USIPIME: ULINZI MKALI WA MAGUFULI AKIONDOKA KWENYE MKUTANO KAGERA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 215

  • @WivianRich
    @WivianRich 3 года назад +37

    Ana mlinzi wake huyu mnene mweusi namkubali sana,mkali hadi raha hamuamini yeyote,kazi nzuri mno,

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 года назад +8

    Daah 😥 leo hii umetuacha rais wetu Magufuri 🙏
    Mbele Yake nyuma yetu MW/MUNGU amlaze mahali pema peponi 🙏😭

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 года назад +10

    Salaam za pongezi kwa walinzi wote wa Mh. Jpm. Hakika Nimependezwa na itifaki na weredi wa kazi yenu. Huu ni ulinzi teule,Kwaajili ya Mteule.

  • @deokessy6288
    @deokessy6288 3 года назад +22

    Namkubali Sana huyo jamaaa mwenye kabegi....

  • @ibrahimrashidi7904
    @ibrahimrashidi7904 3 года назад +17

    Apo jifanye kama unapita nduki kumkimbilia uku mikono umeiwaka nyuma dah utaomba dunia nipasuke

  • @mjinihakuna5550
    @mjinihakuna5550 3 года назад +6

    Acheni ujinga kamahamna chakukoment kaeni kimya ulitaka alindwe babaako? Nitajie raisi ambae hana ulinzi hapa duniani pumbavuzenu wote mliokoment utumbo

  • @witidavid8328
    @witidavid8328 2 года назад +1

    Yani urais ulimpendeza sana yan ulikaa mahara pale👏👏👏

  • @raykas9976
    @raykas9976 3 года назад +2

    Safi sana anapaswa kulindwa sana Rais wetu kipenzi.

  • @chablotv6536
    @chablotv6536 3 года назад +9

    Baba Kam baba katika majukum ya kazi❤️

  • @allymapinda8804
    @allymapinda8804 3 года назад +8

    Anayoyafanya kwa nchi yetu ni lazima alindwe kwa hali na mali, watu wengi hawapendi... Baba mitano tena hii ikiisha, mpaka tunyooke kama rula!

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 3 года назад +14

    Vijana wapo vizuri sanaaa 🇹🇿✅👍👍👍

  • @theafrican3752
    @theafrican3752 3 года назад +4

    Nilikuwa namsikiaga tu mtu akiitwa "mbeba mikoba" ila leo nimemuona.

  • @amosyohana5351
    @amosyohana5351 3 года назад +7

    Nalindwa na Mungu Yeye aliye Mkuu wa Israel

  • @blandinalukole5535
    @blandinalukole5535 3 года назад

    Nakupenda mno Maguful, Mungu wa mbinguni akuweke unapostahili

  • @mjinihakuna5550
    @mjinihakuna5550 3 года назад +4

    Hiki anachokifanya Raisi Magufuli baadhi yanchi hawapend huyu raisi kajitolea muhanga kwanchiyetu kuipaisha kiuchumi basi kama ulikua hujui anaulinzi mpaka mwengine huwezi kuona kwamachoyako yakawaida aneona ni Mwenyezi Mungu pekee

  • @rajabalfarazliganja397
    @rajabalfarazliganja397 3 года назад +1

    JPM ulinzi wake haukuanza Leo nakumbuka ndio waziri wa kwanza Tz aliewahi kupewa ulinzi kama huu henzi za hatati mzee mkapa.kitunze kidumu.

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 3 года назад +2

    Safi Sana.
    Raisi wetu alindwe kama Kim Jong Hun

  • @jessicabrown5885
    @jessicabrown5885 3 года назад +9

    Sijui kwann ila nimepapenda apa 2:15

  • @anthonymwambepo7441
    @anthonymwambepo7441 3 года назад +3

    Tusomeni shule jamani, tuwasomeshe watoto wetu dahhhhhh kulindwaaaa rahaaaaaaaa mitano tena kwa magufuriiii

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 3 года назад +6

    Kuda dekiiiiii ni nomamaaaa mko makini walinzi, acha like yako hapo kama umemuona jamaa alievaa mkoti mkubwa alivyomgusa kitambi huyo mwenye nguo za chama, anahisi anaweza akajifanya tumbo Kumbe kaficha kitu cha hatari,,

  • @fctlinesfactlines2817
    @fctlinesfactlines2817 2 года назад

    Huyu bwana ndio alikuwa Raisi wng

  • @saidrajabu9589
    @saidrajabu9589 3 года назад +1

    Ulinzi upo vizuri hata upeani salamu na wajomba zako

  • @saidabdullah4878
    @saidabdullah4878 3 года назад +1

    Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ya kumlinda kwa ujasiri na umakini wa hali ya juu kiongozi wetu wa nchi Mh. Rais JPM.
    Mungu ibariki Tanzania
    Mungu ibariki Afrika

