Hiyo mifumo iliwekwa kunyonya waafrica hapo ni mahesabu wacoloni wanafanya Leo ufaramsa eti bado kuna pesa unapata kutoka Africa Hilo ni wizi WA mifumo.
Shule ni upotofu tu kama hujui lengo hasa la elimu na hupati ...na kama hupati elimu yenye ubora wa ukweli...watu wanaofundishwa biashara utotoni na wazazi wao au fani nyingine za ujuzi...hutokea kuwa na mafanikio katika kutumia ujuzi huo Kim kimaisha kuliko watu waliokwenda Shule au wenye vyeti fulani...majority of our legacy education system of colonialism is nothing but brainwashing. ..you only get to learn a little. Here in the USA...majority of famous successful entrepreneurs who made big impact not only in business but also in life in general, were dropouts from college such as Bill Gates, Steve Jobs , Mark Zuckerberg etc... Mzee Kishimba yupo sahihi nami namkubali kabisa....elimu aliyokuwa nayo ni zaidi ya Phd...na wengi wenye vertical vya Phd ni viiyo tu. wengine wananunua na kukariri theories only we need to change the whole education system to revive every sector of our country's economy...
Sijambo. Hamjambo? TUWAFUNDISHE WATOTO WETU KULA SAMAKI NA KUVUA SAMAKI. (Tuwafundishe watoto wetu kutumia vitu na kuunda vitu). Tuwafundishe watoto wetu kwa maneno na vitendo kuanzia wanapokuwa shuleni hadi vyuoni.
Jamaa alikuwaga radio station mbeya, nimetoka school likizo nikafungulia radio, sikujua kuwa ni radio ya mkoani mpk kipindi kilipoisha. Its good ni hatua kubwa, anatakiwa aende hatua kubwa zaidi, mosi uelewa, kujua kwenda na mabadiliko, kipawa na consistency Hongera sana
Ndg. Lamert, wewe ni miongoni mwa ‘journalists’ wazuri, lakini unahitaji kuongeza ufahamu wa eneo husika ili uulize maswali bora zaidi. Pili, usijisahau sana hata ukadhani unayemhoji ni wa rika lako. Muhimu utunze urasmi. Mh. Kishimba ni Mbunge, na pia ana umri wa baba yako. Kuna wakati unamtamka bila itifaki anayostahili - siyo sawa kwa wewe kudharau itifaki, na kudhani sasa ‘unalingana’ na Mh. Kishimba! Katika interviews zako zote, kutokujali itifaki muda wote ni udhaifu wako mkubwa.
Brother mtangazaji Hongera unefanya Interview ya Nguvu mno hawa ndiyo watu unaonatakiwa kuwa nao na siii Hao Wasomii wa Vyeti kama Yule mzee uliyemuita Msomi kuliko Yeyote Tz Maisha halis na Ya Mafanikio Hayaelezeki ndiyo maana mzee amesema Hakuna kitabu cha Biashara...
MH. Kishimba kasema ukweli Wahindi Hawasomeshi watoto waajiliwe watoto wao wakiwa shule akija likizo nyumbani hufunzwa biashara na elimu ya kujitegemea sisi tunawasomesha waajiliwe.
Mzee yupo vizuri tunahitaji kufikiria sana mfano mdogo tuu ni kwa nn watoto wa darasa la kwanza wasisome kiingereza la kwanza ?maana hii itasaidia waalimu na watoto kuelewa mapema kwa nn watoto wanaanza darasa la tatu?
