Napenda mjadala ila baba levo mbona kana una-take side kwenye mjadala . Wewe haufai kuongoza mijadala yenye mirengo wa kisiasa. Wewe kazi yako ni kubalance mjadala wenye kuamua wachukue upande gani ni watazamaji. Ila nnachokiona kwako umeamua kuwa mtangazaji, na pia kuwa mshabiki.
Hamna kitu hapo, Wasafi wamepangwa, Mwenyekiti wa UVCCM mwenyewe amekaa kama Gogo tu, point zake Pumba tupu! Baba levo ndo amegeuka Mwenyekiti wa UVCCM, utopolo.
Huu ni Umbea; Why don't you post full interview instead kutuwekea vitu nusunusu. Hii show ilishapita more than four days ago so all day inabidi tuje tuangalie kila siku mmpepost kipande gani. Wth??
Napenda mjadala ila baba levo mbona kana una-take side kwenye mjadala . Wewe haufai kuongoza mijadala yenye mirengo wa kisiasa. Wewe kazi yako ni kubalance mjadala wenye kuamua wachukue upande gani ni watazamaji. Ila nnachokiona kwako umeamua kuwa mtangazaji, na pia kuwa mshabiki.
Baba levo anafanya uchawa indrect
Hilo lichawa la fisi em linamshambulia nondo
Hamna kitu hapo, Wasafi wamepangwa, Mwenyekiti wa UVCCM mwenyewe amekaa kama Gogo tu, point zake Pumba tupu! Baba levo ndo amegeuka Mwenyekiti wa UVCCM, utopolo.
Nondo za Kawaida
Hakuna siku Rais atakuwa hana mamlaka kwa Katiba yoyote. Hakuna Tume yoyote ambayo HAITAKUWA NA MTEUZI.
Yaani CCM utetezi wao mkuu ni vitu lakini wellbeing ya watu hawaioni. Miundombinu yenyewe mibovu
Sasa baba level unacheka nini unamtoa mtu mchezoni
Mdahalo umekosa muongozaji
Hapa hapana chama mtuache na ccm yetu
Huu ni Umbea; Why don't you post full interview instead kutuwekea vitu nusunusu. Hii show ilishapita more than four days ago so all day inabidi tuje tuangalie kila siku mmpepost kipande gani. Wth??
Hivi huu mjadala upo kati ya Nondo na Kawaida au Nondo na Watangazaji?