#Free#Mashekhe#Wetu. Juzi tuu watu 20 wamekufa na askofu kaachiwa free hana makosa kaambiwa🤔 mashekhe hao hawakuuwa hata sisimizi wako ndani miaka 8 saiv,asante mbunge🙏🏻
*Ahsante baba kwa kuwakumbuka masheikh wetu na kuwataja Allah atakulipa kwa hilo tunaumia cc kuwaona waalimu wetu wanadhalilishwa magerezani bila kuhukumiwa ila Allah yupo na halali ataidhalilisha ccm na viongozi wake wotee malipo ni hapa hapa duniani akhera ni mahesabu. Haki haizami*
Kwa wale wote wenye uwezo mudogo wa kuelewa yani IQ ni vigumu sana kumuelewa uyu mtu ila wenye akili wote wameelewa sanaaa timu bwege like pls mikono juuu kwa wote wenye IQ tu
Dah masha allah mbunge mbwege yupo vzur na point inaingia akili ktk bunge ndo maana spika na vibaraka vyake wanamkatisha maongez yanawachoma ktka moyo mar sut ulovaa mara muda mara hoja ila insha allah jimbo lako lkuchagua tna 2025 il wabung wakumbushe kdg
Mheshimiwa Bwege, ulikuwa mtetezi kwa njia nzuri kabisa. Ulizua tabasamu na vicheko hata kwenye hija zako. Naomba urudi kwenye uongozi baada ya miaka hii kadhaa
@@othmanhamad7941 Kuwa mbunge Basi na Wewe ili hata spika akusikie ..maana mwenzio afadhali anafahamika na spika na wabunge wengine.. Wewe mwenzetu Nani anakujua
Mr Bwege hujawahi niangusha,wabunge kama nyie ndio mnaotakiwa,wa kwetu Mwanza ndo hata hasikiki kabisa duuu,nakuombea kwa mola urudi tena Bungeni.Amina.
Asante sana. Haki inaleta Amani. inaumiza sana ushabiki wa vyama unapoongoza badala yakuangalia maslahi mapana ya Taifa na sio maslahi ya serikali iliyopo madarakani na huu ndio uzalendo wa KWELI
Unaweza ona utani Ila anafikisha vzr ujumbe
Good work Bwege
Bora umewaongerea masheikh Mungu akujalie miaka mingi
Mbunge bwege yupo sahihi
Really appreciate ,👐
Mungu akuulinde sana mbwege
unawakumbuka sana ndugu zako magerezan
kama utan lkn ukweli kabsaa
#Free#Mashekhe#Wetu. Juzi tuu watu 20 wamekufa na askofu kaachiwa free hana makosa kaambiwa🤔 mashekhe hao hawakuuwa hata sisimizi wako ndani miaka 8 saiv,asante mbunge🙏🏻
Kweli kabisa dah aisee inasikitisha sanaa
Kweli ndugu yangu ALLAH awape subra na malipo makubwa wao na family zao
huyu n mbunge pekeee ambaye anamtaja Allah bungen
alhamdulillah
anasema kama utan lkn ukweli unauma
Yuko na Omar mgumba
Wambie hawo
Halafu wakati huwohuwo anampinga kwakutunga sheria zinazoenda kinyume na allah
Watu wa kilwa au Lindi wanaijua dini
Kanifurahisha saana alipozungumzia masheikh waliofungwa miaka 8
This is fantastic genius ......ukimcheka bwege ww😂😂😂
Wabunge mbumbumbumbu, umeshiba eeeh mnanjaa eeh
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.
Team BWEGE let me see you..🙋🙋
Huyu bwege Janja.
Imeisha iyoo 😂😂
Mahay
Yeeaah
Kufurahishwa ndio njia pekee ya kufikisha ujumbe,,ushirikiano ndio suruhisho la matatizo yote.👌
Hadi nimesisimka aise.bwege big up.
Pole jaman, hyu mbunge had leo namtizama
Speaker na vibaraka wengine wa ccm watakapobaki wenyewe mwakani watakosa wa kuonea. Big up Mr Bwege, nakupenda bure.
Namkubali sana mbunge bwege hakoseagi yaan japo comedy sana 😂
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.
Balaaaa this guy
Hongela bwege kaongea point ☝
Hongeraaaaaa bwege hatuja shiba sasa
He has been always speaking like a rediculous bt he is a telegenc
*Ahsante baba kwa kuwakumbuka masheikh wetu na kuwataja Allah atakulipa kwa hilo tunaumia cc kuwaona waalimu wetu wanadhalilishwa magerezani bila kuhukumiwa ila Allah yupo na halali ataidhalilisha ccm na viongozi wake wotee malipo ni hapa hapa duniani akhera ni mahesabu. Haki haizami*
Ameen
Jaman siobwege huyummbunge Ila utashiwake nimdogo japo amesimamia kwelii nakwel itatuweka hurukweli kwelii mbarikiwe
Huyu kweli bwege lkn ni mkali kwa fact 😂😂😂
Mashalllah! Bwege ALLAH AKUJALIE maisha MAREFU kwa kukumbusha kuhusu mashekhe walio. Jela!! Takbriii
Amin
allah akbar
Zamda Masondole hahahaaa na bado una endleeza kumuita bwegee
Zamda lkn hawa Bata c juwi bakwata wapo kimya na kishk kaomba ardhi ana shindwa kuzumnguzia wenziye wapo jela bila kosa ushahiidi akuna
Zamda Masondole Allah Akbar
I just love him
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.
