MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2020

Комментарии • 689

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 года назад +23

    Unaweza ona utani Ila anafikisha vzr ujumbe
    Good work Bwege

  • @ladytatu2139
    @ladytatu2139 4 года назад +77

    Bora umewaongerea masheikh Mungu akujalie miaka mingi

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 года назад +61

    Mungu akuulinde sana mbwege
    unawakumbuka sana ndugu zako magerezan
    kama utan lkn ukweli kabsaa

  • @a.856
    @a.856 4 года назад +80

    #Free#Mashekhe#Wetu. Juzi tuu watu 20 wamekufa na askofu kaachiwa free hana makosa kaambiwa🤔 mashekhe hao hawakuuwa hata sisimizi wako ndani miaka 8 saiv,asante mbunge🙏🏻

    • @salimibrahim2497
      @salimibrahim2497 4 года назад +2

      Kweli kabisa dah aisee inasikitisha sanaa

    • @yassinnjige7484
      @yassinnjige7484 4 года назад +2

      Kweli ndugu yangu ALLAH awape subra na malipo makubwa wao na family zao

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 года назад +234

    huyu n mbunge pekeee ambaye anamtaja Allah bungen
    alhamdulillah
    anasema kama utan lkn ukweli unauma

  • @rajfakhaar6884
    @rajfakhaar6884 4 года назад +22

    This is fantastic genius ......ukimcheka bwege ww😂😂😂

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 4 года назад +63

    Wabunge mbumbumbumbu, umeshiba eeeh mnanjaa eeh

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.

  • @josephmahay1438
    @josephmahay1438 4 года назад +253

    Team BWEGE let me see you..🙋🙋

  • @nuhuazizi6190
    @nuhuazizi6190 4 года назад +19

    Kufurahishwa ndio njia pekee ya kufikisha ujumbe,,ushirikiano ndio suruhisho la matatizo yote.👌

  • @rehemaalex43
    @rehemaalex43 4 года назад +18

    Hadi nimesisimka aise.bwege big up.

  • @gillyamani6090
    @gillyamani6090 4 года назад +32

    Speaker na vibaraka wengine wa ccm watakapobaki wenyewe mwakani watakosa wa kuonea. Big up Mr Bwege, nakupenda bure.

  • @ramadhanvesso1759
    @ramadhanvesso1759 4 года назад +118

    Namkubali sana mbunge bwege hakoseagi yaan japo comedy sana 😂

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад +1

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.

    • @meshackndoya1318
      @meshackndoya1318 4 года назад

      Balaaaa this guy

    • @jumannemartine628
      @jumannemartine628 4 года назад

      Hongela bwege kaongea point ☝

    • @jumannemartine628
      @jumannemartine628 4 года назад +1

      Hongeraaaaaa bwege hatuja shiba sasa

    • @salumpulumba211
      @salumpulumba211 4 года назад

      He has been always speaking like a rediculous bt he is a telegenc

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 4 года назад +25

    *Ahsante baba kwa kuwakumbuka masheikh wetu na kuwataja Allah atakulipa kwa hilo tunaumia cc kuwaona waalimu wetu wanadhalilishwa magerezani bila kuhukumiwa ila Allah yupo na halali ataidhalilisha ccm na viongozi wake wotee malipo ni hapa hapa duniani akhera ni mahesabu. Haki haizami*

    • @salumsaid6572
      @salumsaid6572 4 года назад +1

      Ameen

    • @nicholausmsuya2344
      @nicholausmsuya2344 4 года назад

      Jaman siobwege huyummbunge Ila utashiwake nimdogo japo amesimamia kwelii nakwel itatuweka hurukweli kwelii mbarikiwe

  • @majaliwajumafaru9482
    @majaliwajumafaru9482 4 года назад +34

    Huyu kweli bwege lkn ni mkali kwa fact 😂😂😂

  • @zamdamasondole8272
    @zamdamasondole8272 4 года назад +86

    Mashalllah! Bwege ALLAH AKUJALIE maisha MAREFU kwa kukumbusha kuhusu mashekhe walio. Jela!! Takbriii