Nashukulu sasa MH kishimba kama serikali ingeweza kuwa na watu wenye akili hiyo ingeweza kubadili miji na kuwa kama dunia zingine hiyo idea wanazo wazungu kuna Aina tatu za mijego
Hapo kwenye watoto mzee kapotea, watoto wa matajiri wanapata shida sana za kuwa na pressure kuwa wawe watu flani alafu kiongozi wa familia akiwa na mindset ngumu hapo inakuwa hell tu, awasikilize hao watoto wanampango gani awasupport ni simple sana hakuna mtu mtupu kichwani, nawalio fanikiwa ni wengi sana, mzee inabidi a study zaidi jamii za walio fanikiwa asiishi sana kwenye kichwa chake ufalme wa kiti kimoja sio ufalme is a matter of time tu
Swala la watoto si mchezo ndugu unaweza ku train mtoto lkn kila ukimtizama vision yake haiendani na business zako kabisa ni kum-support tu aendelee na mambo yake
@@samuelmajule54 kabisa, wazee wengi wana penda kulisisha talent zao, ilo ni kosa kubwa sana alafu linahatarisha economy ya generations kama utalisisha watu aina ya mambo yako na talent zako wakati wao sio mambo yao maanake iyo wealth lazima ije kufa then inarudi square one, na ndo mataifa yaliyofanikiwa from family level na jamii kwa ujuma wanatuzidi hapo
Mzee Kishimba anamiliki Imalaseko, Dar Free Market lkn anasema sio tajiri , Imagine hzo ni baadhi tu ya biashara zake, huyu mzee ni genius ndio maana anajitambua kuliko wasomi.
Nakubaliana na Kishimba. Japan ilikuwa kiboko kwa mafia. Polisi ilibidi ijiingize Kwenye umafia na kufanikiwa kupunguza. So Kishimba is Genius. Tumtumie ndugu yetu HUYU.
Kwa upeo mzuri wa mzee huyu, natamani atupie macho sana Mahakama zetu pia ili aweze kutusaidia, maana kuna madudu mengi yanayopelekea haki kutopatikana. Mola akupe kila la kheir mzee Kishimba.
Hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli amewafungua wananchi swala la kufikiri,kujaji na kuunda hoja.Mungu amuweke mahala pema peponi Amina
Best interview 👌 Kuanzia Mwandishi hadi Interviewer! Ni Elimu Kubwa Sana hii Hongereni Dar24media
Kaka wewe ni Mtangazaji Bora sana,Nakuomba siku Moja nikuone kwenye Chombo kikubwa Cha Utangazaji kama BBC,VOA,DW ,TBC,AZAM and so on.
Nakukubali sana Mzee wangu kishimba
Ili uwe tbc uwe CCM
Wewe unataka aondoke Nyumbani
Hapo ondoa TBC na AZAM
@@sautikuu212 tbc na AZAM???😂😂😂
Uko vizuri brother katika kuuliza Maswali umenifurahisha utafika mbali
Shule aliyosoma Prof kishimba ameisoma sehemu tofauti na amelipia gharama kubwa sana kuliko elimu ya kawaida.
Huhuuu Yani uyu ndobaba anajua vingi wazazi wengine wapo kimya tui
Hiyo mifumo iliwekwa kunyonya waafrica hapo ni mahesabu wacoloni wanafanya Leo ufaramsa eti bado kuna pesa unapata kutoka Africa Hilo ni wizi WA mifumo.
Wewe mwandishi uko vizuri Sana utafika mbali Sana big up.
Hizo ndio channel za kuangalia Sasa!,Hongera Sana🙏
Mzee Yuko sawa kabisa
Apa interview imekamilkaa
Shule ni upotofu tu kama hujui lengo hasa la elimu na hupati ...na kama hupati elimu yenye ubora wa ukweli...watu wanaofundishwa biashara utotoni na wazazi wao au fani nyingine za ujuzi...hutokea kuwa na mafanikio katika kutumia ujuzi huo Kim kimaisha kuliko watu waliokwenda Shule au wenye vyeti fulani...majority of our legacy education system of colonialism is nothing but brainwashing. ..you only get to learn a little. Here in the USA...majority of famous successful entrepreneurs who made big impact not only in business but also in life in general, were dropouts from college such as Bill Gates, Steve Jobs , Mark Zuckerberg etc...
Mzee Kishimba yupo sahihi nami namkubali kabisa....elimu aliyokuwa nayo ni zaidi ya Phd...na wengi wenye vertical vya Phd ni viiyo tu. wengine wananunua na kukariri theories only
we need to change the whole education system to revive every sector of our country's economy...
❤❤
Mh. Kishimba nakusaluti,upo vizuri sana with your critical thinking,unaona maisha katika uhalisia wake.Ahsante
Sema nini umesahau kumuuliza profesa mtazamo wake juu ya mambo ya huko bandarini. Bt the rest is good.
