THEMBA: MWAMBA ALIYEZAMIA na KUJIFICHA Kwenye MATAIRI ya NDEGE Kutoka AFRIKA KUSINI Mpaka UINGEREZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • THEMBA: MWAMBA ALIYEZAMIA na KUJIFICHA Kwenye MATAIRI ya NDEGE Kutoka AFRIKA KUSINI Mpaka UINGEREZA
    KIJANA Raia wa Afrika Kusini, Themba Kabeka, amewahi kuwa gumzo duniani baada ya kuzamia kwenye ndege iliyokuwa ikitoka Afrika Kusini kwenda Uingereza huku wakiwa wamejificha kwenye boksi la matairi ya ndege hiyo.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 565

  • @neddchempu1466
    @neddchempu1466 3 года назад +70

    Kuna movie inaitwa ADU dahh Kuna dogo na sister wake walizamia kwnye ndege Kama ivo Yann em fanya kuitafuta n same story ya uyo jamaa

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 года назад +70

    Ukiwa ndani ya YESU, maisha yanakuwa marahisi sana!!! Karibuni kwa YESU, muweze kuenjoye maisha. Karibuni AMEN.

  • @hamisaLbsi
    @hamisaLbsi 8 месяцев назад +2

    Mtangazaji mashaallh uko vzr sana yaan unaeleza kwa utuo hongera

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 3 года назад +28

    Aisee alafu kuna mtu anaweza sema nimepambana na maisha sanaa😇😇😇😇🙌🙌🙌🙌🙌😭😭😭

  • @willfredmwaniki3268
    @willfredmwaniki3268 7 месяцев назад +1

    Uko sawa kaka pongezi sana

  • @captinadams284
    @captinadams284 3 года назад +13

    This man is loved by God so much

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +32

    Huyu jamaa msoma historia mashallah kajaaliwa sauti ya usomaji wa historia

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 3 года назад +34

    Dah! Life in earth.. maybe kunamaisha mengine mazuri za idi ya haya hapa duniani

  • @smartoscar909
    @smartoscar909 3 года назад +2

    Safi sana kwenye maisha bira kujitoa muhanga uwezi kufanikiwa

  • @Royalcakespoint
    @Royalcakespoint 3 года назад +6

    😭😭😭😭maskini stori imeniliza.....mungu azidi kumsimamia awe na maisha mazuri ya ndoto zake...

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 года назад +8

    Shujaa Mkuuuu ni Yesu tu. Aliyekufa msalabani kwa ajili Yetu

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 7 месяцев назад

      Fuata dini pia tumia akili

  • @sammynganga1257
    @sammynganga1257 3 года назад +50

    Sauti yako inatuacha vinywa wazi unaeleza kwa utaratibu na umakinifu mzuri mno utokako rohoni mwako .baraka ziwe nawe wakati wote🙏🙏

    • @rizikijaha3390
      @rizikijaha3390 3 года назад

      Hamshindi ananias edgar

    • @nasrimohamed7556
      @nasrimohamed7556 3 года назад +2

      Anamuiga Ananias na hampatii

    • @rosetembe3785
      @rosetembe3785 3 года назад +2

      Chuki Ni mbaya na nisumu eti hampatii,aiseee ,husitake wote tufanane mtangazaji anaweza bwana take it or leave it,watu weusi tunashida kwakweli

    • @Brilliant-k2k
      @Brilliant-k2k 2 месяца назад

      Kwani walisema wanashindana?​@@rizikijaha3390

  • @rosetembe3785
    @rosetembe3785 3 года назад +10

    Ukiachana na themba,mtangazaji yupo hot hot big up

  • @samsonsesera6526
    @samsonsesera6526 3 года назад +6

    Kazi nzuri... basi muwe munatupa na majina kamili ili tukitaka kujua zaidi tuweze mgoogle

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 3 года назад +36

    Huo ndio tutaita Ubaharia,,,big up Gee✌️✌️

  • @rajabubojoo9467
    @rajabubojoo9467 3 года назад +24

    Acha nife bongo tuu c kwa shida za uyu jamaa nampa big up

    • @yahyasuleiman4897
      @yahyasuleiman4897 3 года назад

      Jamaaa shujaaa sanaaa me sijaonaa kwa kwelii kama huyoo

  • @anjelinaesau7109
    @anjelinaesau7109 2 года назад +2

    Dah aisee, Mungu atuepushe shida kweli zipo lakini mwisho wasiku inabidi tukubaliane na hali halisi maana wahenga wanasema mkataa pema pabaya panamuita

