MFANYABIASHARA ARUSHA AWAVUNJA MBAVU WATU HAJUI kwa NINI WANAGOMA - VIONGOZI WAMEFUNGUA MADUKA YAO..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июн 2024
  • MFANYABIASHARA ARUSHA AWAVUNJA MBAVU WATU HAJUI kwa NINI WANAGOMA - VIONGOZI WAMEFUNGUA MADUKA YAO..
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 106

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 дня назад +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @marceljohnkimaty4986
    @marceljohnkimaty4986 2 дня назад +22

    Huyu sio mfanya biashara. Mkitaka kujua muulizeni ofisi yake iko wapi. Yeye angeendelea na shughuli zake awaache wenye jambo lao waendelee.

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je 2 дня назад +5

      Huyu jamaa watu wa usa mnamjua huwa anapandaga costa zinaenda kikatiti anahubiri injili akifika tengeru anakusanya sadaka anapanda gari lingine

    • @marylaizer
      @marylaizer 2 дня назад +1

      Huyu kaka ni mganya biashara sawa niulize mm namfaham vizuri sana ni mhubiri lkn pia ni mfanyabiashara biashara Arusha ana saloon barabarani ya stend Arusha anachora wanja pia anasuka pia kuna muda anahubiri

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 2 дня назад

      Chawa wao TRA wafungue Duka lao tuone,wanatishia raia na mi police

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 2 дня назад +1

    TRA wafungue maduka yao tuone hayatoboi,kutesa raia,tu kufilisi rai bila katiba haki hakuna vat Tozo petroleum sukar matbab juu maisha magumu

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 2 дня назад +12

    Ntilema hauna hata ofice utajuaje umegomea nini??

  • @thomasmichaellukumai-ny7se
    @thomasmichaellukumai-ny7se 2 дня назад +6

    We'we mvuta bangi ya arusha

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 2 дня назад +8

    Wee kinyozi kanyolee kwako,unajua maana ya mgomo tunahitaji kodi za kijinga zitolewe,,,

    • @dullayomwinyi3359
      @dullayomwinyi3359 2 дня назад

      Kabisa kaka

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 2 дня назад

      T RA wafungue ma Duka yao ili tununue kwao, watoe hizo f d c walishindwa kuendesha RTC,wanatesa rai kisa mi police na wabunge hawana jipya wote CCM, mpina,kawaimbua wametoa bungeni,ili waendelee kupiga mwingi,ubabe una mwisho bila KATIBA itazuia ubabe,, ndiomaana wana kataa katiba,

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 2 дня назад

    Huyo anaonekana anatokea Ngorongoro 😅

  • @sokoinetvonline
    @sokoinetvonline 2 дня назад +1

    Huyu Lini kawa mfanyabiashara Muimbaji wa gospel music kwann kaingia mkumbo wa uongo kwann lakin ?

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony День назад

    uyu kenge kweli

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 2 дня назад +2

    Itoshe kusema HANA AKILI

  • @LovelyCello-xm9gn
    @LovelyCello-xm9gn 2 дня назад +1

    Huyu alipi Kodi za TRA ndo maana ajui kituu

  • @ernestamos8949
    @ernestamos8949 2 дня назад +3

    uyu mwalimu angu wa.kanisan kigoma kasulu lini amekua mfanyabiashara

  • @davidjohn9535
    @davidjohn9535 2 дня назад +1

    Jamaa anaakili sana

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 2 дня назад

      Akili ipo aliyo nayo, mgomo unawahusu wafanyabiashara wanaolipa kodi

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 2 дня назад +1

    Enheee hii ndo Tanzania sasa kweli tutafika tumechoka sana

  • @user-rh5iy3ei3g
    @user-rh5iy3ei3g 2 дня назад +1

    Huyu mbn km mchora wanja pale kati hana ht frem 😢

  • @prettygirl8325
    @prettygirl8325 День назад

    Uyo anapakaga wanja anabiashara gn...hana ata ofisi anazunguka anapaka wanja

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p 2 дня назад +3

    Uo siyo mgomo wa wanyoa vuzi

  • @francisgodian6216
    @francisgodian6216 2 дня назад

    Huu ni mtambo wakisukuma kabisa😅😅

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w 2 дня назад

    Mnmuhoji kinyozi real tafuteni mfanyabiashar

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 2 дня назад

    Arusha niwakweli sana😅😅😅I love you

  • @omeganthale3220
    @omeganthale3220 2 дня назад

    Hana akili

  • @joycesanga4378
    @joycesanga4378 2 дня назад

    Tena siyo Mtanzania huyo akamatwe ni wa Nch jiran

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd 2 дня назад

    Kwa nini sasa hukufungua kama humjui nani kahamasisha.
    Huyu mwehu.

