MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
    RAIS Dkt John Magufuli, leo Mei 03, amemuapisha Mbunge wa Iramba, Mwigulu Nchemba, kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, baada ya aliyekuwa waziri wa wizara hiyo, Balozi Agustine Mahiga, kufariki dunia na kisha kumpa majukumu mazito waziri wa sheria kuchunguza Maabara ya Taifa madai kuwa vipimo vilionesha Papai, Mbuzi, Fenesi navyo vina CORONA!
    Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    iOS:apple.co/38HjiCx
    VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    OUR PLAYLIST:
    HABARI MPYA DAILY: http:shorturl.at/lNOZ2
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 2,1 тыс.

  • @saimjonas
    @saimjonas 4 года назад +423

    Nimeguswa na speech ya Rais wetu leo. Anayemsapoti Jembe hili Mzee wetu Kufuli gonga like hapa. Amaaa

    • @dicksonmalimba1056
      @dicksonmalimba1056 4 года назад +7

      good speech

    • @dicksonmalimba1056
      @dicksonmalimba1056 4 года назад +6

      mungu akuzidishie uwezo wa kuwaongoza watanzania

    • @GUESSNOW
      @GUESSNOW 4 года назад +5

      Hii ndio Intelligence aisee..

    • @charlesmrina9002
      @charlesmrina9002 4 года назад +6

      Mweshimiwa rais Mungu akupe maisha marefu ili uwezi kutuvusha salama ktk vita hivi vya corona .Rais anaouwezo Wa kuishi mkoa wowote hapa nchini bila kujajiliwa na mtu au chombo chochote kile wanaojali hilo hawana ufahamu Mwenyezi Mungu hawasamee bure hawajui watendalo.

    • @francismigongwa4146
      @francismigongwa4146 4 года назад +4

      Congratulations mh JPM

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 4 года назад +243

    Aisee aliyeskia majina ya sample gonga like kubwa hapa.Rais unaweza.asante baba.ongera sana mh.mwigulu

    • @dennisherman1661
      @dennisherman1661 4 года назад +4

      Uwepo wako Baba angu mungu akulinde wakati wote Uko sahihi na watanzania tunakuelewa sana baba tupo nawe asante kwa kuwa mzalendo namba moja

    • @dadapechi
      @dadapechi 4 года назад +1

      Very intelligent

    • @jtheophil5499
      @jtheophil5499 4 года назад +2

      Namtafakari simpatii picha..huyu baba ni habari nyingine.nampenda.hapa ndo tunaona maana ya kwenda shule,ukawa na uelewa wa kuzaliwa ,na mwenyezi mungu akakuzidishia busara na utambuzi mkubwa sana.

    • @nassoroseleman60
      @nassoroseleman60 4 года назад +1

      Kweli baba sisi tunakuombea sana. Baba

    • @SmartBrainTv2020
      @SmartBrainTv2020 4 года назад

      NAKUOMBA USUBSCRIBE RUclips CHANNEL YANGU,
      NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI,.

  • @mauayusufumauayusufu7862
    @mauayusufumauayusufu7862 4 года назад +319

    Tujuane tuliomuelewa mh. Present magufuli bila wasiwasi Tujuane

  • @ydisotzmusickilistofa5203
    @ydisotzmusickilistofa5203 4 года назад +119

    Mtu Anasema Funga Daresalama Sifungi Nishasema Wew Nani Mpaka Uniambie Nifunge Hahahai Gonga Like Kwa Magu Wakeeee

    • @ashuraduguda8187
      @ashuraduguda8187 4 года назад

      Ydiso Tz Music kilistofa weeee

    • @SmartBrainTv2020
      @SmartBrainTv2020 4 года назад +1

      NAKUOMBA USUBSCRIBE RUclips CHANNEL YANGU,
      NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI,.

  • @Hasnspop
    @Hasnspop 4 года назад +78

    Anae mkubali huyu ndugu yangu angonge like hakuna kama magufuli

  • @othmanidrisa6607
    @othmanidrisa6607 4 года назад +264

    Nataka nijue wanaokubal kuwa MZEE magu ndie rais bora africa

    • @chrismbalamwezi8226
      @chrismbalamwezi8226 4 года назад +4

      Wewe ni rais wa uchaguzi wa yehova Mungu hakika ,uishi na uivushe Tanzania na Africa

    • @majidshaib461
      @majidshaib461 4 года назад +3

      Yap

    • @renialukamya914
      @renialukamya914 4 года назад +2

      Mungu anaendelea kujibu maombi tuliyoomba siku tatu kwa taifa yajayo yanafurahisha

