Sawa Mzee kishiba ,Baba shida kuipokea sayansi naujima inchi yetu Mim Nafuatilia Sana Tangu kitambo Expatiation mathematics.yaani sayansi ifanye kazi kimatafa katika inchi.Asant
Hongera sana Mh. Kishimba. Ila hapa kwetu ukitaka kuanzisha kitu kwa kua unaanza kwa mtaji mdogo na uzoefu mdogo unaanza kusumbuliwa na Halmashauri, watu wa viwango na TRA bila hata kujua kamtaji ulichoanza nacho umepatawapi kwamba umekopa au umetoa wapi. Na hivyo vikwazo nilivyotaja ni vichache. Serikali haimsaidii mjasiriamali hata kidogo. Cha kushangaza Serikali inaweza hata ikamkopa mzabuni mdogo na inawezekana ndio anakua ameanza biashara isimlipe kwa kisingizio cha ukaguzi wa madeni hata kwa miaka 10. Huyu mzabuni anaweza hata akawa amekufa sii kibiashara tu hata uhai. Maendeleo ya wananchi ni mchakato. Shida inakua wachakataji ambao ni Serikali wako kisiasa saidi.
Hongera Sana Mzee Kishimba na issue ya mabadiliko ya mtaala wa elimu unaoendana na mazingira ya sasa ya sayansi na teknolojia,dunia ni kama kijiji inatakiwa kuwe na mabadiliko ya haraka inayoambatana na Elimu Kwa vitendo.
namuunga sana mkono kishimba ,bonge ya mtu bongo,hii ,hebu heti fikiriakwani nikimaliza darasa la saba na nikahitimu ,kwani ni lazima neende form one(kidato cha kwanza) au ni kihitimu kidato cha nne ni la zima niende ,waka huo huo kidato cha tano ,kama mpango wangu ni elimu ya darasa la saba ,nisilazimishwe kwenda kidato cha kwanza mwaka huo huo ,naweza fanya mambo yangu na nikaamua kusoma tena kama ntahitaji
Bora professor Kishimba hukuchagua kupita kwenye madarasa rasmi. School is an enermy of true knowledge. Mfumo wa elimu yetu hautatui shida za watu. Wasomi wengi wamekuwa mizigo kwa familia na taifa kwa ujumla
Ni mawazo mazuri sana. Nashangaa vyuo vikuu vyetu vinawatunukia watu PhD ambao hata ukiwaangalia unaona hawana sifa. Kishimba anastahili kutunukiwa shahada ya udaktari.
Nimemsikiliza kwa makini mheshimiwa, mimi pia ni mdau wa elimu na nna kasoro zangu nyingi tu kwenye mfumo wetu wa elimu na mengine mengi nayotaka niyatoe katika namna tofauti kama maandishi, documentary n.k. katika kusikiliza kwa makini nimegundua ukiachana na elimu wanafunzi wengi na binadamu wengi hawapendi kujifunza na kufanya exploration ili kupata exposure. Shule wanakupa kiasi kidogo ni kama wanakuwashia taa kumulika linabaki kuwa jukumu lako. If you just seat and hope for fortune unajidanya, ni lazima uwe na tamaa ya kui explore Dunia ndo uta achieve knowledge, hata Manka Mussa ali insist elimu kwasababu alitembea nchi nyingi katika safari yake ya Hijja Mecca, akajifunza vitu vingi ikiwemo ustaarabu wa watu wa mataifa tofauti. Mfalme aliyekuwepo kabla yake kwenye dola ya Mali alipotea kusikojulikana kwasababu alienda ku explore Dunia akajikuta amepotelea hukohuko. Mansa Mussa alivyorudi akaibadilisha Timbuktu ikawa kitivo cha elimu. Mtafuteni historia ya askofu mmoja hivi (alishafariki) alikuwa alikuwa anaitwa Aloysius Balina wa Jimbo la kahama enzi hizo ila alihudumu Geita na Shinyanga pia. Kwasababu ya exposure na kusoma nje alikuja akajenga shule nyingi, vituo vya afya, radio na vitu vingi tu. Somo hapa ni nini? Kusoma ni kitu cha kwanza ila kujieleimisha ni jambo lingine na ku explore dunia ni juu yako mfano rahisi angalia perfection ya