Kuna watu nchi ii niwapumbafu sijawahi ona tunateseka na watu wasiokuwa na Akili kwa kuomba Kura. Kuna nguvu kubwa katika uyu mutu Sana. Mungu akuinue uwe waziri mkuu
Mzee Kishimba wewe ndiye msomi haswa. Unafaa kuwa Naibu Waziri ili mkiunganisha mawazo lazima watoto wetu wataachana na utamaduni wa kimagharibi ambao kimsingi ndio unaotupora kila tulichonacho. Marehemu Rais wetu Magufuli alikuwa ameshaanza kuziangazia hizi wizara juu ya mabadiliko. Heko Mhe. Kishimba
Maarifa ulionayo mzee kishimba niukombozi wa kifikiri kwa watanzania wote na Afrika kwa ujumla kwenye swala la elimu ya kujitegemea ila usiwe na Shaka kwa maana watakuelewa na kubadilisha mtahara wa Elimu
Huyu mbunge wanamcheka maana hawmuelewi ila anasema sana inafikua hatua mtoto unamfundisha jambo anaona unamonea KWAKUA anaona jambo gen ifikie wakati mitaala ibadilike ipatikane elimu ya kujitegemea
Elimu ya darasa la saba ni elimu na akili ya Mtu haikuwa kuwa ya kiwango Cha vipimo vya elimu za kidunia Watu wanaotumia elimu na watu wanao tumia akili ni vitu viwili tofauti
Mheshimiwa Kishimba biblia inasema,"Mpanzi alipokua akipanda mbegu shambani mwake zingine zilianguka njiani hazikuota kwa kuwa zililiwa na ndege,zingine zilianguka vichakani zilipoanza kuota zikazongwa na miti ya miiba zikafa.Zilizo ota Ni zile zilizoanguka kwenye udongo mzuri. Wapiga kura wa Jimbo lako walipata bahati wewe ulioto penye udongo mzuri. Sina hakika Kama hizi zilizoanguka njiani,na zingine vichakani penye michongoma ya miiba mtaelewana. Nasubiri muujiza huo.
Hui ndio uzalendo wakujali watanzania kwaujumla...ndugu mbunge hao wanafunzi hawawezi kuijenga nichi hii kwasababu wanakuja na nia yakuiba nakuishi vizuri na familia zao tu ,hata hao wabunge wengine wajuwa mabaya mengi lakini wananyamazia mashine za kamari zimetapakaa mijini na vijijini mwao zinafilisi wa tz. Et zinalipa kodi mazara nimakubwa kulko kinachopatikana...mfano mashine zote kwa mwaka 1 mmilki alipe bln 1 kod yeye anapata trillion 2 na wtz kubaki na vibaka na wengine kuwa maskini kbs.. Mubunge makini lisemee na hili pia
Huyu Mbunge Kishimba sina uhakika kama wasomi wetu wizarani wanamwelewa! Hiyo system ya kutengeza mbolea isiyokuwa na side-effects kwa mimea nakumbuka tulikuwa tunafundishwa shule ya msingi kuanzia darasa la nne miaka ya zamani na kweli ilikuwa inasaidia sana kabla ya kuleta hizi mbolea za viwandani ambazo zimechangia sana kuua mbegu zetu za asili hasa kwenye migomba,kahawa na mazao mengine. Wizara ya Elimu msidharau huo ushauri wake kwa vile ni wa std.7,huyo Mzee ni-rich in innovation and assertiveness. Na ndiyo maana anaendesha biashara za kimataifa bila kuteteleka. Endelea hivyo hivyo mzee.
Mungu akubariki Mheshimiwa. Wewe umekuwa mbunge mzalendo sana na unaitendea haki nafasi yako. Hongera wana Kahama kuwa na mbunge jembe!
Kabisa uyu jamaa namkubali sna
Kishimba anajitahidi sana ndo maana Kahama imekuwa Manispaa
Kuna watu nchi ii niwapumbafu sijawahi ona tunateseka na watu wasiokuwa na Akili kwa kuomba Kura.
