Zitto Kabwe Ang'atuka ACT Wazalendo I Ni Vigumu Kutoa Maoni Kwenye Vyama Vingine I Waulizeni...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 мар 2024
  • #CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya kipindi cha #PowerBreakfast na Kiongozi kutoka chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe
  • СпортСпорт

Комментарии • 81

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744 3 месяца назад +3

    Kwa kweli hichi ndio chama na zito ni kiongozi best msomi na ni mwenye hekima

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 3 месяца назад +2

    Ahsante Mwami na ACT, hakika hiki ni Chama Kiongozi kwa sasa Tanzania

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад +1

    Ktk upinzani kwa taifa letu tuangalie sana. Mtu sio chama tuu unaweza kuwa na chama na sera nzuri mwana siasa mbovu ktk chama tumeona Hilo ktk vyana vingi wengine ni matapeli ktk vyana mfano zito kabwe sio matiriol sana ktk uongozi

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 3 месяца назад +3

    ACT mnakomaa kidemokrasia, kubadilisha Uongozi ni Jambo jema,,,CUF, CHADEMA, SIPUNDA, n.k , toeni vibanzi.

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3k 2 месяца назад

    Kiongozi wangu pendwa,kwenye chama changu pendwa,na ndani ya inchi yangu pendwa.

  • @DionisMalila
    @DionisMalila 2 месяца назад

    Zitto ni kiongoz makini

  • @chemstry409
    @chemstry409 3 месяца назад +1

    DJ yeye hataki kuondoka....kang'ang'ania...😂😂😂

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up 3 месяца назад

    Nyie ACT mnaweza kibadilishana uongozi ksb humwindwi ..,....CCM B

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 3 месяца назад

    Huwezi kubadirisha kamanda wa vita katikati yavita ebufatilia vizuri duniani ushahidi haufichiki mandela , HH wazambia, laila wakenya,n,k kwahiyo act inaigiza hawako siliasi

  • @sadhamis5463
    @sadhamis5463 3 месяца назад +2

    Mbona amuulizi hiyo kiongozi wa chama maana yake ni nini aiwezikani hawe kiongozi wa chama wakati anakwepa neno la kiongozi wa juu wa chama.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 3 месяца назад

      Kiongozi wa chama ni taasisi ambayo itakuwa ikimmulika Rais, ili kuepuka kumpigia makofi Rais hali kwamba anaharibu. Ni mfumo bora kabisa kama utatekelezwa kama ulivyo. Hata nchi kama USA inaongozwa kukiwa na ranking members, kumsimamia Rais.

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 3 месяца назад +1

    Salaam nyingi reporter

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 3 месяца назад

    Zitto aliigiza kile kinachoendelea Iran ambapo kuna ayattollah kama kiongozi mkuu na rais kama kingozi wa serikali. Kimsingi, chama cha kidemokrasia hakihitaji kiongozi mkuu wala nini. Ni mfumo wa kihuni tu wa kujitafutia riziki. Kwa wanaofahamu jinsi ACT ilivyogeuka CUF pale Lipumba alipomtimua marehemu Seif Sharif Hamad aliyedhani angemtumia, wakaamua kujiuza kwa CUF.

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 3 месяца назад

    Mheshimiwa Zito wewe umebobea kwenye siasa. Napenda mtazamo mpana.

  • @user-cp1pu4ev8h
    @user-cp1pu4ev8h 3 месяца назад +1

    Zito kabwe ni SawA na waziri mkuu wanafiki hao

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 3 месяца назад +2

    Zitto una haki.uachie ngazi kwa mujibu wa hali.ya chama.chenu, ukweli kiko.hoi.mno. Tunapoambiwa ni CCM B, ni kweli maana mina ndoa na CCM huko Zanzibar. Achia ngazi wengine wakinyooshe.

  • @omarali797
    @omarali797 3 месяца назад +1

    Neno kung'atuka lilikuwa kama jipya pale lilipotumika kwa Mwalimu Nyerere pale alipo kangutuka rasmi na siasa. Zitto bado ni mwanasiasa na anatarajia kugombania Ubunge,

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 3 месяца назад

      Sasa tatizo liko wapi sio anang'atuka hapana katiba yetu iko ivo

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 3 месяца назад

    Siasa bwana

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад +2

    ACT hakuna chama hapo

  • @marthalazaro9739
    @marthalazaro9739 3 месяца назад

    Hahahaaaa janja ya nyani. Mwenyekiti wa Chama anatakiwa awe imara. Asiyeyumbishwa. Chadema msidanganyije

