TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2019
  • Imepita miaka 107 lakini dunia imeshindwa kuhusahau usiku wa umauti, Ulikuwa usiku wa kiza kinene kwenye bahari yenye kina kirefu, bahari ya Atlantic, Ilikuwa Aprili 14 mwaka 1912 Usiku ambao meli kubwa zaidi kwenye historia ya Dunia ilizama, Meli ya Titanic
    .
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 1,7 тыс.

  • @user-tu2rc8pq2n
    @user-tu2rc8pq2n 4 месяца назад +115

    Kama tumetazama 2024 😁😁😁😁😁tujuane 👋

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 5 лет назад +285

    Huyu jamaa anajua kusimulia aysee,,hii ajali itabaki kumbukwa saana,kama unamuelewa huyu msimuliaji like basi twende sawa@@@

  • @user-zy5ml8bh3j
    @user-zy5ml8bh3j 5 месяцев назад +19

    Nani anaangalia 2024 like hapa🤔

  • @eliasleonard9212
    @eliasleonard9212 3 года назад +150

    Anaetizama 2021 anipe like zangu

  • @ashney847
    @ashney847 5 лет назад +37

    SubhanaAllah ndo mipango yake Allah anakuepusha na jambo lkn bado unalazimisha....
    Mpk watu wanakufa wakati wanaitengeneza manake wanapewa ishara wasifanye jambo lile.Ndo siku zote tukiepushwa na jambo lina kheri ndani yake, mfano mzuri huo hapo....
    Ya rabb tuongoze waja wako. Amiin

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 года назад +16

    Hii sauti amazing tumeimiss hadi nimetafuata story ya mda kidogo ili nisikilize, we miss you mtiga, mlejesheni jamaa huyu,

  • @wardamogan440
    @wardamogan440 4 года назад +35

    Km unamini mungu yupo na Kila lenye kutokea ni kwa rehma zake bc Seema inalilahii wa Inna ilaihi ranjiun 😭😭😭 manaaa si jambo dogo mungu tupe mwisho mwema😢😢

  • @martinmuruo
    @martinmuruo 11 месяцев назад +140

    Nani anatizama 2023? Like tafadhali..

  • @shabanishabani2453
    @shabanishabani2453 4 года назад +11

    Dah iko Njema sana story jopo kwa upande mwingine ni taku sktisha. Mungu awa pumzishe kwa aman (Amen)

  • @florencembithe2244
    @florencembithe2244 3 года назад +40

    Am here 2021 anyone else..... Continue resting in peace 😢😢

  • @dekingsforealdee9147
    @dekingsforealdee9147 11 месяцев назад +75

    Imebidi nirudi kusikiliza tena!
    Nipee like ili niendelee kurudi

  • @dulertech6284
    @dulertech6284 2 года назад +12

    Mungu akupe umri mrefu professor Jamal uendelee kutoa vumbi akili zetu

  • @set-px8un
    @set-px8un 5 лет назад +83

    Daaah!Nilikuwa cjui story ila nmeipata😍@The story book imetisha👌embu like hapa kama unakubali💪💪

  • @jahonetz3580
    @jahonetz3580 4 года назад +160

    Kama unaamin JAMAA anafaa kuwa mwalimu wa history like apa

  • @faithmwongeli5086
    @faithmwongeli5086 3 года назад +39

    I really empower this story ...nairudia mara ya kumi😍 thumbs up to the writer

  • @gaudencemaumba7594
    @gaudencemaumba7594 3 года назад +7

    What a story!!.. jamaa anasimulia hadi raha aseee.... SIMBA KUNA CROWN ATHLETE INATAKIWA ITOLEWE KWA BRO MTIGA!!! BIG UP MWAMBA UNAWEZA SANA.. BOOM 2021

    • @youngweezy3846
      @youngweezy3846 3 года назад +1

      😂😂😂CROWN apewe na majizzo

  • @deebrown7908
    @deebrown7908 5 лет назад +88

    Vizuri sana kweli
    Kwa story hiyo
    Kujuwa ilivyo tengenezwa
    Kamanawew humemuelewa weka like ilitwende

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 5 лет назад +13

    Mtangazaji ukae ukijua unapendwa na kula MTU chakufanya ungeza mautamu baba Ahsante kwa simulizi nzuri japo inackitisha bwana alitoa na bwana ametwa jina lake libarikiwe Amina

  • @muthoka6628
    @muthoka6628 2 года назад +29

    "Even God couldn't sink it," Now people can understand How God is never Mocked

  • @brayanluswe5194
    @brayanluswe5194 4 года назад +54

    A talent guy may God add you more years so that we enjoy your stories

  • @NajimOne12
    @NajimOne12 5 лет назад +665

    Kama Umemueelewa Mtangazaji Gonga like hapa

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 5 лет назад +226

    Safi sanaa we need this kind of Content 👏👌👌..upload kila week the story book its interesting

  • @mst1studio270
    @mst1studio270 4 года назад +26

    Ooooooyes Good! I congratulating who documented this story. I give you 100%.

