EXCLUSIVE NA KISHIMBA:SIRI YA UTAJIRI WANGU/ WATOTO WAFUNDISHWE KUTAFUTA HELA/SIJAWARITHISHA WANANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 145

  • @josephzenda3827
    @josephzenda3827 Год назад +9

    Hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli amewafungua wananchi swala la kufikiri,kujaji na kuunda hoja.Mungu amuweke mahala pema peponi Amina

  • @Ohhvio
    @Ohhvio Год назад +7

    Best interview 👌 Kuanzia Mwandishi hadi Interviewer! Ni Elimu Kubwa Sana hii Hongereni Dar24media

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Год назад +16

    Kaka wewe ni Mtangazaji Bora sana,Nakuomba siku Moja nikuone kwenye Chombo kikubwa Cha Utangazaji kama BBC,VOA,DW ,TBC,AZAM and so on.

  • @nkondokubini7618
    @nkondokubini7618 Год назад +12

    Uko vizuri brother katika kuuliza Maswali umenifurahisha utafika mbali

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Год назад +6

    Shule aliyosoma Prof kishimba ameisoma sehemu tofauti na amelipia gharama kubwa sana kuliko elimu ya kawaida.

  • @israelgershom4198
    @israelgershom4198 Год назад +7

    Huhuuu Yani uyu ndobaba anajua vingi wazazi wengine wapo kimya tui

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Год назад +3

    Hiyo mifumo iliwekwa kunyonya waafrica hapo ni mahesabu wacoloni wanafanya Leo ufaramsa eti bado kuna pesa unapata kutoka Africa Hilo ni wizi WA mifumo.

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Год назад +7

    Wewe mwandishi uko vizuri Sana utafika mbali Sana big up.

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro Год назад +11

    Hizo ndio channel za kuangalia Sasa!,Hongera Sana🙏

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Год назад +7

    Apa interview imekamilkaa

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 Год назад +8

    Shule ni upotofu tu kama hujui lengo hasa la elimu na hupati ...na kama hupati elimu yenye ubora wa ukweli...watu wanaofundishwa biashara utotoni na wazazi wao au fani nyingine za ujuzi...hutokea kuwa na mafanikio katika kutumia ujuzi huo Kim kimaisha kuliko watu waliokwenda Shule au wenye vyeti fulani...majority of our legacy education system of colonialism is nothing but brainwashing. ..you only get to learn a little. Here in the USA...majority of famous successful entrepreneurs who made big impact not only in business but also in life in general, were dropouts from college such as Bill Gates, Steve Jobs , Mark Zuckerberg etc...
    Mzee Kishimba yupo sahihi nami namkubali kabisa....elimu aliyokuwa nayo ni zaidi ya Phd...na wengi wenye vertical vya Phd ni viiyo tu. wengine wananunua na kukariri theories only
    we need to change the whole education system to revive every sector of our country's economy...

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 Год назад +8

    Mh. Kishimba nakusaluti,upo vizuri sana with your critical thinking,unaona maisha katika uhalisia wake.Ahsante

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Год назад +4

    Sema nini umesahau kumuuliza profesa mtazamo wake juu ya mambo ya huko bandarini. Bt the rest is good.

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Год назад +6

    Changamoto saut ipo chin sanaa

  • @kelvinkissanga4075
    @kelvinkissanga4075 Год назад +4

    Huyu mzee tuangalie bhana tumpe uraisi itakuwa nchi ya tofauti sana😅

  • @jumakauli
    @jumakauli Год назад +3

    Sijambo. Hamjambo? TUWAFUNDISHE WATOTO WETU KULA SAMAKI NA KUVUA SAMAKI. (Tuwafundishe watoto wetu kutumia vitu na kuunda vitu). Tuwafundishe watoto wetu kwa maneno na vitendo kuanzia wanapokuwa shuleni hadi vyuoni.

  • @3107young
    @3107young Год назад +4

    Uyu mbunge ni baraka kwa serikari kama haya mawazo yangefuatiliwa kiundani tungefika mbali sana kama Tanzania 👏👏

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 Год назад +5

    "Sio waoga kwasababu hajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana

  • @African511
    @African511 Год назад +2

    Watu wenye maadili kama hawa wanachukuliwa poa poa tu,wapumbufu ndiyo wanasikilizwa.

