PROF. KISHIMBA ATOA KALI AWAVUNJA MBAVU WABUNGE "TUNASHINDWA KUTENGENEZA MINYOO?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 май 2022
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 58

  • @christowajamtinda8667
    @christowajamtinda8667 2 года назад +2

    Mungu akubariki Mheshimiwa. Wewe umekuwa mbunge mzalendo sana na unaitendea haki nafasi yako. Hongera wana Kahama kuwa na mbunge jembe!

    • @LoxloxJuma
      @LoxloxJuma Год назад

      Kabisa uyu jamaa namkubali sna

    • @bujagajeremiah4308
      @bujagajeremiah4308 10 месяцев назад

      Kishimba anajitahidi sana ndo maana Kahama imekuwa Manispaa

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Год назад

    Kuna watu nchi ii niwapumbafu sijawahi ona tunateseka na watu wasiokuwa na Akili kwa kuomba Kura.
    Kuna nguvu kubwa katika uyu mutu Sana.
    Mungu akuinue uwe waziri mkuu

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 2 года назад +3

    Kishimbi hivi selikali huwa inakuelewa kweli ama wanakuona kama mchekeshaji tu siku zambele huko watakuja kukumbuka

  • @venseslausmtanila1766
    @venseslausmtanila1766 2 года назад +4

    Kishimba unafaa uraisi unauchungu kama magufuli. Viongozi bado tunao ila roho mbaya kwenye teuzi zetu.

  • @martinmwakila6992
    @martinmwakila6992 2 года назад +1

    Great mind

  • @robertmhidze1036
    @robertmhidze1036 Год назад

    This man has very practical mind. I hope they will take hia advisd serously.

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 2 года назад +2

    Ukweli kabisa elimu has to change tuachane na elimu ya kikoloni

  • @bujagajeremiah4308
    @bujagajeremiah4308 10 месяцев назад

    Mweshimiwa Kishimba umekuwa ni mtu wa mawazo yangu kabisa kuhusiana na Elimu ya Tanzania. Mungu atusaidie kwa kweli

  • @piuspanga864
    @piuspanga864 2 года назад

    Hongera sana Hon. Prof. Kishimba

  • @eliasemmanuel3295
    @eliasemmanuel3295 2 года назад +4

    Najivunia kuwa na mbunge mwenye mawazo chanya... Miaka 5 tena

  • @majidukalugendo4738
    @majidukalugendo4738 2 года назад +3

    Mzee Kishimba wewe ndiye msomi haswa. Unafaa kuwa Naibu Waziri ili mkiunganisha mawazo lazima watoto wetu wataachana na utamaduni wa kimagharibi ambao kimsingi ndio unaotupora kila tulichonacho. Marehemu Rais wetu Magufuli alikuwa ameshaanza kuziangazia hizi wizara juu ya mabadiliko. Heko Mhe. Kishimba

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 2 года назад +1

    Jamaa anaakili sana

  • @joctanmtambi895
    @joctanmtambi895 2 года назад

    Prof Kama Prof nakupendaga sana

  • @pilisonje8944
    @pilisonje8944 Год назад

    Big. Up MH kishimba

  • @ernestmtuya7941
    @ernestmtuya7941 Год назад

    Hongera zako mheshimiwa Kishimba
    Viongozi wahusika wayachukue mawazo ya huyu mbunge na kuyafanyia haraka sana maana ni muhimu

  • @isaacthomas7888
    @isaacthomas7888 2 года назад

    Point sana mzee

  • @frankedwardmhoza6613
    @frankedwardmhoza6613 2 года назад +1

    Maarifa ulionayo mzee kishimba niukombozi wa kifikiri kwa watanzania wote na Afrika kwa ujumla kwenye swala la elimu ya kujitegemea ila usiwe na Shaka kwa maana watakuelewa na kubadilisha mtahara wa Elimu

  • @bujagajeremiah4308
    @bujagajeremiah4308 10 месяцев назад

    Namuona Mweshimiwa Mbunge wa jimbo la Kwimba Mheshimiwa Mansoor naomba atusaidie bhana kule Kwimba hakuna Umeme

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 Месяц назад

    Huyu mzee ni Konki aisee! Hizo nondo anazoshusha.....aaaaa! Ni nzito....

