HECHE AKINUKISHA ITIGI SINGIDA, ASHUSHA NONDO NZITO, AWATAKA WANANCHI KUIFUKUZA CCM MADARAKANI
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #TANZANIA: John Heche akinukisha Itigi Singida Magharibi, ashusha nondo nzto, awataka wananchi kuikufuka CCM madarakani kwa kushindwa kusimamia rasiliamali tulizonazo na kanufaisha wananchi wake.
Zaidi: • HECHE AKINUKISHA ITIGI...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Sema Mh, Mungu akupe maono zaidi simama Imara baba
Hongera sana John Heche japo wapo wenye vichwa ngumu hawakuelewi lakini asiye kuelewa lazima hukumu impate tu
MH John heche elimu kubwa unayoitoa, hakika IQ yako IPO juuuu sana ktk maisha ya watanganyika waelewe uozo uliopo ndani ya Taifa letu, Mungu akuongoze Kwa kuwafumbua macho watanganyika wafahamu hiki kinachotokea Leo hiiiiiiii nchi kwetu Tanganyika, spana zinawabana CCM wameziba masikio yao kujifanya hakuna kitu kinachoendelea nchini kwetu Tanganyika, Hakika IQ ya uwalimu uliosomea umeifanyia ❤❤❤❤❤ Haki 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Moto wa gesi,
Nakukubali sana mwamba bado tunasafali ndefu sana
Hongera sana.
Hii ni elimu tosha Kwa mtu mwenye akili hongera Heche
Wanao mbeza .Heche. Atakuwa mchawi au ana masilahi na maovu yanayofanyika. Kupandisha ushuru mpaka mashudu..Yani taka inadaiwa
Huyu jamaa very important
Gotten you @daudysanga, this man Heche is so materialistic
Mungu ni mwema tutashinda
Hakikaa heche ana nondo, Kila mkutano awe anahudhuriaa
Huyu jamaa jembe
Wananchi wanapaswa/tunapaswa kuchukua hatua
Inaelekea Unaowaambia Hawaelewi. Mwenye Kuelewa Utawaona
Jembe ninalolikubali
Akili kubwa zaidi ya mwalimu
Ukweli mtupu piga kazi kamanda ujumbe umefika
Heche hichi kitu unachokisema ndivyo alivyokuwa akivifanya John magufuli lakn bado mlimpinga. Sasa tuwaeleweje mbn mnakuwa vigeugeu.
Hiz ndio sera tunataka
Mwenyekiti ajaye wa cdm
Inasikitisha kwa kweli
Baba zetu sisi,wote tumefundishwa elimu ya kukarr hilo ndio tatzo
Jembe la chadema lililobaki nalikubal sanaaa usiwe msalit kama msigwa alieunga juhud
Naamini siku moja utakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa baada ya mh Mbowe kutoka madarakani
Eche matiriol into chadema political party has lmotion into chadema political party has capacity explain clear Antilles tanzania people get point from eche
Kwamba? Yaani sijakuelewa mwenzio
Bado kwenye mafuta ya kula, na dizel na petroli kuna shida sana bei kubwa mno jamani
Wake up Tanzania kuna siku tutalia kisa CCM. Ni watu wa ajabu
Hapo kweny wazee sas lazima mshinde wanaume
Wana chadema tujenge Sana la Heche
Mwambaaaaa
Hapo kwenye kutubakizia mabaki ya nguo mkuu
Heche nakishimba nakabudi wanafaa
Wake up Tanganyika
heche wewe ni onjoni schana na haso skins m
heche wewe ni njembe siyo huyu msingwamgaga njaa kwanza kanisa lake Lina waumini 20, Sasa piga
Pokea 100%
heche wewe ni onjoni schana na haso skins mdingwa wagaga njaa
Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu
Nani kibaraka wa mabeberu kati ya Heche na aliyewapa wageni rasilimali za Nchi?
Pumbavu wewe
@@sebastianmwantuge5597kwel hilo jamaa @maspro6294 halijitambui kibaraka wa madaraka-CCM.Akili zake matope yanayonuka yamtokayo baada ya kula.
Ww ni kajinga kupita kiasi vibalaka ni ccm waliwapa waraabu bandari,wazungu mkawapa madini, wachina mkwapa gas
Wewe umeanzisha uwekezaji upi Toka umekuwa mbunge Hadi Leo wewe ni mtu wa ajabu mambo yote unayoyazungumza hakuna hata jambo Moja ambalo unaloliongea linye tija na watu wanaokuzunguka wanasikiliza ujinga na uongo na mifano ambayo wewe ni mmoja wao maana hata wewe ulipo kuwa bungeni hakuna ulichokifanya zaidi ya kelele mlizopiga bungeni endelea kupiga kelele kama chura
Usiangslie anae sema sikiliza snachokisema ni kweli au la.
Tunahitaji viongozi Kwa ajili ya watanzania sio vongozi maslahi Kwani CDM inahitaji maslahi ya watanzania wote sio kikundi Cha watu wachache
Ukiwa mbunge unaskliza na ktekeleza sera za chama tawala.......imagine mbunge wako wa Chama kilichoongoza miaka sitin na Zaid ameanzisha mradi gan Zaid ya Ile inayojadiliwa bungen
Siku chama kingine ikatokea kikashika Dola,watanzania watajiuliza kwann walicheleweshwa na ccm
Lakin Kwa uelewa wa mtanganyika itachkua miaka 50 demokrasia kukua na vyama vingine kchkua hatam....