Walimu waliokuwa na sifa za utoro wawafundishe wanafunzi watoro

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 ноя 2019
  • MBUNGE wa Jimbo la Kahama Mjini, Jumanne Kibera Kishimba ameshauri serikali kupitia Bunge kuwa Wizara ya Elimu iache kuhangaika na watoro mashuleni na badala yake itafute walimu waliokuwa watoro wawafundishe walimu watoro.

Комментарии • 93

  • @thomaslaurent4679
    @thomaslaurent4679 3 года назад +16

    Ukimskiliza bila umakini utacheka kama comedy...ila mzee ni genious akili mingi sana

  • @damianoadam1041
    @damianoadam1041 3 года назад +7

    Nampenda huyu Mbunge.very smart and real.

  • @ismailothman2917
    @ismailothman2917 3 года назад +6

    Huyu mzee hanaga kazi mbovu hata moja

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 3 года назад +11

    Baba shikamoo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿✔️❤️❤️❤️❤️🤲🤲😆😆😆😆😆😆😆😆😍😍😍😍😍😍😍

    • @ayubunyirenda2958
      @ayubunyirenda2958 3 года назад

      ~pppppp~popup 9⁹⁹lp

    • @donaldabel1656
      @donaldabel1656 3 года назад

      Anaye msema vibaya huyu mzee atakuwa gan akiri mzur afu watu Kam Hawa kwann hawapat uwaziri

  • @godloveadamu4379
    @godloveadamu4379 3 года назад +5

    Kabisa nimecheka, Sana tena sana,ila nimejifunza sana.huyu bwana ana akiri nyingi mno.

  • @masungaalfred3655
    @masungaalfred3655 3 года назад +3

    Well done prof.kishimba watoto waende shule mchana 👏👏👏👏👏

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 3 года назад +8

    Hili jamaa huwa lina akili sana 😂😂

  • @majimotomalole9812
    @majimotomalole9812 3 года назад +7

    Hiki ni kichwa kingine.Huyu mzee ana maono sana

  • @zephanialeonard852
    @zephanialeonard852 3 года назад +6

    Huyu mheshimiwa siku zote anapoint za maana sana

  • @abednegosalehe6364
    @abednegosalehe6364 3 года назад +3

    Umenikumbisha mbali sana mheshimiwa kishimba ukiwa kwenye kampeni na biku

  • @dottoabel3455
    @dottoabel3455 3 года назад +3

    Binafsi najiuliza waga mawazo haya anayatoa wap very great thinker

    • @user-qj3on8ju1w
      @user-qj3on8ju1w 3 месяца назад

      Miaka miwili haujapata wakukujibu sasa mimi nakujibu nikwamba huyu jamaa nimfanya biashara mkubwa amewekeza nnchi nyingi hapa afrika na elimu yake ni yakawaida tu ila biashara ndio imemfikiaha hapo alipo. Kwamana hio sasa anajifunza mengi kupitia hizo nnchi

  • @monicakalinga8258
    @monicakalinga8258 3 года назад +4

    Huyu babaa ni genius

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад

    Very smart and real, sheria ni msumeno.....

  • @evanceraurian5842
    @evanceraurian5842 3 года назад +5

    kahama mnambunge kwerkweri

  • @rajabumkono6307
    @rajabumkono6307 3 года назад

    Safi sana mbunge Kishimba,kazi yako tunaiona, chapakazi tujenge nchi

  • @cecykaitanus7873
    @cecykaitanus7873 Год назад

    Very smart man. Huyu ana akili wala hakuna haja ya yeye kusoma

  • @user-sw1id2rz3b
    @user-sw1id2rz3b Год назад

    Huyu jamaa ni genius

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba471 3 года назад +3

    Hit points

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 4 года назад +7

    The fruits of not preparing your mind to atack personality and living a comfortable satisfactory life. Bravo prof Jumanne Kishimba

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 3 года назад +1

    Upo vizuri saaana

  • @ramlazuber6038
    @ramlazuber6038 3 года назад +1

    Jamaniiiiii nimeliaaaaaa. Badaaa ya kuchekaaa

  • @mohamedykabwanga1647
    @mohamedykabwanga1647 3 года назад +4

    Mbunge mwenye akili nyingi bungeni

  • @nkungujackson7092
    @nkungujackson7092 11 месяцев назад

    Hii Kali mbunge super sana

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 3 года назад +2

    Uko vzur mkuu

  • @emmanuelmarko-k6s
    @emmanuelmarko-k6s 23 дня назад

    Unaweza mheshimiwa

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 3 года назад +3

    Fact tupu Mzee anatemaaa

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 3 года назад +7

    Huyu mzee aongezewe ulinzi tafadhali.

  • @kafumun
    @kafumun 7 месяцев назад

    Mhe Kishimba ana hoja nzuri, zimejaa maarifa na zenye tija. Sielewi kwanini hazifanyiwi kazi.