  • @AbduAmstafa-od6vf
    @AbduAmstafa-od6vf Год назад +2

    Tatizo mnaokomemt weng sio wakazi wakahama uyo mzee utajir niwakwak nafamilia yake atuletei maendeleo khm barabar Kila Kona mbovu

    • @fatmarashid3137
      @fatmarashid3137 Год назад

      Sie tunapenda mawazo yake acha hizo

    • @michaelshija3601
      @michaelshija3601 Год назад

      Kahama tuko vizuri Meh. Kishimba simama hivyohivyo dunia imeona umuhimu wako. Hoja zako ni ukombozi WA mwafrika.

    • @farajamwakifuna303
      @farajamwakifuna303 6 месяцев назад

      Umekaa unafikiri utaletewa mkononi Hilo sahau piga kazi hakuna atakayekupa maendeleo yako binafsi mpaka unaingia vumbini

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Год назад +4

    Mheshimiwa.Kishimbaa anafaa apewe PhD ya heshima
    #huyu mzee n mtu na nusu

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 Год назад +4

    Jamaa alikuwaga radio station mbeya, nimetoka school likizo nikafungulia radio, sikujua kuwa ni radio ya mkoani mpk kipindi kilipoisha.
    Its good ni hatua kubwa, anatakiwa aende hatua kubwa zaidi, mosi uelewa, kujua kwenda na mabadiliko, kipawa na consistency
    Hongera sana

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Год назад +10

    Huyu Mzee nashauri Tasisi za Elimu ya Juu wampe Honorary Doctorate!

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Год назад +3

    Tunaomba interview NYINGINE Mr.Lambert

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864 4 месяца назад

    Nimeanza kuamini wasukuma wana kitu,kama taifa tuache kuwachukulia poa na kuwatania ushamba,kumbe sisi ndio hatujui😂

  • @praymbasha6309
    @praymbasha6309 Год назад +3

    Mzee kishimb💥💥💥anafikilia Sana na anaongea vitu vizuli Sana na vyakweli kiuhalisia

  • @perfectmassawe4758
    @perfectmassawe4758 Год назад +4

    Baba una mawazo ya ajabu....pale bungeni pangefaa angalau robo ya Wabunge wawe wa aina hii

    • @janmsekela
      @janmsekela Год назад +2

      Ndg. Lamert, wewe ni miongoni mwa ‘journalists’ wazuri, lakini unahitaji kuongeza ufahamu wa eneo husika ili uulize maswali bora zaidi.
      Pili, usijisahau sana hata ukadhani unayemhoji ni wa rika lako. Muhimu utunze urasmi. Mh. Kishimba ni Mbunge, na pia ana umri wa baba yako. Kuna wakati unamtamka bila itifaki anayostahili - siyo sawa kwa wewe kudharau itifaki, na kudhani sasa ‘unalingana’ na Mh. Kishimba! Katika interviews zako zote, kutokujali itifaki muda wote ni udhaifu wako mkubwa.

    • @AlexKAudax
      @AlexKAudax Год назад

      The man

  • @masoudymichael
    @masoudymichael Год назад +3

    Huyu ndiyo mpeni uprofesa siyo taletale

  • @jameskileo955
    @jameskileo955 Год назад +2

    Brother mtangazaji Hongera unefanya Interview ya Nguvu mno hawa ndiyo watu unaonatakiwa kuwa nao na siii Hao Wasomii wa Vyeti kama Yule mzee uliyemuita Msomi kuliko Yeyote Tz
    Maisha halis na Ya Mafanikio Hayaelezeki ndiyo maana mzee amesema Hakuna kitabu cha Biashara...

  • @mozesisembe1882
    @mozesisembe1882 2 месяца назад

    Mwandishi unajua kuhoji safisana

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 Год назад +1

    MH. Kishimba kasema ukweli Wahindi Hawasomeshi watoto waajiliwe watoto wao wakiwa shule akija likizo nyumbani hufunzwa biashara na elimu ya kujitegemea sisi tunawasomesha waajiliwe.

  • @mohamedmichael6400
    @mohamedmichael6400 Месяц назад

    Nimekubari sana kiongozi

  • @FrancisRM-ex8vf
    @FrancisRM-ex8vf Месяц назад

    Darasa la saba lina siri kubwa sana😂😂😂

  • @MajulaKabuche
    @MajulaKabuche Год назад +2

    Mungu azidi kukubariki Mzee kishimba...unaongea ukweli mchungu ambao Sisi wa Afrika wengi atutaki kukubari

  • @christinesulle5051
    @christinesulle5051 Год назад +2

    Mzee yupo vizuri tunahitaji kufikiria sana mfano mdogo tuu ni kwa nn watoto wa darasa la kwanza wasisome kiingereza la kwanza ?maana hii itasaidia waalimu na watoto kuelewa mapema kwa nn watoto wanaanza darasa la tatu?

