UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
HTML-код
- Опубликовано: 8 дек 2019
- UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
Dec 9, 2019 Rais Dkt John Magufuli ameongoza maelfu ya watanzania katika sherehe za miaka 58 ya uhuru na miaka 57 ya Jamhuri.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
ruclips.net/user/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
ruclips.net/user/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
ruclips.net/user/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
ruclips.net/user/playlist?li
Dah wangapi wamekuja hapa baada ya kufaliki rais wetu 😭😭
Siamini mpaka leo kazi ya mungu haina makosa
Inauma Jamani dah
Ni uchungu ila inabidi tukubali ameondoka usoni mwa dunia, may his soul RIP.
😭😭😭🥺🥺
i know Im asking randomly but does anybody know a tool to get back into an instagram account?
I stupidly forgot my login password. I appreciate any help you can give me.
Sikujua Kama nilikuwa nakupenda kiasi hiki, kila ninapokuona najikuta ninalia nashindwa kujizuia,
Lala kwa amani Rais wetu mpenzi watanzania tutaendelea kukupenda baba, pumzika kwa amani, vijana tutakuenzi kwa kufanya kazi kwa bidii
Kweliii kabisaaa daaaaah
Hakika
Acha tu huyu baba kajua kutuliza
Sijawah mpenda mtu Kama nilivyompenda. Huyu
Yaani ata mtu kuongea mengi unaogopa kuogopa kukufuru Sana alikuwa na chita ya ajabu,alafu kinachotuuma alituonesha Tanzania sio masikini elaipo,miaka 5 Tanzania imebadirika, Dodoma imependeza ,wengine walikuwa wafungua mibank nje ya nchi kuficha ela wanaichi,nchi inanuka lakini yeye ametuonjesha,wengine tuko mbali atuli kulia tu,mda mwengine nasema angemfikishia miaka kama ya mkapa,huyu baba ameniumi kama nilivyo kafiwa na wazazi wangu wote wawili, mtoto wangu alifia tumboni Sina tena mtoto leo baba yetu inauma,tuko nchi zawaru tulikuwa wanatuheshimu kumogopa yeye sasa leo atapatikana kweli kama huyu.
Yani weacha tu tulimpenda sana rais wetu ila mwenyez mung kampenda zaidi
hatuna jinsi nikumwombea 2
Same to Me . Am so confused
umempita mpenzi wako kwa upendo
Mie mwenyewe nashangaa kifo chake kimeniuma Sana mpaka Leo hi mwaya 😭😭😭
Nitakukumbuka daima JPM , hakika niliupenda sana uongozi wako kwangu mimi nasema we ni rais bora sana kuwahi kutokea hapa Tanzania ! Hatuna budi zaidi ya kumshukuru mungu tu
😭😭😭😭 Nenda baba weye nenda tu, kaongoze wa malaika Mbinguni kwa baba RIP dady I will love you forever
Tutakuezi
@@jacksonsolomon1948 kabisa
Msitushirikishe kufru zenu tafadhali..!
He has lived his life fully in a great way for his country! Tuliobaki tumejifunza sana! Kwa yote hayo tuna mshukuru Mungu!
RIP mwamba
Machoni umetuondokea moyoni utabaki milele😭😭😭💔💔
Wooow That is my president may god protect you and give you more Wisdom to lead and guide and protect our motherland Tanzania!! Mungu Ibariki Tanzania
Tz mfano baran Africa like zenu jmn
Ur just stupid asking for likes are u fightin self confidence
Ubora uko wapi hapo sasa ukilinganisha ara na Burundi are more advance and exemplary to many. ..
@@abdulahiramadhan2000 ww unatakaa boraa gan zaid ya amani kobe ww
Kweli
Kama jeshi lenu wanavaa mavazi yenye rangi white,red ambazo hazimo kwa bedera yenu, what flag do your forces defend
Naipenda Tanzania 🇹🇿 yang ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Aaaana kiongozz
Nakupenda sana Rais wangu John Pombe Magufuli MUNGU akupe afya njema maisha marefu wewe pamoja na familia yako ubarikiwe sana kwa moyo wako wa uzalendo na upendo WA kweli kwa wananchi wako bila ubaguzi wa kisiasa kidini wala kikabila
Rais mchapa kazi nampenda sana mwaminifu hapendi ufisadi,anawajali wanyonge..huku kwetu ni ufisadi tu.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kwenyu ni wapi? Mtu aitwaye lutu ama ruto wa kwenu huyo kweli?
