MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"
HTML-код
- Опубликовано: 4 май 2023
- MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Huyu MWANAMKE nimempenda sana
Ana Hoja Kweli Aiseee ❤ Ajengewe Sanamu pale dodoma
🤣🤣🤣
Askari kumbukeni mlikotoka na maneno ya huyo mama niukweli mtupu
Kiumweli Tanzania tunafeli sana halalisheni gongo iuzwe madukani shida yetu nini badala muiboreshe mnaipiga vita mna kubali mpaka pombe zinazotoka mpaka Uganda hacheni izo bwana
Wapo viongoz wanaopnda maendeleo nchini hongera sana muheshimiwa MUNGU akujaarie
Asante sana mh mbunge samahani je umeolewa au ujaolewa nimekupendasana unahojamzuriww aisee
Hongera dada japo mimi natambua pombe ni dhambi
Nimekupenda bure dada mbunge, pombe ni haram lkn uko vzr ktk hoja zako na zinaeleweka, ❤
Nakushukuru Sana mbunge kwa hoja nzuri, Cha msingi gongo ihararishwe na isiuzwe kwa kificho ili wananchi wajiajiri. Wasambaa wa lushoto wanatengeneza pombe ya miua ambayo haina utofauti na gongo.
Point sana kiongoz
Mungu akupe maisha malefu kwa kujua ukweli
Huyuu anaongea point kubwa
Muheshmiwa hujui tu unatia watu kiu😂😂
Halafu cku nyingine uje na kopo la ulanzi kwa kutambua uwepo wa wahehe kwenye sekta ya viwnda
😂😂😂😂
😅😅😅
Mungu akupe maisha marefu
Big up kwa spika wetu kwelii yuko vizuri na msikivu saanaaa
Tanzania nchi ya ajabu sana khaaa 😢😢😢😢😢vitu vya nje vina thamn kubwa kulko vya kwetu tunajidharau
Dada uko powa njoo uku ✌️✌️
Safi dada umeongea kweli
Halalishen gongo jaman hajui watu wanaendesha familia kupitia hiyo pombe na wengine imewasomesha. nyie hamjui tu yan
Safi sana mama
Watu wako busy na ushoga, ila tz Kuna vijana wengi wanavipaji
Hoja imejengwa vizuri..!!
Hata.mimi.nimesomeswa.nagongo
Munguuu akuzidishie maisha uzid kutetea
Jaman jamn hii ni hatari 🥸🥸🥸
Mungu akutunze Dada mzurii
Ajengewe Mnara pale Jamanitini 💪
Brand iyo unaitangaza bule🤗 tena NCHI NZIMA ipo apo bungeni
Madame asnte kwa hoja yako nzuri
Kweli mtupu. Maana hata wenzetu wanapotaka kulewa na wanakipato kidogo, wanakunywa gongo.
Waheshimiwa wabunge,,,hongera kwa kazi nzuri ya kutetea maslahi ya watanzania.tuko nyuma yenu,msichoke kusema juu ya utawala wa mazoea,,kwenye taaluma huku tumeingiliwa na ma bodi ya taaluma yanayojifanya kuwa yapo kwa maslahi ya mtaalam kama vile bodi ya pharmacy, maabara,engineering zote,n.k.badala yake zmeweka mashariti magumu kwa wataalam mwenyewe katika kujiajili na kunufaika na taaluma zako.anae pewa kipaumbele ni mtumishi wa serikali tu.sio mtaalam ktk sekta binafsi.
Tatzo Hii Nchi haitaki watu wenye akili inapenda watu wajanja janja Tu! Tuvipe thamani vyakwetu!
Umelazimisha ni dhambi kwa mjibu wa dini lakini Mungu hana dini na serikali yetu haina dini
HUYU DADA MBUNGE ANASTAHILI KUWA WAZIRI WA VIWANDA!
Huyu mwanamke kweli anawakilisha wananchi
Samaha ni no sana wahedhimiwa mnasema pom ebe pombe na wengine mnajisifia pombe dada Mimi nasema mungu aingilie kt wan
Point sana😢
Agenda nzuri lakini msemaji Hana mtililiko wa mawazo haujapangwa
Kweli kabisa
Kiukweli
YOTE NI UBATILI NA KUJILISHA UPEPO OLE WAO WANAOTUMIA MVINYO NA WANAOPELEKEA WENZAO KILEO. TUBUNI NA KUIAMINI INJILI YA YESU KRISTO KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMEKARIBIA.
Kiupande frani ameongea point sana
Sera ya viwanda ilikwenda na shujaa wa Africa JPM.
Hongera muheshimiwa
Mama una akili sanaaaaaaaaaaaaa
huyu ndo kaupiga mwingi sio hao mnao wasujudu🙏
Daaah. Mbunge. Wa .... Nakupenda. Kwa. Hoja. Yako. Upo. Sawa sawa. Tanzania. Tupo. Chini ya. Wakubwaa. Na wenye. Biashara. Kubwaaa
Uyu. Mzee. Nae. Hajitambuwiiii
Elendelea. Binti. Yetuuuu
Tetea nchi. Yako
Wazo zurisaana dada angu big up
Fact
Huyu mbunge jamani apewe maua yake anaujua ukweli , pia ni jasiri na hodari ,hongera sana
Good work mheshimiwa
Safi sana kiongozi
Hakika dada amenena kaanza vizuri na kamaliza vizuri.... Utekelezwaji ufanyike😅
Welaweraaa safi sana
Hajui kujieleza, anakula kodi za wananchi kizembe sana
Msukuma ni mjinga kupindukia. Ni mjinga hastahili kuwa Bungeni na Atolewe. Hajaelewa nia ya huyu dada. Usomi wa Msukuma ni za kuungaunga.Anajionyesha kuwa Ana uwezo wa wa kununua. Huyu mwenye kukodisha ni mdini na kakuripuka sababu uarabu umetajwa naye ni mwislamu. Ndo udini huo tunaoukataa. Hongera dada. Elimu tunazozitafuta ndio hizi.