    • @kesslymm3412
      @kesslymm3412 4 года назад +1

      Amin

    • @rehemahamisi9971
      @rehemahamisi9971 4 года назад

      allah akbar

    • @robinrobert5993
      @robinrobert5993 4 года назад

      Zamda Masondole hahahaaa na bado una endleeza kumuita bwegee

    • @yassinnjige7484
      @yassinnjige7484 4 года назад

      Zamda lkn hawa Bata c juwi bakwata wapo kimya na kishk kaomba ardhi ana shindwa kuzumnguzia wenziye wapo jela bila kosa ushahiidi akuna

    • @hidayamsebwa181
      @hidayamsebwa181 4 года назад

      Zamda Masondole Allah Akbar

  • @irenekitomary7271
    @irenekitomary7271 4 года назад +28

    I just love him

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira768 4 года назад +56

    Some people are talented to express what they feel and think.Big up Mister Bungara

  • @huldajoseph556
    @huldajoseph556 4 года назад +211

    USIANGALIE NANI KASEMA..ANGALIA KASEMA NINI

    • @rashidinyegele4077
      @rashidinyegele4077 4 года назад +1

      Hulda Joseph da yupo vizuri kiukweli

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.

    • @dobidotz3696
      @dobidotz3696 4 года назад +1

      Spika anamtoa mheshimiwa kwenye reli, hizi siasa chafu.

    • @abdilahijumanne1415
      @abdilahijumanne1415 4 года назад

      Umelewa ee
      Hamjaelewa ee

    • @lmashua
      @lmashua 4 года назад

      Hulda Joseph Powerful

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 4 года назад +30

    So proud kwa mmbunge wetu wa kilwaaaa nguvu moja💪💪

  • @yoramswagala3398
    @yoramswagala3398 4 года назад +303

    Kama unamkubari bwege gonga like hapa

  • @jumasaganka8479
    @jumasaganka8479 3 года назад +2

    Mashaallah vitu anavyoviongea huyu mbunge ni vya point Allah Akujalie uwezekuwa imara

  • @ramadhanmtipa4618
    @ramadhanmtipa4618 4 года назад +12

    Da, uyu jamaa kiboko, Ila angekuwa ccm asenge kuwa anatoa nondo Kam hizo. Mungu ambariki.

  • @shenuromussa4813
    @shenuromussa4813 4 года назад +18

    Waambie vizuri muheshimiwa wakuelewe Maana hao wamekalia viti tu kila kitu ndio

  • @joakimgioche6352
    @joakimgioche6352 3 года назад +2

    I like this guy... watching from KE

  • @hajikombo8578
    @hajikombo8578 4 года назад +27

    Spika unakera kwaniwao hawamjui kamakuna muongozo yamekuuma mwache usimzungumshe.

  • @wilbertcharles9129
    @wilbertcharles9129 4 года назад +53

    HAWA NDIO WABUNGE WANAOTAKIWA KWENYE BUNGE LETU SIO WAKINA ALLY KESSY WAMEJAA MAHABA YA CCM NA SHOMBO TU

  • @sadockalfred6750
    @sadockalfred6750 4 года назад +22

    Mheshimiwa Bwege noma

  • @japharynduko6139
    @japharynduko6139 4 года назад +8

    Kwa wale wote wenye uwezo mudogo wa kuelewa yani IQ ni vigumu sana kumuelewa uyu mtu ila wenye akili wote wameelewa sanaaa timu bwege like pls mikono juuu kwa wote wenye IQ tu

  • @rachelissacmahenge1348
    @rachelissacmahenge1348 4 года назад +22

    Usiangalie nani kasema angalia nini kasema

  • @samanyaswai6272
    @samanyaswai6272 4 года назад +56

    Spika alitaka kumtoa mzee bwege kwenye Njia Tuu

  • @braymwajombe1074
    @braymwajombe1074 4 года назад +23

    mzee yupo vizuli

  • @omarybabuutv972
    @omarybabuutv972 4 года назад +14

    Hapo kwa mashekhe miaka minane duhh ccm hili kwenu shida

  • @hudaynahamad8506
    @hudaynahamad8506 4 года назад +1

    Dah masha allah mbunge mbwege yupo vzur na point inaingia akili ktk bunge ndo maana spika na vibaraka vyake wanamkatisha maongez yanawachoma ktka moyo mar sut ulovaa mara muda mara hoja ila insha allah jimbo lako lkuchagua tna 2025 il wabung wakumbushe kdg