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 года назад +14

    Huyo katika wahun wa kuzamia anaongoza dunian

  • @jullipusoe7838
    @jullipusoe7838 3 года назад +8

    He's the man Kwenye kutafuta usiogope kufa Kwa sababu ni razima utakufa tuu

  • @mohamedaminah3448
    @mohamedaminah3448 3 года назад +1

    Daaah!maisha magumu ndio yanamfanya MTU kuamua mamuzi ya Hatari .avuke au aishe. Ni kijana shupavu.congatulations .waliamua mamuzi Hatari sana.

  • @delishaluhyaqueen6950
    @delishaluhyaqueen6950 2 года назад +3

    Is so painful 😭😭😭😭 may God protect both of them

  • @vybzfaruqh2712
    @vybzfaruqh2712 3 года назад +3

    Hawa ni ndege walitamani kupanda sio maisha walitaka kubadilisha pale uingereza wangetoka aje kwa airport pia chakula wangekula nini hapo upendo toka +254 🇰🇪

  • @josephmahenge7693
    @josephmahenge7693 3 года назад +6

    Huyu ndo yule ole tembaa wa linah 🔥🔥🔥

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 3 года назад +6

    Mungu atamsimamia

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w 3 года назад +35

    Imenisikitisha😭😭😭 sana hii hadithi

    • @aymankhadija619
      @aymankhadija619 3 года назад +4

      Sana ndugu yangu.Safari ya masaa 10..Ukakae kwenye boksi nje ya ndege.Humo ndani tu kuna wengine maskio yanazibuka hadi akishuka ndo anakaa sawa.Walifanya hatari sana

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 года назад

      Hivi temba huyo ndio yupi sio yule mtz

    • @aymankhadija619
      @aymankhadija619 3 года назад

      @@jenyyusuph4973 Hapana huyu ni wa Africa kusini

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w 3 года назад

      @@jenyyusuph4973 😅😅😅
      Unayumba wewe ujue
      ...

  • @mohammedallysingano5771
    @mohammedallysingano5771 3 года назад +2

    Duuuh hii noma kabsaa🙌🏻🙌🏻

  • @carolinek1186
    @carolinek1186 3 года назад +43

    I remember this !!! Very true story!!!! It made headlines kabisa

    • @omarbosiomar8608
      @omarbosiomar8608 3 года назад +3

      If you remember then you know better the one who falls down was from where

    • @carolinek1186
      @carolinek1186 3 года назад

      @@omarbosiomar8608 Lol...from unknown!!

    • @geequeen1116
      @geequeen1116 3 года назад +1

      Ilikuwa mwaka gani

    • @konsolatatutu423
      @konsolatatutu423 3 года назад +1

      @@geequeen1116 hii ni story ya kweli kabisa, kama sikosei ilikua 2014

    • @abraham92268
      @abraham92268 3 года назад

      @@konsolatatutu423 it happened in 2015,,try to read also on my London magazine

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 года назад +55

    WAPENDWA YATUPASA KUOKOA NA KUMPA YESU MAISHA YETU . MAANA HATUJUI SIKU WALA SAAA YA SIKU ZETU ZA MWISHO WA KUISH HAPA DUNIANI. TUACHE DHAMBI TUOKOKE JAMAN.

  • @mgasa_tz5527
    @mgasa_tz5527 3 года назад +7

    Daah! Mbona nihatari saana aisee.!

  • @nashiruhassani5158
    @nashiruhassani5158 3 года назад +3

    Pole sana ndugu kila la hery jijini uk

  • @raphaelmganga374
    @raphaelmganga374 3 года назад +17

    Duuuuh hyo kweli hatariii.

