Ni watu wachache sana wanaoweza kutoa neno la shukrani mbele ya hadhara kama ilivyo kwa Mh Rais Dr JPM! Mungu ambariki sana Sir JPM ktk kutambua wazi wazi walio mfikisha hapo . Hakika neno la shikrani ni kauli stahiki kwa muungwana yeyote yule. Mungu ibariki Tanzania.
Mwenyezi Mungu akulinde uko uliko, Watanza tunasema Tunashukuru kwayale mema uliyo tufanyia akika we ndie mfano wakuigwa Africa na dunia nzima kiujumla Mungu akulaze mahali pema peponi Ameeni.
Dah kweli mimi binafsi nakukumbka sana na sitawahi kukusahau maishani wangu wote hakika ulikuwa shujaa wa ukweli na ulitumwa kuwa mfano kwa marais wote duniani
Najua kitu kimoja kuwa Hayati Mzee Benjamin William Mkapa alikuwa rais mzuri kwa WaTanzania na wakati alipostaafu alikuja nchini Kenya baada ya machakufo ya ghasia 2007/2008 pamoja na Mzee Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne. Kweli WaTanzania ni majirani wema na wakati mulipoteza rais JPM mwezi Machi ilikuwa huzuni kubwa lakini Mungu amewapa Mama Samia Suluhu Hassan.
Najua kama JPM angekuwa uhai bado angechukiwa sana maanake shida yetu kama Wafrika kiongozi akifanya maendeleo tunasema yeye ni mbaya, dikteta. Kwa mfano nchi kama Libya, Syria, Iraki, Yemen zilikuwa nchi nzuri na kulikuwa na amani lakini watu walidanganywa angalia sasa. Angalia ndungu yangu huku kwetu Kenya watu wanasema heri rais Mwai Kibaki kuliko rais Uhuru Kenyatta maanake tumeumia kiuchumi, ukabila umezidi na ufisadi inatutafuna kila siku kama jinsi ambavyo rais wenu wa awamu ya kwanza Mwalimu Julius Nyerere alisema. Shukuru mwenyezi Mungu kuwa muna rais mwanamke ambaye amefanya kazi nzuri hadi uchumi yenu iko nzuri kuliko yetu. Nitamalizia na msemo wa rais wenu wa awamu ya nne Dr Jakaya Mrisho Kikwete Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
@@johnmathenge3406 Tanzania Rais Magufuri ndio Nembo ya taifa,na ni kiongoz Pekee tutakae mkumbuka vizazi vyote,huyo mwanamke achana nae wew humjui,saivi anahangaika na barakoa, kuleta Chanjo za Corona vitu ambavyo mtangulizi wake hayati JPM alikua anapinga lakn yeye ndie ameanza kushikilia saivi.....huyu mama mbaya Sana,wizi ufisadi umeanza kurudi kama ulivyokua ktk utawala wa kikwete.... Tunashukuru kutambua utendaji kazi wa Hayati JPM lakn usije ukafikiri huyu mama kuna jambo jipya anafanya hakuna kabisa!
Umebaki ndani ya nafsi yangu na ya wayanzania wote kama nebo hatuwezi kukusahau tulalapo tusimamapo tukaapo kamwe hauwezi ukatutoka ndani ya fikira zetu na mionyo yetu daima tutakukumbuka milele
Kipenzi cha wengi umeachà pengo kubwa, kwa wazalendo, ,,kifo chako kimeamsha furaha kubwa kwa majambazi ya kitaifa na kimataifa, upigaji wa kupinukia utaendelea
@@hamiarseif7299 MUUAJI NI WW ULIOKOSA SHUKRANI ALIMUUA NANA ACHA UNAFIKI WW C MTOA HUKUMU.KILA MJA ANAMAPUNGUFU YAKE ILA C KWAWAPINGA MAENDELEO.MMEZOEA RUSHWA.
