JPM ALIVYOWAKA KUHUSU MAKONTENA KUCHELEWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Mwanza kusini inapojengwa meli mpya na ukarabati wa meli mbili MV Victoria na MV Butiama
    Katika ziara hiyo rais Magufuli ametoa siku nne kwa wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano kuhakikisha kontena 58 zilizokwama bandarini zenye vifaa vya ujenzi wa meli mpya inayojengwa ziwa Victoria yenye uzito wa tani zaidi ya 3000 pamoja na chelezo
    “Mmesema zimekaa zaidi ya siku 30 zinasubiri nini na mimi nataka vifaa vifike hapa,nataka umpigie katibu mkuu wako umwambie vifaa vinafika lini” Rais Magufuli

Комментарии • 289

  • @shankalimauno5786
    @shankalimauno5786 5 лет назад +67

    kichwa cha magufuli kinafanya kazi kama computer mungu akulinde na akubaliki sana.

  • @yasinibakari830
    @yasinibakari830 5 лет назад +32

    Tanzania mpya inaonekana sasa, hongera Mh Rais JP Magufuli

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 3 года назад +13

    We gonna miss this man. Mungu we ndiyo ujuaye rip

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 5 лет назад +13

    Wenye Mamlaka msaidie Mh. Rais, punguzeni ukiritimba. Mnampa kazi nzito sana

  • @wailesdeus3764
    @wailesdeus3764 5 лет назад +58

    Huyu ndio tulikuwa tunamtaka president wetu

  • @peterkyese4516
    @peterkyese4516 5 лет назад +24

    Nitakupankura yangu mm Anna Peter kwa jeruf kubwa nakupenda xanaaa magi

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 5 лет назад +40

    Safi sana, , WATANZANIA SISI BILA KUSUKUMWA HATUENDI

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 3 года назад +10

    Kafanya kazi kubwa huyu mzee

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 5 лет назад +43

    UYU NDO RAISI BUANAA,,,
    YAAN AM PROUD OF U MAGUFULI MY PRESIDENT

  • @imransalim6352
    @imransalim6352 5 лет назад +11

    I don't see any reason for an election just let Mr Pombe magufuli be always a president for Tanzania

  • @nelsonsimtowe4268
    @nelsonsimtowe4268 5 лет назад +11

    Mungu katupa raisi daaah magufulification oyeeeh😍😍😍😍

  • @edwinfweni
    @edwinfweni 5 лет назад +8

    Magufuli n hero wa Tanzania #thank you God for giving us huyu raisi

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 года назад +3

    Magufuli Jembe!! Mungu Alitupa Magufuli kwa kweli.Asante sana Roho Wake Mungu wetu

  • @conkyanick7247
    @conkyanick7247 5 лет назад +47

    mjomba magu kula yangu umepata 2020 panapo uhai

    • @richardgirgis4302
      @richardgirgis4302 5 лет назад +2

      Siyo kula sema kura

    • @elinahdaudi8195
      @elinahdaudi8195 5 лет назад

      @@richardgirgis4302 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @antoinea.katembo5326
      @antoinea.katembo5326 5 лет назад +1

      Apewe kura zote za mwaka wa 2020, na mie nitashindwa kumshangaa mpuuzi yeyote yule atakae jifanya kugombea uraisi 2020 dhidi ya hilo jembe (magu)!!!

    • @saidseleman6004
      @saidseleman6004 5 лет назад +1

      Yangu na make wangu nampa kura

  • @julessebintu6525
    @julessebintu6525 5 лет назад +2

    Nakupenda sana mweshimiwa MAGUFULI. Mimi mukongo lakini tanzania mungu aliwapatia Rais muzuri

  • @boniphacetabu2903
    @boniphacetabu2903 5 лет назад +30

    Kama umemuona mchina anapanic mbele ya JPM gongalike 'Are you sure' naye anajibu "Are you sure'' HAPA KAZI TU

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 5 лет назад +2

      Hahahahahaaaaa, mie nimecheka sana kidogo nife

    • @mathayojohn5440
      @mathayojohn5440 3 года назад +2

      Hahahahahah alipanic maskini, r.i.p mugu

  • @kassimkassim5013
    @kassimkassim5013 5 лет назад +8

    hongera saana muheshimiwa rais kwa kutatua tatizo la meli ubarikiwe

  • @erickpaschal1639
    @erickpaschal1639 5 лет назад +28

    Live long the King of Tanzania

    • @zahiremiliano2485
      @zahiremiliano2485 3 года назад

      i dont mean to be off topic but does someone know a method to log back into an instagram account..?
      I stupidly forgot the password. I would love any assistance you can give me

    • @finneganzahir6598
      @finneganzahir6598 3 года назад

      @Zahir Emiliano Instablaster ;)

    • @zahiremiliano2485
      @zahiremiliano2485 3 года назад

      @Finnegan Zahir thanks for your reply. I found the site through google and Im in the hacking process now.
      I see it takes a while so I will reply here later with my results.