  • @kidobuban9740
    @kidobuban9740 3 года назад +13

    Themba kavunja Record haijawah tokea

    • @utaani1
      @utaani1 3 года назад +1

      Mromania alifanikiwa kufika London akiwa hai kwa njia hii

    • @iraqgirl2143
      @iraqgirl2143 3 года назад +1

      Wote wawili wamevunja recod asee

  • @petermushi7645
    @petermushi7645 3 года назад +15

    Hawaii ndio ,legends

  • @hallin9561
    @hallin9561 3 года назад +8

    Wale vijana Fode na Yaghuine walifia umoumo ndani ya landing Gear 1994.. Afrika haituvutii kabisa wenyeji. Life ngumu

    • @johnkuma6867
      @johnkuma6867 3 года назад

      Yenyewe ni ngumu na viongozi wenyewe kazi ni kuringia wanna hi na kujionesha vile wako na mali

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 3 года назад +2

    Dah nomaa sanaa

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 4 месяца назад

    Duh hao kwer ndo ma fighter 🙌

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 3 года назад +10

    Jamaaa ana roho ngumu kuliko paka

  • @ikramalmas7039
    @ikramalmas7039 3 года назад +11

    Kuna jamaa alizamia kwenye fuso, akaja dar lakini akaishia msamvu

  • @erickmislakuba4136
    @erickmislakuba4136 3 года назад +7

    Bwana wee Gabriel ubarikiwe

  • @wendesimime3950
    @wendesimime3950 3 года назад +14

    Dahaaa bonge la storry

  • @mohaz612
    @mohaz612 3 года назад +12

    Me pia nataka nijaribu inshaallah😔life africa ni ngumu

    • @alimwakasidi7680
      @alimwakasidi7680 3 года назад +3

      Tena usijaribu hata kidogo utajuta kuzaliwa...maisha wanayo pitia ndugu zetu wa Africa we acha tu...mbona nyumbani pazuri jamani

    • @felixmlelwa9048
      @felixmlelwa9048 3 года назад +1

      Africa is right place for black people coz no segregation

    • @willeydavid2108
      @willeydavid2108 3 года назад +1

      Ndugu yangu maisha ya Africa nimatamu toa hiyo fikra nakwambia sabb najua tunavyopitia huku kwahawawatu weupe acha tu

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад +1

      Ww Hutaki Kama Kweli Usingesema🤣🤣🤣

    • @ashnuhu1420
      @ashnuhu1420 3 года назад +1

      @@alimwakasidi7680 ten pazuri kuliko uko sehem nyingine kwenu ni kwenu

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 3 года назад +17

    I'm stowaway ship from African and marekani nduguzagu wa Tanzania 🤯🇺🇸

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 года назад

      😀😀😀watatuua ndugu yang siku hz unafungwa kwa pipa na kupewa mikate huo ndio msamaha wako kama haijatokea Yatch ya kukuokoa basi ndio umeisha😀

    • @rubengaally8476
      @rubengaally8476 3 года назад +1

      Kwa hiyo mwanangu unaishi marekani baada ya kuchukua papuli

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 года назад +1

      @@rubengaally8476 😀

    • @khamisjuma5046
      @khamisjuma5046 3 года назад

      @@lirastanley390 nime chukua storwway Zanzibar to Kenya to.jibuti.to.usa.neworleans

    • @khamisjuma5046
      @khamisjuma5046 3 года назад

      @@rubengaally8476 never lose hope

  • @nikowabantu6216
    @nikowabantu6216 3 года назад +19

    Yeye ana kuja uku wakati sisi tuna pangiliya kurudi africa 😂😂😂 ulaya ni stress tu

  • @mwanashazingas6684
    @mwanashazingas6684 3 года назад +4

    Subhana Allah

  • @ZayyunSaleh
    @ZayyunSaleh Год назад

    Amini likembe unatoa stor inapendeza mno Masha Allah

  • @DrNick-hg6il
    @DrNick-hg6il 3 года назад +44

    Huyu ndiyo jamaa aliye imbwa hadi kwenye wimbo wa Lucky Dube unaitwa Other side

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 3 года назад +17

    We should thing twice before action.
    Temba & his friend they risk they life for batter life but they dream turn to nightmare. Any way this id lesson for young youth not to stoleaway like that.
    Thanks for the Gabriel his kindness.

