Rais Magufuli alivyokata tiketi na kupanda Pantoni leo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Rais Magufuli leo alitembelea Feri ambapo moja ya kitu amefanya baada ya kufika eneo hilo ni kujichanganya na Wananchi kukata tiketi kisha akapanda Panton kwenda na kurudi Kigamboni.

Комментарии • 710

  • @bashirkambale4573
    @bashirkambale4573 4 года назад +112

    Kama unamukubali magufuli ni mtu wa watu gonga like apa.

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv 7 лет назад +467

    Ucle magu umenifanya nikukubali zaidi siku moja moja sio mbaya kufanya hivi, kama unamkubali unce MAGU gonga LIKE hapa. 👍👍👍😁

    • @hashimabu6883
      @hashimabu6883 7 лет назад +6

      ibrahim humbo TV Safi sana rais wetu tuko nyuma yako

    • @magigeametisha9699
      @magigeametisha9699 6 лет назад +1

      mmmh

    • @hawaali8107
      @hawaali8107 5 лет назад +1

      😭😭😭😭yaani Huyu ni rais wa wanyonge Allah amkinge na kila shar wazanzibar igeni tabia ya huyu jembe acheni ukuda

    • @simonkaggwanjala9597
      @simonkaggwanjala9597 4 года назад +1

      @@hawaali8107 Anazingua ban Anajipendekeza tu saiv uchaguzi , me ananikera sana kwa sababu ya kuwafunga mashee wasio na hatia😔

    • @abdiwelidaud669
      @abdiwelidaud669 4 года назад

      Rais wa maana ndo huyuu maguli.

  • @msafitv8663
    @msafitv8663 3 года назад +251

    Wangapi tumekuja kuangalia baada ya kifo cha raisi wetu?

  • @ahmedsaidi438
    @ahmedsaidi438 2 года назад +48

    No one will ever replace him rest in peace magu

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 3 года назад +28

    Umekuwa Rais wa tofauti sana nenda baba kapumzike upendo wako hautaondoka moyoni mwangu na kwa watanzania wengi 😭😭😭😭

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +38

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 5 месяцев назад +1

      Thank you for sharing your thought, he was a man of the people, humble and honest!

  • @CTM.24Updates
    @CTM.24Updates 3 года назад +42

    Daàh NANI ANAANGALIA BAADA YA KIFO CHAKE 🙄😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭🇹🇿🇹🇿🙏

  • @germanuskalugwa1526
    @germanuskalugwa1526 7 лет назад +42

    dah... uyu siyo raisi ni mkombozi... huwezi pendwa na wote, ila utapendwa na unapendwa na wengi..
    asante Mungu kwa kutuletea kiongozi uyu..

  • @juliuskatemi6816
    @juliuskatemi6816 7 лет назад +84

    huyu ndo rais tulielewana tukimngoja kwa miaka mingi, nampenda Sana rais wa Tanzania. MUNGU akulinde rais wangu

    • @sarasifazabwana5743
      @sarasifazabwana5743 7 лет назад +5

      julius katemi Isa.25:9"Katika siku hiyo watasema,Tazama,huyu ndiye MUNGU wetu,Ndiye tuliyemngija;Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja,Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake".MUNGU yuko ndani ya hili Taifa.

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 4 года назад +3

      Natamani kenya siku moja nasi tupate km magu

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 3 года назад +2

      Anajichanganya na wanyonge sio mjivuni ukijishusha utapandishwa aminaa rais wa wanyongee

    • @magdalenaashery3742
      @magdalenaashery3742 3 года назад +1

      Jamani kumbe magu alikua anajishusha hakuwai kujikweza lala salama uko uliko baba

    • @rezegerezege691
      @rezegerezege691 3 года назад +1

      Leo ayupo Duniani inaniuma 😭😭😭😭😭

  • @denismethod1284
    @denismethod1284 7 лет назад +8

    Mara moja moja sio mbaya kulipa kodi kazi nzuri mkuu

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 года назад +37

    Daaah 😥 mbona naona Kama ndoto hviii jmn 😭😭
    Mbona katuondoka mapema sanaa Kiongoz wetu 🇹🇿
    Mbele Yako nyuma yetu MW/ MUNGU akulaze mahara pema peponi 🙏

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 года назад +1

      Mm nahisi kaenda kutembea atarudi

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 3 года назад

      Kinachoniuma daraja la kijazi ubungi pale kafungua yeye ,aliumwa lini ,nawala hatujasikia homa yake ,Mara kafa khaaa inauma Sana.

