MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
RAIS Dkt John Magufuli, leo Mei 03, amemuapisha Mbunge wa Iramba, Mwigulu Nchemba, kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, baada ya aliyekuwa waziri wa wizara hiyo, Balozi Agustine Mahiga, kufariki dunia na kisha kumpa majukumu mazito waziri wa sheria kuchunguza Maabara ya Taifa madai kuwa vipimo vilionesha Papai, Mbuzi, Fenesi navyo vina CORONA!
Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
ANDROID:bit.ly/38Lluc8
iOS:apple.co/38HjiCx
VISIT AMAZON: www.amazon.com...
JE, NA WEWE UNA HABARI?
WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
OUR PLAYLIST:
HABARI MPYA DAILY: http:shorturl.at/lNOZ2
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Nimeguswa na speech ya Rais wetu leo. Anayemsapoti Jembe hili Mzee wetu Kufuli gonga like hapa. Amaaa
good speech
mungu akuzidishie uwezo wa kuwaongoza watanzania
Hii ndio Intelligence aisee..
Mweshimiwa rais Mungu akupe maisha marefu ili uwezi kutuvusha salama ktk vita hivi vya corona .Rais anaouwezo Wa kuishi mkoa wowote hapa nchini bila kujajiliwa na mtu au chombo chochote kile wanaojali hilo hawana ufahamu Mwenyezi Mungu hawasamee bure hawajui watendalo.
Congratulations mh JPM
Aisee aliyeskia majina ya sample gonga like kubwa hapa.Rais unaweza.asante baba.ongera sana mh.mwigulu
Uwepo wako Baba angu mungu akulinde wakati wote Uko sahihi na watanzania tunakuelewa sana baba tupo nawe asante kwa kuwa mzalendo namba moja
Very intelligent
Namtafakari simpatii picha..huyu baba ni habari nyingine.nampenda.hapa ndo tunaona maana ya kwenda shule,ukawa na uelewa wa kuzaliwa ,na mwenyezi mungu akakuzidishia busara na utambuzi mkubwa sana.
Kweli baba sisi tunakuombea sana. Baba
NAKUOMBA USUBSCRIBE RUclips CHANNEL YANGU,
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI,.
Tujuane tuliomuelewa mh. Present magufuli bila wasiwasi Tujuane
mauayusufu mauayusufu ingewezekana kutoa like 1,000,000,000, ningekupa kwa kuwa nami nimemuelewa sana!
Tupo pamoja maua. Nakukubali mno
Mheheshiwa uko vizuri sijui kama kuna mwingine atakaye tokea kama wewe
@@mkushiandikayakoachananaya7944 pa1sana
@@martinyahaya331 Poapoa
Mtu Anasema Funga Daresalama Sifungi Nishasema Wew Nani Mpaka Uniambie Nifunge Hahahai Gonga Like Kwa Magu Wakeeee
Ydiso Tz Music kilistofa weeee
NAKUOMBA USUBSCRIBE RUclips CHANNEL YANGU,
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI,.
Anae mkubali huyu ndugu yangu angonge like hakuna kama magufuli
Nataka nijue wanaokubal kuwa MZEE magu ndie rais bora africa
Wewe ni rais wa uchaguzi wa yehova Mungu hakika ,uishi na uivushe Tanzania na Africa
Yap
Mungu anaendelea kujibu maombi tuliyoomba siku tatu kwa taifa yajayo yanafurahisha
Wambie baba uko poa Sana mzee
Uyu ni raisi bora allah azidi kukupa umri mrefu na Afya njema baba etu wa taifa amiin
Uzidi kuilinda nchi yetu Tanzania
Elizabeth Fenesi gonga like kwa umakini Wa Raisi wetu
😅
😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂
@@mwanaidihussein1462 😂😂🤣
RAIS wangu DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI hakika Mungu anakutumia na aendelee kukulinda akupe Hekima zaidi ya hapo Mungu Akubariki mnooooo
Hongera Sana rais wa Mimi hapa umbua hao mabeberu pima hadi mawe babaa Cha msingi majibuuu💪
Mwenyezi mungu aendelee kukupumzisha kwa Amani Baba yetu niombee na Mimi niwe na hekima kubwa ktk utumishi wangu Amina
Naomba ujumbe huu umfike Raisi wangu popote alipo mwenYezi mungu amfanYie wepesi katika maisha Yake kikweli nimejiskia mwenYe furaha Sana tangu alipo ingia madarakani mpaka leo daaaaaah mungu baba mpe nguvu Rais wetu🤲🤲🤲😭😭
Waoooh nakupenda sana baba ndio. Maaana nilikuombea MUNGU AKUONGEZE SIKU ZA KUISHI NAKUPENDA
Viongozi wote wangekua kama ww baba atu tz ingekua peponi xema tu katba ya nchi inabana ingekua inabana miaka 10 mingine tungekuongeza
nakushu kulusana kiongonzi
Tunao mkubal magufuli weka like hapa
Ahsante baba, huyu ndiye kiongozi! MSIMAMO DAIMA!