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 2 дня назад

    Hamna kitu wameshafungua kitambo sana Arusha njaa Kali sana

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 2 дня назад

    Huyu amesubiri nini Kuvaaar chupi kichwani???

  • @silivestatesha9262
    @silivestatesha9262 2 дня назад +1

    Bangi oyeeee

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 2 дня назад

    Akili zako mbaya kama mdomo wako huna hakili

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 дня назад

    hlf huyu immigration wamfatilie sio mtanzania

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 2 дня назад

    Kaongea ukweli

  • @user-lx7ez3rq4c
    @user-lx7ez3rq4c 2 дня назад +2

    We mbanga huna akili pimbi

  • @lilyshayo761
    @lilyshayo761 2 дня назад +3

    Akachore Wanja uko Pumbavu mtumishi acha ujinga FREM hauna ,huu mgomo utaujua vip unapanyuka,embu Chukua frem Kama rahisi ulipe utoboe heshimu mgomo wawafanyabiashara

    • @user-sj3wf5vz7l
      @user-sj3wf5vz7l 2 дня назад

      Sasa mbona huyo boss hapo kafungua duka na ni kati ya viongozi?
      Hili jambo lina namna

    • @marylaizer
      @marylaizer 2 дня назад

      Ww hufahamu ofisi yake mbona ana ofisi kitambo tuu mtumishi apo apo barabara ya stend kama unaelekea chini ya mti

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 2 дня назад

    Huyu hajui anachoongea

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w 2 дня назад

    Huyu anachezeaha mikono kwenye vichwa vya wanaume wenzie

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 2 дня назад

    Kwanza umetokea nchi Gani? Unakibali?

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 дня назад

    Huyo aliyefungua hajipendi ama siku hizi wadudu hakuna😂😂

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 2 дня назад +1

    Mbona ameongea vizuri sana...

  • @onehouronlinetv1893
    @onehouronlinetv1893 2 дня назад +1

    Huyu mpumbavu kabisa hyo Hali ya kwenda kutafuta Hela ya kula Kwa siku hiyo ndo inasababishwa na mlundikano wa gharama za uendeshaji ikiwa ni pamoja na Kodi nyingi tunazorundikiwa

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 2 дня назад +2

    Mbona kama sio mtanzania

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 2 дня назад

    Huyu jamani hana office anachoraga watu wanja tena kibarazani haelewi kinachoendelea.

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 дня назад

    Wewe nimlopokaji unaejifanya mjuaji mpumbavu mkubwa

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 2 дня назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂alafu hawa ndouwambiee wandamaneeeee

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 2 дня назад

    😂😂😂Uwiiii jaman mbn huyo ni bangi kabisa 😂😂

  • @lucasgwido129
    @lucasgwido129 День назад

    huyu ni saa Mbovu

  • @allymahmudu464
    @allymahmudu464 2 дня назад

    Uyo siomtazania uyo nimkenya

  • @user-kd7nr1ii1o
    @user-kd7nr1ii1o 2 дня назад

    Ana duka la nini

  • @sadamissa5687
    @sadamissa5687 2 дня назад

    Mungu fundi huyu jamaa ana mdomo mkubwa balaaa

  • @ChekSanga-po2mv
    @ChekSanga-po2mv 2 дня назад

    Jamani. Uyu. Anafanya. Biashara gan. Muuulizeniii😅

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje 2 дня назад

    FOLEKIZAMPO😂😂😂😅😅

  • @kajentanmjeuri104
    @kajentanmjeuri104 2 дня назад

    watu wanatafuta pesa yy anawaza chakula

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 дня назад

    Mlevi huyu hajui alichogomea😮

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l 2 дня назад

    Mmmmh kavurugwa jamaa mwongo sana utakuta kwao wameshamfukuza kwa tabia za kigeugeu na uongo

  • @CharlesAlly-jp1ms
    @CharlesAlly-jp1ms 2 дня назад

    Ukiona hivyo halipi kodi ndiyo maana hajui mgomo ni wa nini?