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Год назад

    Una akili ya maisha Kishimba, safi sana!

  • @emmanuelbaynit8528
    @emmanuelbaynit8528 2 года назад

    Joja nzuri Sana pongezi kwako mhe!

  • @LoxloxJuma
    @LoxloxJuma Год назад

    Uyu jamaa namkubali sana point zako ila swala labandari kisimba upo kimya naww tunakutegemea tz upo kimya vip

  • @seifomar8297
    @seifomar8297 2 года назад +2

    Huyu mbunge wanamcheka maana hawmuelewi ila anasema sana inafikua hatua mtoto unamfundisha jambo anaona unamonea KWAKUA anaona jambo gen ifikie wakati mitaala ibadilike ipatikane elimu ya kujitegemea

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Год назад

      Mi nafikiri wancheka kinachofanyika katika elimu yetu na uhalisia anaowaambia ambao hawakutarajia!

  • @aminamwiru7605
    @aminamwiru7605 4 месяца назад

    Tunatengeneza kizaz cha ajabu cha watoto kuongea kingereza hawaz kaz yeyote na akili za kujisimamia hawana zaid ya kuvaa mlegezo mung atuokoe😂😂😂😂

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 Год назад

    Mimi nilijaribu kutengeneza funza wakuku marshall nili wini sana kuku walinenepa sana nilipata vitoweo vyenye nyama Safi kabisa

  • @LoxloxJuma
    @LoxloxJuma Год назад

    Ilo jamaa lilokaribiana nakishimba kulia sijui linaelewa man linapiga meze tu sijamuelewa😅

  • @mussashabani2924
    @mussashabani2924 2 года назад

    Mzee unasema kweli lakin sidhani kama wanakuelewa wahusika

  • @isaacchalamila
    @isaacchalamila Год назад

    Huyu mbunge nondo sana selikari imwangalie kwa jicho la 3 kwa kweli nampenda kabisa

    • @LoxloxJuma
      @LoxloxJuma Год назад

      Wasimpe uwaziri labda hawe raisi wetu uwaziri itakuwa aongei Tena izo hoja so unaona bashe yupo kimya

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад

    Elimu ya darasa la saba ni elimu na akili ya Mtu haikuwa kuwa ya kiwango Cha vipimo vya elimu za kidunia
    Watu wanaotumia elimu na watu wanao tumia akili ni vitu viwili tofauti

  • @camilusthomaslekule9282
    @camilusthomaslekule9282 Год назад

    Hii inaitwa "tacit knowledge" haiwezi kupatikana mashuleni bali kwa wazee ndani ya jumuiya -'comminity knowledge

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Год назад

    Mheshimiwa Kishimba biblia inasema,"Mpanzi alipokua akipanda mbegu shambani mwake zingine zilianguka njiani hazikuota kwa kuwa zililiwa na ndege,zingine zilianguka vichakani zilipoanza kuota zikazongwa na miti ya miiba zikafa.Zilizo ota Ni zile zilizoanguka kwenye udongo mzuri. Wapiga kura wa Jimbo lako walipata bahati wewe ulioto penye udongo mzuri. Sina hakika Kama hizi zilizoanguka njiani,na zingine vichakani penye michongoma ya miiba mtaelewana. Nasubiri muujiza huo.

  • @mako331
    @mako331 Год назад +1

    The thinking of this guy he should be the President of the Country. Is what we call critical thinking

  • @davidmhagama3319
    @davidmhagama3319 Год назад

    Shida chama ulichoko hamna mbadala hata ungesemaje

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM 2 года назад +1

    Wacha ujanja. Mnamute nini au hamtaki watu wapate maarifa ila nyie mfaidike na MB zao?

