Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июн 2023
  • Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.

Комментарии • 414

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 11 месяцев назад +22

    msukuma ni mfanyabiashara mkongwe wa DHAHABU tangia miaka ya 80,,,,,ni mtu mwenye utajiri Long time na wala sio mtu wakujiskia saana ni mtu simpo saana pia ni mtu wa watu,,,,,ana real eastate kanda ya ziwa bab kubwa..pia ana kamuni za transport na etc

  • @mosesbaruti306
    @mosesbaruti306 Месяц назад +1

    Ninachukia sana kutoka moyoni Nchi yetu na Watanzania kuitwa masini,Namuombea Mungu ampe mama yetu Rais wetu Samia Suluhu Hassani ujasiri wa maamuzi mazito.

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 2 месяца назад +1

    Nchi Hii Wasomi Ndio Kikwazo Hongera Sana Dr.Msukuma

  • @patriceomolo232
    @patriceomolo232 19 дней назад

    Asante sana msukuma you are a good man. May God bless you and provide for you long life. You speak the truth

  • @JohnSteven-ox3pv
    @JohnSteven-ox3pv Месяц назад +1

    Dah.. doctor msukuma me nakuomba uje ugombee uraisi maana asaiv c.v unayo ya usomi so nakuona mbali sana ndg yangu ❤❤❤ tunataka uje kua raisi wetu bhn....

  • @NurudiniNdoka
    @NurudiniNdoka 7 дней назад +1

    Safi sana msukuma.

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty 10 месяцев назад +3

    Msukuma uko vizuri umewapigilia msumari wa moto

  • @PauloPetro-nv6pi
    @PauloPetro-nv6pi 6 месяцев назад +5

    Hongeraa sanaaa MUNGU akufanikishe katika mambo yote

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 2 месяца назад +3

    Hongera kaka uko vzr kiukweli huna shida

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 6 месяцев назад +4

    Msukuma uko vizuri Sana kaka naomba nmawasiliano yako kaka

  • @hamadmhchande5633
    @hamadmhchande5633 Месяц назад +1

    Acheni unafiki hivi viblog uchwara tangia lini anamiliki ndege msukuma?

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 6 месяцев назад +3

    Naomba mawasiliani yako mheshimiwa uko vizuri Sana kimtazamo

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe 11 месяцев назад +5

    Mashaallah watu heshimu msio wajua ache dharau

  • @rosechuwa9493
    @rosechuwa9493 11 месяцев назад +19

    Huyu mwamba namkubali sana, msukuma mungu akubariki sana wewe ni hazina muhimu sana hapa Tanzania

    • @ramadhanihamisi9393
      @ramadhanihamisi9393 10 месяцев назад +1

      Wananchi was geita mnakila sababu ya kujivunia kwa mbunge mlie nae ni jembe msukuma namkubali Sana akisimama bungeni utafurahi mungu akulinde na Kila baya

    • @AndrewMasaga
      @AndrewMasaga 9 месяцев назад

      Hakuna lolote tunataka ndege yetu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Месяц назад +1

    Mungu akubariki mbunge msukuma, nakupenda sana ❤

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 11 месяцев назад +10

    Msukuma shikamoo!! nakupenda toka rohoni Mungu akulinde baba yetu

  • @user-pc1cs6nd4y
    @user-pc1cs6nd4y Месяц назад +1

    Msukuma salute kula yangu kwako

  • @user-wb5pk9km5o
    @user-wb5pk9km5o 6 месяцев назад +2

    Ni kweli uliniuzia simu mbovu Ta nga ugomvi ulimalizwa na Mfanya biashara mmoja wa kiasia aliyerudisha pesa zangu na kunisihi nimwachie simu take ugomvi ukaishia hapo kumbe ni home boy wangu Swagger wazijua