Changamoto saut ipo chin sanaa
Huyu mzee tuangalie bhana tumpe uraisi itakuwa nchi ya tofauti sana😅
Sijambo. Hamjambo? TUWAFUNDISHE WATOTO WETU KULA SAMAKI NA KUVUA SAMAKI. (Tuwafundishe watoto wetu kutumia vitu na kuunda vitu). Tuwafundishe watoto wetu kwa maneno na vitendo kuanzia wanapokuwa shuleni hadi vyuoni.
Uyu mbunge ni baraka kwa serikari kama haya mawazo yangefuatiliwa kiundani tungefika mbali sana kama Tanzania 👏👏
"Sio waoga kwasababu hajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana
Watu wenye maadili kama hawa wanachukuliwa poa poa tu,wapumbufu ndiyo wanasikilizwa.
Tatizo mnaokomemt weng sio wakazi wakahama uyo mzee utajir niwakwak nafamilia yake atuletei maendeleo khm barabar Kila Kona mbovu
Sie tunapenda mawazo yake acha hizo
Kahama tuko vizuri Meh. Kishimba simama hivyohivyo dunia imeona umuhimu wako. Hoja zako ni ukombozi WA mwafrika.
Umekaa unafikiri utaletewa mkononi Hilo sahau piga kazi hakuna atakayekupa maendeleo yako binafsi mpaka unaingia vumbini
Mheshimiwa.Kishimbaa anafaa apewe PhD ya heshima
#huyu mzee n mtu na nusu
Jamaa alikuwaga radio station mbeya, nimetoka school likizo nikafungulia radio, sikujua kuwa ni radio ya mkoani mpk kipindi kilipoisha.
Its good ni hatua kubwa, anatakiwa aende hatua kubwa zaidi, mosi uelewa, kujua kwenda na mabadiliko, kipawa na consistency
Hongera sana
Huyu Mzee nashauri Tasisi za Elimu ya Juu wampe Honorary Doctorate!
Tunaomba interview NYINGINE Mr.Lambert
Nimeanza kuamini wasukuma wana kitu,kama taifa tuache kuwachukulia poa na kuwatania ushamba,kumbe sisi ndio hatujui😂
Mzee kishimb💥💥💥anafikilia Sana na anaongea vitu vizuli Sana na vyakweli kiuhalisia
Baba una mawazo ya ajabu....pale bungeni pangefaa angalau robo ya Wabunge wawe wa aina hii
Ndg. Lamert, wewe ni miongoni mwa ‘journalists’ wazuri, lakini unahitaji kuongeza ufahamu wa eneo husika ili uulize maswali bora zaidi.
Pili, usijisahau sana hata ukadhani unayemhoji ni wa rika lako. Muhimu utunze urasmi. Mh. Kishimba ni Mbunge, na pia ana umri wa baba yako. Kuna wakati unamtamka bila itifaki anayostahili - siyo sawa kwa wewe kudharau itifaki, na kudhani sasa ‘unalingana’ na Mh. Kishimba! Katika interviews zako zote, kutokujali itifaki muda wote ni udhaifu wako mkubwa.
The man
Huyu ndiyo mpeni uprofesa siyo taletale
Brother mtangazaji Hongera unefanya Interview ya Nguvu mno hawa ndiyo watu unaonatakiwa kuwa nao na siii Hao Wasomii wa Vyeti kama Yule mzee uliyemuita Msomi kuliko Yeyote Tz
Maisha halis na Ya Mafanikio Hayaelezeki ndiyo maana mzee amesema Hakuna kitabu cha Biashara...
Mwandishi unajua kuhoji safisana
MH. Kishimba kasema ukweli Wahindi Hawasomeshi watoto waajiliwe watoto wao wakiwa shule akija likizo nyumbani hufunzwa biashara na elimu ya kujitegemea sisi tunawasomesha waajiliwe.
Nimekubari sana kiongozi
Darasa la saba lina siri kubwa sana😂😂😂
Mungu azidi kukubariki Mzee kishimba...unaongea ukweli mchungu ambao Sisi wa Afrika wengi atutaki kukubari
Mzee yupo vizuri tunahitaji kufikiria sana mfano mdogo tuu ni kwa nn watoto wa darasa la kwanza wasisome kiingereza la kwanza ?maana hii itasaidia waalimu na watoto kuelewa mapema kwa nn watoto wanaanza darasa la tatu?