  • @kennedysteven9957
    @kennedysteven9957 Год назад

    Hui ndio uzalendo wakujali watanzania kwaujumla...ndugu mbunge hao wanafunzi hawawezi kuijenga nichi hii kwasababu wanakuja na nia yakuiba nakuishi vizuri na familia zao tu ,hata hao wabunge wengine wajuwa mabaya mengi lakini wananyamazia mashine za kamari zimetapakaa mijini na vijijini mwao zinafilisi wa tz. Et zinalipa kodi mazara nimakubwa kulko kinachopatikana...mfano mashine zote kwa mwaka 1 mmilki alipe bln 1 kod yeye anapata trillion 2 na wtz kubaki na vibaka na wengine kuwa maskini kbs.. Mubunge makini lisemee na hili pia

  • @brainsngaugula6075
    @brainsngaugula6075 2 года назад +3

    Sema huyu jamaa ana akili kuliko wabunge wote

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 2 года назад

    Kahama mbunge tunae nakukubali

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 2 года назад +2

    Huyu Mbunge Kishimba sina uhakika kama wasomi wetu wizarani wanamwelewa!
    Hiyo system ya kutengeza mbolea isiyokuwa na side-effects kwa mimea nakumbuka tulikuwa tunafundishwa shule ya msingi kuanzia darasa la nne miaka ya zamani na kweli ilikuwa inasaidia sana kabla ya kuleta hizi mbolea za viwandani ambazo zimechangia sana kuua mbegu zetu za asili hasa kwenye migomba,kahawa na mazao mengine.
    Wizara ya Elimu msidharau huo ushauri wake kwa vile ni wa std.7,huyo Mzee ni-rich in innovation and assertiveness.
    Na ndiyo maana anaendesha biashara za kimataifa bila kuteteleka.
    Endelea hivyo hivyo mzee.

    • @bujagajeremiah4308
      @bujagajeremiah4308 10 месяцев назад

      Halafu tumekuwa ni watu wakuzikiwa ndoto zetu jamani huu mfumo wa elimu hapa kwetu daah

  • @josephamos6636
    @josephamos6636 2 года назад

    Mzee huyu kajaliwa hekima ya kimawazo

  • @shijaenock7638
    @shijaenock7638 Год назад

    Mafuta ya maziwa nan atatumia mzee😂

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Год назад

    Mabadiliko makubwa sekta ya elimu yanhitajika badala kujenga daraja la kwenda znz la kupita wajinga.

  • @frankmaneno8805
    @frankmaneno8805 2 года назад +1

    Mbunge wa majimbo yote tanzania

  • @bonifansimatias6951
    @bonifansimatias6951 2 года назад

    Aliye haribu elimu ni samia na gurup lake maana walimu wengi hawaajibiki kufundisha maana amewalea

    • @emanuelsafari4910
      @emanuelsafari4910 2 года назад +1

      We ni kenge nn kafundishe wew

    • @issarashidiferuziferuzi9201
      @issarashidiferuziferuzi9201 2 года назад

      We ni mwehu Samia aharibu elimu mtu mwenyewe ana mwaka mmoja serikalini mjue elimu ni mfumo si mtu we una matatizo na samia

    • @bonifansimatias6951
      @bonifansimatias6951 2 года назад

      @@issarashidiferuziferuzi9201 wewe ni nyang'au ningekuwa mwehu nisingemuowa mama yaka ukazaliwa nyambafu niheshimu mimi ndiyo baba yako

    • @saidsaidtanga425
      @saidsaidtanga425 2 года назад

      Koma wewe kalenguruwe ulale

    • @bonifansimatias6951
      @bonifansimatias6951 2 года назад

      @@saidsaidtanga425 hata hivyo tangu udondokee chooni akili yako haijatulia nyang'au wewe