  • @LukasiJeremiah
    @LukasiJeremiah Месяц назад +1

    Hongera bro uraisi unakufaa chukua fomu ya mgombea

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 11 месяцев назад +5

    King msukuma Ly umeuwa huo ndio ukweli Mungu akubarik %100

  • @musasaguti4760
    @musasaguti4760 3 месяца назад +2

    Musukuma uko vizuri, huna baya mdogo wangu

  • @farajamwakifuna303
    @farajamwakifuna303 2 месяца назад +3

    Respect sana Mheshimiwa

  • @daudifungo5521
    @daudifungo5521 16 дней назад

    Sana Mzee Baba Kazi Iendelee Umetisha Sana
    Waache Majungu Watafute Pesa

  • @user-mj1hq3fn1m
    @user-mj1hq3fn1m 8 месяцев назад +3

    Shukran msukuma swali umefanya wema mzuri sana na je wewe ni mwislam au mkristo maana naona unapendeza sana

  • @user-px6px4tf2g
    @user-px6px4tf2g 7 месяцев назад +2

    Mungu akulinde na maaadui uishi miaka ming

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Месяц назад +1

    Hawakukujui hao kua wew ni king

  • @gloryjacson
    @gloryjacson 6 месяцев назад +2

    Hongera brother unamalengo mazuri sana umefika pazuri sana mbunge tajiri

  • @EdithaMgoha-jy7ev
    @EdithaMgoha-jy7ev 6 месяцев назад +2

    Mungu akujalie Baba wa wetu achana na maneno ya wakosaji

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 9 месяцев назад +1

    Mheshimiwa Dr. Tafadhali njoo kwetu Umfundishe mbunge wa Bukoba vijijini asaidie wananchi wake hata maji hakuna watu wanakunywa maji yanayo nyweshea Ng'ombe na wakati wa kuomba........

  • @mussamkumbukwa5053
    @mussamkumbukwa5053 Месяц назад +1

    Safi Mh Msukuma umesema ukwelii.

  • @DanielKagoma-nx8ff
    @DanielKagoma-nx8ff 2 месяца назад +1

    Kaka msukuma uko vizuri Mungu akubariki Sana tunakuombea Sana Mimi Niko Tabora mjini naomba namba zako mkuu naitwa Daniel kagoma

  • @winnerkondejunior1890
    @winnerkondejunior1890 5 месяцев назад +1

    MH Musukuma myooshe. From Mozambique

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo 11 месяцев назад +2

    Safi m'bunge ayo ndo mambo tunayo yataka bandari ya kisasa sio maneno ya kuku kashifu mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe

  • @jacksonjosephmollel3833
    @jacksonjosephmollel3833 Месяц назад +1

    Naombeni namba ya MUSUKUMA...

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 8 месяцев назад +3

    Hongera baba mungu akubariki sana umeaso sana

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 2 месяца назад

    Nampenda xana msukuma, Mungu ampe maisha marefu

  • @SammitindoJeremia-jv4qb
    @SammitindoJeremia-jv4qb 10 месяцев назад +3

    Daaaah umetisha mzeebaba uko vizuri sana

  • @metusalnganga1002
    @metusalnganga1002 11 месяцев назад +6

    Msukuma Big up🎉🎉🎉🎉

  • @user-wp8yk6ow8h
    @user-wp8yk6ow8h 2 месяца назад

    Wabunge wote wangeliikuwa kama msukuma nchi ingepiga hatua kwa mda mfupi sana hongera sana msukuma

  • @user-zn7vw3pj6p
    @user-zn7vw3pj6p 6 месяцев назад +2

    Kaka
    Nakuelewasana.barikiwasana

  • @withomsigala4389
    @withomsigala4389 10 месяцев назад +2

    Hongera sana kwa majukumu ya kazi ya kuwatetea wanyonge Mheshimiwa Mbunge Msukuma

  • @robertpaul7714
    @robertpaul7714 11 месяцев назад +8

    Nilichokiona humu watu mna makasiriko sana tafteni hela acheni kelele mtabakia kutoa comments za kutukana bure tu hii nchi usijifanye unaijua sana we kua mzalendo tu pia fanya kazi kwa bidii 💴💸

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 11 месяцев назад +1

      Kwa kweli watu wanamakasiriko na roho mbaya!

    • @Bikhafija
      @Bikhafija 11 месяцев назад

      Mungu akujaalie

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 11 месяцев назад +2

    Msukuma hongera sana,naomba ninunulie japo IST niendee Kanisani, sio kwa utajiri huo.

