HII KALI! MBUNGE KISHIMBA AINGIA na SARE za SHULE na MADAFTARI BUNGENI, AMVAA WAZIRI wa ELIMU..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • HII KALI! MBUNGE KISHIMBA AINGIA na SARE za SHULE na MADAFTARI BUNGENI, AMVAA WAZIRI wa ELIMU..
    NI mkutano wa tatu, kikao cha kumi na nne cha Bunge la 12. umeendelea leo Mei 04, ambapo mawaziri wamewekwa kikaangoni kuulizwa maswali na wabunge.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 127

  • @ramadhanshiganza4926
    @ramadhanshiganza4926 3 года назад +20

    MH wangu, unamawazo makubwa kupita KIASI. Hongera mno. We ni zaidi ya Professor!!!! Huyu Mh abarkiwe MBUNGE WANGU KAHAMA MJINI.

    • @shadrackelikana7402
      @shadrackelikana7402 3 года назад

      wabeja sane

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf 5 месяцев назад

      Hakiyamungu Mzee kishimba yuko sawasawa kabisa mama yetu mtafute ukae name mezani utapata HP ambo la manufaa

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 3 года назад +32

    We don't need educated people but we need great thinkers and creative people mbunge kishimba salute

    • @godfreymlowe4315
      @godfreymlowe4315 3 года назад +3

      Kiukweli kishimba ni mwakilishi wa wananchi

  • @joelkahuya8356
    @joelkahuya8356 3 года назад +17

    Huyu jamaa akili nying sana Mungu amuinue, nataman awe Rais kabisa

    • @nassorokamasesela3782
      @nassorokamasesela3782 3 года назад

      Ongera sana mbunge jumanne kishimba kwa kuwa funguwa watanzania vichwa nasasa wameanza kukuelewa unachokusudia kwa watanzania ongera sana mungu akulinde

    • @titomhagama5545
      @titomhagama5545 3 года назад

      Hatamimi

    • @rolethakaoo7468
      @rolethakaoo7468 3 года назад

      Bunge la sasa huyu ndiyo kidogo ana hoja.

    • @gresondavid2268
      @gresondavid2268 3 года назад

      Kwanini somo LA HISABATI lifundishwe kwa lugha ya kiingereza.Tunakosa wasomi wengi WA HISABATI kwa sababu ya ugumu WA lugha?Tusiwe wajinga Tukidhani kwamba kujua kiingereza in ujuzi Na fahari Kubwa.Tuwafundishe watoto wetu kwa lugha ya mama (kiswahili). Ili tupate wasomi wengi wenye utaalamu mkubwa.Kinacho ni shangaza Na kunisikitisha no kwamba;mtoto ana anza shule ya chekechea kwa lugha ya mama( kiswahili).had I Darasa LA sana atakuwa amemaliza elimu ya msingi kwa kipindi cha miaka 14. Form one had I Form four Lugha inayotumika hapa ni kiingereza.swali language kwa WIZARA husika Na serikali ;Hapa kweli tumedhamiria kulikomboa TAIFA kweli ama tunatania?.Ushauri wangu kwa WIZARA husika Na serikali in kwamba;Tuwafundishe watoto wetu kwa Lugha yetu ya kiswahili.

  • @msambi1251
    @msambi1251 3 года назад +8

    Akili kubwa standard 7

  • @abasijeremiah7925
    @abasijeremiah7925 3 года назад +11

    Wewe mbunge hongera sana baba yangu mungu akulinde una mawazo makubwa sana

  • @peterfania1005
    @peterfania1005 3 года назад +7

    Yaani huyu mbunge amenigusa Sana anachosema nikweli na maisha hayo tumepitia yaani Baba ongera Sana sikuweza kufikia ndoto zangu kwasababu hizo njaa kukaa mbali na shule viatu ,macountebook 😞 kipindi nasoma niliichukia Sana serikali na matumbo Yao magufuli Tu ndio alikuwa anajua shida na vilio vya wananchi

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 3 года назад +7

    Kishimba mheshima mtetezi wa wananchi mungu akubariki

  • @fidasjohn4700
    @fidasjohn4700 3 года назад +6

    Yaani Huyu mbunge hua namuelewaga sana

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza1984 3 года назад +6

    mzee kishimba wewe ni genius

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 3 года назад +4

    Huu mbunge tatizo analianzia chini tofauti nawengi wabunge ki ukweli niwa muhimu haswa kwawatu wamaisha ya chini

