Sikiliza Hekima na Busara za Riziki Shahari na Zitto Kabwe Bungeni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mbunge wa Viti Maalum CUF, Riziki Shahari, ametema cheche bungeni kuhusu kuwasilishwa kwa muswada wa mabadiliko ya sheria za maliasili, akilalamika kwamba uamuzi wa mheshimiwa rais wa kuwasilisha muswada huo bungeni kwa hati ya dharura, haupo sahihi kwa sababu muda uliotolewa kujadili ni mfupi.
    Mbunge huyo aliendelea kuhoji, iweje nchi ambayo ina wasomi, wanasheria na wataalamu, ikubali kupumbazwa na wajanja wachache kwa kutumia mikataba ambayo imepitishwa na bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
    #Global TV Online, kwa kushirikiana na TBC 1, wanakuletea taarifa ya habari iliyosheheni matukio mbalimbali nchi nzima.
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    WEBSITE: globalpublishe...
    FACEBOOK: / globalpublishers
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpublishers

Комментарии • 192

  • @ريهامالسريري-ل1ص
    @ريهامالسريري-ل1ص 7 лет назад +32

    Mashaallah mam upo bungen lkn umejistir vzr allah akuongoze useme ukwl daima bila uoga

  • @revjohnlyimo7299
    @revjohnlyimo7299 7 лет назад +30

    Jamani huyu mama nimemkubali siyo wa kawaida hekima ya wabunge wamama kama huyu ni chache sana hapo bungeni.

    • @victorernest7702
      @victorernest7702 5 лет назад

      rev john lyimo kaka wakina wapo lkn wanaminywa ko wanakua waoga Sana,,, lakin kwasasa hivi nchi ilipofikia acha walijilipue tu

  • @sangararawarioba3016
    @sangararawarioba3016 7 лет назад +21

    Mashallah, very nice mama. U real know what you are doing. May Allah bless you.

  • @mamysalem8791
    @mamysalem8791 7 лет назад +24

    upo vizuri sana mama hapo bungeni kama wangepatika 5 tuu kama huyu mama bunge lingekua zuri

    • @epafrangweshemi5967
      @epafrangweshemi5967 7 лет назад

      Tuwe wazalendo baada ya kukubali kufisadiwa kwa muda mrefu! Tutafute tulikopotezwa turudi ktk njia sahihi aliyotuelekeza BB wa Taifa mwlm J.K.Nyerere. Wanaotuwakilisha wanyonge ni nyie wabunge. Maendeleo hayana chama!

    • @anithangao5950
      @anithangao5950 6 лет назад

      upo vizuri sana mama yangu

    • @hassanimlacha8479
      @hassanimlacha8479 5 лет назад

      mamy Salem wabunge wà chama tàwàla hàwawezi kuikaba serikali

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 7 лет назад +24

    da.. huyu mama yupo nondo ... ametisha. sana... nice one

    • @victorernest7702
      @victorernest7702 5 лет назад

      victor yohana ndio tunataka hvyo sio ndioooo namikofi yakinafki,,,,,,mama muache ateme cheche

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 7 лет назад

    MWANAMKE umenikosha moyo wangu....I love you...Safi akiri kubwa tu inaweza kusema serikar....Asante dada angu. Language safi massage inaderiver kiulaini

  • @dahabshiiltz3306
    @dahabshiiltz3306 5 лет назад +1

    upo vizuri mama Asha Ali...masha Allah ..proud of you ..

  • @dullykibinda5091
    @dullykibinda5091 7 лет назад +4

    yuko vizuri.....namuelewaga sana huyu Mh

  • @meshackemmanuelmasawe3282
    @meshackemmanuelmasawe3282 4 года назад +1

    Tisha sana mama

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 7 лет назад +17

    huyu Mama namkubali

  • @irenepeter8702
    @irenepeter8702 4 года назад +1

    Kamanda Safi sana Wewe unahekima Sana

  • @luckysanga4554
    @luckysanga4554 6 лет назад +2

    Zito kabwe you are man of vision

  • @daudimkwela
    @daudimkwela 7 лет назад +10

    Huyu Mama yupo njema sana. "Anauliza tunakubali vipi kujificha nyuma ya Technicalities". Huyu Mama Jamani hana Twitter account nahitaji kum follow.

  • @athonyfrancis8889
    @athonyfrancis8889 7 лет назад +18

    mama shaa penda sana wewe,uko vizur

  • @alexmakundi5006
    @alexmakundi5006 7 лет назад +3

    Mama Mungu akubariki

  • @adijahomar7987
    @adijahomar7987 3 года назад

    I love mum sema ukweli

  • @shadiluck9015
    @shadiluck9015 7 лет назад +6

    mama anajua

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 5 лет назад

    Safi sana Fanya kazi yko mungu akujariee mama

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 6 лет назад +1

    Hasante sana mama yangu good points

  • @marufubaruani3806
    @marufubaruani3806 4 года назад

    Mashaallah mama Allah akulipe kwa kuwatetea wapiga kula wako.

