Mbunge Kishimba awavun ja mbavu wabunge "Kwani akili ni Bando?"
HTML-код
- Опубликовано: 7 апр 2022
- Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba akichangia bungeni amejikuta akiwafurahisha wabunge wengi mara baada ya kuhoji kwanini polisi wamekuwa wakisimamia mitihani akihoji kwamba akili ya mtu siyo bando hivyo akiitaka serikali kuwa inaangalia wale ambao hawana akili wakifaulu mtihani wa mwisho ndio wachukuliwe hatua
Kishimba una akili nyimgi sana hongera
Uko vizuri sana watu kama nyinyi nd'o munafaa kua viongozi
Mawazo yako ni ya ki profesa yadumu
Huyu mzee anaonekana wa kawaida ila amesheheni elimu ya maisha! Shortly speech zake nyingi anakuwa na logic sana
Huyu mwamba ni Profesa
Kuna wabunge wanajichekesha tuhapo Hawana kitu kichwan uyu mzeee yupo vzr
Una mawazo super mheshimiwa
Huyu mzee ana akili sanaaaaa
Yaani huyuuu ni genious
huyu kishimba ingekua Mimi ndie na nachagua viongozi kishimba angekua makamu wa laisi yupo vizuli mama raisi Samia tuwekee huyu mtu ikulu
Nimependa hoja lake 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
🙏🙏🙏👍👍👍👍💪💪💪💪💅💅💅 Mzee umenipiga panapoumaaaaa!
Sjajuwa michango ya mawazo ya wabunge huwa wanatumiya kigezo gani kuyaingiza kwenye utekelezaji.
Waoh
Viongozi ngekuwa kama kishimba tungekuwa mbali
Yani hao wanajiita wasomi inaonekana ndio km hawajasoma kabisa maana hakuna kitu kabisa
Mhe mbunge ninakuelewa na ninatamani siku moja nionane nawe ana kwa ana
Huyo anaakili mia
Big up
Safi upo na wana nch
Unaakili sana kishimba
Kishimba hongera baba
Professor
Kishimba bomba
Ameongea vizuri sana lkn Polisi kazi yao sio kulinda wanafunzi ni kwa ajili ya usalama wa mitihani. Siku za nyuma mitihani ilikuwa inaporwa na majambazi au sijui tuwaiteje....kama tuna hakika wasimamizi watakuwa salama, waondolewe lkn sidhani
Siyo kweli, ni mwaka gani jambazi alipora mitihani? Mzee ana logic
@@mathayomkumbuchile1569 inaonesha wewe ni mdogo kwa umri, hujui mambo, mfano 2006, askari mmoja alipigwa risasi ya paja na watu waliotaka kuiba mitihani
Mhe naomba namba yako ya simu japo nikusalimu tu
Kaka unauwa uchawi kifikira nakushuru sana umaongea ya moyoni