JPM ALIVYOWAKA KUHUSU MAKONTENA KUCHELEWA
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Mwanza kusini inapojengwa meli mpya na ukarabati wa meli mbili MV Victoria na MV Butiama
Katika ziara hiyo rais Magufuli ametoa siku nne kwa wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano kuhakikisha kontena 58 zilizokwama bandarini zenye vifaa vya ujenzi wa meli mpya inayojengwa ziwa Victoria yenye uzito wa tani zaidi ya 3000 pamoja na chelezo
“Mmesema zimekaa zaidi ya siku 30 zinasubiri nini na mimi nataka vifaa vifike hapa,nataka umpigie katibu mkuu wako umwambie vifaa vinafika lini” Rais Magufuli
kichwa cha magufuli kinafanya kazi kama computer mungu akulinde na akubaliki sana.
Tanzania mpya inaonekana sasa, hongera Mh Rais JP Magufuli
We gonna miss this man. Mungu we ndiyo ujuaye rip
Wenye Mamlaka msaidie Mh. Rais, punguzeni ukiritimba. Mnampa kazi nzito sana
Huyu ndio tulikuwa tunamtaka president wetu
Y
Nitakupankura yangu mm Anna Peter kwa jeruf kubwa nakupenda xanaaa magi
Safi sana, , WATANZANIA SISI BILA KUSUKUMWA HATUENDI
Hisan Mwakijungu Sijui kwa nini
Kweli kaka
Hisan Mwakijungu kabisa
Kweli kamanda hapo umesema
Umeoona eeeh?watakoma saii.
Kafanya kazi kubwa huyu mzee
UYU NDO RAISI BUANAA,,,
YAAN AM PROUD OF U MAGUFULI MY PRESIDENT
I don't see any reason for an election just let Mr Pombe magufuli be always a president for Tanzania
Mungu katupa raisi daaah magufulification oyeeeh😍😍😍😍
Ongera sana baba
Magufuli n hero wa Tanzania #thank you God for giving us huyu raisi
Magufuli Jembe!! Mungu Alitupa Magufuli kwa kweli.Asante sana Roho Wake Mungu wetu
mjomba magu kula yangu umepata 2020 panapo uhai
Siyo kula sema kura
@@richardgirgis4302 🤣🤣🤣🤣🤣
Apewe kura zote za mwaka wa 2020, na mie nitashindwa kumshangaa mpuuzi yeyote yule atakae jifanya kugombea uraisi 2020 dhidi ya hilo jembe (magu)!!!
Yangu na make wangu nampa kura
Nakupenda sana mweshimiwa MAGUFULI. Mimi mukongo lakini tanzania mungu aliwapatia Rais muzuri
Kama umemuona mchina anapanic mbele ya JPM gongalike 'Are you sure' naye anajibu "Are you sure'' HAPA KAZI TU
Hahahahahaaaaa, mie nimecheka sana kidogo nife
Hahahahahah alipanic maskini, r.i.p mugu
hongera saana muheshimiwa rais kwa kutatua tatizo la meli ubarikiwe
Live long the King of Tanzania
i dont mean to be off topic but does someone know a method to log back into an instagram account..?
I stupidly forgot the password. I would love any assistance you can give me
@Zahir Emiliano Instablaster ;)
@Finnegan Zahir thanks for your reply. I found the site through google and Im in the hacking process now.
I see it takes a while so I will reply here later with my results.
@Finnegan Zahir it did the trick and I now got access to my account again. I'm so happy!
Thanks so much you saved my ass!
@Zahir Emiliano No problem xD
This President is something else..Mungu ampe maisha marefu.
Amen!!
Muheshimiwa Rais nakuomba ugombee Uraisi mihula mitatu nitakupigia kura.
na kukubali sn baba toka uingie madarakan Tanzania yaonekan bhan asie kubali huyo ni mchawi wk pigan2 rais wetu huwez pendwa na wote nataman uendele kuongoza
Salute Mr President GOD BE WITH YOU
Aisee huyu ni komandoo👏👏👏👏👏
Bado kuna wajinga wamekaa eti wanajadili namna ya kumtoa wiki hii tunategemea kupokea sement apa moshi kwa tren MUNGU atupe nini jamani
Elia Nkya Duh kwel au
Hili jembe langu, naendelea kuna tu,kura za familia yangu nilishamkabidhi jamaa nasubiria shelehe ya kuapishwa
Mchina anaulizwa nae anauliza ama kwel maguu noma sana mchina hadi anajichanganya?
Sio mchina huyo ni mkorea, wewe tukikuita mhutu utafurahi
Mengele Ugulumo sasa alikuwa ajuw mbona unahasira mhutu iyo vepe kwan mrwanda uyo
Akhsante mungu kwa kutupa mkomboz wa nchi!!! tunakuombea Ufanye kazi kwa hekima ya mungu!