doctorate ya mzee wa Singida na yule bwana aliyeitwa mganga wa kienyeji mwenye masters ya finance ya uingereza utagundua mganga yako deep sana kwasababu ana exposure ya elimu na maisha ndo maana kanisa katoliki linasomesha maaskofu wote nje na wanakuchagulia pa kwenda ili upate exposure ya elimu na maisha ukirudi ni jukumu lako kubadilisha vitu kwenda kwenye uhalisia. Hata kishimba mnamuona yako deep ila jamaa katembea, kakutana na misukosuko, kujifunza vitu vingi na kwa akili zetu akijiita la saba eti watu wanaamini, jamaa ana elimu kubwa ya maisha sema hana vyeti na kwavile sisi tunaabudu vyeti ndo anatu prove wrong kwamba vyeti havikupi uelewa kama hujataka kujifunza. Nyerere alichukuliwa kutoka kwao Butiama akapelekwa kusoma Tabora, baada ya hapo akapelekwa Uganda Makelele university akarudi kufundisha wakaona haitoshi wakampeleka Scotland kwenda kusoma elimu ya juu na wakamuwekea misingi thabiti (chini ya Father Richard Walsh) huyu ndo aliona kitu ndani yake, aligundua akifundishwa anafundishika na ana instinct za Uongozi kwenye damu yake kwa ukijua haikuwa bahati mbaya. Walimu Walimfundisha na wakampa perfect education (elewa maana ya perfect education), ndo maana alikuwa na uwezo mkubwa wa ku reason na ku deal na changamoto na kikubwa kabisa zamani watu walikuwa wanafundishwa falsafa hii iliwawezesha kuwa na uwezo mkubwa wa ku reason ndo maana hata kanisa katoliki mapadri wake lazima wasome falsafa. Hapa jiulize, Nyerere alikuwa chini ya Father R. Walsh kama mentor wake wewe upo chini ya nani? Wazazi wako hawataki unataka nini wanakulazimisha tu eti usome uajiliwe hapa ndipo ujinga unapoanzia, Kingine watoto wanasoma falsafa sahizi? Kuna watu wa kuwa mentor? Ndo maana mtoto akibatizwa anachaguliwa msimamizi zamani ilikuwa na maana siku hizi hewa. Kila mtu anakuwa mjinga, kila mtu anamtegemea mwingine afikiri kwa ni niaba yake na anayetegekewa analalamika tu. Tumezaa Dunia ya malalamiko hatujui tatizo mwisho tunakuwa obsessed na watu kama kina Kishimba, tunawaona exceptional kumbe ndo wote ilitakiwa tuwe hivi.
@@AdamMemba-ij6xr with all that written words can't you figure out it might be an error? Au unahisi mimi sifahamu kama ni Mansa Mussa? Ok, thanks for your insight reading.
@@matayhando6519 tafsiri ya ujinga ni watu kama nyie. Nitake umaarufu au nisitake wewe inakupunguzia nini mezani kwako? Fix matatizo yako siyo kuendekeza ego. Au comment na wewe ili u expose upumbavu ulionao kichwani mwako. Look for your type to mess with, hivi vitu huwezi ku digest kwa ufinyu wa akili ulionao ndio maana huelewi mhitimu wa vyuo vya maghorofani.
Baba baba heshima kwako kwanini tanzania inaziba masikio baba huwe ukweli mungu ndio anao utaka wewe ni hazina duniani na mbinguni pia kwanini watu hawailewi neema mungu akulinde baba akupe maisha marefu amen
Uyu Mzee inabid apewe nafas kubwaa zaid ana madini meng sana yakutusaidia waTz.... mzee anajua lengo la elim n kuja kuingiza ela... lakin sisi tunakuja kufndshwa kutafta thaman ya X ambayo ata atyjawai kuiona
Wa tz wanakariri maisha, bado tupo usingizini tukiamka tutajua nini cha kufanya. Madereva wanadiwa vyeti uzeeni vya daraja C na E utadhani daraja D (magari madogo), pikipiki na bajaji ajali hawahusiki nazo au wanaopata ajali wote hawana vyeti.
