Zitto Kabwe Arudi Kigoma, Aongea Mazito: "Nimejiandaa Kuwa Rais wa Tanzania"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • ACT WAZALENDO Wanadhimisha miaka 10 toka kuanzishwa chama hicho na kupewa usajili rasmi mnamo Mei 05,2014. Mkutano huu wa hadhara unafanyika katika viwanja vya Mwami Ruyagwa Kigoma.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 58

  • @AllyHamisi-c7j
    @AllyHamisi-c7j 4 месяца назад +4

    King of kigoma

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 4 месяца назад

      Not only kigoma, whole Tanzania 🇹🇿

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 4 месяца назад +2

    Hongereni ACT

  • @buchumiefremu5830
    @buchumiefremu5830 4 месяца назад +1

    Hongera kaka zinto

  • @AkidaRashid
    @AkidaRashid 3 месяца назад

    Nikweli

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli 4 месяца назад +1

    Ulipo Toka chadema pengo rako tunaliona

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 4 месяца назад

    Together front act wazalendo ❤

  • @FrankMahero
    @FrankMahero 4 месяца назад

    Kweli mwamba

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 4 месяца назад +1

    Zito ni msaliti kote kote kasaliti chadema na amesaliti CUF yaani huyu ni fala kweli

  • @PeterNyanka
    @PeterNyanka 28 дней назад

    Unaongea vizuri zitto

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani1025 4 месяца назад +1

    Labda kama mlengo wa Dola ni kwako upewe pale mambo yakiwa magumu kwetu CCM!lakini hivi hivi ngumu sana!

  • @petermugurubi7837
    @petermugurubi7837 4 месяца назад +1

    Iskariote

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 4 месяца назад

    Kuna watu wanaamua kukurupuka ili mradi kuwafurahisha watu.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 4 месяца назад +1

    Yuda

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 4 месяца назад

      Mbowe mtafuna milungi na mvuta bangi ,pia kin'gan'ga wa cheo cha umwenyekiti kwenye chama cha kikanda cha chadema ndo Yuda

  • @amoslameck2601
    @amoslameck2601 4 месяца назад +1

    Mkutano huu umehudhuriwa na wanawake

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 4 месяца назад

      Ukiona mkutano wanaume wanaonekana mbele ujue huo ni batili, huu mkutano umekuwa verified bcz wanawake wamakaa mbela woote , Our next president of tz🇹🇿

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 3 месяца назад

    Mpumbavu huyu Yuda🙂🙂

  • @RamadhanHamis-pz7gq
    @RamadhanHamis-pz7gq 4 месяца назад +1

    Mwamba huyo

  • @amoslameck2601
    @amoslameck2601 4 месяца назад

    Nilihisi na imetokea kuwa hiyo alama yenye kiganja cha mkono hakiwezi kutolewa kwa sababa waliingia nacho kwa trik ya kuwa kinawakilisha nguzo tano za uisilam na akawa ndio kampen yao. ndio maana hawawezi kuitoa. kadi ya mwanza kabisa ilikuwa na alama ya nyota na mwezi kelele zikawa nyingi ndio wakaleta kiganja kwa kumanisha lengo lilelile.

    • @HamzaRashid-iq1yf
      @HamzaRashid-iq1yf 4 месяца назад

      Acha hisia tofauti wewe kila mtu ananembo yke

  • @kajanksimon7432
    @kajanksimon7432 4 месяца назад

    kura yangu unayo baba

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 4 месяца назад

    Hizo zote ni kura za CCM... Katika uchaguzi mkuu ujao...

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 4 месяца назад

    Huyu jamaa siasa zake ni kigoma tu

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 4 месяца назад

    Ni haki yako kugombea, lakini urais hapana kaka

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 4 месяца назад

      Next president of Tanzania 🇹🇿

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 месяца назад

    Labda rais wa kigoma

  • @mmassfashion963
    @mmassfashion963 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 4 месяца назад

    Huyu Ni Nani Kwenye Hii Nchi???

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa 4 месяца назад

    Acheni chuki kwani mnataka rais akoje kila mtz mwenye sifa anahaki anagombea urais mbona hamsemi chadema ilialika samia na mbowe kaalikwa ikulu kwahiyo ni msaliti?

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 4 месяца назад

      Izo comment ni za watu wa kaskazini , Sasa iv yule mtafuna mlungi wao Ambe ndo m/kt wa chadema kachunda Hadi uruma aisee,

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 4 месяца назад

    Huyu msaliti awe rais wa nchi gani!

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani1025 4 месяца назад

    Zito ACHA uongo!!

  • @BinRashid-px4ub
    @BinRashid-px4ub 4 месяца назад

    XD
    6:25

  • @renatusmutabuzi7233
    @renatusmutabuzi7233 4 месяца назад

    Huyo akigombea anatumia pesa ya sisiem ni mzee wa Fulsa labda agombee urais wa kigoma

  • @RamadhanHamis-pz7gq
    @RamadhanHamis-pz7gq 4 месяца назад +1

    Mwamba huyo

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 4 месяца назад

    Huwezi kuchaguliwa kuwa Rais hata wewe unajua Zitto

  • @ivanrobert3071
    @ivanrobert3071 4 месяца назад

    Huyu mtu hata Chadema au ccm waweke jiwe na huyu zito basi jiwe litashinda na hana wa kumlaumu kwani kajiuwa kisiasa yeye mwenyewe kwa usaliti wake

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 4 месяца назад

      Siku nikichagua chadema au cuf , namuomba mungu nife apo apo😅. Kura zangu zoote zitakua zinawekwa kwa CCM NA ACT WAZALENDO. Chadema hata imsimamishe Mungu siwezi kuipigia kura ever

    • @MirajiMbolile
      @MirajiMbolile 2 месяца назад

      ​@@HamudaniSalumu wewe mpuuzi mkubwa kabisa