MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
    Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, ameanza ziara rasmi katika mkoa wa Shinyanga, ambapo kabla ya kuwasili amesimama katika maeneo tofauti tofauti barabarani na kuzungumza na wananchi..
    #MAGUFULI
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co...

Комментарии • 722

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 3 года назад +54

    Mungu anayaona machozi yetu. Pumzika kwa amani jemedali wetu mfalme wetu

  • @mckiboevents
    @mckiboevents Год назад +50

    Niko 2023 bado nafuatilia hizi clips Hadi zitakapofutwa. Kama bado unafuatilia gonga like hapa.

  • @NURUMASUNZU
    @NURUMASUNZU 4 месяца назад +41

    2024 tunaoitazama gonga like.

  • @imanuelpoteza6846
    @imanuelpoteza6846 2 года назад +160

    Jamani waliommisi huyu mzee tujuane kwa like hapa

  • @JINASAVIATIONCOLLEGE
    @JINASAVIATIONCOLLEGE 7 месяцев назад +19

    Nitakukumbuka sana rais wangu magufuri mpaka mwisho wa maisha yangu

  • @kombosalehe3156
    @kombosalehe3156 3 года назад +49

    Kuna funzo kubwa sana kwenye crip hii! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi! 😢

  • @boombasticjoseph1105
    @boombasticjoseph1105 3 года назад +46

    Now i understand why some Tanzanians were fainting during body viewing! The Best President i ever seen on earth, have never seen a leader who is very close to his people than this guy. RIP Mr. President!

  • @wilsonkimani-j5d
    @wilsonkimani-j5d Год назад +17

    Am a kenyan pastor,bt the presie has touched mie,he act like genuine pastor,may the lord protect his soul in heaven!❤❤❤❤❤

  • @jenifercynthiakazimoto5392
    @jenifercynthiakazimoto5392 3 года назад +15

    Asante Mungu kwakutupatia Raisi mwenye upendo Kama Raisi wetu Magufuri love you Baba.

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +36

    Namuomba mungu akuingize kwenye rehma zake amiin

  • @mzeemzee2467
    @mzeemzee2467 4 года назад +25

    Hapa ndo ninapomfahamu Mh. rais kuwa kazi ya urais ni kazi ngumu sana. Mungu akusaidie na akupe moyo huo huo wa kutatua matatizo ya wananchi wako.

    • @dominicsomola402
      @dominicsomola402 4 года назад

      ...pamoja n hayo watu wanaikimbilia sana...kwa kweli inaliza kwa kweli...

    • @nicehonesty912
      @nicehonesty912 5 месяцев назад

      😭😭😭😭 jaman nalia apumzike tu

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      Ameen

  • @JONATHANMUMOMUSIC
    @JONATHANMUMOMUSIC 7 месяцев назад +11

    ❤❤❤ I'm from Kenya and I really value this president my his soul rest in peace

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv6672 4 года назад +39

    Anaesema magufur mbabe mwache kwan hajui uchungu wa mwana much respect magufuri

  • @feldeterchilanga2092
    @feldeterchilanga2092 3 года назад +46

    Tanzanians people am really sorry for the big loss magufuli you have broken my heart 😭😭😭😭😭😭💔💔😭

    • @mulongonzazi9241
      @mulongonzazi9241 3 года назад +1

      Realy it is a big lost from Drcy heart is broken 🙈🙈🙈🙈🙈na muliya kabisa makufuli Mungu umushunge mutumishi wako

    • @MH-nq7wy
      @MH-nq7wy Год назад

      ​@@mulongonzazi9241 This big man as a socialist was killed by capitalist.
      TZ as a country of oportunities, Magufuli couldn't live longer!!

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      Hakika tunaliabna kusaga meno enzi hiz za Samia mungu atulindeb tz bila vita 2sije tukawa watumwa kumbe ni nch yetu

  • @Shuku-w1b
    @Shuku-w1b Месяц назад +1

    Tunae tazama 2024 gonga like

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 4 года назад +29

    huyu baba magufuli mungu amuzidishiye maisha marefu anajuwa teteya haki za binadamu.

