Profesa Kishimba: "Wasomi Walete Miti ya Miezi 6 I Wanakuona Mpuuzi I Inawezekana Wasipike na Wasile

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • "HOJA ZA PROFESA KISHIMBA BUNGENI"
    .
    .
    "Kuna sheria mpya imeanzishwa ambayo inamtaka mtu atakayekuwa na gunia moja la mkaa lazima apte kibali toka Halmashauri ya Wilaya na awe na EFD, labda wenzetu wangeangalia Jiografia ya nchi na maisha ya watu wetu. Tutarajie ndani ya mwezi mmoja kutatokea "chaos" kubwa ya mkaa na kwa kawaida itawezekana kweli watu wasipike na wasile?. Kuna majimbo kutoka makao makuu ya Halmashauri kwenda kijijini ni zaidi ya kilomita 200 kweli mwananchi mwenye gunia moja aende mpaka wilayani?"
    "Kwetu kanda ya Ziwa ukimwambia mtu apande miti kwa ajili ya mvua anakuona ni mpuuzi maana yake tuna mafuriko miaka miwili, mwananchi atakuuliza je unataka tupande miti ya kuzuia mvua maana ukiwaambia unataka miti ya mvua wanakuuliza kuzidi hii iliyopo leo. Sisi tuwaambie panda miti ya kutengeneza pesa"
    "Wakati mwingine mnasema tunawasakama wasomi, leo Tanzania ni nchi ya nne kwa ku-export mkaa wa magendo, sasa ukataaje kurasimisha ili upate pesa na wale wanaonunua wa magendo waje kununua pale kwenye soko.”
    “Haiwezekani baada ya miaka 60 tukawapeleka watoto wasome wawe mgambo wa kukamata wazazi wao, kazi ya elimu duniani ni kutatua matatizo.
    "Leo wazungu wametengeneza mpaka mapapai ya miezi 6, wametengeneza kuku wa kizungu kwanini hao wataalamu wasilete miti ya miezi 6 ili watu wauze kuni na mkaa, lazima twende kwenye pesa" Jumanne Kishimba-Mbunge Kahama Mjini
    #KutokaBungeni
    #CloudsDigitalUpdates

Комментарии • 129

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Год назад +1

    Hongera sana MHs MBUNGE KISHIMBA UKO Na mawazo muhimu yakipata wasikilizaji wTaokubali kufanyiwa kazi nchi itaamini askari Wa pori

  • @meshackkamduli8507
    @meshackkamduli8507 Год назад +5

    Walio kupeleka bungeni mungu awabariki

  • @richardibrahim5609
    @richardibrahim5609 3 года назад +4

    Big up xana msukuma. Huwa unaongea point kuwazd had hao wanaojiita wasomi

  • @Ezeakutelevision
    @Ezeakutelevision 3 года назад +6

    Huyu kweli professa

  • @gallibmhammed8971
    @gallibmhammed8971 3 года назад +19

    Huyu mzee anaongea point sana ukikaa ukiskiliza bunge mara nying utaskia katika mipango yao tufanye hv kama nchi flani walivyofanya wakapata maendeleo hii inamaana nchi itaendeshwa kwa kucopy ya wengne. Hakuna nchi katika hizo walizotaja itakaa waseme tuige Tanzania. Hii inamaana elimu tunacopy kwa wazungu na maisha vilevile tunacopy. Ifikie hatua viongozi wakubwa kama wabunge watunge sheria kutokana na asili yao na maisha halisi ya mtanzania si kucopy kila kitu. Nchi kama China, iran,korea zimepiga hatua baada ya kuacha kucopy 100% yanayotoka nje. Lazma nchi ijiamulie kulingana na watu inao waongoza si kucopy

    • @philemonaminiel
      @philemonaminiel 3 года назад

      Huu ni mfano wa kuigwa Wa huyu mbunge mwenye busara na hekima za kuona mbali mdadisi ,lakini cha kushangaza kwenye hili serikali za vijiji bado zunauza mashamba kwenye mapori yenye misitu minene na ulime lazima ukate MTU ndipo upunguze kivuli mmea update kukua vizuri ,au MTU achome miti yote bila faida au apewe Elimu ya kuibadilisha miti kuwa pesa mfano uchomaji wa mkaa serikali ipate ushuru au ichomwe biila faida kipi boraa? Maana vinavyoendelea mshambani nu vitu vya kusitisha sana miti inachomwa bila faida inaonekana tumelizika Sana'a mi mi naungana na mbunge serikali ilasimishe hayo mazao ya misitu kuweka katika magulio ili kuondokana na usumbufu hongera sana mheshimiwa j4 kishimba kwa mawazo endelevu ya kulijenga taifa Katika amani

