Ahsanteni ACT, hakika hiki ni Chama Kiongozi kwa sasa Tanzania, kinawapa nafasi vijana kuonesha vipaji vyao vya kiuongozi, sio wale wafuasi wa nyumbu wanaosifu na kuabudu mwamb awavush tu, na kuwaimbia nyimbo za mapambio wale wale siku zot, vijana wapya hawan chao ndani ya chama
Kila la kheri Mhe. Zitto Kabwe. Nakutakia mafanikio katika future yako. Umetuendelezea Utamaduni wa Mwl Nyerere wa Kung'atuka. Wachache sana wanawaza jambo kama hilo. Historia itakuzawadia kwa uwamuzi huo. Tuache taasisi zijiendeshe kwa kanuni na taratibu. Big up sana
Kafulia ndio maana kaachia uenyekiti ili apate nafasi ya kugombea ubunge. Maana uraisi hatoboi. Bora a gamble kwenye ubunge. Huyu jamaa ni ccm b navyomuona....
Zito kabwe is the feliyer politician even to b mp feliyer has got no capacity of building lmotion much of tanzanian people same time crush is own lmotion this is what drop zito kabwe on popularity in politics ndio mwisho wa zito kabwe kamalizwa na chama tawala taratibu
Hongera kiongozi
I love ACT WAZALENDO ❤❤❤
Ahsanteni ACT, hakika hiki ni Chama Kiongozi kwa sasa Tanzania, kinawapa nafasi vijana kuonesha vipaji vyao vya kiuongozi, sio wale wafuasi wa nyumbu wanaosifu na kuabudu mwamb awavush tu, na kuwaimbia nyimbo za mapambio wale wale siku zot, vijana wapya hawan chao ndani ya chama
Kila la kheri Mhe. Zitto Kabwe. Nakutakia mafanikio katika future yako. Umetuendelezea Utamaduni wa Mwl Nyerere wa Kung'atuka. Wachache sana wanawaza jambo kama hilo. Historia itakuzawadia kwa uwamuzi huo. Tuache taasisi zijiendeshe kwa kanuni na taratibu. Big up sana
ZITTO unafaa kuigwa
Kafulia ndio maana kaachia uenyekiti ili apate nafasi ya kugombea ubunge. Maana uraisi hatoboi. Bora a gamble kwenye ubunge. Huyu jamaa ni ccm b navyomuona....
huyu ana gombea urais
Zito kabwe is the feliyer politician even to b mp feliyer has got no capacity of building lmotion much of tanzanian people same time crush is own lmotion this is what drop zito kabwe on popularity in politics ndio mwisho wa zito kabwe kamalizwa na chama tawala taratibu
Sipendi kumsikiliza huyu jamaa anaua nguvu za vyama.
Kabisaa sijui Tiss?