ASKOFU GWAJIMA AONESHA MAKALI YAKE BUNGENI ANUKUU NA VIFUNGU VYA BIBLIA "NAPE AMENIDUKUA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 423

  • @imanibensoni8274
    @imanibensoni8274 3 года назад +29

    Jamani sijawahi kupata like kama umekubali nondo za Askofu Gwajima gonga like twende sawa👏👏

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 3 года назад +24

    Gwajima 💥💥💯💯✔ umeeleweka sana. Ktk Chama chetu cha mtandaoni tumekuunga mkono kwa maoni yako. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa.

  • @haysanhassan2685
    @haysanhassan2685 3 года назад +37

    Huyu Askofu alichelewa sana kuingia bungeni, ukiamua kumskiliza Gwajima bila sikio la chuki huyu askofu ni next level kwenye mambo ya vision

  • @veronicamatebya7564
    @veronicamatebya7564 3 года назад +15

    Hongera Mh. Askf Gwajima umeongea kweli🔥🔥🔥🔥

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 года назад +4

    Nilikupigia debe sana wakati wa kampeni nikatukanwa sana humu asante MUNGU naona waliokuwa wakikukejeli sahi wanakupigia makofi MUNGU ni mwema prove them wrong Mh Gwajima👏👏👏👏👏👏👏

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 3 года назад +6

    Grajima umelianzisha Hilo naomba ulishughulikie kisawa sawa maana ni nzurii kubwa na ni la muhimu mno ahsante.

  • @saidisaid4964
    @saidisaid4964 3 года назад +5

    Respect pastor Gwajima 🙏💪

  • @sabbob574
    @sabbob574 3 года назад +6

    Mh Grajima your the most intelligent MP in parliament.

  • @joyceedwinbategeleza7761
    @joyceedwinbategeleza7761 3 года назад +9

    Wow My Spiritual Dady. I’m so proud of you. Well spoken!!

    • @issacmilo5055
      @issacmilo5055 3 года назад

      i dont mean to be so off topic but does anybody know of a trick to get back into an instagram account??
      I was stupid lost my login password. I would love any tips you can give me.

  • @anssp8043
    @anssp8043 3 года назад +1

    Watanzania wenzangu jembe lingine hili apa kazi kwetu kuliunga mkono, Gwajima anaweza

  • @adamsonkyando682
    @adamsonkyando682 3 года назад +10

    Gwagima unaakili na ufahamu ambao si wakawaida nakukubali sana na Naomba Mungu siku moja uwe Rais wa Tanzania

  • @davidkengambi491
    @davidkengambi491 3 года назад +6

    Mungu akubariki sana Mh.Askofu Josephat Gwajima
    tupate wapi mtu mwenye akili ,Kama huyu

  • @gerraldamos5174
    @gerraldamos5174 3 года назад +3

    Mh kiukweli upo bungeni kwa kusudi maalum,bg up Mtu wa Mungu
    Nakuelewa sanaaa

  • @evancemwaky7425
    @evancemwaky7425 3 года назад +2

    Excellent my bishop Gwajima today my heart is smoothly

  • @johnmahanga5577
    @johnmahanga5577 3 года назад +5

    Gwajima we ni kichwa kbs , lazima kama taifa tuwe Vision inayoeleweka sio kila raisi kuongoza kwa Vision yake. Lazima tuwe na lengo au malengo ya miongo kadhaa ya kitaifa yatakayoimba mioyoni mwetu kwa Miaka kadhaaa na hayo yakifnikiwa tutayaita maendeleo coz yatakua yaonekana na kuelezeka.
    🙏🏾✌🏾

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +5

    Big up Mh Gwajima umeongea point sana👍

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 3 года назад +1

    Kulayangu kwako hakwenda bure Asante sana tuna kuelewa sana

  • @princensabho7244
    @princensabho7244 3 года назад +2

    Wise advise, well said Rev. Hon MP Gwajima

  • @gabrielmamela2206
    @gabrielmamela2206 3 года назад +2

    Mungu wa mbingu na nchi JEHOVA HOSEENU akutumie mpendwa wangu Askofu Gwajima katika hilo Bunge kama alivyomtumia Daniel katika bunge pa Babeli.