Some people are talented to express what they feel and think.Big up Mister Bungara
USIANGALIE NANI KASEMA..ANGALIA KASEMA NINI
Hulda Joseph da yupo vizuri kiukweli
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.
Spika anamtoa mheshimiwa kwenye reli, hizi siasa chafu.
Umelewa ee
Hamjaelewa ee
Hulda Joseph Powerful
So proud kwa mmbunge wetu wa kilwaaaa nguvu moja💪💪
Kweli
Kwa nn hamjampitisha huyu
Kama unamkubari bwege gonga like hapa
Konk
Wala c bwege huyo ndie mbunge barabbara
Bwege ni nomaa
Kaka pambana kwa ajili yako na KILWA KWA ujumla bila kusahau Lindi
Big up sana bwege
Mashaallah vitu anavyoviongea huyu mbunge ni vya point Allah Akujalie uwezekuwa imara
Da, uyu jamaa kiboko, Ila angekuwa ccm asenge kuwa anatoa nondo Kam hizo. Mungu ambariki.
Waambie vizuri muheshimiwa wakuelewe Maana hao wamekalia viti tu kila kitu ndio
I like this guy... watching from KE
Spika unakera kwaniwao hawamjui kamakuna muongozo yamekuuma mwache usimzungumshe.
HAWA NDIO WABUNGE WANAOTAKIWA KWENYE BUNGE LETU SIO WAKINA ALLY KESSY WAMEJAA MAHABA YA CCM NA SHOMBO TU
Mheshimiwa Bwege noma
Kwa wale wote wenye uwezo mudogo wa kuelewa yani IQ ni vigumu sana kumuelewa uyu mtu ila wenye akili wote wameelewa sanaaa timu bwege like pls mikono juuu kwa wote wenye IQ tu
Xure bro
Usiangalie nani kasema angalia nini kasema
Spika alitaka kumtoa mzee bwege kwenye Njia Tuu
Kwelii kbs
Kwel kbsa mkuu umeona iyooo haha
Cio alitaka kumtoa ameshamtoa tayari
@@marcowawaghufa8197 ndio ujanja wao wakiona mtu anaongea ukwelii wanazuga
Kweli kabisa
mzee yupo vizuli
Hapo kwa mashekhe miaka minane duhh ccm hili kwenu shida
Dah masha allah mbunge mbwege yupo vzur na point inaingia akili ktk bunge ndo maana spika na vibaraka vyake wanamkatisha maongez yanawachoma ktka moyo mar sut ulovaa mara muda mara hoja ila insha allah jimbo lako lkuchagua tna 2025 il wabung wakumbushe kdg
Huyu mbunge naomba wanalindi mmuludishe tena Bunge jamani make nampenda sana japo siwezmpigia kura kwani halipo sipo, Dah💪
Yani sichoki kumsikiliza bwege
Naendelea kuangalia hii ni 2024 never get old😂
Mungu akuongoze mzee wangu bwege umeongea vitu vikubwa mnoo!! Sema wajinga wachache ndio hawakuelewi sema ukweli utadhihiri na batil itajitenga inshaAllah.
This man has a brain. It's pity and shame that as far as I know they ended up loughing
Bungala yupo vzur sana ila azingatiwi kwa7bu ya ukafu2
Ukweli unauma sana pia ametumia njia nzuri ya kufikisha ujumbe
i love this man
Mhe Spika anautani na Mhe Mbunge Bwege..Ila Mhe Mbunge bwege anajua kutoa hoja hata kama anatumia kipaji chake cha uchekeshaji ila hoja dhabiti
Ukweli unaumaa ila haya majamaa hayasikii yalishakuwa chronic!!
Huyu mbunge namuombea sana arudi bungeni 2021 MUNGU amjaalie kabisa
Natamani bwege angekuwa waziri mkuu cjui ingekuwaaje
Eti unasema ah, Nyoooo. Safi sana mbunge
Yaani mpk spika awaombea taarifa wabunge simchezooo .... Kidumu bunge la chama ya mapinduzi 😂😂😂
یا عمر أتدری من الساٸل....
😃😃😃😃 ana ongea vyema
Bwege anavurugavuruga 😂😂😂😂😂
Mheshimiwa Bwege, ulikuwa mtetezi kwa njia nzuri kabisa. Ulizua tabasamu na vicheko hata kwenye hija zako. Naomba urudi kwenye uongozi baada ya miaka hii kadhaa
Alhamdullah umekumbuka mashekhe wetu allah atakulipa kwa heri yako
Allah atamlipa kwakweli
MashaAllah yuko vyema.
Hee. Kumbe Bwege ndio jina lake nilijua bwege kwa akili
Sophia Mwakila
.