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 3 месяца назад

    Acheni kumuingilia wakati anafafanua mliyomuuliza

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад +3

    Wenzake walitudanganya wanavuana magamba walishindwa

  • @jilalafumbokisabo3633
    @jilalafumbokisabo3633 3 месяца назад

    Hata kwenye ubunge kuwe na ukomo wa awam 2

  • @glassamo3847
    @glassamo3847 3 месяца назад +1

    Mbona maswali ya waandishi n ya kawaida sana

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 3 месяца назад

    Kibaraka huyuuu

  • @khamismakame
    @khamismakame 3 месяца назад +2

    Freeman mbowe jifunze kwa Zitto kabwe kuhusu Siasa na uongozi Miaka yote Hutaki kuacha nafasi ya mwenyekiti Kama chama chadema umeinunua😊

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 3 месяца назад +2

      Ajifunze nini kutoka Zitto?

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 3 месяца назад +2

      Hahahahaha
      Mbowe ana uwezo mkubwa hakuna atakaeweza kuvaa viatu vyake

    • @piusjoachim5843
      @piusjoachim5843 3 месяца назад +2

      Kwanini mbowe na sio Lipumba?

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 3 месяца назад

      @@ramadhanimtetu3656 Hawa watu ni wa ajabu sana,wanataka waivuruge Chadema kwa kuwatumia hawa wapumbavu na wajinga akina Zitto na ajabu nyingine ya hawa wajinga ni kwa nini hawaisemi CCM imeitawala nchi hii saa ni miaka 63,hawasemi waachie nchi kwa Chama kingine,wao hilo hawalioni,wanaona ya Mbowe na Chadema tu,Mbowe ni Kamanda na ataendelea kuwa Mwenyekiti wetu.Mteseke tu na hao mamluki wenu.

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 3 месяца назад

      @@piusjoachim5843 Tunawashangaa hawa wapumbavu,wanamshupalia Mbowe tu,CCM inaendelea kututawala bila ridhaa yetu,miaka na miaka

  • @user-mr8vl9cy8i
    @user-mr8vl9cy8i 3 месяца назад

    Zito anafaa kuongoza mfano mnzuri, wengine je?

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 3 месяца назад

    Mbowe hangatuki ngooo

  • @StadiusJustus-ck8xi
    @StadiusJustus-ck8xi 3 месяца назад +1

    Mh zitto nikiongozi harafu msomi na masuala ya uongozi amebobea na nimwana siasa mzuri mnoo

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 3 месяца назад +1

    Nasubiria nani atakuwa mshindi kati ya Babu Duni na Othman Masoud 😅😅😅

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 3 месяца назад

    Haya yote ya kiongozi wa chama na mwenyekiti wa chama zilikuwa mbinu za Zitto asipate upinzani ndani ya chama...awe kama Mao wa China enzi zake au awe kama Nyerere wakati wa Zidumu Fikira za Mwenyekiti!!

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 3 месяца назад

      😅😅😅😅

  • @chemstry409
    @chemstry409 3 месяца назад

    Mbona kule Mwenyekiti wao wakudumu?? 😂😂😂

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад +1

    Hiki chama siku kule Zanzibar wakitoka ACT na kuunda chama chao ndio kitakuwa kimekufa rasmi.

    • @HafidhKhamis-ph8qg
      @HafidhKhamis-ph8qg 3 месяца назад

      Waweza kufa wewe lkn iki chama kitaendelea km vile ccm wanavokufa viongoz wake chama kpo

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 3 месяца назад

    ACT kwa hawa maswaiba wa ccm kwani ni chama cha upinzani no hapana Zanzibar kule wanagawana yule ng'ombe wa dhuruma au wanakula pamoja maswaiba hawaaa

  • @sadhamis5463
    @sadhamis5463 3 месяца назад

    ACT WAZALENDO mtuambie cheo cha ZITTO kilikuwa ni kipi maana hapo anasema ni KIONGOZI WA CHAMA je akiwa na maana gani wakati viongozi wengine pale ACT WAZALENDO wanavyeo vyao kuna mwenyekiti makamu mwenyekiti katibu mkuu na naibu katibu unashuka hadi chini hadi wajumbe wapo sasa atuambie CHEO CHAKE KILIKUWA KIPI PALE ACT WAZALENDO

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 3 месяца назад

      Ukielewa hiyo dhana utaona kuwa mfumo huo ni wa kisasa na ni bora kabisa. Kwa sababu hicho cheo ni taasisi inayowamulika viongozi wa Serikali yao chama kikiwa Madarakani. Kwenye CCM na vyama vingine Rais hutaweza kumgusa.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 3 месяца назад