Asante baba,Mungu akutunzena hofu ya Mungu izidi ndani yako
Mungu akubarki sana Mr raisi,sijawai ona kiongozi kama wewe,Utajaribiwa imani lakin mwisho wa siku wata kiri Mungu yupo.Pambana mpka mwisho
Like hapa kama unamkubali RAIS WETU MAGUFULI
Mungu akubariki Raisi wetu.🇹🇿Tanzania tunajivunia kupata Raisi shujaaa,🙏🙏🙏🙏
Nakupenda sana rais wangu. Mungu akupiganie.
Nivizur sana laisi wetu
This is real leadership. A true son of Africa
Tanzanians you are very lucky to have this guy as a president
This is the kind of leadership we need in Africa.... Big up president Magufuli
Prezo Magufuli W.H.O wanafanya nini haswa na wanalibwa pesa which is which? We need open president like u in Africar
Big up.... Ayub from Kenya
Mheshimiwa Rais wewe unasifa ya kuitwa Rais, sbb unafatilia na unajua kazi,na unafahamu majukumu yako Mungu akulinde mzee wetu,nakuahidi na mara hii kura yng unayo mzee wng.
Yani hapo kwa viongozi wa dini kukosa mwelekeo..kwa kumsahau Mungu,umegonga ndipo Mhe..kutoka 🇰🇪
Mh! Hakuna tena kina Yusuphu au Eliya wa zamani wa kusema kumtii Mungu ni bora kuliko mwanadamu
Huyu RAIS ni wa kukumbukwa TZ🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Africa imeshaanza kujitambua
Leta dawa ya madagascar.
Tupende vyetu vya Africa
Leteni za Madagascar dawa
Huyu ni rais makini anafanya vitu kwa umakini mkubwa
Duh,,,!
Ww ni Dr. Magufuli by professional (Chemistry scientist). Raisi wetu endelea mzee kuiyongoza Tanzania. Ww ni zaidi ya Maraisi waliopita Tanzania. Full Respect
Natamani kuhamia Tanzania,.,. Kenya huku Uhuru ametushinda
Hahahahahahaha amewashinda
Fungua na mashule tusome
😃 njoo
Ila majirani mlitusema sana😂😂😂
@@shemsashemsa7055 🤣🤣
Elizabeth Fenesi +ve, asilimia 100 zana za upimaji ni kutoka nje.
Covid-19 ni vita ya kiuchumi, hawa wazungu wanatuchezea.
Nakukubali Sana Uncle Magu.
Sio kila kitu wazungu, wazungu hawatengenezi hivi vipimo. Hata hao wazungu walikuwa wanaletewa toka china, hapo wahusika wachina, ndio mara vipimo, mara barakoa hivi mara vile na Mchina sio Mzungu, hata haya ya barakoa za kutoka china wazungu nao yamewakuta kwa taarifa
Mungu anajibu maombi kwa njia mbalimbali🙏
"SIFUNGII NSHASEMA!" Huyu ndo Raisi, na wala hatukopeshi wala kumuuza nchi nyengine. Asante Magufuli kwa uongozi wako na Mungu akupe maisha marefu.
😃😃😃😃😃😆 mwisho kumkopesha jembe letu
Kweli kabisa!
