Rais Magufuli alivyokata tiketi na kupanda Pantoni leo
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Rais Magufuli leo alitembelea Feri ambapo moja ya kitu amefanya baada ya kufika eneo hilo ni kujichanganya na Wananchi kukata tiketi kisha akapanda Panton kwenda na kurudi Kigamboni.
Kama unamukubali magufuli ni mtu wa watu gonga like apa.
Sku zote utakua nasi mioyoni mwetu
Ucle magu umenifanya nikukubali zaidi siku moja moja sio mbaya kufanya hivi, kama unamkubali unce MAGU gonga LIKE hapa. 👍👍👍😁
ibrahim humbo TV Safi sana rais wetu tuko nyuma yako
mmmh
😭😭😭😭yaani Huyu ni rais wa wanyonge Allah amkinge na kila shar wazanzibar igeni tabia ya huyu jembe acheni ukuda
@@hawaali8107 Anazingua ban Anajipendekeza tu saiv uchaguzi , me ananikera sana kwa sababu ya kuwafunga mashee wasio na hatia😔
Rais wa maana ndo huyuu maguli.
Wangapi tumekuja kuangalia baada ya kifo cha raisi wetu?
😭😭😭 mm aisee
Wengii tu bora nisiangalie hizi video maana najisikia kulia vile dah
Mim
😭😭😭😭😭
It's so painful 😭😭R. I. P. JPM
No one will ever replace him rest in peace magu
Umekuwa Rais wa tofauti sana nenda baba kapumzike upendo wako hautaondoka moyoni mwangu na kwa watanzania wengi 😭😭😭😭
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
Thank you for sharing your thought, he was a man of the people, humble and honest!
Daàh NANI ANAANGALIA BAADA YA KIFO CHAKE 🙄😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭🇹🇿🇹🇿🙏
Dah yani inauma sana
Hao waliopiga naye picha ndio wataria kwa sauti kubwa zaidi
Mimi Huku nalia
Pole sana Dadaangu
dah... uyu siyo raisi ni mkombozi... huwezi pendwa na wote, ila utapendwa na unapendwa na wengi..
asante Mungu kwa kutuletea kiongozi uyu..
Inaniuma Sanaa 😭😭😭😭
huyu ndo rais tulielewana tukimngoja kwa miaka mingi, nampenda Sana rais wa Tanzania. MUNGU akulinde rais wangu
julius katemi Isa.25:9"Katika siku hiyo watasema,Tazama,huyu ndiye MUNGU wetu,Ndiye tuliyemngija;Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja,Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake".MUNGU yuko ndani ya hili Taifa.
Natamani kenya siku moja nasi tupate km magu
Anajichanganya na wanyonge sio mjivuni ukijishusha utapandishwa aminaa rais wa wanyongee
Jamani kumbe magu alikua anajishusha hakuwai kujikweza lala salama uko uliko baba
Leo ayupo Duniani inaniuma 😭😭😭😭😭
Mara moja moja sio mbaya kulipa kodi kazi nzuri mkuu
Daaah 😥 mbona naona Kama ndoto hviii jmn 😭😭
Mbona katuondoka mapema sanaa Kiongoz wetu 🇹🇿
Mbele Yako nyuma yetu MW/ MUNGU akulaze mahara pema peponi 🙏
Mm nahisi kaenda kutembea atarudi
Kinachoniuma daraja la kijazi ubungi pale kafungua yeye ,aliumwa lini ,nawala hatujasikia homa yake ,Mara kafa khaaa inauma Sana.
@@m.mmarckus6298 so sad
Yan machoz ye2 anayaona
Ivi jaman mbona mm nashidwa kujizuia najikuta mda wote nalia😭😭😭
Sio peke yako tu my 😭😭😭😭
Inauma Mungu atusaidie
Jizuwie ndugu kisha muombe mungu sana atakupa amani
Sio wewe bas tuko wengi mie wakati mwingine naingia ndani nalia mapaka bas na sijajuwa ni kwanini kifo cha huyu Baba mpaka Leo kimeninyima raha we acha mwaya we 😭😭😭
Si wewe peke yako, tuko wengi! RIP JPM.
I love this president with all my heart thank you new born African son all the way from Rwanda
Oh this man was down to earth. Farewell pombe😭😭😭
Raisi wangu we ni mfano bora wa kuigwa katika nchi hii nakupendaa Mh. raisi wetu
Sina la kusema nakuombea dua roho yako ilale mahala pema peponi😭😭😭😭😭😭😭
hongera Rais ww kweli kipenzi chawatu wengene wasingeweza kufanya unayo yafanya hongera sana na MUNGU akubariki Amen!!
Still watching it
2022 may his soul rest in peace 🕊️✌️
Dhaa magufuli ni president wakipeke mashallah
Masha Allah
Nakukumbuka sana babaangu mungu akuhifadhi kamambinguni tunaonana basi tutaonana
Ma shaa Allah tanzania's b proud of ur prezo
My king my president my role model RIP JPM you lived for people you're my hero thank for your life.