Huu ndio uongozi unao takiwa chapa kazi mkuu wangu ongera sana mungu hatakulipa
Mna tia stress mzee wa watu na alikua likizo kukaa na Mayo wake
When I see what is going on now
Daaa!! GOD SAVE MY COUNTRY
Kazi tu kwa kwenda mbele kiboko ya wavivu i love u President Magufuli . Mafisadi ,wazembe hatuna nafasi nao ..waongew sisi kazi tu kwa kwenda mbele wametuchelewesha Sana ..utaacha Sana legacy Sana Mh. Magufuli utakubukwa daima in this Nation ..Machozi huwa yananitoka since you were elected 2019 unatubless sana
Kwanini hukuerewa tangia nirivyokuteua?!😂😂😂 Hakuna haja ya uchaguzi jamani. Hizo pesa ziende kwenye miradi ya maendeleo. Huyu ndio rais wetu wa kudumu
ManshaAllah baba Allah akupe umri mrefu uwe Rais tena
Our lovely presdaaa
I love my president confidence!
Nakupenda sana rais wangu mungu akulinde sana Mzee Magu
😂😂😂😂magu ww atare jamaa anapiga simu anatka aanzishe story eti ww muulize vifaa vinakuja lin magu atare
😂😂😂
max uyo ndio Rais mzee 😀😀no kulemba
kweli kabisa
Jamaa anataka alete salamu...ooh umeshindaje...umeamkaje😂😂😂😂
Nimecheka mpaka basi.watakoma saii.
Kaka yangu alisingiziwa kesi butimba mwanza gerezan kasototaaa weee jaman iyo ziyara ya mh. Juz mwanza kaka yang kaachiwa huru Hana kesi so alionewa jaman najiproud kuwa mtanzania a na asnte mung mlinde Rais wetu🙏🙏
TANZANIA ya viwanda ina hitaji good operators na master mind kama hawa salute mheshimiwa president
Huyu ndie rais tulikuwa tunamuhitaji tanzania mungu akubariki sana mkuu wetu
😂 😂 😂 Mchina amepaniki.. Tungekupata wewe Kenya.. Walahi
Hakuna mchina hapo
Ha mimi naomba atokee Raise kama huyu kenya kume oza sehemu zote
Mm naona huyu Mh Raisi Aendelee tu kuwa Madarakani mpaka Mwenyez Mungu Akimuitaji Maaana sizani kama Atakuja kama Huyu tena
Tutakukumbuka.
Moto wa huyu mzee haupoi. Salute kwako Mr. President
Nahisi bado baadhi ya watendaji wa serikali speed ya our lovely President JMP hawaiwezi, they should change in positive attitude
DAA R.I.P JPM (ZILE KAULI ZA UNAJUA ME NANI ZINAWEZA KURUDI😭😭😭😭💔💔💔🕊🕊)
Kweli aisee mbona zimeanza
janja janja hao mzee nyoosha
Nimeskia ushuzi umewatokaaaa😊😊chezea mjomba magu weee fayaaa👐👐
Mungu akupe afya njema na maisha Marefu Baba.
Milolongo tija na maelezo mareeeefu ndio inatukwamisha!!! Vingreza kibaaaao!!! MyPresident MyHero!!!!🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Adi mchina anaogopa, I sure by March😀😁😀😀😀doh# kingereza kikaondoka
Mbowe Kwa utendaji huu wa Magufuli Mwambie LISU ASUBIRI 2020
Hao ni midomo tu. Hawana lolote
😀😀😀😀😀😀we manyota !! duuh
Hata luwasa asinge weza ange kufa mapema
Ahsante kaka, ngoja atunyooshe
Kabisa kwanza kashakuwa mlemavu yulee
Hapa kazi tuu. Mliozoea kukaa maofisini kazi mnayo
tutakukuka bb
Nyoosha nchi anko hatutak mazoea
Naendelea kusubili
Asante san baba yetu asante san kiongozi wetu asante sana raisi wetu raisi wetu mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe
Anko Magu: "are you sure by March?"
Mkandarasi: are you sure by March?"
Dah mbavu zinauma kwa kucheka.
Miracle of Compost vibaya mno zangu mbavu mie!!!
Miracle of Compost ñ
ARE YOU SURE BY MARCH?
mchina kauwa kiingereza mgeuzo
Mkorea sio mchina
Me natakaga mendeleo sio ushabiki wa vyama ...hongera raisi wangu mungu akuvushe.
M2 kaz hapa had wakuelewe saf Sana hongera mkuu
Tusha kumis Rais wetu Mungu kulaze pema😭😭😭😭😭
Magu oyeeeeeeeee eti we katibu mkuu ujambo lazima mkome manina
Rest in peace my President 💔😭
Straight to the point approach
We miss you BABA JPM
Tutakukumbuka daima Rais wetu RIP
Sioni zile komenti za kukosoa ,zimefia wapi ,nipeni like kama tupo pmj
AFRICA WILL NEVER GET ANOTHER PRESIDENT LIKE MAGUFULI
Dah imezima taa🔥🔥
😂😂😂 are you sure by March
Tangu leo natubu kuwapa ukawa kura yangu..... Hakika Magu ni chaguo la Mungu.
