Kishimba ashusha nondo NZITO kwenye elimu Bungeni; ataka uanzishwe mtaala wa wafanyakazi wa ndani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 май 2023
  • Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2023/24.

Комментарии • 32

  • @ed3ezekiel388
    @ed3ezekiel388 Год назад +15

    Intelligent man..... ndiye mbunge pekee mwenye point zenye maana ya kiwango cha juu ktk nchii yenye wabunge waongo

    • @LoxloxJuma
      @LoxloxJuma Год назад

      Mawaziri ndo waongo bora wabunge wakaida ila mawaziri wakuteuliwa niwaongo cheupe chanjano nawabunge baadhi yawanawake niwaongo saana

    • @petrusmakupe2093
      @petrusmakupe2093 Год назад

      Sanji alifungwa mtoto wangu ukoo wangu.kabila langu..kwamwe ...ya.gete

  • @henericomasanja
    @henericomasanja Год назад +5

    Kishimba a Big Brain Man 💯💯✍️🙏🙏

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Год назад +6

    Huyu mzeee anajua Sana kuweka point za maaana pongezi sna

  • @BarakaJuma-sk4xx
    @BarakaJuma-sk4xx Месяц назад

    Akili kubwa sana mam Samia ampatie unaibu waziri waviwanda atatuvusha

  • @renataraymond1545
    @renataraymond1545 Год назад +3

    Safi point kubwa

  • @user-hv9sp4ov9k
    @user-hv9sp4ov9k 2 месяца назад

    Mh kishimba na kuwelewa sana

  • @perfectmassawe4758
    @perfectmassawe4758 Год назад +4

    Mzee wetu una mawazo ya viwango sana

  • @DenisNyerere-gm4mt
    @DenisNyerere-gm4mt Год назад +3

    Hahahaaaaa😂😂😂😂namkubali sana uyu mzeee kishimba

  • @hassanjongo6265
    @hassanjongo6265 Год назад +2

    Hahahaaa huyu mzee anafikiria njebya box sana 😂😂😂

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Год назад +2

    Kichwa sana huyu mzee

  • @elvismtai84
    @elvismtai84 Год назад +2

    Du wewe mzee unajua Sana,kwanza hao hao waliopeana mimba wangezalisha Sana pia watoto wao wangetunzwa,istoshe wote wawili hawakuwa na nia ya kusoma,Ni Bora waachwe wakazaliane

  • @mh9251
    @mh9251 5 месяцев назад

    Mh. Kishimba nakuheshimu sana. Unafikiria jambo kwa chanzo kabisa kisha unaiangalia kwa undani na mapana. Hiyo ndio elimu. Wewe ni Daktari J.K.

  • @shafiimwehemba4549
    @shafiimwehemba4549 Год назад +2

    Point zenye kueleweka zisizohitaji akili nyingi.

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 Год назад +1

    Big thinkers Mr. Kishimba, naunga mkono hoja unazozitoa una akili kubwa Sana, hao wanaotunga sheria ni vipofu wa sheria na ni wavivu wa kufikiri, hebu fikiria mtoto wa sekondari ambaye tayari amevunja ungo au kubalehe, huyu kanuni ya maumbile aliyoumbiwa nayo inaanza kumfosi ili apate dudu akiwa ni wa kike na wa kiume anaanza kuwa forced kupata nyugunyu, hivi kweli Kuna mtu anaweza kupambana na maumbile? Mi naungana na kishimba wakifikia balehe waruhusiwe kupeana dudu na nyugunyu na ikibidi wafungishwe ndoa kwa sharti la kutopeana mimba mpaka hapo watakapomaliza masomo lakini pia wazazi wa watoto wachukue dhamana ya kuendelea kuwalea watoto wao. Hata ukiwazuia wasiolewe bado wanaoana ndoa zisizo rasmi na wanapeana nyugunyu kkama kawaida. Tutafakari na tuchukue hatua

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад +1

    Ni kweli Mhe.Mtoto wa kiume unapofunga miaka 30 huku nyuma mtoto yule baba yake kufungwa ahudumiwe na nani?wazazi wanapata shida nyuma huku ya kulea bint yao na mtoto.Kijana anakwenda jera kumaliza Dona la Serikali bure.Waowane tu walee mtoto.

  • @johnluis35
    @johnluis35 4 месяца назад

    Tunahitaji mitaala na elimu inayoendana na mazingira na Dunia ya Sasa sio elimu ya mkoloni kuandaa watumwa

  • @tanzania2559
    @tanzania2559 Год назад +2

    Facts

  • @magongwematinde5773
    @magongwematinde5773 Год назад +1

    tutamuelewa zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @alexwailod5589
    @alexwailod5589 Год назад

    Huyu mzee nondo , utasikia tunakata boom

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 Год назад

    Leo Mwanaume Hana mtetezi kabisa
    Bora Wewe umeliona hilo la Hawa wa shule maana nao wanamitego sana yaan

  • @japhethlugwisha7921
    @japhethlugwisha7921 Год назад

    Hv mbunge kishimba mbona jimbo lako la Kahama limechoka? hujawahi kufanya chochote kuhusu maendeleo, bas tu.

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Год назад

    Kishimba ni mbunge wa kuchaguliwaaaa kwwl kwa uhallai

  • @BenjaminMnyasa-ks4qt
    @BenjaminMnyasa-ks4qt Год назад

    Upo vizur

  • @LoxloxJuma
    @LoxloxJuma Год назад

    😂😅😂kishimba bn eti kutenga ugali kunaitaji elimu uyo jamaa namkubali na mbunge shabibu wakiongea ujui nipoint tupo nawakubali mno hawana pinda pinda

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Год назад

    Hivi mnamuelewa Mh.kishimba?

  • @LoxloxJuma
    @LoxloxJuma Год назад

    😂😂😂 kosa lao kubwa nn adi yupo magelezani mawaziri wajibu maswali mepesi afu magumu kujibu

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Год назад

    Hahaahaha mbuzi wa mizimu

  • @FrankMalocha
    @FrankMalocha 10 месяцев назад

    Ud

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Год назад

    Mbunge wa pembeni Hana mbavu

    • @LoxloxJuma
      @LoxloxJuma Год назад +1

      Haelew 😂uyo kazi yake nikupiga meza tu apo ukimuliza kishimba kasema nn hajui