    • @emmanuelmauki2938
      @emmanuelmauki2938 11 месяцев назад

      🤣🤣🤣

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 11 месяцев назад

      @@emmanuelmauki2938 Emmanuel nimechoka kutembea na boda wakati wengine wanautajiri wote huo.Msukuma anielewe tu.Yaaani IST tu na Mungu atazidi kumbariki.

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 11 месяцев назад +4

    Kasheku msukuma we Ni noma PhD ilikuwa haki yako baba

  • @ramadhanihamisi9393
    @ramadhanihamisi9393 10 месяцев назад +2

    Bradha msukuma mm binafusi nakukubali hoja na ushauri unao shauri serekali au mtu binafusi bigapu mungu akulinde na Kila baya zaidi akuongeze riziki zaidi

  • @praygodmunisi8999
    @praygodmunisi8999 11 месяцев назад +17

    😂aliye mchokoza msukuma kazi anayo,, Siyo Kwa michambo hiyo😂😂

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 2 месяца назад +1

    Hongera musukuma

  • @user-vy9pz7sk4z
    @user-vy9pz7sk4z 5 месяцев назад +2

    Uyu jamaa kiongoz mzur

  • @FidelisiKavishe
    @FidelisiKavishe Месяц назад

    Msukuma hongera baba chukua maua yak❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋

  • @deusvincent1489
    @deusvincent1489 11 месяцев назад +3

    Bandari sawa lakini sio kwa Mkataba huo Kaka. Povu jingi linatushangaza.

  • @user-jo3ip7zq9j
    @user-jo3ip7zq9j 9 месяцев назад +1

    Mheshimiwa athanasius na vyako mbona kimya kuhusu bandari.

  • @aidatimakunda387
    @aidatimakunda387 11 месяцев назад +2

    Kwa kweli Big up MP. Msukuma

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 11 месяцев назад +4

    Kazi kazi , Jembe kama Jembe

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 10 месяцев назад +1

    Hongera msukuma wewe ni mbunge wa kwanza kuwajali watu wa jimbo lako na hakuna aliefanya kama wewe hata magufuli hakuwahi kufanya jimboni kwake wape ukweli hawo waliohongwa kupinga huo uwekezaji nadhani hao wanafaidika na ule wizi mkubwa unaofanya bandarini wacheni wapige kelele bandari itaingia ubia washenzi

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864 16 дней назад

    Siku naambiwa jamaa ana miaka 60 nikaendelea kushangaa sana.

  • @wachachesana
    @wachachesana 11 месяцев назад +2

    Nakubali sana mbunge wangu vijijini geita

  • @abadharkhamis5909
    @abadharkhamis5909 11 месяцев назад +2

    Mskuma umetisha sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 8 месяцев назад +2

    Hongera sana ndugu

  • @amimumufaumekikwasa5921
    @amimumufaumekikwasa5921 8 месяцев назад +1

    Mzee upo asahihi kabisa unafudha watu jisi ya kuishi na watu, na kukubali mzee wangu.

  • @prosperkimaro4660
    @prosperkimaro4660 9 месяцев назад +2

    Mwbamba upo vizuri

  • @meroymollel9156
    @meroymollel9156 11 месяцев назад +1

    Hongera sana Mh. msukuma

  • @user-cg5ly5rg8z
    @user-cg5ly5rg8z 10 месяцев назад +1

    Nimekuelewa sana mbunge

  • @user-hv6pc8kq5c
    @user-hv6pc8kq5c 9 месяцев назад +2

    Tajiri tu

  • @mambotv1233
    @mambotv1233 11 месяцев назад +2

    Hongera sana msukuma

  • @johnginni9926
    @johnginni9926 11 месяцев назад +4

    We mpigaji tu na ukianza Kwa msukuma mwenziee

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 11 месяцев назад +3

    Big up msukuma

  • @GodsonMasawe
    @GodsonMasawe 2 месяца назад

    Mungu akulinde Archana na wambea

  • @suleimanrodriguez9484
    @suleimanrodriguez9484 9 месяцев назад +1

    Hawa ndo watetezi wa uma

  • @Goodlucklucas
    @Goodlucklucas 11 месяцев назад

    Alie muelewa Mh: Msukuma like ziko wapi watu tunataka tukakae Ulaya we unaturudisha tukakae vijijini

