Walimu waliokuwa na sifa za utoro wawafundishe wanafunzi watoro
HTML-код
- Опубликовано: 7 ноя 2019
- MBUNGE wa Jimbo la Kahama Mjini, Jumanne Kibera Kishimba ameshauri serikali kupitia Bunge kuwa Wizara ya Elimu iache kuhangaika na watoro mashuleni na badala yake itafute walimu waliokuwa watoro wawafundishe walimu watoro.
Ukimskiliza bila umakini utacheka kama comedy...ila mzee ni genious akili mingi sana
Kabisaa
Nampenda huyu Mbunge.very smart and real.
Huyu mzee hanaga kazi mbovu hata moja
Baba shikamoo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿✔️❤️❤️❤️❤️🤲🤲😆😆😆😆😆😆😆😆😍😍😍😍😍😍😍
~pppppp~popup 9⁹⁹lp
Anaye msema vibaya huyu mzee atakuwa gan akiri mzur afu watu Kam Hawa kwann hawapat uwaziri
Kabisa nimecheka, Sana tena sana,ila nimejifunza sana.huyu bwana ana akiri nyingi mno.
Well done prof.kishimba watoto waende shule mchana 👏👏👏👏👏
Hili jamaa huwa lina akili sana 😂😂
Hiki ni kichwa kingine.Huyu mzee ana maono sana
Huyu mheshimiwa siku zote anapoint za maana sana
Umenikumbisha mbali sana mheshimiwa kishimba ukiwa kwenye kampeni na biku
Binafsi najiuliza waga mawazo haya anayatoa wap very great thinker
Miaka miwili haujapata wakukujibu sasa mimi nakujibu nikwamba huyu jamaa nimfanya biashara mkubwa amewekeza nnchi nyingi hapa afrika na elimu yake ni yakawaida tu ila biashara ndio imemfikiaha hapo alipo. Kwamana hio sasa anajifunza mengi kupitia hizo nnchi
Huyu babaa ni genius
Very smart and real, sheria ni msumeno.....
kahama mnambunge kwerkweri
Safi sana mbunge Kishimba,kazi yako tunaiona, chapakazi tujenge nchi
Very smart man. Huyu ana akili wala hakuna haja ya yeye kusoma
Huyu jamaa ni genius
Hit points
The fruits of not preparing your mind to atack personality and living a comfortable satisfactory life. Bravo prof Jumanne Kishimba
Upo vizuri saaana
Jamaniiiiii nimeliaaaaaa. Badaaa ya kuchekaaa
Mbunge mwenye akili nyingi bungeni
Hii Kali mbunge super sana
Uko vzur mkuu
Unaweza mheshimiwa
Fact tupu Mzee anatemaaa
Huyu mzee aongezewe ulinzi tafadhali.
Hiki kichwa
Mhe Kishimba ana hoja nzuri, zimejaa maarifa na zenye tija. Sielewi kwanini hazifanyiwi kazi.
Dah kazi kubwa sana
Very impressively and unique
unakil nyingi sana
Angekua na shida ya fadha ningemshauli afungue cha chuo cha maalifa
Akili za ma genious huwa na mawazo MBADALA
Upo vizuri
Ukweli Watanzania siyo sawaa
Appreciated babaaa
Nikweli kishimba unayosema watoto wengi hawawajall wazazi wao
Mzee umeonyesha ukongwe wako. Upo sahihi asilimia zote,
Good idea
Kishimba ni ninoma sana
Sooo genius Kichimbaa
Hivi ni mara ngapi ametamka neno “Mh. Mwenyejiti”?
Nimekuelewa kabisa hapo kwenye kwenda saa tano, tusipende kuiga mambo yote kutoka nje hata sisi tunaweza fanya maamuzi yetu kama taifa, Tunaweza kubadili mtazamo sasa hata kama misingi iliwekwa zamani
Unatufumbua macho
Genius
you talk fact my father
Vertical smart,intelligent.
Hakuna kazi hapa
Hapa kwenye utoro ni lazima kuwaaanda kiakili watoto kwa sababu wengine huenda kufanya mambo yasiyofaa
Kweli
He is Prof cause of his critical thinking
Yan uwezo wako wa kufikiri Mh ni mkubwa mnoo.
MUNGU azidi kukupatia hekima zaidi.
ni kweli mzee
Naona mmeanza kujifunua japo kumekucha
Huu ndo ukweli
Huwa namkubali sn huyu mzeee
Safi kabisa
Nikwer kishimba
Apo kwa madalali 💯
Watoto tuko juu. Coz ndoo tunawaajili wasomi
huyu mzee ni shida,ana madini ya akili
Huyu mzee apewe ikuru
Kweri kabisa
Hi
iyo kari
Ukovizuli
😂😂😂😂😂😂😂
WATAJE HAO WATORO !!!
😄😄😄😄
Mzee na kupenda sana uko vizuri maneno yenye njia.
Mzee una akili kubwa sana.Natamani sana siku 1 michango yako yote unayotoa bungeni uiweke kwenye kitabu
Huyu mzeee zinamtosha au
Mzee IQ yake iko vzr mfatilie tu kunasiku utamuelewa
😂😂😂😂😌🤝🤝
Mizee mingine haikusoma lakini inamaono
Uko vizuri
Haya ndiyo yale majinga ya mwisho kwenye familia zao
Unataka kusema kishimba ni mjinga?
Jaribu kufuatilia huyo jamaa ana maisha gani@Mwalongo Mwalongo
Kama huna akil timamu huwez kuelewa kishimba🤔
huyu jamaa achananaye kabsa
Ww humjui kabisa huyu jamaa ni tajiri sana ana viwanda mpaka zambia
Vertical smart,intelligent.