Tundu Lissu, Zitto Kabwe Wagusa Panapouma | Washusha Hoja Nzito Mabadiliko Tume ya Taifa Uchaguzi..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2024
  • Taarifa ya kubadilisha jina la 'Tume ya Taifa ya Uchaguzi' kuwa 'Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi", imepenya kila kona na kila mdau amekuwa na mtazamo wake kwenye mabvadiliko hayo.
    Kwenye #powerbreakfast April 12,2024, Huyu hapa Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA na Zitto Kabwe Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT.

Комментарии • 215

  • @Entertainment-hg4ms
    @Entertainment-hg4ms Месяц назад +6

    Hotuba za Tundu Lissu(The Law giver) zitakuja sikilizwa na vizazi na vizazi.
    We are taking for granted ya huyu kiumbe .
    He is very exceptional

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 2 месяца назад +29

    Tundu lissu super brother

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 2 месяца назад +33

    Na ieleweke wazi kuwa Raisi huyuhuyu ni kiongozi wa chama na ni mgombea uraisi. Conflict of interests. Hakuna uhuru hapa. Ni uhuru bandia au karatasi tu, haukupi nguvu yoyote kama Mtanzania. Inaipa CCM nguvu zote na haki zote. Ni upendeleo na ubinafsi bila kujali haki wala sheria Za chama vingi. Ni dictatorship inayobarikiwa na wana CCM na kuwadharau sana wananchi. Wananchi wanadai katiba mpya ili iondoe huu uchafu. Ndipo Tume huru itathaminika na hawa wana CCM.
    Tundu Lisu, uko sahihi kabisa kisheria.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 месяца назад

      Kwa maelezo yako tatizo sio Katiba ni UKATIBA. Ni kweli 99% Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi (SIO TUME) wanaipendelea CCM lakini sio Kikatiba. Katiba yetu ipo vizuri sana tatizo HAIHESHIMIWI na wakati mwingi HAITEKELEZWI. Sasa hii KATIBA MPYA bila Watanzania kuwa na UKATIBA ni bure.

    • @user-lm3lt7xx6l
      @user-lm3lt7xx6l Месяц назад

      FACT

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 6 дней назад

      Katiba natume ya uchagu wajumbe vyote watokane na vyama vyote vyenye nia ya kugombea na siyo chama kimoja kinachoona che kinataka kiendelee kutawala hasa sisi wana CCM tumeshajenga ubinafsi tume waajiriwe na vyama vyote vyenye wawakilishi katika serikali na nafasi mbalimbali kuitlpia vyama vyao na siyo wateule wa RAIS hakuna mwajiriwa anaekaidi maagizo ya aliyemteua haitatokea kama ni usaili uusaili ufanywe na wajumbe wa vyana vyote ili kuwapata watumishi watumishi wa na bungebajelbaji na isiingiliwe ipitishe tume😅 wataheshimu watu na siyo MTU mmoja amba ni rais ambae ambae amechachaguliwa na wanachi kama wagombea wengine amambao wamechaguliwa na wananchi wananchi waendelee kuajili tume kupitia wananchi kupitia wajumbe kutokana nao

  • @davidsilwamba2465
    @davidsilwamba2465 2 месяца назад +14

    Be blessed my Excellency honourable tundu lisu the great thinker.

    • @khalfannahayimbekwa1440
      @khalfannahayimbekwa1440 2 месяца назад

      Wengine hatukuelewi Tangazeni Lugha yetu ya Taifa kiswahili .tuwatendee haki wananchi wetu waliowengi.tunafahamiana .

