HII KALI! MBUNGE KISHIMBA AINGIA na SARE za SHULE na MADAFTARI BUNGENI, AMVAA WAZIRI wa ELIMU..
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- HII KALI! MBUNGE KISHIMBA AINGIA na SARE za SHULE na MADAFTARI BUNGENI, AMVAA WAZIRI wa ELIMU..
NI mkutano wa tatu, kikao cha kumi na nne cha Bunge la 12. umeendelea leo Mei 04, ambapo mawaziri wamewekwa kikaangoni kuulizwa maswali na wabunge.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
MH wangu, unamawazo makubwa kupita KIASI. Hongera mno. We ni zaidi ya Professor!!!! Huyu Mh abarkiwe MBUNGE WANGU KAHAMA MJINI.
wabeja sane
Hakiyamungu Mzee kishimba yuko sawasawa kabisa mama yetu mtafute ukae name mezani utapata HP ambo la manufaa
We don't need educated people but we need great thinkers and creative people mbunge kishimba salute
Kiukweli kishimba ni mwakilishi wa wananchi
Huyu jamaa akili nying sana Mungu amuinue, nataman awe Rais kabisa
Ongera sana mbunge jumanne kishimba kwa kuwa funguwa watanzania vichwa nasasa wameanza kukuelewa unachokusudia kwa watanzania ongera sana mungu akulinde
Hatamimi
Bunge la sasa huyu ndiyo kidogo ana hoja.
Kwanini somo LA HISABATI lifundishwe kwa lugha ya kiingereza.Tunakosa wasomi wengi WA HISABATI kwa sababu ya ugumu WA lugha?Tusiwe wajinga Tukidhani kwamba kujua kiingereza in ujuzi Na fahari Kubwa.Tuwafundishe watoto wetu kwa lugha ya mama (kiswahili). Ili tupate wasomi wengi wenye utaalamu mkubwa.Kinacho ni shangaza Na kunisikitisha no kwamba;mtoto ana anza shule ya chekechea kwa lugha ya mama( kiswahili).had I Darasa LA sana atakuwa amemaliza elimu ya msingi kwa kipindi cha miaka 14. Form one had I Form four Lugha inayotumika hapa ni kiingereza.swali language kwa WIZARA husika Na serikali ;Hapa kweli tumedhamiria kulikomboa TAIFA kweli ama tunatania?.Ushauri wangu kwa WIZARA husika Na serikali in kwamba;Tuwafundishe watoto wetu kwa Lugha yetu ya kiswahili.
Akili kubwa standard 7
Wewe mbunge hongera sana baba yangu mungu akulinde una mawazo makubwa sana
Kweli Ana mawazo mazuri
Yaani huyu mbunge amenigusa Sana anachosema nikweli na maisha hayo tumepitia yaani Baba ongera Sana sikuweza kufikia ndoto zangu kwasababu hizo njaa kukaa mbali na shule viatu ,macountebook 😞 kipindi nasoma niliichukia Sana serikali na matumbo Yao magufuli Tu ndio alikuwa anajua shida na vilio vya wananchi
Kishimba mheshima mtetezi wa wananchi mungu akubariki
Yaani Huyu mbunge hua namuelewaga sana
mzee kishimba wewe ni genius
Huu mbunge tatizo analianzia chini tofauti nawengi wabunge ki ukweli niwa muhimu haswa kwawatu wamaisha ya chini
Mzee anawaza mbali sana mpaka anavuka mawazo ya wengine ndio maana wanacheka point zake halafu sionagi hata mawazo yake yakifanyiwa kazi
Kweli kabisa
Elimu ya bongi imekuwa nimajanga tyu
Point zote baba,miaka mitano tena...nitapiga kampain bure
kishimba amezungukwa na pisi kali lazima ateme madini
😂😂
Haijawahi tokea wafanyakazi kuomba punguzo la mshahara?
mzee kaja na vitu muhimu vyenye maana lkn huwezi amini wabunge wetu wanacheka tu 😢 najua kw sbbb wao hawaishi maisha yetu
Alafu jamaa yupo serious hachek
Procurement !! Eti unajifunza kununua nn miaka 3??😂😂! Ila kweli !
2025 mimi namshauri huyu baba achukue form mbona anaongea ukweli sana hadi nachanganyikiwa wise man
Kishimba anauchungu sana jaman
Maono ya mh kishimba yafanyiwe kazi yanatija kwa taifa letu msimpuze ana mtazamo wenye maslahi mapana na yanaeleweka kwa kila mtu
Hivi kwa Nini akunaga taarifa anapotoa hoja mh kisimba?
Fungua shule waonyeshe mfano una akili nyingi sana
Mhe:Kishimba. Nimekuelewa.
