Maneno ya Waziri Mwakyembe kuhusu Mbunge Nassari kuingia bungeni akiwa amelewa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Waziri wa Habari, utamaduni, sanaa na michezo Dr. Harrison Mwakyembe amemtuhumu Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari kwa tukio la kuingia bungeni akiwa ameku

Комментарии • 137

  • @johnmunga1857
    @johnmunga1857 7 лет назад +2

    nilipotez iman yng 2015 baada kuckia lowasa anagombnia urais kupitia ukawa( chadema) hapo ndio nilipo amin kuwa dunian kuna watu wanafk sana na wa uwaji...tangu ile cku na maisha yangu ctK kuja kupga kura tena

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      John Munga wew unampinga lowassa kwaufisad lkn apoapo unaiunga mkono kijani ilioikausha nch kwaufisad miaka 53 siulofa uwo ccm haisafishiki kwa kivuli chalowasa

    • @johnmunga1857
      @johnmunga1857 7 лет назад

      +Said poleni kwa msba Kinidi kuna comment gan nimeunga mkono kijan mm cyo mpiga kura tena maana sias za bongo unafk...cyo wakin lissu walio kuwa wana mponda lowasa cyo mboe alikuwa ana mpnga lowasa cyo lema, mnyika, halima mdee na wengn walio kuwa wana mpinga lowasa waache hapo ndio ni napo sema wote wale wale

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      John Munga pinga ufisad waccm wamiaka 53 nchi haiendi kwaufisad wao usishabikie bumba namaugizo ya vongoz waccm yakweli wameyakalia kimyaa

  • @Puttin___yanga
    @Puttin___yanga 7 лет назад +2

    jaman hiii Kali© =® jk team

  • @elisantewawa3047
    @elisantewawa3047 7 лет назад +4

    ukosawa baba waambie huodio ukweeli safi sana

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Elisante Wawa ukweli niccm wameifisid nch miaka 53 kwaufisad leo wanatka kujificha kwakivuli chalowasa sababu kaja upizani aendeleza taarif yauvamiz alioiyacha npe asilete pumba zake

  • @dvjtwentyfivedecember4398
    @dvjtwentyfivedecember4398 7 лет назад +21

    yani mtu anaingia na chupa ya pombe bungeni!! halafu ndio tuwape nchi hawa watu jamani!!! hapana mimi kura yangu kwa magufuli 2020

  • @hamisimwinyimussa7544
    @hamisimwinyimussa7544 7 лет назад +4

    chadema no comments tanzagiza no comments why?hii ndio Tanzania ya wanafki leo siwaoni hapa mkitukana.

    • @joycemashikolo9096
      @joycemashikolo9096 7 лет назад

      Hamisi Mwinyimussa hahahaaa umeona eeh

    • @hamisimwinyimussa7544
      @hamisimwinyimussa7544 7 лет назад +5

      Nahimana joyce yani hawa jamaa hawapendi ukweli wanapenda kukurupuka kwa mambo yakijinga sasa hapa waseme Lowasa aliitia Tanzania hasara ya kiasi gani ,leo wanasema anafaa kua raisi.wanachekesha Sana.

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Hamisi Mwinyimussa hamna kitu apo pumba ccm wameifisd nch kwamiaka 53 kwaufisad leo mnataka kujisaficha kwa mgongo walowasa aendelee nakes alioiyach nape asilete pumba zake zakisiasa

    • @hamisimwinyimussa7544
      @hamisimwinyimussa7544 7 лет назад

      Said poleni kwa msba Kinidi sawa ila ukweli utabaki ukweli jamani.tuache kushabikia tu panapo ukweli basi pawe na ukweli.

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Hamisi Mwinyimussa Mim nakushangaa wew unaeunga mkono ccm walioifisid nch kwa miaka 53 leo wanataka jisafisha kwa lowass 1kwaza ikatae iyi ccm kwaufisad wao walio ufanya

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 7 лет назад +1

    points

  • @stediusbernado2053
    @stediusbernado2053 7 лет назад

    mmmh uyu mweshimiwa mwakyembe ni Mjanja sana. kushindana nae kimazungumzo inakubidi uwe makini sana. hakawii kukutoa nje ya mstari ndani ya sekunde moja.