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 2 месяца назад +11

    Hakika Mungu akuzidishie maisha na afya njema mh. Tundu

    • @SalvaJoseph-lq8tq
      @SalvaJoseph-lq8tq Месяц назад

      Napenda hoja zenu waandishi wawe hata vijijini kwetu yako mambo mengi yana tuumiza kama hayo Mmsera Kati

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 2 месяца назад +28

    Ndomaana lisu Hatakiwi Kuishi Yani Nizaidi Ya mwalilimu Ata Mbumbu Anaerewa Nondo za Lisu

  • @PolycarpMassawe
    @PolycarpMassawe 2 месяца назад +21

    Respect brother tundu lissu

  • @edesaron9070
    @edesaron9070 2 месяца назад +16

    Mwamba lissu💪

  • @lorelore2930
    @lorelore2930 2 месяца назад +12

    Yaan to be honest napenda sana kumsikiliza lissu wallah, yaan anajua sana kuongelea huyo jamaa kweli ni mwanasheria namba moja tanzania hakuna ubishi

  • @danielkagola6332
    @danielkagola6332 2 месяца назад +6

    Mungu akupe umri mrefu Lissu

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr 2 месяца назад +12

    Huyu tundu lisu nizaid yamkombozi wa nchi hii tumuunge mkono kwakila mwenye akili timamu,na mzalendo wa kweli

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 2 месяца назад +3

      Hakika ndugu umeongea ukweli, kila mtu mwenye akili timamu atamuunga mkono Tundulissu. Lakini kama mtu hana uelewa au ni chawa mnufaika na mfumo wa kifisadi wa ccm hawezi kumkubali huyu mwamba. Ni jambo la wananchi tuamke tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na tumkatae shetani ccm na wafuasi wake wote uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, madiwani, wabunge na Rais.

  • @JoshuaMutinda-fb4fu
    @JoshuaMutinda-fb4fu 2 месяца назад +9

    Baba w taifa lisu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад +7

    Lisu hakili nyingi

  • @charlespeter560
    @charlespeter560 2 месяца назад +4

    Changamoto ya Zitto ni undumilakuwili. Hivi kweli kuna mpinzani yeyote aliyewahi kutangazwa kirahisi rahisi? labda yeye peke yake. Inabidi tukubaliane kwa upamoja, tuna changamoto kubwa sana kwenye Tume yetu na kuirekebisha ni jukumu letu sote. Tusilete usanii usanii.
    Tunapokuwa na mamalka ya uteuzi na usimamiaji wa uchaguzi iliyo fair na HURU, inapelekea kuwa na viongozi sahihi ambao jamii husika inawahitaji, na ndio chanzo muhimu cha maendeleo kwa jamii husika.
    Huwezi ukapandikiza viongozi kwenye jamii ukategemea kutakuwa na harmony kati ya jamii na huyo/ hao kiongozi. Inakuwa kama kujenga Mnara wa babeli na ndio moja ya vyonzo vya kutokuwa na maendeleo katika jamii zetu.
    Jamani, Tanzania ni yetu sote, Tunapokuwa na Tume imara na iliyo HURU kweli, ni faida kwa Watanzania wote. Sio Watawala sio wapinzani, ni watanzania wote.

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 месяца назад +4

    Lissu ni Mtu moja safi tuu ila kwakuwa ni Yuko upande wa pili ndio maana watu wanajilazimisha kutomwelewa lakini wakikaa chemba wanajisemea yule bwana ni Mtu.

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 2 месяца назад +9

    Lissu anajitaidi kutuamsha

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 месяца назад

      Huyu ndugu yetu nakuelewa sana . Kifupi yuko vizuri sana.