🔥🔥🔥🔥🔥 point
Sanamu linakuhusu dada mingine 10
Umeongea vizuri sana
Mbunge huyu amenikuna sana 👍👍👍👍👍👍
huyu mbunge atafika mbali anasemea creativity ya watanzania inadharauliwa, hii ni kweli kabisa.
Ongera sana dada
Hata konyange inapatikana hapa kenya, business dada
😄😄😄😄😄,,, mheshimiwa umenichekesha sana..lakin gongo inakatazwa kwasababu inamadhara makubwasana""" inachoma main"" lakin nyingine zote za kienyeji zinatumika kama kawa
Nagongo wanayoikataza ndowengi.wao wabunge imewasomesha leo hii wanathamini pombe zinazotoka nchi za nje wanazarau zakwetu
Safi sana
Ukitoka hapo bungeni nitafute,"Mungu akifunua karatasi zao!!! Watakimbia wrote bungeni'
Dada Yuko vizuri sana
Sioh gongo tu mamaaa kila kitu kikibuniwa na watamzania serikali inakuwa ya kwanza kupinga Hiii nchi ni ya ajabu sana
Fact..
Kwakweli nami nimekuzwa na pombe kijijni kwetu ambayo Dada alikuwa anatengeneza na kutusomesha
Huyu mbunge anajielewa sana apewe maua yake♥️
Fact kubwa ❤
❤❤❤❤ umeongea point
Tatizo ni vipimo
Pombe za kieyeji
Sio mbaya ila zinauwa
Zinafanya watu vipofu
Kwa kuchanganya vitu na baadae kua sumu
Kama wakaguzi wakivipitia sio vibaya
Smart girl❤
Nimefurahi sana kwa kututetea watu WA Hali ya chini
Mdada MBUNGE udumu umeujua umuhimu wa vyetu viheshimiwe na China wanapenda gongo kuliko konyagi
Huyu mbunge wa momba kondester Ana mawazo ya kutetea wanachi, huyo mbunge anaemkashfu na kumthalalisha atumie huo muda wa kumkashifu binti wa watu, tena mtoto wake kabisa, kubtetea wapigakura wake
Yani ninaomba viongozi watanzania ubu tuvithamini nakuvipenda vituvyakwetu we mh mbunge samahani sana je umeolewa au ujaolewa samahani kwahilo kama ujaolewa naomba nitafute nifikekwawazaziwako nijekukuposa
9:43 Mwamba Msukuma kafunga Mjadala
Mhm!!!
Huyo anayesema kanuni imevunjwa. Yeye na familia yake wanashiba KWa mshahara mkubwa. Hajui mama mhangaikaji anayeuza gongo anakula nini. Yaani bungeni kuna watu humo wanasinzia tu. Badala ya kusikiliza Hoja anapanga namba kupinga Hoja.😂😂😂😂
Huyuu mbunge yuko vizuri kabaa
😮
Dar anajua.
Hata mahidi na mtama ulizi na ndixi vyote hivyo vinatengeneza pombe aina ya kinyongi na gogo pia
Dada upo sahii sana
Mmmh hatar sana ett anapigia debe watu kulewa ni upuuzi mtupu, pombe inafaida gani?? Pombe ya nje, pombe ya ndani ya nchi zote hazifai na ni machukizo mbele za Mungu kama umeokoka, kajitathimini tena mbingu ipi hiyo unakwenda?? Hakuna kinyonge wala kidhaifu kitakachoingia mbinguni.
Safi
Hip kaka
Mbunge huyu 👍👍👍
Ww mbunge kichwa xn upo vzr xana tutetee wauza gongo jmn tunafelishwa na serikal
Ni kweli ubunifu upatiwe nafasi
Dada anakosea sana kutaja taja Morena...
una mawazo we jichunguze
😂😂😂
Ukweli hafai kutaja jina ya mfanya biashara
Ole wao wampao jirani yake kileo Mungu anakataa wote wanakunywa wanakwenda kuzumu
Tutoleee ukundu wako na ww
Marekani watu wanaitamani sana Gongo wengine wanaiagiza kutoka Gana
Waliopoza hapo ni watengeneza vifungashio , hebu changamkeni kutufungia HIYO YA TANZANIA drinks😂
😢
Kuna best angu hapa anaelekea nje ya ukumbi wa bunge kumpokea waziri hizo sample za vinywaji 😂
Mheshimiwa pongezi kutoka kenya
FACT SANA
Safi sañ
Ukweli nawoo lazima mtupe ukwelii
Watetezi wa watsnzania wapo ila hawathaminiwi hongera sana mheshimiwa