  • @JoshuaMwakalobo-v6m
    @JoshuaMwakalobo-v6m 10 месяцев назад

    Daa imebaki. Tu. Istolia. Sinta kusajau. Mweshimiwa

  • @alfredjustinian9753
    @alfredjustinian9753 3 года назад +1

    Huyu mzee citoweza kumsahau ktk maisha tangulia salama baba tunakupenda mnoo

  • @fauziashabibu1467
    @fauziashabibu1467 Год назад

    Huyu mzee siwezi kumsahau mim rais wangu hakika tulikupenda ila Mungu ndiye amekupenda zaidi najivunia kauli zako thabiti zinanitia moyo kauli zako zimenijenga kiakili zaidi zimenifanya mpaka nimejenga daah ulituondoa kwenye giza baba

  • @denisidamiani2033
    @denisidamiani2033 3 года назад +3

    Jifanye kama unajikuna>>>>>>>

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 3 года назад +2

    Hapa kazi tu

  • @kenslogistics4377
    @kenslogistics4377 3 года назад +1

    Ulinzi wote huo na bado mtu anakufa tu...

  • @bayokonelson6508
    @bayokonelson6508 3 года назад +2

    Hizo ambazo ni kama earphone ambazo wanavaa zinaunganisha kifaa gani??

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 года назад

      Mawasiliano ya ki+ Intelligence brother

    • @MOMAIS_24
      @MOMAIS_24 3 года назад +3

      Husikiliza mziki kuondosha uchovu

    • @eliezakalaita7433
      @eliezakalaita7433 3 года назад

      @@MOMAIS_24 😁😁😁

    • @kelvinjohn6851
      @kelvinjohn6851 3 года назад

      @@MOMAIS_24 😁😁😁😁😁😂😁

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 3 года назад +1

    Nice Ulinzi

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 3 года назад

    Hadi raha aseee,, big up mr president of TZ.

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 2 года назад

    Chuma Hicho miaka 5 na miezi kadhaa Tanzania Tanzania lmebadilika almost kila sehemu r.l.p JPM wetu Mzalendo

  • @GideonMalyego
    @GideonMalyego Год назад

    Mlinz ni Mungu,ulinz wote huo hla kaondoka.

  • @said-sf9ew
    @said-sf9ew 2 года назад

    Hatari

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 3 года назад

    Mungu pekee ndo mlindaj na cyo kusifiana ujinga

  • @aishamwinyi5048
    @aishamwinyi5048 3 года назад +2

    Kweli Tanzania 🇹🇿 nchi ya amani

  • @nestorymaina1071
    @nestorymaina1071 Год назад

    Ila mwita ulikuwa mtata sana

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ 3 года назад +5

    😂😂😂😂 bongo bhana awo walizi sasa

    • @shahamtindo
      @shahamtindo 3 года назад

      Wana shida gani

    • @nabosedward4836
      @nabosedward4836 3 года назад +1

      Unajichekesha nini sasa uje ujaribu uone kitakacho kukuta

    • @shahamtindo
      @shahamtindo 3 года назад

      @@nabosedward4836 😂😂

    • @robertdioniz3364
      @robertdioniz3364 3 года назад +1

      Kama sio walinzi peleka hizo pua ndo utajua kazi yao, ayo meno unayoweka nje saiz yapeleke uyaweke pale then utajua nin wanafanya 😉

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 года назад

      @@robertdioniz3364 hahaaaaa umenichkeshaa,mpka nimekumbuka Arusha Monduli TMA Academy

  • @eliasemmanuel5530
    @eliasemmanuel5530 3 года назад

    Hamia yanga

  • @lukaserasto6446
    @lukaserasto6446 3 года назад

    Mlinzi mungu sio binadamu mwenzio Mana nae pia analindwa na mungu

    • @aidanhamza2247
      @aidanhamza2247 3 года назад

      Wale walinzi elewa c kwaajili ya kuzuia kifo Ila huyu ni mtu mashuhuri so lazima alindwe na kupunguziwa kuzongwa na watu na kesi ambazo zinazuilika kibinadamu

  • @zabronnkoy4908
    @zabronnkoy4908 3 года назад +1

    Hamna hata wakumfanyia ubaya ni kujihisi tu

  • @barakashadrack7695
    @barakashadrack7695 3 года назад +1

    Mkuu wa Nchi lazima awe na ulinzi mkali kama huo.

