Dakika 10 za Kishimba mbele ya MAPROFESA wa Tanzania kwenye kongamano la mitaala na sera ya elimu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • 10:05
    Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba akitoa maoni yake kwenye kongamano la sera na mitaala ya elmu Tanzania leo Jumapili Mei 14, 2023 jijini Dodoma.

Комментарии • 104

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa Год назад +12

    Dah! Umezingumzia uhalisia wa maisha yetu na elimu tuliyonayo. You are the real professor.

  • @tanzaniafxlab
    @tanzaniafxlab Год назад +5

    Hii ni point kubwa sana, kuwafundisha watu waweze kuishi, sio kusoma bila uwezo wa kujitegemea

  • @GAITANNGUNDA
    @GAITANNGUNDA 4 месяца назад +2

    Asante profesa Kishimba unazungumzia uhalisia kabisa

  • @mrsmile5425
    @mrsmile5425 Год назад +16

    Hata kama hawajampa udaktari wa heshima sisi wananchi tumeshampa uproffesor

  • @leonardchoma3765
    @leonardchoma3765 Год назад +11

    Mzee Kishimb ni Mtanzania wa pekee sana.Akili yake ni ya kimapinduzi Sana.

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku1096 Год назад +6

    Constructive thinking. You are a blessed fellow. Unatufikirisha nje ya box. Aksante sana Mhe. Kishimba

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад +1

      Afu mnawapa udokta wakina tale

    • @chiefchacha2992
      @chiefchacha2992 Год назад

      @@fahadfaraj6474 Tale..!!??
      Tale gani mwanangu?

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад

      @@chiefchacha2992 babu tale si alipewa udaktari wa heshma

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 Год назад +6

    Huyu ndo awe M/Kiti wa maprofesa Tz 👏 👏

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 11 месяцев назад

    Mzee Mungu akupe maisha,
    Kwakweli watoto wachuo sasaivi akirudi nyumbani uwezi kumuacha dukani vocha huzikuti.

  • @blassabdon8241
    @blassabdon8241 Год назад +4

    Master Kishimba, mzee ana maono chanya sana. Ana akilo nyingi mnoo.

  • @juliusbutindi6222
    @juliusbutindi6222 Год назад +7

    Proud of you Mh. Mbunge wangu

  • @meshackwilfred5380
    @meshackwilfred5380 Год назад +5

    Real contents of life
    Much kudos this wise man with golden mindset

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Год назад +6

    Nashangaa ubongo wa huyu mzee wangu unajaaje katika fuvu lake. Ana ubongo MKUBWA sana. Anazungumza mambo ya "mtaani" kabisa.

  • @ROBERT75376
    @ROBERT75376 Год назад +17

    Siku moja niliota huyu mheshimiwa amekua kiongozi mkubwa sana! Natamani hiyo ndoto ije iwe kweli.

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 Год назад

      Ni ngumu kumpatia uongozi mkubwa maana anaga uongozi wakisiasa kanyooka na siasa zetu za Tanzania zinataka kugeuza geuza mambo.

    • @azizirubelwa2992
      @azizirubelwa2992 Год назад

      @@philemonmagesa5548 Umesema kweli Ili watu wale lazima kijiko ukiite chepe hapo itaonekana uko sawa na umekuwa

  • @frankndendu2570
    @frankndendu2570 Год назад +9

    The real professor 👏

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 Год назад +11

    Hii akili ni Kubwa sanaa kuliko mawazo yetu

  • @SuleimanMohamed-Alkhusaib
    @SuleimanMohamed-Alkhusaib Год назад +8

    Mzee Huyu Ana Akili sana.. Tatizo mawazo yake hayafanyiwi kazi tuu kwakweli

  • @princes6045
    @princes6045 Год назад +1

    Wise man

  • @norascomulenzi222
    @norascomulenzi222 Год назад +3

    Big brain

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Год назад +5

    Hakika Kishimba ni Profesa

  • @kangaelias7782
    @kangaelias7782 Год назад

    Asilimia 100, Nakukubali sana profesa kishimba

  • @josephrobert7725
    @josephrobert7725 Год назад

    Huyu Mzee ukipata muda wa kumsikiliza ni wa tofauti sana na ni asset kubwa sana kwa Taifa letu

  • @SinguMahona-hy7ud
    @SinguMahona-hy7ud Год назад

    Mimi singu mahona nakupongeza Sana kishimba mungu akubariki

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 11 месяцев назад

    Ni kweli kabisa mtoto ambaye anaejua kufanya KAZI huwa hapendi rushwa

  • @nelsonchristian1555
    @nelsonchristian1555 Год назад +1

    Proud of kahama

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 Год назад +1

    Safi kabisa kishimba

  • @SakaMaduhu-uf5dt
    @SakaMaduhu-uf5dt Год назад

    Very nice speech

  • @josephg.mwangamila4865
    @josephg.mwangamila4865 Год назад +3

    Mtazamo wa Mzee Kishimba ni kwamba hilo andiko halijaingiza mabadiliko ya msingi kwa elimu yetu. Inabidi lifanyiwe kazi kubwa zaidi. Ni kweli kabisa. Kazi bado ni kubwa liboreshwe.
    Aina ya wajumbe pia inaweza kusababisha tusipate kitu bora.
    Hiyo kazi inataka watu wenye upeo na mawazo mapana na siyo kiwango kikubwa cha elimu tu .
    Ningetamani Mzee Kishimba awe kati ya wenyeviti wakuu wa kamati hiyo !