Ukweli mtupu rais magufuli... You are the real future of Africa
Hongera JPM kwa hotuba yako
Kenyan tunakupenda sana thank you JPM,soon am relocating to Tanzania please welcome me guys,I need to be part of TZ
You are welcome jirani 💓💓
unazingua jamaa
Ure welcome uje kilimanjaro ni mpakan na kenya via namanga
Acha ujinga kenya ndio kwenu wewe
Welcom
Nimefarijika mno na nimepata chakula cha nafsi kwa hotuba hii..sina zawadi ya kukupa Rais wetu zaidi ya kukuombea Allah akupe afya njema na umri mrefu wenye kheri..Ameen
This is an intelligent man from God, JP Magufuli is quite unique you can't compare him with any other African leader, sisi huku Kenya tumefungiwa umasikini nao unatunyemelea pole pole, i wish other African presidents could take a stand like JP Magufuli and allow their citizens to continue to work this is a spiritual battle and only through prayer and hard work we can overcome
Exactly what you say Mr Emmah Munyao..
Emmah Munyao naamini pia, tumuombee sana
Hivi wale wakenya walituitia Raisi wetu MKAIDI wanawaza nini kuhusu kazi hizi tunazopigiwa na jembe letu JPM ? Ila haitupi shida sisi wapiga kura ndo tunaelewa kinacho pambaniwa na zawadi yetu tuliopata kutoka jwa Mungu (JPM)
Nakuelewa Emmah Munyao tuko pamoja tuzidi kumuombea Raisi wetu wa Mfano wa pili kutoka kwa JK.Nyerere
This is true
Rais wangu ni mfano wa kuigwa sana,anajiamini,ni muelewa sana uyu baba.asante rais magufuli.Nakupenda jamani ni zaidi ya Rais .alishushwa kutoka mbinguni.
Akanganyila Theophil mheshimiwa mungu akuongoze zaid na zaid
@@alleteeaeum5583 Amina amina
Hapa mzungu lazima astuke janja yao imebumburuka nyau hawa
NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY RUclips CHANNEL,
NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.
Alie sikia sampu ya ukuta gonga like hapa ♡
Noma sana huyu babaaa
Sio Sampu ndugu.
Allah akulinde kwa kila baya sisi sote kwa kila husda Amin
Huyu jamaa anaijua kazi yake kwa 100% najua Kuna watu wamekaa wanajadili speech yako ya leo
Hahahaaaaa, ni kweli kaka,watu wanaumiza kichwa kujibu speech,hii.Mkuu wetu yupo imara sana Mungu aendelee kukusimamia.
Scientists I'm I know what I speak
Utasikia wengine wanaibuka na speech zao zisizo na evidence wamevalia mi gloves kuwajaza ujinga umtu wajinga wenzao JPM mashine nyingne hii😂😂😂😂🙌
Mi Kwa leo sina mengi,MUNGU akujalie maisha marefu utuvushe salama,ameni.
H
Heshima kwako tinga tinga
@@emmanuelsangizo8046 tinga tinga
Ahsante sana mungu akulinde. Tuna shukuru na msimamo wako. Wazungu hawa tutakii mema. Tuko na wewe raisi wetu. Asante sana.
I'm a Kenyan but honestly I am proud of you JPM. You go factual and you gonna make E AFRICA great.
NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY RUclips CHANNEL,
NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.
R I P PUMNZIKA AMIRIJESHI MKUU 🙏🇹🇿❣️
Dah huyu Mh Magufuli kwel katumwa na mungu duuuuh mungu akulinde xana mhexhimiw wetu hakika ww ni mtu wa kuigwa unafichua mengi xana 🙏🙏
Raisi wetu JPM wew n Big brain intelligent Man Mungu akupe hekima zaidi
How comes papai na fenesi ziwe +be🐱
Huyu jamaa Mungu amlinde kwakwel.
Sikumchagua ila kwa sasa nataman aendelee ata miaka 10 tena.
Mzee endelea kusimama imara ivyo ivyo kwa msaada wa Mungu
Mambo ya Mungu bhana hayachunguziki. Na ukimtanguliza Mungu hakuna kinachoharibika kamwe.
Kabisa bana
Aliyesikia hatuwezi kucopy na kupaste hatuwez apply hii slogan Tz weka like
Jembe
Double honour from Kenya wish our leaders may wake-up to the truth
NAKUOMBA U SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YANGU,
NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.