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema1693 4 года назад

    Ubarikiwe mama mungu akulinde sana

  • @benjaminmwakyeja7081
    @benjaminmwakyeja7081 7 лет назад +5

    anachoongea zitto ni kutoa mikataba ya madini kutoka kwenye concession contract kuja katika production sharing contracts/agreements, tukifanya ivo tutakuwa vizuri. angalizo . serikali iwe inaoa pesa zote na kwa wakati katika uwekezaj

  • @innocentleoni8454
    @innocentleoni8454 Год назад

    Aliyewaondoa Bungeni hawa kwa hila Mungu amlaani. Ndomaana tunateseka kwasababu za ujinga wa walio wengi walioshirikiana na kutuletea mjinga mwenzao atuongoze.

  • @godfreymagoso5235
    @godfreymagoso5235 6 лет назад +1

    Shikamoo mama,,,,

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 6 лет назад +5

    Huyu mama ni shida. Ni ukweli mtupu hata kama watabisha. Lakini siku zinaenda zinakaribia kufikia ukweli muda utatoa jibu.

  • @amedeusfrancis6645
    @amedeusfrancis6645 6 лет назад

    Namshukuru Mungu ,wasimamizi wote wanawapa wabunge wote nafasi huru wakutoa hoja zao kwauhuru,

  • @frankmbonde1703
    @frankmbonde1703 6 лет назад +6

    Kutoonekana kwa Bunge live kunatufanya tukose mambo mengi sana yenye umuhimu juu ya mustakabali wa nchi yetu. Mpaka leo nashangaa katika masuala muhimu ya nchi baadhi ya wabunge wanaleta uchama. Kuendelea itakuwa ngumu sana kwa mtindo huu. Kama Bunge likikosa nguvu serikali itafanya inachojisikia tu na matokeo yake ni ukiukwaji wa sheria

  • @mhlegusekambona2818
    @mhlegusekambona2818 6 лет назад +1

    Mibunge ya CCM ikisikia hoja inayowabana na kuonesha weakness zao yanakimbilia neno 'TAARIFA' au MUONGOZO ili kumpoteza mchangiaji asisimame kwenye hoja zake

    • @victorernest7702
      @victorernest7702 5 лет назад

      Mhleguse Kambona kaka nchi hii bila waheshimiwa kama hao hatutafika ,,,nahuyo naibu wako amekaa kukosoa hatar vitu vya maana ,,,amin kwamba mbuge wa upinzan mmoja,,sawa wabunge mia wa fisiem

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 7 лет назад +17

    mtu kama Msukuma Anasema hajui kingereza anataka Nani amfundishe kwA nini asiende kwA wananchi wake wamfundishe

    • @ceciliajimmy5652
      @ceciliajimmy5652 6 лет назад

      Heche Chacha si ndio faida ya kujua kusoma na kuandika? Haya mikataba yote in English what do you expect!!! Msukuma hoyee bora ungekuwa Mbarabaig. Nampa pole .

    • @jazimsaid6862
      @jazimsaid6862 6 лет назад

      Heche Chacha kk lugha kuu n kiswahili

  • @listasimfukwe3979
    @listasimfukwe3979 6 лет назад

    hongera kwa kazi

  • @sauidrashid3304
    @sauidrashid3304 6 лет назад +1

    Good sana mama nimekusoma

  • @wrghkjdghklljg3819
    @wrghkjdghklljg3819 6 лет назад

    mungu akuzidishie hekima mama

  • @selemanteketeke6911
    @selemanteketeke6911 6 лет назад

    maashaallah! mama respect kwako.

  • @gibsonartisan1848
    @gibsonartisan1848 6 лет назад

    Asante mama na Ndiyo maana ukaitwa mama

  • @gracesisso9971
    @gracesisso9971 7 лет назад

    Big up mamy nakukubali uko juu tuko pamoja

  • @dutchsirbugo5996
    @dutchsirbugo5996 4 года назад

    Santee mama ang uko vzur

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 7 лет назад +8

    mama riziki big up

  • @iddkupaza1329
    @iddkupaza1329 7 лет назад +3

    Daaa huyu mama anafaa nimefurai

  • @francisdamas2597
    @francisdamas2597 6 лет назад

    mashallah mama angu upo vizuri sana

  • @hassandito6728
    @hassandito6728 6 лет назад

    Safi sana mama

  • @mlowegodfrey5980
    @mlowegodfrey5980 4 года назад

    Nimekuelewa mama hongera

  • @musikulamuhaya9384
    @musikulamuhaya9384 6 лет назад

    mama uko vizuri kwa kusema hukweli.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад

    NITAPIGA KURA MBILI TU , dawani na rais TU .