  • @chablotv6536
    @chablotv6536 3 года назад +6

    Wa kwanza✌️

  • @pascalmgina
    @pascalmgina 3 года назад

    Unafunga mlango wa gari unambana kidole muheshimiwa Rais

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад +6

    HAPA KAZI TU mitano tena JPM

  • @alafaabdallah5071
    @alafaabdallah5071 3 года назад

    Ama kweli hapa kazi tuuuuuuu

  • @seifminal6469
    @seifminal6469 2 года назад

    Dah😭😭😭😭 imeniuma sn rais wetu

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 года назад

    Mlikuwa makin sana walinz wa jpm

  • @jonasstephano7680
    @jonasstephano7680 3 года назад +3

    Kaka akuma jesh Kali apo wamezubaaah tu unaweza ukamwibia mweshimiwa simu na ao wasijuwe😁😁😁😁😁😁😁😁😂

    • @kingikaroli6
      @kingikaroli6 3 года назад

      Hahaha thubutu

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 3 года назад +2

      Hebu fanya hvyo chap ili tusikuite muongo kumbe unamaanisha plzz. ..waiting for you😂😂😂

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 года назад

      @@mumyhendry2919 Umeona eeeh

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 3 года назад +1

      @@missangela6720 si ndio love😂😂😂

    • @deokessy6288
      @deokessy6288 3 года назад

      Utavunjwa kiuno

  • @paulowiliamusilayo2717
    @paulowiliamusilayo2717 3 года назад

    Napendaga kwel kuwaangalia sana hawa vijana wake wananikosha kama pale kaona mweshimiwa anachelewa akazuiya wengine kushikwa mkono hahaha

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 3 года назад

    Mzuie malaika wa mauti asimkurubie magufuli acheni ujinga wenu

  • @sharifujita7815
    @sharifujita7815 2 года назад +1

    RIP magu

  • @selemanindege9933
    @selemanindege9933 3 года назад +4

    Duh! Huu ulinzi nibalaaa! Mpaka kazuiwa kusalimia

  • @Craftiummah123
    @Craftiummah123 3 года назад

    good one sharing,Stay connected.

  • @deokessy6288
    @deokessy6288 3 года назад

    Kiukweli Hawa vijana wanaomlinda JPm Ni Motooo...ukiwa una mkono hata wakichawi wanauona

  • @adamkaitira5363
    @adamkaitira5363 3 года назад

    Mbona Nchi ya amani lakini aina ya ulinzi unanipa mashaka jamani

  • @bableeyzabdalla531
    @bableeyzabdalla531 3 года назад +3

    Serikali ya kiki

  • @cripsonkazinja7171
    @cripsonkazinja7171 3 года назад

    DAWA YA KUJENGA HESHIMA YA NDOA kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
    Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
    1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
    2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
    3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
    4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
    5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
    6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
    7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
    8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
    9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
    🔟 Inarutubisha mayai
    NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
    Epuka aibu hii na rejesha furaha "
    Dawa ndio kiboko yao
    Karibuni sana ofisini kwetu
    Wasiliana nasi kwa namba 0764581267/0623270820

  • @hamadkhamis9075
    @hamadkhamis9075 3 года назад +1

    Siku akija nduli wamzuie asitoe roho yake.

  • @juliuskatemi6816
    @juliuskatemi6816 3 года назад

    Aseeee!!!! umeona kilichotokea kwenye video clip Dakka ya 2 hasa kuanzia sekunde ya 15 mpaka sekunde ya 21!!???na ww umeona kama mm

  • @shahamtindo
    @shahamtindo 3 года назад +4

    Bonge la ulinzi

  • @derickjames5525
    @derickjames5525 3 года назад +6

    Ahahah wa kwanza kuview gonga like

  • @kaswahilijoseph9650
    @kaswahilijoseph9650 3 года назад +3

    Mtu wa kwanza kucheck hii kitu

  • @ywconline2817
    @ywconline2817 3 года назад +1

    KUWA mlinzi wa RAIS nawewe unakuwa Rais ingawa huwezi kujulikana jina mpaka alitaje Rais hahaahahaahahaaha

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 3 года назад

    Nyie kweli wapumbavu na maprimitive kwani mkono wa magufuli haushikwi duh ata nikufru ila hamjitambui wapumbavu nyie

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 3 года назад

    DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
    Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
    1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
    2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
    3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
    4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
    5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
    6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
    7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
    8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
    9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
    🔟 Inarutubisha mayai
    NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
    Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao
    Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi
    Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt 3 года назад

    Ainamatakunu yudrikumulmaut
    NO mater of ULINZI

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 года назад

      Duuh sja elewa apo kaka tafsiri please

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 3 года назад +1

      Analindwa kwa ajili ya watu waovu na sio kuepukana na mauti maana hata yeye mwenyewe pamoja na wale wanaomlinda wanajua kabisa kuwa kifo hakikwepeki, hivyo tusichanganye mada jamani.

