MUSUKUMA AWAJIBU WANAOSEMA KAHONGWA GARI na DP World -"NAMILIKI NDEGE, NYUMBA na MAGARI ya KIFAHARI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июн 2023
  • MUSUKUMA AWAJIBU WANAOSEMA KAHONGWA GARI na DP World -"NAMILIKI NDEGE, NYUMBA na MAGARI ya KIFAHARI"
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 64

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @IsaaclenkaiPassiany
    @IsaaclenkaiPassiany 7 месяцев назад +1

    Nakukubali sana piga kazi kamanda

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 Год назад +3

    Umebadilika sana ww kunakitu umepata kwajili ya kutulagai watanzani

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c 4 месяца назад

    Mh msukuma mim nakukubar sana kaka hata kama unaongwa lakin unajitahid kuishauli serikali wewe na mh mpina🤝🤝

  • @user-jl7zm6xw2d
    @user-jl7zm6xw2d 10 месяцев назад

    I really love you hon. Musukuma

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 2 месяца назад

    Ndio maana huwa nasema kila siku mungu na biashara ndio kila kitu

  • @KulwaKahuzu
    @KulwaKahuzu 2 месяца назад

    Nakukubali hojazako musukuma zuli sana

  • @charlesowenya2872
    @charlesowenya2872 Год назад +2

    Ungekuwa hujaongwa usinge tumia nguvu kubwa kutaja utajiri wako( something went wrong)

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw 17 дней назад

    Hata ukihongwa kwani ni vibaya kama na wao wakihitaji wakahongwe tuu

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 Год назад

    Safi sana

  • @joshuamtinangi6958
    @joshuamtinangi6958 Год назад

    Maswala ya kukadiria Kodi yanatumia vigezo viwili.
    1. Mapato yako
    2.Matumizi yako.
    Ni vizuri Msukuma awe mwangalifu kutangaza matumizi yake.
    Lakini hata hivyo wanaichi watafurahi walikuwa ulipaji Kodi wake.

  • @user-fl4lr2lq3s
    @user-fl4lr2lq3s Год назад +2

    Hizo zakoo sisi tunaongelea taifa

  • @blackothman7332
    @blackothman7332 Год назад +1

    Washakula pesa hao za waarabu nasemaje kwenye hili la bandari mtatuua

  • @user-jl7zm6xw2d
    @user-jl7zm6xw2d 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Год назад +1

    Nakumbuka kipind lowasa anataka urais 2015 alienda na ndege yake ........kwenye hili wamuache tuh

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 Год назад +2

    Msukuma,ni tajiri mkubwa sana,kanda ya ziwa pamoja na kishimba

    • @kanyeshahigirimana5686
      @kanyeshahigirimana5686 Год назад +2

      Umeongea ukweli kabisa mwaya
      Wa kanda ya ziwa ndio tunamjua vizuri

    • @thebushguy5774
      @thebushguy5774 11 месяцев назад

      Kwani ukiwa tajiri ukipata hela ama kitu cha thamani cha haraka haraka utakataa

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 Год назад +1

    Tanzania kwakweli wanaletewa mambo mazuri wanaona wanapigwa hawajui hapa ilipo wanapigwa

  • @user-ht8xe2gt3z
    @user-ht8xe2gt3z 4 месяца назад

    Sawa mbunge nakuomba unisaidie kumsomesha mtto wakaka angu mzazi wake katangulia mbele za haki baba yke kavunjika anatakiwa kuwekewa chuma

  • @Nikolausdminde
    @Nikolausdminde 6 месяцев назад

    Jaman achen kumjadili msukuma anamiradi mikubwa kuliko wabunge wote ni mbunge wakuigwa

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Год назад

    Hongera sana mheshimiwa msukuma najuwa unajiamini na mpambanaji

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 Год назад

    Wabunge wetu ni matajiri sana. Hata ubunge wao ni element tuu kuepuka kuumia ikitokea ajali,, lkn hawajachukua ile dhima ya kuea mbunge, yaani mwakilishi wa wanchi bungeni, kuwa msemaji wa wananchi wao jamani. Naona wengi wanaongea wao kama wao. Rudini majimboni kusanyeni maoni ya wananchi wenu mjue mbichi na mbivu. Ili mpeleke maamuzi ya kutoka kwa waliowatuma!!! Hizi mali mungu awatunzi ziongezeke kwani nayo ni fahari ya nnchi yetu. Mungu awape afya njema!!!

