MBUNGE SHABIBY AFUNGUKA "NILINUNUA BASI LA KWANZA NIKIWA NA MIAKA 19"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 дек 2024

Комментарии • 249

  • @theoneartist6327
    @theoneartist6327 2 года назад +7

    Nahamia jimboni kwako mzee baba ,,,,ambao tunahamia kwenda jimboni kwa huyu mwamba tujuane kwa like👍🏻👍 tutakaa sehemu moja😀💪🙏

  • @fatimasalim597
    @fatimasalim597 2 года назад +5

    Mashaallah mbunge anae pendwa zaid na wananchi wake yote ni kwakua anaupendo sana na wananchi wake allah akupe umri mrefu Ahmedy shabiby🥰🙏

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 года назад +1

      Huna akili hata chembe huyo ni zurumati fisadi nguli naapa kwa mwenyezi MUNGU ataenda MOTONI

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 2 года назад +6

    Mzee mengine upo sawa mengine unatupa imani2 Kwa sababu kama ulinunua basi1 ukiwa na umri wa miaka19, na hapo baba Yako tayari ana gari ata kama ulikuwa mkwechwe! Kumbe WWE unatokea kwenye family inayojiweza sababu kwenye miaka ya 80_90 familia zilizokuwa zinamiliki gari,pikipiki zilikuwa nifamilia zenye uchumi wa kati Kwa kpndi hicho!

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 21 день назад

    MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Kwa Roho Yako nzuri

  • @morrispeter239
    @morrispeter239 2 года назад +12

    Kama.kuna wabunge ambao binafsi nawaombea wazidi kufanikiwa ni Ahmed Shabiby.Mungu akuzidishie Mara elfu 5

  • @danielmwamahonje9852
    @danielmwamahonje9852 2 года назад +9

    Shabiby umeongea point sana mwenye kuelewa itamusaidia safi sana boss shabiby.

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 2 года назад +7

    Duh mh. shabiby katuchana sana humu vijana

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 7 месяцев назад

    Sawa sawa maneno ya maana na changamoto kwa vijana , Thank you much Ahmed, Riaz hapa Marekani

  • @nevershymagava6940
    @nevershymagava6940 2 года назад +3

    Shabiby Hoyer safi sana hongera sana Mbunge.!!

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 года назад +14

    Tatizo watu walio fanikiwa huwa hawapendi kuongea ukweli wanacho kijua ni majigambo. Swala la kufanikiwa halipo kwenye hizo mbinu anazo ziongelea mbunge 🙌🙌 akili mtu wangu 🙂🙂

    • @benyavan5774
      @benyavan5774 2 года назад +4

      Kuna zile red Mercury za kule Gailo mbona haisemi

  • @notickasimchimba7310
    @notickasimchimba7310 Год назад +1

    Kwa familia za kitanzania sina uwakika.. Sema matajiri Siku zote Huwa awaongeii ukweli Moja Kwa Moja

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 2 года назад +7

    Mh hili ni darasa kwa nchi mzima,sio hao tu,kwa kweli dozi imeingia hongera sana kwa shule hii

    • @ameenaameena1224
      @ameenaameena1224 2 года назад

      Nidarasa tosha unakuta jitu unalipa mtaji hata laki tatu linaona mdogo

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад

      @@ameenaameena1224 hatari sana!!

    • @salamasefu5494
      @salamasefu5494 2 года назад

      Kazi kwenu haya yakuigwa

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 2 года назад +3

    C.C.M Hoyeee, hongera sana Mh. Shabiby

  • @benardmwakilasa3969
    @benardmwakilasa3969 6 месяцев назад

    Hii ndo sawa unasikiliza motivation speech toka kwa tajiri aliefanikiwa,, achana na porojo za motivational speekers