Dah kama vile comedy ila inamaana sana hongera
Unafikiliaga nini wewe mzee jamani mmmhhh
Eti mgongee wewe ndio anaekupenda
Kishimba anaongea maneno mazito mno
Bg up kishimba kahama mnajembe kweli
Hongera Sana kishimba una mawazo mapana sana
Kanda ya ziwa ina watu wenye mtazamo wa maisha ya mtanzania
Nicheketuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kishimba unaakili ndefu
Magulification of Africa
Mawazo ya kishimba ni mawazo ya Magufuli yaani Africa kufanya mambo mazuri ya dunia hii lakini kwa tafsr yetu wenyewe
Daaah,aisee hapo umeongea ndugu kishimba😀😀😀😀
daah ajira tatizo sana kwa vijana
Real Professor!!🙏🙏🙏
Hongera sana. Wewe ni raisi mtarajiwa
Na wewe ninani ajaye
Asante baba kama umeliona hilo .
Hakika kishimba ni moja ya waheshimiwa wenye uelevu juu ya maisha halisi ya jamii watokazo mungu akubariki uzidi kuwa na maono zaidi.
asant sana mh
Kishimba tano tena
SAFI MH.
Yani basi tyuu
Mh kishimba umeongea pointi watt kauda book yana bei kweli ila kwa yoniform nyeupe ni nzur pia toka enzi 😢
Tatizo ni kwamba kwan tumelazimishwa ziwe nyeupe kwa nn wasivae hata nguo nyeus au nyeupe hata rang nyingine
Really wanted person
Creative man
Sijawahi kukosa kupongeza mchango wako
Huyu baba nataman awe rais siku moja nimpigie kura yangu
Kweli tumpe anafaa
Tatizo mawazo haya hayafanyiwi kazi,waziri yupo hapo lakini anacheka tu,wala hachukui hatua yo yote ile! Eti huyo ni msomi!!
ndyo maana shule za vijijini hutajua kama ni uniform nyeupe au la , sijajua walizingatia nini wakati familia nyingi za kitanzania ni maskini. labda wapikiwe shuleni. kubeba chakula sikubali italeta shida zaidi.
Mheshimiwa Spika amesoma Sayansi. (Ndiyo maana Baba wa taifa J.K. Nyerere aliiheshimu sana Mei Mosi. Alisoma historia) .
Utu uzima dawa 🙌🙏
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁👍👍👍👍👍👍✔️✍️👊
Mhe.Kongole sana kwa kusema ukweli na uhalisia wa maisha ya Mtanzania.Serikali iyafanyie kazi mawazo yako!
Muheshimiwa mawazo yako ni makubwa na mazuri kuyafata lakin tatizo lipo kwenye utendaji,utendaji ndo tatizo kubwa
2025 jamani huyu ni mtu hongera Sana kishimba
Huyu baba ni wise man mzuri sana
GENIUS
Huyu ndiye mchangiaji Bora wa bunge hili Hana poyoyo na vijembe
Please bring this man to Kenya please. Tanzania is blessed with thinkers not sycophants who have gone to school but does not think
Ww JAAMAAAA
Dah! Baba umenigusa sana vijijin saiz michango shuleni imezidi kabisa.
Yani Kura yangu utapata uko saihi kabisa wengine wanaingia bungeni kukodoa macho tu na kucheka tu kwa manufaa yao
Big up mbunge wangu
Hongera sana baba hoja yako wazilialitoa majibugan
Waambie kuhusu mikopo elimu ya juu ubaguzi was praiveti na gavmet
Hongera mno, MAWAZO makubwa Sana, TULITAFAKARI NENO KAZI. UKWELI INATAKIWA IWE WATANZANIA WOTE.WANAOFANYA KAZI
Hongera Sana kishimba .naona wenye meno wanacheka Kama vile wametoka sayali ya Mars.
Ndugai Leo tu umeongea point
Mh kishimba kanigusa nami maisha yangu asante mbunge kw hoja zuri
Kishimba msemaji wa wanyonge wa kweli
amenikumbusha kahama old xcul kitambo hicho
😂😂😂😂😂
Kumtengenezea sanam lake shngap😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣yaani umeacha nicheke sana umeongea sahihi
Kweli na wapenda wa bunge wa tanzania
Mh. Uko vzr mnoo asant sanaa
Aiseee safi sana nimeipenda hoja yako bro
Hongera mmh kishimba umeogea vizuri sana
Hongera sana kishimba kwa kuongea ponti
Dah ana akili sanaaa
We baba umejua kunifurahisha MWe!
Sjawai kukupinga kishimba
Hongera mheshimiwa J4 kwa mawazo mazuri
Hahahaa umewakilisha vwema sana
He should be next president in TZ
👏👏👏🙏
🙌🙌🙌🙌🙏
M nakupenda kwa hela yt😂😂😂
Miaka Mia baba
Wambie hao wana wamazo finyu
Hongera kishimba
Sikukuu ya wakulima???!
Maprofesor hao makaratasi tu hawafakiriagi
Siku zote mwizi hawezi taka aibiwe!
Nakubali
Achana na ulaya
Mh kishimbaaa
Hujawai kosea mzee
Hahaha uposahihi
I like this guy!
The most intelligent MP