@@hashimsleman1371 Mara ngapi akina tundulisu wanatukana matusi mbona wamegombea uraisi alafu hajaita mtu mmbwa kasema ukitaka kufika mbali usimjibu kila mmbwa unayejutana nae barabarani watakuchelewesha pia huo ndiyo ukweli kwenye Maisha siyo lazima kila mtu umridhishe au akupende haiwezekani!!!!!.
Dah! Jaman utazania upo baba yetu magufuli hakika tutakukumbuka daima, ulitupenda kwa dhati na ukajitoa kwa moyo wako wote ulitua moyo juu ya corona na ukatukumbusha tuzidi kumlilia mungu na kwel mungu alitusikia lakn kwa sasa 😷😷😱😱😭😭😭😭😭, mungu akupumzishe kwa amani baba yetu magufuli Amen
Gwajima bwana ,we achatu,kuwapeleka watu mbinguni 100%, kwenye policts you seem to be among the best politicians for the coming generation.good start.congrats bishop
@@emmapaul1766 sikia kijana ulijuwa aje ni yeye ulimsaidia siku iyoo pili uyo alie sema kuusu haache kuwapeleka watu mbinguni wewe ndie Mungu una msimamisha kazi yake ya uduma unapata laana bila kujuwa kijana
@@farajakasikile8846 katafte clip inayomuhusu utamuona vizuri kuhusu laana siwez kuwa na laana wenye laana ni wez wa kura ambao mungu atawaadhibu muda sio mrefu
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
Tutaomba mno Mungu mpaka kieleweke. Dunia lzm ielewe Tanzania ni nchi ya pili ya ahadi kutoka Israel chini ya Raisi John Pombe Magufuli. Nakupenda raisi wangu,naipenda Tanzania mno. Magufuli umenifanya niwe real CCM
MH Gwajima juu juu zaidi tunakupenda mbunge wetu hata Bungeni unaongea mambo ya maana yenye kubeba ujumbe mzito wenye mafundisho ndani yake InShaaAllah MMungu akulinde uwezekutusaidia
Hakika,,Umekuwa muwazi kueleza uhalisia unaouthibitisha juu ya Mp Gwajima,,hakika Nimependa sana appreciation zako juu yake,,its real!!! It's a good start,kawe mtanufaika hakika.
Hongera sana Mheshimiwa rais na watumishi wa wote....najivuniya kuwa mtanzania rais WANGU MAGUFULI ...BUNGE LA 12LITAKUWA LA KIHISTORY, CONGRATULATIONS GWAJIMA
@@emanuelmwanga4 kipaji Cha utendaji Magufuli anacho kuliko hata kuongea n mtu wa vitendo zaidi kuhusu gwajima ndyo kwanza kapata nafasi kwa mara ya kwanza kwahyo tutapata nafasi hivi karibuni yakuona Kama anakipaji Cha utendaji kwasababu kipaji Cha kuongea tumeshakiona hata kwenye kampeni.
Huyu haaminiki. 2015 alitimua baadhi ya waumini wake wallioonekana kuunga mkono chama tawala. Ndiye aliwauzia UKAWA Lowasa aliyekuwa ametapikwa na chama tawala. Dkt Slaa alipotofautiana nao na kujivua zake uanachama huyuhuyu gwaji alitumika kumdhalilisha kuwa alitupiwa virago na mkewe alipofika nyumbani.Askofu mzima asiyekuwa na maadili kutangaza maisha binafsi ya kifamilia ya mtu hadharani tena madhabahuni! Kwa sababu tu za siasa. Mimi simtambui kama askofu huyu wanaomuita kwa jina hilo hawaelewi uzito wa wadhifa huo.
Mtumishi wa mungu anapoondoka ktk uwepo wa mungu, ujue mwisho wa dunia umekaribia, asikofu mzima unaeaita waumini mmbwa? Ama kweli siasa ni shetanani,( mwache mskufuli afanye kazi ,tunampenda,dini ns siasa haviendani ,chagua moja moto au baridi,
Asante Sana rais magufuli MUNGU akupe maisha marefu,,, hongera Sana,,,,ninacho kuomba mkuu ukimaliza zamu yako Tanzania nakukaribisha uje kenya tunaitaji kiongozi Kama wewe
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Bado sijaamini haupo tena Rais ni husuni sana😭😭😭😭😭🇰🇪poleni watanzania wote
Ishu ni kwamba...anaongea tuuu halafu hakosei, daah 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌hiki ni kipaji sio ujanja tu.