😂😂😂 cha ajabu anachoongea Mheshimiwa hawaelewi kwa sababu hajaonja joto la mtaani wakajua likoje!! Hapa walipo hao wanachuo wana uhakika wa Bando,kula ,kuvaa na kulala ...lakini Hali itakuwa mbaya mara baada ya kumaliza chuo ...hata hela ya vocha itakuwa Kimbembe kupata 😢😢 ...
Kishimba anazungumzia Knowledge and invention, Knowledge provides the basis for invention, while invention expands and enriches knowledge. They are interconnected processes that drive progress, innovation, and the advancement of society.
Aliyeishia la Saba akili yake haina ukomo!! Akili yake inaweza kujaribu mambo mengi maana hajui Theory/sheria za nyingi nyingi za kufanya Mambo kama watu wa Chuo au A level hata O level ! Sheria hizo huwajengea wanafunzi ukomo wa kufikiri .Ndiyo maana mhitimu wa Chuo kikuu tena wa Biashara anatafuta pa kuajiriwa 😂😂😂 ili hali elimu ya biashara anayo .Hapo ndiyo tunakuwa na Mashaka na tunayofundishwa vyuo vikuu !!! Hayatekelezeki kwa Vitendo!!!
Safi sana kishimba bungeni ukisimama kuwaelezea vitu vyenyefaida katika nchi hii ili itusaidie wao huwa wanakugeuza wewe kama komedi wanacheka tu nakukuachia ushauli wako mwenyewe wao wanaendelea naupigaji wako afazali uleushauli uliyokuwa unawapa wapigaji geuzia kwahawa wanafunzi kidogo tutaona mabadiliko na maendeleo yanchi yetu kwasababu wao akilizao nyingi hazipo katika upigaji akilizao zipo kwenyemasomo tu hayapo kwenyeupigaji
Hakika hata hao vijana inabidi waweza na akili kukuelewa ,maana navyowaangalia ni kama wanawaza ,ila hawaeikilizi wanasikia tu hapo ,KAZI TUNAYO KUBWA SANA BADO KAMA TAIFA
hahahhahahaah lakn waheshimiwa mnashidwa kufundisha nn namna gan ss wanafunz tunafkisha mawazo yetu kwenu kwa maana hakuna nafas amby wanafunz tunaweza kufkisha mawazo yetu kwnu kwan tunayo mengi sana zaid ya haya yenu maana cc ndo waanga wa kipnd hki
Mzee kishimba ana maono ya kweli maana yeke iwepo elimu ya vitendo kuliko elimu ya kwenye vitabu maana dunian mambo yamebadilika tuache elimu ya kukopi tunazidi kuaangamia tanzania kielimu maana wasomi ni wengi na ajila hamna
Muheshimiwa mzee Kishimba shikamo.
I salute you in the name of the intelligence and common sense
This man's Brain is rational. Brilliant inspiration
Sawa Mzee kishiba ,Baba shida kuipokea sayansi naujima inchi yetu Mim Nafuatilia Sana Tangu kitambo Expatiation mathematics.yaani sayansi ifanye kazi kimatafa katika inchi.Asant
Hongera sana Mh. Kishimba. Ila hapa kwetu ukitaka kuanzisha kitu kwa kua unaanza kwa mtaji mdogo na uzoefu mdogo unaanza kusumbuliwa na Halmashauri, watu wa viwango na TRA bila hata kujua kamtaji ulichoanza nacho umepatawapi kwamba umekopa au umetoa wapi. Na hivyo vikwazo nilivyotaja ni vichache. Serikali haimsaidii mjasiriamali hata kidogo. Cha kushangaza Serikali inaweza hata ikamkopa mzabuni mdogo na inawezekana ndio anakua ameanza biashara isimlipe kwa kisingizio cha ukaguzi wa madeni hata kwa miaka 10. Huyu mzabuni anaweza hata akawa amekufa sii kibiashara tu hata uhai. Maendeleo ya wananchi ni mchakato. Shida inakua wachakataji ambao ni Serikali wako kisiasa saidi.
Yani hawana akili kabisa
Hongera Sana Mzee Kishimba na issue ya mabadiliko ya mtaala wa elimu unaoendana na mazingira ya sasa ya sayansi na teknolojia,dunia ni kama kijiji inatakiwa kuwe na mabadiliko ya haraka inayoambatana na Elimu Kwa vitendo.