Kiingereza kiliondolewa si miaka Mungu baada ya kuona mtoto wa Drs la kwanza anapewa masomo mengi hivyo anashindwa kuyamudu na Sasa kinarejeshwa tena
Nashukulu sasa MH kishimba kama serikali ingeweza kuwa na watu wenye akili hiyo ingeweza kubadili miji na kuwa kama dunia zingine hiyo idea wanazo wazungu kuna Aina tatu za mijego
Huyu mzee yupo sahihi sana,wengi wetu tumewachia watoto kwa kuamini elimu zao wamewadondosha sana wazee wao
Uyo mzee amnakit anamaendeleo yoyot kwenye jimbo lak barabar zimeoza kilakona
Kazi ya mbunge ikiwa ni kutengeneza Barabara na kazi ya serikali inakuwa ni ipi?.
Big up sana Mzee Kishimba. Nakumbuka tulivyokupokea Harare ukafungua kiwanda Ginery na ukarudi nyumbani kugombea ubunge. Wewe ni jembe.
Tumpee waziri mkuu🎉🎉🎉🎉🎉
Mimi nashauri kama mtamzania huyu Mzee kishimba awe waziri mkuu wa Tanzania anachokiongea ni mdaa wa sasa Nina maada Anaenda na mdaaa
Nchi iendelee kumsikiliza huyu Jamaa kwa ukaribu sana ANA MADINI YA THAMANI KTK UBONGO WAKE!!
Yuko vizuri kuliko wasomi wengi
Professor tuko pamoja the change should start with us to change our country system
Natamani kuonana siju moja na uyu mzee ana madinii sana
Confusion
Kumbe Darasa la Saba wako wengi na sio Msukuma tuu
Hongera Sana Prof.
hongera saaana moja wa matajiri wakubwa wazawa waliobakia ,baada ya Kufariki Dr.Reginald Mengi.
Anamiliki nini huyu mzee?
@@MtuSafi isikilze vizuri hii Crip Kuna vingi walivyovitaja
@@MtuSafidar free market
@@MtuSafireal estate na migodi ya dhahabu
Huy mzee namkubali saan kwa haya majibu
Kazi nzuri kaka Lambet
🤔Kila swali ni hekima na kila jawabu ni elimu. Asante kwa udadisi ufafanuzi na habari nzuri za kutuamsha tusijisahau
Hapo kwenye watoto mzee kapotea, watoto wa matajiri wanapata shida sana za kuwa na pressure kuwa wawe watu flani alafu kiongozi wa familia akiwa na mindset ngumu hapo inakuwa hell tu, awasikilize hao watoto wanampango gani awasupport ni simple sana hakuna mtu mtupu kichwani, nawalio fanikiwa ni wengi sana, mzee inabidi a study zaidi jamii za walio fanikiwa asiishi sana kwenye kichwa chake ufalme wa kiti kimoja sio ufalme is a matter of time tu
Swala la watoto si mchezo ndugu unaweza ku train mtoto lkn kila ukimtizama vision yake haiendani na business zako kabisa ni kum-support tu aendelee na mambo yake
@@samuelmajule54 kabisa, wazee wengi wana penda kulisisha talent zao, ilo ni kosa kubwa sana alafu linahatarisha economy ya generations kama utalisisha watu aina ya mambo yako na talent zako wakati wao sio mambo yao maanake iyo wealth lazima ije kufa then inarudi square one, na ndo mataifa yaliyofanikiwa from family level na jamii kwa ujuma wanatuzidi hapo
Hongela sana mh kwehekima nauerewa waasili mungu akubaliki sana
Hii ni mbwa yenye akili nyingi sana.. akili alizonazo maprofesa wa university hawana
Mtangazaji uko vizuri ila sauti mliibana sana
nikikumbuka walivyokuwa wanamdhihaki huyu mzee ule upande wa pili eti kishimba la saba hana lolote kumbe kichwani yuko vizur kuliko hao wa digrii
Yaani mabadiliko ya elimu ya sasa ni kwa ajili ya huyu mwamba
I wish siku hata tukapata kuona anachoona kwa ukubwa zaidi huyu baba anachozungumza….