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o 2 месяца назад +10

    Kilichobadilika hapo Ni jina

  • @PhilipoMwita-ge2oj
    @PhilipoMwita-ge2oj 2 месяца назад +13

    Chama pekee Cha upinzani ni chadema tu
    Hivi vyama vingine hakuna kitu
    Unakuaje chama chama Cha upinzani halafu unaenda sawa na chama tawala
    Chama Cha upinzani nikupinga serikali kwa hoja

  • @JoshuaMutinda-fb4fu
    @JoshuaMutinda-fb4fu 2 месяца назад +7

    N mbadala wa baba wa taiga tundulisu,

  • @mwengajacob4514
    @mwengajacob4514 2 месяца назад +2

    Hongera Mh Tundu, nampongeza mh. Zito pia maana Leo ndio kidogooo namuona Kabwe yuleee wa miaka Ile. Kipindi kizuri. Big up

    • @user-gl8kc3ec8s
      @user-gl8kc3ec8s 2 месяца назад +1

      Hakika Huyu ndie mh zito alie Nishawihi kuielewa Chadema❤

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 2 месяца назад +7

    Kwa kawaida mwizi hapendi ukweli ni mtu wa Giza daima hakuna tume huru hapo ni maigizo tu

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 2 месяца назад +3

    Hongela lissu poti

  • @shilogileshilogile4392
    @shilogileshilogile4392 2 месяца назад +6

    Katiba mpya ni ya lazima CCM waache Longolongo

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 2 месяца назад +6

    Zito nimekuelewa na pia lisu limekuelewa zaidi

  • @user-cp1pu4ev8h
    @user-cp1pu4ev8h 2 месяца назад +6

    Zito kabwe ni afadhali ukimwi ndumila kuwili

  • @danielkanso
    @danielkanso 2 месяца назад +2

    Hii ni zaidi ya shule big up Lisu nikuelewa sir kubadilisha jina siyo kutatua tatizo bali naona changamoto iko pale pale sijaelewa nini maana ya kubadili jina la tume

  • @salumchema5098
    @salumchema5098 2 месяца назад +11

    Tundulisu.kiboko

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 2 месяца назад +5

    Lissu viva❤

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 2 месяца назад +2

    Ahsanteni ACT na Mwami upo vizuri sanaaaaaaaa

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 2 месяца назад +4

    Kushiriki chaguzi zijazo kwa sheria hii ni kuikanyaga KATIBA

  • @josephtheophill6918
    @josephtheophill6918 2 месяца назад +12

    Nchi hii inatakiwa iongezwe na Rais mwenye akili kama Lissu

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 месяца назад +1

      Nchi inaongozwa kwa utaratibu maalum sio akili za mtu fulani.

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka 2 месяца назад +2

      Mwamba Tundu Lisu🙏✌👊

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka 2 месяца назад +2

      Jamani tume ili iwe huru wajumbe wagombee nafasi watume cv zao endapo rais anateua nasi itakuwa jina tu limebadilika bali bado tume itakuwa nado iko chini ya milki ya ccm

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka 2 месяца назад

      nasi =bali

    • @kaguripenina63
      @kaguripenina63 2 месяца назад

      ​@@hajihassan5433xawa lakin mtu mwenyeakili ndio anakubali kuweka utaratib unauzungumzia kaka haji

  • @tobiasimruma703
    @tobiasimruma703 2 месяца назад +2

    Watanzania thanks jaman

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 2 месяца назад +3

    Waliounga juhudi (wabunge,madiwani) waliharibu sana ari ya wananchi kuwaamini wanasiasa kuwa niwachumia tumbo badala ya mageuzi.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 месяца назад +4

    KATIBA MPYA NI SASA

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 месяца назад +4

    Kipanya ukimyumbisha Lisu hatayumba!, wewe sikiliza nondo,ukifikia swali jingine uliza atakujibu katika hazina yake ya hekima....

  • @ghettoboysmusic7118
    @ghettoboysmusic7118 2 месяца назад +3

    Nimeipenda hii inatuonyesha jinsigani wanasiasa wanavyo pambana Kufanya yao Sema sisi wananchi baado hatuja elewa na kusimama Kama wananchi

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 2 месяца назад

      Watanzania tumechukuliwa misukule,hata tufanyeje,hatuelewi na hatutaelewa.hapa ni kuomba nusura ya Mungu.