@@steveswakei9600 hahaa 😹 😹 😹
Sasa wewe hauijui Tanzania. Magufuli ni Fisadi sana haujui tu. Uliona wapi Rais anafanya manunuzi ya mali za umma hata Waziri wa fedha na wabunge hawajui ha ha ha ha. Aliwakuta Watanzania ni wapole na elimu yao Duni sana. Hata Rais wa Marekani hafanyi purchasing ya Mali ya Umma. Mwishi tulichelewa kujua hizi sherehe zinafanyikia kwenye miamba tungeshamaliza kazi.
Jomba kwenu wapi CCM Chama Cha Matapeli huku Kuna super super corruption
I actually dont know whether to laugh or cry...
Dah! Nmemis sana Magufuli wetu mie! Basi tu... Eeeh Mungu muweke mahali pema peponi kiongozi wetu mashuhuri, jasiri asiyejikweza, Mwenye mapenzi na nchi yake, mzalendo na mtetezi wa Wanyonge
Alikua wa kipekee Rais maghufuli pumzika baba God has already given you the crown
😭😭😭😭imetuuma kwa mtu wa fraha wa ukweli mkakamavu,jasiri,mwenye mapenzi kwetu. Ila kazi yamungu haina makosa. Amepumzika mwanaume. Dunia imejifunza kitu kutoka kwake
Hakuna rais ninayempenda duniani Kama magufuli
CHUMA KIMESEPA DAAH
yaan ww acha dunia hii apana
@@pendooscar9322u
I love this ceremony.
Great leader ever RIP .
Never forgotten
Wanaosubiria uteleze watasur sana,big up our prezda
Halo! Kweli eatasubiri sana tu.
Halo! Kweli na watasubir sana tu
😊😊
🤣🤣🤣🤣 mi mwenye w niliwaza hilo bt nakuambuka shamba kwenekuhesabu hekari oyoooooo 🏃🏃
Haki tena hahahhaa
Baba weweeee mbona umetuweza wenzio😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭ahhhh RIP.
Yaani katukomoa mbonaaa.
Yaani huwezi Amin mbona tumeumbuka jamn
Nampenda raisi wangu Nani atavaa kiatu chake EE MUNGU mjalie afya njema J J POMBE MAGUFULI
Mi
Walah inauma sana
Baba umelala ,aah! Kwel hatutakuona tena hapa dunian nenda baba😭😭😭😭😭
Mungu akupe afya njema Rais Makufuli uinyanyue tanzania iyonekane kama inchi nyingine yaarabi. 🤲🤲 Nimezaliwa tanzania nimesoma tanzania ingawa wazazi wangu NI waarabu nasasa niko KWA wazazi wangu Oman bado nasema tanzania NI KWA mabibi nzangu tanzania hoyeeeeeee NA chama cha ccm kindumu👍👍💕💕💕💕
Asee jaman
Ee Mungu baba ilaze roho ya rais wetu magufuli mahali pema peponi amina na tujaalie aje raisi mwengine kama huyu tanzania tunakuomba baba Mungu amina
Rais wetu huyooo hongera Sana Rais wawanyonge mungu akubariki Sana shukraan kwa wote mlioko uwanja wa CCM kilumba
son of Suzana and Joseph Magufuli! salute!!!
Penda sana raisiiiii wa mimi mungu mbariki raisi wetu mungu inabariki Tanzania yetu hadiiiii rahaaaa ett
Golden state, golden Man never made twice, Mwamba wa Tanzania,,,asant MUNGU.
😭😭😭
R.I.P BABA YETU
He dd nt die,he wl be back on friday
Nampenda Rais wangu Mungu ampe maisha maref na hekima kubwa alio nayo ya kuliongoza Taifa hilli kwa maadili ya dini zote
Daaaaa?siamini nampenda sana GENERALY MAGUFURI
LALA salama mheshima Rais
Wanausalama mpaka kwenye mistari ya kukaguliwa gwaride na nyieee mpooo,.. Eeeh!! 🙄,..
Big up Mh. Presdent, Magufuli🙏
Naipnda Tanzania
Hatari fire hahahah
Rais magufuli nakupenda sana kwa uwaminifu wako duniani na utakuwa mwaminifu hata mbinguni
Naipenda Tanzania nchi yangu mungu azidi kuibariki na viongozi wetu
Mkuu wa majeshi Mabeyo Smart saana....