  • @speciozakisukuli3029
    @speciozakisukuli3029 6 лет назад

    Big up mama MWANAMKE KUJENGA HOJA

  • @gastobruno8779
    @gastobruno8779 6 лет назад +3

    Shida moja mama hata uongeee vipi points Kunawatu wagumu vichwa kaa vya kambare

  • @jaziraomary6501
    @jaziraomary6501 6 лет назад

    hongera mama.

  • @jonesgeorge3152
    @jonesgeorge3152 5 лет назад +1

    Bunge live.jamani tunakosa mengi,nape mungu anakuona

  • @paschalnarri8322
    @paschalnarri8322 6 лет назад

    uko vizuri sana kwa busara jmn

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 6 лет назад +1

    Live longer mama hadi mwsho wa bunge

  • @tunumlokoz1002
    @tunumlokoz1002 7 лет назад

    Mungu akubariki mama na mungu anatuasa tuseme ukweli hakama unama

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 4 года назад

    Nimemuelewa san mhe: riziki shahari kama wabunge wanekuwa wanaenda bungeni kwa matatizo ya wananchi kam huyu mama hakika wangelifikisha taifa hili mbali

  • @abdulseif4093
    @abdulseif4093 7 лет назад +2

    special 1 mjengoni

  • @mariokilyenyi4995
    @mariokilyenyi4995 5 лет назад +1

    mama" yupo vizur

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 7 лет назад +5

    ccm hawasikii kabisa Wanasema saSa hivi kuwa wananchi wamewateka kazi yao ni kudhalilisha watu

  • @marcomwaimu3979
    @marcomwaimu3979 7 лет назад

    Mama yupo vizuri aiseee wape wape hao wanaofumba macho

  • @emanuelimbise496
    @emanuelimbise496 7 лет назад

    vizuri sana mama

  • @gaudenciamallya9779
    @gaudenciamallya9779 4 года назад

    Watanzania kama huyu mama ni adimu sana Jamani (wabunge wote angekuwa hivi! Nchi yetu ingenyooka Mbona? Sheria zinatungwa kingereza wasiojua kingereza wanasindikiza or? Wapi msukuma!

  • @ibrahimzuberi1029
    @ibrahimzuberi1029 6 лет назад

    maaashaaallah uyu bimkubwa ni fundi

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 5 лет назад

    Namuombea mungu Sana Zito Chama chake kisipate nafasi ya Urais, kwani tutakosa mengi Sana, ingekua idhini yangu huyu Jamaa angekua mbunge Maishani mwake tena wa upinzani, kwani hivi vitu alivyonavyo huwezi kuvipata kwenye Chama kinachotawala

  • @jephshadrack8102
    @jephshadrack8102 6 лет назад +1

    Mama Shahari maneno yako yana maana kwa watu wenye akili timamu tu!! Vinginevyo nikumpigia mbuzi gitaa, hata hivyo endelea kupaza sauti mama huenda iko siku utaeleweka.

  • @nabasonsanga8593
    @nabasonsanga8593 5 лет назад

    Nawachukia Sana mbunge anayetuwakirisha bungen kwa lugha ya kiingereza na kiarabu huwa nawaona kama walevi hiv hawajui kuwa hata baba yake anafuatiria bunge hata wa St vii bunge ni muhimu kwake

  • @georgebulege6320
    @georgebulege6320 7 лет назад +5

    msukuma ndo walewale wanaoletewa mikataba ya kiingeleza wanakubalitu ndioooo pumbavu sana mwambie baba yako hakurudishe shule ukasome

  • @davidemanuel8044
    @davidemanuel8044 6 лет назад +4

    huyu mama hata kuwa raisi anafaa kabisa

  • @daudhenry913
    @daudhenry913 6 лет назад

    Mama yupo vizuri

  • @juliuselias7301
    @juliuselias7301 7 лет назад +1

    yeah

  • @frankmailu943
    @frankmailu943 6 лет назад

    Shikamoo mama shahari

  • @suzandeus7713
    @suzandeus7713 7 лет назад

    love you mama

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 6 лет назад

    Keep it up mama

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 4 месяца назад

    Kachuni unampotezea mda mama tetu

  • @sunrishmussan7929
    @sunrishmussan7929 6 лет назад +1

    Hakika Zito na bibi ye2 ni wa2 wnye hekma na buxara wnye kjua maslah ya nchi kwaujumla wapnzani mko vzur xana ila huu upnde mwngne wao kila hoja ndio tyuuuuuu duuu shda kwel nchi hii.