  • @kazumbelive1987
    @kazumbelive1987 2 дня назад +1

    mfanya biashara bumunda

  • @davidsillo916
    @davidsillo916 2 дня назад +1

    Nimegundua Arusha wameambiwa wagome Afu hawajui wanagomea nn

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 2 дня назад

      Wanagoma wafanyabbishara wanaolipa kodi,

  • @cdeegwau551
    @cdeegwau551 2 дня назад

    😂😂😂 uyu aelewi ata alichokigomeaa 🚮

  • @nasrachaya
    @nasrachaya 2 дня назад

    😂😂😂

  • @mirzah117
    @mirzah117 День назад

    Domo kama beseni unakalia ujinga ujinga tu

  • @magretkijanga6038
    @magretkijanga6038 2 дня назад

    Wewe ni mmachinga uelewi kitu,nyamaza

  • @joycesanga4378
    @joycesanga4378 2 дня назад

    Halafu siyo msawahili

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi 2 дня назад

    kwendaa arusha saivi mshatufelisha mshakuwa kama wazaramo makonda ashawateka akili ckia watz ee kueni kama wachaga cyo lazima kuishi tz kama mm hapa nko zambia natafuta pesaa tukutane moshi desc wachaga wenzangu og og sna

  • @user-wr7io8lh6j
    @user-wr7io8lh6j 2 дня назад

    Watu wako serious alafu Kuna pimbi Moja anakuja kuleta masihara bana .....so stupid

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 2 дня назад

    Makonda tupo jayati atawanyosha otee apoo

  • @ayubunelson130
    @ayubunelson130 2 дня назад

    Acha wagome Kuna mtu yupo nyuma yao hao wagomaji alafu huu mgomo unarushwa ndani yake

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 2 дня назад

    HUYO ITAKUWA HALIPI KODI ITABIDI AFUATILIWE

  • @ernestamos8949
    @ernestamos8949 2 дня назад

    Uyu wakupigwa

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 2 дня назад

    PsyOp

  • @chriskimuto1425
    @chriskimuto1425 2 дня назад

    Hajielewi mpumbavu huyu

  • @godfredkimaro3292
    @godfredkimaro3292 2 дня назад

    Uyu katumwa

  • @dianachami6768
    @dianachami6768 2 дня назад

    Bange mokoooo😂

  • @SelinaChares
    @SelinaChares 2 дня назад

    Hahaha hahah hahaha

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 2 дня назад

    Tuwe na umoja kama kenya makodi yamekua nyingi halafu huyu ng,ombe anaongea ujinga nyambavu huyu

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 2 дня назад

    Huyu mpumbavu kwl

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 2 дня назад +1

    Msafara wa mamba na kenge wamo huyu nae ni kenge

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 2 дня назад

      😂😂😂

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 2 дня назад

      @@saidimkwinzu9106 😅😅 yaani ni shidaaa

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 2 дня назад

      @@shijandobehe4953 kweli bana sisi hapa handeni Kuna siku tulifunga maduka tukafanya mgomo lakin Kuna kenge zinauza biashara za kutembeza Bado zinasema wafanya biashara wanazingua kumbe yee ni kenge hajui tunayopitia

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 дня назад

    0-0=brain ,tzania kila kona comedy

  • @amosmsihi1393
    @amosmsihi1393 2 дня назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 2 дня назад

    Mkenya wewe rudi kwenu

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 2 дня назад

    Wewe si fara tu kwasababu unajua kwanini harafu kwenye midia unasema hujui 😏😏😏kama sisi tuko Kenya na tunajua kwanini maduka yamefungwa, huoni wewe ni fara tu

  • @nurumwashinga3662
    @nurumwashinga3662 2 дня назад

    Wandishi wa TZ wajinga unamuliza mtu ambaye hajui chochote ni kinyozi ambaye na fala tu

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 2 дня назад +1

    wengi mnamuona kama mwehu iya aliyoongea maneno mazima sana kama ila ameshindwa kufafanua kwa uzuri tu

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 2 дня назад

    Brain wash

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 2 дня назад

    Wahuni wamewaingiza kingi😂

  • @tucasashycom1072
    @tucasashycom1072 2 дня назад

    Mtu wa system utu

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 дня назад

    mdomo kama madenge

  • @neemamacha7481
    @neemamacha7481 2 дня назад

    😂😂😂