaemzid Gwajima kutoa hoja na kuongea vzr

  • @mutindamusyoki9622
    @mutindamusyoki9622 3 года назад +1

    Asante Sana rais magufuli MUNGU akupe maisha marefu,,, hongera Sana,,,,ninacho kuomba mkuu ukimaliza zamu yako Tanzania nakukaribisha uje kenya tunaitaji kiongozi Kama wewe

  • @piustombili9921
    @piustombili9921 3 года назад +8

    Gwajimaa banaa let the dogs bark

  • @julianamasunga700
    @julianamasunga700 3 года назад +26

    Ngwaji boy kawe inakuitaji sanaaa

  • @stanleymathias7877
    @stanleymathias7877 3 года назад +8

    Akili kubwa inapaswa kuwa kwenye baraza la mawaziri la Tanzania maana uwezo wake ni mkubwa sana kwakweli hongera....

  • @hamisindelema6396
    @hamisindelema6396 3 года назад +4

    mtu alishakuw mtumishi anaongea zaid ya masaa 10 ashindwe kuzungumz dkk 5 za bungeni?

  • @bernardoleonard7331
    @bernardoleonard7331 3 года назад +12

    Wapanue masikio🤣🤣🇹🇿🇹🇿

  • @petermushy9883
    @petermushy9883 3 года назад +24

    Mabeberu yanavyotoa macho Sasa 😂😂

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 3 года назад

      Mtaanza kuwatafuta kwa tochi soon

  • @themagadir
    @themagadir 3 года назад +10

    He is full of wisdom

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 3 года назад +2

    Sipati picha moto wa Gwajima na King Msukuma

    • @eliarichard9218
      @eliarichard9218 3 года назад +1

      Nice hapo mmoja anatumia hirizi mwengine Mungu wa kweli.

  • @elnangarylaizer9205
    @elnangarylaizer9205 3 года назад +4

    Duuuuh xaxa mambo ni bam bam huko dom hongera San mh gwajim

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 года назад +1

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.

  • @venitarugemalila3971
    @venitarugemalila3971 3 года назад +3

    Mh:Gwajima upo vzr kwa nukuu nimezipenda

  • @machozihussen1814
    @machozihussen1814 3 года назад +11

    Kweli askofu nakuunga mkono mimi mwenyewe nipo nje na sasa najivunia kumtaja raisi wangu.

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 3 года назад +1

    Umeongea vizuri Gwajima....
    Kila mtu ana uhuru wake na Magufuli kiukweli inaonesha njia