ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2018
  • ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
    Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameambia serikali kuwa inapanaga kutekeleza miradi mikubwa ili hali haina pesa ya kutekeleza miradi hiyo ambayo ameielezea kuwa ni gharama kubwa.
    Tupate taarifa kamili kutoka kwa Catherine Kahabi…..
    Akichangia hotuba ya Bajeti ya ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Zitto amesema kuwa licha ya kujigamba kuwa serikali ina uwezo wa kujenga mradi huo lakini ukweli ni kwamba haina pesa ya kufanya miradi hiyo.
    Awali akitolea ufafanuzi suala hilo waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya makazi William Lukuvi amesema, suala la ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa stiglers linamanufaa makubwa kwa taifa.
    iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Комментарии • 321

  • @allenclemence
    @allenclemence 6 лет назад +8

    OMG! What is on Zitto's mind, he is so bright, #his brain is full of fact.

  • @pambanomwadia4946
    @pambanomwadia4946 6 лет назад +27

    kweli huyu jamaa nomaa xana anaongea point kama jina lake zito

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 6 лет назад +5

    daaaah 🙌🙌🙌🙌zitto we noma nimekuelewa

  • @dottosamweli2364
    @dottosamweli2364 6 лет назад +7

    Zito kabwe ww nakukubali sana

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 6 лет назад +17

    jama zitto mungu akulinde

  • @deojohn1413
    @deojohn1413 6 лет назад +3

    Asante kk nondo nimeziona!!!

  • @hosianajosephu4296
    @hosianajosephu4296 4 года назад +1

    Tunakuombea mbunge wetu... We loves u!!!!

  • @kfastak
    @kfastak 6 лет назад +15

    Wapige nondo. Safi sanaaa

  • @elishachenya6580
    @elishachenya6580 4 года назад +1

    Sawa ztto👏👍

  • @justingeorge2008
    @justingeorge2008 6 лет назад +2

    Bro well grasped

  • @abdyup-d5108
    @abdyup-d5108 6 лет назад +4

    Pesa wanaiba wanayo 👏👏👏

  • @maicoelias122
    @maicoelias122 6 лет назад +4

    one love broo zito

  • @jastinefaustin9982
    @jastinefaustin9982 6 лет назад

    Hongera sana zito kwa hoja yako nzur ikiambatana na mifano hai.

  • @zuhubeby9474
    @zuhubeby9474 6 лет назад +14

    daaaah kichwa kimoja cha ZITTO kabwe weka vichwa 200 vya wabunge wa fisiem .😂😂😂😂😂😂😂

  • @nicolausekama5976
    @nicolausekama5976 6 лет назад +1

    Ahsante Zito,Akili kubwa vs akili ndogo! Nafasi walizokalia zinawapwaya na hawataki kuonekana vilaza!Wape shule master!

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 6 лет назад

    Daa mungu atusaidie

  • @paulleo9615
    @paulleo9615 6 лет назад

    Zito apo big up lakn we mubeya. Sana kah

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 5 лет назад

    Amen Amen. Mzee Lukuvi nenda kijiji cha buiko uko korogwe tanga kasikilize kilio cha wananchi . asante. Mungu akupe hekima. Amen.

  • @erenestkidomela7074
    @erenestkidomela7074 5 лет назад +2

    Pamoja sana

  • @mzelifadaud1560
    @mzelifadaud1560 6 лет назад

    nice

  • @manmborrow212
    @manmborrow212 6 лет назад

    Respect

  • @afrikana2287
    @afrikana2287 5 лет назад

    I'm optimum.

  • @simonlucas4104
    @simonlucas4104 4 года назад

    Uko vizur kijan Mungu azid kukzixhia uzma n aman uzd kufany makubwa /gonga like hap kam unamkubl Zitto kw hoja n mambo yake

  • @shabaniyunusi8831
    @shabaniyunusi8831 6 лет назад +7

    Nmeipenda hoja ya Zito pamoja na aliemfatia amegusa vitu vya kisomi sana

    • @muhsinmwambule9128
      @muhsinmwambule9128 6 лет назад

      Shabani Yunusi, Ni vigumu/ngumu sana kujenga na kutetea hoja na yule ambaye anatumia ushahidi tena wenye uthibitisho, halafu wewe ukatumia fikra tu, wakati jambo lenyewe linaenda kihistoria.