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Год назад

      Kiingereza kiliondolewa si miaka Mungu baada ya kuona mtoto wa Drs la kwanza anapewa masomo mengi hivyo anashindwa kuyamudu na Sasa kinarejeshwa tena

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Год назад +1

    Nashukulu sasa MH kishimba kama serikali ingeweza kuwa na watu wenye akili hiyo ingeweza kubadili miji na kuwa kama dunia zingine hiyo idea wanazo wazungu kuna Aina tatu za mijego

  • @yunusmsanguka2313
    @yunusmsanguka2313 10 месяцев назад +1

    Huyu mzee yupo sahihi sana,wengi wetu tumewachia watoto kwa kuamini elimu zao wamewadondosha sana wazee wao

  • @AbduAmstafa-od6vf
    @AbduAmstafa-od6vf Год назад +2

    Uyo mzee amnakit anamaendeleo yoyot kwenye jimbo lak barabar zimeoza kilakona

    • @marwaisack374
      @marwaisack374 6 месяцев назад +1

      Kazi ya mbunge ikiwa ni kutengeneza Barabara na kazi ya serikali inakuwa ni ipi?.

  • @johnminja2025
    @johnminja2025 Год назад +1

    Big up sana Mzee Kishimba. Nakumbuka tulivyokupokea Harare ukafungua kiwanda Ginery na ukarudi nyumbani kugombea ubunge. Wewe ni jembe.

  • @salehmohammedsaleh7015
    @salehmohammedsaleh7015 Год назад +2

    Tumpee waziri mkuu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salehmohammedsaleh7015
    @salehmohammedsaleh7015 Год назад +1

    Mimi nashauri kama mtamzania huyu Mzee kishimba awe waziri mkuu wa Tanzania anachokiongea ni mdaa wa sasa Nina maada Anaenda na mdaaa

  • @erickartist4557
    @erickartist4557 Год назад +1

    Nchi iendelee kumsikiliza huyu Jamaa kwa ukaribu sana ANA MADINI YA THAMANI KTK UBONGO WAKE!!

  • @hamisitajiri8666
    @hamisitajiri8666 Год назад +2

    Yuko vizuri kuliko wasomi wengi

  • @praygodmbisse-cc1tx
    @praygodmbisse-cc1tx Год назад +1

    Professor tuko pamoja the change should start with us to change our country system

  • @Ramaah28
    @Ramaah28 Год назад +2

    Natamani kuonana siju moja na uyu mzee ana madinii sana

  • @benardmwinuka6948
    @benardmwinuka6948 Год назад +2

    Confusion

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Год назад +5

    Kumbe Darasa la Saba wako wengi na sio Msukuma tuu

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Год назад +3

    Hongera Sana Prof.

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 Год назад +3

    hongera saaana moja wa matajiri wakubwa wazawa waliobakia ,baada ya Kufariki Dr.Reginald Mengi.

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Год назад

      Anamiliki nini huyu mzee?

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Год назад

      @@MtuSafi isikilze vizuri hii Crip Kuna vingi walivyovitaja

    • @MujuniKamugisha
      @MujuniKamugisha 10 месяцев назад

      ​@@MtuSafidar free market

    • @MujuniKamugisha
      @MujuniKamugisha 10 месяцев назад

      ​@@MtuSafireal estate na migodi ya dhahabu

  • @eliezerwamungu4614
    @eliezerwamungu4614 Год назад +1

    Huy mzee namkubali saan kwa haya majibu

  • @amosenock9635
    @amosenock9635 Год назад +2

    Kazi nzuri kaka Lambet

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Год назад +2

    🤔Kila swali ni hekima na kila jawabu ni elimu. Asante kwa udadisi ufafanuzi na habari nzuri za kutuamsha tusijisahau

  • @geeva99
    @geeva99 Год назад +2

    Hapo kwenye watoto mzee kapotea, watoto wa matajiri wanapata shida sana za kuwa na pressure kuwa wawe watu flani alafu kiongozi wa familia akiwa na mindset ngumu hapo inakuwa hell tu, awasikilize hao watoto wanampango gani awasupport ni simple sana hakuna mtu mtupu kichwani, nawalio fanikiwa ni wengi sana, mzee inabidi a study zaidi jamii za walio fanikiwa asiishi sana kwenye kichwa chake ufalme wa kiti kimoja sio ufalme is a matter of time tu

