HECHE AKINUKISHA ITIGI SINGIDA, ASHUSHA NONDO NZITO, AWATAKA WANANCHI KUIFUKUZA CCM MADARAKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #TANZANIA: John Heche akinukisha Itigi Singida Magharibi, ashusha nondo nzto, awataka wananchi kuikufuka CCM madarakani kwa kushindwa kusimamia rasiliamali tulizonazo na kanufaisha wananchi wake.
    Zaidi: • HECHE AKINUKISHA ITIGI...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 51

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 3 месяца назад +10

    Sema Mh, Mungu akupe maono zaidi simama Imara baba

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 3 месяца назад +8

    Hongera sana John Heche japo wapo wenye vichwa ngumu hawakuelewi lakini asiye kuelewa lazima hukumu impate tu

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 3 месяца назад +5

    MH John heche elimu kubwa unayoitoa, hakika IQ yako IPO juuuu sana ktk maisha ya watanganyika waelewe uozo uliopo ndani ya Taifa letu, Mungu akuongoze Kwa kuwafumbua macho watanganyika wafahamu hiki kinachotokea Leo hiiiiiiii nchi kwetu Tanganyika, spana zinawabana CCM wameziba masikio yao kujifanya hakuna kitu kinachoendelea nchini kwetu Tanganyika, Hakika IQ ya uwalimu uliosomea umeifanyia ❤❤❤❤❤ Haki 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Moto wa gesi,

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 3 месяца назад +2

    Nakukubali sana mwamba bado tunasafali ndefu sana

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 3 месяца назад +1

    Hongera sana.

  • @MwangaNkayagwa
    @MwangaNkayagwa 3 месяца назад +6

    Hii ni elimu tosha Kwa mtu mwenye akili hongera Heche

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 3 месяца назад +2

    Wanao mbeza .Heche. Atakuwa mchawi au ana masilahi na maovu yanayofanyika. Kupandisha ushuru mpaka mashudu..Yani taka inadaiwa

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 3 месяца назад +5

    Huyu jamaa very important

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 3 месяца назад

      Gotten you @daudysanga, this man Heche is so materialistic

  • @SaigiluSankale
    @SaigiluSankale 2 месяца назад +1

    Mungu ni mwema tutashinda

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 3 месяца назад +5

    Hakikaa heche ana nondo, Kila mkutano awe anahudhuriaa

  • @maendeleoleo2594
    @maendeleoleo2594 3 месяца назад +9

    Huyu jamaa jembe

  • @nestor384
    @nestor384 3 месяца назад +6

    Wananchi wanapaswa/tunapaswa kuchukua hatua

  • @adaNahimana-y7b
    @adaNahimana-y7b 3 месяца назад +1

    Inaelekea Unaowaambia Hawaelewi. Mwenye Kuelewa Utawaona

  • @OscarKasalile-u4k
    @OscarKasalile-u4k 3 месяца назад +5

    Jembe ninalolikubali

  • @HassanKangwa-sz4gn
    @HassanKangwa-sz4gn 3 месяца назад +1

    Akili kubwa zaidi ya mwalimu

  • @WivaNonkwe
    @WivaNonkwe 3 месяца назад +6

    Ukweli mtupu piga kazi kamanda ujumbe umefika

  • @honesthenry901
    @honesthenry901 3 месяца назад +2

    Heche hichi kitu unachokisema ndivyo alivyokuwa akivifanya John magufuli lakn bado mlimpinga. Sasa tuwaeleweje mbn mnakuwa vigeugeu.

  • @saimonisichimata8559
    @saimonisichimata8559 3 месяца назад +3

    Hiz ndio sera tunataka

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 12 дней назад

    Mwenyekiti ajaye wa cdm

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 3 месяца назад +2

    Inasikitisha kwa kweli

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 3 месяца назад +2

    Baba zetu sisi,wote tumefundishwa elimu ya kukarr hilo ndio tatzo

  • @mtewelemtewele0260
    @mtewelemtewele0260 2 месяца назад +1

    Jembe la chadema lililobaki nalikubal sanaaa usiwe msalit kama msigwa alieunga juhud

