Zitto Kabwe, Bashe 'WALIPUKA' Bungeni "Huo ni Uongo"
HTML-код
- Опубликовано: 29 янв 2019
- Zitto Kabwe, Bashe 'WALIPUKA' Bungeni "Huo ni Uongo"
Muswada wa mabadiliko madogo ya sheria ya vyama vya siasa umezidi kuibua gumzo Bungeni na kusababisha vuta nikuvute baina ya wabunge na mwanasheria Mkuu wa serikali.
#BungeniDodoma
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Kama unamkubali hussen bashe na zitto kabwe acha majungu gonga Like yako hapa please
Bashe na Zitto mpo vizuri sana
Huyu mbunge bashe bunge la mbunge. Gonga like kama vip?
Mh.Bashe siyo Zwazwa
Kumbe ubabe ubabe nDuGaI mbabe sana
Sex video
Ccm na utawala wake wanazingua
,k,,,,,,,,,$$$$%,,$%%%%%,,,,,,,,,,,,,%,%%%%%,*,,,,,,,%&%%%%,,,,'',_,,,%_&&&_,
Bttr
Bashe nakukubali sana
Mh.Bashe asante sana Mungu akupe afya njema.kwa kuwa hujasimama kwenye chama bali kwenye haki.
Mimi Bashe mara nyingi huwa namkubali sana.Hana ujinga wa kuunga mkono tu,kwa kuwa yeye ni mwana ccm.
Kwa mtindo huu Mungu alibariki Bunge hili
MHE Upendo peneza you never ever disappoint , ndio nitakuunga mkono na kukupenda daima, barikiwe sana mhe upendo, mhe zitto, mhe bashe, mungu awape maisha marefu
Mh Upendo huko vizuri
Democracy tulikupenda sana kwa maslahi ya mama yetu Tanzania.
Kwaheri Democracy, kapumzike kwa amani.
Pole sana Tanzania yangu.
Kamboa Rheritage dah we acha tu ndugu yangu
Democracy uliwahi kuwa hai Tanzania?Kama nindio basi ulale mahala pema.
Pole nchi yangu
Bashe unastahili kuwa Rais miaka ijayo endelea kuwa hivyo usibadilike kaka!
Hii inaitwa wataka ndiyo hivyo hutaki ndiyo hivyo kiukweli mungu anaona wanacho fanya chama chakijani zito na wakina mdee msikate tamaa pamoja na kurudishwa nyuma ipo siku tutafika2
Kuna watu kazi kugonga meza tu. Na ndio. Kumbuken kiapo cheno huwa mnashika vitabu vya mungu. Dunian tunapita. tendeni haki na atawasaidia.
Wabunge wa ccm wanatudharirisha Sana watanzania.
Bashe upo vizuri sana we nimkweli
Kumbe CAG alikua sahihi kabisa hakuna kitu kwenye bunge
Huyu wazir ni kiburi Sana anifurahisha Sana nafsi yake bila kujali nafsi za wengine tukumbuke kila kitu kina mwisho tumuuombe mungu atupe muda wakutubu, hata muasisi wa bao la mkono nae anateseka kwa alichokitengeneza
NA nnawaambieni CCM, mkitaka kupita kihalali bila kuchakachua kama kawaida yenu na mpate kura za Halali ata za Wapinzani bac Mpeni dhamana MH BASHE agombee urais TUTAMPA
Duh, yaani kifungu kinapitishwa kingunguvu huku wengine bado wana hoja za kusema! Hatari sana huko mbele!
We endelea soma tu, daaa km umesikia spika anatumia nguvu na uwing wa ccm gonga like
Hivi kweli Job Ndungai kwa misimamo yake hii kama Spika,hili Bunge ni la hovyo na halina msaada wowote kwa Watanzania.
...NO LONGER DEMOCRACY...
All the best my brother Bashe, may God of the heaven bless you.
Ukweli ukopalepale bashe na. Zito niwa nasiasa bora sanaaaa
Bashe yupo sawa
Bashe ni mpenda haki kama wapinzani hamuwaelewi tu, ndio maana Bashe alishatishiwa kuuawa utasema mm mchochezi. Tuondoe tofauti zetu za kivyama ili kila mtu aishi kwa amani na upendo.