  • @desmondchelango
    @desmondchelango 2 месяца назад +4

    Kiukweli VIONGOZ mliepewa kibali Cha kutusemea tunawaombea mikakati ya katiba mzidishe uzito usifanyike uchaguzi kabla ya katiba mpya maana kama nchi Iko salama uchaguzi tutafanya hatakama itakuwa ni 2027 kikubwa uchaguzi ufanyike ndani ya katiba mpya✅ 👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 2 месяца назад +4

    Watanzania tumezoea kudanganya lakini hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye 2 месяца назад +2

    Nch ya machawa na majambaz wapo tayar kuuwa ili waendelee kutawala milele

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 2 месяца назад +2

    Hiyo tume siyo huru, jina tu ndo imebadilika, ingebaki tu kuitwa tume ya Taifa uchaguzi, muundo wake bado ni ule ule,watumishi wa wa tume wasitokane na watumishi umma!.

  • @FestoOlomi
    @FestoOlomi 2 месяца назад +2

    Kazi kweli kweli

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 2 месяца назад +3

    Zito, anafanya kazi ya ccm

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 2 месяца назад +4

    kaamka saa 9 mwenzenu anawasubri

  • @CasmiryNikata
    @CasmiryNikata 2 месяца назад

    Mungu akulinde Tundu Lissu na wote wenye lengo baya juu ya usalama wako watatangulia kufa wao, mkono wa Mungu uwe juu yako.

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 2 месяца назад +3

    Tanzania ya Leo sio ya 1977, watawala wasijisahau kabisa 😳😳😳

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 2 месяца назад +1

    Good lissu💪💯💪

  • @user-nw7li6kp1t
    @user-nw7li6kp1t 2 месяца назад +2

    Uchaguzi ni jambo mhimu ni msingi wa mambo yote unayotaka tufanye sisi chadema tunataka tume huru siyo tume ya kubadirisha jina tu,

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 месяца назад +3

    Mwaka huu mbona katiba mpya itapatikana tu,watu wataandamana hamtaamin kitakacho tokea hii nchi. (Prophecy).

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 2 месяца назад +6

    ACT hawaaminiki!

  • @AgustinFonga
    @AgustinFonga 2 месяца назад +1

    Yaani ni uchaguzi waRAISi sio ushaguzi WA nchi akiona hashindi anaweza kufuta uchaguzi huo au akabadili Katiba na akiungwa mkono na watu wake ambao aliwapa ulaji na ndio wote walio serikalini wanaufanyia sheria

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 месяца назад +5

    👊✌👍.

  • @user-hz1xf1kl3l
    @user-hz1xf1kl3l 2 месяца назад +3

    Tumehu ifanyiwe marekebisho bd hawaja fanya mambo yanayo takiwa ilitume iwe huru

  • @jovankishamba9424
    @jovankishamba9424 2 месяца назад +3

    Uliofanyika kwenye TUME ya UCHAGUZI NI USANII.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 2 месяца назад

      Wanafikiria kuweka neno HURU ndiyo Tume imekuwa huru

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 2 месяца назад +2

    Duuh!! Mambo bado yataendelea kama ndio hivi! Kuendelea ni ngumu!!

  • @safiyaalharthy6382
    @safiyaalharthy6382 2 месяца назад

    God bless Tundu Lissu

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 2 месяца назад +1

    Tunahitaji tume huru iliyo huru. Sio kubadili jina la tume.

  • @RamaNinga-jv2xw
    @RamaNinga-jv2xw 2 месяца назад

    Tume iliyopo imepitwa na muda wake ni lazima ibadilishwe kuendana na mahitaji ya sasa,,,VIVA CHADEMA.

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад +1

    Hawa watangazaji upeo wao ni ndogo sana Clouds wangetafuta watangazaji wenye upeo hawaulizi maswali ya maana

  • @justineoctavian4938
    @justineoctavian4938 2 месяца назад +7

    Zitto mtu wa ajabu sana aise!!