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 5 месяцев назад

    😢

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 лет назад +4

    safi mwakyembe nimekuelewa fisadi yule yule eti leo anafaa huhuhuhuh kabali wanayo maamae chezea mwakyembe wew

    • @mwajumasaidimwajumasaidi4162
      @mwajumasaidimwajumasaidi4162 7 лет назад +1

      Hassanova junior haha haha. wazri❓

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Hassanova junior Fisad 1 nahao 100 walioko kijani bora wep hawezi kuisafish kijani ilio ikausha nchi miaka 53 kwaufisad leo wanatka kujificha kwa kivuli chalowasa hatudanganyiki

  • @tkahwili
    @tkahwili 7 лет назад +9

    Hahahahahaha! Dr. Mwakyembe (PhD) kawapa jamaa za uso kama Chid Benz kabla hajawa teja yaani ''...Mikono vululu yaani papapapapapapapapa, WAMEKAA''

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 7 лет назад +3

      Theo wamekaa hahahah

    • @tkahwili
      @tkahwili 7 лет назад +2

      Hahahahahaha!! hatari sana. Unajua haya mambo watu wanayapeleka sana kishabiki kuliko reality.

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Theo Fisad 1 aliekuwepo upinzni nahao100 waliopo kijani bora wep musijifiche ufisad wenu kwa kuvuli chalowasa nchi nitajr lkn haiend kwa ufisad wa kijani

  • @solomonmwisala157
    @solomonmwisala157 7 лет назад

    makufuli siwezi kumpa kura yangu 2020

  • @sulaimsameer2668
    @sulaimsameer2668 7 лет назад

    Usifanye kosa 2020 pombe sio chai Team lowasa..Richmond is nothng is something imetengenezwa nthng is called richmond

  • @christophermahawi9806
    @christophermahawi9806 7 лет назад +6

    Hekooo!!! hao vidume wanaolelewa na Lowasa wapoo! waambie hao ndio watanzagiza iko siku tutawafukuza na wasanii wao wachochezi wakaishi Congo tushawachoka.

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 7 лет назад +2

      Christopher Mahawi hahahah wamekaa

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад +1

      Christopher Mahawi Hamna kitu apo fisad 1 alieoko upizan nahao 100 walioko kijani borawep wameifsd nch miaka 53 haiyendelei leo mnatka kujificha kwa kivuli chalowasa mtadangnywa nyny tu mnaopewa flana nakofia bas

  • @florameza9529
    @florameza9529 7 лет назад +3

    ccm wanafiki sana mbona enzi za rowasa hukusema?

    • @christophermahawi9806
      @christophermahawi9806 7 лет назад +2

      Flora Meza hakuanza yeye ni hao wanaotaka kugeuza kinyesi kiwe ugali,kwa nini ukawa walimpokea Lowasa ambae wao ndio walimlaani kwa ufisadi, je leo iweje wanaaza kumsafisha? so hao ndio wanafik.

    • @edsonsign9441
      @edsonsign9441 7 лет назад

      angesema nn?

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Christopher Mahawi kambi kuu yaufisad niccm nahawezi kjisafisha naufisad wao wamiaka 53 nch haindelei kwaufisad wao amalizie kes yauvamiz hakuna kulindana hatutk pumba zake

    • @christophermahawi9806
      @christophermahawi9806 7 лет назад

      Said poleni kwa msba Kinidi sasa mbona wapinzani wanatuangusha kwa kuwapokea mafisadi kutoka ccm? wapinzani na ccm ni sawa tu.

  • @honestbalilo9519
    @honestbalilo9519 7 лет назад +1

    Mwakiembe nafikiri anajiongelea mwenyewe kuhusu konyagi aliyokamatwa nayo wala sio Nasari! The man looks drunk and scared while talking

  • @uniquereazon67
    @uniquereazon67 7 лет назад +3

    angeingia na chupa ange tapikia rangi zetu za taifa

  • @bobramaso825
    @bobramaso825 7 лет назад +1

    Liibuliwe Tena Sakata La RichMond Sio Wabunge Wanakula Kodi Zetu Tu..

  • @lukassebastian263
    @lukassebastian263 7 лет назад +11

    Lissu asipokuwepo bungeni Mwakyembe huwa anaongea sana, kweli paka akiondoka panya hutawala. Mwakyembe kamezwa na itikadi sio tena msomi huru.....