Daaah!!! Drs 7 kichwa sanaaa! Tunajifinza sana kupitia wewe
Amesoma amejiendeleza huko Zimbambwe ana degree ya biashara na uchumi
Safi sana mwandishi wa habar unauliza maswali ya msingi mno,pia umenyooka na unajiamini
🙏👏👏
Daah nimetaka kulia aisee. Ni mtu ambae hajawa brain-washed na yupo katika taifa zinq ambalo limeoshwa akili..:😢
Nakuona unazidi kukuwa , Lambet
Mzee Kishimba anamiliki Imalaseko, Dar Free Market lkn anasema sio tajiri , Imagine hzo ni baadhi tu ya biashara zake, huyu mzee ni genius ndio maana anajitambua kuliko wasomi.
Mzee wangu nakuelewa sana na best mbunge kwa ssa
wee darFree Market ni yake lile jengo?
imalaseko ni nini sifaham
@@MtuSafi Imalaseko ilikuwa supermarket mwanza, Arusha na Dar
pesa zako 😂
Kishimba yuko vizuri sana Tusomeshe wajue kutafuta fedha hiyo namba moja
Nakubaliana na Kishimba. Japan ilikuwa kiboko kwa mafia. Polisi ilibidi ijiingize Kwenye umafia na kufanikiwa kupunguza. So Kishimba is Genius. Tumtumie ndugu yetu HUYU.
Mitaani tunatumia kombi yetu ya pmk unaijua hiyo siyo elimu ya wazungu
Kwa upeo mzuri wa mzee huyu, natamani atupie macho sana Mahakama zetu pia ili aweze kutusaidia, maana kuna madudu mengi yanayopelekea haki kutopatikana. Mola akupe kila la kheir mzee Kishimba.
Jamaa yuko vzur sana
Unajua kuhoji na Umetulia sana.
Sauti iko chini Sana
Broken people act rich
And rich act broken😢..
Mtu na nusu......mzee kishimba huwa sikosi kusikiliza interview zako
yaaan interviewer n interviwee wte mko vzuriii
Huyu mtangazaji huwa namkubali sana
Hivi huyu mtangazaji hii online tv ni ya kwake? Mbona kama nilishamsikia times fm?
Mzee Kishimba ni Hazina adhim mno ktk Taifa Letu haswa kwa vijana
MUNGU akupe Maisha marefu baba
Genius
Kweliakili mkichwaa😴 mzee wakazi hekoooo
kiukwer wabunge kama wewe endeleeni kufurukuta mtusaindie mungu atawaskia kilio chenu kwetu maana wakuuuu wetu nchiii naona wako kama manyapala wawazunguuuu kiukweri
Huyu mbunge nimempenda sana sana
Baba huyu ni mwalimu mzuri wa kuelimisha jamii kuhusu uchumi
My favorite
Tuko kwenye confusion
Mh mm nakuelewa sana hongera endelea kutufungua
Kwakweli huyu mzeee namkubali Sana na uwezo wake wakufikili na kuleta hoja zinazo gusa jamii moja kwa moja
Huyu Mzee anatosha kabisa kuitwa Professor zaidi ya ma professor wa darasani
@@mohamedykisuda6401hy
"Ambao hawajasoma sio waoga kuchukua hatua kwasababu hawajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana
Aise bro umeongea bonge la point ya sirini ama rohoni
Kama namuona waziri wa fedha hivi bila vyeti😁😁😁
Imalaseko ulifunga Nairobi kwa nini?
Kuna aja ya KUFIKIRI ZAIDI
Mzee yuko humble sana 😅
Hilo ni somo mh kishimba
mheshiwa kishimba big up
Katoa Siri ya ugonjwa kubwaa saaanaa
Jamaaa ana akili sana💪💪💪💪🔥🔥🔥
My role model mzee anajua mfumo wa maisha huyu akiongea huwa naacha mambo yote namsikiliza
namkubali sana huyu mzee kishimba
hongera sana mzee kishimba
Huyumzee apewe uwaziri wa elimu