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Год назад

    Msukuma oyee! Tunaokufahamu tunakuelewa

  • @wilisonmikate1652
    @wilisonmikate1652 23 дня назад

    Kwani ukihongwa zinakataa kuingia

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Год назад

    Kweli MUNGU Ni mgawa riziki.

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 Год назад

    Wao kina nani wake na hoja ilhali CCM ndo tumejaa bungeni 😂😂😂😂

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 Год назад

    Acha swaga kwenye hela zetu na kuwatukana watanzania

  • @user-cv2gk7of7o
    @user-cv2gk7of7o Год назад

    Kwa jinsi ninavyokujua msukuma hapa hutupigi swagwa umepewa kitu unyamaze

  • @Tango696
    @Tango696 Год назад

    Watu wanatamani watanzania Kuwa masikini.keep it up kaka ...I dislike poverty

  • @EvangelistMushiReginald
    @EvangelistMushiReginald Год назад

    Mwizi haibi kwa vile ni maskini
    Hali kadhalika rushwa haichagui kwamba huna
    Dhambi ni dhambi tu!

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 Год назад

    Wamwache msukuma hako ka gari kwake ni kama budget ya keki nyumban kwako unapo kuwa na birthday 😂 Joseph kasheku kaka Angu wamwacheeee

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 Год назад

    Kwahiyo usiambie lolote kiss unandege na unamiliki maliki Mali

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 Год назад +1

    Waarabu wameshakulambisha asali mzee, kula baba ila angalia uckate kamba, Kuna baadhi ya wabunge ni matajiri sana wanapenda kuwa wabunge Kwaajili ya kutetea maslahi ya mali zao, Yani cc sjui tumerogwa hivi wanfikiri wale jamaa wkija kuweza huku labda na cc nchi yetu itakua kama Dubai hiyo tusahau, kwanza sehemu alizo kaa mwarabu watu ni masikini na elimu duni, tena tunawarusha jamani haya ngoja tuone wakubwa wshaamua.

  • @mohani7390
    @mohani7390 Год назад

    Baada ya kupata uongozi ndo ulinunua

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 8 месяцев назад

    Hela zetu izooo mwizi wewe

  • @user-uf9nd4ji5k
    @user-uf9nd4ji5k 6 месяцев назад

    Msukumaaa

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Год назад

    Tumamjua msukuma anapesa akiwa hajawa mbumge anamiliki pesa na magari lowasa mwenyewe alienda kwenye Jimbo lake akashindwa sema anachangia kushawishi tu lakini swala lapesa Hilo tunamjua kitambo

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 Год назад

      Kwa kweli jamaa aanahela mda mrefu ameishi korogwe sana helkopita anazo mbili kabra ya kuwa mbunge lakini pia ana mabasi mengi

  • @jamesbayo1910
    @jamesbayo1910 10 месяцев назад

    MSUKUMA. HAWEZI KUHONGWA LABDA ASHINDWE. KUUSOMA. MKATABA NA KUSHINDWA KUFAFANUA KISHERIA. HILO TU MSUKUMA AWE MACHO NALO TUNAMUOMBA MSUKUMA ATAFUTE WANASHERIA ANAOWAAMINI.WAMFAFANULIE MKATABA. NA ATUSMBIE. NI WA MIAKA MINGAPI?.

  • @MohamedPaschal-wv6ss
    @MohamedPaschal-wv6ss Год назад

    Uko sawa king msukuma

  • @jobjohanes9166
    @jobjohanes9166 Год назад

    Hanarote

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Год назад

    Ndio wewee tajiri! Kwanini unapiga debe eti sawa bandari iuzwe kenge wewe darasa la msingi, hovyo kabisa au unatafuta uwaziri 😢

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 Год назад +1

      Serikali haina dhamira ya kuuza bandari, elimu ya lasaba siyo issues yawezekana yeye ana ueledi mkubwa kuliko unavyodhani wewe ugonjwa huu wakudharau wenye elimu ya chini ni jeraha kubwa sana.

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 Год назад

      Unajua maana ya kuuza

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 Год назад

      @@charlesngwembele4541 wanadhani jmbo rahisi

  • @user-gt8vz8ou7u
    @user-gt8vz8ou7u 6 месяцев назад

    😅 just q❤❤❤

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад

    Kaongwa Uyu Anaongea Pumba2

  • @ScientistIsaiahOfficial-ff8ui
    @ScientistIsaiahOfficial-ff8ui Год назад

    😂

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Год назад

    Ushalamba asali wewe.