Hope healing, critical argument
namuunga sana mkono kishimba ,bonge ya mtu bongo,hii ,hebu heti fikiriakwani nikimaliza darasa la saba na nikahitimu ,kwani ni lazima neende form one(kidato cha kwanza) au ni kihitimu kidato cha nne ni la zima niende ,waka huo huo kidato cha tano ,kama mpango wangu ni elimu ya darasa la saba ,nisilazimishwe kwenda kidato cha kwanza mwaka huo huo ,naweza fanya mambo yangu na nikaamua kusoma tena kama ntahitaji
Wasomi tunazidi kufundishwa.
Kishimba atumike . Atatufaa sana watanzania
Kishimba genius 🔥🔥🔥🔥🔥
God bless Mzee. Kishimba kwa Elimu maalum . Hakika were Ndola Profesa Wa kwetu
Haloo.. kweli hizi ni nondo..
Bora professor Kishimba hukuchagua kupita kwenye madarasa rasmi. School is an enermy of true knowledge. Mfumo wa elimu yetu hautatui shida za watu. Wasomi wengi wamekuwa mizigo kwa familia na taifa kwa ujumla
Absolutely is the enemy of true knowledge
Ni mawazo mazuri sana. Nashangaa vyuo vikuu vyetu vinawatunukia watu PhD ambao hata ukiwaangalia unaona hawana sifa. Kishimba anastahili kutunukiwa shahada ya udaktari.
Professor Kishimba in action! Putting theories into reality.
Soseji sio nyama jaman,sawa. Asante Kwa madini Mh. Kishimba
Ni nn
Kasema only20% ndo nyama
@@tengeru kuna vitu ukiviona wakati wanatengeneza hutokula maisha labda kama anaetengeneza akuhurumie aweke vitu vizuri lasivyo ni majanga tu
Nakuelewa sana kaka mkubwa
Hongera sana
Asante sana Mh. Kishimba kwa nondo hizo
Nimemsikiliza kwa makini mheshimiwa, mimi pia ni mdau wa elimu na nna kasoro zangu nyingi tu kwenye mfumo wetu wa elimu na mengine mengi nayotaka niyatoe katika namna tofauti kama maandishi, documentary n.k. katika kusikiliza kwa makini nimegundua ukiachana na elimu wanafunzi wengi na binadamu wengi hawapendi kujifunza na kufanya exploration ili kupata exposure. Shule wanakupa kiasi kidogo ni kama wanakuwashia taa kumulika linabaki kuwa jukumu lako. If you just seat and hope for fortune unajidanya, ni lazima uwe na tamaa ya kui explore Dunia ndo uta achieve knowledge, hata Manka Mussa ali insist elimu kwasababu alitembea nchi nyingi katika safari yake ya Hijja Mecca, akajifunza vitu vingi ikiwemo ustaarabu wa watu wa mataifa tofauti. Mfalme aliyekuwepo kabla yake kwenye dola ya Mali alipotea kusikojulikana kwasababu alienda ku explore Dunia akajikuta amepotelea hukohuko. Mansa Mussa alivyorudi akaibadilisha Timbuktu ikawa kitivo cha elimu. Mtafuteni historia ya askofu mmoja hivi (alishafariki) alikuwa alikuwa anaitwa Aloysius Balina wa Jimbo la kahama enzi hizo ila alihudumu Geita na Shinyanga pia. Kwasababu ya exposure na kusoma nje alikuja akajenga shule nyingi, vituo vya afya, radio na vitu vingi tu. Somo hapa ni nini? Kusoma ni kitu cha kwanza ila kujieleimisha ni jambo lingine na ku explore dunia ni juu yako mfano rahisi angalia perfection ya doctorate ya mzee wa Singida na yule bwana aliyeitwa mganga wa kienyeji mwenye masters ya finance ya uingereza utagundua mganga yako deep sana kwasababu ana exposure ya elimu na maisha ndo maana kanisa katoliki linasomesha maaskofu wote nje na wanakuchagulia pa kwenda ili upate exposure ya elimu na maisha ukirudi ni jukumu lako kubadilisha vitu kwenda kwenye uhalisia. Hata kishimba mnamuona yako deep ila jamaa katembea, kakutana na misukosuko, kujifunza vitu vingi na kwa akili zetu akijiita la saba eti watu wanaamini, jamaa ana elimu kubwa ya maisha sema hana vyeti na kwavile sisi tunaabudu vyeti ndo anatu prove wrong kwamba vyeti havikupi uelewa kama hujataka kujifunza.