  • @mazaramatucha
    @mazaramatucha Год назад +1

    Anzia hapa
    1.Idealism 2.Realism 3.Pragmatism 3. Reconstructionism 4 . Progressivism Sasa aina ya elimu, wanafunzi, waalimu,, shule na mtaala na mbinu za kufundisha zinategemea falsafa tunayoichukua.

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 Год назад +5

    Hajawahi kuongea Pumba huyu mzee.. Japo wapo wasioweza kumuelewa

  • @constantinochalle856
    @constantinochalle856 Год назад

    Yes boss,,, kahama one"""""

  • @catherinepenbin6780
    @catherinepenbin6780 11 месяцев назад

    Sasa naomba kuuliza physics ina application gani kwenye nursing?Current electricity,etc vinahusika gani humu.Hebu tubadilike.

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 Год назад

    Good speach

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 Год назад +1

    daa mr.kishimba unakalisha hadi ma profesa .???????👊👊👊👊👊👊🙏

  • @frenkfarm
    @frenkfarm Год назад

    safi sana sana sanaaa 💪

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Год назад +6

    Elimu inafundisha watafuta fedha sio wenye maarifa ya kujua mifumo ya uchumi' na ya uzalishaji mali na namna ya kuibadili na kuendesha wakati fedha sio msingi WA maendeleo ni matokeo TU. imf kwa sababu ya misaada Yao wamesema serikali ijitoe kwenye uzalishajiyaani mifumo ya uchumi ikadanganyika mifumo ya uchumi inatawaliwa na watu wao ndo maana imeweka mitaala ya kufundisha wajiriwa na WA kujiajiri hao ni money hunter( mafisadi ) na watumwa wasio na mbinu ya kuishi kwa kutumia mazingira yao

  • @peacechodile8578
    @peacechodile8578 Год назад +3

    Tanzania tumpe nchi huyu jamaaa

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 Год назад +2

    Daaah!!

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Год назад +2

    Kishimba ni moto

  • @kiatu
    @kiatu Год назад +1

    Genius

  • @josephmalila4793
    @josephmalila4793 Год назад

    Salute

  • @RamondLema-po6py
    @RamondLema-po6py Год назад

    KWELI VITENDO HUZIDI MANENO - ASANTE

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 Год назад +1

    Nakukubali kwa hoja na mawazo yako

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 Год назад +1

    Daa, huyu mzee huyu...., always anafikiria visivyo fikirika na wengine yaani. Kwamba Ulaya wanafunga shule wakati wa baridi, why na sisi tusifunge wakati wa mvua? We mzee ni profesa kabisa

  • @stephanosimkoko630
    @stephanosimkoko630 Год назад

    Huyu mzee namkubali sana

  • @johnluis35
    @johnluis35 Год назад +1

    Elimu ya tanzania ni historia ya matukio ya wazungu na uvumbuzi wao

    • @mcwaya
      @mcwaya Год назад

      Ukweli mtupu

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 Год назад +1

    Ni kweli, elimu ya ujasliamali hiyo, ifundishwe kwenye mitaala yetu. Mfano kuna kitabu kimoja cha Mchungaji wa Kisabato anaitwa Kenani Mwasomola, kinaelezea kujitoa kwenye umasikini, kinaeleza kabisa ukilima mti wa parachichi mmoja kwa gharama fulani baada ya muda fulani utavuna maparachichi Kadhaa na utaingiza pesa kiasi kadhaa, n.k.

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 Год назад

    Genius Kishimba. Wadau Wa mazoezi mpo? Piteni hapa Kuna video za mazoezi ya kujenga mwili kupunguza uzito pia

  • @RamadhanHaji-jw6dl
    @RamadhanHaji-jw6dl Год назад

    HALLOW TANZANIA HUYU MZEE INGALIFAA AWE MUHADHIR ANAYOUAZUNGUMZA NO MASOMO KAMILI YA KUWA NA SILABI YA MAZINGATIO NAMNA YA KUQAPATA VIJANA HARAKA WENYE KUJITEGEMEA

  • @wemapaschal2325
    @wemapaschal2325 Год назад +1

    Hv kwanini munaogopa kumpa uwaziri wa elimu

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Год назад

    Huyu ndio Profesa wetu

  • @salimmwakumi3852
    @salimmwakumi3852 11 месяцев назад

    Master Kishimba, akili kubwa..

  • @_CyprianBC
    @_CyprianBC Год назад

    Achilla mbali hao wanaopewa Udaktari,
    Mhe. Kishimba apewe Uprofesa kabisa maana kila nikimsikiliza absolutely ni highly thinker anaemfuata Kasheku Musukuma

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 Год назад +3

    Huyu mzee ni akili kubwa.