  • @aminashabani5399
    @aminashabani5399 4 года назад +33

    Mwenyezi Mungu akulinde Rais wetu uweze ishi maisha marefu

    • @mudamape8415
      @mudamape8415 3 года назад

      Inauma sana

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 месяца назад

      Sana tena sana Kwan tulipenda sana hakuna aliyemuchukia ila mafisadi walikuwepo so hakuna m2 asiye chukiwa hapa duniani tumuombe mungu 2 atupe maisha marefu na yenye mibalak na tuepuke kuzimubtwende mbign 2ulith ufalmebwa mungu ameen gonga like kama umenielewa

  • @mustaphakijazi9807
    @mustaphakijazi9807 Год назад +109

    Wanao itazama hii mpaka sasa mwaka 2023 naombeni like zenu

  • @rosekamwesa964
    @rosekamwesa964 Год назад +15

    This was a true shepherd who took interest in the experiences of those he led.
    Wish we had more of him in Africa!

  • @robertsimba5081
    @robertsimba5081 4 года назад +20

    Am a Kenyan but I admire alot how this president comes to the ground ...what a humble person he is...God bless him always

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 3 года назад +14

    Tutakukumbuka sn Rais wetu!! Viatu vyako ni vikubwa sn

  • @pili1234
    @pili1234 3 года назад +12

    Allah akupe maisha marefu uzima na afya rais wetu wa wanyo wanyonge

  • @pastorrusagarajosephsolo8692
    @pastorrusagarajosephsolo8692 2 года назад +23

    Tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu alikaa ndani yake 😭😭😭😭😭😭

  • @emmysam1510
    @emmysam1510 3 года назад +14

    John wangu jamani..we miss you babaaaa😭😭

  • @edwardsostenes8048
    @edwardsostenes8048 2 года назад +29

    he will never die in my heart until I die

  • @samuelmtasha9272
    @samuelmtasha9272 4 года назад +28

    Maskini Rais hadi analia, so painful! Mungu mbariki Rais wetu

    • @husseinbararukaza428
      @husseinbararukaza428 3 года назад +4

      Eee MUNGU sidhani kama itakujatokea Rais wa wanyonge km huyu daaah MUNGU ninamuweka Rais wetu mikononi mwako umlinde na kila aina ya uadui na magonjwa mpe kibali cha kuongoza mpaka utakapo sema bac

    • @athumankigoma4585
      @athumankigoma4585 3 года назад

      @@husseinbararukaza428 j

  • @mercyokari8233
    @mercyokari8233 3 года назад +17

    Can't stop watching this😢😢😢continue resting in peace Mzee magufuli until we meet again in heaven😭😭😭

  • @zeinabhassan6071
    @zeinabhassan6071 3 года назад +34

    African lost a great leader....Tanzania people are very lucky to have a wonderful leader like magufuli...may his soul rest in peace

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 4 года назад +13

    Masikini mpaka mwafanya Rais yuwalia mungu amjalie apite tena muhula ujao🙏🙏

  • @aminamussa5122
    @aminamussa5122 4 года назад +20

    Daudi atafutwe, JPM ahsante Muheshimiwa, Toeni hela ndio mtajifunza.

  • @thulanicele7843
    @thulanicele7843 4 года назад +27

    this is the only president who has made me shade tears cause of what he does.the love for his people.much love my hero and role model.

  • @christophermzumara4267
    @christophermzumara4267 2 года назад +9

    This man was a true definition of a generous leader, backed with a sense of humor and integrity

  • @estherkamate8061
    @estherkamate8061 3 года назад +13

    He was a really father, tume poteza jameni

  • @shaabansoma7661
    @shaabansoma7661 4 года назад +21

    I'm in love with magufuli a man of people, also a gift from Allah so as to save people who have been crying for long time without help.Magufuli a president of the century from Bongo.

  • @kamaukamau6233
    @kamaukamau6233 3 года назад +15

    Let negative people say what they want to say about the late President John Pombe Magufuli,but I don't know if Tanzanians will get another president with a heart of Gold like Magufuli,indeed he was like a real father to his countrymen

    • @hijaiddi6950
      @hijaiddi6950 3 года назад

      Mung amuwoke mahalo pema

    • @mariaalfred8463
      @mariaalfred8463 3 года назад

      Mungu akupumzishe laisi wetu laisi wawnyonge tunakukumbuka

  • @officialnaa8470
    @officialnaa8470 4 года назад +25

    Hongera sana Rais wetu na pole kwa kwa kazi ngumu

  • @emanuelsiara3937
    @emanuelsiara3937 4 года назад +9

    Mwenyenzi Mungu, umlinde rais wetu.