Kuna nguvu kubwa katika uyu mutu Sana.
Mungu akuinue uwe waziri mkuu
Kishimbi hivi selikali huwa inakuelewa kweli ama wanakuona kama mchekeshaji tu siku zambele huko watakuja kukumbuka
Kishimba unafaa uraisi unauchungu kama magufuli. Viongozi bado tunao ila roho mbaya kwenye teuzi zetu.
Great mind
This man has very practical mind. I hope they will take hia advisd serously.
Ukweli kabisa elimu has to change tuachane na elimu ya kikoloni
Mweshimiwa Kishimba umekuwa ni mtu wa mawazo yangu kabisa kuhusiana na Elimu ya Tanzania. Mungu atusaidie kwa kweli
Hongera sana Hon. Prof. Kishimba
Najivunia kuwa na mbunge mwenye mawazo chanya... Miaka 5 tena
Mzee Kishimba wewe ndiye msomi haswa. Unafaa kuwa Naibu Waziri ili mkiunganisha mawazo lazima watoto wetu wataachana na utamaduni wa kimagharibi ambao kimsingi ndio unaotupora kila tulichonacho. Marehemu Rais wetu Magufuli alikuwa ameshaanza kuziangazia hizi wizara juu ya mabadiliko. Heko Mhe. Kishimba
Jamaa anaakili sana
Prof Kama Prof nakupendaga sana
Big. Up MH kishimba
Hongera zako mheshimiwa Kishimba
Viongozi wahusika wayachukue mawazo ya huyu mbunge na kuyafanyia haraka sana maana ni muhimu
Namaanisha kuyafanyia Kazi kwa haraka
Point sana mzee
Maarifa ulionayo mzee kishimba niukombozi wa kifikiri kwa watanzania wote na Afrika kwa ujumla kwenye swala la elimu ya kujitegemea ila usiwe na Shaka kwa maana watakuelewa na kubadilisha mtahara wa Elimu
Namuona Mweshimiwa Mbunge wa jimbo la Kwimba Mheshimiwa Mansoor naomba atusaidie bhana kule Kwimba hakuna Umeme
Huyu mzee ni Konki aisee! Hizo nondo anazoshusha.....aaaaa! Ni nzito....
Una akili ya maisha Kishimba, safi sana!
Joja nzuri Sana pongezi kwako mhe!
Sory ,I mean hoja!
Uyu jamaa namkubali sana point zako ila swala labandari kisimba upo kimya naww tunakutegemea tz upo kimya vip
Huyu mbunge wanamcheka maana hawmuelewi ila anasema sana inafikua hatua mtoto unamfundisha jambo anaona unamonea KWAKUA anaona jambo gen ifikie wakati mitaala ibadilike ipatikane elimu ya kujitegemea
Mi nafikiri wancheka kinachofanyika katika elimu yetu na uhalisia anaowaambia ambao hawakutarajia!