@@hamiarseif7299 UCMHUKUMU MTU KWA VITU AMBAVYO HUNA UHAKIKAWALA USHAHIDI.ACHA NIWE MJINGA LAKINI NINAIMANI NA JPM HAKUWAHI KUFIKIRIA KUUA ACHA UNAFIKI
@@zenaabdallah3797 NINA UHAKIKA KAUWA YE NIAMBIE KUNA UCHAGUZI GANI WATU WATU WALOKUFA KAMA HUU AU KUPOKONYWA MAJIMBO YAO YOTE KAMA MWAKA HUU. NIAMBIE AU HUKUONA. MIMI BINAFS KAKAANGU KSHINDA KWENYE JIMBO LAKE HAKUPEWA KAPEWA MTU KWA KURA 17 IYO NI. HAKI. WE VIPI NI MUUAJI
USHWARI UNAUPATA WW MWENYE ROHO YA MKAANGA SUM USIEPENDA KUONA MAENDELEO YA NCHI YAKO KILA MTU KWAKO NI ADUI KINACHOKUFURAHISHA NI NN?YATAFIKA MAJUTO NDIO UTAPATA TAFISIRI YA SHWARI MUNGU YUPO
@@hamiarseif7299 Kama wewe ulivyo mbaya na mchawi wa mchana uchawi uliotumia kumloga jembe letu unakutafuna mpaka unaongea hadharani jifiche basi tusijue km Ni kundi kigogo
@@beatricehenry6776 HILI NI JEMBE LAKINI LAKUZOLEA MAFI. HUKUMBUKI ALIVOTUUWA KWA MADARAKA TU UMESAHAU AU HUKUONA UBAYA ALOUFANYA KWENYE UCHAGUZI IMEWAHI KUTOKEA KAMA VILE JEMBE GANI MUUWAJI AFE TU
Ni watu wachache sana wanaoweza kutoa neno la shukrani mbele ya hadhara kama ilivyo kwa Mh Rais Dr JPM! Mungu ambariki sana Sir JPM ktk kutambua wazi wazi walio mfikisha hapo .
Hakika neno la shikrani ni kauli stahiki kwa muungwana yeyote yule. Mungu ibariki Tanzania.
Nimekukumbuka Rais wangu Punzika Kwa Aman Baba🙏🏽
Kweli kabisa
Shujaaa wetu,mpambanaji wetu mtetezi wetu tunakushukuru mwenyezi munngu kwa kutupa Zawad ya magufuli asante sana
nitakupenda DAIMA Rais wangu
Maraika arieko mbinguni anaishi ila mlohusika mungu anawajua cc hatuwajui ila 🇹🇿 tutaiacha
Acha nilie tu naimis hii sauti😭😭😭😭😢😢😢
Magufur ametoka chin ndiomana anajali anajali wanyonge maana alieyajua maisha
He was a great leader in Tanzania
,;:':+!)986&$_&;!!( Sijasoma
Shikamoooo JPM hapa kazi 2 💪 💪 💪
Chuma chuku
Mwenyezi Mungu akulinde uko uliko, Watanza tunasema Tunashukuru kwayale mema uliyo tufanyia akika we ndie mfano wakuigwa Africa na dunia nzima kiujumla Mungu akulaze mahali pema peponi Ameeni.
Mungu mwenye upendo nakuombea akupokee kwenye ufalme wake Kama kunasehemu ulijikwaa akusamehe Sana
Safi sàna
Atakumbukwa JPM
💪💪💪💪
Dah Rip jpm
Asante kwa yote Mungu,sisi wote tunapita, magufuli lala Salama
Waliohusika wapo
Watamkuta Hilo ni deni mbele ya Mungu.unazani watatoka salama???