    • @zahiremiliano2485
      @zahiremiliano2485 3 года назад

      @Finnegan Zahir it did the trick and I now got access to my account again. I'm so happy!
      Thanks so much you saved my ass!

    • @finneganzahir6598
      @finneganzahir6598 3 года назад

      @Zahir Emiliano No problem xD

  • @rodneyford88
    @rodneyford88 5 лет назад +2

    This President is something else..Mungu ampe maisha marefu.

  • @athumanizaidi8560
    @athumanizaidi8560 5 лет назад +19

    Muheshimiwa Rais nakuomba ugombee Uraisi mihula mitatu nitakupigia kura.

  • @nadyahassan7924
    @nadyahassan7924 5 лет назад +16

    na kukubali sn baba toka uingie madarakan Tanzania yaonekan bhan asie kubali huyo ni mchawi wk pigan2 rais wetu huwez pendwa na wote nataman uendele kuongoza

  • @f.a6043
    @f.a6043 5 лет назад +4

    Salute Mr President GOD BE WITH YOU

  • @saumukaisi3996
    @saumukaisi3996 5 лет назад +5

    Aisee huyu ni komandoo👏👏👏👏👏

  • @eliankya3272
    @eliankya3272 5 лет назад +42

    Bado kuna wajinga wamekaa eti wanajadili namna ya kumtoa wiki hii tunategemea kupokea sement apa moshi kwa tren MUNGU atupe nini jamani

    • @zakayomoshi1270
      @zakayomoshi1270 5 лет назад

      Elia Nkya Duh kwel au

    • @ernestkimati9762
      @ernestkimati9762 5 лет назад +3

      Hili jembe langu, naendelea kuna tu,kura za familia yangu nilishamkabidhi jamaa nasubiria shelehe ya kuapishwa

  • @kandidosamwel3030
    @kandidosamwel3030 5 лет назад +21

    Mchina anaulizwa nae anauliza ama kwel maguu noma sana mchina hadi anajichanganya?

    • @mwamengele
      @mwamengele 5 лет назад +1

      Sio mchina huyo ni mkorea, wewe tukikuita mhutu utafurahi

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 5 лет назад +1

      Mengele Ugulumo sasa alikuwa ajuw mbona unahasira mhutu iyo vepe kwan mrwanda uyo

  • @avelinamagesa4131
    @avelinamagesa4131 5 лет назад +2

    Akhsante mungu kwa kutupa mkomboz wa nchi!!! tunakuombea Ufanye kazi kwa hekima ya mungu!

  • @jumamkokota9484
    @jumamkokota9484 5 лет назад +4

    Huu ndio uongozi unao takiwa chapa kazi mkuu wangu ongera sana mungu hatakulipa

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +22

    Mna tia stress mzee wa watu na alikua likizo kukaa na Mayo wake

  • @enockoward2656
    @enockoward2656 2 года назад +2

    When I see what is going on now
    Daaa!! GOD SAVE MY COUNTRY

  • @juliasbeda2894
    @juliasbeda2894 5 лет назад +1

    Kazi tu kwa kwenda mbele kiboko ya wavivu i love u President Magufuli . Mafisadi ,wazembe hatuna nafasi nao ..waongew sisi kazi tu kwa kwenda mbele wametuchelewesha Sana ..utaacha Sana legacy Sana Mh. Magufuli utakubukwa daima in this Nation ..Machozi huwa yananitoka since you were elected 2019 unatubless sana

  • @rickrosswabongo4116
    @rickrosswabongo4116 5 лет назад +15

    Kwanini hukuerewa tangia nirivyokuteua?!😂😂😂 Hakuna haja ya uchaguzi jamani. Hizo pesa ziende kwenye miradi ya maendeleo. Huyu ndio rais wetu wa kudumu

  • @mahijakapingu395
    @mahijakapingu395 5 лет назад +1

    ManshaAllah baba Allah akupe umri mrefu uwe Rais tena

  • @badpblame9694
    @badpblame9694 5 лет назад +5

    Our lovely presdaaa

  • @juliethrushuli488
    @juliethrushuli488 5 лет назад +4

    I love my president confidence!