    • @nestorymwezimpya4077
      @nestorymwezimpya4077 2 года назад

      Kuiga sio tatizo Ila hata biblia inasema ndugu zangu igeni mema musiige mabaya hii yote inasababisha na watawala wetu kutokusima sela na mipango inde haraka

    • @erickmasunga9939
      @erickmasunga9939 2 года назад

      Hawa viogoz hawana huruma na wananch wake hayupo aneumiza akil kuhusu wananch

    • @mcgabby
      @mcgabby Год назад

      Huyu mzeee anakitu atafika mbalii anahojaaa asikilizweeee jamani

  • @mwana4599
    @mwana4599 2 года назад +3

    Safi sana Prof. Kishimba.

  • @deusdeditkapenegele8919
    @deusdeditkapenegele8919 2 года назад

    Mzee Kishimba KONGOLE unaeleza maisha halisi ya Mwananchi wa kawaida kabisa,wabunge wengine tuige mfano huo,sio kushindana kuonyesha Elimu zenu Bali Uwakilishi wenu Bungeni.
    ASANTE SANA MZEE MUNGU AKUBARIKI.

  • @frankedwardmhoza6613
    @frankedwardmhoza6613 2 года назад

    Jamaan maarifa aliyonayo mzee kishimba inatakiwa ya fanyiwe kazi na wasomi wetu

  • @kulwahdeusdedith2780
    @kulwahdeusdedith2780 Год назад

    Kishimba Mimi nakupa udoctor michango yako ni bungeni yote inawahusu wananchi hongera sana

  • @faustinejemsi1488
    @faustinejemsi1488 2 года назад +1

    Asante sana kishimba nakukubali

  • @faraimangoro9510
    @faraimangoro9510 Год назад

    Shikamoo Profesa.

  • @petrojohn8250
    @petrojohn8250 3 года назад +11

    Kuwa na mbunge kama Kishimba ni bahati sana,kahama mmepata mbunge,huyu ni zaidi ya profesor

  • @jumakivuma581
    @jumakivuma581 3 года назад +3

    So intelligent

  • @masoudrashid5480
    @masoudrashid5480 2 года назад +3

    Kwa kweli ikiwa tutapata wabunge wenye maona kama huyu mzee wananchi tutanufaika sana na rasilimali za nchi

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 3 года назад +1

    safi sana mh kishimba sema watu chache ndo wanakuelewa

  • @yohanamlowe704
    @yohanamlowe704 Год назад

    Daaaa safi sana

  • @kasililamecksatano7302
    @kasililamecksatano7302 3 года назад +5

    Pf kishimba namuelewa sana huyu mzeee

  • @dazk7861
    @dazk7861 3 года назад +4

    Kishimba shikamoo

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 3 года назад +1

    Ndio. Namwelewa.

  • @LambertNandi-kf3ww
    @LambertNandi-kf3ww Год назад

    Very smart

  • @jacksonluzwiro9374
    @jacksonluzwiro9374 2 года назад

    safi sana kishimba

  • @kiharasadikiluca9377
    @kiharasadikiluca9377 2 года назад

    Sawa mzee uko vizuri ukomakini

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад +2

    Huyu mzee huwa napenda kumsikiliza ana hoja nzuri sana

  • @mtagaiwakarungula3547
    @mtagaiwakarungula3547 2 года назад

    Uko vizuri mkuu

  • @raufurajabu
    @raufurajabu Год назад

    Nakuelewa sanaaa mzee wangu hawa watalam ni vilaza 2

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 2 года назад

    Hakika kishimba hujawai kosea Mungu akubariki🙏

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 3 года назад +3

    Daaa Asee huyu Ni Mtu muhimu saana ktk uchangiaji hoja bungeni.