  • @user-iz4te4gs5s
    @user-iz4te4gs5s 2 месяца назад +4

    Public coments

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 месяца назад +2

    Mhe.Ole ngurumwa uko sahihi,ni kiasi tu cha kurekebisha vifungu husika vya katiba iliyopo,ili tupate tume huru halisi ya uchaguzi; lakini ccm hawatataka ni ng'ang'anizi kama Nyerere,na wao wanaamini katika ujamaa wa ushindi milele!

  • @ABSTemu
    @ABSTemu 2 месяца назад +1

    Badoo! Hata TL mmemkatiza!

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 2 месяца назад

    Hapa makonda anasema tuonane 2025 ana uhakika kuwa wizi utatumika tume ya uwongo lisu mungu akubariki tanzania poleni na ujinga huo

  • @hamisimweta4505
    @hamisimweta4505 2 месяца назад +13

    Huyo Zito kiukweli amepoteza sifa za kuitwa kiongozi wa upinzanj Ni kirusi au tipical Ni ccm B,
    Hafai kuaminiwa hata chembe

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 2 месяца назад +1

      Huo ndiyo ukweli kwa huyu Yuda iskarioti wa Taifa,huyo mtu siyo wa kutegemea hata kidogo kuleta ukombozi kwa Taifa hili.

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 23 дня назад

      Sahihi!

  • @user-ms3tp9oy2o
    @user-ms3tp9oy2o 2 месяца назад +1

    Nice from tz

  • @evelina9621
    @evelina9621 23 дня назад

    Baba.umesema.kweli.tume.iko.mikononi.ccm

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 2 месяца назад

    ... Eye opening

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 2 месяца назад

    Akina Lissu bwana, hongereni sana. Ila dada mtangazaji anataja namba ya simu ya kuchangia harakaharaka kwa spidi ambayo nadhani wengi kama si wote si rahisi kuinukuu! Hivyo nadhani wachangiaji sasa watakuwa haba kama si hakuna!

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 2 месяца назад +1

    Iissu akiongea unaona kbsa tunaongozwa na watu wenye uwezo mdogo

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 2 месяца назад +1

    Jamaa hawa wanafanyia pesa zetu ufisadi kwa tume sisizo na maana yoyote wala matokeo ya maana

  • @Simulizitulivuu
    @Simulizitulivuu 2 месяца назад

    Yes

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 2 месяца назад +2

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 месяца назад +2

    TATIZO SIO UPANDE TATIZO NI SHERIA

  • @JoshuaMutinda-fb4fu
    @JoshuaMutinda-fb4fu 2 месяца назад +1

    Mama katuchezea tunataka time huru katiba mpya

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад +1

    Huyu ni zito kweli kumbe hafai kabisa au ndugu yake zito

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 месяца назад +1

    Long the way to go Tanzania people to no mind down for ever one 😅

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 2 месяца назад +1

    Yaani kabwe kwa alipotufikisha anapaswa kupigwa mawe hadi kufa na asipokufa apigwe tena hadi afe.yaani kweli huyu kabadirika haoni ujinga unaoitafuna nchi.asiaminike tena labda huko kwenye chama chake.amepoteza mwelekeo

  • @danielkanso
    @danielkanso 2 месяца назад +1

    Kwa kweli kwa bunge hilii ???

  • @mussangao3164
    @mussangao3164 2 месяца назад +3

    Elimu yangu ndogo mara elfu 20 ya Zitto kabwe lakini mawazo na akili za Zitto hata mtoto wa chekechea hawez kubaliana nae 😂Zitto zaman sijui kunamtu alikuwa akimwandikia vya kuongea bungeni mbona siku hiz amekuwa kama poyoyo flan hiv

  • @user-oc1jm5zn6g
    @user-oc1jm5zn6g Месяц назад

    Lissu mwamba

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo1632 2 месяца назад +2

    Fisi akivishwa ngozi ya kondoo na hatakama utamwita wewe ni kondoo fisi atabakia kuwa fisi tu japo kafishwa ngozi ya kondoo kamwe hawezi kula majani yeye ni nyama na mifupa .... Kubadilisha jina pekee haliwezi kuleta kitu kipya....