Amenifurahisha alivyoeenda ku synchronize steps za sir President....
Awesomeness
Wewe, hivyo ndivyo wewe huzungumza pia?
Penda Sana rais magufuli penda Sana nnchi yangu Tanzania mungu atuhifadhi tuwe na upendo daima
Mariamu Selemani amina
Rais mkakamavu maamuzi makakamavu vijana wakakamavu ..safi sana
😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 umenfrahisha sana
This guy was so simple indeed...Hakuna story ya red-capert
Dah unauma 😭😭😭😭😭 rip baba
Rip Jembe la kazi..... We shall live to remember your tremendous work for Tanzania
Napenda Tanzania sana....Mungu awabariki sana🙏🙏🙏
Tutakukumbuka daima R I P JPM
Mwenyezi MUNGU ailaze roho yako katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume,mimi nitakupenda daima rais wangu.
Nipende kutoa pole kwa wana was Burundi kwa kumpoteza President Pierre Mungu awape wepesi
17.03.2021 will always be remembered.
Dah lala in Peace baba wa taifa na rais shupavu wa Tanzania. Ninakukumbuka sana. Nchi sasa doesn't look the same.
Rest In peace Rais wetu, Allah akupumzishe kwa Amani 👏
Amen Amen. Mungu atupe upendo na amani na mshikamano was kweli. Amen.
Hahaaaaa nenda tu baba yangu nitakupenda daima💔💔😭ulikua na roho saf wanaokuchukia ni vyeti feki na mafisad hata ss tunajua
Aman full of wisdom and knowledge
Tutakukumbuka Ndugu Yetu 🙏😭🙆😭😭😭😭
Proud of my country
We shall miss u indeed u were avery great man😭😭😭😭
Very clear and concise
Chuma kimeenda aisee 💔💔💔💔😭
Once upon time in Tanzania
Je suis de la Rdc et je pleure Jhon Magufuli. c'est un grand homme que l'afrique a perdu...💪
Et moi aussi. Nous perdons second thomas sankala. Les africais doivent de chercher l indépendance totale
This stadium... Really?
Rais Magifuli tunajivumia uwepo wako, tunatamani utuongoze milele😊
Kila nikitazama matukio yako naona kama bdo hujafa dad jmn😭😭uchungu hautaisha kukaa nikikukumbuka
I really likes him, much love Mr. President Magufuli
Penda sana Raisi wangu wa Tz
So far, nobody has done it like president Moi
He was just happy the gruesome boring march is finally over
Tanzania yetu, Mungu Ahsante kwa Baraka zako ndani ya nchi yetu
Hallelujah brother
there will never be another Magufuli for Africa, will miss this man forever
Mwai kibaki, the best president ever
oflate I admired Magufuli and Tanzanian life but with this parade KENYA has a very beautiful one. alot mistakes as compared to the one for KDF
but it's good it has involved other security forces in Kenya it is kdf only. anyway ni TZ
Uyo komanda kweli aje Kenya afunzwe drill
Kabisa
He sounds timid and looks frail this was Kenya in 1966
I saw this and felt pity for them
Kenya yetu mambo fine🤣👍
Iko nini mbaya na nyinyi mko na wivu ama
I am going to miss you my president 💔
Fahad mwanasheria hujambo
We really miss you daddy 😭😭😭😭😭😭
Hongera mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli, nakupenda kwa kazi yako Tanzania nikiwa Kenya!!!!
In Kenya kukagua gwaride is just simple. Mambo ya kuchokesha rais, hio hatuna. Magufulu must have been tired baada ya kukagua mpaka wa band.
Ogopa moja na zero watasubir sana
mchapa kazi God bless him
Ningumu kukusahau ,naumia sana
Mbowe mtasubiri sana
Bado wanasubiri kumbe haha
Nakupendaa Sanaa Raisi we2
Big up Sana Rais Wangu, barikiwa Sana.
