Kishimba aja na mapya, apendekeza Wizara ya Malalamiko na Matatizo "TUWE NA WIZARA YA KERO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2023
  • Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba ametaka Serikali kuunda Wizara mbili za Kero na Matumizi.
    Hata hivyo Kishimba amependekeza kuwa huu ni wakati wa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuanza ukaguzi mapendekezo kabla ya kuanza kwa Ujenzi wa miradi.
    Ametoa kauli hiyo leo Jumatano April 12,2023 mbele ya Bunge ambapo amesema hakuna anachosaidia CAG ikiwa anakwenda kufanya ukaguzi wakati matukio yakiwa yametendeka.

Комментарии • 60

  • @geeva99
    @geeva99 Год назад +11

    Iyo wizara ya kero muhimu sana tena iwe na call center kama tigo ili simu hadi za wananchi ziingie nakupewa reference number ambazo unaweza kutrack maendeleo ya kero 👏👏

  • @wolframmwalo2432
    @wolframmwalo2432 Год назад +14

    Siku zote wenye uwezo wa kufikiri tofauti na wenzao ndio Huwa wanafanikiwa kishimba big up

    • @stanleyamlima2085
      @stanleyamlima2085 Год назад +1

      Ndio kabisa!!! Hii ndio inaitwa logic au intuition

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Год назад +3

      Yaani huyu baba ni hekima na busara sana na anatoa maoni mazuri mungu ampe nguvu na aendelee na ubunge

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 Год назад +12

    Nampenda sana Huyu Mzee! Ana logic Sanaa

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 Год назад

      Japo hakwenda shule lakini ana mawazo kibao.....logic

  • @albertchubwa2546
    @albertchubwa2546 Год назад +4

    Huyu ndo mbunge wetu kahama, fahari ya Kahama

  • @user-bp5pq8nw3f
    @user-bp5pq8nw3f 7 месяцев назад

    Namkubali sana huyu mzee anaongea point kuliko hata wenye PHD💪💪💪

  • @Franklin-px9ee
    @Franklin-px9ee Год назад +8

    Mzee uwa ana point za maana sana.

  • @daccordaurevoir5526
    @daccordaurevoir5526 Год назад +3

    Mara zoote Sheikh Kishimba huwa anazungumza kama anakosea ila huwa anazungumza ukweli mtupu

  • @abubakaryrashidi1439
    @abubakaryrashidi1439 Год назад +1

    Nakukubali sana boss wangu ukweli serikali ikisikiliza na kufata hoja bass matatizo mengi yataisha na tutaishi ktk haki stahiki mtuyoyote aliyewahi kufanya kazi na huyu mtu bac atanielewa pia nakushukuru sana bass kwa kile ulichonifundisha nimeshika na nakushikilia ulichonifunza na kimsaada mkubwa maishani mwangu

  • @hubertmroso1664
    @hubertmroso1664 Год назад +3

    Baba Kishimba nakuunga mikono Sana, mapesa yaliyotumika Vibaya kujenga masoko ya gorofa, angalia hapo Magomeni, Kwa mfano halisi, like soko lingeweza kujenga masoko ya chini, Ila, buguruni manzese n.k.aliyeamua ni mwanasiasa au mwana sayansi..waliofanya huo uamuazi katiba mpya iwawajibishe ..

  • @gerisonsilayo.6733
    @gerisonsilayo.6733 2 месяца назад

    Huyu mwamba huwa anahoja za Peke yake.. Great thinker

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Год назад +2

    huyu mzee yupo vizur sana nampenda❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +1

    Mwanazengo nakupenda sana una maoni mazuri sana unayotoa bungeni

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 Год назад +1

    Nashangaa mpaka sana hata unaibu waziri hawaja mpya wangemtumia hata kuwa mshauri wa serikali watu wenye uzalendo hawapewi nafasi

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance1833 Год назад +10

    Huwezi sikia vyuo vyetu vya ndani vimemtunuku udakitari huyu mwamba lakini ukisikia mawazo yake huyu mh ni zaidi ya maprofesa.

  • @bennettbennett2915
    @bennettbennett2915 Год назад

    Mi nitakua rol model wako kwakweli napenda Sana unapochangia,,,yani Big up kwako Mzee kishimba

  • @thomasmazik1962
    @thomasmazik1962 Год назад +3

    mungu atutangulie wananchi wa kahama maana kwa mbunge kama huyu mmmh

    • @abdalaalmas2535
      @abdalaalmas2535 Год назад

      Mbunge wetu ni mbunge mwenye point sana na anawafuasi wengi sana hapa Tz.

  • @masoudymichael
    @masoudymichael Год назад +1

    Huyu ndiyo anatakiwa kupewa udaktari siyo Dr taletale

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 Год назад +1

    HUYU Mzee Huwa anafikiri nje ya box. Tatizo hatuwatumii ipasavyo watu kama hawa.