    • @explorerwanda6458
      @explorerwanda6458 3 года назад

      @@m.mmarckus6298 so sad

    • @afrahoman2844
      @afrahoman2844 2 года назад

      Yan machoz ye2 anayaona

  • @omanghobra4869
    @omanghobra4869 3 года назад +34

    Ivi jaman mbona mm nashidwa kujizuia najikuta mda wote nalia😭😭😭

    • @priscacharlescharles9014
      @priscacharlescharles9014 3 года назад

      Sio peke yako tu my 😭😭😭😭

    • @fredahkishenyi84
      @fredahkishenyi84 3 года назад

      Inauma Mungu atusaidie

    • @josephinanikwelimdacki3330
      @josephinanikwelimdacki3330 3 года назад +2

      Jizuwie ndugu kisha muombe mungu sana atakupa amani

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 года назад +1

      Sio wewe bas tuko wengi mie wakati mwingine naingia ndani nalia mapaka bas na sijajuwa ni kwanini kifo cha huyu Baba mpaka Leo kimeninyima raha we acha mwaya we 😭😭😭

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 5 месяцев назад

      Si wewe peke yako, tuko wengi! RIP JPM.

  • @gahizishaban4312
    @gahizishaban4312 4 года назад +19

    I love this president with all my heart thank you new born African son all the way from Rwanda

  • @isaackagame1876
    @isaackagame1876 3 года назад +47

    Oh this man was down to earth. Farewell pombe😭😭😭

  • @arnoldwillison8729
    @arnoldwillison8729 7 лет назад +20

    Raisi wangu we ni mfano bora wa kuigwa katika nchi hii nakupendaa Mh. raisi wetu

  • @rukkysayid6613
    @rukkysayid6613 3 года назад +30

    Sina la kusema nakuombea dua roho yako ilale mahala pema peponi😭😭😭😭😭😭😭

  • @andersonsoly1469
    @andersonsoly1469 7 лет назад +13

    hongera Rais ww kweli kipenzi chawatu wengene wasingeweza kufanya unayo yafanya hongera sana na MUNGU akubariki Amen!!

  • @tigerabs9123
    @tigerabs9123 2 года назад +30

    Still watching it
    2022 may his soul rest in peace 🕊️✌️

  • @user-mt4ff5fi8s
    @user-mt4ff5fi8s 7 лет назад +36

    Dhaa magufuli ni president wakipeke mashallah

  • @user-qo9gx6nj1u
    @user-qo9gx6nj1u Месяц назад +1

    Nakukumbuka sana babaangu mungu akuhifadhi kamambinguni tunaonana basi tutaonana

  • @afdaa946
    @afdaa946 7 лет назад +8

    Ma shaa Allah tanzania's b proud of ur prezo

  • @emmanuelmajumbi9794
    @emmanuelmajumbi9794 2 года назад +15

    My king my president my role model RIP JPM you lived for people you're my hero thank for your life.