    • @samuelmajule54
      @samuelmajule54 Год назад

      Swala la watoto si mchezo ndugu unaweza ku train mtoto lkn kila ukimtizama vision yake haiendani na business zako kabisa ni kum-support tu aendelee na mambo yake

    • @geeva99
      @geeva99 Год назад

      @@samuelmajule54 kabisa, wazee wengi wana penda kulisisha talent zao, ilo ni kosa kubwa sana alafu linahatarisha economy ya generations kama utalisisha watu aina ya mambo yako na talent zako wakati wao sio mambo yao maanake iyo wealth lazima ije kufa then inarudi square one, na ndo mataifa yaliyofanikiwa from family level na jamii kwa ujuma wanatuzidi hapo

  • @LucasLagos-dq4mh
    @LucasLagos-dq4mh Год назад +1

    Hongela sana mh kwehekima nauerewa waasili mungu akubaliki sana

  • @erickartist4557
    @erickartist4557 Год назад +1

    Hii ni mbwa yenye akili nyingi sana.. akili alizonazo maprofesa wa university hawana

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Год назад +1

    Mtangazaji uko vizuri ila sauti mliibana sana

  • @japharymwangu1905
    @japharymwangu1905 Год назад +1

    nikikumbuka walivyokuwa wanamdhihaki huyu mzee ule upande wa pili eti kishimba la saba hana lolote kumbe kichwani yuko vizur kuliko hao wa digrii

    • @yusufmohamed8874
      @yusufmohamed8874 Год назад +1

      Yaani mabadiliko ya elimu ya sasa ni kwa ajili ya huyu mwamba

  • @farajamwakifuna303
    @farajamwakifuna303 6 месяцев назад

    I wish siku hata tukapata kuona anachoona kwa ukubwa zaidi huyu baba anachozungumza….

  • @mbonabuchabucha9657
    @mbonabuchabucha9657 Год назад +1

    Daaah!!! Drs 7 kichwa sanaaa! Tunajifinza sana kupitia wewe

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 8 месяцев назад

    Amesoma amejiendeleza huko Zimbambwe ana degree ya biashara na uchumi

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Год назад +10

    Safi sana mwandishi wa habar unauliza maswali ya msingi mno,pia umenyooka na unajiamini

  • @davsylivester7701
    @davsylivester7701 Год назад +3

    🙏👏👏

  • @bakarisamaki5711
    @bakarisamaki5711 Год назад +3

    Daah nimetaka kulia aisee. Ni mtu ambae hajawa brain-washed na yupo katika taifa zinq ambalo limeoshwa akili..:😢

  • @hammy7664
    @hammy7664 Год назад +1

    Nakuona unazidi kukuwa , Lambet

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Год назад +9

    Mzee Kishimba anamiliki Imalaseko, Dar Free Market lkn anasema sio tajiri , Imagine hzo ni baadhi tu ya biashara zake, huyu mzee ni genius ndio maana anajitambua kuliko wasomi.

    • @luganosimon4111
      @luganosimon4111 Год назад +2

      Mzee wangu nakuelewa sana na best mbunge kwa ssa

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Год назад +1

      wee darFree Market ni yake lile jengo?

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Год назад +1

      imalaseko ni nini sifaham

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 Год назад +1

      @@MtuSafi Imalaseko ilikuwa supermarket mwanza, Arusha na Dar

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx Год назад +1

    pesa zako 😂

  • @LucianSanga-q8j
    @LucianSanga-q8j 7 месяцев назад

    Kishimba yuko vizuri sana Tusomeshe wajue kutafuta fedha hiyo namba moja

  • @masungajp1
    @masungajp1 Год назад

    Nakubaliana na Kishimba. Japan ilikuwa kiboko kwa mafia. Polisi ilibidi ijiingize Kwenye umafia na kufanikiwa kupunguza. So Kishimba is Genius. Tumtumie ndugu yetu HUYU.

  • @maduuikangira9864
    @maduuikangira9864 Год назад

    Mitaani tunatumia kombi yetu ya pmk unaijua hiyo siyo elimu ya wazungu

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311 Год назад +6

    Kwa upeo mzuri wa mzee huyu, natamani atupie macho sana Mahakama zetu pia ili aweze kutusaidia, maana kuna madudu mengi yanayopelekea haki kutopatikana. Mola akupe kila la kheir mzee Kishimba.

