UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 дек 2019
  • UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
    Dec 9, 2019 Rais Dkt John Magufuli ameongoza maelfu ya watanzania katika sherehe za miaka 58 ya uhuru na miaka 57 ya Jamhuri.
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    ruclips.net/user/playlist?li

Комментарии • 405

  • @scolabahame2214
    @scolabahame2214 3 года назад +140

    Dah wangapi wamekuja hapa baada ya kufaliki rais wetu 😭😭

    • @salmaluhombero8466
      @salmaluhombero8466 3 года назад +1

      Siamini mpaka leo kazi ya mungu haina makosa

    • @scolabahame2214
      @scolabahame2214 3 года назад +1

      Inauma Jamani dah

    • @evflorasoledad1437
      @evflorasoledad1437 3 года назад +1

      Ni uchungu ila inabidi tukubali ameondoka usoni mwa dunia, may his soul RIP.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      😭😭😭🥺🥺

    • @ignaciohugo1334
      @ignaciohugo1334 2 года назад

      i know Im asking randomly but does anybody know a tool to get back into an instagram account?
      I stupidly forgot my login password. I appreciate any help you can give me.

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 3 года назад +32

    Sikujua Kama nilikuwa nakupenda kiasi hiki, kila ninapokuona najikuta ninalia nashindwa kujizuia,
    Lala kwa amani Rais wetu mpenzi watanzania tutaendelea kukupenda baba, pumzika kwa amani, vijana tutakuenzi kwa kufanya kazi kwa bidii

  • @eliathomas8446
    @eliathomas8446 3 года назад +52

    Sijawah mpenda mtu Kama nilivyompenda. Huyu

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 3 года назад +4

      Yaani ata mtu kuongea mengi unaogopa kuogopa kukufuru Sana alikuwa na chita ya ajabu,alafu kinachotuuma alituonesha Tanzania sio masikini elaipo,miaka 5 Tanzania imebadirika, Dodoma imependeza ,wengine walikuwa wafungua mibank nje ya nchi kuficha ela wanaichi,nchi inanuka lakini yeye ametuonjesha,wengine tuko mbali atuli kulia tu,mda mwengine nasema angemfikishia miaka kama ya mkapa,huyu baba ameniumi kama nilivyo kafiwa na wazazi wangu wote wawili, mtoto wangu alifia tumboni Sina tena mtoto leo baba yetu inauma,tuko nchi zawaru tulikuwa wanatuheshimu kumogopa yeye sasa leo atapatikana kweli kama huyu.

    • @happynessmsele3638
      @happynessmsele3638 3 года назад +2

      Yani weacha tu tulimpenda sana rais wetu ila mwenyez mung kampenda zaidi
      hatuna jinsi nikumwombea 2

    • @gracejulius3966
      @gracejulius3966 3 года назад

      Same to Me . Am so confused

    • @hemednassour4763
      @hemednassour4763 3 года назад

      umempita mpenzi wako kwa upendo

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 года назад

      Mie mwenyewe nashangaa kifo chake kimeniuma Sana mpaka Leo hi mwaya 😭😭😭

  • @smmak7140
    @smmak7140 3 года назад +6

    Nitakukumbuka daima JPM , hakika niliupenda sana uongozi wako kwangu mimi nasema we ni rais bora sana kuwahi kutokea hapa Tanzania ! Hatuna budi zaidi ya kumshukuru mungu tu

  • @carolinemugoli1140
    @carolinemugoli1140 3 года назад +22

    😭😭😭😭 Nenda baba weye nenda tu, kaongoze wa malaika Mbinguni kwa baba RIP dady I will love you forever

  • @deogratiuskweka8488
    @deogratiuskweka8488 3 года назад +10

    He has lived his life fully in a great way for his country! Tuliobaki tumejifunza sana! Kwa yote hayo tuna mshukuru Mungu!