Nice
JPM OYEEEE MIAKA 35 IKULU Nani kaona askofu gwajima kawashiwa maiki weka like hapa
Yaap Bishop Gwajima !!! Genuine appreciation to the Hon. President Jpm!! of the United Republic of Tanzania for his today's ia
That's why I sang
Tanzania yangu mp3
ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html
Sijamuelewa
@@francischuwa259 ¹¹
Nimeona mzee
Very very prophetic words,,,,, gwaji boy is the best
Gwaji boy!!!
Na hao mbwa ni akina nan?
@@mcheshcomedy5809 DUU AISEE !!.!
@@mosesdeogratius6482 Hatar
333
Nimempenda gwaji boy, kwenye ujinga anafanya ujinga sehemu serious anakuwa serious
😜😜😜😜😜 super sticker😜🔐
Nikupe no zake yupo vizuri bwn
@patricia Carlo Mambo vipi kwema my dear
Moja ya quality za good speakers
It's great presentation done by Gwajima
I never new Gwajima was such a clever and intelligent man . Kongole Askofu .
Is very very clever my friend
Kwahoja2 gwajima apo ndopenyewe
Me nlisemaga hyu mwamba ni chuma watu wakaanzaa kumtolea maneno ya dharau,ila hyu jamaa hata nchi anaweza ongoza
Kwa kipi apo sasa mavio
Sure men
Si uongo
Haaaaaaa ndugu kwaku ita watu mmbwaa kwakweli 2025 agombee uraisi
@@hashimsleman1371 Mara ngapi akina tundulisu wanatukana matusi mbona wamegombea uraisi alafu hajaita mtu mmbwa kasema ukitaka kufika mbali usimjibu kila mmbwa unayejutana nae barabarani watakuchelewesha pia huo ndiyo ukweli kwenye Maisha siyo lazima kila mtu umridhishe au akupende haiwezekani!!!!!.
Jembe limepata mkulima..... Safy sanaaaa Mheshimiwa Gwajima
Dah! Jaman utazania upo baba yetu magufuli hakika tutakukumbuka daima, ulitupenda kwa dhati na ukajitoa kwa moyo wako wote ulitua moyo juu ya corona na ukatukumbusha tuzidi kumlilia mungu na kwel mungu alitusikia lakn kwa sasa 😷😷😱😱😭😭😭😭😭, mungu akupumzishe kwa amani baba yetu magufuli Amen
Waziri Gwajima oyee
Vp
Ngwajima namuelewqga sana congratulations it’s yr relevances examples
Kweli kabisa tumechagua ccm kwasababu yako jpm
Kawe hamjakosea 🔥🔥🔥🔥
Hongera Askofu Gwajima.
Hoo aliesikia gwajima akisema kwenye majimbo mengine hatukuitaji kupiga ila kulitaja jina la raisi
GWAJIBOY you're somehow genius all the best for your new journey to serving people of KAWE without any bias👏👏👏😁😁😁
Gwajima auchoshi kukuangalia big up piga kazi babaa😂😂😂
Tujuane wa 2021 Aug nimependa sana gwajima alivotoa speech yake mbele ya ya hayati magufuli
Daah nimesikiliza zaid ya mara tatu
Gwajima hatar sana
Rais wetu wa badae karibu Tanzania mpya ya mafanikio👏👏👏👏
God bless Dr John Magufuli and my entire Africa as a whole much love from USA
GWAJIMA ni 🔥 🔥 🔥 🔥
Heshima no 🔥🔥🔥
Mambo yako motoooooooo iwe na maendeleo hivyo hivyo hongera Sana gwajima hatujakosea kukuchagua piga kazi babaaaaa
Hahahahahaha..... Safi Sana Gwaji boy.Nimekuelewa moto umeshawaka.
