KISHIMBA AMWAMBIA NAIBU WAZIRI ''MSITUFANYE SISI AMBAO HATUJASOMA HATUNA UWEZO WA KUFIKIRI''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 июн 2022

Комментарии • 49

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 2 года назад +4

    I love kishimba hakika mungu akuweke uendelee kutupigania wanyonge, maana adi mahiti inadaiwa muhimbili bila ya pesa uwezi mzika ndugu yako.

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 2 года назад +1

    Heeeeh Mashallah Yaani yangekua yanafanyiwa kazi maneno ya muheshimiwa kishimba ugumu wa maisha Kidogo ungepungua

  • @rumonajarufu1346
    @rumonajarufu1346 2 месяца назад

    Mungu ambariki sna Mh Kishimba

  • @achiliadinan430
    @achiliadinan430 Год назад +1

    Utulivu wa mwili na akili nyingi big up sana mheshimiwa Kishimba

  • @davidjohn8908
    @davidjohn8908 Год назад +1

    Hakika hyu ni mwakilishi wa wananchi

  • @alexkimaro2886
    @alexkimaro2886 2 года назад +2

    Mzee kishimba uko vzr sn tena hata wazee na watoto hawatibiwi bure tena nimepeleka babu yangu hospitali nikambiwa nitoe hela hichi unachochangia kinahitaji kuangaliwa kwa jicho la tatu

  • @beatricemdoe2850
    @beatricemdoe2850 Год назад

    BARIKIWA SANAAA baba yetu
    MUNGU akuweke
    MUNGU ayabariki maneno yako

  • @sanyajuutv2679
    @sanyajuutv2679 2 года назад +1

    Yani serikali yetu ikimzikiliza kweli makini anasema ukweli uyu mubunge mungu akubariki sana

  • @fredrickdaudy4798
    @fredrickdaudy4798 2 года назад +7

    kwann kila siku watu wakanda ya ziwa ndo uwa wanaongea ukwel

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 года назад +1

      Fredrick Daudy...kwa sababu sio wanafiki

    • @wazirie4070
      @wazirie4070 2 года назад

      @@mamboshepea8888 umemjibu vizuri sana

  • @handnewstv156
    @handnewstv156 2 года назад +1

    Wewe ni genius kishimba

  • @GwekuMaheku-uo6qx
    @GwekuMaheku-uo6qx Год назад

    Namkubali sana mzee wetu kishimba. Anasema ukweli uliopo kwenye jamii,

  • @andersonmutta3807
    @andersonmutta3807 2 года назад +4

    Ukitaka kujua tofauti ya akili na elimu msikilize prof. Kishimba intelligent person,,, kama kipindi Cha mwalimu Nyerere Hali ya uchumi ilikuwa chini sana baada ya kuwa huru, lakini historia inaonyesha enzi za mwalimu watu walisoma Bure from primary level to university......na wapo viongozi wakubwa wakitaifa wa Sasa walisomeshwa for free.
    Kwa Sasa Pato la taifa linaongezeka tulipotoka sipo tulipo Kwa Sasa japo kuwa watu wanaongezeka,, lakini serikali inajambo la kuwasaidia wananchi wake, hasa la huduma ya afya Bure Ili kunusuru wanaokufa Kwa kukosa pesa ya kupata huduma.

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 2 года назад

    Mungu akubariki mbunge kishimba😘😘 maneno kuntu

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад +1

    Baba... Uko sawa hoja zako zinatafakurisha.... Tunahitaji viongozi wenye maono hats Kama hawakupata elimu ya juu...