    • @charlesmotongoribhoke8818
      @charlesmotongoribhoke8818 4 года назад +2

      Wambie baba uko poa Sana mzee

    • @fatmaaliy7855
      @fatmaaliy7855 4 года назад +3

      Uyu ni raisi bora allah azidi kukupa umri mrefu na Afya njema baba etu wa taifa amiin
      Uzidi kuilinda nchi yetu Tanzania

  • @bangastar5177
    @bangastar5177 4 года назад +201

    Elizabeth Fenesi gonga like kwa umakini Wa Raisi wetu

  • @veronicacosmas9211
    @veronicacosmas9211 4 года назад +72

    RAIS wangu DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI hakika Mungu anakutumia na aendelee kukulinda akupe Hekima zaidi ya hapo Mungu Akubariki mnooooo

    • @leoniabeda2711
      @leoniabeda2711 4 года назад +1

      Hongera Sana rais wa Mimi hapa umbua hao mabeberu pima hadi mawe babaa Cha msingi majibuuu💪

  • @vicentLusana
    @vicentLusana 2 месяца назад +1

    Mwenyezi mungu aendelee kukupumzisha kwa Amani Baba yetu niombee na Mimi niwe na hekima kubwa ktk utumishi wangu Amina

  • @allybakar2402
    @allybakar2402 4 года назад +16

    Naomba ujumbe huu umfike Raisi wangu popote alipo mwenYezi mungu amfanYie wepesi katika maisha Yake kikweli nimejiskia mwenYe furaha Sana tangu alipo ingia madarakani mpaka leo daaaaaah mungu baba mpe nguvu Rais wetu🤲🤲🤲😭😭

  • @elizabethludovick9075
    @elizabethludovick9075 4 года назад +53

    Waoooh nakupenda sana baba ndio. Maaana nilikuombea MUNGU AKUONGEZE SIKU ZA KUISHI NAKUPENDA

    • @magesadominick5724
      @magesadominick5724 4 года назад

      Viongozi wote wangekua kama ww baba atu tz ingekua peponi xema tu katba ya nchi inabana ingekua inabana miaka 10 mingine tungekuongeza

    • @barakachubwasindi8152
      @barakachubwasindi8152 4 года назад

      nakushu kulusana kiongonzi

  • @kulimaomari8468
    @kulimaomari8468 4 года назад +8

    Tunao mkubal magufuli weka like hapa

  • @ahamadimnaleke513
    @ahamadimnaleke513 4 года назад +83

    Ahsante baba, huyu ndiye kiongozi! MSIMAMO DAIMA!

    • @rachelmongi4222
      @rachelmongi4222 4 года назад +1

      Asante baba,Mungu akutunzena hofu ya Mungu izidi ndani yako

  • @jescadavid5654
    @jescadavid5654 4 года назад +22

    Mungu akubarki sana Mr raisi,sijawai ona kiongozi kama wewe,Utajaribiwa imani lakin mwisho wa siku wata kiri Mungu yupo.Pambana mpka mwisho

  • @faridaothman
    @faridaothman 4 года назад +7

    Like hapa kama unamkubali RAIS WETU MAGUFULI

  • @pilymasoud1978
    @pilymasoud1978 4 года назад +53

    Mungu akubariki Raisi wetu.🇹🇿Tanzania tunajivunia kupata Raisi shujaaa,🙏🙏🙏🙏

  • @bonsaviouromuholo8317
    @bonsaviouromuholo8317 4 года назад +53

    This is real leadership. A true son of Africa

  • @eddymeshack
    @eddymeshack 4 года назад +66

    Tanzanians you are very lucky to have this guy as a president

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 4 года назад +63

    This is the kind of leadership we need in Africa.... Big up president Magufuli

    • @petercheto6064
      @petercheto6064 4 года назад +1

      Prezo Magufuli W.H.O wanafanya nini haswa na wanalibwa pesa which is which? We need open president like u in Africar
      Big up.... Ayub from Kenya

  • @mohammedmohammed9050
    @mohammedmohammed9050 4 года назад +26

    Mheshimiwa Rais wewe unasifa ya kuitwa Rais, sbb unafatilia na unajua kazi,na unafahamu majukumu yako Mungu akulinde mzee wetu,nakuahidi na mara hii kura yng unayo mzee wng.

  • @karanidicky4489
    @karanidicky4489 4 года назад +26

    Yani hapo kwa viongozi wa dini kukosa mwelekeo..kwa kumsahau Mungu,umegonga ndipo Mhe..kutoka 🇰🇪

    • @josephsirikwa200
      @josephsirikwa200 4 года назад +1

      Mh! Hakuna tena kina Yusuphu au Eliya wa zamani wa kusema kumtii Mungu ni bora kuliko mwanadamu

  • @cosmasevarist6221
    @cosmasevarist6221 4 года назад +120

    Huyu RAIS ni wa kukumbukwa TZ🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
    Africa imeshaanza kujitambua
    Leta dawa ya madagascar.
    Tupende vyetu vya Africa

    • @pendael02
      @pendael02 4 года назад +1

      Leteni za Madagascar dawa

    • @barikialex5875
      @barikialex5875 4 года назад +1

      Huyu ni rais makini anafanya vitu kwa umakini mkubwa

    • @sahibumsuya96
      @sahibumsuya96 4 года назад

      Duh,,,!