GWAJIMA JIFUNZE KUWASHA MIKE OK! HAKELUYA
Kawasha dude
😃😃😃😃 wagogo wamepanua masikio aaaaah
🤣🤣🤣
Acha matusi kijana haya maisha tu
Mtani wetu huyo tunajuana wenyewe mgogo na msukuma ndio mtani wetu wa jadii😂😂😂nimefurahi tu
Wagogoooo😝😝😝😝
Bunge la 12 litakuwa la kihistoria wallahi
Gwajima bwana ,we achatu,kuwapeleka watu mbinguni 100%, kwenye policts you seem to be among the best politicians for the coming generation.good start.congrats bishop
Ujinga mzigo alimshinda nani huyo mfilaji wa waumini wake na kura za wizi ccm chali
@@emmapaul1766 sikia kijana ulijuwa aje ni yeye ulimsaidia siku iyoo pili uyo alie sema kuusu haache kuwapeleka watu mbinguni wewe ndie Mungu una msimamisha kazi yake ya uduma unapata laana bila kujuwa kijana
@@farajakasikile8846 katafte clip inayomuhusu utamuona vizuri kuhusu laana siwez kuwa na laana wenye laana ni wez wa kura ambao mungu atawaadhibu muda sio mrefu
What about phoney votes that enabled him ?
@@emmapaul1766 Acha kutapa tapa mlishabamizwa chini mkubali tu acheni matusi na uongo Mungu atawapiga tena
Gwajima hoyeee mpaka kieleweke
Mungu mkubwa tanzania itafikaa mbali xaana mungu msaidie rais wetu azidi kuwa njemaa
AMINA
Hii ndio Tanzania yetu tunayojivunia ya raha, amani,upendo... Najivunia kuwa Mtanzania
WAAOOOO! Bunge la 12 limenoga
Upuuz tu
@@eliabutitus6182 ulivyoona wewe
Hiyo ndiyo gwajima,,namuelewa sana,,
Nitakupenda milele magufuli japo haupo
Huyu jamaa anaweza kujipima ktk Miguu ya Uraisi huko Mbeleni ni Kichwa
Mzee Magu amejitahidi kiukweli, M/Mungu azidi kumpa nguvu 🙏🏽
gwajima ni mashine. . big up sana comred . .
Huyo ndio Gwaji boy ! Mchungaji
I love his examples
Hiyo ndiyo faida kuwalea vizuri watu wa jamii yako, watajitolea kwa moyo wote pia watijenga nchi yao na kuilinda.
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
I am Burundian but I was a big fan of J.P. Magufuri when he was alive👊👊👊
Gwajima 🙌🙌🙌🙌🇹🇿
Ametisha
Tutaomba mno Mungu mpaka kieleweke. Dunia lzm ielewe Tanzania ni nchi ya pili ya ahadi kutoka Israel chini ya Raisi John Pombe Magufuli. Nakupenda raisi wangu,naipenda Tanzania mno. Magufuli umenifanya niwe real CCM
Nakubali sana
Mwenyewe najikuta Sina chama tokea enzi za mkapa lakn Magu Kama ananivutia hivi.
Ila gwajiboy anajua kuongea aisee..
Hadi vinanoga
Watu walikuwa awamuelew kwenye kampeni sasa waanze kumuelewa
@@gracesiwale7066 nam nimemuelewa Leo!!!😜
@@mcheshcomedy5809 ok
Nimsomi
nasubir mbunge wangu wa kawe awe waziri...
Mbunge wetu
Akipata uwaziri nitakutafuta
Hiyo ipo njiani
Nilitegemea mchungaji ngwajima atanza hata kwa kuombea walio jichanganya kumbe anaita watu kuwa wabwek siasa imeisha inatakiwa maendeleo
@@samsonimarwa8622 kweli kabisa unaakili mwana!
Kwa kweli kazi yako inaongea kila jimbo, ndo maana wabunge wengi wameshinda Wa Ccm, mungu azidi kukulinda Rais wetu Magufuli
Gwajima atanifanya nilipende hili walahi😂😂😂😂😂😂😂
Mungu wa ajabu asa makonda chali kwa kumfanya mwenzie mbaya leo mwenzie juu
Miladi Ayo shukran Sana taarifa yenu hua ni shuri Sana, hamnaga maneno tunasikiliza na kijionea wenyewe. Kazi nzuri
True,
Big up 💪💪@Millad.
Nawapata vzr Sana frm👉🇴🇲
Gwajima una kipaji mkuu hongera wanaokusema vibaya Achana nao ni (mbwa wakibweka we achana nao la nongeza mwendo hahahahaaaha i like it)
Litakuwa bunge la kihistory hakuna mapepo mwaka huu bungeni
Alisifiwa pia katika uhai wake😍😘😘
Nmemuona beberu anasikiliza kwa umakin wa hal ya juu
☝️☝️☝️😂😂😂❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
katulia huyo
Beberu sio mzungu tu bro
Unapo sema "kula" badala ya "kura" kwa hao wageni wanao sikiliza kwa vifaa vya kutafsiri lugha sijui vinakua vinasemaje huko.