  • @melissamugisho3625
    @melissamugisho3625 7 лет назад +17

    A great president ! May the Almighty God bless you

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 3 года назад +27

    Baba tunakulilia mnooo tumeumia Sanaa😭😭

    • @daishajumanne5990
      @daishajumanne5990 3 года назад

      Jamani😢😢😢😢😢😢😢

    • @daishajumanne5990
      @daishajumanne5990 3 года назад

      Daaah wallah haito tokea habadani kumsahau magu wetu yarabi mungu atuwekee mahali pema magu wetu😢

  • @khalidbalala7753
    @khalidbalala7753 3 года назад +27

    Waliobahatika kupija picha nae watamkumbuka zaidi kwa siku kama ya leo baada ya kutangazwa amefariki 17-03-2021

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 6 лет назад +32

    Jamani watanzania mumepata rais mzuri kweli hanaga dharau anawapenda sana wananchi yake na hapendi kujionesha kama yy ni rais kila anapotembea awepo ndani ya gari kama vle marais wengine hata hatupati kumuona live wala kuenjoy nae kwa kupiga pic kama hapo wadada walvyokubaliwa kupiga pic nae, mungu awalindie rais wenu huyo anatabia yake pekee na hata pia kapitia sana maisha ya hivyo chochote kwake bora hata kukaa kwa mkeka akitandikiwa ana kaa hata ugali bila nyama anakula ni mtu aliejitambua katka hayo maisha na kujiamini zaidi, na hivyo ndio binadamu wengile waliojaliwa uwezo wakimaisha inatakiwa waige mfano kama huo, wakumbuke roho ndio utu mali si kitu.

  • @masudyomary1979
    @masudyomary1979 7 лет назад +10

    Ningekua mm ninakauli rais wetu atawale milele mungu akulinde wa tanzania tunakupenda sana

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 3 года назад +1

    Aiseee pole kwetu Watanzania roho zinaumia Sana huu ulikuwa zaidi ya upendo Magufuli alituonyesha Watanzania

  • @francischiko3752
    @francischiko3752 7 лет назад +6

    Safi sana kiukweli mimi nimeipenda hii dah raha sana

  • @Ronald-gh6jl
    @Ronald-gh6jl 3 года назад +2

    Such a great, wonderful leader, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi

  • @yolakahmathews6913
    @yolakahmathews6913 7 лет назад +13

    This is fantastic.

  • @mariyammariyam8649
    @mariyammariyam8649 6 лет назад +2

    Ni lazima apongezwe jmn rais.Magu kwa kazi nzuri

  • @fetilishazomar4799
    @fetilishazomar4799 7 лет назад +18

    Penda sana Rais wangu Maisha marefu Aiseee

  • @angelinachimale2214
    @angelinachimale2214 6 лет назад +1

    Mungu akupe maisha marefu rais wetu penda sanaaaa ahaaa misimamo yako God bless u.

  • @williamkadzomba2570
    @williamkadzomba2570 2 года назад +6

    Man of the people keep on resting in peace HEROO

  • @eaglemuhsin2129
    @eaglemuhsin2129 2 года назад +9

    I respect and love u sir may you Rest in peace

  • @adomatichristopher4052
    @adomatichristopher4052 2 года назад +10

    It pains me a lot to see my friend.JPM. my best president ever.

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 2 года назад +7

    A man of the people,rest in eternal peace JPM you will always stay in my heart 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @davidorito1707
    @davidorito1707 7 лет назад +6

    Safi Sana President

  • @ahmedkhatibu5387
    @ahmedkhatibu5387 7 лет назад +6

    much respect Mr president ,,,,hapa kazi tuuu

    • @dicksongervas5164
      @dicksongervas5164 2 года назад

      Inaniuma nafisi kumukosa nipenda mawazo yake kitafa

  • @shamssaid7632
    @shamssaid7632 7 лет назад +5

    Walinzi wana kazi ngum. Kwa MH. Rais. Nimkupenda saana my President

  • @abelbaraka263
    @abelbaraka263 6 лет назад +6

    May God give you long life to live...

  • @OmarOmar-ew9zs
    @OmarOmar-ew9zs 3 года назад +2

    Sadaka zake alizotoa zitamuokoa kwa muumba wake lazima tujifunze huyu jamaa sio rahisi alikua Yuko na Imani ya aina yake duh!

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 7 лет назад +8

    wakuu waliopita hawakufanya hivi huyu Raisi namkubali sana.

    • @alistairelias536
      @alistairelias536 7 лет назад

      Fahad10 Una uhakika?