  • @michaelernest4814
    @michaelernest4814 2 месяца назад

    Yaani craus mbalikiwe sana kumleta mheshimiwa lisu.

  • @OmbeniShoo-kg8dr
    @OmbeniShoo-kg8dr 2 месяца назад +1

    Usipokubali ukweli na kuutetea mazingira halisi yatakulazimisha upite njia ya kweli.

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 2 месяца назад +1

    Ngoma ya katiba haitakesha nawaambia m fisi em.tutamwaga maji kweli Mwaka wa uchaguzi na hakuna atakaekuwa salama si familia za polisiiiiis wala wake zao

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 месяца назад +1

    Tatizo ni uelewa wa jambo miongoni mwa wananchi wengi. Elimu yetu ni shida.na ile white paper ilionesha 80% ya watanzania bado hawakuona haja ya mageuzi..!!

  • @alfredmaumba780
    @alfredmaumba780 Месяц назад

    Tundulissu yuko sahihi sana na hii ndio watanzania tunataka jamani

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422
    @dullahkalanjedullahkalanje1422 2 месяца назад +1

    tunakuamini lissu

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 2 месяца назад +2

    Lissu ni akili kubwa

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 2 месяца назад +1

    Mama anajua sanà ku(bye time)nà pesa kutumika vibaya kuunda tume zisizo na majibu.

  • @pantaleolaurentlaurentkavu2011
    @pantaleolaurentlaurentkavu2011 2 месяца назад +1

    Hao wamekukwepa swali lako.binadamu kama binadamu hayupo muadilifu asilimia mia .Leo hao hawajawa madarakani kesho wakiwa madarakani nao watateua na watataka maoni Yao yakubaliwe.ili wengine hawatakubaliana nao.

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 2 месяца назад +1

    Wala msifikiri hawajui hata muongee hoja au lugha gani.wameamua.kuna siku watajutia maamuzi yao na nashuri wapinzani msije kubadiri katiba ili kuwanyosha

  • @kabalilapatrick1904
    @kabalilapatrick1904 2 месяца назад +2

    Online

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 2 месяца назад +1

    Hiyo ni tume ya ccm na samia

  • @user-ht4ud5ro4v
    @user-ht4ud5ro4v Месяц назад

    Very though

  • @sokastreet
    @sokastreet 2 месяца назад +2

    Kumbe tunajisumbua tu kwenda kupiga kura tume nzima boss wao rais😅

  • @praygodmawalla7884
    @praygodmawalla7884 Месяц назад

    Kulimlinganisha Lisu and Zitto ni tusi msimtafutie umaarufu Zitto kwa mgongo wa Lisu.

  • @bahatielias6443
    @bahatielias6443 2 месяца назад +2

    Hata huyu mama anatufanya wtz ni wajinga ama vp? Yeye ndio mwenyekiti wa ccm taifa ,inakuwaje ateue makamishina,mwenyekiti wa tume ,pia hapo hapo yeye ni mgombea urais ,hiyo tume huru inakuja vpi hapo?

  • @ikotilissu5380
    @ikotilissu5380 2 месяца назад +1

    Sheria inapingana na Katiba! Itatumikaje??

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 2 месяца назад +1

    Mnaojadili mnatambua kuwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Ambapo Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila kupigiwa kura yoyote Zanzibar, je hiyo ni sawa?

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 2 месяца назад +3

    Binafsi Mh Lissu ndio amenifungua macho na akili juu ya siasa yetu Tz na jinsi viongozi wanapatikana na majukumu yao kama viongozi, wajibu wangu kama mpiga mkura ,haki nk,jamaa anajua sana sana..my next president..