MH Gwajima juu juu zaidi tunakupenda mbunge wetu hata Bungeni unaongea mambo ya maana yenye kubeba ujumbe mzito wenye mafundisho ndani yake InShaaAllah MMungu akulinde uwezekutusaidia
Kabisa kabisa hata mimi nakuunga mkono ndugu!!!
Hakika,,Umekuwa muwazi kueleza uhalisia unaouthibitisha juu ya Mp Gwajima,,hakika Nimependa sana appreciation zako juu yake,,its real!!!
It's a good start,kawe mtanufaika hakika.
Gwanjima safi anza kazi
Tumeanza kuona vionjo jamani , mbwa akibweka usimtupie mawe we songa mbele jamani nimecheka mpaka
@@neemamasimba2981 umecheka mpk KARIAKOO 😜
Njooni uku, Bungeni kumenoga.
Nakuja me chumba kipp
HahahahahHa haya
Kwakuwa wakwamisha maendeleo hawapo tena bungeni na kwakuwa bunge ni la kijani tunasubiri kwa hamu tuone Tanzania iwe kama ULAYA.
Gwajima hongera sana umemfanya raisi wetu j p m kufurahi SANA
Gwaji boy
Mungu ni mwema,Raisi barkiwaaa,Askofu barka kwwko na pia nchi mzma kwa ujumlaaaaa
.
intelligent people kama Gwajima niwachache sana
Perfect.
Labda intelligent kwa ccm
@@emmapaul1766 kweli siyo ccm tu wanasiasa wote Hapa nchini wachache ni intelligent hata uko chadema act cuf n.k
Hongera Sana pastor Josephat Gwajima
Hongera sana Mheshimiwa rais na watumishi wa wote....najivuniya kuwa mtanzania rais WANGU MAGUFULI ...BUNGE LA 12LITAKUWA LA KIHISTORY, CONGRATULATIONS GWAJIMA
Mambo yameanza kunoga.
Go back and listen to
Tanzania yangu mp3
ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html
And you will understand
Sana tu hili ndio mbunge lkn lile lililopita la kina halima na zitto na mbowe huwa najiuliza walikuwa watoto wadogo fujo tu
🤣🤣🤣Gwajimaaaa Raha Sanaaaa TANZANIA Oyeeee ❤❤👍
Tulikuwa tumechelewa sana kupata watu kama kinagwajima
Gwajima maneno yako yana upako aisee. Mbavu zimeuma kwa sababu ya kicheko
Nakkbar mchungaji wangu fanya Kaz yako uliyotumwa na selikali,,hapa kazi tu!!!
Nakukubali siyo nakukubari
Nimetulia zangu napitia comments za waumini wa boy gwaji
Km mm🤣🤣kumbe tupo weng
Achukue yeyoteee but asiwe joseph msukuma
Mungu wangu nisamehe wewe unae mbali niliona gwajima tunampoteza kumbe unamaaana nisamehe my dady nimeelewa
Gwajima hoyeeee
Barikiwa amekusikia na anakupenda sana Mungu wako.
Wale wa kawe sasa mpo kwa gegedu na misumari ya gwajiboy ?????
😂😂😂😂😂😂
Wale wa kawee kwa sas mpoo kwa gegedu na misumari ya gwajiboy....?
Kwa kweli Gwajima atanifanya nilipende bunge la 12,sasa kazi nimeielewa😅😅
Shida siyo hiyo anaweza kuwa na kipaji cha kuongea ila asiwe na kipaji cha utendaji
@@emanuelmwanga4 hicho anacho magu
@@bernardoleonard7331 unaelewa nachomaanisha au uropokaji
@@emanuelmwanga4 kipaji Cha utendaji Magufuli anacho kuliko hata kuongea n mtu wa vitendo zaidi kuhusu gwajima ndyo kwanza kapata nafasi kwa mara ya kwanza kwahyo tutapata nafasi hivi karibuni yakuona Kama anakipaji Cha utendaji kwasababu kipaji Cha kuongea tumeshakiona hata kwenye kampeni.
@@emanuelmwanga4 kama siyo mtendaji utajiri aliyo nao ameupataje na vitabu anavyo je vitabu unawezaje kuviandika kama siyo mtendaji wa kazi
TUNAJIVUNIA Dr JOHN POMBE MAGUFURI.