    • @fahadfahmy
      @fahadfahmy 7 лет назад +4

      Alistair Elias ninauhakika sababu mimi ni mfatiliaji mzuri sana wa mitandao na habari tena kwamiaka mingi tu,ila nataka na wewe uniambie kiongozi gani unamkubali?

  • @zamaradihussein661
    @zamaradihussein661 7 лет назад +39

    sisi wanadamu sijui kiongozi afanyeje ili aambiwe pongezi zake, kuna watu vyama vimewaingia ktk damu hata dini haina nafasi, kiongozi akifanya jema apongezwe hata kama hukumchagua, muogopeni mungu sote ni udongo tu tunapita

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 7 лет назад +1

      Zamaradi Hussein kabisa zama kuliko dini...Hatujui siku wala saa umeandika point

    • @jacquelinemabula2519
      @jacquelinemabula2519 6 лет назад +1

      Zamaradi Hussein well said zama

  • @esthermataba2943
    @esthermataba2943 7 лет назад +9

    amani sana.. hata mm ningepata hii fursa ningeitumia vilivyo. kuna watu hawajawah kukutana na rais tena mchapa kaz km mjomba john

  • @isayasway8633
    @isayasway8633 4 года назад +1

    Vizuri sana Mzee magu hauna ubaguzi

  • @kramsjunior4447
    @kramsjunior4447 4 года назад +1

    Man of the people

  • @hafsaali4423
    @hafsaali4423 3 года назад +2

    Utakumbukwa milele kweli mungu alikuleta kwa kusudiyo duniyani na amekuchukuwa bado tulikuhitaji sana

  • @davidjoseph9776
    @davidjoseph9776 2 года назад +7

    Rest In Peace Legendary...
    Raisi wa wanyonge

  • @maryamsinganomaryamsingano7938
    @maryamsinganomaryamsingano7938 7 лет назад +15

    daa anatia hadi raha jamani iwemfano kwa wengine

  • @paschalkimwaga9117
    @paschalkimwaga9117 3 года назад +10

    Ni ngumu kuamini kuwa rais wetu hatunaye tena 😭😭

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 года назад

      Duuh furaha yetu ime eenda ghafula lamda tulikua tuna Ota bwana 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @dalmasruwa1479
    @dalmasruwa1479 4 года назад +1

    Waa God bless Mr Maguu i wish he cld cheif adviser to our president to Kenya tulikosea kwa ballot

  • @fettyramadhan622
    @fettyramadhan622 2 года назад +2

    Tulio Rudi kuitazama hii like twende sawa Rip

  • @saumuabdalla686
    @saumuabdalla686 3 года назад +1

    Yani kweli kazi ya mungu haina makosa najikuta nikilia kila saa

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 3 года назад +5

    Baba unatulizajmn baba yn rais amejaaa upendo uyu. Acheni tufe natulie 😭😭😭

  • @nicolasevarst1280
    @nicolasevarst1280 6 лет назад +6

    This is the blessing.

  • @shaffiidaffa4761
    @shaffiidaffa4761 7 лет назад +6

    Mungu akuweke mheshimiwa yaani unatuonesha hali ya mtanzania tena mzalendo anaeipenda nchi yake hakika ww ni mfano wa kuigwa

  • @ibrahimjoseph2789
    @ibrahimjoseph2789 3 года назад +23

    Magufuli hizi video ni azina ya Tanzania 🇹🇿🇹🇿 tutajifunza sana, wasio kujuwa miaka ijayo tutaeaonyesha ivyo zitaishi, hii ni zama ambayo wengi tumeshuudia huongozi wako wanyerere sikushuudia na hata waliokuwepo wamekusifu wewe ni baba lao, TULIKUPENDA MUMGU KAKUPENDA ZAIDI BY BABA

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 года назад +1

      😭😭😭Acha my nahata kama watakuwepo hata wawe wanaongoza nchi vizur ila hawatamfikia huyu baba kwa ucheshi wake 😭😭inauma