  • @sheilanafulak6081
    @sheilanafulak6081 4 года назад +6

    Asante Sana kwa mwandishi na msimulizi... At least I have apiece of history this night

  • @zakiamusa88
    @zakiamusa88 5 лет назад +101

    kama umependa utangazaji wake huyu mtangazaji gonga like

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 5 лет назад +80

    Nimekubali! Umeenda deep sana! Kuna vitu ndio nimevisikia hapa kuhusu hii ajali!! Big up! Kazi nzuri!!

  • @zanabphilip8347
    @zanabphilip8347 3 года назад +16

    Waaaw simulizi nzuri,sauti tamuuuu,,niachieni like akii

  • @bravoh2542
    @bravoh2542 2 года назад +20

    Eeeeish🔥🔥🔥
    #Mtigaaaaa💯💯
    Big Love from Kenya❤️

  • @mahirmustafa4439
    @mahirmustafa4439 2 года назад +18

    Nimeipenda sana jinsi ilivyoelezewa hii story ya titanic simple and clear as well as understandable. Thank you WASAFI TV for bringing the story book show. May God bless you all.

  • @lucalmodric6685
    @lucalmodric6685 5 лет назад +55

    Asante xana nlikuwa natitaka hii Muwe mnaweka huku wengne 2po nje ya nch tunafuatilia xana

    • @pendosammy5984
      @pendosammy5984 5 лет назад +1

      mm naona wanao watch n watu w nje maana kila mtu nipo nje

    • @ramlazuber6038
      @ramlazuber6038 4 года назад

      @@pendosammy5984 ukiwa njee ya nchi yako unataman hata upate maneno ya lugha yako. Tupo wengi nje

    • @pendosammy5984
      @pendosammy5984 4 года назад

      @@ramlazuber6038 sanaa

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 года назад +27

    Msimulizi uko vzuri kama vile ulishuhudia tukio zima.ahsante sana.

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 11 месяцев назад

      😅😅😅😅😂😂 hapo sasa

    • @DBrownstain
      @DBrownstain 11 месяцев назад

      Acha tu, yaani nimemuelewa kuliko ata ile muvi yenyewe 😃😃

  • @ramadhankijana9442
    @ramadhankijana9442 4 года назад +56

    Dah mtangazaji umenifuraisha.
    Malaika alijitengeneza CV siku hiyo.
    Twende sawa like hapa

  • @marrytandu5033
    @marrytandu5033 4 года назад +8

    Malaika alijitengenezea CV nzuri Sana daaah .. Nimecheka

  • @biffonmoogi6710
    @biffonmoogi6710 2 года назад +11

    i really like your stories as you come up with them bro

  • @Learning_Fora
    @Learning_Fora 4 года назад +4

    Mie mkenya and really like this guy he his my swahili morgan freeman

  • @chekatv780
    @chekatv780 3 года назад +17

    aliyeitazama 2021 tujuane hapa😁😁

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 5 лет назад +22

    Wasafi mko juu mtangazaji nimekuelewa

  • @patrickmalyampa9093
    @patrickmalyampa9093 5 лет назад +202

    wasaf mko vzr mb zangu zinaenda kihalali

  • @hellyally4395
    @hellyally4395 4 года назад +5

    1M mungu akubariki mtiga abdallah uzidi kutuletea more story

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 года назад +19

    Halafu nimesikia mmiliki wa meli hii alipouliulizwa kuhusu usalama wa meli yake alijibu kua hiyo meli hata mungu hawezi kuizamisha 😄😄 angalia kilichotokea sasa

  • @elraysugarboymasb9535
    @elraysugarboymasb9535 5 лет назад +103

    ahsante sana ndugu mtangazaji , r.i.p ndugu zetu

  • @raxhidymono9258
    @raxhidymono9258 5 лет назад +22

    Asante mtangazaj mana ndio nimejuwa Leo kama kapten alienda kulala alafu meli inaenda yenyewe si kwa uzembe huu meli ya kifahali walishindwa darubini kuangalia mbele kama salama kapoteza funguo sikunakuwaga nafunguo za akiba mtangazaji apo umeongeza chumvi bwana yani darubini iwe moja tu meli lote ilo umenichekesha mtangazaji kwakweli

  • @rogerfederer3436
    @rogerfederer3436 3 года назад +14

    My best story book ever titanic 🤩

    • @zubedasultan9585
      @zubedasultan9585 2 года назад

      🙏 NAKUOMBA BONYEZA HAPA 👇
      ruclips.net/video/m7FXfhJotT0/видео.html

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester Год назад +2

    Walimdhihaki Mungu kwa kusema haiwez. Kuzama na wakati Mungu ndie mwenye kumiliki Kila kitu na Mungu hadhihakiwi kamwe maana haonekan Wala hachunguziki

  • @focustz4408
    @focustz4408 5 лет назад +19

    .nimekukubali sana kwa kusimulia uko vizur sana agiza soda apo nalipa

  • @monday1278
    @monday1278 4 года назад +35

    Hongera sana mtambaji.. unasimulia kwa ufasaha na ufanisi wa hali ya juu kabisa.. Hongera kaka.

