KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE "KWANINI MSITOE NUSU DEGREE? MNAYOONGEA NI MAUTAPELI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 172

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 4 месяца назад +24

    Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa

    • @mohamedally6390
      @mohamedally6390 4 месяца назад

      Haya maelimu useless wanashadadia sijui kwann yaan wanaficha elimu ya msingi wanaleta madudu ya hovyo kabisa inauma sana

    • @MeshackLukanda
      @MeshackLukanda 4 месяца назад +1

      kweli mkuu chief kila sehemu chief mkwawa

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 4 месяца назад +7

    Du! Huyu mzee Kishimba ni genius sana. Nimefika kwenye hifadhi zetu nyumba zimeezeka kwa nyasi.

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 4 месяца назад +16

    Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee

    • @FestoMalisati-lf8hj
      @FestoMalisati-lf8hj 4 месяца назад

      Sana yaani anagusa kwenye uhalisia, angekua raisi Tanzanie ingekua bora sana.

    • @mohamedally6390
      @mohamedally6390 4 месяца назад

      Fact blaza sisi tunaoishi this time tomorrow tunamuelewa sana

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 4 месяца назад +25

    Free thinkers are rare in African politics. Huyu Kishimba ana akili sana. Shida ni kuwa hajui kuwa Serikali inaendeshwa na wafanyabiashara wa Kiyahudi

  • @TheNichym
    @TheNichym 4 месяца назад +18

    Yan huyu Mzee yuko njema sana, ila kumuelewa lazima uwe umetulia sana

    • @Bobhov
      @Bobhov 4 месяца назад

      Yes

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 4 месяца назад +25

    Kishimba ajawai kuchangia pumba

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 4 месяца назад +16

    akili kubwa baba mungu akutunze

  • @thesilencer5114
    @thesilencer5114 4 месяца назад +21

    Mnacheka lakini kiongozi anaongea kitu sahihi kabisa👏🏼👏🏼

    • @digital-d2t
      @digital-d2t 4 месяца назад

      Mjinga2 huyu paka pori

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 4 месяца назад

      Kishimba kichwani yuko vizuri kuliko hao vilaza wote.

    • @mohamedally6390
      @mohamedally6390 4 месяца назад

      Hao wwngne hawajitambui kazi kupiga meza na kusubir posho na kupokea madudu kutoka kwa wazungu ndio kazi yaooo

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 4 месяца назад

      ​@@digital-d2t wewe akili yako mgando.

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 4 месяца назад +19

    Mwenyez mungu akubariki mh kishimba tatizo la elim yetu ya kukariri kuaminishwa wazungu ndio kila kitu

  • @boazychaulla2909
    @boazychaulla2909 4 месяца назад +2

    Mh kishimba ni genius tumuelewe tuu

  • @officialshelomwangole256
    @officialshelomwangole256 4 месяца назад +5

    Mkimpa huyu mzee wizara ya elimu atafuta vitu vingi sana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Mc_Gwajee
    @Mc_Gwajee 4 месяца назад +12

    Daaaah huyu Mzee akili sanaaa

  • @DanielDaniel-gx2ou
    @DanielDaniel-gx2ou 4 месяца назад +8

    Mashimba mungu ambariki sana hakika kahama wakizingua njooo update Jimbo sengerema

    • @LatwifSued
      @LatwifSued 4 месяца назад

      Uko vizuri sana,

    • @AichiMpole-yo2uh
      @AichiMpole-yo2uh 4 месяца назад

      Nilikuwa namkubar sanaa ila hatoboi tena

  • @frankrefresh6850
    @frankrefresh6850 4 месяца назад +2

    Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!

  • @mapoluchalya280
    @mapoluchalya280 4 месяца назад +1

    Ahsante Sana mh.kishimba yaan wewe na king msukuma 🙏🙏🙏🙏

  • @kazimoto-eq2th
    @kazimoto-eq2th 4 месяца назад +4

    Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.

