ITAKULIZA! SPIKA Asimulia MAISHA ALIYOPITIA - "NIMELALA NJAA, NILIKUWA MASKINI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июн 2020
  • ITAKULIZA! SPIKA Asimulia MAISHA ALIYOPITIA - "NIMELALA NJAA, NILIKUWA MASKINI"
    BAJETI kuu ya serikali kwa mwaka 2020 / 2021 imepigiwa kura Bungeni leo Juni15 na kupitishwa kwa kishindo baada ya kura za ndio kuwa nyingi (304) dhidi ya kura za hapana (64) ...
    Baada ya bajeti kuu kupita, waziri mkuu, Kassim Majaliwa, anahitimisha Bunge..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 194

  • @williamsamwel4647
    @williamsamwel4647 4 года назад +2

    Sikuamini Kama ungewwza eleza hayo kwa ajili yetu sisi vijana na taifa la baadae Mungu akulinde Sana n a nimejifunza mengi Sana ama kweli history is a teacher

  • @ednamanji
    @ednamanji 4 года назад +8

    Mvumilivu hula mbivu. Uvumilivu wako Mungu aliokupatia ndo umekufikisha hapo ulipo. Mwenye Haki hakuwahi kuachwa na Mungu . Pole sana Spika . Lakini Matunda unayo sasa.Mungu akubariki sana Tunakuombea sana uwe na afya tele na urudi tena bila kupingwa. Ni Spika Imara mwenye msimamo sana .

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 4 года назад +24

    Watu wengi wenye mafanikio wametoka ktk familia duni sana kimaisha. Mungu akulinde Spika wetu Ndugai. Historia yako imewapa fundisho Wabunge wako ktk Bunge la 11.Mimi pekee umenikumbushia maisha yangu nilikotoka, na mama yangu hakufaidi matunda yangu. Maisha ni fumbo kubwa sana.

    • @ednamanji
      @ednamanji 4 года назад

      Pole sana Mpendwa wanadamu tunapitia Machungu sana ! tuko kwenye kiatu kimoja . Baada ya baba yangu kunihaingikia sana kuishi kwa umsikini mkubwa nikilala chini kwenye Jamvi bila hata shuka, vile ndo nimeanza maisha tu . Mauti ikamkupa Niliumia sana kwani nilitamani afaidi Matunda yangu .Ni vigumu kabisa kumuelewa Mungu jinsi anavyo Operate kwa maisha ya kila mmoja.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 4 года назад +1

    Big up sana kwako Mh Ndugai umepambana kwa kiasi chako Baba...binafs nimekuelewa na nimetambua kazi yako...Barikiwa mno

  • @rashidmpozayo7004
    @rashidmpozayo7004 4 года назад +11

    Hongera sana spika,, umetuthibitishia kuwa uvumilivu ni zao la mafanikio

  • @luluamri370
    @luluamri370 4 года назад +19

    I struggled myself I know the feeling of having nothing but I have wonderful life now 😭

  • @remmychuma1313
    @remmychuma1313 4 года назад +5

    Well said Mr. Speaker! You have done your part, leave the rest to the Almighty God. I would love to see you in the next few months.

  • @frankmwitachacha5742
    @frankmwitachacha5742 4 года назад +9

    Daah!! Kwelii binadamu tumetokea mbalii kwelii ata tukipata mafaniko bx tuacheni tuishi

  • @brightonbrighton8671
    @brightonbrighton8671 4 года назад +8

    Mheshimiwa Ndugai,Mungu akubariki na familia yako.umetoka mbali na kweli hapo umefika ni Mungu

  • @hassanmalamla3485
    @hassanmalamla3485 4 года назад +10

    Hongera Jpm,Ndugai Majaliwa mmetufundisha mengi kwa kuwa wa wazi,tumejua mengi ktk Serikali yenu ya awamu ya tano. Naamini pia nyie ni walimu wazuri kwa watumishi na wananchi kwa ujumla..

    • @kenngunjiri1978
      @kenngunjiri1978 4 года назад +1

      Hassan Malamla binafs namkubali ndugai angerudi kuwa spika

    • @evelynebwire7684
      @evelynebwire7684 3 года назад

      @@kenngunjiri1978 amerudi haja yako imejibiwa

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 года назад +2

    Pole sana spika kwa kumpoteza mama yako mpendwa kweli hotuba yako ni fupi lkn inahuzunisha sana.Umepitia maisha magumu na umepata elimu yako kwa shida lakini Mungu hakukuacha aliyaona mateso na mahangaiko yako leo hii Mungu amekupatia dhamani ya kuwa spika hakika ashukuliwe Mungu wetu aliye juu.