  • @wechemoshy4305
    @wechemoshy4305 Год назад

    Huyu Mh kumwita Professor ni kumkosea adabu Mamlaka za vyuo vikuu vijitafakari watu wa aina hii ndio wanaostahili kutunukiwa Udaktari waHeshima watu wenye mawazo mbadala Xante xana Mh Kishimba

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 3 года назад +1

    Safi

  • @yesayamwambu4431
    @yesayamwambu4431 2 года назад

    Mheshimiwa mbunge unasema vitu vya msingi hongera

  • @MuyaMndiga-pq2gn
    @MuyaMndiga-pq2gn Месяц назад

    Huyu mbunge namkubali sana Tena nimzalendo wa nchi hii

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 3 года назад +7

    MUNGU akubariki sana mzee una akili sana babangu

    • @mshamumohamed8305
      @mshamumohamed8305 3 года назад +1

      Huyu mbunge ana akili sana kwa kweli nakupenda sana

  • @veronicanangale4700
    @veronicanangale4700 Год назад

    Kahama mtuludishie tena bungeni mhe. Kishimba.😁😄😁😄

  • @nrecords7222
    @nrecords7222 3 года назад +3

    Da! Ila hyu mbunge anajiamini Sana,ety kwasababu kasomea London 😂😂😂

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 2 года назад +5

    Huyu mzee aliumbiwa busara sana

  • @chamwilambomusa4447
    @chamwilambomusa4447 3 года назад +1

    Anaupigaga mwingii saaaana kishimbaaa

  • @majidukalugendo4738
    @majidukalugendo4738 2 года назад +2

    Natamani sana kuendelea kumsikiliza huyu mzee wetu mhe. Kishimba kuliko kuwasikiza Maprofesa wetu ambao hawaeleweki Elimu zao zinasaidia Nini vizazi vyetu. Our elites must use their education to solve the locally existing challenges. But that is the case wanatuharibia upepo tu. Mzee huyu anaongelea masuala yaliyo ndani mwetu na anatoa suluhisho lakini hakuna aliye tayari kutumia mawazo yake kutatua matatizo kwa sababu hajasoma. MASIKINI TANZANIA, MASIKINI AFRIKA!!!!

  • @essauchaula5436
    @essauchaula5436 2 года назад +1

    Namkubali Sana kishimba anaongea vitu halisi

  • @odilompilipili7381
    @odilompilipili7381 Год назад

    Huyu kweli ni msomi

  • @renatusaugustine3410
    @renatusaugustine3410 2 года назад

    Safiiii

  • @machilijuma8203
    @machilijuma8203 2 года назад

    Tunakuamin

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Год назад

    Yaani kwa kweli kuhuusu mkaa kweli waangalie namna maana wananyanyasika Sana" duhu wanakera saana"na maliasili wanakamata raia wanawanyanganya na wao wanauza 🤔🤔

  • @abdonsamson8182
    @abdonsamson8182 2 года назад

    Nitakupigia kura mzeee KISHIMBA.

  • @loitushulyamat2738
    @loitushulyamat2738 Год назад

    Kweli kishimba ni kiboko cha maisha halisi ya watanzania

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 2 года назад

    Dah hatar

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 2 года назад

    Waambie hao mzee maana wanatungia sheria zao kwenye magora yenye viyoyozi
    Utalikuta lijitu limezaliwa na kukulia kijijini lakini leo limejisahau

    • @isikesamike
      @isikesamike 2 года назад

      Aliyekulia kijijini wala hawezi kutunga sheria ya kijinga hivi. Tunasumbuliwa na vilaza waliokulia kwenye viyoyozi hawajui adha ya watu wa chini. Tuna wasomi ambao hata hawajutambui.

  • @wilsonnzowa3620
    @wilsonnzowa3620 2 года назад +2

    "hatutaki wasomi kuwa polisi"tunataka wasomi wanaotatua matatizo ya wananchi sio wanaogeuka kuwa miungu watu

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 2 года назад +1

    Hamna kitu hapo, gesi yenyewe imepanda ukizuia mkaa mbadala wake itakuwa nin,

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Год назад

    Huyu baba 10000

  • @immamwandolela6851
    @immamwandolela6851 2 года назад

    Unatisha mzee

  • @henrysangiwa1731
    @henrysangiwa1731 2 года назад

    Hamjui tu kwamba issue ni wauza gesi wanahitaji soko lao likue kama ilivyo kwenye yard za magari hawauzi now inapigwa marufuku ya kuningiza magari chini ya 2010. Kesi ya uhujumu kukata mti ili wauze gesi ??? Hii nchi jamani

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 2 года назад

    Waambie hao wahusika wapunguze Bei ya gesi na waongeze usambazaji gesi kupunguza matumizi ya mkaa.