A great president ! May the Almighty God bless you
Ameen yaraab alamiin
Baba tunakulilia mnooo tumeumia Sanaa😭😭
Jamani😢😢😢😢😢😢😢
Daaah wallah haito tokea habadani kumsahau magu wetu yarabi mungu atuwekee mahali pema magu wetu😢
Waliobahatika kupija picha nae watamkumbuka zaidi kwa siku kama ya leo baada ya kutangazwa amefariki 17-03-2021
Jamani watanzania mumepata rais mzuri kweli hanaga dharau anawapenda sana wananchi yake na hapendi kujionesha kama yy ni rais kila anapotembea awepo ndani ya gari kama vle marais wengine hata hatupati kumuona live wala kuenjoy nae kwa kupiga pic kama hapo wadada walvyokubaliwa kupiga pic nae, mungu awalindie rais wenu huyo anatabia yake pekee na hata pia kapitia sana maisha ya hivyo chochote kwake bora hata kukaa kwa mkeka akitandikiwa ana kaa hata ugali bila nyama anakula ni mtu aliejitambua katka hayo maisha na kujiamini zaidi, na hivyo ndio binadamu wengile waliojaliwa uwezo wakimaisha inatakiwa waige mfano kama huo, wakumbuke roho ndio utu mali si kitu.
Ningekua mm ninakauli rais wetu atawale milele mungu akulinde wa tanzania tunakupenda sana
Aiseee pole kwetu Watanzania roho zinaumia Sana huu ulikuwa zaidi ya upendo Magufuli alituonyesha Watanzania
Safi sana kiukweli mimi nimeipenda hii dah raha sana
Such a great, wonderful leader, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
This is fantastic.
Ni lazima apongezwe jmn rais.Magu kwa kazi nzuri
Penda sana Rais wangu Maisha marefu Aiseee
Mungu akupe maisha marefu rais wetu penda sanaaaa ahaaa misimamo yako God bless u.
Man of the people keep on resting in peace HEROO
I respect and love u sir may you Rest in peace
It pains me a lot to see my friend.JPM. my best president ever.
A man of the people,rest in eternal peace JPM you will always stay in my heart 😭😭😭😭😭😭😭😭
Safi Sana President
much respect Mr president ,,,,hapa kazi tuuu
Inaniuma nafisi kumukosa nipenda mawazo yake kitafa
Walinzi wana kazi ngum. Kwa MH. Rais. Nimkupenda saana my President
May God give you long life to live...
Sadaka zake alizotoa zitamuokoa kwa muumba wake lazima tujifunze huyu jamaa sio rahisi alikua Yuko na Imani ya aina yake duh!
wakuu waliopita hawakufanya hivi huyu Raisi namkubali sana.
Fahad10 Una uhakika?
Alistair Elias ninauhakika sababu mimi ni mfatiliaji mzuri sana wa mitandao na habari tena kwamiaka mingi tu,ila nataka na wewe uniambie kiongozi gani unamkubali?
sisi wanadamu sijui kiongozi afanyeje ili aambiwe pongezi zake, kuna watu vyama vimewaingia ktk damu hata dini haina nafasi, kiongozi akifanya jema apongezwe hata kama hukumchagua, muogopeni mungu sote ni udongo tu tunapita
Zamaradi Hussein kabisa zama kuliko dini...Hatujui siku wala saa umeandika point
Zamaradi Hussein well said zama
amani sana.. hata mm ningepata hii fursa ningeitumia vilivyo. kuna watu hawajawah kukutana na rais tena mchapa kaz km mjomba john
Vizuri sana Mzee magu hauna ubaguzi
Man of the people
Utakumbukwa milele kweli mungu alikuleta kwa kusudiyo duniyani na amekuchukuwa bado tulikuhitaji sana
Rest In Peace Legendary...
Raisi wa wanyonge
daa anatia hadi raha jamani iwemfano kwa wengine
Ni ngumu kuamini kuwa rais wetu hatunaye tena 😭😭
Duuh furaha yetu ime eenda ghafula lamda tulikua tuna Ota bwana 😭😭😭😭😭😭😭😭
Waa God bless Mr Maguu i wish he cld cheif adviser to our president to Kenya tulikosea kwa ballot
Tulio Rudi kuitazama hii like twende sawa Rip
Yani kweli kazi ya mungu haina makosa najikuta nikilia kila saa
Baba unatulizajmn baba yn rais amejaaa upendo uyu. Acheni tufe natulie 😭😭😭
This is the blessing.