  • @ibravalentinokaba1397
    @ibravalentinokaba1397 5 лет назад +2

    Nakupenda sana rais wangu mungu akulinde sana Mzee Magu

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 5 лет назад +45

    😂😂😂😂magu ww atare jamaa anapiga simu anatka aanzishe story eti ww muulize vifaa vinakuja lin magu atare

  • @mdomani2404
    @mdomani2404 5 лет назад +3

    Kaka yangu alisingiziwa kesi butimba mwanza gerezan kasototaaa weee jaman iyo ziyara ya mh. Juz mwanza kaka yang kaachiwa huru Hana kesi so alionewa jaman najiproud kuwa mtanzania a na asnte mung mlinde Rais wetu🙏🙏

  • @hassanikigongo2286
    @hassanikigongo2286 4 года назад

    TANZANIA ya viwanda ina hitaji good operators na master mind kama hawa salute mheshimiwa president

  • @maalimrajabu1634
    @maalimrajabu1634 5 лет назад +6

    Huyu ndie rais tulikuwa tunamuhitaji tanzania mungu akubariki sana mkuu wetu

  • @Subaruleone69
    @Subaruleone69 5 лет назад +16

    😂 😂 😂 Mchina amepaniki.. Tungekupata wewe Kenya.. Walahi

    • @mwamengele
      @mwamengele 5 лет назад +1

      Hakuna mchina hapo

    • @sheikhasalim9124
      @sheikhasalim9124 5 лет назад +2

      Ha mimi naomba atokee Raise kama huyu kenya kume oza sehemu zote

    • @ramadhansesala4891
      @ramadhansesala4891 5 лет назад +1

      Mm naona huyu Mh Raisi Aendelee tu kuwa Madarakani mpaka Mwenyez Mungu Akimuitaji Maaana sizani kama Atakuja kama Huyu tena

    • @demenicamlewa1922
      @demenicamlewa1922 3 года назад

      Tutakukumbuka.

  • @swahilitheafricantongue7041
    @swahilitheafricantongue7041 5 лет назад +2

    Moto wa huyu mzee haupoi. Salute kwako Mr. President

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 5 лет назад +5

    Nahisi bado baadhi ya watendaji wa serikali speed ya our lovely President JMP hawaiwezi, they should change in positive attitude

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 3 года назад +3

    DAA R.I.P JPM (ZILE KAULI ZA UNAJUA ME NANI ZINAWEZA KURUDI😭😭😭😭💔💔💔🕊🕊)

  • @leonarldkayombo9906
    @leonarldkayombo9906 5 лет назад +12

    janja janja hao mzee nyoosha

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 5 лет назад +2

    Nimeskia ushuzi umewatokaaaa😊😊chezea mjomba magu weee fayaaa👐👐

  • @rehemayona5807
    @rehemayona5807 5 лет назад +3

    Mungu akupe afya njema na maisha Marefu Baba.

  • @apolinaryprimus5542
    @apolinaryprimus5542 5 лет назад +4

    Milolongo tija na maelezo mareeeefu ndio inatukwamisha!!! Vingreza kibaaaao!!! MyPresident MyHero!!!!🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @petermim
    @petermim 5 лет назад +5

    Adi mchina anaogopa, I sure by March😀😁😀😀😀doh# kingereza kikaondoka

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 5 лет назад +50

    Mbowe Kwa utendaji huu wa Magufuli Mwambie LISU ASUBIRI 2020

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 5 лет назад +1

      Hao ni midomo tu. Hawana lolote

    • @leonardmrope9528
      @leonardmrope9528 5 лет назад +1

      😀😀😀😀😀😀we manyota !! duuh

    • @user-zj3ke9gc2u
      @user-zj3ke9gc2u 5 лет назад +4

      Hata luwasa asinge weza ange kufa mapema

    • @mumbasag679
      @mumbasag679 5 лет назад

      Ahsante kaka, ngoja atunyooshe

    • @sanyolee1396
      @sanyolee1396 5 лет назад +1

      Kabisa kwanza kashakuwa mlemavu yulee

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 5 лет назад +8

    Hapa kazi tuu. Mliozoea kukaa maofisini kazi mnayo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад +18

    Nyoosha nchi anko hatutak mazoea

  • @athumanomary1171
    @athumanomary1171 5 лет назад +1

    Asante san baba yetu asante san kiongozi wetu asante sana raisi wetu raisi wetu mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe

  • @juliustanzania8990
    @juliustanzania8990 5 лет назад +7

    Anko Magu: "are you sure by March?"
    Mkandarasi: are you sure by March?"
    Dah mbavu zinauma kwa kucheka.