    • @edsonsign9441
      @edsonsign9441 7 лет назад +4

      kwa lisu ana nn cha kumzidi mwakyembe? huo ni uelewa tu. hata angekuwepo angefanya nn? kwanza muwe mnajiuliza Lowassa wakati anatuhumiwa alikuwa chama gan? na nyinyi mlisemaje? leo mnataka kumsafisha cyo rahisi.

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Edson Sign Mzizi mkuu kwa ufisad ni ccm ikatae iyo tumefika apo tulipo kwaufisad wa kijani miak 53 lkn leo unaishabikia siulofa uwo kataa yote km umkweli

    • @YamunguYb
      @YamunguYb 7 лет назад

      lucas sebastian
      lisu boya tu
      yeye nani
      mmeambiwa pelekeni Bungeni tena muone moto wake
      lowassa hasafishiki

    • @beatuchillu6813
      @beatuchillu6813 7 лет назад

      mwakyembe hajielewi n wale wanasheria hewa

    • @mnyembzeskipper4839
      @mnyembzeskipper4839 7 лет назад

      Ww ni boya

  • @joycegodfrey4166
    @joycegodfrey4166 6 лет назад

    saf mh mwakyembe

  • @dismassilay9596
    @dismassilay9596 7 лет назад +2

    hawa jamaa waache kutuchanganya Jana mwiz Leo so mwiz asafishwe kwa ssabun gan? labda 2020

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 7 лет назад

      Dismas Silay wanatuchanganya sana

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Dismas Silay Nao ccm ndokabisa hawasfishiki kwaufisad wamiaka 53 nchi inarasilimali lkn haiendelei nampk leo watu wanapiga dili zaufisad ccm haiwez kujisafisha kwa kivuli chalowas

  • @JosephDesideri
    @JosephDesideri 7 лет назад

    Public Interest?

  • @venancebasil4656
    @venancebasil4656 7 лет назад +2

    mwakembe anaakili sana...ila anavyoitumia sasa

    • @edsonsign9441
      @edsonsign9441 7 лет назад +1

      acheni ushabiki! huo ndy ukweli wenyewe, Lowasa mlimtukana sana leo mnakata kumsafisha, hasafishiki mlishamchafua.

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Edson Sign Na ccm haisafishiki kwaufisad nampk leo wanalindana kwamaovu naufisad miaka 53 nchi inarasilimali haendelei kwa ufisad wakijani

  • @vedastodunstan6925
    @vedastodunstan6925 7 лет назад

    Millard Ayo, kwanini Miongozo na Taarifa au habari ya Nassari umeikata lakini majibu umeyaacha? Umeanza kutumika vibaya aisee. Hii habari haijabalance.

  • @twoeyesonevision5089
    @twoeyesonevision5089 7 лет назад +1

    Kama vipi mfumo wa vyama vingi ufe, tubaki na CCM tu upinzani ni kimbilio la Mafisadi na watumiaji wa madawa ya kulevya.

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa8444 7 лет назад +9

    😂😂😂 fisadi kawa mgombea uras , hao wapinzani hakili zao finyu hata 2020 wataendelea tu kusubiri na ma pombe mpaka bungeni, hawana mtu wanae huyo huyo fisadi na kwa huyo nafasi ya ikulu msitegemee

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 7 лет назад +3

      Sharifs Mussa hahahahah mwakyembe amewakalisha

    • @mwajumasaidimwajumasaidi4162
      @mwajumasaidimwajumasaidi4162 7 лет назад

      Sharifs Mussa 🙀
      🙉🙉

    • @umrahmaissa7724
      @umrahmaissa7724 7 лет назад

      Hassanova junior . hawa Jamaa wamekamatwa pabaya, hawana hoja sasa hv, wanakurupuka tuu kila siku.. watz tumefunguka tumeshawaelewa.....watakaaa sana.

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Sharifs Mussa Nanyinyi hamtopata rizaa zawananchi kitafika kiama mtapora tu kwamitutu yabunduki

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Sharifs Mussa fisad 1 alieko upizani naelf 1000 walioko kijani bora wepi ? nachi hii imefika apo ilipo kwa ufisad wa ccm miaka 53 sasa mnataka kijicha kwa kivuli cha lowassa

  • @ngakisaliharuni1373
    @ngakisaliharuni1373 7 лет назад +1

    Mi nampongeza Wilbrod Slaa kwani alikuwa mkweli na akasimamia ukweli

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 7 лет назад

    Asa mahakama ya mafisad is for what?