  • @brightlastborn4440
    @brightlastborn4440 4 года назад +3

    Huyu mbunge naomba wanalindi mmuludishe tena Bunge jamani make nampenda sana japo siwezmpigia kura kwani halipo sipo, Dah💪

  • @user-fs4el1tt7d
    @user-fs4el1tt7d 3 месяца назад

    Naendelea kuangalia hii ni 2024 never get old😂

  • @aminamalinda6522
    @aminamalinda6522 4 года назад +22

    Mungu akuongoze mzee wangu bwege umeongea vitu vikubwa mnoo!! Sema wajinga wachache ndio hawakuelewi sema ukweli utadhihiri na batil itajitenga inshaAllah.

  • @nicksonthevet
    @nicksonthevet 4 года назад +7

    This man has a brain. It's pity and shame that as far as I know they ended up loughing

  • @mnomahboybright4743
    @mnomahboybright4743 4 года назад +12

    Bungala yupo vzur sana ila azingatiwi kwa7bu ya ukafu2

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 4 года назад +8

    Ukweli unauma sana pia ametumia njia nzuri ya kufikisha ujumbe

  • @alphaleahibrahim8904
    @alphaleahibrahim8904 4 года назад +6

    i love this man

  • @mohamedyusuphmbaki4973
    @mohamedyusuphmbaki4973 4 года назад +8

    Mhe Spika anautani na Mhe Mbunge Bwege..Ila Mhe Mbunge bwege anajua kutoa hoja hata kama anatumia kipaji chake cha uchekeshaji ila hoja dhabiti

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 4 года назад +40

    Ukweli unaumaa ila haya majamaa hayasikii yalishakuwa chronic!!

  • @faustinekulwa2596
    @faustinekulwa2596 3 года назад

    Huyu mbunge namuombea sana arudi bungeni 2021 MUNGU amjaalie kabisa

  • @julietraymond4874
    @julietraymond4874 4 года назад +11

    Natamani bwege angekuwa waziri mkuu cjui ingekuwaaje

  • @Rogasiandesmond6
    @Rogasiandesmond6 4 года назад

    Eti unasema ah, Nyoooo. Safi sana mbunge

  • @omaredhasaidal.obthani4775
    @omaredhasaidal.obthani4775 4 года назад +8

    Yaani mpk spika awaombea taarifa wabunge simchezooo .... Kidumu bunge la chama ya mapinduzi 😂😂😂

    • @ammygalby9921
      @ammygalby9921 4 года назад

      یا عمر أتدری من الساٸل....

  • @casianclement3147
    @casianclement3147 4 года назад +7

    😃😃😃😃 ana ongea vyema

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 4 года назад +19

    Bwege anavurugavuruga 😂😂😂😂😂

  • @bensalome4676
    @bensalome4676 3 года назад +3

    Mheshimiwa Bwege, ulikuwa mtetezi kwa njia nzuri kabisa. Ulizua tabasamu na vicheko hata kwenye hija zako. Naomba urudi kwenye uongozi baada ya miaka hii kadhaa

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 4 года назад +3

    Alhamdullah umekumbuka mashekhe wetu allah atakulipa kwa heri yako

  • @salmahhabibu4131
    @salmahhabibu4131 4 года назад +3

    MashaAllah yuko vyema.

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 4 года назад +32

    Hee. Kumbe Bwege ndio jina lake nilijua bwege kwa akili

  • @hellenabernard6747
    @hellenabernard6747 4 года назад +5

    Leo jama kakiwasha kweli na sio utani niukweli 200% Ni point kubwa sana

  • @nicholausmakundi2663
    @nicholausmakundi2663 4 года назад +26

    AYO TV nimependa mlivyo-split hadhira...wakati wa taarifa na majibizano.