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      AHSAN BI LUGHAT ARABIYA🤣🤣🤣🤣

    • @salimharrasy7047
      @salimharrasy7047 3 года назад

      @@salimsaid7200
      تمام يا أخي سعيد👍

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      @@salimharrasy7047 👍👍👍

    • @likimaro6
      @likimaro6 3 года назад +1

      Boss tumia lugha unayomudu tafadhali 😀

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      @@likimaro6 Anaimudu Ndio Maana Kaitumia.

  • @elvismuendo7719
    @elvismuendo7719 3 года назад

    Mungu ni mwema

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 3 года назад +10

    Daaah nawaza hapa waliwezaje kupata hewa huko juu,maana ndege ikiwa juu hakuna hewa tena

  • @victormsambai3672
    @victormsambai3672 3 года назад +1

    Very touching

  • @deusygolayyanga2304
    @deusygolayyanga2304 Год назад

    Mi Hangaiko Ni Ki2 Kibaya Sana Umasikin Nd Unamfanya M2 Kumwachia Mwenyezi Mungu Maisha Yote

  • @utaani1
    @utaani1 3 года назад +5

    Kuna kijana kutoka Romania alifanikiwa kutoka Romania mpaka London kwa njia hii na ni pekee alofanikiwa kufika UK salama ila haikuwa masafa marefu

  • @Bonekby
    @Bonekby 3 года назад +10

    Niatari kabisa 🇨🇩👁️🥺

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 2 года назад

    Gabriel is a good person

  • @EmmanuelPaul-lv3tf
    @EmmanuelPaul-lv3tf 5 месяцев назад +1

    Mwaba you apa

  • @maggiek5002
    @maggiek5002 3 года назад +1

    Gabriel na ubarikiwe

  • @africathemotherlandtv2277
    @africathemotherlandtv2277 3 года назад +58

    Huyo temba ni mwanaume

    • @johnkuma6867
      @johnkuma6867 3 года назад

      Huo si uwanaume. Ni ukumbavu wa Hali ya juu sana

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 3 года назад

    Ulaya kuna shida sana afadhali ya Africa msijiongopee

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 3 года назад +14

    Yaani kukaa kwa kiti muda wa masaa 11 inachosha zaidi tena unapewa kula kunya unatizama tv chezea sim na vyenginevyo. Lakini huyu kiboko maana kapigea na joto la africa halfu la engine halafu baridi ya uk halafu fume za engine halafu usalama wame risk halafu mguu kavunja jela na kawa homeless yaani watu tuwe na fadhila kwa mungu

    • @solomonichisaye8767
      @solomonichisaye8767 3 года назад

      Mbona nmesikia walipoteza fahamu masaa kwa mda mrefu

    • @thelistener8357
      @thelistener8357 3 года назад

      @@solomonichisaye8767
      Yap. Wamebahatika kuishi. Haina haja kurisk maisha kwa popote pale ulipo. Nuhimu rizika na ulichokua nacho

    • @solomonichisaye8767
      @solomonichisaye8767 3 года назад

      @@thelistener8357 kiukweli siungani nao mkono kwa aina ya usafiri na mbinu walioitumia kusafiri
      Lakin nachoweza kusema walithubutu kufanya kitu kikubwa ambacho ndoto zao iliwatuma...
      Technology na maisha kiujumla ya kipindi kile ilikua ni ndogo Sana akilini mwao wasijue Ni nini madhara yake, hakuna binadamu anayependa kufa Hata kidogo, hili lilikua Ni Kama fumbo kwao..naungana nao kwa uthubutu na jinsi walivyotamani kufikia ndoto zao, ilikua ni Kama ajali kwao katika safari yao ya mafanikio...imagine Kama wangebahatika kutoka salama ,then wakapambana wakawa Ni watu wenye mafanikio makubwa, sidhan Kama waafrika wangewachukulia Kama wazamiaji Bali wangewaona Kama vijana wapambanaji
      Life it's all about decision, taking a risk ...walijua tu Hata Kama wangebaki wasingeishi milele, one day they will die even what!!!!!!

    • @thelistener8357
      @thelistener8357 3 года назад

      @@solomonichisaye8767
      Sawa sawa

    • @sabrinasab2910
      @sabrinasab2910 3 года назад +1

      Umeonaeee

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 3 года назад +5

    Umeharibu story sanaaaa kwa sauti yako ya kulazimisha haupo free kabisa adi kerooo!!!!!!!