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 2 года назад

    Upo vzr sn Mh.Sabiby unamalengo mazuri na vijana wako hongera

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 года назад

    Safi sana Mungu azidi kukubariki maana utarudisha sehemu ya kipato chako kwa wasio nacho unawashika mkono ili na wao wasogee mbele ni wao tu kuitumia nafasi hiyo adimu tukiwa na Walofanikiwa kama Shabiby wakafanya hayo nchi inasonga mbele

  • @fauziajuma923
    @fauziajuma923 2 года назад

    Hongera Sana shabiby mungu akuzidishie kheri akujaliye miongoni mwa watu wema

  • @heryjafari7786
    @heryjafari7786 Год назад +1

    Umeongea tajiri mungu akupe maisha marefu

  • @sundayharris8549
    @sundayharris8549 2 года назад

    Huo ni mpango mzuri sana mheshimiwa na wengine waliopo kwenye nafasi za kuwasaidia wengine wapate funzo. Hapo umetenda Kwa vitendo sio Kwa maneno. Asante. Wapi mbunge wangu jamani duh... Simuoni kwenye maono hayo kabisaaaaaa

  • @ellytozy2216
    @ellytozy2216 2 года назад +4

    Naitwa Bahati mwiyombo wa iyogwe kwa sasa nipo Dodoma asante mafundisho mazuri munge wangu cku ukifika Dodoma nitafute

    • @songweairport7602
      @songweairport7602 2 года назад

      🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

    • @fanuelsulle8144
      @fanuelsulle8144 2 года назад

      Ely Tozy
      Yaan Mh, akifika Dodoma akutafute wew?😁😁

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Год назад

      Bro una umwamba ni mzito yani mkuu akutafute kweli? 😂😂😂😂

  • @alexanderdustan8872
    @alexanderdustan8872 Год назад

    Great brain hyo wajanja tumekusoma vzr

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Год назад

    Hongera Sana mbunge wao ww ni mfano mungu akuzisishie

  • @ShabiruMsabaha-fm3bg
    @ShabiruMsabaha-fm3bg Год назад

    Mashaallah umeongea vizuri, I will be back..!!!

  • @robertmwamengo5167
    @robertmwamengo5167 2 года назад

    Elimu ulio itoa juu ya suala la utajili ni funzo Tisha kweli wewe ni mzalendo hongera mkuu

  • @Afya-Break
    @Afya-Break 2 года назад +3

    Hongera sana Mhe.Shabiby

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 2 года назад +2

    Mzee umeongea point sana duuh nimeiludia mara tatu😂😂😂🤣🤣

  • @MartinMadimilo-z6w
    @MartinMadimilo-z6w 5 месяцев назад

    Hard TRUTH shabiby...🎉🎉

  • @leonardrevelian4733
    @leonardrevelian4733 2 года назад +1

    Uko vzr mungu akutangulie unanyo pambana na wananchi wako. Ila mkubwa vijana wanakukubal mno

  • @MathewBernard-j3p
    @MathewBernard-j3p 10 месяцев назад

    Duuuuu hii kali,,,,,,! Hii ni speech bora ya muda wote.

  • @jastinlihawa4654
    @jastinlihawa4654 2 года назад

    Ujumbe mzur sana Hemed unawaasa vijana wanaobweteka

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 2 года назад +5

    Miaka 19 ufanye kazi kwa bidii upate pesa ununue basi labda uuze unga kama hujarisi

    • @msowamhokole7714
      @msowamhokole7714 2 года назад

      Alikopa Basi lake kwa super star bus ndio alio mpa mwaka 91 wewe unakumbuka

    • @konshazikonsha6180
      @konshazikonsha6180 2 года назад

      @@msowamhokole7714 ukiwa huna kitu bado huwezi pewa mkopo wa bus hata siku moja,sote tunajua unakopeshwa kulingana na Mali uliyonayo kama dhamana.
      Maneno alioongea nimazuri,ilakuna vipengere laazima tujiongeze wasikilizaji!!!