Kwaukweli aliyemtoa Uyu Raisi wa Tz wanyonge uhai,je anaziona izi video zinazotutoa machozi😭😭😭😭😭😭😭 siye watanzania wanyoge!!!!!!!hakika JPM katutoka machoni mwetu 😭😭😭😭😭😭 Ila rohoni zetu ataishi Daima, 😭 Magufuli 😭 Magufuli mahakama Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania
Rais wetu huyooooooooooo,,,, miaka ishilin tena itapendeze Sana
Watu walio wajinga na Wapumbavu wanafikiri fedha zinazofanya miradi ya maendeleo nchini zinatoka mfukoni mwa Magufuli. Hizi ni kodi za Watanzania wote zikiwemo na fedha za uporaji zilizoporwa kwa baasdhi ya Watanzania wenye kujua kutafuta na kumiliki mali zao binafsi. Haiwezekani wote tuwe sawa hata kidogo. Hata Mwenyezi Mungu alivyotuumba alitutofautisha kwa viganja na vidole vyetu. Kwa kuwa Watanzania walio wengi hawapendi kazi wakiona mtu anafilisiwa wanashangilia kwa ajili ya wivu na husda. Mimi nakubali ana uwezo wa kusimamia nchi katika ujenzi wa miradi mbali mbali sasa najiuliza alishindwa nini kwa miaka 20 aliyokuwa Waziri wa ujenzi chini ya Mkapa na Kikwete. Moja kwa moja nagundua alikuwa anawahujumu wenzake. Wakati anafanya hujuma fedha zote alizipeleka kwa Kagame na kuanzisha mradi wa Tinga Tinga za Ujenzi wa Kampuni yake ya kujenga Barabara. Sifa, Ukabila, Udini, Upendeleo, Wivu, Ukanda, ndizo zinamponza Magufuli kuwa kiongozi mbovu sana kwa waliomtangulia. Wakati akitoa msamaha kwa wafungwa alisahau mikoa takribani mitatu. Nadhani Tanga, Kilimanjaro, Arusha hakunaga wahalifu. Mwisho mnaosifia kuwaachia wafungwa kwa nini hakuwaachia wagonjwa wenye maradhi Sugu, Wazee na Vichaa mnataka kuniambia wao hawana haki ya kuachiwa na mko tayari kuwalisha gerezani?.
@@evansmlalo4049 hhhh we we unachuki binafisi nauongo wako uwo yaani umepata raisi ambaye anaweza kumwambia mzungu hapana tunafanya hivi MTU ambaye haogopi nguvu za wakapitalisti sijui unataka raisi gani kumbe kweli mzungu alikuwa sawa kwamba Africa IQ in 65 tu kwanza we we yako ni kumi.
Daah!! Tutakukumbuka sana Magufuli😭😭
Asante jenerali mabeo kwa ukakamavu uliotukuka na apumzike kwa amani rais wetu JPM 😢😢😢 😢
You will forever live in people's hurt Our Honorable President John Pombe Magufuli. Rest in Paradise Papa, we are coming for you.
Bt we need to see him back on friday
@@sarahyvonne4580 😥
@@sarahyvonne4580 his spirit lives in Pres. Samia Suluhu, his excellency will live forever
Safi sana mzee
Μπράβο πρόεδρε ο Θεός να σε έχει καλά .,Έκανες την Τανζανία κράτος συγχαρητήρια.
notice the black van moves along.. alafu hii jamaa iko na briefcase inafanya
Thank you man,am wondering too...Kenya is way beyond this joke
Oyaaa kila inchi na sheria zake....zenu msilete apa
Tarmac all your grounds pliz....I mean stadiums
Sylvester Ruto We have so many things to do in Tz lether than that
Rais umenifurahisha
😂😂😂mzee huyu jmn kumb alkua na vituko kidogo.....tutamkumbuk sn
Dah huyo mzee hatar sana🤣🤣
*Strong leadership*
nenda salama rais wangu
Kweli Leo ni siku yake mwache ajidai
Nafurahi kuangalia hapa lakini maumivu ni makali kumbe haupo Tena pumzika xalama baba💔💔😭😭😭
CHUMA...CHUMA...CHUMA...
R.I.P mchora ramani wa pili wa Tanzania....
Sisi tuliosoma enzi za mwl jeshi lilitusaidia kuwa wakakamavu. hongera sana mh Rais uko vizuri.
Nakuaminia amri jeshi mkuu wasiopenda wabane choo magufuri ndio rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania
Huyo hapo mbele mwenye bag anataka nn mbona kimbelembele?
Safi sana
Good- Prezidar wetu Tunampenda saana kwakweli Shikamoo Mkuu