Mungu akuweke mheshimiwa yaani unatuonesha hali ya mtanzania tena mzalendo anaeipenda nchi yake hakika ww ni mfano wa kuigwa
Magufuli hizi video ni azina ya Tanzania 🇹🇿🇹🇿 tutajifunza sana, wasio kujuwa miaka ijayo tutaeaonyesha ivyo zitaishi, hii ni zama ambayo wengi tumeshuudia huongozi wako wanyerere sikushuudia na hata waliokuwepo wamekusifu wewe ni baba lao, TULIKUPENDA MUMGU KAKUPENDA ZAIDI BY BABA
😭😭😭Acha my nahata kama watakuwepo hata wawe wanaongoza nchi vizur ila hawatamfikia huyu baba kwa ucheshi wake 😭😭inauma
Huyo ndo rais wetu safi sana
Gonga like kama unaangalia huku unatoa bonge la tabasamu
Malazingine natamani ata kukufulu ila Kila nitazamapo matukio yako ayati uwa nalengwa na machozutu mwenyezi mungu akupe kauli thabiti mbele za haki😭😭😭
Ndio basi Tena tuli ishi na mtumishi wa mungu pasina kujua
huyo ni rais wa mioyo ya watu nampenda sana
Kweli hakuna mtu wa mfano kama raisi huyu. Kwan kuwa kiongozi aangali privilege kwan kama kuvuka asingelipa akapanda bure lakin kujua kuwa ni wajibu wa kila mtanzania kulipia kivuko na yeye kama mtanzania akalipia kivuko. Big up to Mr president
Patrick Christopher akachukua na chenchi 😺😺😺😺
Pamela Simon hahaha
Nilijua wengi wataangalia kwenye kipengere cha chenji.....hata mimi ni mmoja wao
Nakuelewaga saana mh. Magufuli
Gerald Mligo cheji lazm achukuwe make amefanya kamm raiya wa kawaida tuu hajatka kuonyesha ufahali wa kuacha hela
U are great man Africa we be proud of u RIP we love you but Allah loves you best
huyu mzèe yuko peace sana
ila ukimzingua
Niceta Masawe
😂😂😂😂
Uhuru na magufuli wanaweza kuwa sawa kweli?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani nimesikia rahaa sana mimi nampenda sana
Asante kipenzi wa watanzania tunaimani nawe utawale miaka mingi zaidi
Upendo wake,jitihada zake kusaidia wanyonge kiafya,kielimu,na kiuchumi hazipo tena leo.Mungu alitoa na Mungu alitwaa jina lake liimidiwe milele.Lala Baba yetu .😭😭😭
Umeacha vidonda ktk mioyo ya Watanzania
Hakika ameacha vidonda
Dah sinachakusemaa juu ya magufulii ilaa mungu ampe maishaa marefu
Nime amini wanawake tunapenda pc 🤣🤣 nenda salama baba💔🇹🇿🕯️😭
Nakupenda sana kiongozi wang daima mbele haturudi nyuma love you more💓💓💓💕💖💕👍👍👍💞💝💞💝💘💘👌👌
M/Mungu akupe nguvu mh. RAIS uweze kutimiza azma yako hasa ya kuleta maendeleo ktk taifa letu! Kwakwel hii nmeipenda!
upande wangu nampnda sana magu gongalike twende sawa
Mungu aendelee kukupumzisha uncle magu
uko juu baba
Respect! Mr president
Saaafi sana zats TZ we want
Uhuru angalia makufuli anavyoishi n wananchi wake
Hatar xan naenjoy
Top president I have not everseen be for
😂 0:15 kata wanee... ila big up mzee wetu wa kazi
Mungu ndie anae jua kifo chako kilitokana na nini Mungu ilinde Tanzania Mungu ibariki Tanzania Amen
Mungu ampe maisha marefu raisi wetu
Halafu hivi unadhan machozi yataisha ktk mbon zetu za macho thubutu nikiangalia clip zake muda woot machoz yana nimwagika Kama au sijui ninunue kiswaswadu maan nitakua sion kitu duuuh lala salama mpendwa wetu wa wanyonge
Masha Allah
Zubeda Mwanjirani Maashallah kwalipi ilihali anapewa mkono na huyo mlemavu anaukwepesha au anaogopa vile unashika chini??
Leila Kassim Acha uongo tazama vizuri ameinamisha mkono chini ili amufikie huyo kaka mlemavu....nawala hajauhepesha.....
Betty Lozie kwani inahitajika tochi kuona,??
Dah bas tu Mungu nMwema lkn Ina nPaiñ 🙏🙏🏼🙏🏼😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼!!!
Ahsante m/mungu kwa kutupa kiongozi
Asante Mh. Magufuli, tunayakujifunza mengi
Huyu ni zaidi ya rais
I love you baba
Mungu akubariki sana mhe.Rais wetu john pombe Joseph magufuli
umeonyesha uzalendo mkuui hata kama tunaisoma namba mm nakupenda sana
Dah inasikitisha sana. RIP JPM SON OF AFRIKA
Huyu kweli rais wa wanyonge
A man of the people
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭😭😭😭 Jamani munqu mrehemu
Magufuli is among the greatest African President
safi Mh.rais watanzania hatukukosea na tunaimani na wewe kiongozi