  • @marykingi30
    @marykingi30 3 года назад +27

    Machoni umetuondokea moyoni utabaki milele😭😭😭💔💔

  • @jamesmagumba6370
    @jamesmagumba6370 4 года назад +12

    Wooow That is my president may god protect you and give you more Wisdom to lead and guide and protect our motherland Tanzania!! Mungu Ibariki Tanzania

  • @rjkadelo6315
    @rjkadelo6315 4 года назад +102

    Tz mfano baran Africa like zenu jmn

    • @petermarua1375
      @petermarua1375 4 года назад

      Ur just stupid asking for likes are u fightin self confidence

    • @abdulahiramadhan2000
      @abdulahiramadhan2000 4 года назад

      Ubora uko wapi hapo sasa ukilinganisha ara na Burundi are more advance and exemplary to many. ..

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 года назад +2

      @@abdulahiramadhan2000 ww unatakaa boraa gan zaid ya amani kobe ww

    • @wizydeko1496
      @wizydeko1496 3 года назад

      Kweli

    • @ezekielmburu3418
      @ezekielmburu3418 3 года назад

      Kama jeshi lenu wanavaa mavazi yenye rangi white,red ambazo hazimo kwa bedera yenu, what flag do your forces defend

  • @estarjuma7983
    @estarjuma7983 4 года назад +35

    Naipenda Tanzania 🇹🇿 yang ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 4 года назад +4

    Nakupenda sana Rais wangu John Pombe Magufuli MUNGU akupe afya njema maisha marefu wewe pamoja na familia yako ubarikiwe sana kwa moyo wako wa uzalendo na upendo WA kweli kwa wananchi wako bila ubaguzi wa kisiasa kidini wala kikabila

  • @joanatemo1858
    @joanatemo1858 4 года назад +40

    Rais mchapa kazi nampenda sana mwaminifu hapendi ufisadi,anawajali wanyonge..huku kwetu ni ufisadi tu.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @steveswakei9600
      @steveswakei9600 4 года назад

      Kwenyu ni wapi? Mtu aitwaye lutu ama ruto wa kwenu huyo kweli?

    • @ummybabe1600
      @ummybabe1600 4 года назад +1

      @@steveswakei9600 hahaa 😹 😹 😹

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 4 года назад

      Sasa wewe hauijui Tanzania. Magufuli ni Fisadi sana haujui tu. Uliona wapi Rais anafanya manunuzi ya mali za umma hata Waziri wa fedha na wabunge hawajui ha ha ha ha. Aliwakuta Watanzania ni wapole na elimu yao Duni sana. Hata Rais wa Marekani hafanyi purchasing ya Mali ya Umma. Mwishi tulichelewa kujua hizi sherehe zinafanyikia kwenye miamba tungeshamaliza kazi.

    • @ahmedibrahim-bg2uz
      @ahmedibrahim-bg2uz 4 года назад +1

      Jomba kwenu wapi CCM Chama Cha Matapeli huku Kuna super super corruption

    • @jameskanai1011
      @jameskanai1011 4 года назад

      I actually dont know whether to laugh or cry...

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery5798 3 года назад +6

    Dah! Nmemis sana Magufuli wetu mie! Basi tu... Eeeh Mungu muweke mahali pema peponi kiongozi wetu mashuhuri, jasiri asiyejikweza, Mwenye mapenzi na nchi yake, mzalendo na mtetezi wa Wanyonge

  • @metrinemetrine3449
    @metrinemetrine3449 3 года назад +4

    Alikua wa kipekee Rais maghufuli pumzika baba God has already given you the crown

  • @twaliathandrea6610
    @twaliathandrea6610 3 года назад +5

    😭😭😭😭imetuuma kwa mtu wa fraha wa ukweli mkakamavu,jasiri,mwenye mapenzi kwetu. Ila kazi yamungu haina makosa. Amepumzika mwanaume. Dunia imejifunza kitu kutoka kwake

  • @peterwaithaka576
    @peterwaithaka576 4 года назад +12

    Hakuna rais ninayempenda duniani Kama magufuli

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix8596 3 года назад +25

    CHUMA KIMESEPA DAAH

  • @ibrahimjumu2968
    @ibrahimjumu2968 3 года назад +8

    I love this ceremony.
    Great leader ever RIP .
    Never forgotten

  • @mekajamtv9603
    @mekajamtv9603 4 года назад +30

    Wanaosubiria uteleze watasur sana,big up our prezda

  • @elizabethbwakila6078
    @elizabethbwakila6078 3 года назад +9

    Baba weweeee mbona umetuweza wenzio😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭ahhhh RIP.

  • @eliajoseph6865
    @eliajoseph6865 4 года назад +7

    Nampenda raisi wangu Nani atavaa kiatu chake EE MUNGU mjalie afya njema J J POMBE MAGUFULI

  • @christinamsuya8857
    @christinamsuya8857 3 года назад +4

    Baba umelala ,aah! Kwel hatutakuona tena hapa dunian nenda baba😭😭😭😭😭

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 3 года назад +4

    Mungu akupe afya njema Rais Makufuli uinyanyue tanzania iyonekane kama inchi nyingine yaarabi. 🤲🤲 Nimezaliwa tanzania nimesoma tanzania ingawa wazazi wangu NI waarabu nasasa niko KWA wazazi wangu Oman bado nasema tanzania NI KWA mabibi nzangu tanzania hoyeeeeeee NA chama cha ccm kindumu👍👍💕💕💕💕

  • @maikomaneno639
    @maikomaneno639 3 года назад +1

    Ee Mungu baba ilaze roho ya rais wetu magufuli mahali pema peponi amina na tujaalie aje raisi mwengine kama huyu tanzania tunakuomba baba Mungu amina

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 4 года назад +4

    Rais wetu huyooo hongera Sana Rais wawanyonge mungu akubariki Sana shukraan kwa wote mlioko uwanja wa CCM kilumba

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 года назад +5

    son of Suzana and Joseph Magufuli! salute!!!

  • @jaffarkhamis1061
    @jaffarkhamis1061 4 года назад +2

    Penda sana raisiiiii wa mimi mungu mbariki raisi wetu mungu inabariki Tanzania yetu hadiiiii rahaaaa ett

  • @tayomanzesekilosa.7149
    @tayomanzesekilosa.7149 4 года назад +6

    Golden state, golden Man never made twice, Mwamba wa Tanzania,,,asant MUNGU.

  • @hyasintndimbo2998
    @hyasintndimbo2998 3 года назад +13

    😭😭😭
    R.I.P BABA YETU

  • @jocentmakule3861
    @jocentmakule3861 4 года назад

    Nampenda Rais wangu Mungu ampe maisha maref na hekima kubwa alio nayo ya kuliongoza Taifa hilli kwa maadili ya dini zote

  • @josephmuchiri3180
    @josephmuchiri3180 2 года назад +1

    Daaaaa?siamini nampenda sana GENERALY MAGUFURI

  • @giovanyke
    @giovanyke 3 года назад +2

    LALA salama mheshima Rais

  • @lazarosilayo6918
    @lazarosilayo6918 4 года назад +11

    Wanausalama mpaka kwenye mistari ya kukaguliwa gwaride na nyieee mpooo,.. Eeeh!! 🙄,..
    Big up Mh. Presdent, Magufuli🙏

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 4 года назад +10

    Mkuu wa majeshi Mabeyo Smart saana....
    Amenifurahisha alivyoeenda ku synchronize steps za sir President....
    Awesomeness

  • @mariamuselemani153
    @mariamuselemani153 4 года назад +1

    Penda Sana rais magufuli penda Sana nnchi yangu Tanzania mungu atuhifadhi tuwe na upendo daima

  • @mosesjames3627
    @mosesjames3627 4 года назад +30

    Rais mkakamavu maamuzi makakamavu vijana wakakamavu ..safi sana

    • @elishaworkout6116
      @elishaworkout6116 4 года назад

      😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 umenfrahisha sana

  • @okamasnr4891
    @okamasnr4891 3 года назад +3

    This guy was so simple indeed...Hakuna story ya red-capert

  • @leanahbusanga8272
    @leanahbusanga8272 3 года назад +2

    Dah unauma 😭😭😭😭😭 rip baba

  • @sheiykingtv3713
    @sheiykingtv3713 3 года назад +3

    Rip Jembe la kazi..... We shall live to remember your tremendous work for Tanzania

  • @isaacsimi3711
    @isaacsimi3711 4 года назад +3

    Napenda Tanzania sana....Mungu awabariki sana🙏🙏🙏

  • @evelinamatete7474
    @evelinamatete7474 3 года назад +7

    Tutakukumbuka daima R I P JPM

  • @kaicy165
    @kaicy165 3 года назад

    Mwenyezi MUNGU ailaze roho yako katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume,mimi nitakupenda daima rais wangu.