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 7 лет назад

    Mwakyembe pasua baba
    hawa wahuni tu tena hovyo kabisa
    fisadi Lowassa

  • @johnmwambungu7434
    @johnmwambungu7434 5 лет назад

    Dr mwakyembe achana mbulula wasiokuwa na elimu wanyoe kwa chupa hao

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 4 года назад

    Uchunguzi bila kohojiwa?? Mwakyembe hacha uwongo!!!!

  • @mukulumaingu8531
    @mukulumaingu8531 7 лет назад +1

    kama hamna haja ya kumhoji mtuhumiwa ajieleze?Kwa nn Mwakyembe kakataa kufanyia kazi tume ya Nape iliyomchunguza Makonda?Double standards!!!!!

    • @edsonsign9441
      @edsonsign9441 7 лет назад +1

      kuandika mnajua ila uelewa mdogo! hapo limeibuliwa suala la richimond na c makonda! endeleeni kupoteza muda muda kuhusu makonda.

  • @dottomondo192
    @dottomondo192 7 лет назад

    Uyo mwakyembe hajielewi kabisa dakika 10 point 1 anazungukaaaa,mbona amepanic sana mawazir wa inji hii bana..B-)

  • @mathiascyrilo9533
    @mathiascyrilo9533 7 лет назад

    kama mmejiridhisha kuwa lowassa ni muhusika basi apelekwe kwenye sheria sio mnatupigia siasa tuu...

  • @samwelindabukakiye6250
    @samwelindabukakiye6250 7 лет назад

    nishidaaa,makonda akiwajia juu wanalalamika,then wanataka tuwape kura,wapi na wapi,

  • @charlesmagere9020
    @charlesmagere9020 7 лет назад

    lowasa ndyo fisadi mkuu na papa tzania.... hii ni kauli ya mbowe na mnyika na ushahidi wanao

  • @steveprosper4084
    @steveprosper4084 4 года назад

    Baba umri unaenda sahizi upo kwenye uzee sasa hekima umeamua kuipoteza mwenyewe

  • @saidwilson6529
    @saidwilson6529 7 лет назад +1

    aha Mimi hata simuelewi mwakyembe anaongea ongea tu hata haeleweki repoti ya makonda iko wapi?

    • @edsonsign9441
      @edsonsign9441 7 лет назад +1

      ya makonda inaingiaje hapo? da hakika tatizo ni uelewa tu.

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 7 лет назад

    m bunge na tilalila bungeni.

  • @edsonsign9441
    @edsonsign9441 7 лет назад

    hiv inakuwaje? mtu ametuhumiwa kwa wizi na akajiuzuru inakuwaje waandishi feki mnamwita mtu waziri mkuu mstaahafu? huyu mtu alistafia wap? na kama kweli hadi leo kama serikali inaendelea kumpa stahiki za uwaziri mkuu mstahafu hakika ni kosa la kisheri. mtu huyu alituhumiwa akajiuzuru na hao hao wapinzani ndy waliolikalia kidedea lowasa ajiuzuru leo inakuwaje leo wanahangaika kumsafisha. pumba kabisa Nasar Chapombe.

    • @stewardheaven8382
      @stewardheaven8382 7 лет назад

      Edson Sign basi jiite wewe na badili katiba na mshahara na allowance zake kama waziri mkuu mstaafu uchukue wewe.Elimu yako ndo kikwazo chako unajua kuna ainavngapi za kukoma utumishi wa umma?? je unajua kuna aina ngapi rasmi za wastaafu serikalini???

  • @christophermartin4572
    @christophermartin4572 7 лет назад

    Huyundie shujaa wetu kiukweli Mh Nimependa ulicho ongea bunge kuhusu richmond

  • @stewardheaven8382
    @stewardheaven8382 7 лет назад

    Huyu mzeee nae hamnazoooo

  • @jeremiajohaziel4927
    @jeremiajohaziel4927 7 лет назад

    MM SIJAKUELEWA WEWE MZEE

  • @hamissrajabu6730
    @hamissrajabu6730 7 лет назад

    onamambo ya mbowe ccm walikata ww ukamsafisha jamaa kasema yuko Tatar kuomba apumzishwe na rais ashugulikie hela zetu na kwautawala huu sjui itakueaje yani MTU atatamani kuishi kongo

    • @MassayOnline
      @MassayOnline 7 лет назад

      Hamiss Rajabu mahakama ya mafisadi iliyoanzishwa kazi yake nini?