  • @kilingahamissi6734
    @kilingahamissi6734 3 года назад +4

    Mzee anawaza mbali sana mpaka anavuka mawazo ya wengine ndio maana wanacheka point zake halafu sionagi hata mawazo yake yakifanyiwa kazi

  • @geofreykilasi7354
    @geofreykilasi7354 3 года назад +3

    Point zote baba,miaka mitano tena...nitapiga kampain bure

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 3 года назад +2

    kishimba amezungukwa na pisi kali lazima ateme madini

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 10 месяцев назад

    Haijawahi tokea wafanyakazi kuomba punguzo la mshahara?

  • @AffectionateChess-mh5cz
    @AffectionateChess-mh5cz 4 месяца назад

    mzee kaja na vitu muhimu vyenye maana lkn huwezi amini wabunge wetu wanacheka tu 😢 najua kw sbbb wao hawaishi maisha yetu

  • @kilulumtunyungu9369
    @kilulumtunyungu9369 3 года назад +1

    Alafu jamaa yupo serious hachek

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 года назад +1

    Procurement !! Eti unajifunza kununua nn miaka 3??😂😂! Ila kweli !

  • @eliayeremialeli1806
    @eliayeremialeli1806 3 года назад +2

    2025 mimi namshauri huyu baba achukue form mbona anaongea ukweli sana hadi nachanganyikiwa wise man

  • @KabijSaib
    @KabijSaib Год назад +1

    Kishimba anauchungu sana jaman

  • @wangwemseti7592
    @wangwemseti7592 3 года назад +2

    Maono ya mh kishimba yafanyiwe kazi yanatija kwa taifa letu msimpuze ana mtazamo wenye maslahi mapana na yanaeleweka kwa kila mtu

  • @sewamadaraka4757
    @sewamadaraka4757 4 месяца назад

    Hivi kwa Nini akunaga taarifa anapotoa hoja mh kisimba?

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 7 месяцев назад

    Fungua shule waonyeshe mfano una akili nyingi sana

  • @karolyimani7824
    @karolyimani7824 2 года назад

    Mhe:Kishimba. Nimekuelewa.

  • @inocentkaiza8791
    @inocentkaiza8791 3 года назад +5

    Dah kama vile comedy ila inamaana sana hongera

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 7 месяцев назад

    Unafikiliaga nini wewe mzee jamani mmmhhh

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 3 года назад +1

    Eti mgongee wewe ndio anaekupenda

  • @KabijSaib
    @KabijSaib Год назад

    Kishimba anaongea maneno mazito mno

  • @gidyonmshani5259
    @gidyonmshani5259 3 года назад +1

    Bg up kishimba kahama mnajembe kweli

  • @mariaernest9324
    @mariaernest9324 3 года назад +3

    Hongera Sana kishimba una mawazo mapana sana

    • @edwindaniel5135
      @edwindaniel5135 3 года назад +1

      Kanda ya ziwa ina watu wenye mtazamo wa maisha ya mtanzania

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Nicheketuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 2 года назад

    Kishimba unaakili ndefu

  • @blandinalukole5535
    @blandinalukole5535 3 года назад +2

    Magulification of Africa

    • @ellymakongo656
      @ellymakongo656 3 года назад

      Mawazo ya kishimba ni mawazo ya Magufuli yaani Africa kufanya mambo mazuri ya dunia hii lakini kwa tafsr yetu wenyewe

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 года назад +2

    Daaah,aisee hapo umeongea ndugu kishimba😀😀😀😀

  • @frankmashina3240
    @frankmashina3240 3 года назад +2

    daah ajira tatizo sana kwa vijana

  • @stivejayngoga1403
    @stivejayngoga1403 3 года назад +4

    Real Professor!!🙏🙏🙏

  • @titomhagama5545
    @titomhagama5545 3 года назад +3

    Hongera sana. Wewe ni raisi mtarajiwa

  • @pililmabula9559
    @pililmabula9559 3 года назад +1

    Hakika kishimba ni moja ya waheshimiwa wenye uelevu juu ya maisha halisi ya jamii watokazo mungu akubariki uzidi kuwa na maono zaidi.