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 2 года назад +1

    Nasema huyu jamaa mpeni uraisi hakika

  • @vascomaguku2605
    @vascomaguku2605 2 года назад

    ❤️❤️

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Год назад

    Nyundo hiyo

  • @egidiusthadeo5573
    @egidiusthadeo5573 2 года назад

    Hivi kila hoja zinafanyiwa kazi

  • @godwinmongi5242
    @godwinmongi5242 2 года назад

    Mzee Juma haya mawazo Hadi nafurahi kuyasikiliza

  • @oblemongi4195
    @oblemongi4195 Год назад

    Yupo mbunge yuleeeee daaa cjui nawaza nn

  • @gallibmhammed8971
    @gallibmhammed8971 3 года назад +4

    Nchi kama china imeamua kuipa hata tiba za asili thamani na leo wanasifika lakin sisi wasomi wetu wa kwanza kupuuza tiba asili na mambo mengi ukipoboresha chako ulichonacho ukataman cha mwingne ni mwanzo wa kukosa maendeleo. Kuna mambo mengi na elim nying ya kiasili kama mtanzania anazikosa kwa kuaminishwa imepitwa na wakat ndo maana inafikia hatua mbunge anasema mashine iondolewe hospital kwa kuona taifa lake linaitiwa aib, hawa ndo wasomi tunapeleka bungeni na vyeti lukuki.

    • @bayonsileo2155
      @bayonsileo2155 2 года назад

      Uko vizuri kishimba

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 Год назад

      Tiba asri nitam kuriko vidonge nisum Huyu baba namkumbuka makufuri Huyu baba apemaisha marefu

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 2 года назад +1

    Suluhu ya kukatwa miti ni serikali kupunguza gharama za umeme mafuta ya taa na gesi, zamani majiko ya mafuta taa yaliokoa miti, mkaa haukuwa dili ilikuwa biashara ya aibu.

  • @flaviankato1697
    @flaviankato1697 3 года назад +1

    Duh

    • @jamhurilibawa6505
      @jamhurilibawa6505 3 года назад +1

      apewe nafasi akafundishe chuo kikuu huyu ni professor kamilii hakuna longolongo! hivyo vyuo vikuu hamumuoni huyu mbunge kumpa hiyo honorable doctorate?

    • @mfwimimkemele1156
      @mfwimimkemele1156 3 года назад

      Good

  • @idysimba881
    @idysimba881 4 месяца назад

    Mkaa ni endelevu

  • @andrewsam364
    @andrewsam364 2 года назад +3

    Huyu angekua speaker Tanzania tungeendelea maana anafikiria nje ya box

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 2 года назад

      Hawampi hyu maanq huyu anqhuruma nq anaogopa dhambi

    • @nyambegamatoro6817
      @nyambegamatoro6817 2 года назад

      Sio uspika apewe urais. Anaweza rekebesha Mambo mengi kama Jpm(RIP)

    • @chistinaboa645
      @chistinaboa645 2 года назад

      Mungu ambariki Sana huyu mbunge nimemwelewa Sana.

  • @stephanijeremia330
    @stephanijeremia330 2 года назад

    Da huyu Mzee apewe urais tu

  • @moseskibozi1329
    @moseskibozi1329 2 года назад

    Baba naomba nikuone.....

  • @babumtarajiwa5892
    @babumtarajiwa5892 Год назад

    Nawaomba kahama mtunzeni huyu Mzee nitunu kwataifa

  • @ezekielmahogwa2602
    @ezekielmahogwa2602 2 года назад

    Chukua fom ya uraisi baba nakukubali

  • @bakuzasimon6193
    @bakuzasimon6193 2 года назад

    Unaakir nyingi Mh badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanaiongeza

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 Год назад

    Sehem zingine wamekamatwa wamepigwa faini 50000 Kila ng'ombe Moja.

