Mbunge Kishimba awavun ja mbavu wabunge "Kwani akili ni Bando?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 апр 2022
  • Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba akichangia bungeni amejikuta akiwafurahisha wabunge wengi mara baada ya kuhoji kwanini polisi wamekuwa wakisimamia mitihani akihoji kwamba akili ya mtu siyo bando hivyo akiitaka serikali kuwa inaangalia wale ambao hawana akili wakifaulu mtihani wa mwisho ndio wachukuliwe hatua

Комментарии • 31

  • @MuhibuChaka
    @MuhibuChaka Месяц назад +1

    Kishimba una akili nyimgi sana hongera

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 Год назад +3

    Uko vizuri sana watu kama nyinyi nd'o munafaa kua viongozi

  • @victormwakidunda3694
    @victormwakidunda3694 2 года назад +6

    Mawazo yako ni ya ki profesa yadumu

  • @carloscasmir2363
    @carloscasmir2363 Год назад +3

    Huyu mzee anaonekana wa kawaida ila amesheheni elimu ya maisha! Shortly speech zake nyingi anakuwa na logic sana

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 2 года назад +4

    Huyu mwamba ni Profesa

  • @sephania8085
    @sephania8085 2 года назад +2

    Kuna wabunge wanajichekesha tuhapo Hawana kitu kichwan uyu mzeee yupo vzr

  • @MuhibuChaka
    @MuhibuChaka Месяц назад +1

    Una mawazo super mheshimiwa

  • @mathayomkumbuchile1569
    @mathayomkumbuchile1569 2 года назад +5

    Huyu mzee ana akili sanaaaaa

  • @kenethmwangoka4590
    @kenethmwangoka4590 Месяц назад

    huyu kishimba ingekua Mimi ndie na nachagua viongozi kishimba angekua makamu wa laisi yupo vizuli mama raisi Samia tuwekee huyu mtu ikulu

  • @Razkenya001
    @Razkenya001 2 года назад

    Nimependa hoja lake 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 Месяц назад

    🙏🙏🙏👍👍👍👍💪💪💪💪💅💅💅 Mzee umenipiga panapoumaaaaa!

  • @hamisimbatyan5875
    @hamisimbatyan5875 Год назад

    Sjajuwa michango ya mawazo ya wabunge huwa wanatumiya kigezo gani kuyaingiza kwenye utekelezaji.

  • @hoseapeter8803
    @hoseapeter8803 Год назад

    Waoh

  • @ramadhaniyahaya7286
    @ramadhaniyahaya7286 Месяц назад

    Viongozi ngekuwa kama kishimba tungekuwa mbali

  • @edwinnzigo4670
    @edwinnzigo4670 Год назад

    Yani hao wanajiita wasomi inaonekana ndio km hawajasoma kabisa maana hakuna kitu kabisa

  • @stephanomwandule
    @stephanomwandule Год назад

    Mhe mbunge ninakuelewa na ninatamani siku moja nionane nawe ana kwa ana

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 2 года назад +1

    Huyo anaakili mia

  • @joachimgolola1086
    @joachimgolola1086 Год назад

    Big up

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 2 года назад

    Safi upo na wana nch

  • @adriankiponda7308
    @adriankiponda7308 2 года назад

    Unaakili sana kishimba

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Kishimba hongera baba

  • @paulinaswalehe5298
    @paulinaswalehe5298 2 года назад

    Professor

  • @ElibarikiBee-vr6jg
    @ElibarikiBee-vr6jg Год назад

    Kishimba bomba

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 2 года назад +3

    Ameongea vizuri sana lkn Polisi kazi yao sio kulinda wanafunzi ni kwa ajili ya usalama wa mitihani. Siku za nyuma mitihani ilikuwa inaporwa na majambazi au sijui tuwaiteje....kama tuna hakika wasimamizi watakuwa salama, waondolewe lkn sidhani

    • @mathayomkumbuchile1569
      @mathayomkumbuchile1569 2 года назад

      Siyo kweli, ni mwaka gani jambazi alipora mitihani? Mzee ana logic

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 2 года назад

      @@mathayomkumbuchile1569 inaonesha wewe ni mdogo kwa umri, hujui mambo, mfano 2006, askari mmoja alipigwa risasi ya paja na watu waliotaka kuiba mitihani

  • @stephanomwandule
    @stephanomwandule Год назад

    Mhe naomba namba yako ya simu japo nikusalimu tu

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq Год назад

    Kaka unauwa uchawi kifikira nakushuru sana umaongea ya moyoni