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 4 года назад +9

    Ww ni Dr. Magufuli by professional (Chemistry scientist). Raisi wetu endelea mzee kuiyongoza Tanzania. Ww ni zaidi ya Maraisi waliopita Tanzania. Full Respect

  • @ambeyimark8
    @ambeyimark8 4 года назад +34

    Natamani kuhamia Tanzania,.,. Kenya huku Uhuru ametushinda

  • @mwashibenard2280
    @mwashibenard2280 4 года назад +82

    Elizabeth Fenesi +ve, asilimia 100 zana za upimaji ni kutoka nje.
    Covid-19 ni vita ya kiuchumi, hawa wazungu wanatuchezea.
    Nakukubali Sana Uncle Magu.

    • @monicahovda5890
      @monicahovda5890 4 года назад

      Sio kila kitu wazungu, wazungu hawatengenezi hivi vipimo. Hata hao wazungu walikuwa wanaletewa toka china, hapo wahusika wachina, ndio mara vipimo, mara barakoa hivi mara vile na Mchina sio Mzungu, hata haya ya barakoa za kutoka china wazungu nao yamewakuta kwa taarifa

  • @getruderamos900
    @getruderamos900 4 года назад +32

    Mungu anajibu maombi kwa njia mbalimbali🙏

  • @sultanmfalme830
    @sultanmfalme830 4 года назад +47

    "SIFUNGII NSHASEMA!" Huyu ndo Raisi, na wala hatukopeshi wala kumuuza nchi nyengine. Asante Magufuli kwa uongozi wako na Mungu akupe maisha marefu.

  • @kimeumichael4733
    @kimeumichael4733 4 года назад +49

    Kenyan tunakupenda sana thank you JPM,soon am relocating to Tanzania please welcome me guys,I need to be part of TZ

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 4 года назад +5

    Nimefarijika mno na nimepata chakula cha nafsi kwa hotuba hii..sina zawadi ya kukupa Rais wetu zaidi ya kukuombea Allah akupe afya njema na umri mrefu wenye kheri..Ameen

  • @emmahmunyao158
    @emmahmunyao158 4 года назад +115

    This is an intelligent man from God, JP Magufuli is quite unique you can't compare him with any other African leader, sisi huku Kenya tumefungiwa umasikini nao unatunyemelea pole pole, i wish other African presidents could take a stand like JP Magufuli and allow their citizens to continue to work this is a spiritual battle and only through prayer and hard work we can overcome

    • @joelbuchuma327
      @joelbuchuma327 4 года назад +3

      Exactly what you say Mr Emmah Munyao..

    • @Mokiwa
      @Mokiwa 4 года назад +4

      Emmah Munyao naamini pia, tumuombee sana

    • @peterlukuba5857
      @peterlukuba5857 4 года назад +2

      Hivi wale wakenya walituitia Raisi wetu MKAIDI wanawaza nini kuhusu kazi hizi tunazopigiwa na jembe letu JPM ? Ila haitupi shida sisi wapiga kura ndo tunaelewa kinacho pambaniwa na zawadi yetu tuliopata kutoka jwa Mungu (JPM)

    • @peterlukuba5857
      @peterlukuba5857 4 года назад +2

      Nakuelewa Emmah Munyao tuko pamoja tuzidi kumuombea Raisi wetu wa Mfano wa pili kutoka kwa JK.Nyerere

    • @angelamarlow510
      @angelamarlow510 4 года назад +2

      This is true

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 4 года назад +50

    Rais wangu ni mfano wa kuigwa sana,anajiamini,ni muelewa sana uyu baba.asante rais magufuli.Nakupenda jamani ni zaidi ya Rais .alishushwa kutoka mbinguni.