  • @dicksonvicent8139
    @dicksonvicent8139 4 месяца назад +5

    Hatari sana aisee

  • @adamhamisi2638
    @adamhamisi2638 4 месяца назад +2

    mzee kishimba, moja ya watu muhimu sana bungeni

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 4 месяца назад +4

    Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!!
    Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali

  • @vicentdaud2632
    @vicentdaud2632 4 месяца назад +3

    Huyu jamaa akisikilizwa mawazo yake na kufanyiwa utekelezaji yanaweza kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi....

  • @desmond-87
    @desmond-87 4 месяца назад +4

    He is talking sense

  • @calvinmalale1761
    @calvinmalale1761 4 месяца назад +1

    Naam mbunge hongera sana KWA kuongelea MAISHA halisi wengi wanataka aige MAISHA ya watu na watu wanaishi MAISHA SIO Yao kabisa

  • @Loshiphameliyomoleli
    @Loshiphameliyomoleli 4 месяца назад +2

    Good point

  • @faustinhommedetatnifasha9669
    @faustinhommedetatnifasha9669 4 месяца назад +5

    Kama huna #D mjo huwezi muelewa😂😂💪💪

  • @medystarter
    @medystarter 4 месяца назад +2

    Tatizo la bunge letu lipo kusikiliza tu sio kutekeleza, SIASA za kikoloni ndio zina tuludisha nyuma

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw 4 месяца назад +1

    Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.

  • @mohamedmbalazi748
    @mohamedmbalazi748 4 месяца назад +1

    Mmmh kazi kwelikweli.
    Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi?
    Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu

  • @Avith-lj2sp
    @Avith-lj2sp 4 месяца назад +1

    Kweli vitabu vyetu vya syllabus no hopeless kabisa

  • @HamisaAli
    @HamisaAli 4 месяца назад

    Big point Masha Allah

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 4 месяца назад

    BIG UP👏👏👏

  • @jrkaluli5638
    @jrkaluli5638 3 месяца назад

    Pragmatism philosophy! GreAt

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 4 месяца назад +3

    Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 4 месяца назад +1

    uyuu mzeee ni ana akili sana naomba BUNGE limpe mda wakutosha kumskiliza TZ itasogea mbelee

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 4 месяца назад +1

    Yani Mzee nakubali,

  • @AziziKalembo
    @AziziKalembo 4 месяца назад +3

    Mh,ameongea vzr sana

  • @robertnkaragano298
    @robertnkaragano298 4 месяца назад +1

    Duh! Kishimbaa! Wew ni professor wa mambo yote!! Kishimba ooyee! Kishimba ooyee!!😂😂😂

  • @faryjay808
    @faryjay808 4 месяца назад +1

    Fact sanaaa🔥🔥🔥🔥

  • @sylivesterleonard5133
    @sylivesterleonard5133 4 месяца назад +1

    Akili kubwa sana hii!!

  • @ScholasticaDomonko
    @ScholasticaDomonko 4 месяца назад +2

    👏👏👏

  • @felisterphilemon1852
    @felisterphilemon1852 4 месяца назад

    GOD be with you forever

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 4 месяца назад +1

    Yuko sawa huyu mzee

  • @MahadhiHassara
    @MahadhiHassara 4 месяца назад

    Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.

  • @gaddafiofficial3200
    @gaddafiofficial3200 4 месяца назад +2

    🔥

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 4 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 4 месяца назад +1