  • @jocentmakule3861
    @jocentmakule3861 4 года назад +1

    Nipende kutoa pole kwa wana was Burundi kwa kumpoteza President Pierre Mungu awape wepesi

  • @nureyna629
    @nureyna629 3 года назад +4

    17.03.2021 will always be remembered.

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 3 года назад +1

    Dah lala in Peace baba wa taifa na rais shupavu wa Tanzania. Ninakukumbuka sana. Nchi sasa doesn't look the same.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 года назад +7

    Rest In peace Rais wetu, Allah akupumzishe kwa Amani 👏

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 4 года назад +1

    Amen Amen. Mungu atupe upendo na amani na mshikamano was kweli. Amen.

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 3 года назад +1

    Hahaaaaa nenda tu baba yangu nitakupenda daima💔💔😭ulikua na roho saf wanaokuchukia ni vyeti feki na mafisad hata ss tunajua

  • @hadikastro5154
    @hadikastro5154 4 года назад +1

    Aman full of wisdom and knowledge

  • @makoyenyerere6521
    @makoyenyerere6521 2 года назад +1

    Tutakukumbuka Ndugu Yetu 🙏😭🙆😭😭😭😭

  • @fadhiliakida8609
    @fadhiliakida8609 4 года назад +6

    Proud of my country

  • @jamilaomariomari8328
    @jamilaomariomari8328 3 года назад +3

    We shall miss u indeed u were avery great man😭😭😭😭

  • @frankmbiri8321
    @frankmbiri8321 4 года назад +1

    Very clear and concise

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 3 года назад +4

    Chuma kimeenda aisee 💔💔💔💔😭

  • @staziusmagoma4502
    @staziusmagoma4502 2 года назад +1

    Once upon time in Tanzania

  • @ridilumuluabo2656
    @ridilumuluabo2656 3 года назад +15

    Je suis de la Rdc et je pleure Jhon Magufuli. c'est un grand homme que l'afrique a perdu...💪

    • @raissafabien4285
      @raissafabien4285 3 года назад

      Et moi aussi. Nous perdons second thomas sankala. Les africais doivent de chercher l indépendance totale

  • @mosehweru
    @mosehweru 3 года назад +1

    This stadium... Really?

  • @ashantisamuel1685
    @ashantisamuel1685 4 года назад +21

    Rais Magifuli tunajivumia uwepo wako, tunatamani utuongoze milele😊

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 2 года назад +1

    Kila nikitazama matukio yako naona kama bdo hujafa dad jmn😭😭uchungu hautaisha kukaa nikikukumbuka

  • @ssjuma
    @ssjuma 4 года назад +3

    I really likes him, much love Mr. President Magufuli

  • @sophiakasana2937
    @sophiakasana2937 4 года назад +3

    Penda sana Raisi wangu wa Tz

  • @paulmukopi2089
    @paulmukopi2089 3 года назад +2

    So far, nobody has done it like president Moi

  • @ersimon9689
    @ersimon9689 4 года назад +7

    He was just happy the gruesome boring march is finally over

  • @nikumwalemba4841
    @nikumwalemba4841 4 года назад

    Tanzania yetu, Mungu Ahsante kwa Baraka zako ndani ya nchi yetu

  • @bensonleeshunia1047
    @bensonleeshunia1047 Год назад

    Hallelujah brother

  • @mwanawevhudangwe7772
    @mwanawevhudangwe7772 3 года назад +1

    there will never be another Magufuli for Africa, will miss this man forever

  • @bethuelkiprono6139
    @bethuelkiprono6139 4 года назад +2

    oflate I admired Magufuli and Tanzanian life but with this parade KENYA has a very beautiful one. alot mistakes as compared to the one for KDF
    but it's good it has involved other security forces in Kenya it is kdf only. anyway ni TZ