Nimekusoma mzee maana tukiogopa kweli, tunayosikia watu wanakufa wengi na kuzikwa ucku. Ahsante kwa ufafanuzi wako. Mungu akutunze. Nimekusoma sana kwa nguvu kubwa.Amen.
I salute u magufuli. Watching from Kenya
thank you :)
Wewe ni rais wa dunia
MUNGU akupe hekima daima
Jamani hofu inauwa tusiamini hivyo vyombo vinavyotujaza hofu.
Tupige kaziii
Hofu zote zilizopo kwenye mioyo yetu zishindwe kwa jina la yesu amina
@@ukweli255 kias apanic maana upotoshaji umekuwa mwingi na ulipaji mishahara Ni wajibu ila kwa kipind hichi Cha corona wengi walidhan Tanzania itashindwa kujiendesha kwa uchum kuporomoka
@@ukweli255 wewe umeitizama hotuba hii vizuri au ndo wale wanaokurupuka tuu kutaka kumponda mtu.raisi hajapanic yuko vizuri, anazungumza kwa kunimini na hajabanaika kamwe yuko kawaida tuu.labda umepanic wewe
@@ukweli255 nenda wewe kawe raisi basi
@@mwanaisha522 kweli kabisaa
Ukisoma koment za watu utajielewa uko sahihi mazungumzo yako au vp yaani Tanzania tumepata rais muelewa na chapakaxi tujivunie na Mungu atubariki Magufuli🔥🔥
Jamani anayempenda raisi wetu gongaa tumkubali kwapamoja 👍👍👍👍
Wapinzani mmesikia? Hatutaki kelele zenu Baba kashasema
Nchi yangu,Fahari yangu, Magufuli Rais wangu💪
Mashallah
Wao wanataka atoke Chato, hahahaha.
Wanaelewaga sasa! Kesho utamsikia mbowe lazima aje na makelele mengine tena kwanguvu bila noma
Hacha we sio mpinzani kasemwa sote mpaka mkemia mkuu kasemwa,hacha uccm
atuganile mwakitwange wambie aise naomb wawe wanatoa hoja
Mimi najivuni kuzaliwa Tanzania na kua na kiongozi bora mungu endelea kuibalika Tanzania ye2 na kufichuwa yalio jificha Amina
MUNGU AKUPE MAISHA MALEF RAIS WET U
Kwa uwezo wake allah..amjalie maisha marefu raisi wetu🙏
Nampenda sana Raisi wangu hakika ametumwa na Mungu
Baba ukovizulisana
Asante ujumbe upo mahali pake haswa
Am kenyan and to be sincere mungu amewarehemea raisi wa kimungu na mwenye hekima kikamilifu..,..God bless u JPM
Deborah Lastborn thanks , most of us see the same . Anamtanguliza Mungu mbele Kwenye kila kitu na anatetea wanyonge peace be with him always. I am a 28 year old and he is the first president I voted for in my country. So far he is doing so well 🙏 humbled
Asante baba ,jembe unaweza.
Baba umenena true. Allah akujaalie afya na uzima.
Hongera mkuu uko makini san kwenye taifa lako
Alhamdulilah masha Allah raisi wetu tunakupenda sana wewe baba Allah akupe umri mrefu wenye kheri nawe
Fanya kazi, elimisha jamii na wewe
ndiyo raisi wa kweli.
Amiin
Ur a real scientist JPM am proud of being Tanzanian under leadership of you
Drew rd
Same my dear
Good Speech kamanda na mpiganaji hodari hapaswi kumuogopa adui hata kama ananguvu kiasi gani, he is the second nyerere. Wale mliokuwepo kipindi cha vita vya Uganda nyerere alisimama kwa ujasiri na aliwatia moyo askari na watanzania kuwa tunakwenda vitani na tutashinda sio unakua kiongozi unalialia tu sasa unaowaongoza watafanya ? Big up mzee jpm
💪👏👏👏
JPM mm pekeangu ninakuelewa sana mungu akuzidishie umli mrefu
Kwakwel tunaye genius mtetez wetu kama unamkubal gonga like kama zootee na comment
Unaemuona huyu MJOMBA magu wetu hafai bas utakua mchawi wallahi bora ufe2 mamae😎
Utakufa wew
Baba wewe unakili ya mwalimu jk
Huyu mtu achaneni nae sio wa mchezomchezo anaongea vitu vya msingi usipime
Chaina
ahsant baba we u ajua hakuna rais kama ww mjomba kura zote zakwako mjomba
Leo moyo wangu umepata zaidi nguvu kupiga kazi Mungu ibariki Tanzania
Mungu akutunze Rais wetu. Ni hekima ya Mungu iendelee kujaa ndayako. Roho mtakatifu akuongoze akushauri na akikuongoza. Damu ya Yesu ikulinde baba.