  • @zainabuahmed5910
    @zainabuahmed5910 5 лет назад +8

    ARE YOU SURE BY MARCH?
    mchina kauwa kiingereza mgeuzo

  • @thomasapolinary4966
    @thomasapolinary4966 5 лет назад +1

    Me natakaga mendeleo sio ushabiki wa vyama ...hongera raisi wangu mungu akuvushe.

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 5 лет назад +1

    M2 kaz hapa had wakuelewe saf Sana hongera mkuu

  • @abuumariam4602
    @abuumariam4602 3 года назад +1

    Tusha kumis Rais wetu Mungu kulaze pema😭😭😭😭😭

  • @nadiahussein5892
    @nadiahussein5892 5 лет назад +2

    Magu oyeeeeeeeee eti we katibu mkuu ujambo lazima mkome manina

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 3 года назад +8

    Rest in peace my President 💔😭

  • @masudijahazi
    @masudijahazi 5 лет назад +5

    Straight to the point approach

  • @yohanadeus1292
    @yohanadeus1292 2 года назад +3

    We miss you BABA JPM

  • @rodneyford88
    @rodneyford88 2 года назад +1

    Tutakukumbuka daima Rais wetu RIP

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 5 лет назад

    Sioni zile komenti za kukosoa ,zimefia wapi ,nipeni like kama tupo pmj

  • @nsabimanadominique3907
    @nsabimanadominique3907 Год назад

    AFRICA WILL NEVER GET ANOTHER PRESIDENT LIKE MAGUFULI

  • @mohdjuma3513
    @mohdjuma3513 3 года назад +1

    Dah imezima taa🔥🔥

  • @danielmatiku5602
    @danielmatiku5602 5 лет назад +18

    😂😂😂 are you sure by March

    • @togolaninyika9800
      @togolaninyika9800 5 лет назад +5

      Tangu leo natubu kuwapa ukawa kura yangu..... Hakika Magu ni chaguo la Mungu.

    • @barakanassoro3503
      @barakanassoro3503 5 лет назад +1

      😁😁😁😁 Daniel

    • @danielmatiku5602
      @danielmatiku5602 5 лет назад

      @@barakanassoro3503 are you sure by March??😅😅😅

    • @barakanassoro3503
      @barakanassoro3503 5 лет назад +1

      @@danielmatiku5602 Naona Leo tumefurah kwa pamoja na hiyo clip hasa Happ😁😁😁,,, vzr sn tupo pmj🙏

    • @danielmatiku5602
      @danielmatiku5602 5 лет назад +1

      @@barakanassoro3503 pamoja sana ndugu.🤝

  • @israelimjema5001
    @israelimjema5001 5 лет назад +1

    Mzee magufuli unatufurahisha xana wananchi unapozibiti hapo bandarini xafi xana 2020 naishirini huna mpinzani ccm oyeeeeeee.

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo564 5 лет назад +5

    Ingekuwa wale wanaume waliojenga mbuguni mererani na meli wangekuwa wanajua kutengeneza bila shaka sasa hivi zingekuwa ziliishaanza kazi

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 5 лет назад +4

    Mungu awe kiongozi wako mh rais wetu tuokoe baba

  • @bwiganeafwene1039
    @bwiganeafwene1039 5 лет назад

    Much much much much much much excellent Hon president

  • @martinrioba3274
    @martinrioba3274 3 года назад +1

    R.i.p my president

  • @nightwishisthegreatestband6355
    @nightwishisthegreatestband6355 5 лет назад +3

    Love you El Jefè! I don't care what anyone says

  • @princekassim4089
    @princekassim4089 5 лет назад +4

    Respect 🔥

  • @ernestkimati9762
    @ernestkimati9762 5 лет назад

    Nilisha sema na kueleza watu kwamba, no one can be like dis guy, he sometimes made some difficults decision! God bless dis guy,he is fighting for every tz people. Mtu punguani,hajui na atapuuza maelezo haya,serikali za ya awamu ya......ilikuwa tete kabisa ilifika mahali ikawa haina cash,mishahara yetu hadi ilikuwa inaenda kopa kwa mabizinesigayizi! Leo hii,kila MTU anakula usawa wakamba yake kwa position yake.
    Mungu amubaeiki huyu mzee

  • @lawrenceguyali1099
    @lawrenceguyali1099 5 лет назад +12

    MAGUFULI: Are you sure by March????????
    MKANDARASI: Are you sure by March............>>>>>>>>>>>>>> Ha haaa. Mbavu sina.

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 4 года назад +1

    Huyu Ndie Rais wa ukweli

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 5 лет назад +2

    Ukiona hautosh mshahara nenda ukalime! kama nawe umesikia gonga like jamani.

