MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2023
  • MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 307

  • @NasiriAcramYusra-rf8dl
    @NasiriAcramYusra-rf8dl Год назад +16

    Huyu MWANAMKE nimempenda sana

  • @frankfrancis5736
    @frankfrancis5736 Год назад +26

    Ana Hoja Kweli Aiseee ❤ Ajengewe Sanamu pale dodoma

  • @eddyclassicfunture
    @eddyclassicfunture Год назад +11

    Kiumweli Tanzania tunafeli sana halalisheni gongo iuzwe madukani shida yetu nini badala muiboreshe mnaipiga vita mna kubali mpaka pombe zinazotoka mpaka Uganda hacheni izo bwana

  • @KalomoBulugu
    @KalomoBulugu 8 месяцев назад +1

    Wapo viongoz wanaopnda maendeleo nchini hongera sana muheshimiwa MUNGU akujaarie

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi 6 месяцев назад

    Asante sana mh mbunge samahani je umeolewa au ujaolewa nimekupendasana unahojamzuriww aisee

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Год назад +4

    Hongera dada japo mimi natambua pombe ni dhambi

  • @elizabethmvumu1881
    @elizabethmvumu1881 9 месяцев назад +6

    Nimekupenda bure dada mbunge, pombe ni haram lkn uko vzr ktk hoja zako na zinaeleweka, ❤

  • @daudmbwile352
    @daudmbwile352 Год назад +5

    Nakushukuru Sana mbunge kwa hoja nzuri, Cha msingi gongo ihararishwe na isiuzwe kwa kificho ili wananchi wajiajiri. Wasambaa wa lushoto wanatengeneza pombe ya miua ambayo haina utofauti na gongo.

  • @BarakaMsigwa-sc5zn
    @BarakaMsigwa-sc5zn Месяц назад +1

    Point sana kiongoz

  • @AmoceMnyanyi
    @AmoceMnyanyi 8 месяцев назад +1

    Mungu akupe maisha malefu kwa kujua ukweli

  • @amanimakury-cv5lw
    @amanimakury-cv5lw Год назад +7

    Huyuu anaongea point kubwa

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Год назад +8

    Muheshmiwa hujui tu unatia watu kiu😂😂
    Halafu cku nyingine uje na kopo la ulanzi kwa kutambua uwepo wa wahehe kwenye sekta ya viwnda

  • @amaniHaji
    @amaniHaji 8 месяцев назад

    Mungu akupe maisha marefu

  • @nasibukambona2586
    @nasibukambona2586 6 месяцев назад

    Big up kwa spika wetu kwelii yuko vizuri na msikivu saanaaa

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Год назад +16

    Tanzania nchi ya ajabu sana khaaa 😢😢😢😢😢vitu vya nje vina thamn kubwa kulko vya kwetu tunajidharau

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz 8 месяцев назад

    Dada uko powa njoo uku ✌️✌️

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 7 месяцев назад +1

    Safi dada umeongea kweli

  • @veronicamikoma9687
    @veronicamikoma9687 Год назад +4

    Halalishen gongo jaman hajui watu wanaendesha familia kupitia hiyo pombe na wengine imewasomesha. nyie hamjui tu yan

  • @HappnessMisungwi-br7oo
    @HappnessMisungwi-br7oo 8 месяцев назад

    Safi sana mama

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Год назад +4

    Watu wako busy na ushoga, ila tz Kuna vijana wengi wanavipaji

  • @benjaminmwenda7976
    @benjaminmwenda7976 Год назад +2

    Hoja imejengwa vizuri..!!

  • @mertus.nestory.bishirangon4624
    @mertus.nestory.bishirangon4624 Год назад +1

    Hata.mimi.nimesomeswa.nagongo

  • @genarahaswile2990
    @genarahaswile2990 Год назад

    Munguuu akuzidishie maisha uzid kutetea

  • @LatifaWilliam-ng8hr
    @LatifaWilliam-ng8hr 7 месяцев назад +1

    Jaman jamn hii ni hatari 🥸🥸🥸

  • @PaskaziaEmanuel-zt6ev
    @PaskaziaEmanuel-zt6ev 6 месяцев назад

    Mungu akutunze Dada mzurii

  • @gastonsonnymwaselela4580
    @gastonsonnymwaselela4580 Год назад +1

    Ajengewe Mnara pale Jamanitini 💪

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Год назад +3

    Brand iyo unaitangaza bule🤗 tena NCHI NZIMA ipo apo bungeni

  • @TediciousNdunguru
    @TediciousNdunguru День назад

    Madame asnte kwa hoja yako nzuri

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Год назад +6

    Kweli mtupu. Maana hata wenzetu wanapotaka kulewa na wanakipato kidogo, wanakunywa gongo.