    📌 📌 📌

  • @ibrahmenard
    @ibrahmenard 4 месяца назад +2

    bila bangi hoja zake ngumu kuelewa

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂yaani.weww😂😂

  • @josemoko530
    @josemoko530 4 месяца назад +1

    Hongera Sana 😂

  • @edwardkagombora3782
    @edwardkagombora3782 4 месяца назад

    Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza

  • @theboyofficial7441
    @theboyofficial7441 Месяц назад

    Bila D 2 huwezi kumuelewa

  • @uledimude8921
    @uledimude8921 4 месяца назад

    Mbona hamtuambiagi Hadi kishimba aseme

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 4 месяца назад

    👏👏👏👏👏Brilliant ❤

  • @suchabulunja5611
    @suchabulunja5611 4 месяца назад

    Mbunge Genius pekee Tanzania 🎉🎉

  • @sengiyumvaathanas8815
    @sengiyumvaathanas8815 4 месяца назад

    Big brain

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 4 месяца назад

    Huyu jamaa anafaaa kuongoza Africa

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 4 месяца назад

    Asante sn bb ukovizr

  • @petermabale4320
    @petermabale4320 4 месяца назад +1

  • @fridayjkajange1247
    @fridayjkajange1247 4 месяца назад

    Duh jamaa anaakili sana

  • @ramadhaniabdul5180
    @ramadhaniabdul5180 4 месяца назад

    Kishimba anaelezea uhalisia,yaani halisi kabisa,sio ile ya kufikirika😂😂😂safi sana mh mbunge

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 4 месяца назад +1

    Mpak uwe na D 2 ndo utaweza kuelewa

  • @gaudenceassenga1900
    @gaudenceassenga1900 4 месяца назад

    Nawezaje kumpata huyu mbunge nipige naye story?

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 4 месяца назад

    Laiti wangemuelewa chishimba ingekuwa sawa kabisa yeye ni profesa OG

  • @FernandesKalokola
    @FernandesKalokola 4 месяца назад

    Huy mtu jamani hapew ata President. Jaman nn shida hii ichi wasukum na wat wa mara hawa ni viongoz bora sana katika nchi hii

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 4 месяца назад

    Huyu ni profesa kabisa

  • @IsayaMorange-wb5ek
    @IsayaMorange-wb5ek 4 месяца назад

    Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu

  • @leonardmanawa952
    @leonardmanawa952 4 месяца назад

    baba wa mawazo positive ❤

  • @jeffreywilliams1171
    @jeffreywilliams1171 4 месяца назад +1

    Angalizo, akili ya huyu mtu ni zaidi ya kina Vasco da gama, serikali na watu wenu tafadhali yafanyieni kazi haya mawazo yake.

  • @johnassey2327
    @johnassey2327 4 месяца назад

    Fact

  • @yonahgideon7561
    @yonahgideon7561 4 месяца назад +1

    Mbona kwenye mtaala mpya Kuna somo jipya linaitwa Elimu ya biashara ambako huko ndani Kuna mambo ya ujasiriamali na jinsi ya kutunza fedha

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 4 месяца назад

      Shida litakavofundishwa

    • @barakalevis31
      @barakalevis31 4 месяца назад +1

      Uliza walio apply kama wameliona kwenye machaguo

  • @JeremiahYohana-br2bd
    @JeremiahYohana-br2bd 4 месяца назад

    Hii nchi bwana kufika mbali kimaendeleo so leo tunasera za kisenge sana

  • @haikamchaga8251
    @haikamchaga8251 4 месяца назад

    Waziri wa elimu ajae

  • @russia1253
    @russia1253 4 месяца назад +1

    Tatizo izo point zina achwa hapo hapo bungeni 😢 azifanyiwi kazi

  • @freddiemanento6318
    @freddiemanento6318 4 месяца назад

    Huyu mhe namkubali sana sana

  • @CivilEngineeringWorks-d7b
    @CivilEngineeringWorks-d7b 4 месяца назад

    Professor Kishimba
    Kuna watu wana degree unashindwa Kuelewa hii degree kapataje ukikosa ubunge huko njoo tutakupa kura

  • @bonphacearon2428
    @bonphacearon2428 4 месяца назад

    Yan mijitu inacheka lkn uyu baba hakuna sku kaongea upuuz na makelele hua kila akisimama unamuelewa anaongea nn lkn ss

  • @josephignas3988
    @josephignas3988 4 месяца назад

    Hawawezi kuingiza pesa kwenye mtaala wanajua watu wote watakuwa matajiri na wao matajiri watapata wanyonge wao wapi

  • @HashimuHashboy-bo2wl
    @HashimuHashboy-bo2wl 4 месяца назад

    He is hero but we ar not use him one day we wil remember the most ,our life not Western lofe

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 4 месяца назад

    Kishimba inatakiwa UWE mtu mkubwa san. Unajua hali ya umasikin ULIKO Tz Kwa watoto wetu.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад +1

    WAMEKALIA KUVUNJANA MBAVU TUU , BADALA YA KUJADILI MAMBO YA MUHIMU YA KUENDELEZA NCHI.