Nyerere alichukuliwa kutoka kwao Butiama akapelekwa kusoma Tabora, baada ya hapo akapelekwa Uganda Makelele university akarudi kufundisha wakaona haitoshi wakampeleka Scotland kwenda kusoma elimu ya juu na wakamuwekea misingi thabiti (chini ya Father Richard Walsh) huyu ndo aliona kitu ndani yake, aligundua akifundishwa anafundishika na ana instinct za Uongozi kwenye damu yake kwa ukijua haikuwa bahati mbaya. Walimu Walimfundisha na wakampa perfect education (elewa maana ya perfect education), ndo maana alikuwa na uwezo mkubwa wa ku reason na ku deal na changamoto na kikubwa kabisa zamani watu walikuwa wanafundishwa falsafa hii iliwawezesha kuwa na uwezo mkubwa wa ku reason ndo maana hata kanisa katoliki mapadri wake lazima wasome falsafa. Hapa jiulize, Nyerere alikuwa chini ya Father R. Walsh kama mentor wake wewe upo chini ya nani? Wazazi wako hawataki unataka nini wanakulazimisha tu eti usome uajiliwe hapa ndipo ujinga unapoanzia, Kingine watoto wanasoma falsafa sahizi? Kuna watu wa kuwa mentor? Ndo maana mtoto akibatizwa anachaguliwa msimamizi zamani ilikuwa na maana siku hizi hewa. Kila mtu anakuwa mjinga, kila mtu anamtegemea mwingine afikiri kwa ni niaba yake na anayetegekewa analalamika tu. Tumezaa Dunia ya malalamiko hatujui tatizo mwisho tunakuwa obsessed na watu kama kina Kishimba, tunawaona exceptional kumbe ndo wote ilitakiwa tuwe hivi.
Mansa Kankan Musa. Co Manka.
@@AdamMemba-ij6xr with all that written words can't you figure out it might be an error? Au unahisi mimi sifahamu kama ni Mansa Mussa? Ok, thanks for your insight reading.
Unataka tu umaarufu sijaona ulichocomment Bora ungekaa kimya.
@@matayhando6519 tafsiri ya ujinga ni watu kama nyie. Nitake umaarufu au nisitake wewe inakupunguzia nini mezani kwako? Fix matatizo yako siyo kuendekeza ego. Au comment na wewe ili u expose upumbavu ulionao kichwani mwako. Look for your type to mess with, hivi vitu huwezi ku digest kwa ufinyu wa akili ulionao ndio maana huelewi mhitimu wa vyuo vya maghorofani.
Kishimba ni kiboko kweli wewe ni profesaa
Elimu ya Ng'ombe nzuri sana
Huyu mzee nasikitika amezeeka haraka alipaswa kuwa katika 40's na apewe nafasi ya kusikilizwa na kufuatwa maelekezo yake. Ana akili sana sana.
Mwenyezi Mungu atamleta mwingine maana Kila mambo hulipanga Kwa wakati
Ni kweli babuu huyu jamaa ni jinias hapo std 7 vp walau angepata form 4
Wengine naona wamelala hawaelewi maana bado Wana mikopo ngoja wamalize wataamka tu
Hii akili ya Kishimba ni kubwa sana. Ni vile tu nchi yetu inapuuzaga sana hawa watu.
Mh. Kishimba anastahili kutunukiwa elimu ya juu na mamlaka zinazohusika.
Kishimba mungu akulinde
Kwanini kishimba asipewe kipindi chuo kikuu kufundisha biashara? Mimi nadhani itakuwa safi hata secondary pia hata kwa mwezi Mara moja tu kila chuo
Tungetumia mafunzo ya meeshimiwa akika tungekua mbali sana kimaendeleo
Mh kishimba genius sana huyu jamaa daaa
Baba baba heshima kwako kwanini tanzania inaziba masikio baba huwe ukweli mungu ndio anao utaka wewe ni hazina duniani na mbinguni pia kwanini watu hawailewi neema mungu akulinde baba akupe maisha marefu amen
Hakika una wazo zuri 💯💯
Mh. Kishimba, wewe ni mtu tofauti mno na wengi walioko serikalini
Anastahili sana
Hongera sana mheshimiwa kujiamini kwako na hekima Yako inatusaidia Watanzania
Nimekuelewa vzr sana
Huyu mzee hakika kapita Cuba 🇨🇺 anamawazo makubwa sana
Genius
Good kishimba
Kwa kweli binafsi mh.ninakukubali,maana una mawazo yaliyojaa hekima,busara,na maarifa,.kweli wewe ni haki yako uitwe Profesa.