  • @salimmasatu7637
    @salimmasatu7637 7 лет назад

    we mwakiembe hauna jipya kz yako ni kutapatapa tu cku hz .

  • @NAMISIECOLLEGE
    @NAMISIECOLLEGE 7 лет назад

    Hapo chenga tu hakuna kitu hapo!mbona uchugunzi wa nape mmeupotosha

  • @DeusNchembah
    @DeusNchembah 7 лет назад

    hata maamuzi ya vyeti vya kuzaliwa ilitosha kupumzishwa, kitabu chako pia umekigeuka

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop2061 7 лет назад +1

    Lowasa ni zaidi ya fisadi ni jambazist hilo linaeleweka

    • @stewardheaven8382
      @stewardheaven8382 7 лет назад

      Burton Jorde una ushahidi majambazi ndo haya yaliyopitisha mikataba mibovu ya madini,sasa yanatuletea miswada ya dharura na makinikia.majambazi ni walioanzisha mahakama ya mafisadi na mpaka Leo hawajamshitaki Lowassa.Kama kweli lowassa jambazi wamshtaki huko mahakamani ndo tutajua jambazi nani na kibaka nani

  • @mjedengwapoizon8726
    @mjedengwapoizon8726 7 лет назад

    mzee kumbe unavioja hivi..nilikuwa sijuwi

    • @galumawilfred8200
      @galumawilfred8200 6 лет назад

      mwakiembe hueleweki Kama nyeti za mwanamke huna lolote we kigeugei bendela kifata ulepo.

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop2061 7 лет назад +1

    Nassari hajapinga ina maana aliingia na pombe.....hawajamaa bhana eti wanataka nchi 😄😃😃😄😄😅😅😅

  • @gabrielaugustine6298
    @gabrielaugustine6298 7 лет назад

    kwa ishu ya makonda haina ushaidi ety ehee ww baba acha unafiki

  • @ramadhanibrahim7619
    @ramadhanibrahim7619 7 лет назад

    Mbona amkumpeleka Mahakamani km ushahidi upo?Mnatuchanganya tu viongozi wetu

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 7 лет назад

    patam apo😛😛😛

  • @justineruwa6642
    @justineruwa6642 7 лет назад

    upinzani acheni maneno rudisheni Richmond bungeni

  • @benitamart8056
    @benitamart8056 6 лет назад

    Huyu Mwakyembe ilikuwaje akawa waziri huyu? Anaga point huyo...

  • @bakarikisimbo3919
    @bakarikisimbo3919 6 лет назад

    Mwakyembe siku hizi ni mfyata mkia

  • @mwanahamisrashid7787
    @mwanahamisrashid7787 7 лет назад

    kwani wakati aiba alikuwa upinzani?Alikuwa ccm na mkamkumbatia

  • @duuudaud3816
    @duuudaud3816 7 лет назад

    Mwakyembe umezeeka akir, unabwabwaja tu hujielew ww

  • @abdullyibonko7658
    @abdullyibonko7658 7 лет назад

    huyo mwakyembe na zoba tu kama haikuwa nahaja yavkumuhoji lowassa kwann wanataka kumuhoji bashiteeee?? na wakati ushahidi upo kumbaaaaav

  • @fredricco5975
    @fredricco5975 7 лет назад

    hahah Tambua iyo kesi itarudisha ishu zanyuma ataumbuk mwengn ucie tegemea

  • @mathiaslisu1145
    @mathiaslisu1145 7 лет назад +1

    pumba tupuuuuu
    ulishindwa nini ukiwa mwenyekiti eti umesoma sheria

    • @edsonsign9441
      @edsonsign9441 7 лет назад +1

      pumba zinatoka wapi? au kwa kuwa unaitwa lissu? huo ndy ukweli achen ushabiki wa kijinga, mlimsuta sana Lowasa leo mtaweza kumsafisha?