    • @murattywamuratty9778
      @murattywamuratty9778 2 года назад +1

      @@konshazikonsha6180 hakika...huwezi kupewa mali kama huna mali.

    • @samifxwingspipstherapist6098
      @samifxwingspipstherapist6098 Год назад

      Ni possible mtu wangu

  • @upendohalisi5763
    @upendohalisi5763 2 года назад

    Mungu baba akutunze sana maana umejua kumfurahisha kuwajali wahitaji inapendeza maisha marefu kwako.

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan1432 2 года назад +8

    Hiv nyinyi mnaosema mmechanwa na huyu jamaa familia yake mnaijua?hiv kijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 19 mnakubali kabisa anaweza kununua bas hivi thaman ya bus mnaijua hahahaaaa mm sio mjinga hvyo unachoombiwa changanya na zako

    • @abdulrahmanmohammed4449
      @abdulrahmanmohammed4449 2 года назад +1

      Na baada ya miaka miwili tu yameongezeka kufikia matano.....wakt mda huo ata mtaji haujarudi yy kafika matano

    • @davidezri4117
      @davidezri4117 2 года назад +1

      uwe mwelewa bro, mfano amekwambia alikuwa na mashamba makubwa na mtaji wa trekta na wakati huo bas ilikuwa ml 20,Sasa kwa nn asifanikiwe kwa upambanaji huo, Tafakari bro!!

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад +1

      @@davidezri4117 mbona unadanganyika kiwepesi hivyo,,,

    • @JumaOmari-w2z
      @JumaOmari-w2z 3 месяца назад

      Wakubwa syo lazma wote tuanze na mabus

  • @avilanicholaus6602
    @avilanicholaus6602 2 года назад +3

    Bidii sawa lkini katka safari ya manikio kuna siri nyingi sana

  • @emmanuelmgwasi2296
    @emmanuelmgwasi2296 2 года назад

    Shukran mzee kwakutumotuvate vijana

  • @michaelmwedimage5515
    @michaelmwedimage5515 2 года назад +2

    Asante Sana Kwa kusema Ukweli

  • @yusramadodo8269
    @yusramadodo8269 2 года назад

    Hongera San kumiliki basi na miaka 19 so mchezo ulikuwa na bidii sana

  • @francemaranda3206
    @francemaranda3206 2 года назад

    Kiongozi bora wa jimbo langu kiukweli umekuwa msada sana kwa jamii yako Mungu azidi kukupa Afya njema na mafanikio zaidi.

  • @omaryyahaya2116
    @omaryyahaya2116 Год назад

    Safi San mkuu mm nachukua hatua mwezi huu asntee kwa wazolako

  • @ahamadially8351
    @ahamadially8351 2 года назад +1

    Unajua tajiri wengi huwa wanasema mm nilikua nauza karanga nauza mihogo hakuna atakaye sema ukweli hata moja wanasiri nzito

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 2 года назад +1

    Hongera sana. Hapo kwenye masada umenirudisha primary. Sijui na mifudu, misasati au huko Gairo haipo.

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣 eti mifudu umenikumbusha hukoooo kwetu wanging'ombeee

  • @EunikeChifuka
    @EunikeChifuka 8 месяцев назад

    Hongeraa muheshimiwa

  • @petromkana8172
    @petromkana8172 2 года назад +1

    Daaaa aiseee kweli kabisa bhana

  • @jescajovin9257
    @jescajovin9257 Год назад

    Hongera sana mh shabby mitano tena

  • @mujahidmark9116
    @mujahidmark9116 2 года назад +3

    Sisi tutakuunga mkono kwa kutumia ksmpuni yako kusafiri au kusafirisha na ninakuombea kwa Mungu akuzidishie kila la kheri na akuepushe na mitihani ya kidunia

    • @florianmalle-xr1ob
      @florianmalle-xr1ob Год назад

      Wabunge wa majimbo mengine waige mfano wa Shabiby, ili vijana wale wenye nia waweze kuinuka kiuchumi, hongera sana Shabiby kwni umeonyesha mfano mzuri sana.