Naona kunaumuhimu wa kupata elimu ya kujiajili kwa somo la mzee nchi haiwezi kuendelea Kama waliosoma wanategemea ajira
Kunahaja kubwa watanzania kujivunia mzee huyu na kumuombea uzima,
Uyu Mzee inabid apewe nafas kubwaa zaid ana madini meng sana yakutusaidia waTz.... mzee anajua lengo la elim n kuja kuingiza ela... lakin sisi tunakuja kufndshwa kutafta thaman ya X ambayo ata atyjawai kuiona
Professa
Ni Changamoto chanya anayoileta. Safi sana
Mwamba namkubali sana, ginius
Original mind
Hongereni sana Wana udom kumleta profesa Kishimba. Hakika tumejifunza mengi sana
Wanafunzi wenyewe naona hapo wanamwona kama qnapoteza muda
Tatizo la watu weusi hatuthaminiani,huyu mzee angekua mzungu,sasa hivi angekua Prof kabisa.
This is what I call GENIUS.
Hakika
Mh. Prof. Dr. Kishimba PhD in action!
Wa tz wanakariri maisha, bado tupo usingizini tukiamka tutajua nini cha kufanya. Madereva wanadiwa vyeti uzeeni vya daraja C na E utadhani daraja D (magari madogo), pikipiki na bajaji ajali hawahusiki nazo au wanaopata ajali wote hawana vyeti.
Profesa Kishimba akiunganisha nadharia na vitendo kitu ambacho mfumo wa elimu umefeli. Live long Profesa.
Big brain
We also have to adopt entrepreneurship education in all curricular.
Great entrepreneurs🔥
Hongera sana Mzee wetu kishimba ,
Watoto wamechezea Boom hapo wamekata Tamaa jamani.
Hahahahah,wamechoka sana
😂😂😂 cha ajabu anachoongea Mheshimiwa hawaelewi kwa sababu hajaonja joto la mtaani wakajua likoje!! Hapa walipo hao wanachuo wana uhakika wa Bando,kula ,kuvaa na kulala ...lakini Hali itakuwa mbaya mara baada ya kumaliza chuo ...hata hela ya vocha itakuwa Kimbembe kupata 😢😢 ...
Kuna tekinojia nzuri ya india na china ya kutengeneza majiko ya kutumia kuni kidogo tu na kutoa moshi kwa nje kutumia chimney.
Ninamuelewa sana huyu profesa hakika huyu ndio yule profesa niliekua ninamtafuta
Prof Kishimba
👍 👍
Safi mkuuu
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Kishimba anazungumzia Knowledge and invention, Knowledge provides the basis for invention, while invention expands and enriches knowledge. They are interconnected processes that drive progress, innovation, and the advancement of society.
❤😊
Huyu Mh ni madini sana ila akisha kufa ndiyo anapewa maua yake. akiwa anaongea Mjengoni huwa wanamuona kama comedy
Kupanga mifumo serekari lazima ichunguze na wakulima watengenezewe kila mkoa soko kuu la uuzaji wazao.
Kwannsa huyu mbuge asipewe nafasi za juu kusaidia Tanzania kwasababu maono yake ni ya maendeleo Mungu anasaidia sana
Uyu Mzee ana akili sana
Madini ya huyu mzee tutayakumbuka kipindi akiwa hatupo nae duniani
Nakukubar san japo tumeishia la saba ila sisi tuna akiri kuliko waliosoma
Nyie mna nguvu kuliko waliosoma maana waliosoma wanachimba mita kumi na msiosoma mita 40
Ukipata nafasi kasome maana kusoma SI DHAMBI ni kujiongezea maarifa ,hapo kishimba ameshasoma mwenzio ata kama alichelewa ,
Aliyeishia la Saba akili yake haina ukomo!! Akili yake inaweza kujaribu mambo mengi maana hajui Theory/sheria za nyingi nyingi za kufanya Mambo kama watu wa Chuo au A level hata O level ! Sheria hizo huwajengea wanafunzi ukomo wa kufikiri .Ndiyo maana mhitimu wa Chuo kikuu tena wa Biashara anatafuta pa kuajiriwa 😂😂😂 ili hali elimu ya biashara anayo .Hapo ndiyo tunakuwa na Mashaka na tunayofundishwa vyuo vikuu !!! Hayatekelezeki kwa Vitendo!!!