    Kuna mtu mmoja alikuwa chawa wa ccm. Waznz hawakopeshi hawadanganyiki

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 3 месяца назад

      Zito ulimupoza Maalimu Seif we loved him so much. Shame on you Zito

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 месяца назад

    Sasa mtizameni lipumba yuko wapi respect aliyokuwa nao alipokuwa cuf ile ya malim na sasa ni ziro hata chadema ni bara tuznz act sasa huo mtihani

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 3 месяца назад

    Tangu lini muha akawa na msimamo ? Kabouru.akina sanzugwako.Yaperi style

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 3 месяца назад

    Kan'gatuka au kabaguliwa sasa hv ni wao kwa wao Duni vs Omo mwingine aliachiwa wosia na Seif kuhusu chama mwingine ni msomi wanadai ndo hitajio la siasa za sasa hv uzuri hapo hakuna cha Tanganyika ni wao kwa wao

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s 3 месяца назад +1

    Kwahiyo ata kutumika na CCM umeng'atuka?maana wewe nimoja wa wakwamishaji demokrasia pamoja na lipumba

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 3 месяца назад

      Zitto anadhan watanzania ni wajinga tunajua mbinu yake

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 3 месяца назад

    Huyu nae ni Chizi tuuu kama wale machizi wa Chadema tuuuu munapandikiza wanachama wa Ccm kuwaongoza nyie wanachama pinzani hamna kitu munaropoka tuu, Membe, Lowasa, Sunaye na Samfarii mutamchukua Makonda😂😂😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 месяца назад

    Hichi chama kinawatu znz na watu wenyewe ndo wale wqliokuwq cuf

  • @masterhptv4065
    @masterhptv4065 3 месяца назад

    Mhhh, sio changa la macho hilo😂😂😂😂 au anajiandaa kurudi bungeni 2025????

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад

    Kuna mtu ana itwa mkuchika muambie ahamie ACT

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад +1

    Mnafiki huyo

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 3 месяца назад +3

    Umeishiwa wewe maandalizi ya kurudi ccm

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 3 месяца назад +1

      Ni uamuzi wake na uhuru wake nani atasema nini

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 3 месяца назад

      Kwaiyo shutuma zako hazina nguvu pia ujue kua huyu sio mtu dhaif uyu ni zito

  • @user-du4wc7ui1k
    @user-du4wc7ui1k 3 месяца назад

    Bila zito hakuna Act zito ndiye mwenye uchungu na hicho chama wengine wanafuata mkumbo hata mambo ya chama yeye ndiye anaweza kuyahubiri

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 3 месяца назад +2

    Mwongo hajang'atuka huyo ila ni tekiniki na mbinu fulani za kfield mashall kwaajiri ya kukilaghai chama kilicho mfunua mpaka amefika hapo ili nawao wa mfuate ili kumwondoa mkongwe wa chama kilicho mfunua ,kwakuwa wakijani wanaumizwa sana na chama kilicho mfunua zito hivyo zito sijui dhamira yake lakini Wafuasi na viongozi wa chama mliye mfunua zito iweni makini maana huo ni mkakati mkubwa sana wa hadaa ya wakigoma huyo

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 3 месяца назад +1

      Mjinga peke yake ndo awez kujua kuwa zito sio mpinzan kwa sasa ni mchumia tumbo

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 3 месяца назад

      WEWE HUJIELEWI VYAMA VYOTE VYA SIASA NCHINI NI VYAMA VYA SEREKALI NA SEREKALI NDIYO WANANCHI
      ZITO KABWE KUTOKA KUWA MKUU WA CHAMA SIYO HIYARI YAKE NI KATIBA ALIYO ISAJILIYA HICHO CHAMA KWAMBA KIONGOZI YOYOTE KATIKA ACT MWISHO WA KIKOMO WA UWONGOZI NI MIHULA 2 NA KILA MUHULA KATIKA ACT WAZALENDO NI MIAKA 10 UKITIMIZA MIAKA HIYO UWONDOKE IWAPISHE WENGINE NA UZURI WA KATIBA YA ACT WAZALENDO UKIPEWA UANACHAMA LEO LEO LEO UNAHAKI YA KUGOMBANIA UWONGOZI KWAHIYO ZITO ZUBERI KABWE ANAGATUKA KWA MUJIBU WA KATIBA WALIYO ISAJILI HAKUNA JAMBO JENGINE KAMA UNAVYO FIKIRIA.

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 3 месяца назад

      Usidanganyike, wanasiasa wote ni wachumia tumbo. Huwezi kuendesha siasa ikiwa mtu tumbo lake tupu.
      Nilicheka nilipoona viomngozi wa CHADEMA takriba wote wamevimba matumbo.​@@user-ie2sr4fi4k

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 3 месяца назад +1

      Huyu muha muongo sana na munafiki

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 3 месяца назад

      ​@@user-ie2sr4fi4kwapinzani wote wachumia tumbo