  • @hajuboy2882
    @hajuboy2882 6 лет назад

    nawakubalii sanaaa aitheeee

  • @nasrahussein8408
    @nasrahussein8408 6 лет назад +41

    zitto ww ndo maana mm.nakukubaliii👏👏👏👏👏

    • @ahmadikitwana7027
      @ahmadikitwana7027 6 лет назад

      Nasra Hussein kwa lipi sasa!! Zile unazoambiwa changanya na zako.

    • @bugabyarugaba8852
      @bugabyarugaba8852 6 лет назад

      unamkubari? walio mtoroka kwenye chama ndo wanamjua wewe in zuzu hujuwi kilichoko nyuma ya pazia

    • @nasrahussein8408
      @nasrahussein8408 6 лет назад

      Buga Byarugaba Ww uko na mtindio wa UBONGO ninda mirembe

    • @nasrahussein8408
      @nasrahussein8408 6 лет назад

      Buga Byarugaba Wewe ni duwaziii Amkaaa

    • @vicoaron467
      @vicoaron467 6 лет назад

      Nasra Hussein zito noma

  • @desderymugasha7927
    @desderymugasha7927 5 лет назад

    Big-up kamanda Zitto piga nondo.

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga6205 3 года назад

    Seen

  • @jostertweve9896
    @jostertweve9896 6 лет назад

    safi sana kaka angu

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 года назад

    Really fact.

  • @beatricelucas1454
    @beatricelucas1454 6 лет назад

    Nakupenda sana zito

  • @ahmedkhatibu5387
    @ahmedkhatibu5387 6 лет назад

    Ya Allah,,,,tujaalie nchi yetu ,,amani ,upendo na mshikamano ,,,tujaalie uwezo wa kutatua changamoto zetu,,,,,tujaalie umoja,,,,sote ni ndugu

  • @ilovemiginamygodblessumany2466
    @ilovemiginamygodblessumany2466 6 лет назад

    #Wewe..Zit0..Mungu..Akujalia..Sana..Maisha..Marefu..

  • @ramsharuna8953
    @ramsharuna8953 6 лет назад +1

    🙋

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 6 лет назад +1

    Etiii hamnaaaa hawanaa helaaaaaa😂😂😂😂...
    nan kasema ilo amenikosha kwel🙌🙌🙌

  • @yohanaevance9784
    @yohanaevance9784 6 лет назад +3

    kweli wapinzani wanafanya kazi ya. wananchi

  • @lexisavage1770
    @lexisavage1770 5 лет назад

    vizuri sana waziri wetu Lukuvi huyu Zitto hajui anachofanya

  • @husseinmucky829
    @husseinmucky829 5 лет назад +1

    Hamna....hamna hela!!

  • @mashaurikilawa1185
    @mashaurikilawa1185 6 лет назад

    fact should speak itself

  • @sylvestermasunzu8205
    @sylvestermasunzu8205 4 года назад

    Baba wa kigoma wew nirais wakigoma kwamwendo huu lzima kigoma iwe kisiwa tujitegemee,, mungu akulinde imara

  • @View24.
    @View24. 2 года назад

    Zitto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💜💜💜💜💜

  • @neybenson7881
    @neybenson7881 4 года назад

    2020 zito kura yangu unayoo

  • @prettypercy20ans7
    @prettypercy20ans7 6 лет назад

    oyeeeee awana pesa

  • @jabbydux
    @jabbydux 6 лет назад +14

    Eti tulieni niwapige nondo! Zitto bhana, wapige nondo baba

    • @nurumohamedi9972
      @nurumohamedi9972 5 лет назад

      Wewe mbulula inaonekana hujakulia kwa wastaarabu kwani matusi ndo dili?.

    • @alvangidion9366
      @alvangidion9366 4 года назад

      Sasahvi vipy , je pesa haipo au mradi haujengwi,, mwambieni zitto aseme Tena,

  • @mzeebaba2184
    @mzeebaba2184 6 лет назад +9

    Sema wachu sema wachu kigoma moja

  • @janethurio2453
    @janethurio2453 6 лет назад +1

    haki nyinyi wabunge mkicmama kama zito tutaona uelekeo wa nchi yetu. Mungu mlinde zito

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 4 года назад +1

    Nani yupo tena hapa baada ya Bunge kumalizika leo tarehe 16/6/2020?

