Msukuma mm hapa nina degree tangu 2015 lakn nilishaweka pemben na nikaanza kupambana kuanzia chin machimbon hadi leo huku mozambique na nilipo namshukuru Mung. Namuelewa msukuma vjana to chukuen lisk kutoboa ni inawezekana.
Wewe uelewa wako uko kwenye Kiingereza kukosoa kaongea Kiingereza cha namna gani badala ya kutazama mafanikio yake. Kiingereza kukijua sio kufanikiwa, badilika
@@jamesnyakia-um7iu na ndo shida una elimu ya juu inakujengea dharau kwa walio na elimu ya chini yako,tuangalie mafanikio ya kuishi maisha yenye maendeleo
Acha kuongelea darasa la Saba unaweza kusababisha watoto waache shule kisa wewe kusoma lazima mshukuru Mungu kwenye maisha Kuna watu automatically wanaakl akiwepo wewe ila mtu akiishia la Saba wachache Sana wenye akl iliyochangamka
Hakika unatupa moyo wenye darasa la saba ili tukaze kumbe inawezekana kutoboa maisha na lasaba langu asante mungu akusaidie kwenye uongozi wako
Msukuma mm hapa nina degree tangu 2015 lakn nilishaweka pemben na nikaanza kupambana kuanzia chin machimbon hadi leo huku mozambique na nilipo namshukuru Mung. Namuelewa msukuma vjana to chukuen lisk kutoboa ni inawezekana.
Risk - Lisk
Degŕee holder 2015 😂
Wewe uelewa wako uko kwenye Kiingereza kukosoa kaongea Kiingereza cha namna gani badala ya kutazama mafanikio yake. Kiingereza kukijua sio kufanikiwa, badilika
@@swafiirbulbul819😂😂😂 Lisiki
@@jamesnyakia-um7iu na ndo shida una elimu ya juu inakujengea dharau kwa walio na elimu ya chini yako,tuangalie mafanikio ya kuishi maisha yenye maendeleo
Degree na lisk kweli aaaa tushusheni
Nakukubali sana Msukumaaaa akili kubwaaa
I'm proud of you msukuma Kuna kitu nilijifunza KUTOKa kwako now naona matunda yake
Wewe tuseme na kutusahau tunafurahi kaka yetu kwa maisha ya zamani
Nakuerewa sana
Big up Msukuma
Nakuelewa sana ngosha
Natamani kuwa kama wewe kaka hakili nyingi na hakili ya utaftaji
Good
Daa dimamu Kwa mzeeh shosi manunfu apooo
Manen Yako yaelimixha sana
Nikweli asilimia 90 mabosi wa tz nidarasa la 7 au hawajasoma kabisa nanimabosi
Namkubali sana jamam
Naombaa msaada niongee na huyu mzee jamn
Big up sana
Clouds mmefanya lamahn sn lkn mpangilio sio mzr kbx na vyombo ni vibovu sijui kuweni mkn asant
Kiukweli nafatulia sana history ya msekuma
💪
👏
Acha kuongelea darasa la Saba unaweza kusababisha watoto waache shule kisa wewe kusoma lazima mshukuru Mungu kwenye maisha Kuna watu automatically wanaakl akiwepo wewe ila mtu akiishia la Saba wachache Sana wenye akl iliyochangamka
Huyu jamaa Ni hatari
🐄😄😄😄😄"wotee mlimaliza ng'ombeeee za wazazii "
Kaka Seema Elimu muhimu Elimu IPO mbele Africa tuna Elimu bado 1970 chaina au America washavuka hivoooo
Ila mjomba unakoroga maneno sana
Ni kwel kabixa kaka mim binafsi nakufatilia sana
Vunja bei mbona kasoma
💪🏾fact
Mimi uliniudhi eti unapigia upatu bandari wakati mikataba ni kichaa Tu anaweza kusaini
👏👏👏👏👏👏👏
Tupe ushauri
Ml 300 kontena mbili za ngano jamani hiyo ngano ilikua inauzwa bei gani?.
Kweli unaelim yamaisha halis
Big up jah bress you nakwaminia mchapa kazi