  • @TonyMureithi
    @TonyMureithi 3 года назад +1

    Yote ni vanity!

  • @undersonmwombeki8494
    @undersonmwombeki8494 3 года назад +2

    Wanalinda nn ao

  • @erickrichard4292
    @erickrichard4292 3 года назад

    Ulinzi mkali hivi inamaana raisi kwan anamaadui wengi kiasi iko?

  • @jumanneshawa3375
    @jumanneshawa3375 3 года назад

    Heshima ya Tanzania ishaludi palipo baki kutengeneza nchi sasa ANKO MAGU malizia tunakuombea kwa Mungu kwani TZ ya sasa sio DANGURO

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 3 года назад

    Duu walinzi kama wote 🤔🤔🤔🤔👮

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 3 года назад

    Safi mkuu kwa ulinzi makini

  • @jalimpanga9315
    @jalimpanga9315 2 года назад

    Dar et leo hiiihatuko na wewe

  • @jumasamweli4862
    @jumasamweli4862 3 года назад

    Ulizi huu unatisha haka kazi tuu

  • @babuubarotti8418
    @babuubarotti8418 3 года назад

    Mbona ulinzi nimkali sana lipojambo tu hapa

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 3 года назад

      Ulinzi lazima mwanadamu hata kama ungekuwa kama MALAIKA MAADUI HAWAKOSENI!!! MUNGU AKULINDE 💋💪🙏

    • @idrissaomba8803
      @idrissaomba8803 3 года назад

      watu wa hapo walishadhilsha ukosefu wa nidhamu juu yake, labda palkuwepo hofu ya hilo

  • @brianmaina5388
    @brianmaina5388 3 года назад

    What's in the briefcase? Nuclear launch codes? 🤔

  • @eliezakalaita7433
    @eliezakalaita7433 3 года назад

    Wakati anapita hapo jifanye kama unaingiza mkono mfukoni 😀

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 3 года назад

    Da kuna jamaa kazuiliwa pale

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 3 года назад

    Wakata umeme viva

  • @saidibakari3440
    @saidibakari3440 3 года назад

    Duh kama tupo vitani vile

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 3 года назад +2

    Heeeee huu upinzi wa leo noma makoti hawatak masihara

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 3 года назад

    Wapo macho na makini kama nyuki.

  • @anoldykamugisha9993
    @anoldykamugisha9993 3 года назад

    Maaaaviiiiii

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ 3 года назад

    Milad kuna shule uko dar watoto wanakaa chini em fanya uwende

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 3 года назад

      Sasa ataota ni shule gani,, we itaje iyo shule jina

  • @pelecharming8561
    @pelecharming8561 3 года назад

    Wadada wanojiiz

  • @brianokero4991
    @brianokero4991 3 года назад

    Kuna magaidi Tanzania?

  • @captendunga1392
    @captendunga1392 3 года назад +1

    Magu mkali lakini kwa hao jamaa ni mpole wanampangia hadi watu wa kusalimiana nao... hii kz ngumu kweli kweli unaongoza huku nawe unaongozwa.

  • @ezekielmugeta2427
    @ezekielmugeta2427 3 года назад

    Dah jama limekataa mikono inatosha hahaha usalamaa shkmoo

  • @markfrank5335
    @markfrank5335 3 года назад

    Huoulizi ninoma

  • @mcsailas8328
    @mcsailas8328 3 года назад

    Sio poa😄😄😄

  • @pancrasmwenda7307
    @pancrasmwenda7307 3 года назад

    Duh

  • @groundnetsolution5966
    @groundnetsolution5966 3 года назад

    HAHAHAHA HEADING ZENU KALI SANA ULINZI MKALI AHHAH BONGO HAKUNA MAFYA JAMAA WATANZANIA WATULIVU. SIDHANI KUNA MTANZANIA AMBAE ANAWEZA KUWA SNIPER KIASI HICHO AMDHURU RAISI.HAHAHAHAA

  • @therealdeal2364
    @therealdeal2364 3 года назад

    @1:57

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 года назад +1

      Daah wana mzuia kusalimia watu

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 3 года назад

    Safi Sana Mkuu wangu

  • @paulpeter4130
    @paulpeter4130 3 года назад

    Mh

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 года назад

    Mfumo dume bado

  • @RackeR31
    @RackeR31 3 года назад +2

    JPM

  • @smileboy6199
    @smileboy6199 3 года назад

    Magu babalao