Bashe ni mbunge na hakuingia bungeni bahati mbaya
Zitto is very smart, very understandable, very clear huyu jamaa hayupo kwenye mihemko ndio maana hoja zake huwa zina mashiko sana. Bravo to Zitto & Bashe
Nawasikia tuu hapa wa ndiyo Mzee WABUNGE WA CCM BANA!
Nyie tumieni wingi wenu ila ipo cku2 shilingi itageuka2
et xema nimekuona huyu xpika jeur kwel daaah aixee maamuz ya kibab utake uxtak ndo lixha pita hilo
True duu my Tanzania ...where is it heading mweeeee ...yaani wabunge wanalinda matumbo Yao not Tz people but one day they will learn the hard way
Katika Mawaziri ambao huwa siwaelewi ni huyu Mama Jenister Mhagama,huwa namuona kama anafanyaga mambo ya Kusadikika.M/Mungu atulinde sisi Wanyonge wa nchi hii.
Mungu atusaidie.
Jenister nakuchukia nashangaa hujafukuzwa ulivyong'ang'ania kikokotoo kipya we upo
Flora Meza uyu demu me namini anatombana na magufuli amini kaka
@@foxstreet8458 huko ciko kaka
Flora Meza chakula hiyo
Huyu mama ni mnafiki mkubwa sana, tena ni bonge la zwazwa
@@florameza9529
Mwambie huyo au anataka ashikwe ili apate kiki nae ajulikane km yupo
Yaani uyu mwagama namchukia sana
hunishind
najuta kuwa mtu wa hii nchi viongoz wanajifanya awajui kumbe wanaelewa munaboa sis ndo tumewafanya muwe hapo
Haya mambo mnayoyafanya leo ni majuto kwa watoto na wajukuu wenu. Leo hamwezi kuelewa vizuri wakati ukifika mtaelewa tu.
Du selekari ye2 badoshida !!
Hongereni sana serikali na bunge kwa mabavu
Hapa ndipo watanzania tujuwe cag akusema uwongo kuhusu bunge dhaifu akusema Angelina watu wanavyitaka kupitisha sheria mbovu kwa ubabe na kuwabana wabunge
Bashe ninakuombea kheli zaidi. Allah akuongezee ukweli.
Maoni na makubaliano ni vitu viwili tofauti mawaziri msitudanganye
Kichefuchefu kweeli, noooma kweli
Hivi watz mnajielewa kweli mkipewa nafasi ya uchaguzi mnachagua msiowapenda badaye mnaanza kulalamika,it was your uzembe jipangeni upya2020 .
Maoni ya kamati ya bunge ni maoni ya wananchi na maoni ya serikali ni maoni ya watawala.
SPIKA WA BUNGE NI OVYO KABISA NI MBOVU KUPINDUKIA UNATAMANI UMTUKANE WE WILL HOLD YOU RESPONSIBLE FOR WHAT EVER HAPPEN IN THE FUTURE IN THIS COUNTRY GHOSSH ,GOD HELP TANZANIA .
kama wa bunge ccm waliweza kupitisha kikokotoo cha kuwa nyonya wafanyakazi wastafu wata shindwa vipi kupitisha sheliya ya kuwakandaniza wapinzani nchini Tanzania
Huyu lukuvi Huenda akawa mchawi 😏😏😎
Ndiyooooo kesho kutwa majuto
Bunge hili khaaaaa....nisipoteze mda na MB zangu bure....
Kwel hamna Bunge
bunge la tz ni zaifu mkatae mkubali bunge ra ndio
duuuh aiseee hii nchii hii wa bunge wa ccm ni tatizo
hili kweli si bunge,ni genge la waliowengi kufanya uamuži
Wabunge wa ccm hawasomi wao nikuunga mkono tu
duuh kweli kazi ipo
Yes
Ivi ni lini watanzania tutajuwa kama hii nchi sio ya ccm wenzenu wanapigania maslahi binafsi sio ya taifa...is the shame
Mpaka mama yako atowe uloda kwa watanzania hote
spicka sio uchama sana mngu tumbo
spika sio
@@jimmynassa3439 behave your self fake ass...pussy bway the way you talk about your straight plonk
It's the shame CCM hawako for wananchi
Bunge dhaifu sana
Wapinzani pambaneni am sure one day mtafanikiwa,,,
Kazi kuitikia ndiooo nyoko nyieee 😏😎
hivi nikiwatukana hawa wa ccm na huyu A G, naweza kujitetea kuwa ilikuwa typing error? sija muhusisha Bashe.