  • @piusundisputed
    @piusundisputed 29 дней назад

    Just realised Jamal is a good author,while Mtiga Abdullah is a good storyteller

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 года назад +16

    Jamaa unakipaji sana cha kusimulia sauti nzuri, matamshi fasaha, unajiamini yaani raha ndani ya utamu.

  • @reggie868
    @reggie868 5 лет назад +20

    A Superb narration, not boring at all, fascinating..

  • @lucasjoseph7522
    @lucasjoseph7522 5 лет назад +33

    Daaah the story waz so hot.....but alie fnya iwe hot ni msimuliajii..kaka safi snaaaaa...

  • @sapnaabdallah1084
    @sapnaabdallah1084 3 года назад +56

    Anaetizama 2020 anipe
    Like 😁😁

  • @janetwambua5277
    @janetwambua5277 2 года назад +6

    Well narrated,thankyou 👏👏👏

  • @dogoplatinumz3672
    @dogoplatinumz3672 5 лет назад +38

    Viva wfm. Wtv the story book safi sana

  • @fidboeogtheprince4766
    @fidboeogtheprince4766 4 года назад +14

    Big up abdalla! Uko vizuri kwny usimulizi...
    Kama umemkubali jmaa gonga likee apo Chin!

  • @whizzkidmaate9575
    @whizzkidmaate9575 2 года назад +27

    Thanks wasafi,rip beautiful souls!

  • @jescajosephat3364
    @jescajosephat3364 4 года назад +79

    Kam umependa sauti ya mtangazaji gonga like hapa

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 5 лет назад +395

    Mtangazaji unasimulia vizuli sana had raha.....rest in peace ndugu zetu mliotututoka kwa ile ajali

  • @zamanjohn4612
    @zamanjohn4612 5 лет назад +82

    Nimekipenda kipindi cha the story book..kazi nzuri

  • @johnstoneemitundo7589
    @johnstoneemitundo7589 4 года назад +2

    Mtiga Abdallah na Jamal Mustafa nafurahia kazi yenu kutokea Kenya Mombasa magongo 💯

  • @evancemwaijulu9117
    @evancemwaijulu9117 3 года назад +1

    Asanteni wasafi kwa ubunifu wa kuleta THE STORY BOOK

  • @gerrykate
    @gerrykate 5 лет назад +628

    Kama unakubali the story book dondosha like hapa

  • @naomykibona4706
    @naomykibona4706 5 лет назад +11

    mtangazaji hakika upo vzr.RIP wote kwenye hiyo ajali

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 4 года назад +3

    Unajua mwanzoni nilkua napotezea stori zako ila nakufatilia sana mkuu saiv big up

  • @funzonechannel1
    @funzonechannel1 2 года назад +12

    Charles Jugini 🥃🥃 would have never hate alcohol in his entire life

  • @lizbebyaddition8592
    @lizbebyaddition8592 4 года назад +24

    This is to show that no one can mock God....

  • @ramaabuu1958
    @ramaabuu1958 5 лет назад +19

    Stori nzuri sana hongereni wasafi!!!

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 4 года назад +5

    Daah thank you sana! Nilikuwa naisikia tuu hii story!

  • @dadawataifa3169
    @dadawataifa3169 4 года назад +84

    Kama uko in love na sauti ya mtigaabdallah kama mm gonga like twende pamoja

  • @maguoshao1300
    @maguoshao1300 5 лет назад +174

    Huyu jamaa wa #wcb anatishaaaaa
    Goodvoice
    Wangap Wana amini Izo video alizotumia zinatokana na muviii ila wakatii asiliaa wenyewe haupo
    Yule aliyeenda kulala ndo aliyeandika kitabu cha maut ya titac lazimaa wafeee Tu lazimaaaaa
    #wcb
    #for life

  • @maryamammar1488
    @maryamammar1488 5 лет назад +52

    Mtangazaji napenda sauti yko🤣🤣🤣🤣✨💖😍

    • @saidibambo4339
      @saidibambo4339 5 лет назад +5

      Ichukue iwe ringtone 😂 😂 kwenye cmu yko

    • @maryamammar1488
      @maryamammar1488 5 лет назад

      @@saidibambo4339 🤣🤣🤣🤣Umenishinda tabia😅😅😅😅

    • @aishahindoabdallah3122
      @aishahindoabdallah3122 5 лет назад

      @@saidibambo4339 toba roho yangu 😂😂😂

    • @johnsilima6789
      @johnsilima6789 4 года назад

      Aisha Hindo Abdallah imekuwaje

  • @piusundisputed
    @piusundisputed 29 дней назад

    Leo nimepata lesson,huko nyumba nlkuw napata ukakasi Sana,thanks Jamal

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana9185 2 года назад +6

    This guy is good at narrating the story.