    • @alleteeaeum5583
      @alleteeaeum5583 4 года назад +1

      Akanganyila Theophil mheshimiwa mungu akuongoze zaid na zaid

    • @jtheophil5499
      @jtheophil5499 4 года назад

      @@alleteeaeum5583 Amina amina

  • @phabianstephano8279
    @phabianstephano8279 4 года назад +61

    Hapa mzungu lazima astuke janja yao imebumburuka nyau hawa

    • @SmartBrainTv2020
      @SmartBrainTv2020 4 года назад

      NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY RUclips CHANNEL,
      NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @allysaidy443
    @allysaidy443 4 года назад +16

    Alie sikia sampu ya ukuta gonga like hapa ♡

  • @mwaghaelias6946
    @mwaghaelias6946 4 года назад +15

    Allah akulinde kwa kila baya sisi sote kwa kila husda Amin

  • @rajabumbesi3425
    @rajabumbesi3425 4 года назад +58

    Huyu jamaa anaijua kazi yake kwa 100% najua Kuna watu wamekaa wanajadili speech yako ya leo

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 4 года назад +1

      Hahahaaaaa, ni kweli kaka,watu wanaumiza kichwa kujibu speech,hii.Mkuu wetu yupo imara sana Mungu aendelee kukusimamia.

    • @lucaslyimo2118
      @lucaslyimo2118 4 года назад

      Scientists I'm I know what I speak

    • @peterlukuba5857
      @peterlukuba5857 4 года назад

      Utasikia wengine wanaibuka na speech zao zisizo na evidence wamevalia mi gloves kuwajaza ujinga umtu wajinga wenzao JPM mashine nyingne hii😂😂😂😂🙌

  • @gracesukwa1897
    @gracesukwa1897 4 года назад +58

    Mi Kwa leo sina mengi,MUNGU akujalie maisha marefu utuvushe salama,ameni.

  • @violetliani5308
    @violetliani5308 4 года назад +30

    Ahsante sana mungu akulinde. Tuna shukuru na msimamo wako. Wazungu hawa tutakii mema. Tuko na wewe raisi wetu. Asante sana.

  • @economics001
    @economics001 4 года назад +49

    I'm a Kenyan but honestly I am proud of you JPM. You go factual and you gonna make E AFRICA great.

    • @SmartBrainTv2020
      @SmartBrainTv2020 4 года назад +1

      NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY RUclips CHANNEL,
      NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @rodrickmwasankinga4498
    @rodrickmwasankinga4498 3 года назад +18

    R I P PUMNZIKA AMIRIJESHI MKUU 🙏🇹🇿❣️

  • @hamisimohamed3741
    @hamisimohamed3741 4 года назад +52

    Dah huyu Mh Magufuli kwel katumwa na mungu duuuuh mungu akulinde xana mhexhimiw wetu hakika ww ni mtu wa kuigwa unafichua mengi xana 🙏🙏

  • @mjukuuwamfalmetz3367
    @mjukuuwamfalmetz3367 4 года назад +25

    Raisi wetu JPM wew n Big brain intelligent Man Mungu akupe hekima zaidi
    How comes papai na fenesi ziwe +be🐱

  • @imaningundesi7545
    @imaningundesi7545 4 года назад +58

    Huyu jamaa Mungu amlinde kwakwel.
    Sikumchagua ila kwa sasa nataman aendelee ata miaka 10 tena.
    Mzee endelea kusimama imara ivyo ivyo kwa msaada wa Mungu

    • @josephsirikwa200
      @josephsirikwa200 4 года назад +1

      Mambo ya Mungu bhana hayachunguziki. Na ukimtanguliza Mungu hakuna kinachoharibika kamwe.

    • @bennisafari1727
      @bennisafari1727 4 года назад +1

      Kabisa bana

  • @lucidadanford4052
    @lucidadanford4052 4 года назад +65

    Aliyesikia hatuwezi kucopy na kupaste hatuwez apply hii slogan Tz weka like

  • @2fragrance
    @2fragrance 4 года назад +35

    Double honour from Kenya wish our leaders may wake-up to the truth

    • @SmartBrainTv2020
      @SmartBrainTv2020 4 года назад

      NAKUOMBA U SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YANGU,
      NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @stelaseifu1415
    @stelaseifu1415 4 года назад +19

    Nimekusoma mzee maana tukiogopa kweli, tunayosikia watu wanakufa wengi na kuzikwa ucku. Ahsante kwa ufafanuzi wako. Mungu akutunze. Nimekusoma sana kwa nguvu kubwa.Amen.

  • @euniceadoyo2187
    @euniceadoyo2187 4 года назад +49

    I salute u magufuli. Watching from Kenya

  • @elimika8892
    @elimika8892 4 года назад +89

    Wewe ni rais wa dunia
    MUNGU akupe hekima daima
    Jamani hofu inauwa tusiamini hivyo vyombo vinavyotujaza hofu.
    Tupige kaziii

    • @modestermagonela1042
      @modestermagonela1042 4 года назад

      Hofu zote zilizopo kwenye mioyo yetu zishindwe kwa jina la yesu amina

    • @mwanaisha522
      @mwanaisha522 4 года назад

      @@ukweli255 kias apanic maana upotoshaji umekuwa mwingi na ulipaji mishahara Ni wajibu ila kwa kipind hichi Cha corona wengi walidhan Tanzania itashindwa kujiendesha kwa uchum kuporomoka