  • @jumamisimbo8891
    @jumamisimbo8891 4 года назад +1

    Asante mweshimiwa maneno mazito hayo

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 4 года назад +7

    Nakikubali sana hichi chuma kinaitwa bwege

  • @mrsnam6897
    @mrsnam6897 4 года назад +10

    Mm vitu vya ukweli kama hivi ndio navipenda hadi machozi

  • @mogjosely8291
    @mogjosely8291 4 года назад +1

    I love dis guy walai

  • @hassanmndeme8535
    @hassanmndeme8535 4 года назад

    Mashallah.. hongera sana..

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 4 года назад +5

    😃😃😃 Yuko vizuri sana

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly3445 4 года назад +59

    This guy bana😂😂😂
    Ndio maana kavaa suti tofauti

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      Msukuma awaka Bungeni kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.

    • @belak999
      @belak999 4 года назад

      @@CyimSky tv gani hata kuandika neno bungeni hauwezi kuandika? SI NDIO UCHWARA

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      @@belak999 oky usilaumu sana kwani anayeandika ni mtu pia

    • @belak999
      @belak999 4 года назад

      @@CyimSky mnavyojingaza matangazo kila mahali mnatakiwa muwe makini sana,

    • @regneralex819
      @regneralex819 4 года назад +1

      jasson nelly 😂😂😂😂

  • @bunnasib1961
    @bunnasib1961 4 года назад +66

    Kuna Muda huwa Kuna maneno huwa yanasemwa yakweli paka Spika yanamuingia lakini sijui huwa wana nini CCM

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад +1

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.

    • @othmanhamad7941
      @othmanhamad7941 4 года назад

      Uko peke yako BWEGE WEWE.huna waku kuunga mkono ila wewe sio bwege tuu bali niBWEGEGE

    • @bunnasib1961
      @bunnasib1961 4 года назад

      @@othmanhamad7941
      Kuwa mbunge Basi na Wewe ili hata spika akusikie ..maana mwenzio afadhali anafahamika na spika na wabunge wengine.. Wewe mwenzetu Nani anakujua

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 4 года назад

      Si kama pilato,,,

    • @djgmp8140
      @djgmp8140 4 года назад

      Bun Nasib PESA unauliza majibu uwoga na pesa

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +8

    yaarab nimempenda huyu mbunge naana nia na dini yake ALHAMDULLILAH

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 4 года назад +26

    yamemchoma spika

  • @wiza2309
    @wiza2309 4 года назад +27

    Spika kumbe ndiyo msababishi wa vurugu, anatamani watu wawe wanavuruga uchangiaji, mtu anaongea point yeye anatamani taarifa

  • @juianakarani8341
    @juianakarani8341 4 года назад

    Mr Bwege hujawahi niangusha,wabunge kama nyie ndio mnaotakiwa,wa kwetu Mwanza ndo hata hasikiki kabisa duuu,nakuombea kwa mola urudi tena Bungeni.Amina.

  • @mwesigwaabdurahim8590
    @mwesigwaabdurahim8590 4 года назад +1

    Noma sana, Mzee yuko sawa

  • @angelngoye4910
    @angelngoye4910 4 года назад +6

    😂😂😂 ameongea point sanaa

  • @fadhilingogota3581
    @fadhilingogota3581 4 года назад +11

    Dah huyu kweli bwege 😂😂

  • @BLESSblessing1
    @BLESSblessing1 22 дня назад

    Miaka hiyo ilikua nzuri sana siku hizi bunge limekuwa turivu sana

  • @esperancenathali
    @esperancenathali 4 года назад +1

    Kawachana live kweli kweli big up daddy

  • @Mbugokilonda
    @Mbugokilonda 4 года назад

    Nipo Kenya huku, kiswahili kidogo kinanisumbua mr bwege katisha sana.