  • @majaliwapili2928
    @majaliwapili2928 5 лет назад +23

    Wasafi FM juu sana ama kweli kila binadamu ana nafasi yake katika dunia bila diamond platnumz tusingekuwa na wasafi

  • @tonythadei9608
    @tonythadei9608 5 лет назад +27

    Yani huyu jamaa anae tuadisia anajua kweri tena sana bigap brother

  • @nashonobura2742
    @nashonobura2742 4 года назад +34

    OMG...this was really a painful moment😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭....RIP dia ones🙏🙏🙏🙏

  • @MartineShija
    @MartineShija Месяц назад

    Ujeutusimulie na Manisha yaviongozi wetu waliotangulia mbeleza mwenyez Mungu unajua Sana kusimulia ndugu

  • @richardlugano8709
    @richardlugano8709 5 лет назад +53

    Team kiba hii ni story book sio nyimbo ko mapovu noooo kama umekubalian na mim gonga like

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 2 месяца назад +3

    Wale wote tunao tazama 2024 like hapa

  • @Daguudickson026
    @Daguudickson026 11 месяцев назад +2

    I was among those who survived that shocked world sad adventure

  • @misswamboh9585
    @misswamboh9585 5 лет назад +22

    Woow,napenda unavosimulia una sauti nzuri pia

  • @mohamedikibasa418
    @mohamedikibasa418 5 лет назад +656

    km unasikiliza huku unasoma comment gonga like hapa

  • @gladysmghoi5918
    @gladysmghoi5918 2 года назад +2

    I always enjoy ur narration uko vizuri

  • @alvisprincetz1120
    @alvisprincetz1120 4 года назад +6

    Mtangazaji nakwamini sana bro nice voice 🥰🥰

  • @abdulmtitu7478
    @abdulmtitu7478 5 лет назад +8

    Dah wasafi hambahatishi,,bonge la sauti

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 5 лет назад +118

    Itabaki stori waliofariki n wengi sana..mungu ashindwi na kitu.

  • @kingkenya......2k225
    @kingkenya......2k225 2 года назад +4

    The story book is interesting so much we need such books smart working keep it👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @ceciliakaari782
    @ceciliakaari782 4 года назад +48

    Likes za mtangazaji in 2019 ziko wapi wenzangu? Usimulizi wake unavutia si haba.

  • @thedangotetv2962
    @thedangotetv2962 5 лет назад +12

    From Mozambique 🇲🇿#RIP ⚰

  • @nyambelewinfrida9074
    @nyambelewinfrida9074 5 лет назад +43

    Mtiga Abdalah uko vzr wasafi wakikukosa wametukosa wengi.

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 Год назад +8

    Narudi Tena the story book 📖

  • @emmaemzy3443
    @emmaemzy3443 2 месяца назад

    Let's give a story teller his flowers,amesimulia vizuri sana 👏👏

  • @wilbertalfred7388
    @wilbertalfred7388 5 лет назад +205

    We mcmuliaji nipe no yako nkupe ya soda upo vzur sana mzee una bonge la kipaji yaani

  • @jairosmnahi1218
    @jairosmnahi1218 5 лет назад +38

    Noma saana mtangazaji uko juu

  • @winfridamalingumu9827
    @winfridamalingumu9827 2 года назад +30

    We want more good narrations from a good narrator

  • @priscakihaga3242
    @priscakihaga3242 5 лет назад +5

    mtangazaji upo bomba sana anaekataa agonge like hapa

  • @omariamiri5556
    @omariamiri5556 5 лет назад +18

    Hyo ndo story book Safi sana broo

  • @mussamussa9174
    @mussamussa9174 4 года назад +5

    1.5M views hongera mtiga Abdallah

  • @christinajacob9301
    @christinajacob9301 3 года назад +4

    Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi amen

  • @mg.general7710
    @mg.general7710 5 лет назад +20

    Mtangazaji ukovyema sana

  • @sylvesterdonald8614
    @sylvesterdonald8614 5 лет назад +48

    Kaka hauchoshi kukusikiliza... Keep up the good work