    • @saidahmed5643
      @saidahmed5643 4 года назад

      @@ukweli255 wewe umeitizama hotuba hii vizuri au ndo wale wanaokurupuka tuu kutaka kumponda mtu.raisi hajapanic yuko vizuri, anazungumza kwa kunimini na hajabanaika kamwe yuko kawaida tuu.labda umepanic wewe

    • @ramakassimu7733
      @ramakassimu7733 4 года назад

      @@ukweli255 nenda wewe kawe raisi basi

    • @abdulshakur8425
      @abdulshakur8425 4 года назад

      @@mwanaisha522 kweli kabisaa

  • @obedmlule5863
    @obedmlule5863 4 года назад +11

    Ukisoma koment za watu utajielewa uko sahihi mazungumzo yako au vp yaani Tanzania tumepata rais muelewa na chapakaxi tujivunie na Mungu atubariki Magufuli🔥🔥

  • @idizuberi9572
    @idizuberi9572 4 года назад +25

    Jamani anayempenda raisi wetu gongaa tumkubali kwapamoja 👍👍👍👍

  • @howtodo_2024
    @howtodo_2024 4 года назад +40

    Wapinzani mmesikia? Hatutaki kelele zenu Baba kashasema
    Nchi yangu,Fahari yangu, Magufuli Rais wangu💪

    • @abdulqadirqasim2172
      @abdulqadirqasim2172 4 года назад

      Mashallah

    • @lucypeter9979
      @lucypeter9979 4 года назад +1

      Wao wanataka atoke Chato, hahahaha.

    • @ototek8037
      @ototek8037 4 года назад +1

      Wanaelewaga sasa! Kesho utamsikia mbowe lazima aje na makelele mengine tena kwanguvu bila noma

    • @lidyamathayo8343
      @lidyamathayo8343 4 года назад

      Hacha we sio mpinzani kasemwa sote mpaka mkemia mkuu kasemwa,hacha uccm

    • @janethlupil4558
      @janethlupil4558 4 года назад +1

      atuganile mwakitwange wambie aise naomb wawe wanatoa hoja

  • @isayamichael
    @isayamichael 4 года назад +15

    Mimi najivuni kuzaliwa Tanzania na kua na kiongozi bora mungu endelea kuibalika Tanzania ye2 na kufichuwa yalio jificha Amina

    • @paschaljeremiah2611
      @paschaljeremiah2611 4 года назад

      MUNGU AKUPE MAISHA MALEF RAIS WET U

    • @fatumaomy4858
      @fatumaomy4858 4 года назад

      Kwa uwezo wake allah..amjalie maisha marefu raisi wetu🙏

  • @joeliyamakili5051
    @joeliyamakili5051 4 года назад +51

    Nampenda sana Raisi wangu hakika ametumwa na Mungu

  • @deborahlastborn1452
    @deborahlastborn1452 4 года назад +14

    Am kenyan and to be sincere mungu amewarehemea raisi wa kimungu na mwenye hekima kikamilifu..,..God bless u JPM

    • @hekimahalisi6115
      @hekimahalisi6115 4 года назад +1

      Deborah Lastborn thanks , most of us see the same . Anamtanguliza Mungu mbele Kwenye kila kitu na anatetea wanyonge peace be with him always. I am a 28 year old and he is the first president I voted for in my country. So far he is doing so well 🙏 humbled

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias2551 3 года назад +2

    Asante baba ,jembe unaweza.

  • @omarmsusa1263
    @omarmsusa1263 4 года назад +56

    Baba umenena true. Allah akujaalie afya na uzima.

    • @mrisholinso51
      @mrisholinso51 4 года назад

      Hongera mkuu uko makini san kwenye taifa lako

  • @bahatisaid5075
    @bahatisaid5075 4 года назад +26

    Alhamdulilah masha Allah raisi wetu tunakupenda sana wewe baba Allah akupe umri mrefu wenye kheri nawe

  • @manoniyohana7415
    @manoniyohana7415 4 года назад +68

    Ur a real scientist JPM am proud of being Tanzanian under leadership of you

    • @samalimbise7104
      @samalimbise7104 4 года назад +2

      Drew rd

    • @queenwinnie256
      @queenwinnie256 4 года назад +1

      Same my dear

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 4 года назад +2

      Good Speech kamanda na mpiganaji hodari hapaswi kumuogopa adui hata kama ananguvu kiasi gani, he is the second nyerere. Wale mliokuwepo kipindi cha vita vya Uganda nyerere alisimama kwa ujasiri na aliwatia moyo askari na watanzania kuwa tunakwenda vitani na tutashinda sio unakua kiongozi unalialia tu sasa unaowaongoza watafanya ? Big up mzee jpm