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Edson Sign hapana ukweli apo mengi wmeyakalia nchi wameifisid miaka 53 kwaufisad leo wanatka kujificha kupitia lowasa ccm haisafishiki kwa ivoo atupe ripot yauvamizi au atasubir mpk makonda atoke ccm huu niunafk sana

  • @marcelngusa2922
    @marcelngusa2922 7 лет назад +1

    watanzania c wajinga tunafahamu sana siasa leo hii mnataka lowasa asafishwe huyo huyo fisadi karudi chadema kawa mzr achani ubovu ,afu Nasari ataingiaje amelewa kuchukua hii nchi bado sn mlimfukuza zitto mtasubili sana ndo maana mnamchukia magufuli kumbe ni wanafiki wakubwa ,watanzania co wehu achani mchezo wen

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Marcel Ngusa Izo nipumba tu ufisadi apo niccm miaka 53 nchi haiendelei kwaufisad wao mnatka kujificha kwalowasa kwakua kaja upinzan hamsafishiki

    • @saidpolenikwamsbakinidi6232
      @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

      Marcel Ngusa ccm haisafiki hata useme vip wao ndio walio ifikisha nchi apo ilipo kwaufisad wamiaka 53 ndiomana hampt rizaa zawananch zanzbr natanganyika

    • @shabanhanti4050
      @shabanhanti4050 7 лет назад

      Marcel Ngusa maendeleo gani unataka ww wakati ndege hamtaki reli hamtaki daraja la kigamboni, kutumbuliwa mafisadi hamtaki, hostel chuo udsm hamtaki. sera ya chama mmeitupa ya kupambana na ufisadi

  • @experymassawe6110
    @experymassawe6110 7 лет назад

    MZEE mbona anapanik? afu makofi ndo yanayo MPA mzuka ama? we are tired of this,khaaa

  • @josephjulius3373
    @josephjulius3373 7 лет назад

    nikishiba basi haya mambo ya siasa watajuana wao fanya yako utasumbuka bure kufuatilia siasa

  • @shabanimtua8486
    @shabanimtua8486 7 лет назад

    Mbona wewe kwa bashite unasema hiyo ripoti ya haikuwa na ulingani,kuwa ni ya upande mmoja,wewe kwa lowasa hata kama ilikuwa na ushahidi mbona hukumuhoji?
    ugonjwa uliokuwa unaumwa uliingia akilini?

  • @shabanimtua8486
    @shabanimtua8486 7 лет назад

    usitishe watu

  • @winifridamungure8986
    @winifridamungure8986 7 лет назад

    huna jipya upo upo tu. unatafuta umaarufu huna lolote

    • @ndakamasabini8071
      @ndakamasabini8071 6 лет назад

      Wizara ilipata mwenyewe na wengine wanapokurupuka tu kuleta hoja za kujipendekeza kwa waliowatuma wataibika Hongera Mh Mwakyembe na una full confidence kwa sababu una uhakika na unachokisema

  • @kayayooisaac4128
    @kayayooisaac4128 7 лет назад

    Njaa haina msomi

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 7 лет назад

    wewe mwenyewe juzi tu umesema kuhusu swala!la Mkuu mkoa wa dar kwamba haja hojiwi.

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 лет назад

    huyo ndo mwakyembe pasua kichwa

  • @duuudaud3816
    @duuudaud3816 7 лет назад

    kalale mbeleee mfyuuuuu. unatetea tumbo lako mfyuuuuuuuuuuu

  • @florameza9529
    @florameza9529 7 лет назад

    mwakyembe ni kweli? kaingia na pombe?

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena233 7 лет назад +12

    hili nalo li mwakyembe kama zoba halijitambui

    • @johnotonya9754
      @johnotonya9754 5 лет назад

      una akili ww umesoma kwanza au ulikimbia shule

  • @hassanmohdallyally9552
    @hassanmohdallyally9552 7 лет назад

    mm sijamwelewaa muheshimiwa kabisaa sijajuaa anaongea nn naona watu wanajazibaa

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 7 лет назад +1

      Hassan Mohd Ally Ally utaelewaje na unyumbu umekujaa

    • @mussashabani3345
      @mussashabani3345 7 лет назад

      loasa alikua ccm nakafanya ufisandi akiwa ccm nakawambia kama kunamtu mwenyeushahidi anipeleke mahakamani kunaaliyetokea acheni kutuchanganya

    • @malickmakatta6089
      @malickmakatta6089 7 лет назад

      Hassan Mohd Ally Ally huwezi kujua kwa sababu ya uelewa wako mdogo

    • @malongomukirya2863
      @malongomukirya2863 7 лет назад +1

      Haaaa haaa changamoto za uwelewaaaa bye bye

  • @florameza9529
    @florameza9529 7 лет назад

    mwakyembe ni kweli? kaingia na pombe?