MKUTANO MKUU YANGA SC | Chalamila awakosha wanachama wa Yanga
HTML-код
- Опубликовано: 23 июн 2023
- Isikilize hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akihutubia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Yanga SC uliofanyika ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es Salaam.
Спорт
Kwenye bandari! Umetibua!
We muhehe unajua Sana kuyapangilia mazungumzo.Mungu akubariki sana
Uko vizuri sana kiongozi
Ahsante mkuu kwa hotuba nzuri Mungu akubariki sana
Asante chalamila
Waoooo Chalamila💚💚💚💚💚💚
HAKIKA injinia HERSI usirudi NYUMA MAJIRANI hawapendi MAENDELEO YETU AMBAYO sio Siri uongozi WAKO tunakupongeza SANASANA mocha tumempata NAOMBA mayele abaki YANGA asighilibiwe na MTOTO mjinga said jitambua MAFANIKIO yake yametokana na TIMU gani
Eeeenjiwa sasa salaams zimefikaaa Kwa keyssssss Jerald as wellsssssssssssszssssss
Hongera Yanga tumeshinda
Mungu mbariki GSM Mungu mbariki raisi ya yanga na uongozi wote
Amina🙏🙏
mkuu ni yanga damu
Safiii
Asant sana mkuu
Yeeeeeesssss
Sawa sawa mkuu wamkoa
Oyiiii
Respect
Nimecheka hadi machozi yametoka
Yangaa nzuri hapa Nairobi
Wewe ni yanga tutamchukua lisu
Lisu yeye timu gani
Huyu jamaa nilimpenda ila alivyoongea pumba kuhusu bandari namuona takataka fisadi
Na ni takataka kweli
Asante chalamia
mkuu ni yanga damu