    • @peterlukuba5857
      @peterlukuba5857 4 года назад +1

      💪👏👏👏

    • @hanafimtenjela6008
      @hanafimtenjela6008 4 года назад +1

      JPM mm pekeangu ninakuelewa sana mungu akuzidishie umli mrefu

  • @humpertznickerz7597
    @humpertznickerz7597 4 года назад +5

    Kwakwel tunaye genius mtetez wetu kama unamkubal gonga like kama zootee na comment

  • @abdulkassim976
    @abdulkassim976 4 года назад +19

    Unaemuona huyu MJOMBA magu wetu hafai bas utakua mchawi wallahi bora ufe2 mamae😎

  • @chainassnga1840
    @chainassnga1840 4 года назад +80

    Huyu mtu achaneni nae sio wa mchezomchezo anaongea vitu vya msingi usipime

  • @hilalhaji3302
    @hilalhaji3302 4 года назад +30

    Leo moyo wangu umepata zaidi nguvu kupiga kazi Mungu ibariki Tanzania

    • @eutropiafreeman1313
      @eutropiafreeman1313 4 года назад +1

      Mungu akutunze Rais wetu. Ni hekima ya Mungu iendelee kujaa ndayako. Roho mtakatifu akuongoze akushauri na akikuongoza. Damu ya Yesu ikulinde baba.

    • @eutropiafreeman1313
      @eutropiafreeman1313 4 года назад +3

      Hofu ni adui Mkubwa wa mwanadamu na Neno la Mungu limeonya mara nyingi. Mungu atusaidie watu mwafrika.

    • @samuelmanunu1543
      @samuelmanunu1543 4 года назад

      Baba haji piga kazi hahahahahaahaaaaaaaaa hatar sana huyu rais sijawahi ona aise

  • @pathfinder144
    @pathfinder144 4 года назад +37

    Wote wenye akili tunakutakia mema na tunakuelewa. May God be with you till the end.

    • @alisalim4527
      @alisalim4527 4 года назад +1

      Mungu akubariki na ww raisi magufuli ila naomba mpira turuhusiwe leyo kesho kingozi gonga laik hapa

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid5593 4 года назад +23

    How I wish you were my president.... May Allah give u more wisdom

  • @na0m1fes51
    @na0m1fes51 3 года назад +8

    *Shujaa wa Africa 🌍🙏*
    *hii speech ilikuwa ni Nzuri sanaa*

  • @abeidiibrahimu6142
    @abeidiibrahimu6142 4 года назад +25

    Magufuli rais wangu, Mungu akulinde sana, ailinde Tz na watu wake. Hakika wewe ni mzalendo wa kweli wa nchi hii.

  • @zephaniasamio797
    @zephaniasamio797 4 года назад +116

    Kwa kweli full respect president JPM ,SUCH A DIFFERENT CREATURE MADE IN AFRICA

    • @augustinopanga9622
      @augustinopanga9622 4 года назад +2

      Kweli Wewe ni jiwe letu

    • @hassanmohamadi3775
      @hassanmohamadi3775 4 года назад +1

      💪

    • @simonkasya6500
      @simonkasya6500 4 года назад +1

      Kweli hiki nichuma kwelikweli, such a different creature born in Africa

    • @leviszakayo2574
      @leviszakayo2574 4 года назад +2

      Daaa Rais wetu umetuweka wazi Mungu atulinde

    • @mudyaly7455
      @mudyaly7455 4 года назад +1

      Ila mm sjapenda huyo wazir wko uliemteuwa kipindi cha nyuma ulimfukuza kazi leo unamrejesha endelee kuiba fedha za walipa kodi tutashinda unatuondolea iman zetu kwako sasa tunakuomba wasomi ni wengi wa hio nafas hatumuitaji tunahitaji mtu msafi km ww rais wng

  • @hassanhasan9807
    @hassanhasan9807 4 года назад +41

    Sawa sawa sawa.
    Hofu tuishinde. Eti hakuna kwenda msikitin hakuna kwenda kanisani MASHEKHA Na MAPADRI sijui WÀNAFELI WAPI.
    COLLANA INAWATOA IMANI

    • @josephsirikwa200
      @josephsirikwa200 4 года назад

      Kwa kweli tufunguliwe vipindi vyetu tuendelee kumuomba huyu Mungu aliyempa Magufuli hekima kama za Sulemani

    • @everlastingmessage7663
      @everlastingmessage7663 4 года назад

      Si wakt wa kuogop kbsa,smtme tunahofu hata tunachoomba kwa mungu..tumefunga sku tatu tanzania ,je hamuoni majbu yanaptkan

    • @apostolmikasharoni3281
      @apostolmikasharoni3281 4 года назад

      Mungu akubariki sana baba

    • @ashoramwanja3131
      @ashoramwanja3131 4 года назад

      Hahaa ati mbona papai halijafaa linaendelea kuiva

  • @KenyaNewsChannel
    @KenyaNewsChannel 4 года назад +26

    I like how Magufuli is giving Tanzanians hope, our Kenya Health minister is so pessimistic, giving us fear all the time.