  • @felistermaximillian2793
    @felistermaximillian2793 4 года назад +2

    Hongera na umenitia moyo , maisha yako ni sawa navya watanzania wengi Sana, . Days are numbered one day yes

  • @glorysumary8532
    @glorysumary8532 4 года назад +1

    Mungu azidi kukuinua mh.spika wa bunge la Tanzania mungu akutie wepesi Na akupe maisha marefu

  • @sebastianngimba6629
    @sebastianngimba6629 4 года назад +5

    Historian nzuri kwa sisi wazee wenzako.vijana hawayajui hayo tuliyokulia sisi was enzi hizo.

  • @luoga23
    @luoga23 4 года назад +17

    Ni hotuba fupi ambayo inaujumbe mzito sana unaweza toa machozi bila kupigwa dah

  • @teclahamidutv.2498
    @teclahamidutv.2498 4 года назад +16

    Mungu azidi kukuinua kaka.

  • @samjesus3835
    @samjesus3835 4 года назад +3

    Usiyemfahamu sana,usitie neno lolote kuhusu yeye .Pamoja na yote Mh Ndugai ananifurahisha sana anavyoongea kiungwana

  • @jeremiadaudi5780
    @jeremiadaudi5780 4 года назад +5

    Hotuba yako mh-ndugai imenigusa sana ju ya maisha

  • @paulina.baynit7970
    @paulina.baynit7970 4 года назад +5

    Mungu azidi kukuinua spica wetu.

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 года назад

    Hongera sana Mh spika kwa hekima na busara uliyonayo kwa kuweza kuliongoza bunge hilo hakika hekima yako ndio imekuwezesha kufika leo hii.Tunakuombea Mungu sana huko kwenye jimbo lake waweze kukuteua tena urudi uendelee kuwa spika wa bunge hilo.

  • @laurahomine714
    @laurahomine714 4 года назад +2

    So touching story

  • @lukandotv8101
    @lukandotv8101 4 года назад +3

    80 Km Per Week!!Unatakiwa Kuitwa Job Land Rover 109🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 3 года назад

    Pole Sana mweshimiwa pia hongera sana hakika Mungu Ni mwema Sana

  • @justinechirume3884
    @justinechirume3884 4 года назад

    Asante sana

  • @rabielulomi8607
    @rabielulomi8607 4 года назад +1

    Kiukweli kwa miaka hiyo inayo wengi walitembea km zaidi ya hizo ktk kusaka elimu. Washangae wanaozaliwa sasa.

  • @nehemiaisakwisa8604
    @nehemiaisakwisa8604 4 года назад +4

    Ahsante kushukuru Job Ndugai

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 4 года назад +4

    Huyo mjinga Suzan anajisikiaje mpaka ametajwa kwenye hotuba ya kuaga ya Mheshimiwa SPIKA ???

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 4 года назад +1

    Ogopa kiongozi aliekwenda peku shule lazima raia utembelee kucha

  • @wilisonongolo7294
    @wilisonongolo7294 4 года назад +2

    Spika ndugai nakuelewa vyema YESU akuludishe tena bungeni hakuna anayeweza kukulipa bali ni BWANA wa majeshi asante sana

    • @wilisonongolo7294
      @wilisonongolo7294 4 года назад +1

      Tulio pita huko tuna utu utu ni mtaji msimamo wako na wa MH rais unatufikisha pazuli watu walijua ninyi ni watu wa kawaida lakini YESU alikuwa pamoja nawe natamani ni hata sauti job ndugai walau nifarijike japo sina namba basi tu asante sana na MUNGU akubariki Zaidi

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      @@wilisonongolo7294 Mungu akubariki na wewe

  • @gaudenceassenga1900
    @gaudenceassenga1900 4 года назад +2

    Mungu ndo ajuaye safari ya mja wake jamani. Usimchukulie poa yoyote umwonae mbele yako

  • @teclahamidutv.2498
    @teclahamidutv.2498 4 года назад +4

    Waooo, ubarikiwe.

  • @gideonkalumbu2603
    @gideonkalumbu2603 4 года назад

    Mungu akutunze ndugu, mhe. Ndugai.