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 2 года назад +1

    Huyu mzee mungu amjalie aishi maisha malefu kunawabunge wengine wapo tu wanaangalia matumbo yao tu

  • @wazirie4070
    @wazirie4070 2 года назад

    Wow! Huyu jamaa anaakili nyingi sana! Ivi uyo naibu waziri, hovyo sana. Akili ya mtumwa ndo anayo.Ajibu kama kuchimba madini na kuotesha miti, kipi kigumu

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад +3

    Uyo Mzee kishimba utazani chadema kipindi cha Lema msigwa Lisu maana ana akili kubwa sana anaongea ukweli mtupu

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance1833 2 года назад +1

    Huyu jamaa ni profesa kabsa

  • @crackermusic9717
    @crackermusic9717 Год назад

    Point sana mkaa ni ajira

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад

    Daah baba 🙌 🙏 sina budi kusema nakupenda ni ukweli usio pingika umeongea pont sana

  • @paulofesto7812
    @paulofesto7812 2 года назад +1

    Hahahah ishi milelel mbunge wetu! Wa kham kahama oyeeeeee kishimba oyeeeee

  • @Awatee
    @Awatee 2 года назад +1

    Kwa kweli watu wengi wanapoteza maisha sababu kukosa matibabu na dawa masikini unaenda hospital unaambiwa milion 1 hadi zinafika canser moyo figo ini haya maradhi wengi wanakosa matibabu Yarabby stara 😭

  • @vpangani1036
    @vpangani1036 Год назад

    Ila kwa maneno yako mepesi na yakueleweka serikali ingeyachukua kwa kweli tungefika mbali sana

  • @maribaisack2097
    @maribaisack2097 2 года назад +1

    Safi sana mheshimiwa

  • @vaskosamweli3556
    @vaskosamweli3556 2 года назад +2

    Uyo mbunge ajengewe sanamu lake maana ameongea mambo ya msingi na yanayo tuzunguka wote maskin

  • @iddyngaiwa
    @iddyngaiwa 2 года назад +1

    Mzee kishimba huwa wanakudhalau sana ila unaongea pointi sana nakuunga mkono mzeee

  • @benedictdeogratius4653
    @benedictdeogratius4653 Год назад

    Kishimba mbunge was Taifa dhahabu inayo pumua kutoka Kahama Kagongwa Tanzania, Mbunge wangu hongera kwa kutuwakirisha vema.

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 2 года назад +1

    Mbunge bora anayejenga hoja za maana..!!

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Mwigulu chemba siomutuuu huyo simupendi huyo jamaa

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 2 года назад +1

    Akili kubwa sana huyu mzee

  • @sautiyangu1
    @sautiyangu1 Год назад

    Allha akbar... mashaallha

  • @mbogasaid4621
    @mbogasaid4621 2 года назад

    Huyu mbunge namkubali sana wananchi wa kahama wamefanya cahaguo sahihi

  • @shemelsyi6081
    @shemelsyi6081 2 года назад +1

    Lake zone

  • @vpangani1036
    @vpangani1036 Год назад

    Uko sahihi mh

  • @husseinhassani2347
    @husseinhassani2347 2 года назад +1

    Mtu kama uyu sio wa kudharau hajasomq lkn anaongea vitu vya msingi kuliko hao wenye madigrii yao safi sana mzee wa imalaseko super market.

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад

      uprofesa ameupataje?

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад

    Mgonjwa yupo kitandani anaumwa au anadaiwa pesa ya madawa na hawezi kuruhusiwa mpk alipe pesa ile huku mbunge anataka apigiwe kula mtujari sisi wapiga kula wenu hapo mlipo mmebqdirisha muoneka wa nyumbani mpk afya zenu lakini bado mnatudharau sisi

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 года назад

    Kichwa.

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Год назад

    Aisee kishimba wewe unamadini yaukweli

  • @ericksagara1719
    @ericksagara1719 2 года назад

    Wabunge wengi wa ccm ni mburula, isipokuwa Mh kishimba pekee.
    Ivi kweli mda wote CCM Mmeshindwa kujfunza lolote kutoka kwake?

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 Год назад

    mzeee anaongea vitu vinavyofanywa na wananchi wa chini ww unaongea mambo ya mitambo

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku8336 2 года назад

    Hii nisawa nakuruhusu rizila ukakataza bangi

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance1833 2 года назад

    Vichwa vyetu wa Tz tupimwe akili

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад

    Hii serikali ya c.c.m na mama yake samia

  • @venseslausmtanila1766
    @venseslausmtanila1766 2 года назад

    Jamani mimi kwakweli huyu mzee nampenda sana