  • @abdulmohamedi4947
    @abdulmohamedi4947 4 года назад +2

    Licha ya mimi kua ccm damu, bwege namkubali sana 100%,

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 3 месяца назад

    Safi mbunge bwege una umuhimu mkubwa katika nchi hii

  • @nurukaguo8285
    @nurukaguo8285 4 года назад

    Mwenyezi mungu akusimamie mwakani urudi tena

  • @viorasaimon8934
    @viorasaimon8934 4 года назад +1

    Bwegeee,umenikosha sanaaana,ukovizuri sana baba

  • @paulinasemindu1292
    @paulinasemindu1292 4 года назад +8

    kweli mbumbumbu umeshiba ndio una njaa ndio😂😂😂

  • @saidijuma9386
    @saidijuma9386 4 года назад +1

    Respect kwko mzee uko vzr unaongea ukwel mtupu ingawa wanakuona comedian lkn uko vzr

  • @Susharealestatecompany
    @Susharealestatecompany 4 года назад +1

    Dah sisikilizagi bunge lakin huyu baba big up

  • @sinacksaigodi5876
    @sinacksaigodi5876 2 года назад +2

    He's very bright. He knows how to present critical issues.

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi8570 4 года назад +45

    Uyu kichwaaaa kina madin san

  • @jovingeorge3051
    @jovingeorge3051 4 года назад +1

    Mh. bwege ukovizuri mungu akubariki

  • @omarysimbaimaramiakamiacha7108
    @omarysimbaimaramiakamiacha7108 3 года назад +1

    nakubali mbunge wetyu kilwa boy

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 4 года назад +35

    Zangu mbavu wallah😂😂kama nakuona shk nyundo

  • @brianwekolu7826
    @brianwekolu7826 3 года назад +1

    Mmbunge mchapa kazi uyu mwenye roho ya uruma

  • @mshangapeter6566
    @mshangapeter6566 4 года назад +2

    Style ya Bwege huwaga nzur sana

  • @joshuamkali4598
    @joshuamkali4598 4 года назад

    Asante sana.
    Haki inaleta Amani.
    inaumiza sana ushabiki wa vyama unapoongoza badala yakuangalia maslahi mapana ya Taifa na sio maslahi ya serikali iliyopo madarakani na huu ndio uzalendo wa KWELI

  • @nisilesanga3602
    @nisilesanga3602 4 года назад

    Nakukubali sana mbunge bwege😂😂😂🤝🤝🤝🤝

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 4 года назад +1

    Hahhahahahaha😀😂🤣😅namkubali sana huyu mbunge

  • @rafiikapanda2665
    @rafiikapanda2665 4 года назад

    Nakukubali Sana bwege kupiko lile bongo zozo la kipatimu yeye alichangii chochote

  • @willsonjoshua2220
    @willsonjoshua2220 3 года назад

    Mh yuko vizuri mola amujarie afya tele

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 4 года назад +9

    😂😂😂😂🤣🤣 eti mmeshiba ekheee mnanjaaa ekheee hatariiii

  • @djdon9706
    @djdon9706 4 года назад +44

    Ana akili sana huyu jamaa na ni mwana fasihi mzuri

  • @elisulle1478
    @elisulle1478 4 года назад +12

    Sana baba

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      Msukuma awaka Bingen kwa cheche ruclips.net/video/MfRNuSByQTY/видео.html usisahau kusubuscribe.

  • @pdwanakaza2411
    @pdwanakaza2411 Год назад +1

    Daaah nchii hii inawatu muhimu sana sema ccm sio watu wazuri

  • @deogratiasmassawe4543
    @deogratiasmassawe4543 4 года назад

    Nakukubali sana mzeee wangu

  • @foibekajiru7243
    @foibekajiru7243 4 года назад +1

    Love u Mr Bwege

  • @jayonetv9930
    @jayonetv9930 4 года назад

    Aaaah Hivi wabunge wamesoma kwel

  • @sekundambilinyi5450
    @sekundambilinyi5450 4 года назад +10

    Huyu ameongea ambayo wengi wameshindwa kuyaongea

  • @numbeshabani9981
    @numbeshabani9981 4 года назад

    Saf sana mzee shusha nondo ,nakupata nikiwa Montreal