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 4 года назад +1

    M/mungu akubariki xana mh job Ndugai

  • @saidishebuge4796
    @saidishebuge4796 3 года назад

    Very inspired Mr spika lets us keep struggling and working hard

  • @salmamashauli3529
    @salmamashauli3529 4 года назад

    Mwenyez mungu akupe maisha malefu baba yetu ndugai

  • @eliasmtalima5400
    @eliasmtalima5400 4 года назад

    Umenikumbusha mbali sana mh spika wetu maana hata mm nilisoma maisha ya shida sana. Ila niseme tu mungu atatusimamia sisi tunaepitia maisha ya shida sana. Karibu mpwapwa Gulwe ndio kwetu na nimesoma hapo Gulwe mh spika. Mungu akubaliki sana na uendelee kupapambana mwanzo mwisho katika maisha yako na mungu ataendelea kukulinda kila hatu

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Ingia Instagram umtag Elias itapendeza Sana

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 4 года назад +1

    Safi sana ndugai kwa spirit yako uliyotushirikisha.

  • @jofreykivambe6520
    @jofreykivambe6520 4 года назад +4

    MUNGU ibariki TANZANIA👏

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 4 года назад +11

    Hekma imekusaidia sana kufika hapo

  • @kelvinmnyalape9658
    @kelvinmnyalape9658 4 года назад

    Bwana yupi unae mshukuru?tena hukumu yako IPO hapahapa duniani mungu ha dhiakiwi na mashetani

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 года назад

    Safi sana

  • @jembenjombetz3785
    @jembenjombetz3785 4 года назад +2

    Faru john ila huyu mbunge msukuma comedy

  • @osimunddyegura9841
    @osimunddyegura9841 4 года назад

    Humble servant. Hongera sana kiongozi

  • @hizim6699
    @hizim6699 4 года назад +4

    Mmhe bora umesema kweli kuhusu sapoti

  • @lilymandari9872
    @lilymandari9872 4 года назад

    Nimesikiza had mwsho nione kilichowaliza hata sijaona maana umaskin wamepitia wengi ht wazaz wangu wamepita hukoo....we mshukuru mungu tu.

  • @skynerkombo2728
    @skynerkombo2728 4 года назад

    Hongera kamanda!!

  • @kelembukelembu2528
    @kelembukelembu2528 4 года назад

    Barikiwa sana Ndugu spiker

  • @zidadumwasongwe3560
    @zidadumwasongwe3560 4 года назад

    Spika mungu akubaliki

  • @andrewkalyambeju2397
    @andrewkalyambeju2397 4 года назад +1

    Mungu akubariki uishi usife kabla ya wakati ktk jina la Yesu

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Amen iwe km ulivyotamka Mtumwa wa Bwana

  • @asharamadhani4641
    @asharamadhani4641 4 года назад +1

    👍

  • @stanleyjohn6566
    @stanleyjohn6566 4 года назад +3

    Spika huyu hapaswi tena kua spika wa bunge

    • @salmamashauli3529
      @salmamashauli3529 4 года назад

      Stanley john hovyo kwann hapaswi kama hujielewi ww

  • @mayagilajr
    @mayagilajr 4 года назад

    Everything comes when it should

  • @sniper93999
    @sniper93999 4 года назад

    All the best wabunge nyoteee

  • @rickykawacha9636
    @rickykawacha9636 4 года назад

    Mshukuru MUNGUBABA anakupenda

  • @mzeesuleiman9612
    @mzeesuleiman9612 4 года назад +2

    Awamu ya 5 kama umekulia kimayaimayai kimielamiela kitajilikitaji basi wewew utatumbuliwa uwezikufanyakazi kama mueshimiwa uyu ammbaka alikua kama boss

  • @jumannepaskary3182
    @jumannepaskary3182 4 года назад +10

    Wewe ni wakuigwa

  • @aminatabakari2741
    @aminatabakari2741 4 года назад

    Mungu amekuwa mwema kwako!!!🙏

  • @kuluthumkaguna9174
    @kuluthumkaguna9174 4 года назад +4

    Daa.imeongea.kwa busara sana

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 3 года назад

    Maisha huwa tunapitia mengi sana Ila Ni Siri za watu tu

  • @andrew.gadimrinji1713
    @andrew.gadimrinji1713 4 года назад +2

    Je katia utumishi wa uspika..ulimrudishia nini Mungu? Unadhani katia utendaji haki bungeni katika kiti chako Mungu alifarijia kuwa niliyemtoa kwenye huo umaskini amanishukuru kwa kuwatendea wabunge wake kwa haki?

    • @octavianlameck4922
      @octavianlameck4922 4 года назад +1

      Wewe umemtendea nini Mungu katika maisha yako? Wewe ndo umekaa kuangalia na kukosoa ya wengine huku ukiacha kulitoa bonge la boriti kwenye macho yako, yachunguze maisha yako binafsi, umetenda mema, au haki kiasi gani mbele za Mungu!!!! Unasahau kuwa imempasa kila mwanadamu, mdogo kwa mkubwa, maskini kwa tajiri kusimama mbele ya kiti cha enzi cha hukumu mbele za Mungu kutoa hesabu ya neno la siri likiwa Jema au likiwa baya!!!