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 4 года назад +18

    Kuna siku tutayajibu haya mbele ya mungu na nalipo ni hapa hapa duniani. Yaani kumbe bila Rais utu haupo viongozi wa ngazi za mikoa, wilaya ,tarafa , kata viongozi wa kijiji na viongozi wa dini kweli hatuyaoni haya hayatuumi mioyo yetu mpaka Raisi aje basi tumuogope hata mungu jamani.

    • @johnmathenge3406
      @johnmathenge3406 2 года назад +1

      Ukweli kaka yangu hadi mimi nashangaa kuwa huyu mama hakusaidiwa mpaka Rais JPM alikuja kumsaidia. Hata hapa nchini mwetu Kenya wabunge, mawaziri, polisi, viongozi hawajali maisha ya wananchi wao heri jeshi ndio watu wanategemea pamoja na Mungu.

  • @ahmadisaidi8195
    @ahmadisaidi8195 Год назад +4

    Wen ever I watche magufuli😢😢😢😢so sad my god bless him rip

  • @PetersonNyaga-dk5oi
    @PetersonNyaga-dk5oi 7 месяцев назад +3

    The best president Africa has ever had,.. maghufuli was a real deal for this continent

  • @saumuhassan3796
    @saumuhassan3796 4 года назад +8

    Mheshimiwa mm ni Mzbar binafsi kura yng ilikuja kwako na 2020 in sha Allah sirudi nyuma. Ila na sisi huku shida tunazo.

    • @ruqayaruqaya4283
      @ruqayaruqaya4283 3 года назад

      Polen sn sie tz bara tuna peta tu na rais wetu mtetez wa wanyonge lkn huko zanzibar mwinyi c yupo?

    • @emmysam1510
      @emmysam1510 3 года назад

      Mwinyi si yupo..siye kashatangulia mbele za haki

  • @iddikibaitz514
    @iddikibaitz514 3 месяца назад +1

    Mungu akuwekee sehem salama ishaallah peponi

  • @moddysalim5839
    @moddysalim5839 4 года назад +7

    Moddy from kenya hongera rais makufuli marais wote wa Africa hasa east africa wangize mwenendo wake mungu akulinde rais mtenda kazi

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 3 года назад +7

    Tumempoteza Mtu mmoja kama watu Billion 1 😭😭😭😭😭💔🕊🕊🕊

  • @mugishachance8844
    @mugishachance8844 3 года назад +6

    Iam really crying like now! Nimeguswa na ubinadamu Dr president Magufuri alikuwa nao kweli ameondoka Imeniuma na kuona Video zake jinsi alikuwa Anasaidia watu yani machozi tuuu nalia tu. Yani alikuwa na ubinadamu mwingi moyoni mwake ,, kweli tungekuwa na watu Kama yeye dunia ingebadirika Paradise. Rest in Peace Sasa hivi umekaa na mungu mbinguni ulisha fika. Tutakukumbuka forever.

  • @JamesJunior-dy6wr
    @JamesJunior-dy6wr 2 месяца назад +1

    Yaan nimejikita nalia 😢😢 tu mungu akulaze mahali pema baba tutakukumbuka hakika

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 3 года назад +7

    Hapa ndipo nampompenda rais kwa kweli Gold bless you Magu 🙏

    • @hijaiddi6950
      @hijaiddi6950 3 года назад

      Tutakukumbuk Sana baba♥️♥️♥️

  • @geraldmakaranga9385
    @geraldmakaranga9385 4 года назад +3

    Rais mungu akulipe kwa mema unayowafanyia wa2 wako unaowaongoza mungu akupiganie kwan unasafar ndef shetan yupo mawindon akikuwinda lakin kwa jna la yesu ashindwe milele

  • @HildaDogani
    @HildaDogani 7 месяцев назад +2

    ..this man was an Angel sent from heaven.
    I can't stop crying for him😭
    My one wish kama Kuna uwezekano Mungu amuinue jman😭
    Rest in peace Dr.JPM❤