  • @jamesngadaya2791
    @jamesngadaya2791 3 года назад +4

    Wangapi wanaona kuna roho wa mungu anazungumza ndan ya gwajima

  • @peterissangi5708
    @peterissangi5708 3 года назад +1

    Good point askof, and u have afutured mind, my GOD bless u

  • @Ashibutz
    @Ashibutz 3 года назад +1

    Very well MH gwajima

  • @samsonelikana903
    @samsonelikana903 3 года назад +15

    Maono yako nikama ya hayat mzee we2 saf xana nimependa nataman siku moja uongoze hili taifa🙏🙏🙏

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 3 года назад +1

    Asante Baba kwakweli umeongea point kubwa sana

  • @priscamartin8887
    @priscamartin8887 3 года назад +11

    Mbunge wangu uko vizuri sana hongera sana wana kawe tunajivunia wewe

  • @joycehope1883
    @joycehope1883 3 года назад +11

    Sijutiii mbeleni nikikupa kura ya kuwa Raisi wa Tanzania 😍

  • @augustinewilliam8281
    @augustinewilliam8281 3 года назад +5

    Jembe toka mbinguni piga like kama unamuelewa Gwajima

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 3 года назад +1

    Asante sana kwa muongozo wako mwema huko hii baba mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe na taifa letu

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv6672 3 года назад +16

    Nimeandika hii comment nikiwa namkumbuka magu rip jpm uliacha mtu sahhi bungen

  • @emanuelakaro1423
    @emanuelakaro1423 3 года назад +1

    For the first time I appreciate you speech,

  • @geophreyhizza6315
    @geophreyhizza6315 2 года назад +1

    Excellent

  • @rithersospeterkati7957
    @rithersospeterkati7957 2 года назад

    Amen Amen.

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj5111 3 года назад +1

    👍👌Wangetokea kama we we dah tungesonga asante magu kwakuwanoa vijana wako

  • @seducerkapero7306
    @seducerkapero7306 3 года назад +6

    wewe sasa ndio umeongea.good job gwajima.

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 3 года назад +4

    Gwajima safi umetupa elimu
    Muono safi Na ni kweli kabisa🙏

  • @valeriamtenga3384
    @valeriamtenga3384 3 года назад +8

    Pasipo maono watu hawawezi kujizuia! Hii point ichukuliwe ni ya msingi sana sana

  • @ernestemmanuel5691
    @ernestemmanuel5691 3 года назад +4

    Well said, safi sana Askofu Gwajima

  • @marydaniel1121
    @marydaniel1121 3 года назад

    Asante mbunge wangu wa mbweni uko vizuri sanaaaa Mungu akuinue zaidi kwa kupata kibali mbele za Mungu kwa kuwa lololte alitakalo litatendeka

  • @josephkomba1767
    @josephkomba1767 3 года назад +7

    Gwajima is Genius

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic 3 года назад +1

    Smart sana Gwajima!

  • @stevenkapenulo474
    @stevenkapenulo474 3 года назад +1

    Aisee nimemuelewa xna gwajima hakika wanakawe hamkupotea kumpeleka huyu jamaa mjengoni big up xna"

  • @jwasafi1793
    @jwasafi1793 3 года назад +5

    Huyu MTU tumpe urais miaka ijayo kabla tuko hai hongera gwajima💕

    • @peterlujuo1640
      @peterlujuo1640 3 года назад

      Urais hapana, ila ni mwanasiasa mzuri

    • @tulimhagama1339
      @tulimhagama1339 3 года назад

      MHESHIMIWA MIMI NAKUKUBARI SANA .UNAWEZA KUIONGOZA TANZANII .TUTAKUOMBEA IPO SIKU

  • @liliannyami9916
    @liliannyami9916 3 года назад +2

    Very nice speech

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel 3 года назад +2

    👏👏 vision & knowledge

  • @paulmhando2661
    @paulmhando2661 3 года назад

    Nakubaliana 100% Tusipokuwa Maono na Ajenda ya Nchi. Nchi haiwezi kupiga hatua.

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 3 года назад +3

    safi sana gwajima km kweli hayo yanatoka moyon Mungu na akubarik ila km ni lengo la yule mwovu nyum ya pazia na ushindwe ktk jina la kristo

  • @deushope5608
    @deushope5608 3 года назад

    Asante asikufu Asante Sana baba umejuwa kunifuraisha.

  • @jeradbendiliba3828
    @jeradbendiliba3828 3 года назад +3

    🙏🙌🙌🙌 gwaji boy wasio kupenda watazimia

  • @allymwakibinga442
    @allymwakibinga442 3 года назад +1

    Safi Sana,unadhihirisha kuwa wewe ni Askofu mbeba maono ya watanzania miaka mingi ijayo.Asante Sana kiongozi 🙏🙏

  • @asifiwempagama27
    @asifiwempagama27 3 года назад

    Safi mbunge wetu,Mheshimiwa Josephati Gwajima umezungumza point kubwa itendewe kazi kilichobaki.

  • @FrankJohn-ij2uh
    @FrankJohn-ij2uh Год назад

    namkubarii Sana'a

  • @esthergasper8086
    @esthergasper8086 3 года назад

    Excellent.

