Mzee kishimba uko vzr sn tena hata wazee na watoto hawatibiwi bure tena nimepeleka babu yangu hospitali nikambiwa nitoe hela hichi unachochangia kinahitaji kuangaliwa kwa jicho la tatu
Ukitaka kujua tofauti ya akili na elimu msikilize prof. Kishimba intelligent person,,, kama kipindi Cha mwalimu Nyerere Hali ya uchumi ilikuwa chini sana baada ya kuwa huru, lakini historia inaonyesha enzi za mwalimu watu walisoma Bure from primary level to university......na wapo viongozi wakubwa wakitaifa wa Sasa walisomeshwa for free. Kwa Sasa Pato la taifa linaongezeka tulipotoka sipo tulipo Kwa Sasa japo kuwa watu wanaongezeka,, lakini serikali inajambo la kuwasaidia wananchi wake, hasa la huduma ya afya Bure Ili kunusuru wanaokufa Kwa kukosa pesa ya kupata huduma.
Kwa kweli watu wengi wanapoteza maisha sababu kukosa matibabu na dawa masikini unaenda hospital unaambiwa milion 1 hadi zinafika canser moyo figo ini haya maradhi wengi wanakosa matibabu Yarabby stara 😭
Mgonjwa yupo kitandani anaumwa au anadaiwa pesa ya madawa na hawezi kuruhusiwa mpk alipe pesa ile huku mbunge anataka apigiwe kula mtujari sisi wapiga kula wenu hapo mlipo mmebqdirisha muoneka wa nyumbani mpk afya zenu lakini bado mnatudharau sisi
I love kishimba hakika mungu akuweke uendelee kutupigania wanyonge, maana adi mahiti inadaiwa muhimbili bila ya pesa uwezi mzika ndugu yako.
Heeeeh Mashallah Yaani yangekua yanafanyiwa kazi maneno ya muheshimiwa kishimba ugumu wa maisha Kidogo ungepungua
Mungu ambariki sna Mh Kishimba
Utulivu wa mwili na akili nyingi big up sana mheshimiwa Kishimba
Hakika hyu ni mwakilishi wa wananchi
Mzee kishimba uko vzr sn tena hata wazee na watoto hawatibiwi bure tena nimepeleka babu yangu hospitali nikambiwa nitoe hela hichi unachochangia kinahitaji kuangaliwa kwa jicho la tatu
BARIKIWA SANAAA baba yetu
MUNGU akuweke
MUNGU ayabariki maneno yako
Yani serikali yetu ikimzikiliza kweli makini anasema ukweli uyu mubunge mungu akubariki sana
kwann kila siku watu wakanda ya ziwa ndo uwa wanaongea ukwel
Fredrick Daudy...kwa sababu sio wanafiki
@@mamboshepea8888 umemjibu vizuri sana
Wewe ni genius kishimba
Namkubali sana mzee wetu kishimba. Anasema ukweli uliopo kwenye jamii,
Ukitaka kujua tofauti ya akili na elimu msikilize prof. Kishimba intelligent person,,, kama kipindi Cha mwalimu Nyerere Hali ya uchumi ilikuwa chini sana baada ya kuwa huru, lakini historia inaonyesha enzi za mwalimu watu walisoma Bure from primary level to university......na wapo viongozi wakubwa wakitaifa wa Sasa walisomeshwa for free.
Kwa Sasa Pato la taifa linaongezeka tulipotoka sipo tulipo Kwa Sasa japo kuwa watu wanaongezeka,, lakini serikali inajambo la kuwasaidia wananchi wake, hasa la huduma ya afya Bure Ili kunusuru wanaokufa Kwa kukosa pesa ya kupata huduma.
Uko sawa ndugu
Wachangiaji kama wewe, ndio mnapoashwa kuchangia hoja.
Mungu akubariki mbunge kishimba😘😘 maneno kuntu
Baba... Uko sawa hoja zako zinatafakurisha.... Tunahitaji viongozi wenye maono hats Kama hawakupata elimu ya juu...
Huyu mzee mungu amjalie aishi maisha malefu kunawabunge wengine wapo tu wanaangalia matumbo yao tu
Wow! Huyu jamaa anaakili nyingi sana! Ivi uyo naibu waziri, hovyo sana. Akili ya mtumwa ndo anayo.Ajibu kama kuchimba madini na kuotesha miti, kipi kigumu
Uyo Mzee kishimba utazani chadema kipindi cha Lema msigwa Lisu maana ana akili kubwa sana anaongea ukweli mtupu
Huyu jamaa ni profesa kabsa
Point sana mkaa ni ajira
Daah baba 🙌 🙏 sina budi kusema nakupenda ni ukweli usio pingika umeongea pont sana
Hahahah ishi milelel mbunge wetu! Wa kham kahama oyeeeeee kishimba oyeeeee
Kwa kweli watu wengi wanapoteza maisha sababu kukosa matibabu na dawa masikini unaenda hospital unaambiwa milion 1 hadi zinafika canser moyo figo ini haya maradhi wengi wanakosa matibabu Yarabby stara 😭
Ila kwa maneno yako mepesi na yakueleweka serikali ingeyachukua kwa kweli tungefika mbali sana
Safi sana mheshimiwa
Uyo mbunge ajengewe sanamu lake maana ameongea mambo ya msingi na yanayo tuzunguka wote maskin
Mzee kishimba huwa wanakudhalau sana ila unaongea pointi sana nakuunga mkono mzeee
Kishimba mbunge was Taifa dhahabu inayo pumua kutoka Kahama Kagongwa Tanzania, Mbunge wangu hongera kwa kutuwakirisha vema.
Mbunge bora anayejenga hoja za maana..!!
Mwigulu chemba siomutuuu huyo simupendi huyo jamaa
Akili kubwa sana huyu mzee
Allha akbar... mashaallha
Huyu mbunge namkubali sana wananchi wa kahama wamefanya cahaguo sahihi
Lake zone
Uko sahihi mh
Mtu kama uyu sio wa kudharau hajasomq lkn anaongea vitu vya msingi kuliko hao wenye madigrii yao safi sana mzee wa imalaseko super market.
uprofesa ameupataje?
Mgonjwa yupo kitandani anaumwa au anadaiwa pesa ya madawa na hawezi kuruhusiwa mpk alipe pesa ile huku mbunge anataka apigiwe kula mtujari sisi wapiga kula wenu hapo mlipo mmebqdirisha muoneka wa nyumbani mpk afya zenu lakini bado mnatudharau sisi
Kichwa.
Aisee kishimba wewe unamadini yaukweli
Wabunge wengi wa ccm ni mburula, isipokuwa Mh kishimba pekee.
Ivi kweli mda wote CCM Mmeshindwa kujfunza lolote kutoka kwake?
mzeee anaongea vitu vinavyofanywa na wananchi wa chini ww unaongea mambo ya mitambo
Hii nisawa nakuruhusu rizila ukakataza bangi
Vichwa vyetu wa Tz tupimwe akili
Hii serikali ya c.c.m na mama yake samia
Jamani mimi kwakweli huyu mzee nampenda sana