Dakika 10 za Kishimba mbele ya MAPROFESA wa Tanzania kwenye kongamano la mitaala na sera ya elimu
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- 10:05
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba akitoa maoni yake kwenye kongamano la sera na mitaala ya elmu Tanzania leo Jumapili Mei 14, 2023 jijini Dodoma.
Dah! Umezingumzia uhalisia wa maisha yetu na elimu tuliyonayo. You are the real professor.
Hii ni point kubwa sana, kuwafundisha watu waweze kuishi, sio kusoma bila uwezo wa kujitegemea
Asante profesa Kishimba unazungumzia uhalisia kabisa
Hata kama hawajampa udaktari wa heshima sisi wananchi tumeshampa uproffesor
Mzee Kishimb ni Mtanzania wa pekee sana.Akili yake ni ya kimapinduzi Sana.
Constructive thinking. You are a blessed fellow. Unatufikirisha nje ya box. Aksante sana Mhe. Kishimba
Afu mnawapa udokta wakina tale
@@fahadfaraj6474 Tale..!!??
Tale gani mwanangu?
@@chiefchacha2992 babu tale si alipewa udaktari wa heshma
Huyu ndo awe M/Kiti wa maprofesa Tz 👏 👏
Mzee Mungu akupe maisha,
Kwakweli watoto wachuo sasaivi akirudi nyumbani uwezi kumuacha dukani vocha huzikuti.
Master Kishimba, mzee ana maono chanya sana. Ana akilo nyingi mnoo.
Proud of you Mh. Mbunge wangu
Akili kubwa sana
Real contents of life
Much kudos this wise man with golden mindset
Nashangaa ubongo wa huyu mzee wangu unajaaje katika fuvu lake. Ana ubongo MKUBWA sana. Anazungumza mambo ya "mtaani" kabisa.
Siku moja niliota huyu mheshimiwa amekua kiongozi mkubwa sana! Natamani hiyo ndoto ije iwe kweli.
Ni ngumu kumpatia uongozi mkubwa maana anaga uongozi wakisiasa kanyooka na siasa zetu za Tanzania zinataka kugeuza geuza mambo.
@@philemonmagesa5548 Umesema kweli Ili watu wale lazima kijiko ukiite chepe hapo itaonekana uko sawa na umekuwa
The real professor 👏
Hii akili ni Kubwa sanaa kuliko mawazo yetu
Mzee Huyu Ana Akili sana.. Tatizo mawazo yake hayafanyiwi kazi tuu kwakweli
Wise man
Big brain
Hakika Kishimba ni Profesa
Asilimia 100, Nakukubali sana profesa kishimba
Huyu Mzee ukipata muda wa kumsikiliza ni wa tofauti sana na ni asset kubwa sana kwa Taifa letu
Mimi singu mahona nakupongeza Sana kishimba mungu akubariki
Ni kweli kabisa mtoto ambaye anaejua kufanya KAZI huwa hapendi rushwa
Proud of kahama
Safi kabisa kishimba
Very nice speech
Mtazamo wa Mzee Kishimba ni kwamba hilo andiko halijaingiza mabadiliko ya msingi kwa elimu yetu. Inabidi lifanyiwe kazi kubwa zaidi. Ni kweli kabisa. Kazi bado ni kubwa liboreshwe.
Aina ya wajumbe pia inaweza kusababisha tusipate kitu bora.
Hiyo kazi inataka watu wenye upeo na mawazo mapana na siyo kiwango kikubwa cha elimu tu .
Ningetamani Mzee Kishimba awe kati ya wenyeviti wakuu wa kamati hiyo !
Anzia hapa
1.Idealism 2.Realism 3.Pragmatism 3. Reconstructionism 4 . Progressivism Sasa aina ya elimu, wanafunzi, waalimu,, shule na mtaala na mbinu za kufundisha zinategemea falsafa tunayoichukua.
Hajawahi kuongea Pumba huyu mzee.. Japo wapo wasioweza kumuelewa
Yes boss,,, kahama one"""""
Sasa naomba kuuliza physics ina application gani kwenye nursing?Current electricity,etc vinahusika gani humu.Hebu tubadilike.
Good speach
daa mr.kishimba unakalisha hadi ma profesa .???????👊👊👊👊👊👊🙏
safi sana sana sanaaa 💪
Elimu inafundisha watafuta fedha sio wenye maarifa ya kujua mifumo ya uchumi' na ya uzalishaji mali na namna ya kuibadili na kuendesha wakati fedha sio msingi WA maendeleo ni matokeo TU. imf kwa sababu ya misaada Yao wamesema serikali ijitoe kwenye uzalishajiyaani mifumo ya uchumi ikadanganyika mifumo ya uchumi inatawaliwa na watu wao ndo maana imeweka mitaala ya kufundisha wajiriwa na WA kujiajiri hao ni money hunter( mafisadi ) na watumwa wasio na mbinu ya kuishi kwa kutumia mazingira yao
Tanzania tumpe nchi huyu jamaaa
Daaah!!