  • @godfreymasondaabel1904
    @godfreymasondaabel1904 2 года назад +4

    Ahsante mzee

  • @issahassani9293
    @issahassani9293 2 года назад +2

    Sawaa kabisa mheshimwa huko kitungu vipi

  • @mhandodanny4256
    @mhandodanny4256 2 года назад +1

    Safi sana Mheshimiwa Shabiby ww ni mzalendo wa Kweli. Unajitahidi sana kuleta maendeleo Kwenye Wilaya ya Gairo hakuna barabara mbovu zote hadi milimani umezitengeza zinapitika majira yote hakika we ni JEMBE!

  • @AbedShabani-ne9zh
    @AbedShabani-ne9zh Год назад

    Kweli bro maisha nikupambani tu no way out

  • @zakaliajoseph7705
    @zakaliajoseph7705 2 года назад

    Dah hongera kaka kuwatia moyo watu 🙏🙏🙏🙏

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 2 года назад +1

    Safi sana mheshiwa shabibi utajiri hauna elimu hata mbuyu ulinza kama mchicha

  • @Fofo-511F
    @Fofo-511F 2 года назад +1

    Kila kitu mipango ya mungu sio uhodar

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 года назад +3

    vijana waache siasa za omba omba katika siasa

  • @chidrashid3797
    @chidrashid3797 2 года назад

    Mashallah mashallah maneno mazuriii sana

  • @wailesmsongole1914
    @wailesmsongole1914 2 года назад

    Wewe ndio nakuangaliaga Mheshimiwa Shabiby wewe ndio mwalimu wangu naangalizia kwake

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад +1

    Asante sana Mh Mbunge

  • @kisantamarwa8551
    @kisantamarwa8551 Год назад

    Hakika Mbunge shabby ni mfano WA kuigwa na viongozi wote tunge kuwa na watu WA aina yake 200 tu kwenye nchii Kwa jinsi anavyowasaidia vijana kijiajiri Kila mtanzania angekuwa tajiri

  • @mohamedrobleh9105
    @mohamedrobleh9105 Год назад

    Shabiby is hustler big time

  • @EliyaGwaydesh
    @EliyaGwaydesh 5 месяцев назад

    Shabby umetisha baba

  • @hawa6052
    @hawa6052 2 года назад

    Allah amfanyie wepesi

  • @nicetasndekubali7105
    @nicetasndekubali7105 2 года назад +2

    Hongera sana mheshimiwa, hatuna shaka na utekelezaji👍🏿

  • @juliusmoivana9844
    @juliusmoivana9844 2 года назад +1

    Sav Sana mweshimiwa shabb

  • @jacksonchristopher6310
    @jacksonchristopher6310 2 года назад

    Dah huyu jamaa kweli alipambana mwenyewe maana mbinu zake yuko sahihi

  • @mujahidmark9116
    @mujahidmark9116 2 года назад +1

    Wabunge wote igeni mfano wa shabib hakika kwa mtazazo na maono yake anafaa kupewa dhamana kubwa zaidi ya kiutawala

  • @alhajibsaidi2049
    @alhajibsaidi2049 2 года назад +1

    Dah! yaani miaka 21 Basi 5 duh! hiyo safi🤫🤫

  • @racheljacksoneliudimassawe218
    @racheljacksoneliudimassawe218 2 года назад

    Big up mhe mbunge

  • @alpheomwashiuya198
    @alpheomwashiuya198 2 года назад

    Mzee unasema ukweri mungu akusadie

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 2 года назад

    Kwa vijana wakitanzania! Umeliwa mzee. Wasaidie tu upunguze mapipa yako ya hela
    Kama watatoka basi ni asilimia moja!