    • @suzanaagustinookelo4953
      @suzanaagustinookelo4953 4 года назад +1

      Sasa we unataka akitoa zaka aje hakwambieee kuwa anrew nimesham tolea Mungu hiki usiwe mjinga

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Hakuna Mbunge aliekua akitetea wananchi asisikilizwe ila wale tu wamegombana na wake zao wanakuja kumalizia matusi Bungeni otherwise wote wametendewa haki maana kati yao hakuna mwenye maisha mabovu labda km aliingia Bungeni kwakutoa kafara

  • @psitanzania9146
    @psitanzania9146 3 года назад

    Cant say a word

  • @hainarluka3034
    @hainarluka3034 4 года назад

    nipewe info&updates wakwanza

  • @godfreylubumbila1095
    @godfreylubumbila1095 4 года назад

    OK

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 4 года назад +3

    mchumia juwani hulia kivulini

  • @hamidafundi5890
    @hamidafundi5890 4 года назад

    👍👊👏

  • @festontandu3596
    @festontandu3596 4 года назад

    Kawaida Sana Hizo haso,,, mwenzetu ata shule ulipelekwa

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 4 года назад

    ungeingia jela ukasugua hata mwaka 1,hapo ndo ningekuaminia bro ndugai

  • @petermtongoli7368
    @petermtongoli7368 4 года назад +2

    Ila mtu aliepata taabu wakati wa utoto mbona huwa hawi na kiburi kama chako?

    • @hashimmloso8984
      @hashimmloso8984 4 года назад +3

      Anajitambua...kujitambua ni mwanzo wa hekima....

    • @remtymsangi4577
      @remtymsangi4577 3 года назад +2

      Ata ukifanya mema huwezi mfurahisha kila mmoja

  • @kulagwamathias5322
    @kulagwamathias5322 2 года назад

    Huwezi ukafanikiwa kama spika bila support ya Rais. "Rais asipokuunga mkono hufiki popote" mwisho wa kunukuu na yametimia 😀😀 you are no longer getting support from president SSH

  • @betuelmchome3224
    @betuelmchome3224 3 года назад

    Acha kudanganya watyu wewe Kama ulilala njaa kweli ungemkata tundu list mshahara wake na unajua kapingwa risasi uwena hurumaaa

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 3 года назад

    Je nifahari kujivunia umaskini?

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 4 года назад +1

    Msukuma mlevi huyo anataka faru joni.😀 Hakuna asiepata tabu. Baada ya dhiki faraja.

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Zinatofautiana dear na ukiwa na Roho ya kukata tamaa unaishia njiani

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 4 года назад +3

    Kipindi hiki kuelekea uchaguzi kila mtu anajitilisha huruma aonewe huruma

    • @suzanaagustinookelo4953
      @suzanaagustinookelo4953 4 года назад +1

      Mjinga kweli wewe mtu kueleza hali halisi ya maisha eti anataka aonewe uruma

    • @suzanaagustinookelo4953
      @suzanaagustinookelo4953 4 года назад

      Corona sijui umewaacha kwanini

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад +1

      Ila kumbuka hata mashuleni watu walikua wanagombana ila siku ya kuagana hua inatia majozi

    • @kiandangulwi3546
      @kiandangulwi3546 4 года назад

      Na ndo hatunaga huruma....waliotumia nafas zao vibaya na kuonea wengine wakat wa malipo yao umefika

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад

      Uko sahihi!!!

  • @psitanzania9146
    @psitanzania9146 3 года назад

    Hukukata tamaa..!! Vijana wa sasa wanataka mafanikio huku wameweka mikono mifukoni .

  • @anastaziamorce3389
    @anastaziamorce3389 4 года назад

    Hadi nimelia jamani wana kongwa mchagueni tena ndugai

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe2372 4 года назад

    Hivi taratibu za kibunge zimekaaje kuhusu spika wa Bunge, anaendelea na jina la spika na Ofisi, au Ndio tuseme Sasa hakuna spika Kwa kipindi hichi mpaka uchaguzi ukamilike

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Ndo maana kasema wenzangu Wabunge mnaniacha Mimi hadi mwezi 11

  • @kiandangulwi3546
    @kiandangulwi3546 4 года назад

    Leo umetia huruma na sio kawaida yako...nn kinajiri?

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza5339 4 года назад +6

    Sifa apewe BWANA wa majeshi..