  • @mkumbosamson7981
    @mkumbosamson7981 2 года назад

    2022 the greater leader

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 5 лет назад

    Watanzania tumushukuru Mungu, na uvivu wetu bila Rais kama huyu Tanzania isingeendele kabisa. Anajaribu, anafanya kazi kwa roho moja. Hatujaona Rais kama huyu. Kazi anayofanya ni ngumu ikiwa pamoja na kupigwa vita ndani ya CCM na wapinzani. W amuache Rais awafanyie kazi Watanzania

  • @ARCHANDRAMUMBUNGU
    @ARCHANDRAMUMBUNGU 5 лет назад +4

    HISTORIA YA DUNIA
    KILA KIONGOZI MZURI HUPINGWA
    MF. MISRI ALITOKEA MUSA WAKAMPINGA.
    YESU ALIPOFIKA WAKAMPINGA.
    NA VIONGOZI WENGINE WENGI WAZURI DUNIAN WALIPINGWA.
    SION AJABU JPM KUPINGWA.
    NAKUPENDA SANA JPM.
    NAIPENDA TZ YANGU.

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 года назад +2

    Alikua hapendi ubabaishaji

  • @gulamnanji5747
    @gulamnanji5747 5 лет назад

    Mkuu hongera sana hapa kazi tu

  • @tumpiliksye
    @tumpiliksye 5 лет назад +2

    Shikamoo Magu

  • @tumainbeatus3282
    @tumainbeatus3282 5 лет назад +1

    Ivi chama pinzani kinataka mabadiliko gani?
    Piga kaz mzee baba, mm na familiar yangu tunakupenda Rais wetu

  • @t1910j
    @t1910j 3 года назад +2

    We will miss you so much Dr Magufuli

  • @cheruiyotweldon9632
    @cheruiyotweldon9632 2 года назад

    JPM 💪💪 Jembe kutoka Chato👊👊 💯.
    R.I.P Magu🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🙏🙏.

  • @RioIpo
    @RioIpo 5 лет назад +3

    Dah sijutii kukupigia kura anko Magu

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 5 лет назад

    Good job Mr president

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 года назад

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah7461 5 лет назад +3

    Mchina antera mpaka ankosea kiimombo nakukubali mh Rais ww ni nchi yako mngurumiee yyt mweupe mweusi akixingua fukuza

  • @rodgermdes1307
    @rodgermdes1307 5 лет назад

    Daaaaaaaaaaah! I wish all the best my president god bless

  • @alhajbakary7337
    @alhajbakary7337 3 года назад +1

    Kazi

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 5 лет назад +4

    My president forever I don’t need another president your too much for me🙏

  • @mkumbongosha3916
    @mkumbongosha3916 5 лет назад

    Hivi watanzania kwa nn tusimwache tu magufuli atawale mpaka kufa jamanii nampenda raisi wangu jamanii hadi wachina wanakosea hadi kingereza kazii ipo mwaka huu thanks magufuli

    • @marykuhanga9424
      @marykuhanga9424 5 лет назад

      Me naona katiba itenguliwe, awe tu wa kudumu cc tunachoitaji nchi yetu ikue kiuchumi?

  • @raibethnicholaus1493
    @raibethnicholaus1493 3 года назад +1

    Nipo huku nachukua madini ya mzalendo wangu

  • @zenj1986
    @zenj1986 3 года назад +1

    Kama ulijua muda uliyopewa ni mdogo ndio maana uliumia sana kuona kazi inachelewa. Tanzania itakukukumbuka

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +5

    Ni kama bodyguard wa Magu ni Muislam

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 5 лет назад +2

      Hibo Muslima anasijida imetulia MASHAALLAH

    • @emanueljtluway1265
      @emanueljtluway1265 5 лет назад +1

      Haijalishi awe mwaislam au mkristo

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 5 лет назад +2

      @@emanueljtluway1265. Ndio nime ona hana ubaguzi kabisa wa dini au kabila

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 5 лет назад +1

      @@hassanmirambo564 . Yes ndicho kilicho nifanya niajua ni Muislam tena sio Uislam jina manake Sijda ndio alama ya Muislam hata kama ata vaa mavazi gani

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 5 лет назад

      Emanuel JTluway haijalishi awe muislam au mkristo ndio nini sasa mbona wenye dalili za ushoga mko wengi vipi

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 5 лет назад +3

    Hahahahaha huyu magufuri ni hatari hahahahaha kwanini hukuelewa mapema???

  • @dsstanzania
    @dsstanzania 5 лет назад +3

    Watajua tu mwaka huu

  • @mywater6796
    @mywater6796 5 лет назад +1

    kwanini hukuelewa mapema tangu nilivyokuteua 😂😂😂😂😂