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +8

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 4 года назад +11

    Nimempenda sana huyu rpc Yuko vizuri sana aise

  • @miriambony3679
    @miriambony3679 9 месяцев назад +2

    PRISDAT MAQUFULI NI MOTO MAZURI KUWA WANAISHI YAKI MAQUFULI JUUU JUUU JUUU SANA❤

  • @ianolango8207
    @ianolango8207 3 года назад +45

    I can't just stop watching this man and for sure, the world will never find a man like this and Africa has lost Her Son. Poleni sana wana Tanzania na Mungu awarehemu

  • @merryloya4893
    @merryloya4893 4 года назад +6

    Mungu akutunze Rais wetu

  • @kefaluminas286
    @kefaluminas286 Год назад +2

    Walioomua uncle magu hawatauona ufalme wa mbingu

  • @petrofidelis5751
    @petrofidelis5751 2 года назад +2

    Mungu akulaze mahala pema peponi Jemedari wa Africa

  • @elizabethdeus1343
    @elizabethdeus1343 4 года назад +10

    Oyoooooo miaka Mia baba kweliweweni laisi wa wanyonge

  • @ngisian
    @ngisian 3 года назад +4

    Ooh GOD..What a leader we've lost. Mungu alikupenda zaidi

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 4 года назад +6

    Nimeambulia Julia tu machozi mie.Nasema mungu mtunze magufuli nakuombea Sana

  • @kalaghog3574
    @kalaghog3574 2 месяца назад

    18th July, 2024. Wanaoitazama hii bado like zenu pls

  • @zipporamosinya4193
    @zipporamosinya4193 3 года назад +2

    Makuvuri Ali fanya kazi nzuri mungu humuweke pazuri hapumusike sarama amina

  • @AugenBatista-qg3rc
    @AugenBatista-qg3rc 8 месяцев назад +3

    He was logical and reasonable 🙌

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад +13

    Hapo ndio utajua rais pia NI binadamu , anachukizwa na uzembe na ucheleweshwaji wa maamuzi , sio kwamba anatumia pesa au nguvu...... Huo ndio ukweli watanzania tunamazoea yàkipumbavu sana

  • @ZuaideeGermain-qr6bz
    @ZuaideeGermain-qr6bz 8 месяцев назад +1

    Congo 🇨🇩 tungelipata rahisi kama magufuli mungu aku weke pama

  • @hdmtanzania2617
    @hdmtanzania2617 4 года назад +6

    Mwenyez Mungu akujalie mh Rais

  • @evab5386
    @evab5386 4 года назад +10

    Makufuli mungu akubariki you're a good president in African 🌹😭😭😭😭

  • @neemamayco3238
    @neemamayco3238 4 года назад +8

    Magu cna neno na ww ila nakuombea kwa mwenyeenzi mungu akusimamie

  • @FrankBugingo-q5n
    @FrankBugingo-q5n 5 месяцев назад +1

    Minapenda magufuri sana but African presidents plz work magufuri RIP

  • @mbereser0saidi318
    @mbereser0saidi318 2 года назад +1

    Mungu akurehemu rais wetu mpendwa umeondoka bado tulikuwa tunakuhitaji mungu tunaomba utende maajabu katika karine hii wewe ndy kimbilio letu

  • @nancymohamedy7672
    @nancymohamedy7672 3 года назад +2

    Mwenyezi mungu ampe maisha marefu muheshimiwa rais wetu Magufuri

  • @evelynlehnard3928
    @evelynlehnard3928 4 года назад +6

    Rais akiwa mcha Mungu inchi inabarikiwa.

  • @isaacmasibo3183
    @isaacmasibo3183 Год назад +2

    Not only Tanzania lost a very power committed president but African, worl we lost very powerful Man who could one day Transform Africa 😢😢😢😢😢 may your soul rest easy President John Pombe Magufuli still hear in +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 its like we have lost you today ur words solving issues was more of a leadership God grand Tanzania, Uganda Kenya such people 😢😢😢

  • @manmwananzungu8945
    @manmwananzungu8945 4 года назад +3

    Ww nirais wa wanyonge nakupenda cn makufuli kimbilio la wanyonge mungu akupe umri mrefu