  • @ombenkyando148
    @ombenkyando148 6 лет назад

    nimekupenda bure mama

  • @charleschoma9555
    @charleschoma9555 5 лет назад +1

    Mama huyu msomi anajua mengi

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 5 лет назад

    Mama yangu, bila kujali itikadi za vyama, umenena, Mungu akubariki. Ila angekuwa mpinzani angeishakamatwa na kuwekwa rumande bila dhamana. Sasa wajinga watakuona mwiba kama Bashe. Tunaomba miiba iwe mingi ili tusaidie wanyonge. Kwani tunaposema " samaki mmoja akioza wote wameoza " Je, ukiangalia kwenye tenga wote watakuwa wote wameoza kweli? Big-up sanaa mama.

  • @mickmsigwa3492
    @mickmsigwa3492 6 лет назад

    nice

  • @hamisiharuna3099
    @hamisiharuna3099 4 года назад

    Huyo naye msukuma kama kingereza shida miaka yote anafanya nini kwanini asijifunze hicho kingereza, akina diamond awali hawakkukijua lkn leo wanakiongea yeyey anabweteka

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 7 лет назад

    dah mama ww nomaaa mpaka raha

  • @madibamadiba1553
    @madibamadiba1553 4 года назад

    Mama Yuko vzr

  • @stanleymfikwa8237
    @stanleymfikwa8237 6 лет назад

    Pole msukuma! Kusoma kunafaida.

    • @nyamshanyawaryoba8998
      @nyamshanyawaryoba8998 4 года назад

      Jaman wabunge kwel wanatukosea capita kula tukisha wapakula hao dar wakitaka kula ndowanarud nihaki kwel wadau

  • @juliusntandu9232
    @juliusntandu9232 7 лет назад

    zitto kabwe is a leader

  • @edwinekaboyoka2917
    @edwinekaboyoka2917 5 лет назад +1

    Msukuma go back to school,usipoteze mda wa waliotumia wakati wao stahiki kwenda shule,pia mliompa ridhaa ya kuwawakilisha mjitathimini kwenye maamuzi yenu.

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 5 лет назад

    Zitto ni asset serikal mtumien

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah7461 4 года назад

    Wanamaskio lkn hawaskii wana macho lkn hawaoni je ninani haoooo? Tegua kitendawili

  • @swamadujumanne795
    @swamadujumanne795 5 лет назад

    mama mungu atakulipa

  • @charlesmangasin4774
    @charlesmangasin4774 6 лет назад

    mama we nimtanzania naunamachungu na Tanzania mpaka imeniuma mtu anaenda shabikia vtu vyakujal tumbo lake pacna kujua ye ndo kawekwa na kura za wananchi😢😢😢😢

  • @rashidkassim7523
    @rashidkassim7523 6 лет назад +1

    hao wananchi waliomchagua msukuma ivi hawakuangalia elimu take?

  • @davidmapunda7513
    @davidmapunda7513 4 года назад

    Msukuma anadhihirisha usukuma wake anachangamsha binge

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 4 месяца назад

    Spika hapo umechemka

  • @petermasele5692
    @petermasele5692 5 лет назад

    Hujui kinge kaa kimya

  • @janethurio2453
    @janethurio2453 6 лет назад

    lait tungepata wamama kumi bungeni kama ww. Nchi yetu ingepata uelekeo. Mungu akulinde mm yangu kwa kucmamia ukweli.

  • @nyachirangimlengwa
    @nyachirangimlengwa 6 лет назад

    Mama shikamooo

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 6 лет назад

    Hilo neno la mnaharibu inawezekana hata nyinyi mnaoongea mnaharibu lakini hata nyinyi wenyewe mnasema mnatengeneza

  • @danielgasaya6720
    @danielgasaya6720 6 лет назад +2

    Duh sijui kingereza, duh msukuma anampotezea mada mama kiaina

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 5 лет назад

    Mwanazuoni malidadi katika tasnia nzima ya lugha adhimu ya Kiswahili na kingereza

  • @mohamedimwimba3675
    @mohamedimwimba3675 6 лет назад

    Mama uko vizur saaana

  • @zakaboy1305
    @zakaboy1305 6 лет назад

    daah ana hekima

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 7 лет назад +1

    Kwa nini kila aongeapo UKAWA hutumia sauti ya juu tena akigombeza?

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 7 лет назад +4

    Ndio ndio ndio

  • @makalanimau4649
    @makalanimau4649 6 лет назад

    mama usikose kugombea mwaka2020 tutakupigia,mama were unatisha sanaa

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 4 года назад

    Hivi msukuma bungeni yupo kwa kura za wananchi au ni kwasababu raisi ni msukuma?!!

  • @saidindaro7758
    @saidindaro7758 6 лет назад

    Mama upo vizur