😁😁😁😁 Daniel
@@barakanassoro3503 are you sure by March??😅😅😅
@@danielmatiku5602 Naona Leo tumefurah kwa pamoja na hiyo clip hasa Happ😁😁😁,,, vzr sn tupo pmj🙏
@@barakanassoro3503 pamoja sana ndugu.🤝
Mzee magufuli unatufurahisha xana wananchi unapozibiti hapo bandarini xafi xana 2020 naishirini huna mpinzani ccm oyeeeeeee.
Ingekuwa wale wanaume waliojenga mbuguni mererani na meli wangekuwa wanajua kutengeneza bila shaka sasa hivi zingekuwa ziliishaanza kazi
Sure
Mungu awe kiongozi wako mh rais wetu tuokoe baba
Much much much much much much excellent Hon president
R.i.p my president
Love you El Jefè! I don't care what anyone says
Respect 🔥
Nilisha sema na kueleza watu kwamba, no one can be like dis guy, he sometimes made some difficults decision! God bless dis guy,he is fighting for every tz people. Mtu punguani,hajui na atapuuza maelezo haya,serikali za ya awamu ya......ilikuwa tete kabisa ilifika mahali ikawa haina cash,mishahara yetu hadi ilikuwa inaenda kopa kwa mabizinesigayizi! Leo hii,kila MTU anakula usawa wakamba yake kwa position yake.
Mungu amubaeiki huyu mzee
MAGUFULI: Are you sure by March????????
MKANDARASI: Are you sure by March............>>>>>>>>>>>>>> Ha haaa. Mbavu sina.
wachina hawafahamu kingereza vizuri wanapenda sana lugha yaoo
Hhhahaahhah
Huyu Ndie Rais wa ukweli
Ukiona hautosh mshahara nenda ukalime! kama nawe umesikia gonga like jamani.
2022 the greater leader
Watanzania tumushukuru Mungu, na uvivu wetu bila Rais kama huyu Tanzania isingeendele kabisa. Anajaribu, anafanya kazi kwa roho moja. Hatujaona Rais kama huyu. Kazi anayofanya ni ngumu ikiwa pamoja na kupigwa vita ndani ya CCM na wapinzani. W amuache Rais awafanyie kazi Watanzania
HISTORIA YA DUNIA
KILA KIONGOZI MZURI HUPINGWA
MF. MISRI ALITOKEA MUSA WAKAMPINGA.
YESU ALIPOFIKA WAKAMPINGA.
NA VIONGOZI WENGINE WENGI WAZURI DUNIAN WALIPINGWA.
SION AJABU JPM KUPINGWA.
NAKUPENDA SANA JPM.
NAIPENDA TZ YANGU.
Alikua hapendi ubabaishaji
Mkuu hongera sana hapa kazi tu
Shikamoo Magu
Ivi chama pinzani kinataka mabadiliko gani?
Piga kaz mzee baba, mm na familiar yangu tunakupenda Rais wetu
We will miss you so much Dr Magufuli
JPM 💪💪 Jembe kutoka Chato👊👊 💯.
R.I.P Magu🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🙏🙏.
Dah sijutii kukupigia kura anko Magu
Good job Mr president
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Mchina antera mpaka ankosea kiimombo nakukubali mh Rais ww ni nchi yako mngurumiee yyt mweupe mweusi akixingua fukuza
Daaaaaaaaaaah! I wish all the best my president god bless
Kazi
My president forever I don’t need another president your too much for me🙏
Hivi watanzania kwa nn tusimwache tu magufuli atawale mpaka kufa jamanii nampenda raisi wangu jamanii hadi wachina wanakosea hadi kingereza kazii ipo mwaka huu thanks magufuli
Me naona katiba itenguliwe, awe tu wa kudumu cc tunachoitaji nchi yetu ikue kiuchumi?
Nipo huku nachukua madini ya mzalendo wangu
Kama ulijua muda uliyopewa ni mdogo ndio maana uliumia sana kuona kazi inachelewa. Tanzania itakukukumbuka
Ni kama bodyguard wa Magu ni Muislam
Hibo Muslima anasijida imetulia MASHAALLAH
Haijalishi awe mwaislam au mkristo
@@emanueljtluway1265. Ndio nime ona hana ubaguzi kabisa wa dini au kabila
@@hassanmirambo564 . Yes ndicho kilicho nifanya niajua ni Muislam tena sio Uislam jina manake Sijda ndio alama ya Muislam hata kama ata vaa mavazi gani
Emanuel JTluway haijalishi awe muislam au mkristo ndio nini sasa mbona wenye dalili za ushoga mko wengi vipi
Hahahahaha huyu magufuri ni hatari hahahahaha kwanini hukuelewa mapema???
Watajua tu mwaka huu
kwanini hukuelewa mapema tangu nilivyokuteua 😂😂😂😂😂