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 Год назад +2

    Kila siku umekuwa ni mtu bora sana, mchango wako juu ya mabadiliko ya Elimu ni mkubwa sana.

  • @eliasgulinja442
    @eliasgulinja442 7 месяцев назад

    Jishimba ni moto wa kuotea mbali

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 Год назад

    Jimbo la kahama endeleeni kutuletea huyu mbunge tunajifufunza mengi kupitia yeye hata kama serikali haipokei mawazo yake, ahsante kahama kwa mbunge huyu

  • @rwakyenderajulius3861
    @rwakyenderajulius3861 Год назад +3

    Mwanafalsafa mkuu wasomi hoi.

  • @komborashid5891
    @komborashid5891 Год назад

    Ni kweli ila mafundi wana zaraulika sana

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Год назад

    Hawa prof wetu wanamuelewa au wanaangalia mawazo kwa kupitia vyeti?

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Год назад

    Haha Huyu mzee master saana

  • @bakarisamaki5711
    @bakarisamaki5711 Год назад

    Naweza kupata mawasiliano na huyu mzee
    Naweza kua na suluhu kamili kwenye swala hili

  • @luganosimon4111
    @luganosimon4111 Год назад +1

    Mie huyu mzee ndio najaribu kufuata nyendo zake ili angalau kuondokana na ufukara.Kaongea kitu hapo kwamba chanzo cha rushwa ni kwa walioshindwa kupanga maisha hivyo wanaaamua njia nyepesi ya kuendesha maisha ambayo ni rushwa

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 Год назад

    Prof. Mh. Dr. Kishimba PhD in action.

  • @agusmileofficial2845
    @agusmileofficial2845 Год назад

    Uyu akipewa urais nchi itakuwa nzur san

  • @BITUROKAZERI
    @BITUROKAZERI Год назад

    Mda mwafrika anaokaa shuleni ndio wakati mfumo wake wa elimu unavurugwa na kuvuruga maisha yake yote

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Год назад

    Huyu Profesa Kishimba ameutangulia sana ufahamu wa baadhi Viongozi wetu katika Nchi hii. " Mh Kishimba ameuliza swali ,"Kwa nini wasomi ndio wanakuwa tatizo kwa wazazi na kwa nchi,badala ya kuwa ufumbuzi wa tatizo"?

  • @seifomar8297
    @seifomar8297 Год назад +1

    We produce that we can't consume

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo Год назад

      This is a simple explanation of our education system.. infact we don't even know why we have education system

  • @joviignus1674
    @joviignus1674 Год назад +3

    Maana yake ni tunacho fundishana sio sahihi

  • @VedastoKeya-vt8pf
    @VedastoKeya-vt8pf 6 месяцев назад

    Hili jamaa lipo kihalisia sana ndiomaana ni tajiri sana

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 4 месяца назад

    Akili kubwa, madarasa machache.

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 Год назад

    Huyu ndo profesa,achana na hao maprofesa wa vitabu

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Год назад

    Ni vyema aeleweke anachosema

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Год назад +1

    tatizo serikali ni vichwa vigumu wakishaamua yao wameamua ndio shida na ndio shida

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Год назад

    Cha msingi serikali ni lazima iwe na sera ya kuwa na viwanda vingi kama mali zipo kilimo na kuzichakata itakuwa lahisi kwa wananchi itatoa ulahisi .

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Год назад

    Sawa mkuu ila hawawezi kukuelewa

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Год назад

    Ukimsikiliza kishimba usipokuwa tajiri basi tena maana ana mawazo mbadala ya kutosha

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Год назад

    Huyu jamaa akili kubwa sana

  • @Users2523
    @Users2523 Год назад

    Huyu anafaa kuwa Rais wa nchi. Namuona marehemu magufuli ndani yake. Tunahitaji kiongozi kama huyu.

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 Год назад

    Una akiri ya kuzaliwa

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Год назад

    Badilisheni mitaala hapo imeeleweka

  • @simonhaule8976
    @simonhaule8976 Год назад

    Akili yenye matamauluku

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 Год назад +2

    IQ yake ni kubwa sana

  • @leonardjackson269
    @leonardjackson269 Год назад

    Hki ni kichwa haswa

  • @andrewmsunga9425
    @andrewmsunga9425 Год назад

    Huyu Mzee Apewe Maua yake

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution Год назад

    Kishimba ana akili sana

  • @WilsonKimori-qt1vj
    @WilsonKimori-qt1vj 11 месяцев назад

    .

  • @davidkiswaga4453
    @davidkiswaga4453 Год назад

    Hapo vyuoni watuwekee mashamba ya kila vilimo ndio dawa muda wa kwenda kuruka viwanja wawe shambani.

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Год назад +1

    Kwahiyo tufunge shule miezi mitatu? Tukalime au vipi, ama msimu wa kilimo kanda ya kusini na mashariki, kaskazini ni tofauti! Arusha wafunge mwezi wa 12 mpaka wa 3, .

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 Год назад

    Good speach

  • @wemapaschal2325
    @wemapaschal2325 Год назад

    Hv kwanini munaogopa kumpa uwaziri wa elimu