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 4 месяца назад

    asant sana mh

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 Год назад

    Kishimba tano tena

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 4 месяца назад

    SAFI MH.

  • @doriselipokea651
    @doriselipokea651 4 месяца назад

    Yani basi tyuu

  • @nasrahassanmasesa3745
    @nasrahassanmasesa3745 3 года назад +1

    Mh kishimba umeongea pointi watt kauda book yana bei kweli ila kwa yoniform nyeupe ni nzur pia toka enzi 😢

    • @renatusaugustine3410
      @renatusaugustine3410 2 года назад

      Tatizo ni kwamba kwan tumelazimishwa ziwe nyeupe kwa nn wasivae hata nguo nyeus au nyeupe hata rang nyingine

  • @JohnManyilizu-w6p
    @JohnManyilizu-w6p 7 месяцев назад

    Really wanted person

  • @mrholela7906
    @mrholela7906 3 года назад +2

    Creative man

  • @upendoamani8164
    @upendoamani8164 3 года назад +1

    Sijawahi kukosa kupongeza mchango wako

  • @eliayeremialeli1806
    @eliayeremialeli1806 3 года назад +1

    Huyu baba nataman awe rais siku moja nimpigie kura yangu

  • @emanuelmbwiga690
    @emanuelmbwiga690 2 года назад

    Tatizo mawazo haya hayafanyiwi kazi,waziri yupo hapo lakini anacheka tu,wala hachukui hatua yo yote ile! Eti huyo ni msomi!!

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 2 года назад

    ndyo maana shule za vijijini hutajua kama ni uniform nyeupe au la , sijajua walizingatia nini wakati familia nyingi za kitanzania ni maskini. labda wapikiwe shuleni. kubeba chakula sikubali italeta shida zaidi.

  • @gaudenciamallya9779
    @gaudenciamallya9779 3 года назад

    Mheshimiwa Spika amesoma Sayansi. (Ndiyo maana Baba wa taifa J.K. Nyerere aliiheshimu sana Mei Mosi. Alisoma historia) .

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 3 года назад +1

    Utu uzima dawa 🙌🙏

  • @yusufujulius6665
    @yusufujulius6665 2 года назад

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁👍👍👍👍👍👍✔️✍️👊

  • @EmmanuelSentimea-yu8no
    @EmmanuelSentimea-yu8no Год назад

    Mhe.Kongole sana kwa kusema ukweli na uhalisia wa maisha ya Mtanzania.Serikali iyafanyie kazi mawazo yako!

  • @husenijumakipanga9017
    @husenijumakipanga9017 3 года назад

    Muheshimiwa mawazo yako ni makubwa na mazuri kuyafata lakin tatizo lipo kwenye utendaji,utendaji ndo tatizo kubwa

  • @deogratiusndoto8553
    @deogratiusndoto8553 2 года назад

    2025 jamani huyu ni mtu hongera Sana kishimba

  • @eliayeremialeli1806
    @eliayeremialeli1806 3 года назад +1

    Huyu baba ni wise man mzuri sana

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 3 года назад +2

    GENIUS

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 3 года назад

    Huyu ndiye mchangiaji Bora wa bunge hili Hana poyoyo na vijembe

  • @zaddochotienoopiyo1064
    @zaddochotienoopiyo1064 Год назад

    Please bring this man to Kenya please. Tanzania is blessed with thinkers not sycophants who have gone to school but does not think

  • @jeremiamalima9112
    @jeremiamalima9112 Год назад

    Ww JAAMAAAA

  • @getrudeamos38
    @getrudeamos38 3 года назад

    Dah! Baba umenigusa sana vijijin saiz michango shuleni imezidi kabisa.