N jina la utan, uwa analitumia siku zote
A.k.a jina lke suleyman bungara
Nawi Hadj z
Leo jama kakiwasha kweli na sio utani niukweli 200% Ni point kubwa sana
AYO TV nimependa mlivyo-split hadhira...wakati wa taarifa na majibizano.
TBC ndo wamefanya!
Nicholaus Makundi ww mtu
.ee
Asante mweshimiwa maneno mazito hayo
Nakikubali sana hichi chuma kinaitwa bwege
Mm vitu vya ukweli kama hivi ndio navipenda hadi machozi
I love dis guy walai
Mashallah.. hongera sana..
😃😃😃 Yuko vizuri sana
This guy bana😂😂😂
Ndio maana kavaa suti tofauti
Msukuma awaka Bungeni kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.
@@CyimSky tv gani hata kuandika neno bungeni hauwezi kuandika? SI NDIO UCHWARA
@@belak999 oky usilaumu sana kwani anayeandika ni mtu pia
@@CyimSky mnavyojingaza matangazo kila mahali mnatakiwa muwe makini sana,
jasson nelly 😂😂😂😂
Kuna Muda huwa Kuna maneno huwa yanasemwa yakweli paka Spika yanamuingia lakini sijui huwa wana nini CCM
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.
Uko peke yako BWEGE WEWE.huna waku kuunga mkono ila wewe sio bwege tuu bali niBWEGEGE
@@othmanhamad7941
Kuwa mbunge Basi na Wewe ili hata spika akusikie ..maana mwenzio afadhali anafahamika na spika na wabunge wengine.. Wewe mwenzetu Nani anakujua
Si kama pilato,,,
Bun Nasib PESA unauliza majibu uwoga na pesa
yaarab nimempenda huyu mbunge naana nia na dini yake ALHAMDULLILAH
yamemchoma spika
Spika kumbe ndiyo msababishi wa vurugu, anatamani watu wawe wanavuruga uchangiaji, mtu anaongea point yeye anatamani taarifa
🤣🤣🤣
Hapo jamani mumepata mbunge 💪
Mmh
Mr Bwege hujawahi niangusha,wabunge kama nyie ndio mnaotakiwa,wa kwetu Mwanza ndo hata hasikiki kabisa duuu,nakuombea kwa mola urudi tena Bungeni.Amina.
Noma sana, Mzee yuko sawa
😂😂😂 ameongea point sanaa
Dah huyu kweli bwege 😂😂
Miaka hiyo ilikua nzuri sana siku hizi bunge limekuwa turivu sana
Kawachana live kweli kweli big up daddy
Nipo Kenya huku, kiswahili kidogo kinanisumbua mr bwege katisha sana.
Licha ya mimi kua ccm damu, bwege namkubali sana 100%,
Safi mbunge bwege una umuhimu mkubwa katika nchi hii
Mwenyezi mungu akusimamie mwakani urudi tena
Bwegeee,umenikosha sanaaana,ukovizuri sana baba
kweli mbumbumbu umeshiba ndio una njaa ndio😂😂😂
Respect kwko mzee uko vzr unaongea ukwel mtupu ingawa wanakuona comedian lkn uko vzr
Dah sisikilizagi bunge lakin huyu baba big up
He's very bright. He knows how to present critical issues.
Uyu kichwaaaa kina madin san
Ahahaaaaaa duh
Mh. bwege ukovizuri mungu akubariki
nakubali mbunge wetyu kilwa boy
Zangu mbavu wallah😂😂kama nakuona shk nyundo
uwo umbea naima.....
Ismail Mjesh kwel anaongea kama nyundo😅😅
aya
@@naimamunishi1241 poa mzmaa lkn
😃😃😂😂
Mmbunge mchapa kazi uyu mwenye roho ya uruma
Style ya Bwege huwaga nzur sana
Asante sana.
Haki inaleta Amani.
inaumiza sana ushabiki wa vyama unapoongoza badala yakuangalia maslahi mapana ya Taifa na sio maslahi ya serikali iliyopo madarakani na huu ndio uzalendo wa KWELI
Nakukubali sana mbunge bwege😂😂😂🤝🤝🤝🤝
Hahhahahahaha😀😂🤣😅namkubali sana huyu mbunge
Nakukubali Sana bwege kupiko lile bongo zozo la kipatimu yeye alichangii chochote
Mh yuko vizuri mola amujarie afya tele
😂😂😂😂🤣🤣 eti mmeshiba ekheee mnanjaaa ekheee hatariiii
Dah had spika kaona aibu kaingilia
Ana akili sana huyu jamaa na ni mwana fasihi mzuri
Nimekwelewa Sana.
Pamoja
Sana baba
Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.
Daaah nchii hii inawatu muhimu sana sema ccm sio watu wazuri
Nakukubali sana mzeee wangu
Love u Mr Bwege
Aaaah Hivi wabunge wamesoma kwel
Huyu ameongea ambayo wengi wameshindwa kuyaongea
Saf sana mzee shusha nondo ,nakupata nikiwa Montreal