  • @vivianoforo2368
    @vivianoforo2368 6 лет назад +7

    Woyooooo zitooooo

  • @nuhubalandya9164
    @nuhubalandya9164 6 лет назад +2

    " Don't Denny facts"

  • @abmeleckjuma8014
    @abmeleckjuma8014 6 лет назад +1

    Nasari IMF hawajawahi kuwa marafiki ktk miradi mikubwa ya maendeleo,issue ni nini kifanyike kupata pesa ya huo mradi,ila pia tujitahidi sana na gas litumike vizuri at maximu capacity

  • @mako331
    @mako331 6 лет назад +2

    Yani ingekuwa possible ningewachukua serikali yote ya CCM niwaweke mahali halafu tuwape hawa so called mapinzani for only one year, ndio Watanzania wajue kelele nje ya uwanja ni rahisi

  • @makongoronyerere2595
    @makongoronyerere2595 4 года назад

    Hahaha, gd life has not come like dream

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 6 лет назад +2

    Eti tuwapige NONDO huh... Mhe. Zitto bhna

  • @heliernest4754
    @heliernest4754 6 лет назад +14

    Afazali kidogo zito mambo yakuadamana, namengine kama hayo umewaachia Mh, Lema , maaskof nawengine WW TUMEONA KUA UNAFANYA UPINZA ULIO KOMAA NA ULIO ENDELEA saf Mh zitto saaaf kabiza ,, tumeona madiwan wa ccm na saiv stigrag .. Saf

    • @hudhud2022
      @hudhud2022 6 лет назад

      Heli Ernest Ndio upinzani unavyokuwa hawa wanajitahidi lile wengine jengine maandamano pia yana umuhimu wake kwa nchi zenye democrasia ya kweli Uingereza juzi waliandamana kupinga Serikali yao wasende vitani Syria hawakuguguswa hata na nzi askari hata silaha hawana ndio kwanza wanawaelekeza watu njia ya kupita kwanini kwetu yazuiliwe

    • @absyabdallah1873
      @absyabdallah1873 6 лет назад

      Mandamano pembeni, magufuli kashatoa amri huyu akamatwe

    • @daudijohn9007
      @daudijohn9007 6 лет назад

      Heli Ernest

    • @nurumohamedi9972
      @nurumohamedi9972 5 лет назад

      Pole kaka keke za chura hazimzuii fisi kunywa maji zito na kelele zake ni bure tuu kamahakuna mabadiliko kwa wasioona shida za watu.

  • @yohanahaule1941
    @yohanahaule1941 6 лет назад +18

    Pesa hamna ninyi, mnakopa kimya kimya.... Haahaah tell em Zitto

  • @davidichambulia689
    @davidichambulia689 6 лет назад +3

    zitto maaskofu walishaona kitambo wanaojifanya wazalendo ndio wezi Mungu amemuumba

  • @raymondmunis3553
    @raymondmunis3553 4 года назад

    Dah ingekuwa chaguzi ziko huru huyu jamaa anatufaa sana

  • @napendamazoezi446
    @napendamazoezi446 4 года назад

    Mazwazwa ndani ya bunge kazi yao taarifa tuu

  • @FrancisAMligo
    @FrancisAMligo 5 лет назад

    Kwenye mambo ya maendeleo ya nchi vyama vingine kwa kutumia viongozi wao.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад

    Pesa ipo .... Kusema pesa hakuna huo NI ukiki au ugonjwa wa maisha ..... serikali hii pesa sio kitu chakuuliza.....ipo . Chamsingi acha tuone mradi utasimama au utaanguka . Otherwise tunaenda ktk uchaguzi , wakuanza kuaga viti anzeni kuviaga mapema TU kiroho Safi maana Kama pesa za vikao Kama mlinywea ugimbi basi turudi kwenye udalali wa vyumba mitaani

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 6 лет назад +1

    "MNAFANYA SIASA, ILA UKWELI MNAUJUA" Duh #ZITTO ANAJUA KUWAKABA KOO.. #CAG

  • @jafariakili8762
    @jafariakili8762 5 лет назад

    Mh!

  • @hollokubu118
    @hollokubu118 4 года назад

    Kwel

  • @donaldnelson9226
    @donaldnelson9226 6 лет назад +12

    Hawana hela hao siasa tu hizo.

