Zitto Kabwe Kugombea Ubunge 2025 I Kigoma Mjini 🔥🔥

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 10

  • @benjaminbwami
    @benjaminbwami 11 месяцев назад +1

    Hongera kiongozi

  • @V24hrs
    @V24hrs 10 месяцев назад

    I love ACT WAZALENDO ❤❤❤

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 10 месяцев назад

    Ahsanteni ACT, hakika hiki ni Chama Kiongozi kwa sasa Tanzania, kinawapa nafasi vijana kuonesha vipaji vyao vya kiuongozi, sio wale wafuasi wa nyumbu wanaosifu na kuabudu mwamb awavush tu, na kuwaimbia nyimbo za mapambio wale wale siku zot, vijana wapya hawan chao ndani ya chama

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku1096 11 месяцев назад +1

    Kila la kheri Mhe. Zitto Kabwe. Nakutakia mafanikio katika future yako. Umetuendelezea Utamaduni wa Mwl Nyerere wa Kung'atuka. Wachache sana wanawaza jambo kama hilo. Historia itakuzawadia kwa uwamuzi huo. Tuache taasisi zijiendeshe kwa kanuni na taratibu. Big up sana

  • @SethMwakangata
    @SethMwakangata 11 месяцев назад +1

    ZITTO unafaa kuigwa

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 10 месяцев назад

    Kafulia ndio maana kaachia uenyekiti ili apate nafasi ya kugombea ubunge. Maana uraisi hatoboi. Bora a gamble kwenye ubunge. Huyu jamaa ni ccm b navyomuona....

  • @pilatoyuda
    @pilatoyuda 11 месяцев назад +1

    huyu ana gombea urais

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 10 месяцев назад

    Zito kabwe is the feliyer politician even to b mp feliyer has got no capacity of building lmotion much of tanzanian people same time crush is own lmotion this is what drop zito kabwe on popularity in politics ndio mwisho wa zito kabwe kamalizwa na chama tawala taratibu

  • @castromemba6311
    @castromemba6311 11 месяцев назад +2

    Sipendi kumsikiliza huyu jamaa anaua nguvu za vyama.