    • @femalehobbitwithhairyfeet
      @femalehobbitwithhairyfeet 4 года назад +2

      Umm... This guy told people that you can't get Corona inside a church... Look at the Tanzanian infection rate now. People need reality and not false hope

    • @SmartBrainTv2020
      @SmartBrainTv2020 4 года назад

      NAKUOMBA U SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YANGU,
      NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

    • @bestscene5730
      @bestscene5730 4 года назад

      @@femalehobbitwithhairyfeet hhhh stop lying he said corona can't stop u going to church

    • @amigodossantos4129
      @amigodossantos4129 4 года назад

      @@femalehobbitwithhairyfeet hakuna infection kwetu only malaria

  • @paulineleah651
    @paulineleah651 4 года назад +40

    This is a true leader a man who doesnt believe in everything he sees or receives .God bless him

    • @hamadkombo9999
      @hamadkombo9999 4 года назад

      Mkono wangu nasafisha tusalimiane kwa heshima zote ndio tamaduni yetu tusipotoshwe Tanzania yetu

    • @nellymakunzo4432
      @nellymakunzo4432 4 года назад

      Chamuhimuuuu kuchukuaa tahadhar kabraa ya hatar nduguu zanguu

  • @alikarisa
    @alikarisa 4 года назад +61

    Subhana Allah Africa mpaka lini tutanunuliwa kufanya ya ovyo?

    • @allyjoely5366
      @allyjoely5366 4 года назад +2

      You re diferent presedent in the word

    • @allyjoely5366
      @allyjoely5366 4 года назад +1

      The best speach wich i hav never hear in my life

    • @jamilasaid2718
      @jamilasaid2718 4 года назад +1

      wewe ndo raisi wa kweli mwenye mapenzi na raia wake

    • @halimasaidi2915
      @halimasaidi2915 4 года назад

      Safi

    • @SmartBrainTv2020
      @SmartBrainTv2020 4 года назад +1

      NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY RUclips CHANNEL,
      NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @charleslyuki8568
    @charleslyuki8568 4 года назад +27

    Wewe umetumwa na Mungu kuikomboa Tanzania kutoka kwenye lindi la umasikini wa Kunuka.

  • @devidmwalu7961
    @devidmwalu7961 4 года назад +37

    Hii ndio speech sasa this is what we need Hon kweli wewe ni daktr kila kitu kina evidence ahsante mheshimiwa

  • @annasamwel6501
    @annasamwel6501 4 года назад +7

    Nakuelewa sana rais wangu wewe ni mtumishi uliyeteuliwa na Mungu mwenyewe kwa kazi ya kulitetea taifa lake ubarikiwe sana Baba Mungu azidi kukupa ujasiri daima

  • @elishasemhomba324
    @elishasemhomba324 4 года назад +11

    Huu ndiyo ukweli mwanasayansi lazima utaishi kisayansi.safi sana.

  • @monicamasandika8633
    @monicamasandika8633 4 года назад +16

    Hakika Mungu alikuteuwa ! Wewe ni zaidi ya Musa 🙏❤ nakupenda Raisi wangu hakika wewe ni Baba wa watanzania 🙌🙌🙌

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 4 года назад +64

    Jembe,Jembe,,Jembe,VIVA MAGUFULI,VIVAAA nakukubali saana Jembe langu.

    • @wajll501
      @wajll501 4 года назад

      Hongela sna baba

    • @peterlukuba5857
      @peterlukuba5857 4 года назад +1

      Hanaga masihaala kwenye maswàla ya vitaa💪 JPM huyu ndo mwanasayansi kila kitu lazma kifanyiwe utafiti tena waki-interagency Rais gan mwingine alifikilia kuchunguza hvo vipimo?👏👏👏👏 Rais wetu Mungu azidi kukupa afya

    • @angorajtv948
      @angorajtv948 4 года назад +1

      Ni scaveta huyo sio jembe

  • @lucasroswe6544
    @lucasroswe6544 4 года назад +20

    Natamani kuwa na msimamo kama raisi huyuu! yani mungu akulinde raisi

  • @sniper93999
    @sniper93999 3 года назад +3

    JPM where are you 😭😭😭

  • @angorajtv948
    @angorajtv948 4 года назад +44

    Yani sikupanga kupiga kura mwaka huu lakini wallahi wabillahi nitapiga kura hata ikiwaje.. Magufuri sio jembe bali ni Skaveta

  • @fadraj6899
    @fadraj6899 4 года назад +48

    uishi miaka mingi magufulii kiongozi mwenye ique zakoo

  • @sammotv6920
    @sammotv6920 4 года назад +44

    Wangapi tunamkubali mbatiaa

  • @mcmuombaevents65
    @mcmuombaevents65 4 года назад +36

    Nakuelewa Baba Big up Mheshimiwa Rais Tupo Pamoja.