  • @chazylben7711
    @chazylben7711 6 лет назад

    Ila hawa jamaa wanaakir sana naona mungu anamakusudi kuwaweka upinzan

  • @damasioxygen8864
    @damasioxygen8864 9 месяцев назад

    Mlipinga ujenzi wa bwawa la Nyerere na la leo limejengwa

  • @danielpaul3901
    @danielpaul3901 4 года назад

    Jamaani ukweli utabakiya kuwa ukweli

  • @wapoteenmedia4862
    @wapoteenmedia4862 6 лет назад

    zitto ukitulia sehemu moja ni mtu mzuri sana ila wakati mwingine sijuh huwa unawehuka na nn

  • @maggiemamaafricaofficial7080
    @maggiemamaafricaofficial7080 4 года назад

    Miguna miguna wa Tanzania

  • @akidasalim9798
    @akidasalim9798 5 лет назад +1

    Hahahaaaa.eti wana pesa.maisha yamekuwa mkwamo mkubwa wastaafu hawapewi madai yao.

  • @mwebraniaonline7001
    @mwebraniaonline7001 4 года назад +1

    ZITO KWELIIII

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 6 лет назад +8

    Huyu Zito Kabwe ni tatizo kubwa!!! Loh!!!!

    • @chillumbadionice1370
      @chillumbadionice1370 6 лет назад +1

      Peter Bayo n kweli hao ccm ni watu wa kudanganyadanganya

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 6 лет назад

      Peter Bayo
      Yeah, nitatizo maana anasemaj UKWELI? Angekausha tu!

    • @charmerray8418
      @charmerray8418 6 лет назад

      Peter Bayo Tatizo nyie mnaokataa ukweli zito sio tobwe kama nyie mnojitia hamnazo na hilo zombie lenu Magufuri na Lukuvi na hivyo vyombo venu vya dola

    • @charmerray8418
      @charmerray8418 6 лет назад

      Toka rini ccm wakasema kweli

    • @rushtutrushtut9067
      @rushtutrushtut9067 6 лет назад

      Peter Bayo wewe ndio tatizo

  • @primordial10
    @primordial10 6 лет назад

    Asante zitto

  • @AhmedAli-qr9ug
    @AhmedAli-qr9ug 4 года назад

    Mudaaaa mudaaaaa mudaaaaa😂😂😂😂😂

  • @clt9914
    @clt9914 6 лет назад +5

    Zitto, Zitto! Hydro-power haitumii maji quantitatively. Hydro ni non-consumptive user wa maji. Hydro inachuma energy na kuacaha maji yaendelee. Jengeni argument zenye shule!

    • @jumajasjas2925
      @jumajasjas2925 6 лет назад +1

      CL T uo uchunguz umefanya ww kweny uo mrad au unakariri kila ktu hujui athari... ushaambiwa maj yamepungua unadhan ukiondoa izo lita zote kueka kweny bwawa la umeme utaathir shughul ngap za kibinadam.... Suala sio umeme suala n kufanya uchunguz kipind hiki na sio kufanya vtu kwa uchunguz wa enz za mwalim

    • @chrisselite
      @chrisselite 6 лет назад

      Maji ni limited resource au unlimited? Kwanza jibu hapo.
      Halafu umeambiwa toka 1974 mpaka leo kuna asilimia 40% zimepotea... Sijui mm sijasikia

    • @chrisselite
      @chrisselite 6 лет назад

      Halafu kwann mara gas, mara stigler ?

    • @salummakullah9031
      @salummakullah9031 6 лет назад

      Wewe ni mhandisi wa wapi? Umekalili si ndio ya kwenye vitabu eeeh??

    • @hamzaomar9731
      @hamzaomar9731 4 года назад

      Hhhhhh huyu nae kanichekesh , ukaseme nin ww mbele ya Kabwe , ijue nafas yko mda mwengine hhhhhhhh

  • @kabodasugwejo1487
    @kabodasugwejo1487 6 лет назад

    ushauri wangu wa Tangazo la hiyo app, mumelezea mtu download hiyo app, Lakin munapaswa kumwelekeza mtu sehemu ya kuingia na kupakua hiyo app, musiji elezee nyie, elezea user, wangapi wanajua google play store????? Onesha jinsi ya kuingia google play store na jinsi ya ku pakua

  • @samanyaswai6272
    @samanyaswai6272 3 года назад

    Wapinzani Tutawakumbuka sana

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 6 лет назад

    Zitto umewapatia sana hao maboya

  • @malekelachinyama9707
    @malekelachinyama9707 6 лет назад

    hii ni tanzania yetu

  • @fatumaomari72
    @fatumaomari72 6 лет назад

    Shikamooo zito

  • @davidichambulia689
    @davidichambulia689 6 лет назад

    Mungu amemuumbua

  • @allymohamed1563
    @allymohamed1563 4 года назад

    Yani wabunge wa CCM ndio wapinzani!