  • @stevenfumbi9566
    @stevenfumbi9566 3 месяца назад +1

    Naamini siku moja utakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa baada ya mh Mbowe kutoka madarakani

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад +4

    Eche matiriol into chadema political party has lmotion into chadema political party has capacity explain clear Antilles tanzania people get point from eche

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 3 месяца назад

      Kwamba? Yaani sijakuelewa mwenzio

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 3 месяца назад +1

    Bado kwenye mafuta ya kula, na dizel na petroli kuna shida sana bei kubwa mno jamani

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 3 месяца назад +2

    Wake up Tanzania kuna siku tutalia kisa CCM. Ni watu wa ajabu

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 3 месяца назад

    Hapo kweny wazee sas lazima mshinde wanaume

  • @Esteriajoseph-yk8bq
    @Esteriajoseph-yk8bq 3 месяца назад

    Wana chadema tujenge Sana la Heche

  • @artsonkimath2917
    @artsonkimath2917 3 месяца назад +2

    Mwambaaaaa

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 2 месяца назад

    Hapo kwenye kutubakizia mabaki ya nguo mkuu

  • @LushidulaJidamawi
    @LushidulaJidamawi 2 месяца назад

    Heche nakishimba nakabudi wanafaa

  • @MaryamAbubakar-c2d
    @MaryamAbubakar-c2d 3 месяца назад +1

    Wake up Tanganyika

  • @TabuMasanja-y5f
    @TabuMasanja-y5f 2 месяца назад

    heche wewe ni onjoni schana na haso skins m
    heche wewe ni njembe siyo huyu msingwamgaga njaa kwanza kanisa lake Lina waumini 20, Sasa piga

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 3 месяца назад

    Pokea 100%

  • @TabuMasanja-y5f
    @TabuMasanja-y5f 2 месяца назад

    heche wewe ni onjoni schana na haso skins mdingwa wagaga njaa

  • @maspro6294
    @maspro6294 3 месяца назад

    Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 3 месяца назад +2

      Nani kibaraka wa mabeberu kati ya Heche na aliyewapa wageni rasilimali za Nchi?
      Pumbavu wewe

    • @gangan4618
      @gangan4618 3 месяца назад +1

      ​@@sebastianmwantuge5597kwel hilo jamaa @maspro6294 halijitambui kibaraka wa madaraka-CCM.Akili zake matope yanayonuka yamtokayo baada ya kula.

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 2 месяца назад

      Ww ni kajinga kupita kiasi vibalaka ni ccm waliwapa waraabu bandari,wazungu mkawapa madini, wachina mkwapa gas

  • @BorySaronge
    @BorySaronge 3 месяца назад

    Wewe umeanzisha uwekezaji upi Toka umekuwa mbunge Hadi Leo wewe ni mtu wa ajabu mambo yote unayoyazungumza hakuna hata jambo Moja ambalo unaloliongea linye tija na watu wanaokuzunguka wanasikiliza ujinga na uongo na mifano ambayo wewe ni mmoja wao maana hata wewe ulipo kuwa bungeni hakuna ulichokifanya zaidi ya kelele mlizopiga bungeni endelea kupiga kelele kama chura

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 3 месяца назад +2

      Usiangslie anae sema sikiliza snachokisema ni kweli au la.

    • @MwangaNkayagwa
      @MwangaNkayagwa 3 месяца назад +1

      Tunahitaji viongozi Kwa ajili ya watanzania sio vongozi maslahi Kwani CDM inahitaji maslahi ya watanzania wote sio kikundi Cha watu wachache

    • @francismomo7067
      @francismomo7067 3 месяца назад +1

      Ukiwa mbunge unaskliza na ktekeleza sera za chama tawala.......imagine mbunge wako wa Chama kilichoongoza miaka sitin na Zaid ameanzisha mradi gan Zaid ya Ile inayojadiliwa bungen

    • @francismomo7067
      @francismomo7067 3 месяца назад +1

      Siku chama kingine ikatokea kikashika Dola,watanzania watajiuliza kwann walicheleweshwa na ccm

    • @francismomo7067
      @francismomo7067 3 месяца назад

      Lakin Kwa uelewa wa mtanganyika itachkua miaka 50 demokrasia kukua na vyama vingine kchkua hatam....