    • @deusdeditswebe8930
      @deusdeditswebe8930 3 года назад +1

      Hii sauti haivutiii...ingawa taarifa hii imavutia

    • @ميومةتنزانيا
      @ميومةتنزانيا 3 года назад +2

      wiv tu unawasubua

    • @hassanhamudy6639
      @hassanhamudy6639 3 года назад

      @@ميومةتنزانيا wivu wa nn xx zaidi asome comments zoote apo chini akikuta zaidi ya tano tatizo ni moja basi ajirekebishe coz on line TV ni nyingi na mpo kwenye ushindani...ndio maana kizuri tesema that story ni nzuri vinginevyo tungeiponda pia iyo Stori xx Ila jamaa ndio awe yeye asiige mtu mwingine

    • @AdamKhalfani-uj4hf
      @AdamKhalfani-uj4hf 4 месяца назад

      ​@@ميومةتنزانياyaap wanawivu wakijinga

  • @emanueltimoth4523
    @emanueltimoth4523 3 года назад

    Nomaaaa

  • @MercyMazmida
    @MercyMazmida 3 года назад +7

    Umeyaeleza vizuri...heard about it wen it happened n saw it on news I thought it was just one man kumbe they were 2 men . Sm glad he survived but such risk for wat though. I live in uk n it's not better than Africa infact I am hopping to damp my citizenship n move to africa

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis2461 3 года назад

    Duu ahadi yako ilikuwa haijafika maana ulikuwa kwenye hatar kubwa subhannallah

  • @abdillahiabdallah9534
    @abdillahiabdallah9534 3 года назад +17

    salute ma hommie

  • @sumatenge9556
    @sumatenge9556 3 года назад +1

    Mwambaaa

  • @mkangyailutashaggy7207
    @mkangyailutashaggy7207 2 года назад

    Mungu wetu ni mwema kila wakat

  • @granitemkushi1888
    @granitemkushi1888 3 года назад +13

    Ukisikiliza ngoma ya Lucky Dube " THE OTHER SIDE" utasikia Dube akimsema huyu jamaa...

  • @daveondiek9926
    @daveondiek9926 3 года назад +2

    Wah! God Bless You Brother 🙏
    Africa Jameni 🤔

  • @aud548
    @aud548 Год назад

    Tunapangwa sana ....🙌🙌🙌...ubongo ukose Oxygen masaa 11 uwe hai.....cruising attitude ya ndege awe hai..basi sawa😂

  • @petma5551
    @petma5551 3 года назад +1

    What a life, man👌

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 2 года назад

    Uyu ndo Lucky dube alimwiimba kwenye wimbo wa Grass is greener

  • @hasanissantambarasamata3419
    @hasanissantambarasamata3419 3 года назад +13

    Unajua jaman kunawatu wanamaisha magumu kuliko ww uliyeshika simu ya smart phone na kuangalia hii video, uyo jamaa kapitia magumu kuliko tunavyo simuliwa,

  • @romyrae_tz587
    @romyrae_tz587 3 года назад +13

    Story nzuri lakn msimuliaji unaharibu

    • @allpotentials8420
      @allpotentials8420 3 года назад +2

      Daah watu Kama wachawi Sasa kaaribu ni msimuliaji.

    • @romyrae_tz587
      @romyrae_tz587 3 года назад +1

      @@allpotentials8420 ujui maaana ya sehem ya maoni apa tunatoa feedbacks ili wanapokosea uwa wanarekebisha ss ww unaleta mambo ya kichawi mwenzetu ujasoma nn auna ata ile elimu ya kufuta ujinga?..ww unadhan awafatilii izi comments?

    • @tatuhongeranurushaus485
      @tatuhongeranurushaus485 3 года назад +2

      Njoo usimulie wewe 😒😒😒😒😒😒😒utafikir unamlipaga mwisho wa mwezi

    • @makongoronyerere2595
      @makongoronyerere2595 3 года назад +1

      Unataka Basha nn , mbona mxhikaj yup gd mno

    • @AdamKhalfani-uj4hf
      @AdamKhalfani-uj4hf 4 месяца назад +1

      Nyie ndio wachawi wenyewe hata mkiona kitu kizuri hamuwezi kusifia huyo mtangazaji ameharibu nin?