  • @danieliskander9680
    @danieliskander9680 6 лет назад

    Laiti Bunge lingekatazwa kuletaleta taarifa.

  • @njaunestory761
    @njaunestory761 6 лет назад

    Hahahhaahha serikali bana yaaaan kila kiongozi anajitamba ana hela alafu badae analalamika pesa ya miradi jimboni kwake haikuja kabisa wengine zilikuja kidogooo

  • @msingidamtz6680
    @msingidamtz6680 5 лет назад

    Tanzania kuna park nyingi sana hainasababu ya kuzuia chanzo cha umeme acheni kutumika

  • @wasafifanstv6317
    @wasafifanstv6317 6 лет назад +1

    Ni kweli bomba linatumika kwa 6% tu?

  • @batulemwamwaja6524
    @batulemwamwaja6524 6 лет назад

    Zitto wewe na Mimi ndio hazina ya nchi hii ya Tanzania

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 6 лет назад

    Hata kama watu hawatoi comments angalieni like ziko ngapi hii itatoa majibu

  • @abmeleckjuma8014
    @abmeleckjuma8014 6 лет назад +2

    Zitto hauko objective issue ni mradi ukamilike au kutokuwa na pesa na kama pesa hakuna tufanyaje?

    • @manonimshindikwa1974
      @manonimshindikwa1974 4 года назад

      Umesema Jambo kwel awe specific afu aseme kwa umoja Mana SS wote watanzania habar za kusema wanabomba inamaana anajiexclude

  • @husseinayoub6847
    @husseinayoub6847 5 лет назад +1

    zito kichwa chako kina charenge sana yan wanapaswa walau kuku pongeza

  • @kasmirilamiye6991
    @kasmirilamiye6991 6 лет назад +13

    ukiishiwa nondo nakuretea zingine chezea Zitto nondo

    • @happyfiverickaldo4662
      @happyfiverickaldo4662 5 лет назад

      Hatariiiii upinzani sihami Leo wala keshoooo

    • @jumanyangi4330
      @jumanyangi4330 5 лет назад

      tulia niwapige nondooooooooo nyinyi ccm hovyooooooooooo sana kazi kupiga makofiiiiii fyuuuuuuuuuuu

  • @eliamwakalong6160
    @eliamwakalong6160 6 лет назад +2

    Kwa nn awa viongozi wanaogopa kusema ukweli na pia wanachukia kuambiwa ukweli kwa namna hii tutapona vipi jaman

  • @petermatonya6890
    @petermatonya6890 4 года назад

    Kila siku sera ni zilezili, kujenga barabara, vituo vya afya, shule, maji, umeme, hizi sera zitatekelezwa lini? Jiulize ungekuwa unagombea nafasi ya uongozi ulaya au marekani ungeongea sera gani? mana kule hamna hizi sera.

  • @ernesthakihuinuataifa641
    @ernesthakihuinuataifa641 6 лет назад +5

    Kama zipo hizo pesa ajira tafadhali tunahitaji.

  • @iddiaman6418
    @iddiaman6418 6 лет назад

    Safi zito unasema kweli wahusika wamemute hahaha

  • @antipaschaulo87
    @antipaschaulo87 4 года назад

    What happened to Mbowe yesterday at hos home must be s lesson to other multipulating and fake Politicians like Kabwe and Others

  • @chumizola1847
    @chumizola1847 5 лет назад

    Uyo si ndio aliyempemsafirisha mke wake USA kwa ajili ya kujifungua ( tz hakuna hospitali ya maana, hakuna umeme) na hakutoa taarifa ya kutokuudhulia vipindi vya bunge?

  • @mohamednassorkisome1216
    @mohamednassorkisome1216 4 года назад

    Kama wangekua na hela wasingezuia hela za majanga mhh

  • @freddy-zanzibar443
    @freddy-zanzibar443 23 дня назад

    Watoto wenu wanasoma kwenye hizo shule mnazo zijenga huko kwenye national received?pumbavu kumbe enheeee!!!!

  • @iddymatata2202
    @iddymatata2202 6 лет назад

    Huku private sector usipofanya tathimini za adhari ya mazingira .....utaishia kulipa faini ...serikali yetu inatakiwa kuwa mfano kwanza