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 6 лет назад +2

    Huyo ndo rais wetu safi sana

  • @sophianyoni2533
    @sophianyoni2533 7 лет назад +17

    Gonga like kama unaangalia huku unatoa bonge la tabasamu

  • @mustaphamohamed353
    @mustaphamohamed353 3 года назад +3

    Malazingine natamani ata kukufulu ila Kila nitazamapo matukio yako ayati uwa nalengwa na machozutu mwenyezi mungu akupe kauli thabiti mbele za haki😭😭😭

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 года назад +1

    Ndio basi Tena tuli ishi na mtumishi wa mungu pasina kujua

  • @watendekiyagi8177
    @watendekiyagi8177 7 лет назад +11

    huyo ni rais wa mioyo ya watu nampenda sana

  • @patrickchristopher1311
    @patrickchristopher1311 7 лет назад +38

    Kweli hakuna mtu wa mfano kama raisi huyu. Kwan kuwa kiongozi aangali privilege kwan kama kuvuka asingelipa akapanda bure lakin kujua kuwa ni wajibu wa kila mtanzania kulipia kivuko na yeye kama mtanzania akalipia kivuko. Big up to Mr president

    • @pamelasimon1532
      @pamelasimon1532 7 лет назад +4

      Patrick Christopher akachukua na chenchi 😺😺😺😺

    • @abdulmkanda2300
      @abdulmkanda2300 7 лет назад +1

      Pamela Simon hahaha

    • @mbeyatv
      @mbeyatv 7 лет назад +7

      Nilijua wengi wataangalia kwenye kipengere cha chenji.....hata mimi ni mmoja wao

    • @shumamasima6747
      @shumamasima6747 6 лет назад

      Nakuelewaga saana mh. Magufuli

    • @neemapatrick8293
      @neemapatrick8293 4 года назад

      Gerald Mligo cheji lazm achukuwe make amefanya kamm raiya wa kawaida tuu hajatka kuonyesha ufahali wa kuacha hela

  • @mohammedanuman1841
    @mohammedanuman1841 2 года назад +2

    U are great man Africa we be proud of u RIP we love you but Allah loves you best

  • @nicetamasawe8121
    @nicetamasawe8121 7 лет назад +43

    huyu mzèe yuko peace sana
    ila ukimzingua

  • @ommylisttz5539
    @ommylisttz5539 7 лет назад +8

    Jamani nimesikia rahaa sana mimi nampenda sana

  • @geofreymwatonoka1628
    @geofreymwatonoka1628 7 лет назад +6

    Asante kipenzi wa watanzania tunaimani nawe utawale miaka mingi zaidi

  • @venancemalima1181
    @venancemalima1181 3 года назад +4

    Upendo wake,jitihada zake kusaidia wanyonge kiafya,kielimu,na kiuchumi hazipo tena leo.Mungu alitoa na Mungu alitwaa jina lake liimidiwe milele.Lala Baba yetu .😭😭😭
    Umeacha vidonda ktk mioyo ya Watanzania

  • @allymanenokingo734
    @allymanenokingo734 4 года назад +1

    Dah sinachakusemaa juu ya magufulii ilaa mungu ampe maishaa marefu

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 года назад +5

    Nime amini wanawake tunapenda pc 🤣🤣 nenda salama baba💔🇹🇿🕯️😭

  • @khadijahassan3504
    @khadijahassan3504 4 года назад

    Nakupenda sana kiongozi wang daima mbele haturudi nyuma love you more💓💓💓💕💖💕👍👍👍💞💝💞💝💘💘👌👌

  • @ezekielfunuki6402
    @ezekielfunuki6402 6 лет назад +1

    M/Mungu akupe nguvu mh. RAIS uweze kutimiza azma yako hasa ya kuleta maendeleo ktk taifa letu! Kwakwel hii nmeipenda!