    • @lulelabadido665
      @lulelabadido665 4 года назад

      utawale miaka yote uko makini😗😗

    • @devotamkebitadevota2698
      @devotamkebitadevota2698 4 года назад

      Umetutoa hofu mpaka tukishikwa na mafua tunaogopa kwenda hospital tunaogopa kupelekwa karantin mungu aendelee kukupa akili yakujua mengi zaidi rais wetu

    • @pauloirunde3414
      @pauloirunde3414 4 года назад

      Pamoja sana rais wangu nakuelewa vizr baba. 2tetee ss wanyonge

  • @Mkrist
    @Mkrist 4 года назад +21

    This guy is amazing! May God bless you more and more.

    • @amigodossantos4129
      @amigodossantos4129 4 года назад +1

      I wish South Africa could get leader like him, the are still fighting everyday

  • @lilyngowi3483
    @lilyngowi3483 4 года назад +19

    Respect kwa President wetu,ndio maana tunakupenda JPM.Ingewezeka ungekua raisi mpaka meno yaishe mdomoni.Gonga like kama na wewe unamkubali 👍👍

  • @martinmwasubila8762
    @martinmwasubila8762 4 года назад +18

    Hongera sana JPM KWA HOTUBA NZURI

  • @davidmbilinyi5693
    @davidmbilinyi5693 4 года назад +44

    Dada alisema Magufuri ndio Mtumishi. Wa kimataifa haogopi anajua mungu yupo

    • @winfridabomola2480
      @winfridabomola2480 4 года назад

      Kwakweri baba magufuri unafaa kuwa Mchungaj uko vizuli mungu akubaliki chapa kazi maneno yapo achana naoo

    • @marialaurent1895
      @marialaurent1895 4 года назад

      Kweli

  • @stanleymathias4432
    @stanleymathias4432 4 года назад +65

    Usalama wa taifa mnastahili sifa kwa maelezo hayo

  • @krisongalax6278
    @krisongalax6278 4 года назад +30

    Today I give you a title King of AFRICA

  • @aidansailowa5054
    @aidansailowa5054 4 года назад +1

    2015 Nilimuomba Mungu atupatie Rais Mzalendo , Mcha Mungu, mwenye kupenda Maendeleo ya Tanzania na mwenye Maono hakika JPM sikufanya makosa kumchagua nilifanya kama Mungu alivyopendezwa. MUNGU IBARIKI TANZANIA , MUNGU MPE AFYA RAIS WETU ......AMEN

  • @hamadkipenzy6905
    @hamadkipenzy6905 4 года назад +28

    Big up Mh Rais ameongea maneno ya ukweli kabisa

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 4 года назад +21

    Very Intelligent African Leader. Hizi ni mbinu za wabeberu watuletee chanjo zao zilizowekwa micro chip. Thank you President Magufuli.

  • @mwashibenard2280
    @mwashibenard2280 4 года назад +121

    Wangapi wamemuelewa Rais Magufuli kuhusu kutumiwa na "MABEBERU"?

  • @luanamwambigija5266
    @luanamwambigija5266 4 года назад +10

    The best President 🔥 sio lazima Kila kitu lazima U copy na ku Pest, hapo nmekuelewa Baba

  • @rostamnakatipwa9355
    @rostamnakatipwa9355 4 года назад +7

    Tumpongeze kiongozi wetu jamaniiii👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @victorgaspar4400
    @victorgaspar4400 4 года назад +22

    Mbatia safari hii lazima atoboe

  • @lubeamelodaiz6494
    @lubeamelodaiz6494 4 года назад +44

    Ndio mzee baba

  • @japhetdaud3781
    @japhetdaud3781 4 года назад +27

    The best of the best leader in Africa & in the world 🙏👏👏👏👏🙋👍👍

  • @hadgymohdy4058
    @hadgymohdy4058 3 года назад +2

    Mzee bora ungebaki akaenda mwengne

  • @neemaharson980
    @neemaharson980 3 года назад +2

    who else watch it in Sept 2021?

  • @japhetdaud3781
    @japhetdaud3781 4 года назад +14

    Asiye fanya kazi na asile,hkuna Cha posho hapo,ulipwe bila kazi hiyo imekaa vizuri