  • @anthonysulula766
    @anthonysulula766 Год назад +2

    Waheshimiwa wabunge,,,hongera kwa kazi nzuri ya kutetea maslahi ya watanzania.tuko nyuma yenu,msichoke kusema juu ya utawala wa mazoea,,kwenye taaluma huku tumeingiliwa na ma bodi ya taaluma yanayojifanya kuwa yapo kwa maslahi ya mtaalam kama vile bodi ya pharmacy, maabara,engineering zote,n.k.badala yake zmeweka mashariti magumu kwa wataalam mwenyewe katika kujiajili na kunufaika na taaluma zako.anae pewa kipaumbele ni mtumishi wa serikali tu.sio mtaalam ktk sekta binafsi.

  • @wilsondavid9741
    @wilsondavid9741 Год назад +7

    Tatzo Hii Nchi haitaki watu wenye akili inapenda watu wajanja janja Tu! Tuvipe thamani vyakwetu!

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Год назад +2

    Umelazimisha ni dhambi kwa mjibu wa dini lakini Mungu hana dini na serikali yetu haina dini

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Год назад +2

    HUYU DADA MBUNGE ANASTAHILI KUWA WAZIRI WA VIWANDA!

  • @user-dd5vf3pl6k
    @user-dd5vf3pl6k 3 месяца назад +1

    Huyu mwanamke kweli anawakilisha wananchi

  • @ThaisonMsuya
    @ThaisonMsuya 8 месяцев назад

    Samaha ni no sana wahedhimiwa mnasema pom ebe pombe na wengine mnajisifia pombe dada Mimi nasema mungu aingilie kt wan

  • @user-vs5ln1ze3q
    @user-vs5ln1ze3q 12 дней назад

    Point sana😢

  • @ritchiemuta1092
    @ritchiemuta1092 Год назад +7

    Agenda nzuri lakini msemaji Hana mtililiko wa mawazo haujapangwa

  • @user-ku7zp2ds4o
    @user-ku7zp2ds4o 8 месяцев назад +1

    YOTE NI UBATILI NA KUJILISHA UPEPO OLE WAO WANAOTUMIA MVINYO NA WANAOPELEKEA WENZAO KILEO. TUBUNI NA KUIAMINI INJILI YA YESU KRISTO KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMEKARIBIA.

  • @stamalamkulungwa8708
    @stamalamkulungwa8708 Год назад +3

    Kiupande frani ameongea point sana

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Год назад +17

    Sera ya viwanda ilikwenda na shujaa wa Africa JPM.

  • @TedyChiguru-sm1nr
    @TedyChiguru-sm1nr Месяц назад

    Hongera muheshimiwa

  • @wallesmdoe9164
    @wallesmdoe9164 8 месяцев назад +1

    Mama una akili sanaaaaaaaaaaaaa

  • @peemsafi6068
    @peemsafi6068 Год назад +4

    huyu ndo kaupiga mwingi sio hao mnao wasujudu🙏

  • @suzankarambo3325
    @suzankarambo3325 8 месяцев назад

    Daaah. Mbunge. Wa .... Nakupenda. Kwa. Hoja. Yako. Upo. Sawa sawa. Tanzania. Tupo. Chini ya. Wakubwaa. Na wenye. Biashara. Kubwaaa
    Uyu. Mzee. Nae. Hajitambuwiiii
    Elendelea. Binti. Yetuuuu
    Tetea nchi. Yako

  • @user-mo7ri7gy1m
    @user-mo7ri7gy1m 3 месяца назад

    Wazo zurisaana dada angu big up

  • @meshackwilson325
    @meshackwilson325 Год назад +1

    Fact

  • @user-bd4uy4ck6y
    @user-bd4uy4ck6y 6 месяцев назад

    Huyu mbunge jamani apewe maua yake anaujua ukweli , pia ni jasiri na hodari ,hongera sana