ndioooooo ndio jadi
Bashe n mbunge kweli
So painful 😥 wallah just a guy controlling the parliament...look my view consider the side effect too ....Ccm Mungu Anawaona
Kweli ubabe upo, ila ukweli wa haya yote tusubiri tutaona
uwanja wa Tundu huu,duuuuuhhhhhhh,
Hilo ni bunge la ndio
Ata kama kinawaumiza atawenyewe
Daaaah aisee TANZANIA nchi yangu😢😢😢😢
Huyu mwanamama anamaliza bando langu
Mungu tusaidie bunge lijalo lisiwe la ccm peke yao maana cjui itakuaje
bashe wew kiboko ,na zito kabwe
pitisha tu achana nao sauti ya spika kweli nchi yetu inamalizwa
Wananchi wenzangu wapinzani wawe wafaa au hawafai mi naona ni Bora tuwachague kwa wingi wakapambane kwa wingi wa idadi na huyo wazir muhagama zaidi ya uzr wa sura sijahi skia Cha maana kutoka kwake
Huyu Mchengelwa duuuuh hahahaha ......Rufiji mnayo kazi...
mama yetu unatuuza hujui tuu
Yaaan mnapitishaa mambo kama mnataka sijui kukimbilia wapii mkiitwa dhaifu mnakataa
Serikali imekuwa kiburi". Mwisho wa kunukuu
i like Mdee how is acting mengine hapo yanasinzia tu
Ninadra sana inchi zetu za Afrika wa bunge pande zote kusimamia haki- Mfano hapa marekani hailishi tunatuko chama moja wanapigana kutokana na mswaada na oja zao na zaidi sana kupigania masalia yao Jimbo ao mkoa wanapotoka.
Huwa napenda bunge ktk kutunga sheria the parliament is so hot
Ccm bwana kila kitu ndiooooo
basheeeeeeeeee
wanaboa sana nyinyi
majitu yapo kwaajili ya matumbo yaooo
Hili Bunge likiendelea kung'ang'ania Uchama badala ya hoja basi hatutafika popote
wengi wanaosema ndio utakuta hata hiyo report hawajaisoma.
hakuna bunge hapo
4sure
😂😂😂😂
hahahaaa kusoma ni kipaji mkuu sio kila mtu anacho
AG my God!!
"we endelea taja tu"
Hawa ccm sijuwi vipi? Mbona mnatuludisha nyuma wananchi.kaeni huko uko Bungeni msije majimboni.tutawazomea.mnatuwangusha..
Huyo AG,anabahati,angekuwepo leo shilingi ingesimamaa
Inashangaza!
C A G, C A G, C A G oyeeeee
Mikono juuuu mwendo wa Matrkda mikono juuuuu
Kwa heli demcras tz
Kweli spika anaburuza bunge ebu angalia anavo mforce mwenyekiti eti ww tajatu
Ubabe huu jamn tutafika kweli...... Hahaahaaaaa kweli Tz ya magufuriii
Ciyo wanadai mbona bashe kaeleza jamani leo mna vyeo kesho hamna munayopitisha ciyo yenu
ila Daaaah...haya bna ndo ivo tena
Ndugai
Uwiiiii
Dawa yenu mnatunga masheria yenu mkizingua nikuweka ndani wote
Hichi kinachoendelea Kwa wabunge wa ccm ni kichefchef lakini sisi tunaowachagua ndo wajinga
Yan hili bunge kila kitu ndiooo, Hii hatari sanaa uko baadae
Kwaheri Democracy, kwaheri Uhuru wa kuongea.
mabunge ya afrika ni ya kishetani zitto waache rudi nyumbani ipo siku parapanda italia
Ila huyu Ndugai historia itamkumbuka
Yaani ndio ndio ndio kila kitu hii nchi balaa