NONDO (ACT) vs KAWAIDA (CCM) - KATIBA MPYA YAIBUA MJADALA MZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 июн 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 12

  • @kelvinkangomba9590
    @kelvinkangomba9590 7 дней назад +2

    Napenda mjadala ila baba levo mbona kana una-take side kwenye mjadala . Wewe haufai kuongoza mijadala yenye mirengo wa kisiasa. Wewe kazi yako ni kubalance mjadala wenye kuamua wachukue upande gani ni watazamaji. Ila nnachokiona kwako umeamua kuwa mtangazaji, na pia kuwa mshabiki.

  • @samsonyemmanuel5160
    @samsonyemmanuel5160 5 дней назад

    Baba levo anafanya uchawa indrect

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 дня назад

    Hilo lichawa la fisi em linamshambulia nondo

  • @iamstephenmusk
    @iamstephenmusk 6 дней назад

    Hamna kitu hapo, Wasafi wamepangwa, Mwenyekiti wa UVCCM mwenyewe amekaa kama Gogo tu, point zake Pumba tupu! Baba levo ndo amegeuka Mwenyekiti wa UVCCM, utopolo.

  • @hashimumwinyi2239
    @hashimumwinyi2239 8 дней назад +1

    Nondo za Kawaida

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 7 дней назад

      Hakuna siku Rais atakuwa hana mamlaka kwa Katiba yoyote. Hakuna Tume yoyote ambayo HAITAKUWA NA MTEUZI.

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 6 дней назад

    Yaani CCM utetezi wao mkuu ni vitu lakini wellbeing ya watu hawaioni. Miundombinu yenyewe mibovu

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga4951 5 дней назад

    Sasa baba level unacheka nini unamtoa mtu mchezoni

  • @kondempya
    @kondempya 5 дней назад

    Mdahalo umekosa muongozaji

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 5 дней назад

    Hapa hapana chama mtuache na ccm yetu

  • @godfreya6955
    @godfreya6955 7 дней назад +1

    Huu ni Umbea; Why don't you post full interview instead kutuwekea vitu nusunusu. Hii show ilishapita more than four days ago so all day inabidi tuje tuangalie kila siku mmpepost kipande gani. Wth??

  • @salumsuleimankhalfan3414
    @salumsuleimankhalfan3414 6 дней назад

    Hivi huu mjadala upo kati ya Nondo na Kawaida au Nondo na Watangazaji?