  • @mcgabby
    @mcgabby Год назад

    Huyu apewe hata umakamu wa uRahisi ikishindindikana saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana kuwa rahisi wa Nchi😂😂😂

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 2 года назад

    Akili kubwa huyu mzee

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 2 года назад

    Maproffesa nchi hii wapo wachache sana kama sio Mh. Kishimba peke yake.

  • @bockerbocker8495
    @bockerbocker8495 Год назад

    Ni heri nimsikilize Mbunge mwenye elimu ya chini kuliko hawa wasomi wakubwa,hawa wanaojiona ni wasomi ndiyo hola kabisa yaa ni hovyo kabisa

  • @shamteamiry6326
    @shamteamiry6326 2 года назад

    Bahati mbaya viongozi hawanamaono

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 2 года назад

    Hilo bunge darasa la 7 ndoi wenye mawazo .

  • @shamteamiry6326
    @shamteamiry6326 2 года назад

    Wasomihovyoooooooo

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 3 года назад

    😎

  • @machilijuma8203
    @machilijuma8203 2 года назад

    Jamani iv mmesomea nn mawzili@ mnaongeatu tumieni akr jaman

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Год назад

    Uyu jaa ikitokaea Ni Raisi tutatajirika wote.
    Uiangalia Nyumbu Ni wengi kuliko ng'ombe na mazingira hayana shida.
    Alafu wanadanganywa na wazungu hawana hata mbuzi.

  • @crissinkala3110
    @crissinkala3110 2 года назад

    Hii nchi kwa upande wa wasomi hatuna kabisa wengi polojo nyingi lkn uharisia wa elimu ni 0+0

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani7014 2 года назад

    Ukifika chuo unafundishwa wizi sasa hapo akisimama mwenye digree hapo angesapot ujinga wakati wanajua kabisa asilimia kubwa watanzania wanategemea mkaa!

  • @joelmosses9395
    @joelmosses9395 Год назад

    Huyu mzee amebalikiwa xaana anaogea point tupu na kwa busala mnooooo,

  • @bakuzasimon6193
    @bakuzasimon6193 2 года назад

    Badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanazidi kuichochea

  • @kalla4alex146
    @kalla4alex146 2 года назад

    Wasukuma waanakili kweli kwli vichwa

  • @davidmwita3008
    @davidmwita3008 2 года назад

    Viongozi wetu wanasikitisha, wanajisahulisha waliko Toka, upuuzi kweli EFD na mkaa gunia moja

  • @franklawrence5452
    @franklawrence5452 2 года назад +2

    huyu mzee inabidi serikali ifanyie kazi mawazo yake

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Год назад

    Baba ukosahihi wafunguke nawengine

  • @lazarochihoma2663
    @lazarochihoma2663 2 года назад

    9

  • @nestorymwezimpya4077
    @nestorymwezimpya4077 2 года назад

    Ndo maana tuiomba selikari ikamilishe mapema umeme kutoka bwawa la mwalimu nyelele ili tuondokane na iyi aza lakini kuendelea kuchelewa ni kusababisha jangwa katika hii nchi

  • @LydiaIsangi
    @LydiaIsangi 5 месяцев назад

    Siku zote anaongeaga vitu vya msingi

  • @machilijuma8203
    @machilijuma8203 2 года назад

    Tulia jbu hoja tumia akr znguka vjjn usisetiwe ;!

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад

    Daaah ukiongea mpk nàmkumbuka rais magufur

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 2 года назад

    DR KUMBUKA

  • @elimenson3150
    @elimenson3150 Год назад

    Kishimba ww ni mashine ya serikali na ccm yote. Sijamuona msomi zaidi yako kishimba mbwa zingine zote ndani ya bunge nikuwaletea matatizo wananchi badla ya kuwatatulia matatizo

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi1496 3 года назад

    Kishimba nakuunha mkono uposawa kabisa

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq 11 месяцев назад

    Kwanini mutu abae ajasoma anakuwa navita sana nakwanni serikari mirebe wanatumia Kuni kwanini wasitumie nges kama kwenye maoteri

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Год назад

    Unapochangia sipendi umalize bunge lingekuongezea muda namaoni yako wayafanyie kazi

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂NAIPOKEA KWA MIKONO 3.

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 Год назад

    Wauza mkaa.wakigoma je hali itakuwaje?sema wewe!

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 3 года назад +2

    Shikamo Mh prop