  • @seifchiby7717
    @seifchiby7717 6 лет назад +5

    upande wangu nampnda sana magu gongalike twende sawa

  • @leonardgervas7515
    @leonardgervas7515 2 года назад

    Mungu aendelee kukupumzisha uncle magu

  • @hassandafa9451
    @hassandafa9451 7 лет назад +7

    uko juu baba

  • @fayeezomar2902
    @fayeezomar2902 7 лет назад +3

    Respect! Mr president

  • @banzifamily7106
    @banzifamily7106 7 лет назад +5

    Saaafi sana zats TZ we want

  • @aishaswalehaishaswaleh5616
    @aishaswalehaishaswaleh5616 5 лет назад +1

    Uhuru angalia makufuli anavyoishi n wananchi wake

  • @davidkaitira9649
    @davidkaitira9649 4 года назад +1

    Hatar xan naenjoy

  • @noordinismail8650
    @noordinismail8650 7 лет назад +4

    Top president I have not everseen be for

  • @akademkkz
    @akademkkz 7 лет назад +6

    😂 0:15 kata wanee... ila big up mzee wetu wa kazi

  • @edithajoseph7675
    @edithajoseph7675 2 года назад

    Mungu ndie anae jua kifo chako kilitokana na nini Mungu ilinde Tanzania Mungu ibariki Tanzania Amen

  • @ibrahimumsangi2562
    @ibrahimumsangi2562 6 лет назад

    Mungu ampe maisha marefu raisi wetu

  • @agaowajouniar6614
    @agaowajouniar6614 3 года назад +5

    Halafu hivi unadhan machozi yataisha ktk mbon zetu za macho thubutu nikiangalia clip zake muda woot machoz yana nimwagika Kama au sijui ninunue kiswaswadu maan nitakua sion kitu duuuh lala salama mpendwa wetu wa wanyonge

  • @zubedamwanjirani5597
    @zubedamwanjirani5597 7 лет назад +3

    Masha Allah

    • @leilakassim1992
      @leilakassim1992 7 лет назад

      Zubeda Mwanjirani Maashallah kwalipi ilihali anapewa mkono na huyo mlemavu anaukwepesha au anaogopa vile unashika chini??

    • @bettylozie9038
      @bettylozie9038 7 лет назад +2

      Leila Kassim Acha uongo tazama vizuri ameinamisha mkono chini ili amufikie huyo kaka mlemavu....nawala hajauhepesha.....

    • @leilakassim1992
      @leilakassim1992 7 лет назад

      Betty Lozie kwani inahitajika tochi kuona,??

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 3 года назад +1

    Dah bas tu Mungu nMwema lkn Ina nPaiñ 🙏🙏🏼🙏🏼😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼!!!

  • @jumasaidi1420
    @jumasaidi1420 3 года назад

    Ahsante m/mungu kwa kutupa kiongozi

  • @ayoubkamendu1506
    @ayoubkamendu1506 2 года назад

    Asante Mh. Magufuli, tunayakujifunza mengi

  • @kisainajr1530
    @kisainajr1530 7 лет назад +10

    Huyu ni zaidi ya rais

  • @brendaluvanda3289
    @brendaluvanda3289 7 лет назад +4

    I love you baba

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 6 лет назад

    Mungu akubariki sana mhe.Rais wetu john pombe Joseph magufuli

  • @edgerchikondochikondo4990
    @edgerchikondochikondo4990 7 лет назад +24

    umeonyesha uzalendo mkuui hata kama tunaisoma namba mm nakupenda sana

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 года назад +3

    Dah inasikitisha sana. RIP JPM SON OF AFRIKA

  • @Shafii_mohamedi17
    @Shafii_mohamedi17 2 года назад +1

    Huyu kweli rais wa wanyonge

  • @heroes1932
    @heroes1932 2 года назад

    A man of the people

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 года назад +4

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭😭😭😭 Jamani munqu mrehemu

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 3 года назад +5

    Magufuli is among the greatest African President

  • @benezethbwikizo3158
    @benezethbwikizo3158 7 лет назад +4

    safi Mh.rais watanzania hatukukosea na tunaimani na wewe kiongozi