Hofu ni adui Mkubwa wa mwanadamu na Neno la Mungu limeonya mara nyingi. Mungu atusaidie watu mwafrika.
Baba haji piga kazi hahahahahaahaaaaaaaaa hatar sana huyu rais sijawahi ona aise
Wote wenye akili tunakutakia mema na tunakuelewa. May God be with you till the end.
Mungu akubariki na ww raisi magufuli ila naomba mpira turuhusiwe leyo kesho kingozi gonga laik hapa
How I wish you were my president.... May Allah give u more wisdom
🙏
*Shujaa wa Africa 🌍🙏*
*hii speech ilikuwa ni Nzuri sanaa*
Magufuli rais wangu, Mungu akulinde sana, ailinde Tz na watu wake. Hakika wewe ni mzalendo wa kweli wa nchi hii.
Kwa kweli full respect president JPM ,SUCH A DIFFERENT CREATURE MADE IN AFRICA
Kweli Wewe ni jiwe letu
💪
Kweli hiki nichuma kwelikweli, such a different creature born in Africa
Daaa Rais wetu umetuweka wazi Mungu atulinde
Ila mm sjapenda huyo wazir wko uliemteuwa kipindi cha nyuma ulimfukuza kazi leo unamrejesha endelee kuiba fedha za walipa kodi tutashinda unatuondolea iman zetu kwako sasa tunakuomba wasomi ni wengi wa hio nafas hatumuitaji tunahitaji mtu msafi km ww rais wng
Sawa sawa sawa.
Hofu tuishinde. Eti hakuna kwenda msikitin hakuna kwenda kanisani MASHEKHA Na MAPADRI sijui WÀNAFELI WAPI.
COLLANA INAWATOA IMANI
Kwa kweli tufunguliwe vipindi vyetu tuendelee kumuomba huyu Mungu aliyempa Magufuli hekima kama za Sulemani
Si wakt wa kuogop kbsa,smtme tunahofu hata tunachoomba kwa mungu..tumefunga sku tatu tanzania ,je hamuoni majbu yanaptkan
Mungu akubariki sana baba
Hahaa ati mbona papai halijafaa linaendelea kuiva
I like how Magufuli is giving Tanzanians hope, our Kenya Health minister is so pessimistic, giving us fear all the time.
Umm... This guy told people that you can't get Corona inside a church... Look at the Tanzanian infection rate now. People need reality and not false hope
NAKUOMBA U SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YANGU,
NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.
@@femalehobbitwithhairyfeet hhhh stop lying he said corona can't stop u going to church
@@femalehobbitwithhairyfeet hakuna infection kwetu only malaria
This is a true leader a man who doesnt believe in everything he sees or receives .God bless him
Mkono wangu nasafisha tusalimiane kwa heshima zote ndio tamaduni yetu tusipotoshwe Tanzania yetu
Chamuhimuuuu kuchukuaa tahadhar kabraa ya hatar nduguu zanguu
Subhana Allah Africa mpaka lini tutanunuliwa kufanya ya ovyo?
You re diferent presedent in the word
The best speach wich i hav never hear in my life
wewe ndo raisi wa kweli mwenye mapenzi na raia wake
Safi
NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY RUclips CHANNEL,
NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.
Wewe umetumwa na Mungu kuikomboa Tanzania kutoka kwenye lindi la umasikini wa Kunuka.
Hii ndio speech sasa this is what we need Hon kweli wewe ni daktr kila kitu kina evidence ahsante mheshimiwa
Safi
muda ndio utakao ongea.
@@shukuruazizi6878 safi sana
Nakuelewa sana rais wangu wewe ni mtumishi uliyeteuliwa na Mungu mwenyewe kwa kazi ya kulitetea taifa lake ubarikiwe sana Baba Mungu azidi kukupa ujasiri daima
Huu ndiyo ukweli mwanasayansi lazima utaishi kisayansi.safi sana.