Kishimba ni moto
Genius
Salute
KWELI VITENDO HUZIDI MANENO - ASANTE
Nakukubali kwa hoja na mawazo yako
Daa, huyu mzee huyu...., always anafikiria visivyo fikirika na wengine yaani. Kwamba Ulaya wanafunga shule wakati wa baridi, why na sisi tusifunge wakati wa mvua? We mzee ni profesa kabisa
Huyu mzee namkubali sana
Elimu ya tanzania ni historia ya matukio ya wazungu na uvumbuzi wao
Ukweli mtupu
Ni kweli, elimu ya ujasliamali hiyo, ifundishwe kwenye mitaala yetu. Mfano kuna kitabu kimoja cha Mchungaji wa Kisabato anaitwa Kenani Mwasomola, kinaelezea kujitoa kwenye umasikini, kinaeleza kabisa ukilima mti wa parachichi mmoja kwa gharama fulani baada ya muda fulani utavuna maparachichi Kadhaa na utaingiza pesa kiasi kadhaa, n.k.
Kweli
Genius Kishimba. Wadau Wa mazoezi mpo? Piteni hapa Kuna video za mazoezi ya kujenga mwili kupunguza uzito pia
HALLOW TANZANIA HUYU MZEE INGALIFAA AWE MUHADHIR ANAYOUAZUNGUMZA NO MASOMO KAMILI YA KUWA NA SILABI YA MAZINGATIO NAMNA YA KUQAPATA VIJANA HARAKA WENYE KUJITEGEMEA
Hv kwanini munaogopa kumpa uwaziri wa elimu
Huyu ndio Profesa wetu
Master Kishimba, akili kubwa..
Achilla mbali hao wanaopewa Udaktari,
Mhe. Kishimba apewe Uprofesa kabisa maana kila nikimsikiliza absolutely ni highly thinker anaemfuata Kasheku Musukuma
Huyu mzee ni akili kubwa.
Kila siku umekuwa ni mtu bora sana, mchango wako juu ya mabadiliko ya Elimu ni mkubwa sana.
Jishimba ni moto wa kuotea mbali
Jimbo la kahama endeleeni kutuletea huyu mbunge tunajifufunza mengi kupitia yeye hata kama serikali haipokei mawazo yake, ahsante kahama kwa mbunge huyu
Mwanafalsafa mkuu wasomi hoi.
Ni kweli ila mafundi wana zaraulika sana
Hawa prof wetu wanamuelewa au wanaangalia mawazo kwa kupitia vyeti?
Haha Huyu mzee master saana
Naweza kupata mawasiliano na huyu mzee
Naweza kua na suluhu kamili kwenye swala hili
Mie huyu mzee ndio najaribu kufuata nyendo zake ili angalau kuondokana na ufukara.Kaongea kitu hapo kwamba chanzo cha rushwa ni kwa walioshindwa kupanga maisha hivyo wanaaamua njia nyepesi ya kuendesha maisha ambayo ni rushwa
Prof. Mh. Dr. Kishimba PhD in action.
Uyu akipewa urais nchi itakuwa nzur san
Mda mwafrika anaokaa shuleni ndio wakati mfumo wake wa elimu unavurugwa na kuvuruga maisha yake yote
Huyu Profesa Kishimba ameutangulia sana ufahamu wa baadhi Viongozi wetu katika Nchi hii. " Mh Kishimba ameuliza swali ,"Kwa nini wasomi ndio wanakuwa tatizo kwa wazazi na kwa nchi,badala ya kuwa ufumbuzi wa tatizo"?
We produce that we can't consume
This is a simple explanation of our education system.. infact we don't even know why we have education system
Maana yake ni tunacho fundishana sio sahihi
Tunafundishana tusichokihitaji Kwa kweli
Hili jamaa lipo kihalisia sana ndiomaana ni tajiri sana
Akili kubwa, madarasa machache.
Huyu ndo profesa,achana na hao maprofesa wa vitabu
Ni vyema aeleweke anachosema
tatizo serikali ni vichwa vigumu wakishaamua yao wameamua ndio shida na ndio shida
Cha msingi serikali ni lazima iwe na sera ya kuwa na viwanda vingi kama mali zipo kilimo na kuzichakata itakuwa lahisi kwa wananchi itatoa ulahisi .
Sawa mkuu ila hawawezi kukuelewa
Ukimsikiliza kishimba usipokuwa tajiri basi tena maana ana mawazo mbadala ya kutosha
Huyu jamaa akili kubwa sana
Huyu anafaa kuwa Rais wa nchi. Namuona marehemu magufuli ndani yake. Tunahitaji kiongozi kama huyu.
Una akiri ya kuzaliwa
Badilisheni mitaala hapo imeeleweka
Akili yenye matamauluku
IQ yake ni kubwa sana
Hki ni kichwa haswa
Huyu Mzee Apewe Maua yake
Kishimba ana akili sana
.
Hapo vyuoni watuwekee mashamba ya kila vilimo ndio dawa muda wa kwenda kuruka viwanja wawe shambani.
Kwahiyo tufunge shule miezi mitatu? Tukalime au vipi, ama msimu wa kilimo kanda ya kusini na mashariki, kaskazini ni tofauti! Arusha wafunge mwezi wa 12 mpaka wa 3, .
Wewe hujaelewa ludia kusikiliza
🚮🚮🚮
Mzee kishimba nakkbali,nadhani ww una elim kubwa ya ujasiliamali.
Good speach
Hv kwanini munaogopa kumpa uwaziri wa elimu