  • @Enoshi-m5e
    @Enoshi-m5e 4 месяца назад +1

    Wachina wanafundisha elimu za kuwasaidia na mazingira yao

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 4 месяца назад +1

    akili kubwa baba

  • @PhilipoNjalika
    @PhilipoNjalika 4 месяца назад

    Mbunge mwenye akili kubwa

  • @mohamedally6390
    @mohamedally6390 4 месяца назад

    Wabunge wote wangekuwa kama huyu mzee haya madudu ya wazungu tusingepokea na tungeendelea sana kwakweli.

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 4 месяца назад

    Hakuna mtu anapenda nyumba ya nyasi ispokuwa analazimika kuishi hoja yako mweshimiwa inaeleweka lakin sio smart

  • @oliviermulabikokans1013
    @oliviermulabikokans1013 4 месяца назад +1

    ❤moja❤kati❤ya❤zote❤

  • @samahabdallahmohamed1135
    @samahabdallahmohamed1135 4 месяца назад

    Uko vizur

  • @Enoshi-m5e
    @Enoshi-m5e 4 месяца назад +1

    Watalamu wetu hawatusaidii chochote wanashikilia elimu ya nzi ana miguu mingapi ujinga mtup

  • @KiigeMongoreme
    @KiigeMongoreme 4 месяца назад

    Wabunge wa Kanda ya ziwa wanaupiga mwingi wapewe maua yaoo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mohamedally1594
    @mohamedally1594 4 месяца назад

    Sijamaliza sikiliza, ila najua tu yupo sahihi

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 4 месяца назад

    Huyu mzee ana akili Sana Mungu uiongezee miaka mingi.

  • @Tutankhamun-s3n
    @Tutankhamun-s3n 4 месяца назад +1

    Hanaga hoja mbovu anaonyesha kweli kaingia bungeni kwa kura za wananchi...tukiwa na viongozi wajinga taifa zima tunaonekana wajinga

  • @MasomeAbell-cr1um
    @MasomeAbell-cr1um 4 месяца назад

    Mhu.elimu yetu dah mzungu atabaki tu kuwa mzungu tuleni tu ugali maharage

  • @Igauf3
    @Igauf3 4 месяца назад

    Seriously that’s not practical approach. You have to upgrade your life.

  • @AbdulMwengwa
    @AbdulMwengwa 4 месяца назад

    Kishimba Oyeeeeee😅😅😅😅 huwa unato vitu vitamu sana Mhe mbunge

  • @Hassan-ot1mc
    @Hassan-ot1mc 4 месяца назад

    Akili kubwa kiliko zote hapo bungeni

  • @KelvinNyanduli
    @KelvinNyanduli 4 месяца назад

    Ww ndio mbunge mwenye akili kubwa

  • @digital-d2t
    @digital-d2t 4 месяца назад

    HojA ya kipumbavu sana japo wAtu mnashangilia

  • @ramsonmajid2069
    @ramsonmajid2069 4 месяца назад

    Naona watu wengi sana wamecheka kwenye hoja alizotoa mheshimiwa ila ... kusema ukweli ili tuweze piga hatua mfumo wetu wa elimu unatakiwa kubadilika ... tunatakiwa kusoma mambo ambayo yanaambatana na hali yetu halisi lakini pia katika vile vidogo ambavyo kwetu vinatuingizia kipato kwa namna fulani basi tuvifahamu vizuri na vizazi vinavyofuata vifundishwe pia ili waweze kuja na maboresho na mwisho wa siku vidogo tulivyonavyo vinaweza vikatufikisha mbali kiuchumi

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 4 месяца назад

    Serikali ya ccm.mnamsikili za huyo mbunge ? Acha hao maprofesa wenu uchwara,wanatutaperi hakuna wanachoongea.

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 4 месяца назад

    Utakuta anaefundisha pesa yye Hana Hela tutajifunza nni kwakee!!!? Bora tujifunze kwako angalauu!!!

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 4 месяца назад +1

    Pesa ni siri professor 😂