Tunatengeneza kizaz cha ajabu cha watoto kuongea kingereza hawaz kaz yeyote na akili za kujisimamia hawana zaid ya kuvaa mlegezo mung atuokoe😂😂😂😂
Mimi nilijaribu kutengeneza funza wakuku marshall nili wini sana kuku walinenepa sana nilipata vitoweo vyenye nyama Safi kabisa
Ilo jamaa lilokaribiana nakishimba kulia sijui linaelewa man linapiga meze tu sijamuelewa😅
Mzee unasema kweli lakin sidhani kama wanakuelewa wahusika
Huyu mbunge nondo sana selikari imwangalie kwa jicho la 3 kwa kweli nampenda kabisa
Wasimpe uwaziri labda hawe raisi wetu uwaziri itakuwa aongei Tena izo hoja so unaona bashe yupo kimya
Elimu ya darasa la saba ni elimu na akili ya Mtu haikuwa kuwa ya kiwango Cha vipimo vya elimu za kidunia
Watu wanaotumia elimu na watu wanao tumia akili ni vitu viwili tofauti
Hii inaitwa "tacit knowledge" haiwezi kupatikana mashuleni bali kwa wazee ndani ya jumuiya -'comminity knowledge
Mheshimiwa Kishimba biblia inasema,"Mpanzi alipokua akipanda mbegu shambani mwake zingine zilianguka njiani hazikuota kwa kuwa zililiwa na ndege,zingine zilianguka vichakani zilipoanza kuota zikazongwa na miti ya miiba zikafa.Zilizo ota Ni zile zilizoanguka kwenye udongo mzuri. Wapiga kura wa Jimbo lako walipata bahati wewe ulioto penye udongo mzuri. Sina hakika Kama hizi zilizoanguka njiani,na zingine vichakani penye michongoma ya miiba mtaelewana. Nasubiri muujiza huo.
The thinking of this guy he should be the President of the Country. Is what we call critical thinking
Shida chama ulichoko hamna mbadala hata ungesemaje
Wacha ujanja. Mnamute nini au hamtaki watu wapate maarifa ila nyie mfaidike na MB zao?
Hui ndio uzalendo wakujali watanzania kwaujumla...ndugu mbunge hao wanafunzi hawawezi kuijenga nichi hii kwasababu wanakuja na nia yakuiba nakuishi vizuri na familia zao tu ,hata hao wabunge wengine wajuwa mabaya mengi lakini wananyamazia mashine za kamari zimetapakaa mijini na vijijini mwao zinafilisi wa tz. Et zinalipa kodi mazara nimakubwa kulko kinachopatikana...mfano mashine zote kwa mwaka 1 mmilki alipe bln 1 kod yeye anapata trillion 2 na wtz kubaki na vibaka na wengine kuwa maskini kbs.. Mubunge makini lisemee na hili pia
Sema huyu jamaa ana akili kuliko wabunge wote
Kahama mbunge tunae nakukubali
Huyu Mbunge Kishimba sina uhakika kama wasomi wetu wizarani wanamwelewa!
Hiyo system ya kutengeza mbolea isiyokuwa na side-effects kwa mimea nakumbuka tulikuwa tunafundishwa shule ya msingi kuanzia darasa la nne miaka ya zamani na kweli ilikuwa inasaidia sana kabla ya kuleta hizi mbolea za viwandani ambazo zimechangia sana kuua mbegu zetu za asili hasa kwenye migomba,kahawa na mazao mengine.
Wizara ya Elimu msidharau huo ushauri wake kwa vile ni wa std.7,huyo Mzee ni-rich in innovation and assertiveness.
Na ndiyo maana anaendesha biashara za kimataifa bila kuteteleka.
Endelea hivyo hivyo mzee.
Halafu tumekuwa ni watu wakuzikiwa ndoto zetu jamani huu mfumo wa elimu hapa kwetu daah
Mzee huyu kajaliwa hekima ya kimawazo
Mafuta ya maziwa nan atatumia mzee😂
Mabadiliko makubwa sekta ya elimu yanhitajika badala kujenga daraja la kwenda znz la kupita wajinga.
Mbunge wa majimbo yote tanzania
Aliye haribu elimu ni samia na gurup lake maana walimu wengi hawaajibiki kufundisha maana amewalea
We ni kenge nn kafundishe wew
We ni mwehu Samia aharibu elimu mtu mwenyewe ana mwaka mmoja serikalini mjue elimu ni mfumo si mtu we una matatizo na samia
@@issarashidiferuziferuzi9201 wewe ni nyang'au ningekuwa mwehu nisingemuowa mama yaka ukazaliwa nyambafu niheshimu mimi ndiyo baba yako
Koma wewe kalenguruwe ulale
@@saidsaidtanga425 hata hivyo tangu udondokee chooni akili yako haijatulia nyang'au wewe