  • @mutanganashowtime3699
    @mutanganashowtime3699 2 года назад

    🇷🇼 rwanda kigali

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn 7 месяцев назад

    Mwanaume huy hapaaaa

  • @تاتوجمعه
    @تاتوجمعه 3 года назад +3

    Hatar sana

  • @shabaniself1240
    @shabaniself1240 3 года назад +1

    Good boy Thema you is a soldier

  • @nosidaimsuya1869
    @nosidaimsuya1869 3 года назад +3

    Duh kweli huyu ni mwamba

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 года назад +12

    All in all nimevutiwa na utangazaji wako!

  • @FabianoSinghania
    @FabianoSinghania 7 месяцев назад

    Hata mimi ntaenda hivo hivo

  • @Daffamtata
    @Daffamtata 3 года назад +10

    Sauti yako inapendeza sana kaka same ya mtiga abdalla utuletee story kama hizi

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 2 года назад

    Temba noma ni jasiri wa dunia

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 5 месяцев назад

    Ata angekuja kwangu Europe akae bila shida yoyote,sote from Africa na lazima tusaidiane

  • @zulfaabdala7370
    @zulfaabdala7370 3 года назад

    Daaaah maisha bhana

  • @Fans_gavana
    @Fans_gavana 3 года назад

    Jamaaa mwamba

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +2

    Pole sana kaka

  • @bonifacekishigishi
    @bonifacekishigishi 9 месяцев назад

    ❤ndio ndugu

  • @jilanisigg1650
    @jilanisigg1650 3 года назад

    Nakubali Bruder, komm nach Deutschland Simbaa

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto1867 3 года назад +2

    Hii nikutaka kufanikisha maisha kimkato😳😳😳😳

  • @traverseammathowzy2508
    @traverseammathowzy2508 3 года назад +4

    He is a true soldier

  • @Eric-hl6um
    @Eric-hl6um 5 месяцев назад

    No risk no game

  • @balegadaffi4472
    @balegadaffi4472 3 года назад +2

    Huyu ndo achuzi jay 😎

  • @williamnathan4630
    @williamnathan4630 Год назад

    11hrs in an inferno.....and cold.... Only God knows our end.

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 3 года назад +4

    Daaah, uyu mwamba Ni balaa

    • @albinemilly5382
      @albinemilly5382 3 года назад

      Huyu sasa ndie baharia kamili😂🤔🤔🤔

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      @@albinemilly5382 Hapana Huyo Mwana Anga Kamili 🤣🤣🤣🤣

  • @aboubakar4793
    @aboubakar4793 3 года назад +28

    Daaaa hii to much kuna watu wana moyo jamn😀😀😀😂😂

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 года назад +1

      Hii yote ni sababu ya maisha ndugu yang...

    • @aymankhadija619
      @aymankhadija619 3 года назад +1

      Kwanza makelele tu ya ndege majanga na mtu ndo uko ndani ya ndege je wao walokuwa nje.Wana roho za kikatili sana Kwa kweli hadi naogopa.

    • @sitiabubakar2892
      @sitiabubakar2892 3 года назад +2

      Duh..... Acha niangalie ulaya kwenye tv tu inatosha😂

    • @aboubakar4793
      @aboubakar4793 3 года назад +1

      @@sitiabubakar2892 hahahaaaa zamia boy🤣🤣

    • @sitiabubakar2892
      @sitiabubakar2892 3 года назад +1

      @@aboubakar4793 weee...am a lady 😭

  • @twofivefive906
    @twofivefive906 3 года назад +1

    ✈️🥺🤝mwamba kama mwamba

  • @msakaramohamed1244
    @msakaramohamed1244 3 года назад +14

    Hii ilishatokea kabla ya huyu jamaa pia ni mtanzania history yake ipo katika wimbo wa jhonny legend show me na video imefanyika zanzibar

  • @eliudmaster2175
    @eliudmaster2175 3 года назад +5

    Huhuhu nafia africa

  • @maryiammohammed4254
    @maryiammohammed4254 3 года назад

    Daah mungu atunusuru

  • @tinamuta8019
    @tinamuta8019 3 года назад +1

    Mungu amtupi mja wake