Jumanne Kishimba: Hauwezi kuoa kwa friji au TV
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba ameitaka Serikali kufanya mabadiliko ya sheria na kanuni mbalimbali zilizorithiwa kutoka kwa mkoloni ili kumrahisishia mwananchi wa hali ya chini maisha.
Kishimba amehoji juu ya adha ya wanaodhamini kesi vijijini kuwa ni watumishi wa serikali pekee na kuwaacha wanakijiji aliowaita watu wa Ng'ombe kuwa wenyewe ndio wenye mali na wakati ambapo kwenye masuala ya kijamii kama vile ndoa Ng'ombe ndio wamekuwa wakitumika kama mahari.
"Leo ukipata kesi unatakiwa udhaminiwe na mtu ambaye ni mwaajiriwa wa Serikali, unakataaje mtu wa Ngombe kunidhamini mimi, na Ng'ombe mwenyekiti sisi ndio tunaolea mke, hauwezi kuoa kwa friji au TV, huyu mtumishi wa serikali anamiliki TV na friji" Aliongeza Kishimba
Kishimba amezungumza haya leo wakati akichangia maoni yake kwenye Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 bungeni jijini Dodoma. P
Mimi sio CCM na wala sina mapenzi na CCM lakini naweza kumaliza bando yangu kumsikiliza huyu mzee
Huyo mbunge Jumanne yupo vizuri sana
Huyu mzee naweza kumsikiliza kwa ushauri juu yangu tu inatosha, yupo vizuri sana unaweza ukatoka na ukasimama
Asante muheshimiwa wamefuta mpaka bima za watoto ambazo tulikuwa tunalipia 50400/= hii chi wanyonge na familia zetu hawatutaki Ila watoto wao wtibiwe Mwigulu chemba Ni chazo Cha yote Mungu atawalipa
Ushauri wangu kwa vyama vya pinzani kwenye jimbo analowakilisha huyu mzee kwa sasa na kama yupo mwingine wa hivi bora wasiweke mgombea kama kweli wapo kwa maslahi ya watanzania.
Naungana na wewe kukubali huyu ni wawatu. Huyu mbunge wa hali halisi.
Ushauri WA kishimba ni dahihi japo mtamkejeli ila meseg ameifikisha
@KaburuKimat.mmm h-eu5nf
Waziri Ni namba moja ndiye chanzo Cha matumizi mabaya ya fedha hivi sijui Kama anajua kuwa wananchi anatukera Sana wafanya biashara walalamike kwa ajili yake
Huu ni mchango mzuri sana, unagusa maisha ya chini
Tanzania itapata Haki na umasikini kutoka Wakati serikali itakapoaanza kuweka mikataba ya Mali za asili kuwa wazi kwanini mikataba iwe siri Wakati mari ni ya WaTanzania this is a joke it is time things need to change huu ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu kuhusu mikataba ya Mali mali ni ya WaTanzania CCM ni Tatizo kubwa sana. Solution ni katiba Mpya.
Definition ya siri huwa ni wizi na kuficha mambo.
Uko sahihi sana, maana unakuta waziri anatoa maelezo mengi mfano hizo mbolea zinaenda mikoa michache na hata wale wanaozipata zinawatesa maana gharama ni kubwa sana kuna wengine ata mbolea wala mbegu hapewi ila akivuna unasikia mfumo wa stakabadhi ghalan mbaya zaid wanashusha bei mfano mzuri ni itigi-singida
He is very smart and he knows exactly what he's talking about... This is type of MP we want... Yaani amevaa viatu vya wanyonge walio wengi hauyupo kimaslahi km hao wengine kina Mr,&Mrs Yes×3 kazi zao kugonga meza tuu na kujaza wingi.
NILIKUA NASUBIRI MCHANGO WA HUYU MZEE MUNGU AMTUNZE
Huyu mzee anajua sana
Kweli tutengeneze mifumo yetu
Kweli umasikini hii nchi ni chaguo dah!! Yani mkoloni bado anatawala na sheria za 40’s
Sasa mtu kama huyu kwenye teuzi hata hayomo wakana naniliii tu ndio wanazungushwa kwenye viti virefu wapige vizuri 😢
watu wanao jielewa huwa awateuliwi mkuu mana kumburuza kazi
Haaaaa watu wagekuwa na hakili kama kishimba taifa lingekuwa ulaya anaongea anacheka msg inafika
Kwa kweli kama unanikopesha umeme nalipa mwisho wa mwezi kweli kwa nini matibabu usinikopeshe nikalipa mwishoni kwa mwezi pia
Duu!! Huyu Mh. Ni balaa, sidhani endapo Wah. Wabunge wanaifahamu lojiki yake. Usipoijua wewe basi. Huyu jamaa ni balaa.
Mzee huyu ni noma nashauri mwisho binge apewe tuzo !
Nondo za ukweli uhakisia wa maisha ya mtanzania
Katiba mpya ndo suluhisho Mzee
Kwenye shamana umegusa ndipo
Ninyi mmeshiba wala hamuelewi shida za watanzania mnakera tu
Ninyi mmeacha mashimo ya dhahabu nchi nzima mnafikiria kumaliza dhahabu iko ulaya mashimo na umaskini na mashimo yamebaki Tanzania
Hivi siyo ninyi mliyoshabikia kuuza bandari yaani wabunge hawa wanashangaza
SIYO WOTE
Mh kishimba hautakiwi kumshukuru waziri wa fedha...
Huyu Mzee Hana degree lakini anatoa madini ambayo hata maprofesa hawana
Inawezekana nchi yetu imamuruki wa nchi zilizo tutawala kwhiyo huwez kbadilisha mikataba ila nkweli uko sahihi
Wagapi awe rais kshmba
Apo kuna mikataba yenye udalali nahilo litawakwaza waweka mikataba
Israel
Usiri wa mikataba unaleta utata kuhusu rasilimali za nchi hii. Usiri umetuponza hata kwa DPWORLD. Kuna maslahi gani ya usiri huu?
Basi tu kila kitu ni bahati kichwa hiki ni zaid ya baraza zima la mawaziri!!😢😢
Umezungumza point sana
🤣🤣🤣
ivi huyu baba Huwa anatoa wp madin kama haya
Mwamba kabisa huyu