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 3 года назад +3

    Mtumishi wa Mungu amejaliwa hekima na busara. Hiki ni kichwa wajameni

  • @josephbahati1607
    @josephbahati1607 3 года назад +3

    Huyu ndiye mbunge anae takiwa akiendelea hivi walaiiiiiii anakuja kuwa kiongozi mkubwa sana komaa baba

  • @mkatejoel179
    @mkatejoel179 3 года назад

    Safi sana gwajima

  • @maryaidan7745
    @maryaidan7745 3 года назад +2

    We nakukubali San baba angu josephat ngwajma

  • @papawaroma
    @papawaroma 3 года назад

    This man Ndugu Gwajima is not only a man of GOD, not only a normal african politician but a true visionary leader. This particular speech should be taken seriously by CCM. We want to see Tanzania is moving ahead where Ndugu JPM left, anything short of that CCM should change the leadership as soon as possible. CCM SHOULD BY ALL MEANS POSSIBLE SHOW LEADERSHIP NA KAZI IENDELEE.

  • @homelandsstudios.6624
    @homelandsstudios.6624 3 года назад +4

    Akili kubwaa sanaa gwajimaa

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 3 года назад +24

    Katika mtu ambaye nilikua nnamchukia bila sababu ni Geajima yaaan nimemsikiliza ad nafs yangu inanisuta dhaaa %100 nnapa

    • @reginaphilimon782
      @reginaphilimon782 3 года назад +3

      Kwel bhana hyu baba 🔥🔥

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 3 года назад +2

      Gwajima ni kama sindano inapenya polepole kwa mwili askofu tza

    • @chrispinwilliam3784
      @chrispinwilliam3784 3 года назад +2

      Hicho chuma mzee ukikifuata nawe utakuwa chuma

    • @thomasmallya2972
      @thomasmallya2972 3 года назад

      @jenny Morgan wewe makalio kweli kama umezoea kutongozwa cyo woote wanaachia kama wewe pimbi wewe

    • @thomasmallya2972
      @thomasmallya2972 3 года назад

      @jenny Morgan mbona unafura inaonyesha unaachiaaga tundu msenge wewe

  • @majabamagana4149
    @majabamagana4149 3 года назад +1

    Bishop ubarikiwe sana kwa kuliona hili janga la kitaifa. Nadhani Bunge hili halitaisha bila kuja na hii hoja kama maono na mpango wa taifa kwa miaka angalau 50. Actually umedai katiba mpya kiujanja sana na kwa namna isiyoweza kupingwa

  • @doricemtungi277
    @doricemtungi277 3 года назад +8

    Leo ndo nimeelewa nin maana ya katiba Mpya

  • @elimidakashumba2422
    @elimidakashumba2422 3 года назад +1

    Kikubwa wawakilishi wa watamzania, viongozi walioshika madaraka mjue kwamba watqnzania tumechoka na umaskini, kuishi maisha yasiyokuwa na mwangaza, kukosa huduma muhimu na za lazima. watamzania na sisi tumataka ifike wakati tuww kama wachina wanafikia wakato na kugeuka nyuma na kusema miaka flani au kadhaa iliyopita tulikiwa maskini na sasa ni tajiri tunachuana na nchi tajiri. kwqni kinachoshindikana kwetu ni nini zaidi ya sababu tulizosoma shuleni na kuzikariri miaka kenda rudi. kumbe hakuna haja ya kujua sababu ya tatizo, kujua sababu haisaidii kama huna nia, moyo, shauku ya kutatua tatizo.

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 3 года назад +1

    Nasema nimekuerewa mkuu uko vizuri marais wajifunze kwa hotuba hii

  • @dianadenis7557
    @dianadenis7557 3 года назад +3

    Big up upo sawa kabisa ubarikiwe

  • @experiuskamugisha6863
    @experiuskamugisha6863 3 года назад

    Hongera sana Gwajima kwa ushauri mzuri juu ya taifa letu

  • @carolinerubeya7817
    @carolinerubeya7817 3 года назад +1

    Genius...👍

  • @simu2008
    @simu2008 3 года назад +1

    Well said, serikali ichukue huu ushauri, na ndivyo wanavyofanya hata mataifa yaliyoendelea,

  • @alextercisio
    @alextercisio 2 года назад

    Big up Mr gwajima we need such vision people in Kenya

  • @edujuseedward6750
    @edujuseedward6750 3 года назад

    Good point Mr Gwajima

  • @priscampagama9939
    @priscampagama9939 2 года назад

    Thanks

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 3 года назад +24

    Huyu jamaa ni kichwa sanaa Ana akili za kupitiliza

    • @tinakivunge6755
      @tinakivunge6755 3 года назад

      💯

    • @yureboytv6209
      @yureboytv6209 3 года назад

      Nabisa

    • @stellandege5594
      @stellandege5594 3 года назад

      @Mimi Miso hapana Labda sijaweka sawa yani huo ni msemo wa vijana tuu mtu anafanya vema mpka anaboa yani kamsemo Gwajima yuko sawa sn nmkubali sn na Mungu amtangulie kila penye uzito amfanyie wepesi