  • @petermwaghania2882
    @petermwaghania2882 Месяц назад

    Good work mheshimiwa

  • @WitnessKayange-ml1zq
    @WitnessKayange-ml1zq Месяц назад

    Safi sana kiongozi

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Год назад +7

    Hakika dada amenena kaanza vizuri na kamaliza vizuri.... Utekelezwaji ufanyike😅

  • @user-wl6zs4sf5p
    @user-wl6zs4sf5p 19 дней назад

    Welaweraaa safi sana

  • @maikojohny345
    @maikojohny345 Год назад +1

    Hajui kujieleza, anakula kodi za wananchi kizembe sana

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 8 месяцев назад

    Msukuma ni mjinga kupindukia. Ni mjinga hastahili kuwa Bungeni na Atolewe. Hajaelewa nia ya huyu dada. Usomi wa Msukuma ni za kuungaunga.Anajionyesha kuwa Ana uwezo wa wa kununua. Huyu mwenye kukodisha ni mdini na kakuripuka sababu uarabu umetajwa naye ni mwislamu. Ndo udini huo tunaoukataa. Hongera dada. Elimu tunazozitafuta ndio hizi.

  • @richcompanyfilmtv823
    @richcompanyfilmtv823 Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥 point

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 Год назад +2

    Sanamu linakuhusu dada mingine 10

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 4 месяца назад

    Umeongea vizuri sana

  • @TheKaswahili
    @TheKaswahili 6 месяцев назад

    Mbunge huyu amenikuna sana 👍👍👍👍👍👍

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Год назад

    huyu mbunge atafika mbali anasemea creativity ya watanzania inadharauliwa, hii ni kweli kabisa.

  • @SadickSued
    @SadickSued 2 месяца назад

    Ongera sana dada

  • @thomasorembo9830
    @thomasorembo9830 Месяц назад

    Hata konyange inapatikana hapa kenya, business dada

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 Год назад +3

    😄😄😄😄😄,,, mheshimiwa umenichekesha sana..lakin gongo inakatazwa kwasababu inamadhara makubwasana""" inachoma main"" lakin nyingine zote za kienyeji zinatumika kama kawa

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js 6 месяцев назад

    Nagongo wanayoikataza ndowengi.wao wabunge imewasomesha leo hii wanathamini pombe zinazotoka nchi za nje wanazarau zakwetu

  • @TaboraTabora-lr1dq
    @TaboraTabora-lr1dq Месяц назад

    Safi sana

  • @eugenyraphael4334
    @eugenyraphael4334 Год назад +3

    Ukitoka hapo bungeni nitafute,"Mungu akifunua karatasi zao!!! Watakimbia wrote bungeni'

  • @KuntukumuSadam
    @KuntukumuSadam Год назад +1

    Sioh gongo tu mamaaa kila kitu kikibuniwa na watamzania serikali inakuwa ya kwanza kupinga Hiii nchi ni ya ajabu sana

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE Год назад +1

    Fact..

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Год назад +1

    Kwakweli nami nimekuzwa na pombe kijijni kwetu ambayo Dada alikuwa anatengeneza na kutusomesha

  • @vailethkivuyo620
    @vailethkivuyo620 5 месяцев назад

    Huyu mbunge anajielewa sana apewe maua yake♥️

  • @MSHUTIMEDIA
    @MSHUTIMEDIA 5 месяцев назад

    Fact kubwa ❤

  • @NeemaJosephat-gv4ni
    @NeemaJosephat-gv4ni 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤ umeongea point

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Год назад +1

    Tatizo ni vipimo
    Pombe za kieyeji
    Sio mbaya ila zinauwa
    Zinafanya watu vipofu
    Kwa kuchanganya vitu na baadae kua sumu
    Kama wakaguzi wakivipitia sio vibaya

  • @user-hm4hk5hi1c
    @user-hm4hk5hi1c 5 месяцев назад

    Smart girl❤

  • @franciscarsongea7948
    @franciscarsongea7948 8 месяцев назад

    Nimefurahi sana kwa kututetea watu WA Hali ya chini

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 6 месяцев назад

    Mdada MBUNGE udumu umeujua umuhimu wa vyetu viheshimiwe na China wanapenda gongo kuliko konyagi

  • @user-ss3fb6iv2s
    @user-ss3fb6iv2s Год назад +1

    Huyu mbunge wa momba kondester Ana mawazo ya kutetea wanachi, huyo mbunge anaemkashfu na kumthalalisha atumie huo muda wa kumkashifu binti wa watu, tena mtoto wake kabisa, kubtetea wapigakura wake

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi 6 месяцев назад

    Yani ninaomba viongozi watanzania ubu tuvithamini nakuvipenda vituvyakwetu we mh mbunge samahani sana je umeolewa au ujaolewa samahani kwahilo kama ujaolewa naomba nitafute nifikekwawazaziwako nijekukuposa

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Год назад +2

    9:43 Mwamba Msukuma kafunga Mjadala

  • @Emmanuelkeya-mv3mz
    @Emmanuelkeya-mv3mz Месяц назад

    Mhm!!!