Tutakukumbuka sana jembe la Tanzania 🇹🇿 😭
Makufuli kweli alikua jembe la tanzania
@@raymondbarawa5024 umeona ee
hongera sanaaaa RAIS wangu piga kazi
Tunakukumbuka Sana lais wetu,mungu akupumzishe,
Apa nimejifunza kuwa Alie toka kwenye Umasikini Ndo mtu Anae jua shida ya Umasikini,Waelewa wataelewa
I second you brother 👊
Ni kweli
kweli
Dah kweli mimi binafsi nakukumbka sana na sitawahi kukusahau maishani wangu wote hakika ulikuwa shujaa wa ukweli na ulitumwa kuwa mfano kwa marais wote duniani
I love you dady
Nilichojifunza kitu ni kwamba Duniani tunapita hawa ote mungu kawachuka dah mungu awaweke mahali pema
Najua kitu kimoja kuwa Hayati Mzee Benjamin William Mkapa alikuwa rais mzuri kwa WaTanzania na wakati alipostaafu alikuja nchini Kenya baada ya machakufo ya ghasia 2007/2008 pamoja na Mzee Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne. Kweli WaTanzania ni majirani wema na wakati mulipoteza rais JPM mwezi Machi ilikuwa huzuni kubwa lakini Mungu amewapa Mama Samia Suluhu Hassan.
Samia hatumpendu
Najua kama JPM angekuwa uhai bado angechukiwa sana maanake shida yetu kama Wafrika kiongozi akifanya maendeleo tunasema yeye ni mbaya, dikteta. Kwa mfano nchi kama Libya, Syria, Iraki, Yemen zilikuwa nchi nzuri na kulikuwa na amani lakini watu walidanganywa angalia sasa. Angalia ndungu yangu huku kwetu Kenya watu wanasema heri rais Mwai Kibaki kuliko rais Uhuru Kenyatta maanake tumeumia kiuchumi, ukabila umezidi na ufisadi inatutafuna kila siku kama jinsi ambavyo rais wenu wa awamu ya kwanza Mwalimu Julius Nyerere alisema. Shukuru mwenyezi Mungu kuwa muna rais mwanamke ambaye amefanya kazi nzuri hadi uchumi yenu iko nzuri kuliko yetu. Nitamalizia na msemo wa rais wenu wa awamu ya nne Dr Jakaya Mrisho Kikwete Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
@@johnmathenge3406 Tanzania Rais Magufuri ndio Nembo ya taifa,na ni kiongoz Pekee tutakae mkumbuka vizazi vyote,huyo mwanamke achana nae wew humjui,saivi anahangaika na barakoa, kuleta Chanjo za Corona vitu ambavyo mtangulizi wake hayati JPM alikua anapinga lakn yeye ndie ameanza kushikilia saivi.....huyu mama mbaya Sana,wizi ufisadi umeanza kurudi kama ulivyokua ktk utawala wa kikwete.... Tunashukuru kutambua utendaji kazi wa Hayati JPM lakn usije ukafikiri huyu mama kuna jambo jipya anafanya hakuna kabisa!
Mungu akupumzishe kwa amani jembe letu
Umebaki ndani ya nafsi yangu na ya wayanzania wote kama nebo hatuwezi kukusahau tulalapo tusimamapo tukaapo kamwe hauwezi ukatutoka ndani ya fikira zetu na mionyo yetu daima tutakukumbuka milele
RIP baba yetu mpendwa
Baba maneno yako yananitia huzuni sana.nakulilia mimi
Tutakukumbuka daima
Pumzika kwa amani baba, chumaa, mwamba wa Africa, will miss you kwakweli, mzalendo wa kweli
Mungu akulaze maala pema peponi
Rip DK magufuli
Love you always
😭😭😭
daaaa😭😭😭😭😭😭😭😭
Never forget him
Upumzike kwa Amani
Mr president 🇹🇿
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeen
Tuna kukumbuka rais wetu mungu akusamehe pale ulipo jikwaa
Jembe Kama jembe
tunyoshe baba magufuri
potential speech
😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭
😭
Milele tutakukumbuka mzee wetu
Baba ye2 kwa heri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Duuuh Pumzika kwa Amani Mzee wetu JPM
my president
Yes
daaaaaaaaa babaaaa
My leader ever happened in in dz times
Hautasahaulika kamwe daima tutakukumbuka mkombozi m beba maono we we umeletwa namungu sio wananchi vyetifeki mishahara hewa watanzanzania walikua hajuikui kua nchi inaliwa
Pumzika kwa amani baba
Kipenzi cha wengi umeachà pengo kubwa, kwa wazalendo, ,,kifo chako kimeamsha furaha kubwa kwa majambazi ya kitaifa na kimataifa, upigaji wa kupinukia utaendelea
Chuma endelea kupumzika kwa amani
APUMZIKE KWA AMANI AMANI IYO AIPATE WAPII MUWAJI YULE
@@hamiarseif7299 MUUAJI NI WW ULIOKOSA SHUKRANI ALIMUUA NANA ACHA UNAFIKI WW C MTOA HUKUMU.KILA MJA ANAMAPUNGUFU YAKE ILA C KWAWAPINGA MAENDELEO.MMEZOEA RUSHWA.