  • @jacktonlazarus2557
    @jacktonlazarus2557 4 года назад +16

    Uyo komanda kweli aje Kenya afunzwe drill

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 4 года назад +1

      Kabisa

    • @nyarurui78
      @nyarurui78 4 года назад +1

      He sounds timid and looks frail this was Kenya in 1966

    • @osm721
      @osm721 4 года назад +1

      I saw this and felt pity for them

    • @annikhaoya470
      @annikhaoya470 4 года назад

      Kenya yetu mambo fine🤣👍

    • @richardmshindi2702
      @richardmshindi2702 4 года назад

      Iko nini mbaya na nyinyi mko na wivu ama

  • @fahadsaid9616
    @fahadsaid9616 3 года назад +3

    I am going to miss you my president 💔

    • @emjay1016
      @emjay1016 3 года назад

      Fahad mwanasheria hujambo

  • @elizabethjulius
    @elizabethjulius 2 года назад +1

    We really miss you daddy 😭😭😭😭😭😭

  • @mysoulvideos8050
    @mysoulvideos8050 4 года назад

    Hongera mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli, nakupenda kwa kazi yako Tanzania nikiwa Kenya!!!!

  • @dwomakueni1322
    @dwomakueni1322 4 года назад +2

    In Kenya kukagua gwaride is just simple. Mambo ya kuchokesha rais, hio hatuna. Magufulu must have been tired baada ya kukagua mpaka wa band.

  • @rjkadelo6315
    @rjkadelo6315 4 года назад +5

    Ogopa moja na zero watasubir sana

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 3 года назад

    mchapa kazi God bless him

  • @hawamohamedy1914
    @hawamohamedy1914 3 года назад +2

    Ningumu kukusahau ,naumia sana

  • @hassanjomaa2313
    @hassanjomaa2313 4 года назад +8

    Mbowe mtasubiri sana

    • @cholowao
      @cholowao 4 года назад

      Bado wanasubiri kumbe haha

  • @essauphilimen667
    @essauphilimen667 4 года назад +4

    Nakupendaa Sanaa Raisi we2

  • @rehemajoshua2022
    @rehemajoshua2022 4 года назад

    Big up Sana Rais Wangu, barikiwa Sana.

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 3 года назад

    Kwaukweli aliyemtoa Uyu Raisi wa Tz wanyonge uhai,je anaziona izi video zinazotutoa machozi😭😭😭😭😭😭😭 siye watanzania wanyoge!!!!!!!hakika JPM katutoka machoni mwetu 😭😭😭😭😭😭 Ila rohoni zetu ataishi Daima, 😭 Magufuli 😭 Magufuli mahakama Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania

  • @huseinramadhan184
    @huseinramadhan184 4 года назад +5

    Rais wetu huyooooooooooo,,,, miaka ishilin tena itapendeze Sana

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 4 года назад

      Watu walio wajinga na Wapumbavu wanafikiri fedha zinazofanya miradi ya maendeleo nchini zinatoka mfukoni mwa Magufuli. Hizi ni kodi za Watanzania wote zikiwemo na fedha za uporaji zilizoporwa kwa baasdhi ya Watanzania wenye kujua kutafuta na kumiliki mali zao binafsi. Haiwezekani wote tuwe sawa hata kidogo. Hata Mwenyezi Mungu alivyotuumba alitutofautisha kwa viganja na vidole vyetu. Kwa kuwa Watanzania walio wengi hawapendi kazi wakiona mtu anafilisiwa wanashangilia kwa ajili ya wivu na husda. Mimi nakubali ana uwezo wa kusimamia nchi katika ujenzi wa miradi mbali mbali sasa najiuliza alishindwa nini kwa miaka 20 aliyokuwa Waziri wa ujenzi chini ya Mkapa na Kikwete. Moja kwa moja nagundua alikuwa anawahujumu wenzake. Wakati anafanya hujuma fedha zote alizipeleka kwa Kagame na kuanzisha mradi wa Tinga Tinga za Ujenzi wa Kampuni yake ya kujenga Barabara. Sifa, Ukabila, Udini, Upendeleo, Wivu, Ukanda, ndizo zinamponza Magufuli kuwa kiongozi mbovu sana kwa waliomtangulia. Wakati akitoa msamaha kwa wafungwa alisahau mikoa takribani mitatu. Nadhani Tanga, Kilimanjaro, Arusha hakunaga wahalifu. Mwisho mnaosifia kuwaachia wafungwa kwa nini hakuwaachia wagonjwa wenye maradhi Sugu, Wazee na Vichaa mnataka kuniambia wao hawana haki ya kuachiwa na mko tayari kuwalisha gerezani?.