  • @kapilykahera7883
    @kapilykahera7883 3 года назад +1

    Hotuba nzuri Sana hongera gwajima

  • @davivancee9991
    @davivancee9991 3 года назад +1

    Big up sana Gwajima tunataka viongoz Kama Gwajima sio wa kina Nape wapingaji

  • @jeremihraphael3259
    @jeremihraphael3259 3 года назад

    Daaaaah HUYU ASKOFU ANAONGEA VITU VYA MAANA NATAMANI AWE RAIS

  • @amoudhzahoro6145
    @amoudhzahoro6145 3 года назад +3

    This guys is good, anatema cheche safi itakuwa vizuri kama maneno pia anayafanya kwa vitendo.

    • @sophiasophia6945
      @sophiasophia6945 3 года назад +1

      Hawez kufanya peke yake kama wenzie hawatamuunga mkono

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 3 года назад

      kwa kuwa tumeumnwa na talent tofauti basi huyu amenene na wengine watende kama yeye hawwi yote.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 года назад

    Congratulations Gwajima bishop .

  • @georgelameckbudeba3373
    @georgelameckbudeba3373 3 года назад +11

    Huyu jamaa namuona mbali sana...anafaa kuwa raisi wetu watanzania

  • @masanjanyanda9775
    @masanjanyanda9775 3 года назад

    Hakika Gwajima umeongea bila kufuata ushauri uliousema hakika tz haiwezi kusonga mbele kimaendeleo mungu akubariki sn sn askofu Gwajima

  • @priscajacob18
    @priscajacob18 3 года назад

    Good point

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 3 года назад

    Najua hekima yaki Mungu ipo ndani yako uishi ndani ya Mungu uweponi mwake ukae ndaima

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 3 года назад +2

    Safi sana

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 3 года назад

    Amina

  • @estherdonald2833
    @estherdonald2833 2 года назад

    Huyo alushaiona kesho ssfi sn bb askofu gwajima

  • @gildasnyaki3812
    @gildasnyaki3812 3 года назад +9

    Hizi ndizo point tunazotaka bungeni, upana wa kufikiria

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 3 года назад +3

    Safi wambie kaka

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 года назад +1

    U are so intelligence!

  • @dannywello9458
    @dannywello9458 3 года назад +1

    Mwisho wa siku Askofu Gwajima unakuja kuwa Rais wa WaTanzania 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 3 года назад

    True pastor

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 3 года назад +2

    Hawa ndio watu tunaowataka bungeni👏👏👏👏👊

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 3 года назад +7

    Ulichelewa sana kuingia huko bungeni bishop ila Mungu ukupandishe mwisho wa siku uwe waziri

    • @ramadhanimahongole8764
      @ramadhanimahongole8764 3 года назад +1

      kuwa waziri pekeake haitoshi maono yake ni makubwa sana anatakiwa awe rais kbs wa nchi hii hapo tutapata faida ya future yake

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 года назад +1

      @@ramadhanimahongole8764 Naunga mkono gwajima anaakili sana

    • @kurwpaul1134
      @kurwpaul1134 3 года назад

      Vyema sana Gwajima

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 3 года назад

    Amimi amimi amini paster

  • @joakeemrutale198
    @joakeemrutale198 3 года назад +1

    Be blessed

  • @bettyjosephseth1593
    @bettyjosephseth1593 3 года назад

    Mungu akusimamie mbunge wetu wa.kawe.unamaono ya.mbali sana.wana kawe hatujakosea kukuchagua

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena5136 3 года назад +14

    "Kama hatuta Fanya hivi tuna hatari"

  • @georgenducha6856
    @georgenducha6856 3 года назад +1

    Word respect ✊

  • @johnchristopher1024
    @johnchristopher1024 3 года назад +4

    Fact 👏👏👏👏👏

  • @alikarisa
    @alikarisa 3 года назад

    Safi Askofu Gwajima. Na hiyo vision ni sasa

  • @sophialalika1383
    @sophialalika1383 3 года назад

    Excellent. Tz will make the difference!!

  • @akothbake3602
    @akothbake3602 3 года назад

    He’s very smart📌

  • @julianamasunga700
    @julianamasunga700 3 года назад +1

    Yaaani kura yangu niliweka sehemu sahihi kabisa safi ngwaji boy...siyo utopolo mwingine huo ....RIP Jpm