  • @sirayotv4283
    @sirayotv4283 3 года назад +1

    Dah kazi kubwa sana

  • @exalttarimo5083
    @exalttarimo5083 2 года назад +1

    Very impressively and unique

  • @henryyuda2989
    @henryyuda2989 3 года назад +5

    unakil nyingi sana

  • @pescopenterprises2728
    @pescopenterprises2728 2 года назад +1

    Angekua na shida ya fadha ningemshauli afungue cha chuo cha maalifa

  • @josephmarwa5670
    @josephmarwa5670 2 года назад

    Akili za ma genious huwa na mawazo MBADALA

  • @mariachombo7316
    @mariachombo7316 3 года назад +2

    Upo vizuri

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 3 года назад +1

    Ukweli Watanzania siyo sawaa

  • @rukiajumaa574
    @rukiajumaa574 3 года назад

    Appreciated babaaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад +1

    Nikweli kishimba unayosema watoto wengi hawawajall wazazi wao

  • @hamisinanyata1237
    @hamisinanyata1237 3 года назад +1

    Mzee umeonyesha ukongwe wako. Upo sahihi asilimia zote,

  • @giwindosela9098
    @giwindosela9098 3 года назад

    Good idea

  • @robertsongola6034
    @robertsongola6034 Год назад

    Kishimba ni ninoma sana

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 3 года назад

    Sooo genius Kichimbaa

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 3 года назад +2

    Hivi ni mara ngapi ametamka neno “Mh. Mwenyejiti”?

  • @heroes1932
    @heroes1932 3 года назад +3

    Nimekuelewa kabisa hapo kwenye kwenda saa tano, tusipende kuiga mambo yote kutoka nje hata sisi tunaweza fanya maamuzi yetu kama taifa, Tunaweza kubadili mtazamo sasa hata kama misingi iliwekwa zamani

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 3 года назад +1

    Genius

  • @georgemaiko5752
    @georgemaiko5752 3 года назад

    you talk fact my father

  • @kingabdul1745
    @kingabdul1745 Год назад

    Vertical smart,intelligent.

  • @afrikajahazitv3133
    @afrikajahazitv3133 3 года назад

    Hakuna kazi hapa

  • @simonshoo8355
    @simonshoo8355 11 месяцев назад

    Hapa kwenye utoro ni lazima kuwaaanda kiakili watoto kwa sababu wengine huenda kufanya mambo yasiyofaa

  • @magigejoseph255
    @magigejoseph255 3 года назад +1

    Kweli

  • @yahayamjenga1996
    @yahayamjenga1996 4 года назад +1

    He is Prof cause of his critical thinking

  • @magrethfrancis3645
    @magrethfrancis3645 Год назад

    Yan uwezo wako wa kufikiri Mh ni mkubwa mnoo.
    MUNGU azidi kukupatia hekima zaidi.

  • @mussaramadhani5976
    @mussaramadhani5976 3 года назад +1

    ni kweli mzee

  • @greysonkweyamba7222
    @greysonkweyamba7222 4 года назад +2

    Naona mmeanza kujifunua japo kumekucha

  • @benjaminmkumbo9460
    @benjaminmkumbo9460 8 дней назад

    Huu ndo ukweli

  • @simoncmatanda5135
    @simoncmatanda5135 3 года назад

    Huwa namkubali sn huyu mzeee

  • @oscarmasanja3287
    @oscarmasanja3287 2 года назад

    Safi kabisa

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Nikwer kishimba

  • @locsbymahona
    @locsbymahona 2 года назад

    Apo kwa madalali 💯

  • @alikarisa
    @alikarisa 3 года назад +1

    Watoto tuko juu. Coz ndoo tunawaajili wasomi

  • @davidnzogera8770
    @davidnzogera8770 3 года назад +2

    huyu mzee ni shida,ana madini ya akili

  • @djkayumba
    @djkayumba 2 года назад

    Huyu mzee apewe ikuru

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard4718 3 года назад +2

    Kweri kabisa

  • @yusufubashiriyusufubashiri2849
    @yusufubashiriyusufubashiri2849 3 года назад

    Hi

  • @totinakassimu4465
    @totinakassimu4465 4 года назад +2

    iyo kari

  • @kombokabelwa8258
    @kombokabelwa8258 3 года назад +1

    Ukovizuli

  • @juliuskazilo574
    @juliuskazilo574 4 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 3 года назад +1

    WATAJE HAO WATORO !!!

  • @maoleminja6514
    @maoleminja6514 3 года назад

    😄😄😄😄

  • @mariumpeter6147
    @mariumpeter6147 3 года назад +2

    Mzee una akili kubwa sana.Natamani sana siku 1 michango yako yote unayotoa bungeni uiweke kwenye kitabu

  • @alfonsimwalongo9164
    @alfonsimwalongo9164 3 года назад +1

    Huyu mzeee zinamtosha au

    • @msellemtalib751
      @msellemtalib751 3 года назад +1

      Mzee IQ yake iko vzr mfatilie tu kunasiku utamuelewa

  • @dericknotderek
    @dericknotderek 4 года назад +1

    😂😂😂😂😌🤝🤝

  • @mwalongomwalongo807
    @mwalongomwalongo807 3 года назад +2

    Haya ndiyo yale majinga ya mwisho kwenye familia zao

    • @donjb3178
      @donjb3178 3 года назад

      Unataka kusema kishimba ni mjinga?

    • @officialgivenjacksonngalla
      @officialgivenjacksonngalla 3 года назад

      Jaribu kufuatilia huyo jamaa ana maisha gani@Mwalongo Mwalongo

    • @mo_masai4261
      @mo_masai4261 3 года назад +1

      Kama huna akil timamu huwez kuelewa kishimba🤔

    • @ramatandula7734
      @ramatandula7734 3 года назад +1

      huyu jamaa achananaye kabsa

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 3 года назад +1

      Ww humjui kabisa huyu jamaa ni tajiri sana ana viwanda mpaka zambia

  • @kingabdul1745
    @kingabdul1745 Год назад

    Vertical smart,intelligent.