DUH! JPM AMVAA MFUNGWA ALETOKA GEREZANI "ALIKAA MIEZI SITA, MSHIKENI TENA, AKALIME MZURURAJI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 294

  • @AsiaMkusa
    @AsiaMkusa 4 года назад +33

    Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu

  • @omariswafuru9399
    @omariswafuru9399 4 года назад +1

    No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.

  • @johnkillango7850
    @johnkillango7850 4 года назад +8

    Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa

  • @abbasally6288
    @abbasally6288 4 года назад +2

    Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu

  • @lightmbasha6404
    @lightmbasha6404 4 года назад +7

    Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee

  • @joycehagman5622
    @joycehagman5622 4 года назад +2

    Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu

  • @dianafyondi3265
    @dianafyondi3265 4 года назад +31

    Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏

  • @doricegabriel2610
    @doricegabriel2610 4 года назад +9

    Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 4 года назад +11

    Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 4 года назад +25

    Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu

  • @ibrahimuhamzab.7129
    @ibrahimuhamzab.7129 4 года назад +3

    Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi.
    Mungu ibariki Tanzania ,
    Mmungu mbariki
    Mh, Raisi John Pombe Magufuli

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 года назад +1

    Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina

  • @monicamonica4597
    @monicamonica4597 4 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu

  • @dominikishilali194
    @dominikishilali194 4 года назад +1

    Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi

  • @oscarkasalile9367
    @oscarkasalile9367 4 года назад +2

    Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.

  • @kenicemkaka2824
    @kenicemkaka2824 4 года назад +4

    Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana

  • @giftnyakipande1253
    @giftnyakipande1253 4 года назад +1

    Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba

  • @walikidali596
    @walikidali596 4 года назад +1

    Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 4 года назад +1

    Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪

  • @thadeiminja1855
    @thadeiminja1855 4 года назад +19

    Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko

  • @bonifacepontian1391
    @bonifacepontian1391 4 года назад +5

    Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah

  • @AmiHaji-r4h
    @AmiHaji-r4h 2 месяца назад

    Tuta kukumbuka milele rais jpm❤❤,

  • @rahmakatotok3489
    @rahmakatotok3489 4 года назад +1

    Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa

  • @jackleenmandary2632
    @jackleenmandary2632 4 года назад +4

    Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 года назад +100

    🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like

  • @akwillahsegwa6940
    @akwillahsegwa6940 4 года назад +1

    Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 4 года назад +2

    Mungu akubariki mh Rais

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад +3

    Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu

  • @jeuritv156
    @jeuritv156 4 года назад

    Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu8955 4 года назад +1

    Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona

  • @banazoone2744
    @banazoone2744 4 года назад +5

    Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc

  • @emmakelvinmeinyi1439
    @emmakelvinmeinyi1439 4 года назад +16

    Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 4 года назад +22

    Mpiga debe kayataka mwenyewe

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV 4 года назад +2

    Hivi ndvyo watanzania wanapaswa kupelekwa... Umeendana nasi kabisaaa congRTX mr Presidaaaaaa

  • @mugenzijean
    @mugenzijean Месяц назад

    Huyu Ni Raisi kweli❤️❤️❤️❤️❤️🇷🇼

  • @mugenzijean
    @mugenzijean Месяц назад

    tunawapenda sana Raisi magufuli🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 4 года назад +13

    MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 4 года назад +1

    Nakupenda sana makufili oyeeeee

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 4 года назад +3

    Mungu atusaidie katika kufanya maamzi.

  • @dicksonhenricko9130
    @dicksonhenricko9130 3 года назад

    Ama kweli we ndio jembe mungu akulinde jpm

  • @charleshaule4008
    @charleshaule4008 4 года назад +2

    Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.

  • @mselemsalim1986
    @mselemsalim1986 4 года назад

    Axnt Mh.rais wanqu nakupenda xn!

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 16 дней назад

    Mimi huyu ndo Rai's wng mpaka Leo Samia simuelew Kwa kwel

  • @oscarkasalile9367
    @oscarkasalile9367 4 года назад +10

    Mheshimiwa Hawa nida ni shida mheshimiwa

  • @lindahwazir7209
    @lindahwazir7209 4 года назад +1

    Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 4 года назад +7

    Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman

    • @tanzaniteinzanzibar6655
      @tanzaniteinzanzibar6655 4 года назад +3

      ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...