Kabisa
Walipanua Masikio.hahahaha.
Change has come for magufuli naiona tz mpyaa inakujaa
Gwajim umetoa hotuba nzr Leo hongera kwako bba
🤣🤣🤣alivyotaja mabeberu kuna libeberu limekasirika hapo 😆😆
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😅😅😅😅🤣🤣😂😂😂😂😂
Kaka nimeliona😀
😄😄😄😄😄
😂😂😂😂
Mbweha wamekusanyana bila ushindi
God Will take him far.... One day, he will be Tanzania President, he will make it, he works hard, he deserves it🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌
Namupenda sanaNgwajima na Magufuri
Mungu akupe neema baba uwe raïsi wa tanzania
Hongera Sana mhe, gwajima
Huyu haaminiki. 2015 alitimua baadhi ya waumini wake wallioonekana kuunga mkono chama tawala. Ndiye aliwauzia UKAWA Lowasa aliyekuwa ametapikwa na chama tawala. Dkt Slaa alipotofautiana nao na kujivua zake uanachama huyuhuyu gwaji alitumika kumdhalilisha kuwa alitupiwa virago na mkewe alipofika nyumbani.Askofu mzima asiyekuwa na maadili kutangaza maisha binafsi ya kifamilia ya mtu hadharani tena madhabahuni! Kwa sababu tu za siasa. Mimi simtambui kama askofu huyu wanaomuita kwa jina hilo hawaelewi uzito wa wadhifa huo.
Et wagogo tunanini vile ahahahahaa unazingua mtani Gwajima
Kazi Imekutana na mwenyeweee Mcchungaji umepe kijiti cha kuwa mwanasiasa siunataka shidaaa wewee..Ngoja tusubiri Hiyo Feb
Gwaji boy yuko fit duh. alafu anajua kupangilia speech mpka raha. hongera sana
Wala haujakosea aisee...Mimi mwenyewe nilitamani aendelee tu kuongea
Hongera Sana Kiongozi wetu Rais wetu wa Tanzania yetu John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 Mingine wewe ndiye utatuvusha Sana.....
Mtumishi wa mungu anapoondoka ktk uwepo wa mungu, ujue mwisho wa dunia umekaribia, asikofu mzima unaeaita waumini mmbwa? Ama kweli siasa ni shetanani,( mwache mskufuli afanye kazi ,tunampenda,dini ns siasa haviendani ,chagua moja moto au baridi,
Kawe mmepata mbunge ......
Ngwajima Ni shoga
Gwaji boyyyyyyyyyy, ubarikiwe muheshimiwa
Hahahahahahaha
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Dr.John Pombe Magufuli ❤️❤️❤️❤️
Gwajima oyeee
Mbona anaongea kibeberu si aongee kiswahili
Asante sana. Gwajima. Ukweri mtupu usemao
Naamin kwamba hakuna mbunge atakaemzid Gwajima kutoa hoja na kuongea vzr
Asante Sana rais magufuli MUNGU akupe maisha marefu,,, hongera Sana,,,,ninacho kuomba mkuu ukimaliza zamu yako Tanzania nakukaribisha uje kenya tunaitaji kiongozi Kama wewe
Gwajimaa banaa let the dogs bark
Ngwaji boy kawe inakuitaji sanaaa
Kweli tuna muitaji
Akili kubwa inapaswa kuwa kwenye baraza la mawaziri la Tanzania maana uwezo wake ni mkubwa sana kwakweli hongera....
mtu alishakuw mtumishi anaongea zaid ya masaa 10 ashindwe kuzungumz dkk 5 za bungeni?
Wapanue masikio🤣🤣🇹🇿🇹🇿
Mabeberu yanavyotoa macho Sasa 😂😂
Mtaanza kuwatafuta kwa tochi soon
He is full of wisdom
Sipati picha moto wa Gwajima na King Msukuma
Nice hapo mmoja anatumia hirizi mwengine Mungu wa kweli.
Duuuuh xaxa mambo ni bam bam huko dom hongera San mh gwajim
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Mh:Gwajima upo vzr kwa nukuu nimezipenda
Kweli askofu nakuunga mkono mimi mwenyewe nipo nje na sasa najivunia kumtaja raisi wangu.
Kweli mzee wa Italia mi Niko zangu Kenya wanajua magu nomaa
Sanaaa
Umeongea vizuri Gwajima....
Kila mtu ana uhuru wake na Magufuli kiukweli inaonesha njia