  • @Ericotaldan
    @Ericotaldan 4 месяца назад +1

    😢ulifariki mbiyo baba tukiwa tungali na haja Yako,2024 niko Congo nafwatiliya

  • @Anita-c4n9m
    @Anita-c4n9m 4 месяца назад +1

    Maweeee buzila nkendee jamn tutakukumbuka daimaaa mwamba wetu

  • @aishsharuni3151
    @aishsharuni3151 4 года назад +7

    Aky natamani nkuwe mtazania

    • @djangounchained6867
      @djangounchained6867 4 года назад +1

      nichek kwa namba yangu.....naweza kukufanya uwe mtanzania

  • @georgekimboka6218
    @georgekimboka6218 4 года назад +8

    Nakupenda sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana nakuombea sana mema makubwa sana toka kwa Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu

  • @mariekyosse2684
    @mariekyosse2684 2 года назад +2

    Mungu akupokeye baba

  • @ashasalehe7726
    @ashasalehe7726 3 года назад +6

    Pumzika SHUJAA WETU😭😭😭😭

  • @saidiuchebe5203
    @saidiuchebe5203 3 года назад +26

    We will miss you so much our dad Magufuli😭😭

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu3065 3 года назад +3

    Allah akupe maisha marefu Rais wetu Insha Allah

  • @aminamussa5122
    @aminamussa5122 4 года назад +8

    Kagonga kaua halafu anazurura tuu mtaani? Apate life in prison wajifunze Naaaah wanaonewa sana ahsante JPM.

  • @wanguibundi4017
    @wanguibundi4017 4 года назад +3

    Mungu akubariki kwa kazi nzuri mheshimiwa raisi

  • @JobbicNyagaka
    @JobbicNyagaka 4 месяца назад

    Rais mwenye roho nzuri...lala salama babu

  • @Elimollel
    @Elimollel Год назад +1

    Yeyote asiyetokwa na chozi sijui Roho yake vipi wallahh

  • @SiwaRobert-mj4pd
    @SiwaRobert-mj4pd 6 месяцев назад +1

    We have lost the great leader of Africa who showed good heart to his people and showed other leaders the way of ruling your own people, may your soul rest in peace mzee

  • @FunnyEyeglassFrames-zs7md
    @FunnyEyeglassFrames-zs7md 5 месяцев назад

    Hakuna kama raisi magufuli mwenyezi mungu amuondolee azabu za kabli

  • @issamohd2674
    @issamohd2674 4 года назад +20

    nchi hii yaan mnyonge apati haki mpaka Rais aje mwnyw

    • @mkusibaleluye4317
      @mkusibaleluye4317 4 года назад

      Big up sana uncle magu nakukubali sana

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 3 года назад

      C afandali kwenu je kwetu kenya ata aje nani shida 2😭😭mungu 2

  • @bakayeguyo6182
    @bakayeguyo6182 Месяц назад

    Huyu ni Saviour Wolai..Mungu akupee kiti cha Enzi

  • @jacquesntabagara3682
    @jacquesntabagara3682 3 года назад +4

    God bless our Africa United president Pompe Magufuli for real.Jah know

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi 8 месяцев назад +1

    Allha ampumzishe Kwa amani alikuwa anatetea Sana wanyonge

  • @alexismail420
    @alexismail420 2 месяца назад

    Mungu aendelee kutuletea watu muhimu katika taifa letu

  • @GraceKwayu-yo4zf
    @GraceKwayu-yo4zf 11 месяцев назад +1

    Nimelia tena upya jmn!!! Tumpate wapi tena mtu km huyu... Ambaye Mungu anakaa ndani yake... Pumzika kwa Amani baba yetu...

  • @naomymoraa1154
    @naomymoraa1154 3 года назад +8

    Why did you die😭😭😭?may you rest in peace mkombozi wa wanyonge,,,I wish Kenya we had such a leader,

  • @AhmedZahor-z8e
    @AhmedZahor-z8e 2 месяца назад +1

    Tupo Hadi Sasa 2024

  • @RashidMuhammad-h9z
    @RashidMuhammad-h9z 7 месяцев назад +1

    Mungu amrehemu

  • @ZenaBalekao
    @ZenaBalekao Месяц назад

    Mungu amsamehe baba yetu magufuli ameen

  • @JaphethKinanga
    @JaphethKinanga 4 месяца назад

    Feels heavenly when a prominent person got humanity and believes in God. SO HEAVENLY

  • @willywaire50
    @willywaire50 2 года назад +3

    Sometime s I watch this & cry 😭😭 may God 🙏 keep magufulis soul on internal peace..

  • @rahelgika3870
    @rahelgika3870 4 года назад +6

    Tawala milele Raisi wetu🙏