  • @aminalafaeringaizangaiza614
    @aminalafaeringaizangaiza614 3 года назад

    Yani Kura yangu utapata uko saihi kabisa wengine wanaingia bungeni kukodoa macho tu na kucheka tu kwa manufaa yao

  • @dominicksamwel7578
    @dominicksamwel7578 3 года назад +1

    Big up mbunge wangu

  • @josiamedas2803
    @josiamedas2803 3 года назад

    Hongera sana baba hoja yako wazilialitoa majibugan

  • @johnshile9246
    @johnshile9246 3 года назад

    Waambie kuhusu mikopo elimu ya juu ubaguzi was praiveti na gavmet

  • @ramadhanshiganza4926
    @ramadhanshiganza4926 3 года назад +2

    Hongera mno, MAWAZO makubwa Sana, TULITAFAKARI NENO KAZI. UKWELI INATAKIWA IWE WATANZANIA WOTE.WANAOFANYA KAZI

  • @faroukrashid5507
    @faroukrashid5507 3 года назад

    Hongera Sana kishimba .naona wenye meno wanacheka Kama vile wametoka sayali ya Mars.

  • @mundalikope581
    @mundalikope581 3 года назад

    Ndugai Leo tu umeongea point

  • @nasrahassanmasesa3745
    @nasrahassanmasesa3745 3 года назад +3

    Mh kishimba kanigusa nami maisha yangu asante mbunge kw hoja zuri

  • @salehrasta9165
    @salehrasta9165 3 года назад

    Kishimba msemaji wa wanyonge wa kweli

  • @niwawilson4477
    @niwawilson4477 3 года назад

    amenikumbusha kahama old xcul kitambo hicho

  • @ArabiMwambe
    @ArabiMwambe 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 3 года назад

    Kumtengenezea sanam lake shngap😂😂😂

  • @salwasuleiman8943
    @salwasuleiman8943 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣yaani umeacha nicheke sana umeongea sahihi

  • @bizimanaabedi5177
    @bizimanaabedi5177 3 года назад

    Kweli na wapenda wa bunge wa tanzania

  • @jeromekabogo9456
    @jeromekabogo9456 2 года назад

    Mh. Uko vzr mnoo asant sanaa

  • @felisteryusuph8829
    @felisteryusuph8829 3 года назад

    Aiseee safi sana nimeipenda hoja yako bro

  • @gilbertmshiha6032
    @gilbertmshiha6032 3 года назад

    Hongera mmh kishimba umeogea vizuri sana

  • @aishaaa1757
    @aishaaa1757 3 года назад

    Hongera sana kishimba kwa kuongea ponti

  • @renatusaugustine3410
    @renatusaugustine3410 2 года назад

    Dah ana akili sanaaa

  • @marrymwashinga2170
    @marrymwashinga2170 3 года назад

    We baba umejua kunifurahisha MWe!

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 3 года назад

    Sjawai kukupinga kishimba

  • @peterhano8706
    @peterhano8706 3 года назад

    Hongera mheshimiwa J4 kwa mawazo mazuri

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 3 года назад

    Hahahaa umewakilisha vwema sana

  • @zaddochotienoopiyo1064
    @zaddochotienoopiyo1064 Год назад

    He should be next president in TZ

  • @secheamon
    @secheamon Год назад +1

    👏👏👏🙏

  • @fredrickstephano4689
    @fredrickstephano4689 3 года назад +2

    🙌🙌🙌🙌🙏

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 3 года назад

    M nakupenda kwa hela yt😂😂😂

  • @mcmwamba572
    @mcmwamba572 3 года назад

    Miaka Mia baba

  • @pendaeljonathan5254
    @pendaeljonathan5254 3 года назад

    Wambie hao wana wamazo finyu

  • @izraelyherman4467
    @izraelyherman4467 3 года назад

    Hongera kishimba

  • @evarestmrema6455
    @evarestmrema6455 3 года назад

    Sikukuu ya wakulima???!

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 3 года назад +2

    Maprofesor hao makaratasi tu hawafakiriagi

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi5020 3 года назад

    Siku zote mwizi hawezi taka aibiwe!

  • @elasydeogratias832
    @elasydeogratias832 3 года назад

    Nakubali

  • @gilbertmshiha6032
    @gilbertmshiha6032 3 года назад

    Achana na ulaya

  • @davianofficial6972
    @davianofficial6972 3 года назад

    Mh kishimbaaa

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 3 года назад

    Hujawai kosea mzee

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 3 года назад

    Hahaha uposahihi

  • @keepforme6009
    @keepforme6009 2 года назад

    I like this guy!

  • @eligiusstephano9106
    @eligiusstephano9106 3 года назад

    The most intelligent MP