    • @alikhamisog3422
      @alikhamisog3422 4 года назад

      @@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 года назад

      Unataka chochote kip weye

    • @josephmsuya8124
      @josephmsuya8124 4 года назад

      Fafanua alii hakua nn

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 4 года назад +5

    Jaman Nchi jiran wanatuonea kijicho kupata Rais Kama huyu jamani ukiona ww huoni kuwa huyu ni Rais Bora dunian ,haki ya Mungu ww umetoka kuzimu kuja kutugombanisha na mzee wetu.

  • @immaruzige1845
    @immaruzige1845 4 года назад +9

    Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 года назад

      Yaan ww unautan mbayaaa shida yake c wananchi wawasikie

    • @lulually6722
      @lulually6722 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад +8

    Msanvu oyeeee nimepamis

  • @magdalinangussa8643
    @magdalinangussa8643 4 года назад

    Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana

  • @molasmusa3609
    @molasmusa3609 4 года назад +3

    Pga kazi mzee

  • @hansimwakyoma3042
    @hansimwakyoma3042 4 года назад +1

    Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi

  • @uswizinyanginywa2498
    @uswizinyanginywa2498 4 года назад +7

    Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee

  • @salumnakauka5355
    @salumnakauka5355 4 года назад +4

    Merci monsieur président.Dieu vous protage.

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 4 года назад +7

    SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад +2

    Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime

  • @لهيهالحكماني-ل8ن
    @لهيهالحكماني-ل8ن 3 года назад

    😗from 🇧🇮

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад +2

    Hahahahahaaaaaa msenge huyo sarange unaulizwa badala useme unahitaji mtaji unasema mim sarange mfyuuu

  • @fransymwasubira.2903
    @fransymwasubira.2903 4 года назад +7

    Kweli wanyonge tumepata mtetezi

  • @africa7479
    @africa7479 4 года назад +7

    Raisi mimi ninashida jamani ya kukuona live tuake pekeyetu dakika mbili tu.

    • @alyhamadi8033
      @alyhamadi8033 4 года назад

      Uyu jamaa mjinga mkuu wa nchi anakuuriza usaidiwe ww unaaza kusema oooh mm sio mzurulaji

    • @grfgt1930
      @grfgt1930 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @frankmussa195
    @frankmussa195 4 года назад

    Ubarikiwe.raisi.wetu

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 4 года назад +1

    Kweli atutambata kama wew

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi6206 4 года назад +2

    wananchi wenyewe wanafki jamaa kaelezea shida wakashanfilia alafu akageuziwa kibao tena wanashangilia mmmmh

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 Месяц назад

    Huyu ndo alikuwa rais wa watu

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 4 года назад +7

    Kweli jua kali mheshimiwa duuh 😂😂

  • @ambermodotz408
    @ambermodotz408 Год назад

    Rest in paradise dady

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 года назад +25

    Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠

  • @raymondysadick608
    @raymondysadick608 3 года назад

    Huyu rais ndo maana nampenda bure.

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 4 года назад +9

    Badala yakuomba mtaji kwa mh raisi unasema sarange boya kweli ww

    • @seifzongo320
      @seifzongo320 4 года назад +1

      😀😀😀

    • @nemricesoka8189
      @nemricesoka8189 4 года назад +2

      Hahahha ulikia mawazon mwangu alivyoitwa pale mbele alikua apewe mtaji akazingua na usarange hahahhaa

    • @lukasochola576
      @lukasochola576 4 года назад

      @@nemricesoka8189 Mtaji ni nini?

    • @beatricedickson605
      @beatricedickson605 4 года назад

      😂😂😂jamn simba mtoto

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 года назад

      Mwenye bahat habahatiki

  • @ramadhanindevu6006
    @ramadhanindevu6006 4 года назад +16

    Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana

    • @stantz1798
      @stantz1798 4 года назад +3

      Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm

    • @merryjulius4098
      @merryjulius4098 4 года назад

      Haaha,alisahau jamani.

    • @saidinhomarwa5575
      @saidinhomarwa5575 4 года назад

      Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.

    • @mwanaisha522
      @mwanaisha522 4 года назад

      Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live

    • @ommylamam1463
      @ommylamam1463 4 года назад

      @@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma

  • @FumorliongEagles-sl6mj
    @FumorliongEagles-sl6mj 2 месяца назад

    Good. Jp

  • @judithwirth2256
    @judithwirth2256 4 года назад

    The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?