    • @dennybrown7930
      @dennybrown7930 4 года назад

      @@evansmlalo4049 hhhh we we unachuki binafisi nauongo wako uwo yaani umepata raisi ambaye anaweza kumwambia mzungu hapana tunafanya hivi MTU ambaye haogopi nguvu za wakapitalisti sijui unataka raisi gani kumbe kweli mzungu alikuwa sawa kwamba Africa IQ in 65 tu kwanza we we yako ni kumi.

  • @glorykamasho1876
    @glorykamasho1876 3 года назад +1

    Daah!! Tutakukumbuka sana Magufuli😭😭

  • @oninaalay7167
    @oninaalay7167 8 месяцев назад

    Asante jenerali mabeo kwa ukakamavu uliotukuka na apumzike kwa amani rais wetu JPM 😢😢😢 😢

  • @cmpacomplex7981
    @cmpacomplex7981 3 года назад +1

    You will forever live in people's hurt Our Honorable President John Pombe Magufuli. Rest in Paradise Papa, we are coming for you.

    • @sarahyvonne4580
      @sarahyvonne4580 3 года назад

      Bt we need to see him back on friday

    • @cmpacomplex7981
      @cmpacomplex7981 3 года назад

      @@sarahyvonne4580 😥

    • @cmpacomplex7981
      @cmpacomplex7981 3 года назад

      @@sarahyvonne4580 his spirit lives in Pres. Samia Suluhu, his excellency will live forever

  • @agnessdavid2206
    @agnessdavid2206 4 года назад

    Safi sana mzee

  • @loukaskampouropoulos5700
    @loukaskampouropoulos5700 4 года назад

    Μπράβο πρόεδρε ο Θεός να σε έχει καλά .,Έκανες την Τανζανία κράτος συγχαρητήρια.

  • @dianawangechi101
    @dianawangechi101 4 года назад +2

    notice the black van moves along.. alafu hii jamaa iko na briefcase inafanya

    • @osm721
      @osm721 4 года назад +1

      Thank you man,am wondering too...Kenya is way beyond this joke

    • @issahmikaeel1703
      @issahmikaeel1703 3 года назад

      Oyaaa kila inchi na sheria zake....zenu msilete apa

  • @bigg9979
    @bigg9979 4 года назад +2

    Tarmac all your grounds pliz....I mean stadiums

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 4 года назад

      Sylvester Ruto We have so many things to do in Tz lether than that

  • @stellamwangwala8063
    @stellamwangwala8063 4 года назад +1

    Rais umenifurahisha

  • @mrperfect8852
    @mrperfect8852 3 года назад

    😂😂😂mzee huyu jmn kumb alkua na vituko kidogo.....tutamkumbuk sn

  • @cunada712
    @cunada712 4 года назад +2

    Dah huyo mzee hatar sana🤣🤣

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 4 года назад +1

    *Strong leadership*

  • @hassanali4838
    @hassanali4838 3 года назад

    nenda salama rais wangu

  • @timedysonmwakafwila870
    @timedysonmwakafwila870 4 года назад +3

    Kweli Leo ni siku yake mwache ajidai

  • @jackjoshua3666
    @jackjoshua3666 3 года назад

    Nafurahi kuangalia hapa lakini maumivu ni makali kumbe haupo Tena pumzika xalama baba💔💔😭😭😭

  • @mussanachingulu823
    @mussanachingulu823 3 года назад

    CHUMA...CHUMA...CHUMA...
    R.I.P mchora ramani wa pili wa Tanzania....

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 4 года назад

    Sisi tuliosoma enzi za mwl jeshi lilitusaidia kuwa wakakamavu. hongera sana mh Rais uko vizuri.

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад +7

    Nakuaminia amri jeshi mkuu wasiopenda wabane choo magufuri ndio rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 4 года назад +1

    Huyo hapo mbele mwenye bag anataka nn mbona kimbelembele?

  • @maigajohn702
    @maigajohn702 4 года назад +1

    Safi sana

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 4 года назад +2

    Good- Prezidar wetu Tunampenda saana kwakweli Shikamoo Mkuu