@@zenaabdallah3797 WE NIMJINGA HUJUI ALO WAUWA AU UNA UPENZI TU NIKUHESABIE WAMEULIWA KWA ARI YANANI WALE WALO UWA WA
@@hamiarseif7299 UCMHUKUMU MTU KWA VITU AMBAVYO HUNA UHAKIKAWALA USHAHIDI.ACHA NIWE MJINGA LAKINI NINAIMANI NA JPM HAKUWAHI KUFIKIRIA KUUA ACHA UNAFIKI
@@zenaabdallah3797 NINA UHAKIKA KAUWA YE NIAMBIE KUNA UCHAGUZI GANI WATU WATU WALOKUFA KAMA HUU AU KUPOKONYWA MAJIMBO YAO YOTE KAMA MWAKA HUU. NIAMBIE AU HUKUONA. MIMI BINAFS KAKAANGU KSHINDA KWENYE JIMBO LAKE HAKUPEWA KAPEWA MTU KWA KURA 17 IYO NI. HAKI. WE VIPI NI MUUAJI
Heri
Huyu ndiye alikuwa rais😭😭😭
Pumzika Kwa amani jembe latu
Jembe letu pumzika kwa amani baba yetu
Ngorongoro
Nenda lakini mipango yako sasa inahujumiwa na wakaribu yako
Kwenye tukio la kitaifa kama hili sare za chama niza nini? huu umbumbumbu sijui utaisha lini
Sasa ndugu yangu hizo sare walizovaa zinakuuma nini kwani wewe shida yako nini unakwama wapi fata maneno yake usifate matendo yake
Chama kinachoongoza ndo hicho..
Wewe ndie rais wawanyonge
Ulale pema yako mema daima tutayaenzi katika kuyafikia maemdelea ya nchi nawananchi pia
Mungu azidi kukupa Ulinzi Rais wetu
Sasa bongo mambo shwar.
USHWARI UNAUPATA WW MWENYE ROHO YA MKAANGA SUM USIEPENDA KUONA MAENDELEO YA NCHI YAKO KILA MTU KWAKO NI ADUI KINACHOKUFURAHISHA NI NN?YATAFIKA MAJUTO NDIO UTAPATA TAFISIRI YA SHWARI MUNGU YUPO
Nyau wew
Magufuli abananisha muchina
akika tinga tinga lime zimika, tuta kuku mbuka sana
heshima kwako
From this speech I can confirm that Magafuli was not a dictator, but a discipline servants
¹111¹¹¹¹¹1¹111q
KUONDOKA KWAKO NIFARAJA KUBWA KWA WATANZANIA IMEONDOKA ZULUMA
Kila nafs itaonja mauti jichanganye sasa
@@awezaejohn4893 NIJICHANGANYE NA NINI NA HUYU MTU ALIKUWA MBAYA SANAAA
@@hamiarseif7299 Kama wewe ulivyo mbaya na mchawi wa mchana uchawi uliotumia kumloga jembe letu unakutafuna mpaka unaongea hadharani jifiche basi tusijue km Ni kundi kigogo
@@beatricehenry6776 HILI NI JEMBE LAKINI LAKUZOLEA MAFI. HUKUMBUKI ALIVOTUUWA KWA MADARAKA TU UMESAHAU AU HUKUONA UBAYA ALOUFANYA KWENYE UCHAGUZI IMEWAHI KUTOKEA KAMA VILE JEMBE GANI MUUWAJI AFE TU
@@beatricehenry6776 JEMBE MAVII LILE