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 2 месяца назад +1

    Huyo anayesema kanuni imevunjwa. Yeye na familia yake wanashiba KWa mshahara mkubwa. Hajui mama mhangaikaji anayeuza gongo anakula nini. Yaani bungeni kuna watu humo wanasinzia tu. Badala ya kusikiliza Hoja anapanga namba kupinga Hoja.😂😂😂😂

  • @mashafestusmramba7577
    @mashafestusmramba7577 6 месяцев назад

    Huyuu mbunge yuko vizuri kabaa

  • @FREDKILIMBI
    @FREDKILIMBI 7 месяцев назад

    😮

  • @SamsonKena
    @SamsonKena 23 дня назад

    Dar anajua.

  • @danielnyantory5132
    @danielnyantory5132 2 дня назад

    Hata mahidi na mtama ulizi na ndixi vyote hivyo vinatengeneza pombe aina ya kinyongi na gogo pia

  • @mariatumaini-nv6oq
    @mariatumaini-nv6oq Год назад

    Dada upo sahii sana

  • @marianguli7994
    @marianguli7994 6 месяцев назад

    Mmmh hatar sana ett anapigia debe watu kulewa ni upuuzi mtupu, pombe inafaida gani?? Pombe ya nje, pombe ya ndani ya nchi zote hazifai na ni machukizo mbele za Mungu kama umeokoka, kajitathimini tena mbingu ipi hiyo unakwenda?? Hakuna kinyonge wala kidhaifu kitakachoingia mbinguni.

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 8 месяцев назад

    Safi

  • @sangudiamayenga871
    @sangudiamayenga871 2 месяца назад

    Mbunge huyu 👍👍👍

  • @masungantinginyamaige3293
    @masungantinginyamaige3293 8 месяцев назад

    Ww mbunge kichwa xn upo vzr xana tutetee wauza gongo jmn tunafelishwa na serikal

  • @ChristinaChangundile
    @ChristinaChangundile 9 дней назад

    Ni kweli ubunifu upatiwe nafasi

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Год назад +5

    Dada anakosea sana kutaja taja Morena...

    • @Dantaata
      @Dantaata Год назад +1

      una mawazo we jichunguze

    • @Fefetubes
      @Fefetubes Год назад +1

      😂😂😂

    • @mwas-kg5on
      @mwas-kg5on Год назад

      Ukweli hafai kutaja jina ya mfanya biashara

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 3 месяца назад

    Ole wao wampao jirani yake kileo Mungu anakataa wote wanakunywa wanakwenda kuzumu

    • @Makala360
      @Makala360 3 месяца назад

      Tutoleee ukundu wako na ww

  • @tumainidaudi9900
    @tumainidaudi9900 Год назад

    Marekani watu wanaitamani sana Gongo wengine wanaiagiza kutoka Gana

  • @kamwagamwanjale1575
    @kamwagamwanjale1575 9 месяцев назад

    Waliopoza hapo ni watengeneza vifungashio , hebu changamkeni kutufungia HIYO YA TANZANIA drinks😂

  • @annaemmanuel3362
    @annaemmanuel3362 8 месяцев назад

    😢

  • @ismailabbas4197
    @ismailabbas4197 Месяц назад

    Kuna best angu hapa anaelekea nje ya ukumbi wa bunge kumpokea waziri hizo sample za vinywaji 😂

  • @petermwaghania2882
    @petermwaghania2882 Месяц назад

    Mheshimiwa pongezi kutoka kenya

  • @officialsuccesschannel
    @officialsuccesschannel Год назад

    FACT SANA

  • @shaniasadick3915
    @shaniasadick3915 Год назад +1

    Safi sañ

  • @hiramnjeru6457
    @hiramnjeru6457 10 часов назад

    Ukweli nawoo lazima mtupe ukwelii

  • @robertmwamengo5167
    @robertmwamengo5167 6 месяцев назад

    Watetezi wa watsnzania wapo ila hawathaminiwi hongera sana mheshimiwa