  • @hafidhbarau9981
    @hafidhbarau9981 11 месяцев назад +7

    Mungu akubariki brother, mungu akulinde na maadui wako, mungu azibariki Mali zako, mungu akupe moyo wa huruma na upendo uwe na moyo wa kuwasaidia wasiojiweza pamoja na wananchi wako,

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 11 месяцев назад +4

    King msukuma

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 11 месяцев назад +8

    Tatizo la Tanzania wengi wao awajishuhulishi 1)wanaume wazoea kuongwa 2) wanawake wamezoea kujiuza Japo c wote awapendi kazi wanaume wamezoea kumshusha suruali matakoni nywele kueka dawa starehe nyingi, nguo, Sasa Mtu anaenda kununua kiatu 70000 wakati anaweza nunua mbuzi 3 wakufuga Kwa mwaka ana mbuzi Wangapi !!!? Mtu anaenda nunua jinsi 30000 niela ya kuku wakufuga unapata kuku 6 Kwa mwaka ana kuku Wangapi na Ndo mana akiona Mtu ana maendeleo km msukuma wawatu utasikia mwinzi mara frimanson sio kununua bandar tu nunua na Zanzibar kabisa baba

    • @detlantamarooned1809
      @detlantamarooned1809 11 месяцев назад

      Mimi nanunua kiatu 90,000 na suruali hata ya 45,000 au ziadi. Kununua suruali au kiatu cha gharama haikufanyi uwe masikini,ila jambo la kuzingatia ni kwamba mahitaji yaendane na kipato chako. By the way,hela ninayo ya kutosha.

    • @joyceassey2347
      @joyceassey2347 11 месяцев назад

      @@detlantamarooned1809 eeeee kaka mwenye mihela tugawane basi😅

    • @detlantamarooned1809
      @detlantamarooned1809 11 месяцев назад

      @@joyceassey2347 Usijali,tutagawana tu bila tatizo nikikuoa😂😂😂

    • @joyceassey2347
      @joyceassey2347 11 месяцев назад

      @@detlantamarooned1809 daaah mpaka unione jmn

    • @joyceassey2347
      @joyceassey2347 11 месяцев назад

      @@detlantamarooned1809 🤣🤣🤣

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 2 месяца назад

    Sasa kama msukuma unaweza nunua hizo mwenyewe serikali inashindwaje kusaidia JAMII ambapo inawajibika kisheria ? Hospital hazina vifaa nk inathibitisha kuwa serikali inaweza kufanya ila bado hawako tayari

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 месяцев назад

    HONGERA SANAA NDUGU MSUKUMAA. KUSOMA SANAA , HAIMAANA NDO UNAAKILI SANAA. AKILI MTU ANAZALIWA NAYO. WAPE SIRI YA MAFANIKIO YAKOO.

  • @sofiamfaramago3820
    @sofiamfaramago3820 9 месяцев назад +2

    Kaaah sawa baba !

  • @khatimushabani3941
    @khatimushabani3941 11 месяцев назад +3

    Nakubali kaka

  • @josephdaniel7341
    @josephdaniel7341 11 месяцев назад +5

    Mh Msukuma .Mimi naomba Unisaidie hata mtaji wa ml 2,000,000/= Ninashida sana ..

  • @user-el2qg1zj4l
    @user-el2qg1zj4l 11 месяцев назад +1

    Hongera

  • @kaburaprince3596
    @kaburaprince3596 11 месяцев назад +1

    Asanteni

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 11 месяцев назад +9

    Jamani aliemchokoza msukma akamuombe msamaaa

  • @LukasiJeremiah
    @LukasiJeremiah Месяц назад

    Msukuma gombea uraisi mama akimaliza kipidi chake unaweza ,

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 11 месяцев назад +4

    Msukuma shikamooo, mwenye namna ya kupata namba ya msukuma ninaomba aisogeze hapa