  • @williambranham6341
    @williambranham6341 2 года назад +3

    Hongera Sana mzee shabiby Mungu akuongezee siku za kuishi kwa upendo wa namba hiyo kwa wananchi wako pia mawazo yako ni k

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 2 года назад

    Nikweli kabisa utajili ni usubutu kujituma na kutokata tamaa tufanyie kazi 🏌️

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 года назад +1

    Safi Sana,👏👏👏.

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 года назад

    Kuna watu wanautajiri tqngu kuanza kupevuka shida msingi wa wafamilia haujitambui, kuna wenye vipaji kwa maana ya mtaji wa asili 🥲 inasikitisha waswahili wengi hawajui jambo ili katika hapo wenzetu weupe ndipo walipo tupiga goli la kisigino

  • @HamisLeo
    @HamisLeo 8 месяцев назад

    Mungu anaona, mtu unasema ulikuwa unaenda kulima na swalaji, baba ako alikiwa na gari mbovu, ulienda kusoma nairobi. Leo unasema ww ulikuwa maskin? Kvp

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 года назад +1

    Pamoja na kuwa ndani yake kuna ujumbe muhimu, naona shida ipo Kwa mfikishaji ambaye anaonekana kukosa hekima kidogo katika kufikisha ujumbe huo,,,,,,kuna kaujivuni kidogo ndani yaki!!

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 2 года назад

      Sio ujivuni ni namna yk ya kuongea hii a angeongea Mh.Mpango kwa sauti na upole wake usinge comment hivyo

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад

      @@stanslausmteme8455 inawezekana ukawa Una tatizo la uelewa,,,

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 2 года назад

      @@jumakapilima7295 soma hizi comment zote harafu ujitafakari kuhusu hekima na uelewa ulonao ambapo mimi sina

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад

      @@stanslausmteme8455 Hahahaha,,,,, umasikini kitu kibaya, si unaona hata hapo wanasimangwa na mjivuni, wao wanapiga makofi!! Kwahiyo hizo comments ni za haohao!! Kwahiyo usinifananishe Mimi na hao,,,,

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 2 года назад

      @@jumakapilima7295 Tajiri hana muda na unachokifanya wew humu utajiri wako labda hekima ulojinadi unayo ila si mali

  • @fredrickchisanyo6663
    @fredrickchisanyo6663 2 года назад

    nakubali sna,, siend tena kutafuta chuma ulete

  • @MartinKibaigwa
    @MartinKibaigwa Год назад

    Siyo wabunge tu ata matajiri wengine

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo2943 5 месяцев назад

    Acha uongo miaka 19 ulisoma lini na kwamiaka mingapi ulifanyakazi wapi au biashara gani ukapata mamilioni ndio maana viongozi wa nchi yetu mnaonekana wezi tu kwasababu kauli zenu huwa hazina ukweli.

  • @mahwabashiri5467
    @mahwabashiri5467 2 года назад +9

    Great leaders inspires their followers

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 День назад

    Ongela baba yangu

  • @philipombwambo6345
    @philipombwambo6345 2 года назад +5

    Acha kudanganya watu wewe shukuru mungu kakupa ila usidanganye vijana eti ulinunua bus ukiwa na miaka 19 labda uliuza figo,, watu tumejichanga mno ila sio miaka 19

    • @isackyohana2707
      @isackyohana2707 2 года назад

      Teh teh teh,,,elimu yote hiyo hujaamini tu ndugu yangu..

    • @ellytozy2216
      @ellytozy2216 2 года назад

      Hongera kwa maendleo mazuri katika jimbo la gairo pamoja na kata zake zote

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 2 года назад +2

    Shabibi unafaa kuwa mhubiri uponye akili za walio sinzia hayo ndio maisha sio kuong'opeana sijui nitawaletea maji sijui nini nk Safi kaka

    • @jafarimruke9111
      @jafarimruke9111 2 года назад

      Kwani wahubiri tu ndo wanaongeaga point kwahyo we humuelewi mpaka awe mhubir?