  • @stevenibrahimu326
    @stevenibrahimu326 Год назад

    mheshimiwa mwenyekiti unaitaja sana usiwe muoga kihivyo, jiamini

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 Год назад +3

    Umenena vema baba

  • @allanmapamba4765
    @allanmapamba4765 Год назад +1

    Kabla hatujaenda kwenye biashara ½ya hela imeobiwa daaaah nimecheka Sana huyu dingi ni mnoma

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc Год назад

    THANKS MR ONLY 1 ✅

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi1496 Год назад +1

    Safi kabisa kishimba nikopamojana ww

  • @thechosenone.9169
    @thechosenone.9169 Год назад +1

    Professor wa kuzaliwa.

  • @outzone66
    @outzone66 Год назад +1

    Kishimba kwa hoja na udadavuaji yeye ni bora.

  • @AmiriKutika-zk5lg
    @AmiriKutika-zk5lg Год назад

    Guud,sanaaaaa

  • @emjay1016
    @emjay1016 Год назад +1

    Najionaga naakili sana ila hii njemba imenizidi kilometa za kutosha upande huo.

  • @babailacharles7199
    @babailacharles7199 Год назад

    Nakukubali sana mkuu we ndo mbunge kipenzi changu

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Год назад

    Shida ya Tz wanaoenda kucheka mambo ya msingi , BADALA YA KITAFUTA CONCEPT YA MZUNGUMZAJI , wakifanyia KAZI HOJA zao zinafaida

  • @denhotv9019
    @denhotv9019 Год назад

    kabla hatujaanza biashara nusu ya hela imeibiwa. Hii nchi kuna watu wanatuchanganya sana hii.😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @happymerry8675
    @happymerry8675 Год назад

    I love you mzee

  • @maumabennett8597
    @maumabennett8597 Год назад

    Mh. Kishimba uko sawa

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 Год назад +1

    Genius

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn9453 Год назад

    Kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa wa Mazingira No. 20 ya 2004 (EMA 20 of 2002) kuna miradi iliyoainishwa kwa msana kuwa miradi ya aina hiyo isitekelezwe bila kufanyiwa uchunguzi wa Athari zake kwa mazingira na kwa ustawi au maendeleo ya jamii kwa ujumla. Masoko ni miongoni mwa miradi iliyoainishwa. Hakika sheria hii inavunjwa na wananchi wanatiwa hasara na serikali inapata hasara zisizoelezeka. Tuyaongelee wapi haya ili tusikike? Tuinue mabango Waziri Jafo, Waziri Mkuu au Mama wajapo kwetu? Kishimba wambie wasimamie sheria . Na pia watuoneshe Repoti za Uchunguzi wa Ahari za Miradi kwa miradi uliyoitaja

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele350 Год назад +1

    Wala blueband😂😂😂😂😂

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Год назад

    Soko la gholofa uweke nyanya

  • @marconyangoha1331
    @marconyangoha1331 Год назад

    Nchi yetu inahitaji wabunge Kama huyu, anagusa mahitaji ya wahitaji.

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Год назад

    Kishimba genius 😂😂

  • @mwalumogomsigwa856
    @mwalumogomsigwa856 Год назад

    Mzee ni kichwa anaongea kwa hoja Sana nampenda bure

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Год назад

    Huyu mzee ni chuma

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Год назад

    Haaa🤣🤣🤣🤣🤣amepanda abiri nagani

  • @philemonkingdom4065
    @philemonkingdom4065 Год назад

    Akili ya kuzaliwa ikifanya kazi yake barabara

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798 Год назад

    Huyu Jamaa ndo maana ni biluonea

  • @Dantaata
    @Dantaata Год назад +1

    serikali hii kila siku ni wizi tu,, mbona mi sioni cha kuiba

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад +1

      Pesa zimeibiwa zamani mama kaamua kuyaniks

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Год назад +1

    Tutajuta kuruhusu wajinga kuwa wawakilishi.. MwanaKahama yupi aliemtuma hayo?

  • @bwilumarigo
    @bwilumarigo Год назад +1

    Huyu mzee hajaenda shule hoja zake zote ni pumba tupu

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 Год назад

      Basi we ndo basi tu.

    • @lucasmasumbuko2098
      @lucasmasumbuko2098 Год назад +1

      Wewe utakuwa unakanyagwa Sasa na matai ya mwigulu

    • @babailacharles7199
      @babailacharles7199 Год назад

      Nakukubali sana

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Год назад

      @Bwilu Uko sahihi.. Huyu jamaa Ni pumba tupu. Mjinga sana. Waliomchagua wanajuta. Hebu fikiria Jimbo lake Ni eneo la manispaa Hana barabara za kutosha, anasema bungeni mapanya yamezidi jimboni kwake sababu Wafugaji wananyimwa kuchungia mifugo mjini. Yaani upumbavu kabisa.

  • @filbertladislaus1959
    @filbertladislaus1959 Год назад +1

    huyu jamaa nafikiria tofauti na fikira za wabunge wengi

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Год назад

    Haaa🤣🤣🤣🤣🤣amepanda abiri nagani