  • @oskabajumz3210
    @oskabajumz3210 9 месяцев назад +1

    Maizii kamawegine

  • @user-vz4bz5ry6f
    @user-vz4bz5ry6f 7 дней назад

    Tabora tupo pamoja nawewe msukuma salum apa

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 2 месяца назад

    Ukweli ni ukweli sawa baba you big up

  • @eliahonline3405
    @eliahonline3405 6 месяцев назад

    Msukuma namjua vzr sana toka akiwa diwani wa kata ya nzera, alikuwa anamiliki gali ya kifahari

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 10 месяцев назад

    Msukuma unasema ajira zitaongezeka sana hao waarabu wakisha pewa bandari , hapohapo unatuonesha jinsi mitambo ya kisasa inavyo fanya kazi bila mkono wa mswahili huko bandarini. Mimi nina mashaka, ombi langu kwako utusaidie kujua huo mkataba wa bandari zimo hizo nafasi za ajira ulizo zisema kwenye clip hii? Pamoja na kutuonesha utajiri mwingi ulio nao huo hauwezi kukuzuia usipokee hongo.

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 11 месяцев назад +5

    Sema umeongea sana facts your the best

  • @FulbertFisoo
    @FulbertFisoo 11 месяцев назад +8

    Kwani ukiwa tajiri unashindwa kuhongwa kubali kuwa umekula unga wa ndere kwa hilo

  • @MrNibiru2112
    @MrNibiru2112 11 месяцев назад +3

    Watu wachache bandrini unasema wewe, ajira zitaongezeka dar unasema wewe...wacha tuuzwe tu

  • @abdulkarimmgunya513
    @abdulkarimmgunya513 6 месяцев назад

    Pamoja sana ndugu yangu

  • @user-jy2qz8hh7w
    @user-jy2qz8hh7w 8 месяцев назад +1

    Nimekukubali msukuma ukweli unao hili

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 8 месяцев назад +1

    Anahongwa sana huyu

  • @emeliasiame
    @emeliasiame 3 месяца назад

    Kweli kabisa bb msukuma nakukubali saana boss huna baya na mtu

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 11 месяцев назад +2

    Nilikuamia Sana kwenye bunge lakini kwa Sasa Niko na mashaka Sana na wewe kumbe wafanya biashara mko hivyo du

  • @davidpaulbernard
    @davidpaulbernard 8 месяцев назад +3

    Suala la kuwa na pesa nyingi haliwezi kukuzuia wewe kuhongwa na ninafikiri kuhongwa unaweza hongwa tu hata Kama una ndege

    • @user-wp8yk6ow8h
      @user-wp8yk6ow8h 2 месяца назад

      Hizo ni fitna zako na roho mbaya yako msukuma si jamaa yangu lkn ni mtu mkweli na amekinai na asili ya utajiri wake ni juhudi zake kabla ya ubunge na mwenyezi mungu akaweka baraka zake nyie ndio watu wenye siasa za kifitna fitna mtakufa vinywa wazi na laana yenu hiyo

  • @GelsonAbeli-xu5uh
    @GelsonAbeli-xu5uh Месяц назад

    kumbe jamaa yupo vzr ila anavyo ishi na watu wake geita vijijin kiselasela

  • @ZionTZ09
    @ZionTZ09 11 месяцев назад +6

    Msukuma kwamba Mbowe anakosa nauli kwenda nje? hahahahahah msukuma kua serious kaka.

  • @shurungubunzari9474
    @shurungubunzari9474 8 месяцев назад +1

    Yes my boss

  • @gindamaster1784
    @gindamaster1784 11 месяцев назад +17

    Men lie women lie, numbers don't lie. Kudos Msukuma, am inspired

    • @jdanny497
      @jdanny497 11 месяцев назад

      Danganya Dar na Dodoma sio mwanza

    • @noramkendamunishi6902
      @noramkendamunishi6902 11 месяцев назад

      Si kweli. Kuwa na hela hakuzuii kupokea rushwa. Ila Kama hajapokea ni vizuri Sana.
      Ila swali langu kazi ya mbunge ni kutoa misaada kwa wananchi au kufikisha hoja za wananchi bungeni na kuziweka kwa ufasaha ziweze kufanyiwa kazi na serikali?

    • @GaudenceTesha
      @GaudenceTesha 9 месяцев назад

      Halo sawa mku