  • @abdulrahmanmohammed4449
    @abdulrahmanmohammed4449 2 года назад +2

    Mbon hpo sjkuelewa miak 19 basi1 na 21 mabas matano...haiwezkani kuna chanzo chengin cha pesa sio basi lamwanzo.....umerithi bwaaanaaa

  • @joshuanyanda6880
    @joshuanyanda6880 2 года назад +2

    Millard apo kwenye gwanda umefinya saut ila tumeelewa

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 2 года назад +1

    ASANTE HATA KAMA NIKO DAR ES SALAAM, NIMEFURAHI, VIJANA INUKENI HARAKAAAAAAAAAA....

  • @benjaminmasasi6892
    @benjaminmasasi6892 Год назад

    Inspiration ya maana sana

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 2 года назад +1

    ASANTE KWA KUMWAGA MADINI YA UFAHAMU KWA WENYE AKILI, WAPUMBAVU HAPO UNAPOTEZA MDA, HONGERA SANA....VIJANA TOKENI KTK MAWAZO MGANDO...

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654 2 года назад +1

    SoMo lako Kama vijana watakuelewa Basi gairo itakuwa juu Ila Nina wasiwasi na hao vijana

  • @AndersonLeheni
    @AndersonLeheni 5 месяцев назад

    Mm nataka niwepo kwenye hicho kikao mwakani Kama tutakuwa wazma

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 2 года назад +2

    Nilipanda basi la Shabiby kutoka dar kwenda mpwapwa mwaka 1997

    • @aaaaaah290
      @aaaaaah290 2 года назад

      Duuuuuh

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад

      Mazae, Mwanakianga kulikuwaje wakati huo?

    • @happynelson1180
      @happynelson1180 2 года назад

      @@jumakapilima7295 pale mazae kulikuwa kuzuri sana wakati ule kulikuwa kumetulia kule mpwapwa nilienda kumsalimia mjomba wangu na familia yake lakini mimi naishi Ulaya huwa nikija dar naenda mpwapwa ndugu zangu wengi wanaishi mpwapwa

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад

      @@happynelson1180 😁😁

  • @kelvinmbuge7221
    @kelvinmbuge7221 Год назад

    Ahsante,kwa kututia moyo vijana lakin vingine unatupiga na kitu kizito hapo pa miaka 19 kwa hesabu za fasta haingii kwa akili?

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 года назад +1

    Niko nyumbani Leo nawapata vizur mno

  • @irakazaeriekim4753
    @irakazaeriekim4753 2 года назад

    Asanteni sanaa

  • @Silyvesta
    @Silyvesta 2 года назад

    Great news

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 2 года назад

    Huu ndo upuzi ambao bado unaitafuna Africa.Hivi mtoto aliyezaliw familia ya kimasikini hapohapo ni mwanafunz tena wa form4 miak 19 awe na uwezo wa kununuua basi real😭😭🤔🥺

  • @evalinemao4003
    @evalinemao4003 2 года назад

    Inspired

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад +2

    Pokea utajiri Kwa jina la shabibi

  • @farajapeasonmagota8226
    @farajapeasonmagota8226 2 года назад +1

    Hiyo mitoto ya kiume uisemee kweli inakazi yakuywa pombe inakuwa mijizi

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Год назад

    Kweli tufanye kazi

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 2 года назад +1

    CCM munazingua mbona munapea ardhi za watanzania vijana wa ccm tu et daah kweli hamuna jipya ccm sasa munaenda kubaya zaid

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 2 года назад +10

    Miaka 19 Mh. ulikuwa na biashara gani ili na sisi tuwasaidie vijana wetu wajiajili?

    • @mbagaherbal4796
      @mbagaherbal4796 2 года назад +1

      Daah nalo nenoo

    • @mohammedikingazi5109
      @mohammedikingazi5109 2 года назад +2

      Mm mwenyewe hapa pananikwaza maana miaka 19 pesa kapata muda gani shule kasoma muda gani hii hapana bhana