  • @magdalinangussa8643
    @magdalinangussa8643 4 года назад +1

    Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote

  • @fifo262
    @fifo262 4 года назад +1

    Love mh wa tz

  • @hamisjahar756
    @hamisjahar756 4 года назад +2

    Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV 4 года назад +12

    Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji?
    Salange oyeeeeee

    • @pendomkumbo8262
      @pendomkumbo8262 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂loh

    • @ratifamzima1255
      @ratifamzima1255 4 года назад

      Yaani roho imeniume San jamani ningekuwa mimi

  • @tabumasumbuko7213
    @tabumasumbuko7213 4 года назад

    MUNGU akurinde RAIS wetuuu

  • @maxwellwilliam1663
    @maxwellwilliam1663 4 года назад +12

    Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 4 года назад +1

      Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!

    • @giftnyakipande1253
      @giftnyakipande1253 4 года назад +1

      Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah

    • @aminasalum1954
      @aminasalum1954 4 года назад

      Hahahahahaaaaaa

    • @ndikumanaally4952
      @ndikumanaally4952 4 года назад +1

      Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni

    • @ndikumanaally4952
      @ndikumanaally4952 4 года назад

      Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 4 года назад +6

    Kamata masalange wote sukuma ndani pumbavu wamenifanya mm nimeanda gari la ajabu kweli ambalo mm sikupanga.

  • @ibrasound4943
    @ibrasound4943 4 года назад

    Njoo na kilosa Mh Rais wetu

  • @Yi-05
    @Yi-05 4 года назад +1

    Dah mzee kavalia gwanda kabisa nomaaaa....

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 года назад

      Hahahhha ndo amiri jeshi mkuuu hiloo ndo vaz thabit kwake

    • @eliceshirima1740
      @eliceshirima1740 4 года назад

      Yassini Rabhu limem fit .

  • @henrykishiwa6755
    @henrykishiwa6755 4 года назад +4

    Unaulizwa shida yako unaanza kuongea u K.. Mrugulu kachelewa wapi huyo

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 4 года назад +3

    This is Magufuli

  • @augustinojohn4764
    @augustinojohn4764 4 года назад +5

    Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐

  • @aminahussein5418
    @aminahussein5418 4 года назад

    Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 4 года назад

    Jamani uhuru si uchukuwe mfano japo wakiya tuu🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️wa Tanzania mungu awalindie Rais wenu 🙏🙏

  • @ilhammohd7170
    @ilhammohd7170 4 года назад

    Dah muheshimiwa ungempa 1000000

  • @masuseleman978
    @masuseleman978 4 года назад +8

    Hapo mwisho jamaa anasura ngumu.mpaka raisi kamuuliza yy ni miongoni walio ungua Moto😂

    • @petromtakati2975
      @petromtakati2975 2 года назад

      🤣🤣🤣😅😅😆😁😄😃😃😀😀😃😃😄😃😂😂😂😂😀😀

  • @ziadasalim1459
    @ziadasalim1459 4 года назад

    Ningepata bahat hiyo Mimi ningeomba mil 3000

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 4 года назад

    Makao makuu dodoma nida ni shida nani makao makuu .tusaidie raisi wetu

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 4 года назад +8

    Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 4 года назад

      Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima

    • @allysalum7158
      @allysalum7158 4 года назад +1

      nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 4 года назад

      @@allysalum7158 Aisee

    • @festosanga1793
      @festosanga1793 4 года назад

      Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??

  • @omarwatenga3464
    @omarwatenga3464 4 года назад

    he is brave than a lion

  • @kebumtanza5119
    @kebumtanza5119 4 года назад +8

    Nouma Sanaaaaa

  • @aqwinatherhaule6228
    @aqwinatherhaule6228 4 года назад +1

    Uwiiii we mama me staki kupata kufuru

  • @pendomkumbo8262
    @pendomkumbo8262 4 года назад +1

    Sarange oyeeeeeee🤣

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 4 года назад +1

    Hao wasaidiz wa raisi mnashindwa kumwekea laudi speaker

  • @madegeommy3779
    @madegeommy3779 4 года назад

    Mbona hao warisha katazwa kupiga debe wana lala mika nini

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад

    Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад +2

    Kam umemsikia jamaa anasema et hasikii vzr gongalike twende zetu dodom

  • @BontamLee
    @BontamLee 4 года назад

    Pole kwa safari kwa miungu watu,kama ninyi,huyo rais mchapa kazi mwambie ongera kwa safari.