HUYU MZEE MHIMU SAANA KWENYE NCHI HII
Hakika mzee kamwaga nondo za kutosha. Ipo haja ya kujiuliza wapi tunakwama na kutafuta suluhisho ili twende mbele.
Wenye PhD ndo wanatuangusha sana hii nchi wana dharau sana maisha ya uhalisia
Safi sana kishimba bungeni ukisimama kuwaelezea vitu vyenyefaida katika nchi hii ili itusaidie wao huwa wanakugeuza wewe kama komedi wanacheka tu nakukuachia ushauli wako mwenyewe wao wanaendelea naupigaji wako afazali uleushauli uliyokuwa unawapa wapigaji geuzia kwahawa wanafunzi kidogo tutaona mabadiliko na maendeleo yanchi yetu kwasababu wao akilizao nyingi hazipo katika upigaji akilizao zipo kwenyemasomo tu hayapo kwenyeupigaji
Mama nakuomba sana mpe huyu mzee kakitu fulani hizi ili atumike kwenye hii nchi...tafadhali mama..
Mawazo yake na nchi ni vitu viwili tofauti...hafai Ana akili kubwa... hii nchi inahitaji akili za kawaida tu kuiendesha
Hawawezi mpa cheo si et kisa hana degree
@@karimchindema9823hahaaaa
Hakika Kishimba ni zaidi ya Profesa.Adumu
Hakika hata hao vijana inabidi waweza na akili kukuelewa ,maana navyowaangalia ni kama wanawaza ,ila hawaeikilizi wanasikia tu hapo ,KAZI TUNAYO KUBWA SANA BADO KAMA TAIFA
mawazo yako yataishi kama maisha ya watu
👍✌👊
Huyu jamaa ana akili nyingi sana
Hiki chuma
hahahhahahaah lakn waheshimiwa mnashidwa kufundisha nn namna gan ss wanafunz tunafkisha mawazo yetu kwenu kwa maana hakuna nafas amby wanafunz tunaweza kufkisha mawazo yetu kwnu kwan tunayo mengi sana zaid ya haya yenu maana cc ndo waanga wa kipnd hki
Hiki ndio kilichotakiwa kwenye nchi yetu.Muwalete watu wenye mifano dhahiri
Asante mzee nimejifunza
Kwenye soseji hapo naanza kuogopa
Watu wa CNMS wajinga sana mnalala wakati baba anazungumza mambo ya msingi😂 mbadilike mambo ya sap yakishamba sana
🎉
Apewe nchi huyu...
Mzee kishimba ana maono ya kweli maana yeke iwepo elimu ya vitendo kuliko elimu ya kwenye vitabu maana dunian mambo yamebadilika tuache elimu ya kukopi tunazidi kuaangamia tanzania kielimu maana wasomi ni wengi na ajila hamna
Huyu mwamba apewe nchi tutapata maendeleo makubwa sana ana akili kubwa sana
Kishimba as kishimba
Missing link in our education is not "based on problem solving approach"
Mimbumbu haijui kitu
Nadhani hujamuelewa TU. Siku Moja utafunguka.
Najua una PhD isiyo ya maana
Wasomi wetu nisist du na kaka du
Unapokoment ajenda kw fikra" neg au pos" kuhusu mantiki za phd; kishimba makinka mnooo kabla ujaanza kulopoka yey uandaa nondo kwa wigo mpana hvo kma unahsi utoeauti andaa zako nawe tuzchambue
Cc tuna Akili lkn darasa la saba " Kishimba ana akili na Ueledi maskini hana cheti "
PROFESSOR KISHIMBA SICHOKI KUKUSIKILIZA
Olechiza ngosha
Mzee wa nje ya boksi
huyu jamaaa anamadini sana