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Год назад +5

    Unajua kuhoji na Umetulia sana.

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Год назад +1

    Sauti iko chini Sana

  • @mussachambazi3463
    @mussachambazi3463 6 месяцев назад

    Broken people act rich
    And rich act broken😢..

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 Год назад

    Mtu na nusu......mzee kishimba huwa sikosi kusikiliza interview zako

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Год назад +4

    yaaan interviewer n interviwee wte mko vzuriii

  • @TheresiaNgaa
    @TheresiaNgaa 8 месяцев назад

    Huyu mtangazaji huwa namkubali sana

  • @sabinahobe3478
    @sabinahobe3478 Год назад

    Hivi huyu mtangazaji hii online tv ni ya kwake? Mbona kama nilishamsikia times fm?

  • @jameskileo955
    @jameskileo955 Год назад

    Mzee Kishimba ni Hazina adhim mno ktk Taifa Letu haswa kwa vijana
    MUNGU akupe Maisha marefu baba

  • @DianaDaud-b1f
    @DianaDaud-b1f Год назад +1

    Genius

  • @YusuphJilala-it9bo
    @YusuphJilala-it9bo Год назад

    Kweliakili mkichwaa😴 mzee wakazi hekoooo

  • @frenkfarm
    @frenkfarm Год назад

    kiukwer wabunge kama wewe endeleeni kufurukuta mtusaindie mungu atawaskia kilio chenu kwetu maana wakuuuu wetu nchiii naona wako kama manyapala wawazunguuuu kiukweri

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 3 месяца назад

    Huyu mbunge nimempenda sana sana

  • @MARTINMLINGWA
    @MARTINMLINGWA Год назад

    Baba huyu ni mwalimu mzuri wa kuelimisha jamii kuhusu uchumi

  • @EmmanuelBukumbi
    @EmmanuelBukumbi Год назад +1

    My favorite

  • @jamokitili
    @jamokitili 7 месяцев назад

    Tuko kwenye confusion

  • @LeonardPondamali
    @LeonardPondamali 9 месяцев назад

    Mh mm nakuelewa sana hongera endelea kutufungua

  • @edibilalfakisadi1491
    @edibilalfakisadi1491 Год назад +17

    Kwakweli huyu mzeee namkubali Sana na uwezo wake wakufikili na kuleta hoja zinazo gusa jamii moja kwa moja

    • @mohamedykisuda6401
      @mohamedykisuda6401 Год назад

      Huyu Mzee anatosha kabisa kuitwa Professor zaidi ya ma professor wa darasani

    • @josephokumu9666
      @josephokumu9666 Год назад

      ​@@mohamedykisuda6401hy

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 Год назад +7

    "Ambao hawajasoma sio waoga kuchukua hatua kwasababu hawajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana

    • @DianaDaud-b1f
      @DianaDaud-b1f Год назад

      Aise bro umeongea bonge la point ya sirini ama rohoni

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 Год назад

    Kama namuona waziri wa fedha hivi bila vyeti😁😁😁

  • @sportsnyahanga5504
    @sportsnyahanga5504 Год назад

    Imalaseko ulifunga Nairobi kwa nini?

  • @maxwellchanai1065
    @maxwellchanai1065 Год назад

    Kuna aja ya KUFIKIRI ZAIDI

  • @40kstore
    @40kstore 7 месяцев назад

    Mzee yuko humble sana 😅

  • @NuhuDunia
    @NuhuDunia 6 месяцев назад

    Hilo ni somo mh kishimba

  • @GoodluckMkenda
    @GoodluckMkenda 5 месяцев назад

    mheshiwa kishimba big up

  • @mauvaisecompagnie951
    @mauvaisecompagnie951 Год назад

    Katoa Siri ya ugonjwa kubwaa saaanaa

  • @richardibrahim5609
    @richardibrahim5609 Год назад

    Jamaaa ana akili sana💪💪💪💪🔥🔥🔥

  • @jamalijamali347
    @jamalijamali347 Год назад +2

    My role model mzee anajua mfumo wa maisha huyu akiongea huwa naacha mambo yote namsikiliza

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Год назад

    namkubali sana huyu mzee kishimba

  • @obadiamtawa1279
    @obadiamtawa1279 7 месяцев назад

    hongera sana mzee kishimba

  • @elirehemakimaroni7130
    @elirehemakimaroni7130 Год назад

    Huyumzee apewe uwaziri wa elimu