  • @challobruno5768
    @challobruno5768 4 года назад +1

    Laikala to sagara

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 4 года назад

    Umenena fact bro

  • @sengengemangae3698
    @sengengemangae3698 3 года назад

    Inapendeza

  • @ditrammwanaharakatimike1492
    @ditrammwanaharakatimike1492 4 года назад +1

    😭😭😭😭

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 4 года назад

    Baada ya dhiki faraja

  • @omaryrashid1873
    @omaryrashid1873 4 года назад

    Mbna faru john

  • @suzanaagustinookelo4953
    @suzanaagustinookelo4953 4 года назад +2

    Me naitwa suzan me sio mjingaaa weeeeeeee

    • @simonhezron5493
      @simonhezron5493 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @irenejohn8194
      @irenejohn8194 4 года назад

      Akina suzana wanakuwa wajinga wajinga wengi wao 😂😂😂😂

  • @unlovegeneralsupplies8140
    @unlovegeneralsupplies8140 4 года назад

    Kumbe ulikuwa mchunga ng'ombe sasa nimekuelewa.

  • @mzeesuleiman9612
    @mzeesuleiman9612 4 года назад +3

    Mbowe kalipa pessa za codi zetu au ndiokatusaulisha na nafaru John aliomnwa

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 4 года назад +1

      Alitaka kututia hasara zaidi eti tumkodishie na ndege kumleta Dar mlevi yule .

  • @kiandangulwi3546
    @kiandangulwi3546 4 года назад +3

    Asad alifanya proper judgement....ZAIFU

  • @elizabethlyombe9950
    @elizabethlyombe9950 4 года назад +1

    Duu kusema kweli nimelia

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 4 года назад +3

    Serekali inawasimamia nyinyi bana si tunaona

  • @laylasuliman5805
    @laylasuliman5805 4 года назад

    Jmn mbona sielewi huyu spika ndo kamaliza mda wake au

  • @aliidirisaxmedhuvavaruu6384
    @aliidirisaxmedhuvavaruu6384 4 года назад +4

    Magufuli hoye

  • @gasperfrancis7336
    @gasperfrancis7336 4 года назад

    sasa atapingwa

  • @zakayokivambacreatechannel6025
    @zakayokivambacreatechannel6025 4 года назад

    Ungempa mmoja tu

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад +5

    Wengi mlikuwa masikini lakini sasa mmekuwa matajiri wa kutupwa kwa kuwaibia masikini wenzenu!!!

    • @habibmohamed4766
      @habibmohamed4766 4 года назад +5

      Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi bro,na wewe pambana kivyako utoboe

    • @frankassey5971
      @frankassey5971 4 года назад

      @@habibmohamed4766 apambane na hali yake

    • @hassanmalamla3485
      @hassanmalamla3485 4 года назад

      Fanya kazi wewe jamaa.

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Kweli Kuna wengine wameiba lkn si kila umuonae kaiba mmh tuombeane tu

    • @salmamashauli3529
      @salmamashauli3529 4 года назад

      @@habibmohamed4766 juma kapilima hujielewi

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 4 года назад +1

    km 8 kwenfa shule mpaka leo watu wanatembea

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 4 года назад +2

      Kwani yeye amesema hivi sasa watu hawatembei ???
      Yeye kaeleza historia yake .
      Hao wanaotembea nao wakipata nafasi wataeleza historia zao .
      ( Acha wivu )

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Tena usikute alikua anatembea peku

    • @emanuelmoshama3899
      @emanuelmoshama3899 4 года назад

      @@chayogasperi9783 amesema hakuna anae mzidi ukomando, sikiliza hotuba vizurii, kutembea kawaida tuu, mtoto mdogo anaweza tembea ata km 10 na akirudi nyumbani bado akaenda kucheza mpira

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 4 года назад

    Je ulikua unakula nauli, Dr cleruu alikua anakwenda 20 kurudi 20

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 4 года назад

      Huyo ni Cleruu sio wewe, tuambia ww umeenda ngapi na skuli bus yenu😂😂😂

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 4 года назад +2

    Huu umaskini tunaojivunia waksti tuko ktk bafasi za juu Mimi huwa sipendi . Ok tunawafanyia Nini masikini ...

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Ameongea historia ya nyuma na usikute kakumbuka mbali hasa alivyosema alikua wapekee kwa mama yake pale amepata mafanikio km anapovunja Bunge agefurahi km angeenda kwa mama yake lkn pia anatutia moyo tusikate tamaa

  • @ramathaniathumani2880
    @ramathaniathumani2880 4 года назад

    Hivi ninyi mnaosemaungu

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi7883 4 года назад

    Mnafiki tu huyo wala hutouona ufakume wa mungu

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Mmmh inawezekana mkapishana yy akauona na ww usione