Even though you are not with us , I haven't seen you face to face but you remain my president kwa jina la muungano wa Jamhuru wa Tanzania... Collins kutoka Kenya
Kiukwel inasikitixha sana mana tz pasua kichwa tunajiibia wenyewe noma sana ila m/mungu katuletea mchapa kaz mh Dkt john pombe magufuli 2020 panapo majaliwa kula yangu utaipata bila xhaka.
yaani huyu President angeacha uchaguzi uende kihaki, daah jamaa sijui ingekuaje maana nchi nyingi za africa wangevua kofia. ila kwa style alioifanya ni kama sio Magufuli
Tanzania is really going to miss this fellow! He was truly a ‘Chuma!’
Q
Asante buyohela. Rais anafanya vizur kutufanya kuwa wazalendo zaidi kuliko kuangalia maslahi. Very nice
good.
Best speech ever...!Bandari ya Dar es salaam.
Mungu akupe maisha marefu mh. rais Dr. Magufuli
Wanyonge wamekukumbuka sana
Mweshimiwa Rais Mkombozi wetu, ongera kwa kazi Nzuri saana. Tunakisihi Uelekeze jicho lako kwenye shirika LA NSSF. Ni aibu hakuna kazi inayofanyika.
the BULLDOZER of Tanzania,we ril love u so much Mr President
Rais wangu bora kabisa Africa hakika ulikuwa mzarendo endelea kupumzika kwa amani Dr Magufuli😢
Congratulation Mh Dr John M Dunia ya sasa inaitaji uduma yako ya uongozi Bora.
Even though you are not with us , I haven't seen you face to face but you remain my president kwa jina la muungano wa Jamhuru wa Tanzania...
Collins kutoka Kenya
Naombeni like 100 kwa kuiangalia 2024
Kiukwel inasikitixha sana mana tz pasua kichwa tunajiibia wenyewe noma sana ila m/mungu katuletea mchapa kaz mh Dkt john pombe magufuli 2020 panapo majaliwa kula yangu utaipata bila xhaka.
Ninamkumbuka sana sana jamani kweli J.P.M. wamem maliza kwakweli jamani..
Emungu ulie mleta na ukaamua kumchukuwa ,,Amen....
w love u mr président. ..i just see a new tanzania 4 everyone
Be blessed my president.Hakika Mungu atakulinda.
Ubalikiwe Rais wangu.
Salut kwa doctor pombe magufuli
mtetezi wa Tanzania yetu jamani huyo . Mungu akulinde sana . hadi nahic kulia jamani kwa furaha
Safi Sana Raisi 🇹🇿 Tunakukubali Jembe letu
i love Tanzania, i love my President Magufuli
what a president!i reel love uu...i just seen a new tanzania 4 everyone
😁😁😁 Mzee nakukubali sana
R.i.p our best hero 😢😢😢
UongoziWako,ULIKUWA,kwenyeDamu.hatotokea,KamaWewe
Rais wa ukweli yani ni Afrika Mashariki na Kati Jpm nakutakia maisha marefu
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz rais wetu
Pumzika Kwa Amani Rai's mchapa kazi JPJM
Rais wangu daima
Nikishika simu kubwa lazima nimsikilize huyu mwamba
Madam with blue dress AME guswa na maneno ya Dr Mh Magufuli
hiyo sehemu ya mafuta iliofungwa sijui imefuatiliwa @Ikulu Tanzania? tunaomba update ya hilil swala zima pamoja na mafuta. asante sana
What a speech! 😢 😭
Magu kweli alikuwa chuma!
Hao wafanyakazi wote wezi
Unaposikiliza hutuba za huyu Mwamba kama haujatoa chonzi basi wewe ni jasiri sana
Magufuli John oyeee!!
Mwambaa huyu daah kifo jamani
سبحانالله,noma knoma
Hatupati tena Rais kama ww.haw wengin wanaoingia wote bla bla tu.
Noma
Rais naomba uwatoe tuu hao makamishena
yaani huyu President angeacha uchaguzi uende kihaki, daah jamaa sijui ingekuaje maana nchi nyingi za africa wangevua kofia. ila kwa style alioifanya ni kama sio Magufuli
Kuna uchafu bandarini hapo sana.
MWANA WA WAKATI WAKE, JE BANDARI IKOJE WAKATI HUU? 2022. MMMMM! DUNIA HII NI NGUMU SANA KUIELEWA...
Mpaka leo michezo inafanyika
Kiboko yenu ndio hiyo hapo na hapo jee niambira mwenehu unanisagala bure tu ujumbe umesha fika
Hakika nakukumbuka Sana rais wangu,,
MUNGU BBA MFUFUE RAIS HYU NAKUOMBAA
Wazima maguful
Pumzika pema.Peponi
Hii ni zaidi ya kukamata mwizi men
JPM
Lakini jamani watanzania mbonatunaboa
Abeid Mayanga kivipi bRo
Chuck Taylor mzee anaongea mpaka anatamani hata alie lakini hatuelewi
Abeid Mayanga upo sahihi sana , Na inauma sana kama ni mzalendo kweli wa nchi yako .
Jembe letu hilo
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ex