Hakika Mungu alikuteuwa ! Wewe ni zaidi ya Musa 🙏❤ nakupenda Raisi wangu hakika wewe ni Baba wa watanzania 🙌🙌🙌
Jembe,Jembe,,Jembe,VIVA MAGUFULI,VIVAAA nakukubali saana Jembe langu.
Hongela sna baba
Hanaga masihaala kwenye maswàla ya vitaa💪 JPM huyu ndo mwanasayansi kila kitu lazma kifanyiwe utafiti tena waki-interagency Rais gan mwingine alifikilia kuchunguza hvo vipimo?👏👏👏👏 Rais wetu Mungu azidi kukupa afya
Ni scaveta huyo sio jembe
Natamani kuwa na msimamo kama raisi huyuu! yani mungu akulinde raisi
JPM where are you 😭😭😭
Yani sikupanga kupiga kura mwaka huu lakini wallahi wabillahi nitapiga kura hata ikiwaje.. Magufuri sio jembe bali ni Skaveta
😂😂😂 nyau wew
Tuko pamoja lazma tupge kura
😂😂😂😂
uishi miaka mingi magufulii kiongozi mwenye ique zakoo
Shortsighted
Hakuna korona tanzania
Wangapi tunamkubali mbatiaa
Asante baba
Mungu azd kukuinua watanzania twakuombea
big up baba yetu mpendwaaa
Nani wa kumkataa
Nakuelewa Baba Big up Mheshimiwa Rais Tupo Pamoja.
utawale miaka yote uko makini😗😗
Umetutoa hofu mpaka tukishikwa na mafua tunaogopa kwenda hospital tunaogopa kupelekwa karantin mungu aendelee kukupa akili yakujua mengi zaidi rais wetu
Pamoja sana rais wangu nakuelewa vizr baba. 2tetee ss wanyonge
This guy is amazing! May God bless you more and more.
I wish South Africa could get leader like him, the are still fighting everyday
Respect kwa President wetu,ndio maana tunakupenda JPM.Ingewezeka ungekua raisi mpaka meno yaishe mdomoni.Gonga like kama na wewe unamkubali 👍👍
Hongera sana JPM KWA HOTUBA NZURI
Dada alisema Magufuri ndio Mtumishi. Wa kimataifa haogopi anajua mungu yupo
Kwakweri baba magufuri unafaa kuwa Mchungaj uko vizuli mungu akubaliki chapa kazi maneno yapo achana naoo
Kweli
Usalama wa taifa mnastahili sifa kwa maelezo hayo
Today I give you a title King of AFRICA
2015 Nilimuomba Mungu atupatie Rais Mzalendo , Mcha Mungu, mwenye kupenda Maendeleo ya Tanzania na mwenye Maono hakika JPM sikufanya makosa kumchagua nilifanya kama Mungu alivyopendezwa. MUNGU IBARIKI TANZANIA , MUNGU MPE AFYA RAIS WETU ......AMEN
Big up Mh Rais ameongea maneno ya ukweli kabisa
Nahic umeshuhwa na mungu,we ndo rais Wa afrika.
Kweli
Very Intelligent African Leader. Hizi ni mbinu za wabeberu watuletee chanjo zao zilizowekwa micro chip. Thank you President Magufuli.
Wangapi wamemuelewa Rais Magufuli kuhusu kutumiwa na "MABEBERU"?
This disease I think imetengezwa .na mabeberu wanatumia kujiendeleza
Nimempeda kwa kutia watu nguvu
Nakukubali saana mheshimiwa Rais
Nimemuelewa,aisee,
Umeonae
The best President 🔥 sio lazima Kila kitu lazima U copy na ku Pest, hapo nmekuelewa Baba
Tumpongeze kiongozi wetu jamaniiii👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Basi assume baba we2
Mbatia safari hii lazima atoboe
Ndio mzee baba
The best of the best leader in Africa & in the world 🙏👏👏👏👏🙋👍👍
Mzee bora ungebaki akaenda mwengne
who else watch it in Sept 2021?
Asiye fanya kazi na asile,hkuna Cha posho hapo,ulipwe bila kazi hiyo imekaa vizuri